Dudu baya ungejitahidi huo ufahamu ujikwamue kwa hali ulonayo lakini kumuongelea pdidy ni kama mbingu na ardhi hivo pambania hali yako kifedha kwanza tujue uwezo wako kimtazamo
Mungu azidi kukulenda namaaduwi japo tunakupenda Sana Ila wapo mawakala washetani wakupinga Ila pamoja nakukuchukia nakukupinga Ila wataendelea kushindwa kwajina la yesu Kristy wanazaleti Alie hai amina
Jay Z hajaacha hizo mambo, Jigga ni chicha mwiba kama Diddy, na alikuwa anaenda kwenye hayo maparty na mkewe, Sijui kama huko bongo mnajua kuwa Beyonce ni teja, na Jigga ndio anayemletea madawa.
Hata CIA wanaangaliaga reaction ya public ,wakiona ni kubwa kuna mawili au wakumalize wao au ushtakiwe ili serikali i win public , kina epistein walikua na nguvu sana mzee
DIAMOND NA YEYE SI ALIJIPELEKA KWENYE JUMBA LA PDIDDY EMBU NYIE WAANDISHI MUULIZENI DIAMOND KAMA NA YEYE ALIGUSWA NA PUFF DADDY ! MEEK MILLS ALIGUSWA CHA KUNYEA
Wewe ndo hujui namna ya kuwafuatilia na kuwajua, tambua kuwa Dudu baya unsmdharau kwa hivyo alivyo kwa sasa lkn elewa kuwa Alikuwa staa mkubwa africa mashariki so kujua habari za mastaa wenzake ni rahisi
Huyu nae chizi kumbe, P DIDDY kapewa nguvu na wazungu, na kwa taarifa yako P DIDDY haendi jela wazungu wanamlinda waliomchoma weusi wenzie na mkewe baada y kumnyima pesa alizomuaidi! Acha uongo
Sasa kwa taarifa yako, blacks wamekuwa wakimsema Diddy miaka nenda rudi lakini nothing happened, Ila Diddy alipojaribu kuwatunishia msuli wale jamaa wanaomiliki Ciroc drinks 🍷 ambao ni wazungu, hapo ndio pila likamgeukia yeye.
wacha mipasho majungu umeyatupa wakati wenu kulikuwa hakuna pesa kilicho baki choyo wivu unaomba watu waharibikiwe ulichokusudia ni wasanii wa Tanzania wewe ni mchawi ropokwa huna jambo wenzako wanakula bata mjinga wewe
Dudu baya huwa napenda Sana ufahamu wake mzuri kuhusu maisha
Unajuwa ukishapotea jaribu kukubaliana na hali
Dudu baya nahitaji namba yangu
Hujawai kuwa mnafki kaka uko wazi ubarikiwe sanaaaaa🎉🎉🎉🎉🎉
Konki! Nakuelewa vzr, unaelimisha kadri uwezavyo.
Upendo,Amani na Furaha ina tosha ,
Nakukubali Konki unamadini sana.
Ila pamoja na yote huyu kaka ana uelewa sn ht wa mambo ya kiroho
Huyu jamaa Anaelimu ya vizazi vijavyo❤
Dudu baya kwa kweli ni mkweli sana
Dude had a point
Dudubaya ana akili sana huyu jamaa...uelewa mpana sana wa mambo ya mziki,kitaifa na kimataifa
Amani Upendo na furaha 👉🏾
Kaka serikali yetu ingekuwa na uelewa ungepewa uongoz maana una mawazo mazuri,utu na upendo.
