SSB FAHARI YETU BAKHRESA GROUP EPISODE 01
Vložit
- čas přidán 3. 05. 2024
- Episode 1: Fahari Yetu - Ni kipindi maalumu kinachoangazia mambo mengi kuhusu kampuni za Bakhresa Group ndani na nje ya nchi.
Usikose kutazama #FahariYetu ndani ya #UTV chaneli namba 108 kwenye kisimbuzi cha #AzamTV #BakhresaGroup - Jak na to + styl
Asante kwa kuendelea kutumia bidhaa za AZAM na kuendelea kujifunza mengi kuhusu Bakhresa Group. SUBSCRIBE katika channel hii ili usipitwe na mazuri mengi yanayofuata 🙂🔥
Jaribuni kupunguza kidogo ubaguzi wa kidini mtafika mbali zaidi🙏🏿
@@vinny.morales
Siku mkiacha unafiki wenu ndipo mtajikuta nyinyi ni mazwazwa mlojilimbikiza ujinga kwenye fikra zenu kwa kukaririshana ubaguzi ubaguzi hali ya kuwa tunajua wapo wenzenu wengi wameajiriwa kwenye hiyo taasisi.
Ila twajua kuwa huko kwenu makanisani mnavyohubiriana udini ni hatari tupu na hayo twayaona kwa maneno na vitendo
Hii ni kampuni ya familia sio taasisi ya serikali wala kidini huwezi pewa nafasi kubwa kama ww si familia coz unaweza rudisha malengo yao nyuma kwa kutokujali so wapo makini@@vinny.morales
As a Tanzanian, I'm so proud of the Azam brand, it's people and the leadership behind it.
May God keep blessing y'll to expand and serve more people through out Africa.
#AllahBarik🇹🇿
I wish one day To be like Said salum Bakhresa (AZAM)❤
BROTHER ABUBAKAR, HII TAYARI NI PAN-AFRICAN BRAND, ALLAH SWT AJAALIE IIFIKIE WORLDWIDE BRAND.
Huwa nawambia Watu Hivi Africa nzima Mze wangu Wajina Wangu Salim Bakheresa Allah Ampe siha Na Afya Njema Huwa nawambia Ni Tajiri wa 3 africa nzima na Sio Tz Pekee Allah Ampe umri mref
Kabisa, kuna siku nilimsikia mwamedi anasema eti 90% ya bidhaa zinazotumiwa majumbani tz ni za METL nikaona huyu MO anapenda mno publicity ila kiuhalali kapitwa mbali na Bakhresa. Sema huyu mzee wetu hapendi mbwembwe.
Azam kawekeza kwenye vitu ambavyo vinavyo onekana sana,,napia ,mjue tunaiangalia sana tv zake tuna ona bizaa zake kilasiku,ndomana tunaona yuko juuu,,,,,rostam tuu hamuwezi
Shukrani sana kwa madini haya. 🎉👏🏾🤩
Good investment in country
MashaALLAH tabaraka LAAH
kazi nzuri sana hii, nimejifunza mengi sana
Ni vizuri kuona mnatupa mwanga na uzoefu wa kuendesha biashara ili na sisi wateja wenu tuweze kujua namna ya kukuza biashara asanteni sana.
Masha'ALLAH, ALLAH Barik
sory bro mara utakapoona biashara au gari nyumba nk unasema baraka Allah feek mean mwenyezi mungu abariki na kwa familia yako unasema MashaAllah kumbuka mashaAllah ni kwa familia yako
@@testmyphone1305 Sijakuelewa Kabisa, Nimetoka Kapa...
Nilichomaanisha na ulichoandika, vitu viwili tofouti...
Israel🇮🇱
Hii nilikuwa naisubi sana nipate kujifunza
Mashaallah
Napenda sana the fact that anaajiri waislamu.
Said salum bakhresa kwa Tz ndio tajr no moja anaeibisha ni nani
May God bless you hongera sana
👍🏽
Asante
❤
Ajira zipooo, maana tu maji!
🎉
Nafasi zenyewe zajuu zote mnapeana warabu watupu
Vijana kuna cha kujifunza hapa, tunaonaa namna inachukua muda ku grow? Miaka miwili mitatu haitoshi
Sijaona sehm ambayo wameelezea mtaji(capital) walitoa wapi?
What is your numbre
Kuna kaudini flan hivi kwenye hii kampuni
Sasa wataka kuwe na ka uhuni kidogo ????
Taasisi zote za Islamic zipo hv
@@Test_Your_Knowledge57 HATA MKOMBOZI BANKT NA ZILE ST...WAPO HIVI
@@user-wf3rx7ft7b
kuwa mzalendo chukuo funzo hapo
Ni kweli hampo hata top 20 ya utajiri Africa!!?
Don't trust everything you see on the internet
Swali la kijinga Sana hilo
Ht mm sijawahii kuamini
We upo kwenye top 10?
@@shwaibukhatibu2838 Mi nimeuliza Kwa mshangao maana Azam ni brand kubwa sana sana
Kuna ubaguzi wa kidini kwenye ajira kwenye hii kampuni. Kwanini watendaji wote ni waislamu?
Absolutely true
Sjui kwanini bwana
Dini haifanyi kazi kazi inafanywa na mtu.
Hoja yako haina mashiko ni wazi uko na chuki na Uislamu zaidi hupendi ukuaji wa jamii ya uislamu as long as kampuni ni one of the leading in Tanzania kwa huduma bora sasa ni kosa gani waislamu kuwa sehemu ya matokeo hayo mwisho kabisa Allah akujalie uwe muislamu.
Hoja dhaifu sana hii...je umeangalia vitengo vyote hakuna mkristo!!!?