KWA UCHUNGU MKUBWA DUDU BAYA ALIA NA WAKRISTO NA WAISLAM ATOA SOMO KUBWA MWAMPOSA NA DR SULLE WATAJW

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024

Komentáře • 75

  • @user-ly4jw9qi9x
    @user-ly4jw9qi9x Před 3 měsíci +9

    Mungu akufunike mtumish wa Mungu.leo nakupa jina jipya.wewe sasa unaitwa mwana mwema nasi dudubaya tena

  • @lameckmathias1188
    @lameckmathias1188 Před 3 měsíci +6

    Mamba!, konki!, konki! Master. Uko vizuri wachache watakuelewa, ipo siku mtu mmoja atakuelewa na malaika watashangilia.

  • @abdulikilala5902
    @abdulikilala5902 Před 3 měsíci +16

    Dudu baya akili Yako moja ni sawa na wasanii wa Sasa hivi 20000

    • @Worldunite
      @Worldunite Před 2 měsíci

      Zaidi ya 20,000 😂😂😂

  • @EmmanuelMaganga-be7bl
    @EmmanuelMaganga-be7bl Před 2 měsíci +3

    Wew ni hatari sanaaaaaa brother ❤❤❤❤

  • @T-Fellow
    @T-Fellow Před 3 měsíci +3

    Dah, uncle Dudu Baya
    Nakubali sana unasema mazuri mapana manene!

  • @kilogreekachananawatuwasio4054
    @kilogreekachananawatuwasio4054 Před 2 měsíci +2

    Ubarikiwe kiongozi dudu baya ❤

  • @eliankota570
    @eliankota570 Před 3 měsíci +3

    Great thinker 👏👏

  • @ramadhanisakalani8372
    @ramadhanisakalani8372 Před měsícem +1

    Mungu aku simamieee inshallah

  • @user-vy7hj9mo3l
    @user-vy7hj9mo3l Před měsícem

    Mwamba unaimani kubwa mno mungu akubariki na akuongoze ktk kila Jambo bro

  • @user-el4pg9zg8w
    @user-el4pg9zg8w Před 2 měsíci +1

    The master mind. The dudu

  • @williamuphilipo2120
    @williamuphilipo2120 Před 3 měsíci +4

    Mwenye masikio ya kusikia na asikie

  • @JohnBura-xr2hw
    @JohnBura-xr2hw Před 8 dny

    Waliopewa kazi wamenyamaza sasa MUNGU Anawainua msiowategemea wala kuwadhania leo dio wanao sema maneno yanayo faa kwa watu wote waislamu Wakristo Dudu baya Mungu akubariki

  • @MohamedIbrahim-bn1gz
    @MohamedIbrahim-bn1gz Před 3 měsíci +3

    Sawa kabisa manenoyako

  • @JustinaPeter-nq6dn
    @JustinaPeter-nq6dn Před 3 měsíci +3

    Naitwa justina hiyo nmeielewa sana kka yang

  • @thomaskiponda6079
    @thomaskiponda6079 Před 2 měsíci +1

    NIMEIPENDA HIYO.; MTUMISHI WA MUNGU UMEAMBIWA KUNA MGONJWA WASHA NDINGA UNAENDA KUTIMIZA WAJIBU❤❤❤❤❤❤. 😂😂😂😂😂😂. HAPO VIPI HAPO ❤❤❤❤❤❤

  • @ambitiousholyspirit395
    @ambitiousholyspirit395 Před 3 měsíci +2

    Maneno ya Mungu halisi hakika maadiki yetu yamemomonyoka Mungu akutumie.

  • @abdulisike
    @abdulisike Před 2 měsíci +1

    Konk konk konk master hua nafrai sana interview zako .

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 Před 2 měsíci +1

    Matendo 1:8
    Kaeni humu mpk mtiwe nguvu.....
    Ila yuko sahihi mtu unapambana eti upate kiwanja katikati ya makazi ya watu badala ya kwenda nje ya mji

  • @nabiimgongolwa8728
    @nabiimgongolwa8728 Před 3 měsíci +3

    YES DUDUBAYA UKO RIGHT VIONGOZI WA DINI SASA HIVI NI WASANII.

