DAKIKA 30 NZITO ZA MKURUGENZI WA MATI SUPER BRANDS LTD NA FM MANYARA.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 19. 01. 2023
  • Mkurugenzi mtendaji wa Kampuni ya Mati Super Brands Ltd David Mulokozi, amefanya mahojiano maalum na kituo cha radio cha FM Manyara kilichopo mjini Babati.
    Katika mahojiano hayo mambo mbalimbali yamezungumzwa na kujadiliwa kwa kina, hasa yale ya kuzifungua fursa mbalimbali, kuwatia moyo na kuwajenga vijana kiuchumi.
    #Mati #FmManyara

Komentáře • 45

  • @jacksonkabaata6011
    @jacksonkabaata6011 Před 5 měsíci +5

    Mungu akufanye kuwa tajiri zaid ya hapo MULOKOZI much respect brother 🙏

  • @NakembetwaKitundu-tn7xx

    Mb hazijaenda bure aaiissee,Big up sana Mr Mulokozi

  • @irineadisa7289
    @irineadisa7289 Před 5 měsíci

    Have Learned alot from him at the age of 45 l'll do better from now,thank you soo much Mulokozi🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @user-iu8oj5gb6y
    @user-iu8oj5gb6y Před 5 měsíci +2

    Mungu azidi kukubariki sana mkurugezi wetu

  • @mohamedismail2662
    @mohamedismail2662 Před 5 měsíci +2

    Namuelewa sana uyu mwamba

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 Před 5 měsíci +2

    Mulokozi ni genius

  • @badmanno.1650
    @badmanno.1650 Před 5 měsíci

    Nafurahi sana nikiona mtu anatumia mkono wa shoto.. Mulokozi ni Mashoto mwenzangu.

  • @Shabbaentertainmet9382
    @Shabbaentertainmet9382 Před rokem +2

    Pigania uko vizuri MTU Wangu

  • @user-yz2it2qm3p
    @user-yz2it2qm3p Před 5 měsíci

    Mlokozi mm mama kutoka Mtwara,nafuatia sana mazungumzo yako nakuelewa sana mm Mungu yuko mikononii mwako,akupe maisha marefu,

  • @user-eb8om4ur6h
    @user-eb8om4ur6h Před 5 měsíci

    Tunashukuru kwa Elimu nzuri ya ujasiriamali

  • @DpN-rk8xz
    @DpN-rk8xz Před 5 měsíci +1

    Hongera sana Ubarikiwe sana

  • @stellapaul4844
    @stellapaul4844 Před 5 měsíci

    Hongera kaka kwa kutuelimisha kibiashara

  • @charlesmarwa6513
    @charlesmarwa6513 Před 5 měsíci

    Mbarikiwe Sana niokota pointi kadhaa

  • @jamesmassamakeri2418
    @jamesmassamakeri2418 Před 5 měsíci +2

    Asante boss

  • @Shabbaentertainmet9382
    @Shabbaentertainmet9382 Před rokem +2

    Kweli Mati ni pana

  • @user-un3np6ie9k
    @user-un3np6ie9k Před 5 měsíci +4

    Huyu mtangazaji ni kichwa sana, ametulia na anauliza maswali yenye tija sana.

    • @rasvegas8991
      @rasvegas8991 Před 5 měsíci

      Kabisaaa mtangzajiii yupo vzurii mawswaliii

    • @GeorgeAkasha-zx2rj
      @GeorgeAkasha-zx2rj Před 2 měsíci

      Hapo ndo ataonekana zaidi, kesho au keshokutwa atakuwa sehemu nzuri zaidi.

  • @victorsamaytu3487
    @victorsamaytu3487 Před 5 měsíci

    David uko vzr, wish ufungue hospitali uwatibu watu afya zao kama ulivyowatibu kwenye vinywaji, Mungu akulinde ktk biashara yako

  • @JosephJohanson
    @JosephJohanson Před 5 měsíci

    Hongera sana brother

  • @stellapaul4844
    @stellapaul4844 Před 5 měsíci +1

    Hakika ni kweli

  • @rasvegas8991
    @rasvegas8991 Před 5 měsíci +2

    Dada ana utulivuuu wakuulizwaa maswalii atafika mbaliii

  • @mzidalifazaid4389
    @mzidalifazaid4389 Před rokem +2

    Mambo Ni moto

  • @PaulHondi-hl8sz
    @PaulHondi-hl8sz Před 5 měsíci

    Nimependa hiyo 🎉

  • @lissavalence169
    @lissavalence169 Před rokem +2

    Naam safi

  • @DpN-rk8xz
    @DpN-rk8xz Před 5 měsíci +4

    Nipenda sana hii kushirikiana watu mawazo ili wote mfaidike nitwatafuta kinywaji kunywa nvhi ni kizuri kiweza kupatikana hapo tanzania mnaweza kuwa no one nikija nitakuja hicho kinywaji aunaeeza kutuma mjaribu ii muweza kufikiria nina imani msaada watu kufanya pamoja ndio maana mafanikio makubwa wengine wachoyo kutumia watu good det mind Mungu hawabariki sana sana tiumuhunge mkono watanzania wote

  • @Shabbaentertainmet9382
    @Shabbaentertainmet9382 Před rokem +2

    Nikweli mkurugenzi

  • @jumachambega
    @jumachambega Před 3 měsíci

    nakubari san

  • @niriacatering172
    @niriacatering172 Před 5 měsíci +1

    Asante

  • @evancekimath7405
    @evancekimath7405 Před 5 měsíci

    Zi is the best

  • @othmanali7408
    @othmanali7408 Před 5 měsíci +1

    Watanzania wengi tunaogopa kufanya kitu kwa kuogopa kuanguka na ndio maana watu wengi wakitaka kufanya biashara wanaangalia mtu alofanikiwa kufanya biashara fulani kisha na yeye ndio ataanza kufanya hiyo .
    Mtu anaogopa kutumia kichwa chake kwa kuwanza kuanzisha kitu fulani anajiuliza huenda nikaanguka yani icho kitu kinatulemaza sana .

    • @aminakassim831
      @aminakassim831 Před 5 měsíci

      Tatizo kila mtu anakimbilia kwenye kufungua maduka ya nguo sijui viatu nawakati kuna fursa za ufugaji,kilimo mambo kibao

  • @erickshayo1363
    @erickshayo1363 Před rokem +3

    💪💪💪

  • @doristusepile6792
    @doristusepile6792 Před 5 měsíci +1

  • @user-ki8st9qt9w
    @user-ki8st9qt9w Před 5 měsíci

    Nimejifunza vingi kutoka kwa huyo braza

  • @bintsuletv4095
    @bintsuletv4095 Před rokem +2

    Mati ni Pana

  • @edwardlubega5428
    @edwardlubega5428 Před 5 měsíci +1

    Madini ya kutosha

  • @Udindigwa
    @Udindigwa Před 5 měsíci +2

    Point tupu

  • @shenazissa7490
    @shenazissa7490 Před 5 měsíci

    🙏🙏👍👍

  • @JOHARISIZYA-sh6fp
    @JOHARISIZYA-sh6fp Před 5 měsíci +1

    Mkurugenzi anatumia jiana gani kwenye mitandao ya kijamii

  • @MartinRupia
    @MartinRupia Před 5 měsíci

    Mimi Nina mipango lkn cna mtaji nimejiajiri nahitaji msaada wako