Dudu baya kumbe ndio maana hapendwi ni smart sana ukiwa na akiri nyingi unapigwa vita sana big up sana
Huyu jamaa anaongea fact
Safi Sana konki
dudu baya konky master big up
Safi sana kaka dudubaya kwa ma neno yako nayapende sana broo
Great man of God
Very brilliant 😂😂😂😂
Nakukubari sn bro, nakufatilia sn una madini mengi sn
Nakukubali dudu baya
Huyu jamaa 😅 😅
Mungu akubariki mchungaji
P diddy 😁😁
Huyu jamaa Mungu amtunze
Bana wile nakukubali sana
Dudu baya Yuko vizur 🎉🎉🎉 ana ufahamu Sana
Thanks ❤❤
Mtu yeyote mkweli brother huwa hapendwi,angalia hata ndg yangu makonda anavyopingwa vita na watu wliyomo hata ktk chama chetu.
🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 nikweli bro
Dudu baya ungejitahidi huo ufahamu ujikwamue kwa hali ulonayo lakini kumuongelea pdidy ni kama mbingu na ardhi hivo pambania hali yako kifedha kwanza tujue uwezo wako kimtazamo
Good speech msemakweli uchaguliwa kuwa diwani
yapo ya nyuma ya pazi watu hawajayajua kuhusu uyo
Mugu akubariki
Good messages bro konki
Unyamaaa sana mwamba
Mungu azidi kukulenda namaaduwi japo tunakupenda Sana Ila wapo mawakala washetani wakupinga Ila pamoja nakukuchukia nakukupinga Ila wataendelea kushindwa kwajina la yesu Kristy wanazaleti Alie hai amina
Hahahaha duuu shikamo kaka ingawa ukwel unauma ila songwe napapenda
kweli kabisa
Akili.kubwa sana hiii
Dudu baya anamzungumzia p didi kama anakaanae mtaa mmoja ubungo livasaid
😂
😂sema jamaa linafacts sanaa💪💪🤜
Dudubaya ❤❤❤❤
😮😢ila jmn
Baba wile nakukubali sana
Jay Z hajaacha hizo mambo, Jigga ni chicha mwiba kama Diddy, na alikuwa anaenda kwenye hayo maparty na mkewe, Sijui kama huko bongo mnajua kuwa Beyonce ni teja, na Jigga ndio anayemletea madawa.
halafu jigga scandal kama hizo alishajipanga kitambo ndo maana ananunua sana wanasheria wakubwa kulinda utu wake ndo maana jamaa ni bonge la shetani
mbona wewe hukuenda 😂😂😂😂 kwa p didy
Naipataje
Download
Msenge hyo dudubaya na hii media pia
Kaka mkubwa mbona mijasho minhimingi siuvue hilo prova
Ushaidi??
Nampenda sana puff
Uko makini sana mjomba dudu
Saw
hahahaaaa et shetan kamkimbia uwiii tumtegemee munguu tyu bc
Diamond kaliwa tayari
Dudu baya n mtu wa maana sana. Sijui kwa nn Diamond alimwacha huyu mtu.hawa watu ndo wanatakiwa kuwa karibu na dangote.sio akina naniii hii
Angalia anachoongea ni hatari kwa Diamond. Diamond anauhusino na Satan halafu Dudubaya kama unavoona anaponda hivi unafikiri atamwacha?
Huyo Dangote mwenyew wahuni wanakwambia huenda P Didy alijisevia
Nina shida na namba ya hyu mwamba dudu baya
Acha kufuru mziki ni haramu
Kwako ndio haramu
Chochote ni haramu kulingana na utakavyokiendea wapo mashekhe na wachungaji mbona hudhurumu watu kwa kigezo cha dini hiyo sio Haramu????