  • @alexandersangi1724
    @alexandersangi1724 Před 3 měsíci +2

    Aminaaaaaaaaa

  • @arjunmutotowadzaleka
    @arjunmutotowadzaleka Před 3 měsíci +3

    Niatari Sana

  • @raymondthomas3960
    @raymondthomas3960 Před 3 měsíci +3

    Konki kweli una akili kaka nimekipenda bure

  • @mataypanga5262
    @mataypanga5262 Před 2 měsíci +1

    Huwezi kuwa kiongozi wa dini bila pesa kwa sababu kufanya kazi ya Mungu inataka pesa

  • @user-qq2oc4bt3i
    @user-qq2oc4bt3i Před 2 měsíci

    Mtumishi wa Munguu fanya Kazii Mungu ameshakuita tayariiii

  • @thomaskiponda6079
    @thomaskiponda6079 Před 2 měsíci +1

    ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @mbukumagiubukumagu406
    @mbukumagiubukumagu406 Před 3 měsíci +3

    Dudu baya yupo sahihi

  • @samwelmatemu8873
    @samwelmatemu8873 Před 3 měsíci

    Wewe mwombe Mungu akupe neema na akuchague kwenye kazi yake

  • @ramadhanisakalani8372
    @ramadhanisakalani8372 Před měsícem

    Wallah Tena dudu baya umengea point sana

  • @njiasalamatv4794
    @njiasalamatv4794 Před měsícem

    DUDU BAYA FATILIA HOPE CHANEL TANZANIA.......
    UTASIKIA AMRI KUMI ZIKIFUNDISHWA KWA UPANA SANAA KUPITIA WAHUBIRI MBALIMBALI..
    MUNGU AKUBARIKI KWA KUJALI AMRI ZA MUNGU

  • @mnyama8
    @mnyama8 Před 3 měsíci +1

    Kiukwel Mungu alieko agano LA kale ambaye ni OG mwenyewr ni tofaut na Wa agano jipya ,Wa agano LA kale keshasema kabisa hakuna Mungu mwingie apasaye kuabudiwa juu mbinguni ,dunian au chini ya Maji ,lakin Mungu Wa agano jipya aseee , 😂😂😂😂😂anasema Yesu pia ni Mungu ,aaabudiwe na kuombwa uliniz na mahitaji Mengine ,sas a izo amri kumi zitakumbushwa SAA ngap

  • @user-hu9bf7nw4c
    @user-hu9bf7nw4c Před 2 měsíci

    Amri 10 zilikua ni adhabu ya izrael walishindwa kumwamin mungu ,na sio mataifa ,maana sisi zilikua sio adhabu zetu hizo ,ila sisi amri tunayotakiwa tuifaate ambayo ni asili ya utu wa ndan toka hapo mwanzo ni upendo ktk nafsi na wala sio hizo amri tunazozifuatilia ,wakati zilikua adhabu kwa izrael kwakua walimuuz kwakutomuamin yy, kikubwa sheria au amri kubwa ya moyon hua ni kuishi kwa iman ktk pendo na sio sheria hizo ambazo ni adhabu. Ila kwakua watu wameshazoea pasipo kuelewa uhalisia ,unakuta ndio maana wanakua wabaya zaidi maana wanafikilia amri za adhabu kuliko kufikilia haki ilio ktk sheria ya nafsi ya mtu kwa asili ambayo ni uoendo.

  • @NiyongaboLeonidas-hp7kh
    @NiyongaboLeonidas-hp7kh Před měsícem

    Dudu baya wewe akili Yako ni yakuzaliwa siyo ya shuleni

  • @morisanicent6339
    @morisanicent6339 Před měsícem

    We kichwa..

  • @abelmwakipesile9868
    @abelmwakipesile9868 Před 3 měsíci +3

    Nakubali

  • @moussamoss2786
    @moussamoss2786 Před 3 měsíci +1

    Kwa muda mdogo tuu nime muelewa Dudu Baya kuliko jinsi nilikua sija muelewa Kwa muda mrefu. Wewe ni dhahabu ambayo haija safishwa,
    Ila ipo siku uta safika tu kaka.

