DAKIKA 30 NZITO ZA MKURUGENZI WA MATI SUPER BRANDS LTD NA FM MANYARA.
Vložit
- čas přidán 19. 01. 2023
- Mkurugenzi mtendaji wa Kampuni ya Mati Super Brands Ltd David Mulokozi, amefanya mahojiano maalum na kituo cha radio cha FM Manyara kilichopo mjini Babati.
Katika mahojiano hayo mambo mbalimbali yamezungumzwa na kujadiliwa kwa kina, hasa yale ya kuzifungua fursa mbalimbali, kuwatia moyo na kuwajenga vijana kiuchumi.
#Mati #FmManyara
Mungu akufanye kuwa tajiri zaid ya hapo MULOKOZI much respect brother 🙏
Mb hazijaenda bure aaiissee,Big up sana Mr Mulokozi
Have Learned alot from him at the age of 45 l'll do better from now,thank you soo much Mulokozi🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
Mungu azidi kukubariki sana mkurugezi wetu
Namuelewa sana uyu mwamba
Mulokozi ni genius
Nafurahi sana nikiona mtu anatumia mkono wa shoto.. Mulokozi ni Mashoto mwenzangu.
Pigania uko vizuri MTU Wangu
Mlokozi mm mama kutoka Mtwara,nafuatia sana mazungumzo yako nakuelewa sana mm Mungu yuko mikononii mwako,akupe maisha marefu,
Kinywaji mpaka huku mtwara kilo?
Tunashukuru kwa Elimu nzuri ya ujasiriamali
Hongera sana Ubarikiwe sana
Hongera kaka kwa kutuelimisha kibiashara
Mbarikiwe Sana niokota pointi kadhaa
Asante boss
Kweli Mati ni pana
Huyu mtangazaji ni kichwa sana, ametulia na anauliza maswali yenye tija sana.
Kabisaaa mtangzajiii yupo vzurii mawswaliii
Hapo ndo ataonekana zaidi, kesho au keshokutwa atakuwa sehemu nzuri zaidi.
David uko vzr, wish ufungue hospitali uwatibu watu afya zao kama ulivyowatibu kwenye vinywaji, Mungu akulinde ktk biashara yako
Daah ila ww jamaa umejaa majungu balaa 😂😂😂😂
Hongera sana brother
Hakika ni kweli
Dada ana utulivuuu wakuulizwaa maswalii atafika mbaliii
Mbali wapi?
Mambo Ni moto
Nimependa hiyo 🎉
Naam safi
Nipenda sana hii kushirikiana watu mawazo ili wote mfaidike nitwatafuta kinywaji kunywa nvhi ni kizuri kiweza kupatikana hapo tanzania mnaweza kuwa no one nikija nitakuja hicho kinywaji aunaeeza kutuma mjaribu ii muweza kufikiria nina imani msaada watu kufanya pamoja ndio maana mafanikio makubwa wengine wachoyo kutumia watu good det mind Mungu hawabariki sana sana tiumuhunge mkono watanzania wote
Nikweli mkurugenzi
nakubari san
Asante
Zi is the best
Watanzania wengi tunaogopa kufanya kitu kwa kuogopa kuanguka na ndio maana watu wengi wakitaka kufanya biashara wanaangalia mtu alofanikiwa kufanya biashara fulani kisha na yeye ndio ataanza kufanya hiyo .
Mtu anaogopa kutumia kichwa chake kwa kuwanza kuanzisha kitu fulani anajiuliza huenda nikaanguka yani icho kitu kinatulemaza sana .
Tatizo kila mtu anakimbilia kwenye kufungua maduka ya nguo sijui viatu nawakati kuna fursa za ufugaji,kilimo mambo kibao
💪💪💪
❤
Nimejifunza vingi kutoka kwa huyo braza
Mati ni Pana
Madini ya kutosha
Point tupu
🙏🙏👍👍
Mkurugenzi anatumia jiana gani kwenye mitandao ya kijamii
David mulokozi
Mimi Nina mipango lkn cna mtaji nimejiajiri nahitaji msaada wako