Long live Konki
Matayo 10:26-27
Kaka njoo tuimbe Gospel unaonekana umeokoka, MUNGU katutoa huko.
jembe umejaa vitu vizuri sichok kukusikiliza
Kwanza Kuna kitu watu hawajui . Diddy ni FED pia ni CIA so mtaongea sana ila atofungwa
Hata CIA wanaangaliaga reaction ya public ,wakiona ni kubwa kuna mawili au wakumalize wao au ushtakiwe ili serikali i win public , kina epistein walikua na nguvu sana mzee
Eti Didy ni CIA sijui FED😂😂😂😂😂
Nakubali baba maelezo yako nayaeeewaga kinoma
Dudu baya na afande sele wako makini sana
Kaka oomba yasikukute kbx sindio
Huyu master yuko vizuri sana, sema usiogope wajinga wachache wanaoshadadia ushoga
mbee
Funguka mamba
Dudu baya😅😅😅😅ila Sasa badilisha jina kuwa Dudu zuri😅😅😅
Konk mastaa
Ubalikiwe mtumishi wa mungu sana
DIAMOND NA YEYE SI ALIJIPELEKA KWENYE JUMBA LA PDIDDY EMBU NYIE WAANDISHI MUULIZENI DIAMOND KAMA NA YEYE ALIGUSWA NA PUFF DADDY ! MEEK MILLS ALIGUSWA CHA KUNYEA
Yanaitwa Limousine sio tour bus😂😂😂
ww ndo huyafahamu. Limousine ni magari yale ya milango sita.
Yanitwa tour bus Dudubaya yupo sawa.
We ndio utakuwa hujui. Limousine ni kitu kingine kabisa.
Limousine ni gari ya milango sita
Nchi hii hatar mtu anamsemea mpaka asiyemjua
Kweli mambo ya US mbongo anajifanya anajuwa 😂
Dunia sasa hivi ipo kwenye kiganja cha mkono. Wewe wa wapi?
Wewe ndo hujui namna ya kuwafuatilia na kuwajua, tambua kuwa Dudu baya unsmdharau kwa hivyo alivyo kwa sasa lkn elewa kuwa Alikuwa staa mkubwa africa mashariki so kujua habari za mastaa wenzake ni rahisi
Muulize dudu,Wile yupo wapi?
Huyu anasema nini Kwani amekuwa akiishi chini ya mawe???
Huyu nae chizi kumbe, P DIDDY kapewa nguvu na wazungu, na kwa taarifa yako P DIDDY haendi jela wazungu wanamlinda waliomchoma weusi wenzie na mkewe baada y kumnyima pesa alizomuaidi! Acha uongo
Elewa nn anachikiongea kwanza huyu jamaa kaka, kwani wazungu hawapo ktk list ya wanaoabudu shetani?
Www kenge kuwa na adabu mm naushi Amarican Soo kweli unachokisema
Shetani anapenda kumgeuza mtoto wa kiume awe Maji ya tamu
Sasa kwa taarifa yako, blacks wamekuwa wakimsema Diddy miaka nenda rudi lakini nothing happened, Ila Diddy alipojaribu kuwatunishia msuli wale jamaa wanaomiliki Ciroc drinks 🍷 ambao ni wazungu, hapo ndio pila likamgeukia yeye.
Anafugwa yule wewe mda wake umeisha we ndo haujui kitu Sasa wazungu hao hao ndo wanammaliza
Acha upuuzi
Dudubaya akili nyingi sana
Dudu baya kuimba hujui
Dudu baya umeishiwa.hivyo vitabu vyawapi mungu anataka mziki wadunia.mungu anataka mziki wakumsifu yy na sio mziki hunaosema ww konki x3.oll chafu😂😂
Weyee ndo hjafaham
wacha mipasho majungu umeyatupa wakati wenu kulikuwa hakuna pesa kilicho baki choyo wivu unaomba watu waharibikiwe ulichokusudia ni wasanii wa Tanzania wewe ni mchawi ropokwa huna jambo wenzako wanakula bata mjinga wewe
Ukiwa choko lazima umpinge dudu
Pumbavu unajua nn wewe ebu kakojoe ukalale mjinga mkubwa huyu ipo siku mtajua kwanini namwita mjinga ajui kitu
Wewe unayejua hongera ila bora ujinga unaosaidia kuliko akili isio na msaada