KIMENUKA; DUDU BAYA AFICHUA MACHAFU YA P, DIDY UTAJIRI WAKE SHETANI AMEMKIMBIA LAZIMA TU ATA......

Sdílet
Vložit

Komentáře • 112

  • @joctanmtambi895
    @joctanmtambi895 Před 2 měsíci +23

    Dudu baya huwa napenda Sana ufahamu wake mzuri kuhusu maisha

  • @molexevelist813
    @molexevelist813 Před měsícem +5

    Hujawai kuwa mnafki kaka uko wazi ubarikiwe sanaaaaa🎉🎉🎉🎉🎉

  • @lameckmathias1188
    @lameckmathias1188 Před 2 měsíci +14

    Konki! Nakuelewa vzr, unaelimisha kadri uwezavyo.

  • @Pacificano2000
    @Pacificano2000 Před 2 měsíci +12

    Upendo,Amani na Furaha ina tosha ,

  • @yusuphabel5530
    @yusuphabel5530 Před 2 měsíci +7

    Nakukubali Konki unamadini sana.

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 Před měsícem +4

    Ila pamoja na yote huyu kaka ana uelewa sn ht wa mambo ya kiroho

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 Před 2 měsíci +5

    Huyu jamaa Anaelimu ya vizazi vijavyo❤

  • @issakobakimanga7738
    @issakobakimanga7738 Před měsícem +6

    Dudu baya kwa kweli ni mkweli sana

  • @JoalAlma-ci1hi
    @JoalAlma-ci1hi Před 2 měsíci +12

    Dude had a point

  • @mchaujl
    @mchaujl Před měsícem +4

    Dudubaya ana akili sana huyu jamaa...uelewa mpana sana wa mambo ya mziki,kitaifa na kimataifa

  • @ramadhanmasiku4105
    @ramadhanmasiku4105 Před 2 měsíci +6

    Amani Upendo na furaha 👉🏾

  • @ladislausmoris9638
    @ladislausmoris9638 Před měsícem +3

    Kaka serikali yetu ingekuwa na uelewa ungepewa uongoz maana una mawazo mazuri,utu na upendo.

  • @twaahbrown1042
    @twaahbrown1042 Před 2 měsíci +12

    Dudu baya kumbe ndio maana hapendwi ni smart sana ukiwa na akiri nyingi unapigwa vita sana big up sana

  • @vicentyherman6219
    @vicentyherman6219 Před 2 měsíci +4

    Huyu jamaa anaongea fact

  • @mugendigeorge7704
    @mugendigeorge7704 Před 2 měsíci +6

    Safi Sana konki

  • @kajaymopao1672
    @kajaymopao1672 Před 2 měsíci +4

    dudu baya konky master big up

  • @Tito-dc6vy
    @Tito-dc6vy Před 2 měsíci +2

    Safi sana kaka dudubaya kwa ma neno yako nayapende sana broo

  • @JULIUSOLUOCH-xf8ki
    @JULIUSOLUOCH-xf8ki Před měsícem +1

    Great man of God

  • @bromanfexxaofficial935
    @bromanfexxaofficial935 Před měsícem +1

    Very brilliant 😂😂😂😂

  • @RespiciousRwetabula
    @RespiciousRwetabula Před 2 měsíci +2

    Nakukubari sn bro, nakufatilia sn una madini mengi sn

  • @user-vm5bv3od7p
    @user-vm5bv3od7p Před měsícem

    Nakukubali dudu baya

  • @nicolasaugustino8449
    @nicolasaugustino8449 Před 2 měsíci +2

    Huyu jamaa 😅 😅

  • @Bboy-ek8vn
    @Bboy-ek8vn Před 2 měsíci +1

    Mungu akubariki mchungaji

  • @starjay3052
    @starjay3052 Před 9 dny +1

    P diddy 😁😁

  • @detectivejeffrey6401
    @detectivejeffrey6401 Před měsícem

    Huyu jamaa Mungu amtunze

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle Před 2 měsíci +1

    Bana wile nakukubali sana

  • @rukiangilla3113
    @rukiangilla3113 Před měsícem

    Dudu baya Yuko vizur 🎉🎉🎉 ana ufahamu Sana

  • @FatumaIssa-kw3vv
    @FatumaIssa-kw3vv Před 2 měsíci +1

    Thanks ❤❤

  • @bobmakes7068
    @bobmakes7068 Před 2 měsíci +1

    Mtu yeyote mkweli brother huwa hapendwi,angalia hata ndg yangu makonda anavyopingwa vita na watu wliyomo hata ktk chama chetu.

