HAPA NDIPO ALIPOANZIA BAKHRESA KUSHONA VIATU KARIAKOO, HUYU HAPA ALIEANZA NAE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 10. 2019
  • #millardayo#AyoTVEXCLUSIVE#Bakhresa
    Ayo TV, millardayo.com imekutana na Mzee Ally Msusa ambaye amekuwepo tangu Mzee Bakhresa anaanza na biashara yake ya kwanza ya kushona viatu mtaa wa Agrey na Livinstone Dar es Salaam miaka ya 1970, ametuonesha eneo alipoanzia Bilionea huyo.

Komentáře • 549

  • @patricemacky1164
    @patricemacky1164 Před 4 lety +414

    Nimekuja kuiangalia hii taarifa kwakua imetolewa na millard ayo ila ingekua tv nyingine wala nisingefikiria hata kubonyeza.kama unakubalia namimi gonga like.

  • @menalikechildren8836
    @menalikechildren8836 Před 4 lety +125

    Hiyi interview yte watu wamekosa kugundua kitu kikubwa mno kutoka kwa huyu Mzee, huyu Mzee inaonaonekana Mungu kampa kipaji cha kukinai, wallah ingelikuwa ni mswahili mwengine apo ungemsikia tu "tumekula msoto pamoja ila anashindwa kunisaidia mtaji" ila Mzee hana shobo hizo yaani mwenyewe karidhika na kuokota mabox akiuza pamoja na miwa kama ckupewa hili koromeo la kiume, ningelia kama mtoto leo kwa imani nilomuonea huyu Mzee, yaa Allah! Tukoseshe yte hapa duniani ila utupe msimamo wa ibada na roho zenye kinai

    • @hajjiqasim5977
      @hajjiqasim5977 Před 4 lety +3

      Mashaallah nimependa sana hilo

    • @maftahmusa9513
      @maftahmusa9513 Před 4 lety +3

      Watu wa zamani walikuwa na aibu sana ya kuombaomba hiyo iliwasaidia sana kutunza utu wawo.
      Lakini ingekuwa hawa vijana wa sasa loh utawakimbia

    • @kamanda007
      @kamanda007 Před 4 lety +5

      Kweli kabisa na inaonekana mungu kampa afya nzuri maana kwa miaka 81 anaonekana vizuri sana na kichwa inakumbuka vizuri sana, mungu aendelee kumweka vizuri tuu

    • @rizwanamo5hidaya75
      @rizwanamo5hidaya75 Před 3 lety

      @@kamanda007 amin

    • @fizomedia5112
      @fizomedia5112 Před 3 lety +1

      Ka jamaa umesema point kwelikweli yan

  • @ramamtetu2327
    @ramamtetu2327 Před 4 lety +31

    Kama Umesikia Mzee Wa Mjini kasema Siwezi kuhesabu Mifuko nahesabu hela , Elfu saba, Nane
    gonga like hapa twende Sawa

  • @seifmassoud2686
    @seifmassoud2686 Před 4 lety +136

    81yrs and he is very strong Mashaallah Allah akupe nguvu zaidi Mzee

    • @keyakeya8911
      @keyakeya8911 Před 4 lety +1

      Ni kumushukuru tuu mungu baba angu now katimiza miaka 78 na bado yupo strong kabisaa

    • @seifmassoud2686
      @seifmassoud2686 Před 4 lety

      Swaumu Kea keel 2 much Keya, yeah

    • @yascomdoe5686
      @yascomdoe5686 Před 4 lety

      Broo tupunguz na hii michez mipya
      Punyeto
      Na hata ngoni za mara kwa mara
      Then tujitahid san kuwaig wazee wet vykul walivyokuwa wanakula naamin tutafik ata 70 iv

    • @yascomdoe5686
      @yascomdoe5686 Před 4 lety

      Pia dua muimu

    • @Rashidmhedhery
      @Rashidmhedhery Před 4 lety

      yasco mdoe ; wewe ni ng’ombe!

