SSB FAHARI YETU BAKHRESA GROUP EPISODE 01

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 3. 05. 2024
  • Episode 1: Fahari Yetu - Ni kipindi maalumu kinachoangazia mambo mengi kuhusu kampuni za Bakhresa Group ndani na nje ya nchi.
    Usikose kutazama #FahariYetu ndani ya #UTV chaneli namba 108 kwenye kisimbuzi cha #AzamTV #BakhresaGroup
  • Jak na to + styl

Komentáře • 79

  • @BakhresaGroup
    @BakhresaGroup  Před 2 měsíci +4

    Asante kwa kuendelea kutumia bidhaa za AZAM na kuendelea kujifunza mengi kuhusu Bakhresa Group. SUBSCRIBE katika channel hii ili usipitwe na mazuri mengi yanayofuata 🙂🔥

    • @vinny.morales
      @vinny.morales Před 2 měsíci +3

      Jaribuni kupunguza kidogo ubaguzi wa kidini mtafika mbali zaidi🙏🏿

    • @rajabumbendenga5480
      @rajabumbendenga5480 Před 2 měsíci

      @@vinny.morales
      Siku mkiacha unafiki wenu ndipo mtajikuta nyinyi ni mazwazwa mlojilimbikiza ujinga kwenye fikra zenu kwa kukaririshana ubaguzi ubaguzi hali ya kuwa tunajua wapo wenzenu wengi wameajiriwa kwenye hiyo taasisi.
      Ila twajua kuwa huko kwenu makanisani mnavyohubiriana udini ni hatari tupu na hayo twayaona kwa maneno na vitendo

    • @mc9diabeticclinic392
      @mc9diabeticclinic392 Před měsícem

      ​Hii ni kampuni ya familia sio taasisi ya serikali wala kidini huwezi pewa nafasi kubwa kama ww si familia coz unaweza rudisha malengo yao nyuma kwa kutokujali so wapo makini​@@vinny.morales

  • @archchina4705
    @archchina4705 Před 2 měsíci +9

    As a Tanzanian, I'm so proud of the Azam brand, it's people and the leadership behind it.
    May God keep blessing y'll to expand and serve more people through out Africa.
    #AllahBarik🇹🇿

  • @colmanuiso545
    @colmanuiso545 Před 2 měsíci +7

    I wish one day To be like Said salum Bakhresa (AZAM)❤

  • @user-od9ke7ud8v
    @user-od9ke7ud8v Před 2 měsíci +4

    BROTHER ABUBAKAR, HII TAYARI NI PAN-AFRICAN BRAND, ALLAH SWT AJAALIE IIFIKIE WORLDWIDE BRAND.

  • @yasminsalim291
    @yasminsalim291 Před 2 měsíci +3

    Huwa nawambia Watu Hivi Africa nzima Mze wangu Wajina Wangu Salim Bakheresa Allah Ampe siha Na Afya Njema Huwa nawambia Ni Tajiri wa 3 africa nzima na Sio Tz Pekee Allah Ampe umri mref

    • @iskiji1240
      @iskiji1240 Před 2 měsíci

      Kabisa, kuna siku nilimsikia mwamedi anasema eti 90% ya bidhaa zinazotumiwa majumbani tz ni za METL nikaona huyu MO anapenda mno publicity ila kiuhalali kapitwa mbali na Bakhresa. Sema huyu mzee wetu hapendi mbwembwe.

    • @binkomhesi9019
      @binkomhesi9019 Před 2 měsíci

      Azam kawekeza kwenye vitu ambavyo vinavyo onekana sana,,napia ,mjue tunaiangalia sana tv zake tuna ona bizaa zake kilasiku,ndomana tunaona yuko juuu,,,,,rostam tuu hamuwezi

  • @travesseniorchannel
    @travesseniorchannel Před 2 měsíci +4

    Shukrani sana kwa madini haya. 🎉👏🏾🤩

  • @thabitngangila8562
    @thabitngangila8562 Před 2 měsíci +4

    Good investment in country

  • @abdulhajiahmed8735
    @abdulhajiahmed8735 Před 2 měsíci +3

    MashaALLAH tabaraka LAAH

  • @mr.petrokhuni9363
    @mr.petrokhuni9363 Před 2 měsíci +3

    kazi nzuri sana hii, nimejifunza mengi sana

  • @hajirashid2049
    @hajirashid2049 Před 2 měsíci +2

    Ni vizuri kuona mnatupa mwanga na uzoefu wa kuendesha biashara ili na sisi wateja wenu tuweze kujua namna ya kukuza biashara asanteni sana.