  • @user-tz8zu2gt6u
    @user-tz8zu2gt6u Před 2 měsíci +1

    🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉 nikweli bro

  • @hamadmhchande5633
    @hamadmhchande5633 Před měsícem

    Dudu baya ungejitahidi huo ufahamu ujikwamue kwa hali ulonayo lakini kumuongelea pdidy ni kama mbingu na ardhi hivo pambania hali yako kifedha kwanza tujue uwezo wako kimtazamo

  • @bobdutchbobdutch8443
    @bobdutchbobdutch8443 Před 2 měsíci

    Good speech msemakweli uchaguliwa kuwa diwani

  • @Direct-0000
    @Direct-0000 Před 2 měsíci +1

    yapo ya nyuma ya pazi watu hawajayajua kuhusu uyo

  • @user-ll5lx9hi7e
    @user-ll5lx9hi7e Před 2 měsíci +1

    Mugu akubariki

  • @user-nb9bf6rt3r
    @user-nb9bf6rt3r Před 2 měsíci

    Good messages bro konki

  • @EmmanuelMaganga-be7bl
    @EmmanuelMaganga-be7bl Před měsícem

    Unyamaaa sana mwamba

  • @YorandaBonephas
    @YorandaBonephas Před 2 měsíci

    Mungu azidi kukulenda namaaduwi japo tunakupenda Sana Ila wapo mawakala washetani wakupinga Ila pamoja nakukuchukia nakukupinga Ila wataendelea kushindwa kwajina la yesu Kristy wanazaleti Alie hai amina

  • @richardsimbeye9207
    @richardsimbeye9207 Před 2 měsíci

    Hahahaha duuu shikamo kaka ingawa ukwel unauma ila songwe napapenda

  • @user-wk2bg8zf3l
    @user-wk2bg8zf3l Před měsícem

    kweli kabisa

  • @emmanuelrambo8864
    @emmanuelrambo8864 Před měsícem

    Akili.kubwa sana hiii

  • @user-dr6bm7eu5u
    @user-dr6bm7eu5u Před měsícem +1

    Dudu baya anamzungumzia p didi kama anakaanae mtaa mmoja ubungo livasaid

  • @user-pu6pr5jt4n
    @user-pu6pr5jt4n Před měsícem

    Dudubaya ❤❤❤❤

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 Před měsícem

    😮😢ila jmn

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle Před 2 měsíci

    Baba wile nakukubali sana

  • @MexiTanix
    @MexiTanix Před 2 měsíci +2

    Jay Z hajaacha hizo mambo, Jigga ni chicha mwiba kama Diddy, na alikuwa anaenda kwenye hayo maparty na mkewe, Sijui kama huko bongo mnajua kuwa Beyonce ni teja, na Jigga ndio anayemletea madawa.

    • @ivanyydaniel2487
      @ivanyydaniel2487 Před 2 měsíci

      halafu jigga scandal kama hizo alishajipanga kitambo ndo maana ananunua sana wanasheria wakubwa kulinda utu wake ndo maana jamaa ni bonge la shetani

  • @allybobsaith
    @allybobsaith Před 2 měsíci

    mbona wewe hukuenda 😂😂😂😂 kwa p didy

  • @dsgroup6093
    @dsgroup6093 Před 2 měsíci +2

    Naipataje

  • @vernongoodvibes99
    @vernongoodvibes99 Před měsícem

    Msenge hyo dudubaya na hii media pia

  • @abiboseleman1649
    @abiboseleman1649 Před 2 měsíci

    Kaka mkubwa mbona mijasho minhimingi siuvue hilo prova

  • @adamkapolo8817
    @adamkapolo8817 Před měsícem

    Ushaidi??

  • @Tiffanuhran
    @Tiffanuhran Před 2 měsíci

    Nampenda sana puff

  • @IdrisaMpumbe
    @IdrisaMpumbe Před 2 měsíci

    Uko makini sana mjomba dudu

  • @RichardRobert-gh6zt
    @RichardRobert-gh6zt Před měsícem

    Saw

  • @user-xc5or1ph8x
    @user-xc5or1ph8x Před 2 měsíci

    hahahaaaa et shetan kamkimbia uwiii tumtegemee munguu tyu bc

  • @muksinimbaruku1233
    @muksinimbaruku1233 Před měsícem

    Diamond kaliwa tayari

  • @MessiBaba-xf2sb
    @MessiBaba-xf2sb Před 2 měsíci +1

    Dudu baya n mtu wa maana sana. Sijui kwa nn Diamond alimwacha huyu mtu.hawa watu ndo wanatakiwa kuwa karibu na dangote.sio akina naniii hii

    • @frankhoffa8356
      @frankhoffa8356 Před 2 měsíci

      Angalia anachoongea ni hatari kwa Diamond. Diamond anauhusino na Satan halafu Dudubaya kama unavoona anaponda hivi unafikiri atamwacha?