  • @kabhikachambala3392
    @kabhikachambala3392 Před 3 měsíci +1

    Dudu baya ... Uko sahihi

  • @IsraelUrasa
    @IsraelUrasa Před 3 měsíci +1

    Kweli duduu

  • @jitabojilala6162
    @jitabojilala6162 Před 2 měsíci

    Simama na Mungu mtumikie Mungu tu

  • @williamkavishe397
    @williamkavishe397 Před 3 měsíci

    Amri kumi Ni zipi tunaomba uzitaje nami nizijue mungu akubariki

    • @MajaliwaLechipya
      @MajaliwaLechipya Před 3 měsíci

      Usiibe usizini usimshuhudie jilan yako uongo usilitaaje jina labwana Mungu wako bule usitaman usiseme uongo uikumbuke siku yasaba usimtumikishe mjakaz wako wala mnyama alieko malangon mwako

    • @christinewomanoffaith5479
      @christinewomanoffaith5479 Před 2 měsíci

      Soma kutoka 20 itazikuta hapo

  • @YoshuaSeverino
    @YoshuaSeverino Před 3 měsíci

    Kwenye jamii hayo yapo, wengi wenye wake wazuri wasiojua Mungu ni tatizo kubwa 5:31

  • @user-uk6vv8ug1g
    @user-uk6vv8ug1g Před 3 měsíci

    Kweli

  • @johnfaustinechannel746
    @johnfaustinechannel746 Před 3 měsíci

    Dudu baya! Limebaki tu jambo moja ! Soma Kutoka 20:3-17 uzijue amri 10 za Mungu za kweli ! Alafu zilinganishe na za kwenye Katekisimu utagundua kuna mahali tumepigwa!

  • @nelsonnyamle
    @nelsonnyamle Před 3 měsíci +1

    Dudu baya umeongea ukweli

  • @Worldunite
    @Worldunite Před 2 měsíci +2

    Unafuata amri 10, umekuwa myahudi😂😂😂😂😂😂😂

  • @hemedmwipopo780
    @hemedmwipopo780 Před 2 měsíci

    Dudu Baya nyumba za Ibada zinajengwa jirani na makazi kwasababu ya kutaka wewe Kama DuduBaya Ifike kwenye nyumba ya Ibada ya kumuabudia Mungu. Hujajua kwa hata Yesu aliwafuta wenye dhambi majumbani mwao Kisha akala nao ndipo akawahubiria habari za Mungu na kuwaasa waache kufanya dhambi, kama ingekuwa kama hivyo unavyo fikilia basi angeenda kilimani au polini ili wenye dhambi na wanao taka kujua habari za Mungu wamfuate huko lakini Yesu alienda katikati ya miji na kuhubiri habari za Mungu.

  • @IsraelUrasa
    @IsraelUrasa Před 3 měsíci +1

    Tumetoka somo baba siisawana watoto wa mbarikiwa kikosikazi

  • @goodlucktemu3149
    @goodlucktemu3149 Před 2 měsíci

    Anaishi nje ya mda Dudu Baya yuko really

  • @KarimKajia
    @KarimKajia Před měsícem

    Kupigana miti

  • @josephkadeghe4720
    @josephkadeghe4720 Před 3 měsíci

    Sasa kwanini kwa mganga unatoa sadaka, lakini kwa watumishi asitoe sadaka?

