Video není dostupné.
Omlouváme se.
NARGIS MOHAMED WIMBO WA ZALI LA MENTALI SAUTI ILIKUA NI YA KAJALA/MAMA YANGU HAKUPENDA
Vložit
- čas přidán 24. 06. 2023
- MAHOJIANO MAALUMU NA MREMBO NARGIS MOHAMED ALIYEIGIZA KWENYE VIDEO YA ZALI LA MENTALI. NARGIS ALIYEWAHI KUSHIRIKI MISS TANZANIA 2003 AMEFUNGUKA SAFARI YA MAISHA YAKE MPAKA SASA KUMILIKI KIWANDA CHAKE. SUBSCRIBE CHANNEL HII @ganganainfochannel MPIGIE KURA KHALID GANGANA TUZO ZA SHINING STARS AFRICA BEST STAR TV PERSONALITY OF THE YEAR 2023 KWA KUBOFYA LINK HAPA CHINI
vote.shiningstarsafrica.com/S...
Tunao kumbuka magic house... Tugonge like zake nargis
Wow umenikumbusha zile ya hayati Angel Angel Angel Angel Angel Angel Angel Angel Angel Angel Angel Angel Angel Angel Angel Angel Angel Angel Angel Angel Angel Angel Angel Angel Angel Angel Angel Angel Angel Angel Angel Angel andika kitabu hiki utapiga pesa oyae aliua uyu kama Angel maua yake 🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹🌹
Hii Muvi naipataje jamani, nishaitafuta hadi kuchoka......
@@mpigadili jaman andika magic house ya kanumba Angel Angel Angel Angel Angel Angel Angel Angel Angel Angel Angel Angel Angel Angel Angel Angel Angel Angel Angel
CZcams ipo siku nyingi
@@mpigadilininayo Mimi home
Huyu dada anaongea kwa kutulia na kwakweli moja kwa moja maadili na unyenyekevu unajidhihirisha🙏
Uyu dada ametuliya kabisa.
My sister we love you so much.
Nimefurahi kumuona Nargis waoo bado karembo mashallah nakupenda toka zamani ❤🥰
Dah hii nyimbo ilikuwa complete sana kuanzia biti, chorus, verses, mpaka video. Kipindi majani anatoka na kajala, na sauti akaingiza! Kila kitu kilikuwa cha moto! Nagris alikuwa fire sana! Waliendana sana na prof
Aliyemuoa huyu dada kweli alipata😘😘😘
Huyu dada anaonyesha ni msomi ndio maana anaongea mpak raha
@@HalimaJuma-de5gc aliajiriwa benk ni msomi ana masters huyo
@@m8.x ok nimejua kwa kipaji chake cha kuongea thanks
Tunajivunia sana
Huyu atakua aliliwa na Ruge
Nampenda uyu dada,alikuwa kwenye nyimbo ya prof Jay,alikuwa kwenye movie ya Magic House ya Steven Kanumba,alikuwa kwenye Movie ya Women of principal ya Ray
Umesema vyote nilitaka kusema I really love this woman,very compose nd calm with full of wisdom aky, nampa 🌹 yake wherever she's,
Yellow banana pia ya ray na johar yupo vizur kwakweli
Uyu dada katuliya sana.
We love you so much sister.
Msani anae jielewa ❤❤ mumeo kwel kapata mke🥰🥰
Dada maashallah miaka 20 but still respectable and beautiful naturally. Dah Hawa wa 2020 mbona huruma kwao.
Mpole.. Mzuri.. Nidhamu... Maadili mema... Hofu ya mungu
Hata anavyo ongea Tu anavutia❤❤
Hiki kizazi ndio kilitakiwa kupewa ubalozi wa maadili mazuri.
Ongera sana.
Alafu nilichopenda ni jinsi mahojiano yanamalizika bila kuchanga this, that Thank you.
Kiswahili safi
Nimefurahi sana kumwona huyu dada, nilikuwa nampenda toka kipindi hicho
Wee acha tu
Dah anaongea vizuri hadi raha. Anajibu maswali kwa weredi na kisomi zaidi. Ana heshima kubwa mnooo hata ukimuangalia tu
Good memories. Long Live Bongo Flevaa. Peace.
Humble, intelligent and beautiful
Dada mrembo kweli kweli aisee huyu Nagris Mohamed since way back! Hana skendo na kila aina ya uchafu, she is smart.
Mzuri mpole Adi Raha nakupenda Toka zamani
Napenda anavyo ongea..😊😊😊😊😊😊❤
Sister anaongea kwa utulivu kwa kuelezea vizuri, big up sana
Hongera sana. Nimependa majibu na ukawaida wako dada
Ila vick ni mrembo sana mpaka saiv ni wa moto sura inalipa wow jaman mungu ampe maisha marefu🙏🙏🙏
Damn that's what we call beauty and brains charity begins at home even a 20year old can't beat her if she go's for Miss Tanzania again
wawoh upewe mauwa yako auna baya ww dada na auna skendp barikiwa sana ww ni mfano wa jamii
Dah,nilimkubali sana huyu dada kwenye Move ya Women of principle ya Ray,,alijiamin sana
Aisee interview kama hizi zinarudisha memories za zamani, hadi raha
The True Definition of Beauty with Brains, sijawahi kuacha kumpenda huyu dada tangu nina miaka 11.