    • @emanuelleopod3949
      @emanuelleopod3949 Před 2 měsíci

      Huyo Dangote mwenyew wahuni wanakwambia huenda P Didy alijisevia

  • @dsgroup6093
    @dsgroup6093 Před 2 měsíci +1

    Nina shida na namba ya hyu mwamba dudu baya

  • @HappyEel-wg4qx
    @HappyEel-wg4qx Před 2 měsíci +2

    Acha kufuru mziki ni haramu

    • @geofreymongi5403
      @geofreymongi5403 Před 2 měsíci

      Kwako ndio haramu

    • @bakariomary5781
      @bakariomary5781 Před měsícem

      Chochote ni haramu kulingana na utakavyokiendea wapo mashekhe na wachungaji mbona hudhurumu watu kwa kigezo cha dini hiyo sio Haramu????

  • @angelanaftael7965
    @angelanaftael7965 Před 2 měsíci

    Long live Konki

  • @monicakimati4619
    @monicakimati4619 Před 2 měsíci

    Matayo 10:26-27

  • @madahaboytz
    @madahaboytz Před měsícem

    Kaka njoo tuimbe Gospel unaonekana umeokoka, MUNGU katutoa huko.

  • @user-ut3gf1tg2n
    @user-ut3gf1tg2n Před měsícem

    jembe umejaa vitu vizuri sichok kukusikiliza

  • @kichuchu-saloon
    @kichuchu-saloon Před 2 měsíci +1

    Kwanza Kuna kitu watu hawajui . Diddy ni FED pia ni CIA so mtaongea sana ila atofungwa

    • @afropatriot7769
      @afropatriot7769 Před 2 měsíci

      Hata CIA wanaangaliaga reaction ya public ,wakiona ni kubwa kuna mawili au wakumalize wao au ushtakiwe ili serikali i win public , kina epistein walikua na nguvu sana mzee

    • @hilarylaurian7896
      @hilarylaurian7896 Před 2 měsíci

      Eti Didy ni CIA sijui FED😂😂😂😂😂

  • @piusdeo9380
    @piusdeo9380 Před 2 měsíci +1

    Nakubali baba maelezo yako nayaeeewaga kinoma

  • @user-ku1rg7mr3i
    @user-ku1rg7mr3i Před měsícem

    Dudu baya na afande sele wako makini sana

  • @AllyYusufsadam
    @AllyYusufsadam Před měsícem

    Kaka oomba yasikukute kbx sindio

  • @user-yd4et4sd9b
    @user-yd4et4sd9b Před 2 měsíci

    Huyu master yuko vizuri sana, sema usiogope wajinga wachache wanaoshadadia ushoga

  • @user-ue5cn9cw1h
    @user-ue5cn9cw1h Před měsícem

    mbee

  • @user-lt1bi5nr1x
    @user-lt1bi5nr1x Před 2 měsíci +4

    Funguka mamba

  • @JosephSimiyu
    @JosephSimiyu Před 2 měsíci +1

    Dudu baya😅😅😅😅ila Sasa badilisha jina kuwa Dudu zuri😅😅😅

  • @landmadvdmbeyacity9561
    @landmadvdmbeyacity9561 Před 2 měsíci

    Konk mastaa

  • @paulojohn5504
    @paulojohn5504 Před 2 měsíci

    Ubalikiwe mtumishi wa mungu sana

  • @onionpeeling5822
    @onionpeeling5822 Před měsícem

    DIAMOND NA YEYE SI ALIJIPELEKA KWENYE JUMBA LA PDIDDY EMBU NYIE WAANDISHI MUULIZENI DIAMOND KAMA NA YEYE ALIGUSWA NA PUFF DADDY ! MEEK MILLS ALIGUSWA CHA KUNYEA

  • @raggysingo4983
    @raggysingo4983 Před 2 měsíci

    Yanaitwa Limousine sio tour bus😂😂😂

    • @RabihuHussein
      @RabihuHussein Před 2 měsíci

      ww ndo huyafahamu. Limousine ni magari yale ya milango sita.