  • @mataypanga5262
    @mataypanga5262 Před 2 měsíci

    Dudu Baya zinaa ni jambo la kawaida kwa binadamu hata wakioana.😂

  • @user-uk6vv8ug1g
    @user-uk6vv8ug1g Před 3 měsíci +1

    Dudu unatisha

  • @AdilianoSiwale-pt5mu
    @AdilianoSiwale-pt5mu Před 2 měsíci

    Amrikumi zimebaki kwa kakobetu maana yeye anakemea dhambi mpakaleo

  • @user-ly4jw9qi9x
    @user-ly4jw9qi9x Před 3 měsíci

    Tunaomba namba zako mwana mwema

  • @josejosepg6601
    @josejosepg6601 Před 3 měsíci

    Dudu bayaa master

  • @robisonikadogo7371
    @robisonikadogo7371 Před měsícem

    Unacho sema niukweri mtupu

  • @profs.a5412
    @profs.a5412 Před 3 měsíci

    Watu hawa wasipopiga kelele, mawe yatapiga kelele🤔 imefika hatua wanaojiita wanadini , wanahubiriwa na watu wanao waita wapagani

  • @christinewomanoffaith5479
    @christinewomanoffaith5479 Před 2 měsíci

    Wapo bwana
    Ila wachache😅

  • @user-uk6vv8ug1g
    @user-uk6vv8ug1g Před 3 měsíci

    Maokotoooo

  • @thomaskiponda6079
    @thomaskiponda6079 Před 2 měsíci

    NILIWAHI KUWAAMBIA HUYU NI ZAIDI YA WALE MITUME NA MANABII WA SASA HIVI MTANIELEWA TU NAMAANISHA NINI.

  • @MasterG-dc1tx
    @MasterG-dc1tx Před 3 měsíci

    Duh mwamba umeeleweka kiufupi

  • @OmariJuma-su6fz
    @OmariJuma-su6fz Před 3 měsíci

    Dudu Baya nakutakwajinakubwa sana mpendwa hata mimi napenda ufunguwe kanisa tutakuhungamkono ndugu mpendwa wewe utakuwa mchungaji mzuri sana kabisa wa Chana Nahao wachungaji wamchongo mimi niko apa ujerumani tutakuhinua usihogopi kabisa

  • @davidkawesa3594
    @davidkawesa3594 Před 3 měsíci

    Mb zangu sijuti

  • @abunajreenELSESANY
    @abunajreenELSESANY Před 3 měsíci +1

    MISIKITI HAIFAI KUKAA MBALI.
    MISIKITI NI SEHEM YA MAISHA.
    5-TIMES SWALA
    MISIKITI NI SEHEM YA MAISHA

  • @user-xm9wr1lk4t
    @user-xm9wr1lk4t Před 3 měsíci

    Wewe nae huna akili kabisa yaani; unaposema usioe mwanamke mzuri ndiyo upumbavu wa wapi!! Kuoa au kuolewa ni kibali, ni jambo la rohoni na halina uhusiano na muonekano wa nje!! We vipi!!!?
    Binafsi, nadhani huyu dudu sijui nani ameanza kudata!! Sehemu Gani mtume Paulo alisema bado!!!!? Acha uongo bro! Kama maandiko huyajui piga kimya na usiyaletee mazoea maandiko ya Mungu; Paulo anasema sikuyaasi Yale maono ya Mbinguni.
    Halafu mtu aliyeitwa kuifanya kazi ya Mungu ana muda wa kusikilizia; Na wewe dudubaya usije ukajidanganya kwamba wewe ukiacha kazi ya Mungu basi ndiyo haitatendeka, eti anataka nimtumikie Mungu kama mapadre wa Roman Catholic!
    DUDUBAYA HUNA WITO HUO; Kina Paulo, Musa, Petro, na wengine wengi waliacha kazi zao

  • @josephkadeghe4720
    @josephkadeghe4720 Před 3 měsíci

    Tatizo unazungumza vitu kwa akili zako, neno la Mungu linasema wataendeaje bila kupelekwa?

  • @Motheking-ps2tl
    @Motheking-ps2tl Před 3 měsíci +1

    Kama amri za mungu ni kumi peke yake kila mmoja angeenda peponi. Halafu wewe ni unaongea ujinga tu nyinyi wasanii ndo mnaongoza kwa kutuharibia watoto kwa maadilu yenu ya kijinga. Ungeanza na wasanii wenzako ndo uje kwa viongozi wa dini. Halafu ulitaka mchungaji aje nyumbani kukushika mkono au? Acha upumbavu. Maadili yangeanza na wewe kwanza ndo utoke nje kuongea.