  • @mc9diabeticclinic392
    @mc9diabeticclinic392 Před 4 lety +80

    M nimejifunza kuwa na moyo wa kutoa kwa ajili ya MUNGU utafanikiwa sana

  • @kisukikalimkunaji1263
    @kisukikalimkunaji1263 Před 4 lety +8

    Miaka 15 anashona viatu lakin siku izi vijana tunataka maendeleo ya haraka kupita maelezo tunaajiriwa tuna mwaka Mara tunataka kujenga kwa feza za kumuibia muajiri wako mwisho hufanikishi na kibarua huna unabaki unatangatanga hii interview imenifunza jinsi ya kuwa mvumilivu kwenye maisha Allah anipe mwisho mwema inshaallah

    • @user-sk1yd4pw1v
      @user-sk1yd4pw1v Před 2 měsíci

      Acha kuongea mbanga wewe unafikili Kuna Tajiri anajali wewe unapitia nini ukiona anaibiwa na yeye ni zuruma ishi maisha yako kama ujawai kupita misoto ya waajiri wa nchi hii

  • @imagepower3641
    @imagepower3641 Před 4 lety +60

    kuwa tajiri mkubwa inawezekana kabisa/1.zitambue nguvu za asili za ulimwengu/2.fanya kazi kwa malengo makubwa ya kimkakati/nidhamu/muda/akiba.,,,,,,,,,,,,,,gonga like kama unaamini

    • @elishaalex1747
      @elishaalex1747 Před 4 lety

      Hapo kwenye nguvu za asili bro hapo sijakuelewa

    • @imagepower3641
      @imagepower3641 Před 4 lety

      @@elishaalex1747 ulimwengu wa roho.(spirit realm)

    • @imagepower3641
      @imagepower3641 Před 4 lety +3

      Dunia hii tunamoishi inapokea nguvu na maamuzi yote kutoka katika ulimwengu wa roho,huwezi kufanikiwa kufika lever za juu kwa ujanja tu ,lazima ama umshirikishe mungu mwenyewe au viumbe waasi.

    • @bariuezekiel5841
      @bariuezekiel5841 Před 4 lety

      @@imagepower3641 kweli hapo kaka

    • @sanifumedia9614
      @sanifumedia9614 Před 4 lety

      Hata hii sunset TZ ni noumaa

  • @mohamedfaris3000
    @mohamedfaris3000 Před 4 lety +58

    Bakhresa wazee wake walimlea Mh Rais wa kwanza wa Zanzibar kabla ya kuwa Rais huko Mwera Zanzibar, baaada ya kuwa Rais kuna tukio lilitokea kwa mzee wake bakhresa ambae alikua hawezi kuona vizuri ambapo alipata ajali na kwa bahati mbaya na kupelekea kuupoteza uhai wake, aliposikia Mh Karume alisikitishwa sn na tukio hilo ndo ikambidi kuwapatia pesa ya kina Bakhresa yaani bkharesa mwenyewe na kakaake Mohamed Bakhresa ndio akanza kufanya biashara hiyo ya kushona viatu huko Zanzibar karibu na kwao Mbuyuni, baadae akahamia Dar es salam kuendeleza biashara yake, hiyo, Allah amzidishie na wengine ambao wanatamani kuwa km yeye, pia Allah amzidishie na huyu mzee wetu pa1 na afya njema Inshallah

  • @godifreypaul9409
    @godifreypaul9409 Před 4 lety +15

    Viatu gia tu kama ilivyo gia namba moja ya gari.Gia namba 2 sukari gunia 200 bila VAT,yaani gia bila kukanyaga cluch.Gia namba 3 kuvua samaki,gia namba 4 hoteli.Na zamani gari nyingi zilikuwa na gia 4 ya 5 ni rivers Hivyo alirudi kwenye gia namba 2 ambayo ni gunia 200 baada ya Mzee Nyerere kustafu ikaja ruksa.Kwa hiyo alikuwa anacheza na gia tu,mpaka hapo alipo sasa. Pili hakuwa na roho mbaya,alisaidia watu kwa kadiri Mungu alivyomjalia.Hata mke wake ni mchango mkubwa sana.Maana alikuwa anamtia moyo.