    • @amirkhamis8250
      @amirkhamis8250 Před měsícem

      Yanitwa tour bus Dudubaya yupo sawa.
      We ndio utakuwa hujui. Limousine ni kitu kingine kabisa.

    • @emanuelndembeka6959
      @emanuelndembeka6959 Před měsícem

      Limousine ni gari ya milango sita

  • @onuleonard6160
    @onuleonard6160 Před 2 měsíci +1

    Nchi hii hatar mtu anamsemea mpaka asiyemjua

    • @lazarojoseph7541
      @lazarojoseph7541 Před 2 měsíci +1

      Kweli mambo ya US mbongo anajifanya anajuwa 😂

    • @mohdkhatib223
      @mohdkhatib223 Před 2 měsíci

      Dunia sasa hivi ipo kwenye kiganja cha mkono. Wewe wa wapi?

    • @jamesjoseph6825
      @jamesjoseph6825 Před měsícem

      Wewe ndo hujui namna ya kuwafuatilia na kuwajua, tambua kuwa Dudu baya unsmdharau kwa hivyo alivyo kwa sasa lkn elewa kuwa Alikuwa staa mkubwa africa mashariki so kujua habari za mastaa wenzake ni rahisi

  • @user-ib1kp5ch4m
    @user-ib1kp5ch4m Před 2 měsíci

    Muulize dudu,Wile yupo wapi?

  • @billjames1216
    @billjames1216 Před 2 měsíci

    Huyu anasema nini Kwani amekuwa akiishi chini ya mawe???

  • @user-um8xn4ge4i
    @user-um8xn4ge4i Před 2 měsíci

    Huyu nae chizi kumbe, P DIDDY kapewa nguvu na wazungu, na kwa taarifa yako P DIDDY haendi jela wazungu wanamlinda waliomchoma weusi wenzie na mkewe baada y kumnyima pesa alizomuaidi! Acha uongo

    • @MackameHassani
      @MackameHassani Před 2 měsíci

      Elewa nn anachikiongea kwanza huyu jamaa kaka, kwani wazungu hawapo ktk list ya wanaoabudu shetani?

    • @user-we7uq1qh7p
      @user-we7uq1qh7p Před 2 měsíci

      Www kenge kuwa na adabu mm naushi Amarican Soo kweli unachokisema

    • @user-sg6nc1is3j
      @user-sg6nc1is3j Před 2 měsíci

      Shetani anapenda kumgeuza mtoto wa kiume awe Maji ya tamu

    • @MexiTanix
      @MexiTanix Před 2 měsíci

      Sasa kwa taarifa yako, blacks wamekuwa wakimsema Diddy miaka nenda rudi lakini nothing happened, Ila Diddy alipojaribu kuwatunishia msuli wale jamaa wanaomiliki Ciroc drinks 🍷 ambao ni wazungu, hapo ndio pila likamgeukia yeye.

    • @mbarakajummadindamadinda491
      @mbarakajummadindamadinda491 Před 2 měsíci +1

      Anafugwa yule wewe mda wake umeisha we ndo haujui kitu Sasa wazungu hao hao ndo wanammaliza

  • @moshimaganga6683
    @moshimaganga6683 Před 2 měsíci

    Acha upuuzi

  • @jacksonmsendo3478
    @jacksonmsendo3478 Před 2 měsíci

    Dudubaya akili nyingi sana

  • @JandaalHaqeem
    @JandaalHaqeem Před 2 měsíci

    Dudu baya kuimba hujui

  • @mustafarajabu4005
    @mustafarajabu4005 Před 2 měsíci

    Dudu baya umeishiwa.hivyo vitabu vyawapi mungu anataka mziki wadunia.mungu anataka mziki wakumsifu yy na sio mziki hunaosema ww konki x3.oll chafu😂😂

  • @user-rk9gr9yf3i
    @user-rk9gr9yf3i Před 2 měsíci

    wacha mipasho majungu umeyatupa wakati wenu kulikuwa hakuna pesa kilicho baki choyo wivu unaomba watu waharibikiwe ulichokusudia ni wasanii wa Tanzania wewe ni mchawi ropokwa huna jambo wenzako wanakula bata mjinga wewe

  • @Allyhujjat
    @Allyhujjat Před 2 měsíci

    Pumbavu unajua nn wewe ebu kakojoe ukalale mjinga mkubwa huyu ipo siku mtajua kwanini namwita mjinga ajui kitu

    • @prof.abusakelsaleh3524
      @prof.abusakelsaleh3524 Před 2 měsíci +3

      Wewe unayejua hongera ila bora ujinga unaosaidia kuliko akili isio na msaada