  • @hamoudcreator6343
    @hamoudcreator6343 Před 2 měsíci +5

    Masha'ALLAH, ALLAH Barik

    • @testmyphone1305
      @testmyphone1305 Před 2 měsíci

      sory bro mara utakapoona biashara au gari nyumba nk unasema baraka Allah feek mean mwenyezi mungu abariki na kwa familia yako unasema MashaAllah kumbuka mashaAllah ni kwa familia yako

    • @hamoudcreator6343
      @hamoudcreator6343 Před 2 měsíci

      @@testmyphone1305 Sijakuelewa Kabisa, Nimetoka Kapa...
      Nilichomaanisha na ulichoandika, vitu viwili tofouti...

    • @vinny.morales
      @vinny.morales Před 2 měsíci

      Israel🇮🇱

  • @user-in7ud5gj7c
    @user-in7ud5gj7c Před 2 měsíci +3

    Hii nilikuwa naisubi sana nipate kujifunza

  • @abdulhamidmohd515
    @abdulhamidmohd515 Před 2 měsíci +3

    Mashaallah

  • @badmanno.1650
    @badmanno.1650 Před 2 měsíci +3

    Napenda sana the fact that anaajiri waislamu.

  • @TwalibKwelii
    @TwalibKwelii Před měsícem +1

    Said salum bakhresa kwa Tz ndio tajr no moja anaeibisha ni nani

  • @RonnieMchatta-pr5bd
    @RonnieMchatta-pr5bd Před 2 měsíci +1

    May God bless you hongera sana

  • @kanzuland
    @kanzuland Před 2 měsíci +2

    👍🏽

  • @niriacatering172
    @niriacatering172 Před 2 měsíci +1

    Asante

  • @joramnunu1449
    @joramnunu1449 Před 2 měsíci

  • @khaulaaliomar7765
    @khaulaaliomar7765 Před měsícem

    Ajira zipooo, maana tu maji!

  • @yusufally2462
    @yusufally2462 Před 2 měsíci +1

    🎉

  • @AbdulmujibuAhmedi
    @AbdulmujibuAhmedi Před měsícem

    Nafasi zenyewe zajuu zote mnapeana warabu watupu

  • @SamsonCharles-oy2el
    @SamsonCharles-oy2el Před měsícem

    Vijana kuna cha kujifunza hapa, tunaonaa namna inachukua muda ku grow? Miaka miwili mitatu haitoshi

  • @SamsonCharles-oy2el
    @SamsonCharles-oy2el Před měsícem

    Sijaona sehm ambayo wameelezea mtaji(capital) walitoa wapi?

  • @NaderRonaldo
    @NaderRonaldo Před měsícem

    What is your numbre

  • @raymondsimon483
    @raymondsimon483 Před 2 měsíci +2

    Kuna kaudini flan hivi kwenye hii kampuni

  • @anyimikemwakyanjala7158
    @anyimikemwakyanjala7158 Před 2 měsíci +1

    Ni kweli hampo hata top 20 ya utajiri Africa!!?

  • @lilianbwahama5600
    @lilianbwahama5600 Před 2 měsíci +7

    Kuna ubaguzi wa kidini kwenye ajira kwenye hii kampuni. Kwanini watendaji wote ni waislamu?

    • @barakamalinga
      @barakamalinga Před 2 měsíci +2

      Absolutely true

    • @elishadalton1866
      @elishadalton1866 Před 2 měsíci

      Sjui kwanini bwana

    • @maulidmuhammad8840
      @maulidmuhammad8840 Před 2 měsíci +1

      Dini haifanyi kazi kazi inafanywa na mtu.

    • @abuushurayha28
      @abuushurayha28 Před 2 měsíci +3

      Hoja yako haina mashiko ni wazi uko na chuki na Uislamu zaidi hupendi ukuaji wa jamii ya uislamu as long as kampuni ni one of the leading in Tanzania kwa huduma bora sasa ni kosa gani waislamu kuwa sehemu ya matokeo hayo mwisho kabisa Allah akujalie uwe muislamu.

    • @anyimikemwakyanjala7158
      @anyimikemwakyanjala7158 Před 2 měsíci +1

      Hoja dhaifu sana hii...je umeangalia vitengo vyote hakuna mkristo!!!?