  • @sharifakhamis2461
    @sharifakhamis2461 Před 4 lety +3

    Allah anasema anae pewa hekima bas kapewa kitu kikubwa na anae kinae bas atafaulu baba umekinae Allah akuzidishie huna wasi wasi moyo umepoa masha Allah

  • @shinoneydah4524
    @shinoneydah4524 Před 4 lety +24

    kama waamini mungu akupi unachotaka na kukiomba anakupa anachotaka yeye gonga lyje apa

  • @allymapinda8804
    @allymapinda8804 Před 4 lety +26

    Nyie wengine wote mmekuja tu Dar. Mzee kazaliwa downtown na anazeekea downtown :)

  • @mustayoo
    @mustayoo Před 4 lety +20

    Allah anamruzuku anae mtaka bila kipimu.mungu amuongezee bakresa na sisi pia atupe

  • @abdulihafidhali5379
    @abdulihafidhali5379 Před 4 lety +8

    Katika maisha usikate tamaa ila bakheresa amepita mbali mpaka akafanikiwa anaeamini agonge Like chini

  • @awatifalghanim1106
    @awatifalghanim1106 Před 3 lety +2

    Ni bora muwaulize watu wa Zanzibar (Unguja) kuhusu Bwana Bakhresa watakuwa wanajuwa zaidi kuhusu Bakhrasa . Ni mtu hodari wa kazi kutafuta maisha. Na mengi sana. Mungu amhifadhi na ambariki. kwa sote....

  • @GHOST-gc8ju
    @GHOST-gc8ju Před 4 lety +61

    Mliyemuhoji mtu sahihi kabisa

  • @sayman158
    @sayman158 Před 4 lety +11

    Hiyo ni.miaka ya 1970's...ila sasa hivi wewe shona viatu tuone kama utakuja kuwa bakhresa...kipind hicho matajiri walikuwa wachache na fursa zilikuwa nyingii...sasa hivii hapana kwa kweliii....🙌🙌

    • @jumakapilima5674
      @jumakapilima5674 Před 4 lety +2

      Kwa vyovyote vile kulikuwa na dili zingine!!!

    • @husnauthman7609
      @husnauthman7609 Před 4 lety +1

      Kabisaaa saidi

    • @mohamedsheikh6618
      @mohamedsheikh6618 Před 2 lety

      Wewe usiwe muoga wa maisha, mtegemee Allah wangapi wa jana na juzi wako vizuri, uaminifu, ukweli ndo mtaji, fikra sahihi huleta matendo na matokeo sahihi, ukifikiri kimakosa utaenda kimakosa na matokeo ni makosa, kitume kichwa tafakari hakuna lisilowezekana mtangulize Allah na u jiamini inawezekana

    • @sayman158
      @sayman158 Před 2 lety

      @@mohamedsheikh6618 Allah tunamtegemea a ndie anaekadiria maisha yetu.lakin mimi sio muoga na pia nimezungumzia uhalisia...kila mtu anajua uhakisia wake na uwezo wake wa kiuchumi...Mengneo ni tunaongea tu kiimani,,ila imani pia inataka mtu ujiambue na Uwe na akili za kufanya kazi kwa usahihi

    • @mohamedsheikh6618
      @mohamedsheikh6618 Před 2 lety

      @@sayman158 wewe kama umeelewa inatosha, chapa kazi, heshimu wakati, heshimu taratibu zako kufa.nikiwa au la hiyo ni siri ya Allah usibweteke wala usiangalie mtu kila mtu kivyake kama sura zetu, pambana, kuwa mwaminifu na mkweli you will be champion, nothing else

  • @omaryshafii1174
    @omaryshafii1174 Před 4 lety +1

    Bakhresa muangalie mzee mwenzio usisubiri afe najua utakuwa umemsaidia lkn mfanyie kitu cha kuweza kukukumbuka... Allah akizidishie Said Bakhresa

