Mahojiano ya Jussa na kipindi kipya cha Sauti ya Wazalendo, sikiliza alivyofunguka

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 24. 05. 2024
  • Makamu mwenyekiti wa ACT Wazalendo Zanzibar Ismail Jussa akihojiwa katika kipindi cha Sauti ya Wazalendo kinachoandaliwa na ACT Wazalendo Digital.

Komentáře • 9

  • @abdillahmohd4317
    @abdillahmohd4317 Před měsícem +2

    InshaAllah

  • @abdulhafidhi84
    @abdulhafidhi84 Před měsícem

    Kwanza tujipatie hongera wana Act kwa juhud za makusud mpaka kufikia hapa

  • @fabby1181
    @fabby1181 Před měsícem

    honera Jussa uko vizuri

  • @AloysiusNewenham-Kahindi
    @AloysiusNewenham-Kahindi Před měsícem +1

    Jussa ... unaweza kuwaeleza na kuwaonyesha watu nini umeleta maendeleo ya kujivunia miaka mingi ukiwa ktk siasa. Kwani ... ukisema na kupiga kelele mikutanoni ni RAHISI ... lakini vitendo ni kitu kingine!!!

  • @NoufelSalim
    @NoufelSalim Před měsícem +1

    Hongera mh jussa

  • @user-tu2ne7so3b
    @user-tu2ne7so3b Před měsícem +1

    Kipindi kipo vzr sana

  • @MAPETEE
    @MAPETEE Před měsícem

    Uyu mtangazaji bora ende tena chuo

  • @eddynaeem6708
    @eddynaeem6708 Před měsícem

    Akimaliza ashitakiwe si shamba la bibiake hili

  • @salyali7807
    @salyali7807 Před měsícem

    Very powerful interview