Huyu dada namvisha 🎖
MashaAllah ruge bado anakumbukwa kwa mazuri..RIP boss
Tunajivunia sana make ni mfano hai kwa maisha halithi ya mtanzania
She so humble and respect women
Leo ndo Najua Kajala alihusika kwenye ule wimbo wa zari la mentali 😂
ni Zali na sio
Kachemka sio sauti ya kajala
I love this woman ❤
nakupenda sana nargis toka nimeanza kukuona mungu akujalie imam na subira
Mashaa Allah huyo dada yupo❤❤❤
Such intelligent girl
Ndio maana kajala ana nyota kali jamani
Allah Azidi kukulinda NARGIS
Na Azidi kukubaliki Wewe na PJ 🙏🏽🙏🏽🙏🏽
🇧🇮🇧🇮🇧🇮
Aliesikiliza wimbo wa zari la mentali baada ya kumuona huyu dada like zinafaa hapaa
Mashallah Nargis Mohamed still mrembo sana aisee
Ni wachache Sana wanaoweza kumeintein ustar dah mungu akupe moyo huohuo .
Mashaa Allah Dada Nargis tuna kupenda
She Still Beautiful Walahi Daah❤
Baba neema jamani upo nimefurahi sana ❤❤❤
NARGIS STILL LOOKING BEAUTIFUL ❤
Mama Nasilini jmn umebadilika sana
Mi mwenzenu nam love huyu dada nimwonage kasula kaka kabeuty
Huyu dada daaah Safi sanaa
Nafananishwa Sana na huyu dada
Mbona Kama ni mrembo Sana kuliko
Nargis unanidham ya Hali ya juu Mungu Akubariki
i love this woman
Dada mstarabu sana wallah 😮
From Burundi in Cape Town
So calm and humble🎉😊
Vibaya mnooo
I seee Kiswahili bwanaa❤❤❤❤
Mtangazaji hawezi kumtazama huyo dada uso kwa uso
Dada nampenda sana huyu nakumbuka 2005 nilimuona kinondon enz hizo natoka south africa
A woman with principle
Bonge la movie
Mzuriiii mwenyew❤❤
Beautiful with brain
Mzuriiii afu haringi ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
nampenda huyu dada kasema ukweli ....wengine wangejipa maua
Beautiful
Kweli amesema ukweli kuwa maisha ya sasa hivi siyo ya zamani
Beautiful and smart 👌
Kitambo Sana nilikua nafikiria huyu mrembo yuko wapi?
MASHA ALLAH
Smart sana upstairs ❤❤❤❤❤
Huyu mdada anafanana na Femi wa juakali jinsi anavoongea❤
safi maojiano konki Khalid gangana big up sana mungu akubariki sana 👏👏
We dada mbinguni kuna kiti chako!tunajivunia kuwa na wadada kama hawa wasiokuwa na skendo,kakakā ongera sana Ịla weka vitu fulani sawa maana we ni Mama ,
Matiti au ?
We love you from🇧🇮
Nargis ma sha Allah
Kaka umepiga hatua kubwa
Sana naona video interview
Ng'aaavu sana
Duuuuh! Aiseee! Siku Hz ana sura ya utu uzima.
Nakupenda ❤❤
Nampenda huyu dada
ivi mnaonaje huyu dada tumpe iraisi 2025
Dada wa magic house
Woman principle
Zari. LA. Mentali
❤❤❤
Bila kusahau yellow banana
ndiyo huyu aliyecheza woman of principle?
@@topesafi9742ndiyo
Duuuh kumbee
Nakumbuka kipindi hicho nilikuwa na miaka 12 nilikuwa nakupenda wewe dada yani hata juzi nimeskiza huo wimbo ju tu nikuone....
Muda up viki anamiaka 22 sasa .. alikuzidi 10 tu
Tulikuwa sawa
Nan mwingn kaitafuta saut ya kajala kwenye zali la mentali..
Hongera lkn tambo ile ulikua pis kal sana but haujachuja shavu tu imeongezeka hongera
Muulizeni kama ameolewa! Mbona round i mnazubaa kuliza swali hilo?
Mnaona dada alivyo na aibu nizamu ya kweli mtoto mzuli sifa kubwa nyingine ajafuga mikucha ovyo ovyo ongera dada yangu ,,,,iyo 2003 nipo dalasa la ,,,,,,,,,,,,
Malezi mabovu ndio chanzo cha yote.
@@ahz6907 kwa kweli
Darasa
Hongera zake Vick
Japo mmeachana naaa ila ss bado twajua wifi ni ww ❤❤twakupenda
Jamani Nargis duuh!!! Nakupendaaaaa❤️❤️❤️
Dah. Nimemkumbuka Fatma Mondoma your friend.
Big up Sana 💪 kwake kwishaaaaaa
Me mpaka kesho nampenda tu.
Nilikuwa nguli wa kufatilia mziki, bingwa wa mabingwa na sikupitwa chochote kwenye mziki..nilijua vingi sana mpak story za ndani kabs lkn kumbe nilijidangany..imechukua miaka ishirini kamili kujua kua ile sauti ya kike ni ya kajala..hii dunia ina siri sana
Yani Huyu Mamdogo Nilikuwa Nampenda Sana Japo Nilikuwa Mdogo 😂😂😂😂 Nimefurahi Kumuona Kwa Mara Nyingine Tena 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Sijui kapotelea wapi❤
Karembo alafu
Na hazeiki kabisa Mashaallah ❤❤❤
Kajala apew mauwa yake ila @professor jay mbona hajawayibkutuambia kama kajala kausika jamani
Hata Mimi nashangaa!
Cute❤
She was n still very pretty
Asante
Mashaa Allah ❤️
Magic 🏠
nampenda sana huyu dada
Mwana Sheria was Ray😂😂😂 loving you