  • @sharifabdul6085
    @sharifabdul6085 Před 4 lety +12

    Ama kweli maisha ni safari ndefu mno,kwani hata wazamia lulu(wazibua vyoo)mwanzoni walokua na ndoto za kua matajiri wakubwa ila ndio kila mja mungu ameshamuekea riski yake,maana huyu mzee pamoja na ukaribu huo wake yy mua mpaka leo hajaubrandi,namuomba bakhresa amkuze rafki yake kibiashara😀😀😀😀 nae atajike

  • @godblessmushi2219
    @godblessmushi2219 Před 4 lety +48

    Mnasema haiwezekani maana mmeshakata tamaa ya maisha,,, kumbuka kila kitu kinawezekana hakuna mtu aliyekuja na kitu

  • @husseinshabani9522
    @husseinshabani9522 Před 4 lety +9

    Nimejifunza kitu hapa. Usikate tamaa na Utowe sadaka kwa Ajiri ya Mungu.Mungu Atakupa M badara wake.InshaAllah Allah Atufanyie wepesi sote .

  • @yussufabdul-rahman5601
    @yussufabdul-rahman5601 Před 4 lety +8

    Bakhresa Anawalipa kla mwsho wa mwezi wezke wote aliocheza nao kwa mbuyuni,malindi na mchangani Zanzibar. Na wnpta kuwasomshea watoto wao kptia icho icho wnchopewa pia ameweza kutoa ajira kwa watoto wengi wa kizanzibar, nakutngneza mckti. Mengi ktk mjii wa Zanzibar na kuwalpa maimamu,wadhini na wanaosafsha mckti na kla ktu knacho husiana na mckti hutoa yy,na kila ikifika ckuku ya idii hutoa pesa kwa watu.mungu ampe khatima njema na awe na moyo uwo uwo wa kutoa zaidi na zaidi

  • @Patrick-fo1qb
    @Patrick-fo1qb Před 4 lety +3

    Anae amini zamani hakukua na tuma na ya kutolea ndo maana barhesa alitoboa gonga like

  • @fintaniferx9535
    @fintaniferx9535 Před 4 lety +4

    Mungu awalinde nyote uyu mzee na mzee bakelesa mungu awalinde tuombeane jamani amina

  • @dshynermcongo1564
    @dshynermcongo1564 Před 4 lety +17

    Ni vema kumpa mtu sifa kabla hajafa hongereniii

  • @bressfabians4537
    @bressfabians4537 Před 4 lety +45

    Bongo watu wanatoka mbali usifikilie freemanson maza faka 😆😂😅😁

    • @albahryonlinetv9319
      @albahryonlinetv9319 Před 4 lety

      bress fabians hashuolo kwan hakharesa mbongo huyo kuyalo huyu ni Mzanzibari pure na kuanzia kwao Zanzibari hyu hajui kit ila sahv anchukuwa bara anaweka kwao Zanzibari Hahahahahaha

    • @anelkaking9342
      @anelkaking9342 Před 4 lety

      Sure.umenena.

    • @fatmamwinyi8102
      @fatmamwinyi8102 Před 4 lety

      Ahmed Albahry hovyooo jahil ww

    • @mweucchunda4244
      @mweucchunda4244 Před 3 lety

      Huyu ndo backhresa wa Azam yule tajir wa Tim ya azam?

    • @machetebogota4218
      @machetebogota4218 Před 3 lety

      Ila watu wa zanzibar akili ziro kweli Kwan apo ye kasema je mtazid kuwa watumwa

  • @mwajabuhamis6234
    @mwajabuhamis6234 Před 3 lety +4

    Allah amlipe huyu baba aliyehojiwa inshaallah Hana roho ya ubinafsi kabisa

  • @immamrema2288
    @immamrema2288 Před 4 lety +31

    Kumbe bakresa simba ndo nimejua leo ❤️

  • @kakawamashariki8978
    @kakawamashariki8978 Před 4 lety +11

    Asante mzee kwa ushuhuda japo ni vyema yeye mwenyewe muhusika akajishuhudia,ingawa amekuwa Kama tajiri aliye mafichoni au uhamishoni tofauti na matajiri wakubwa hata zaidi yake duniani.ndo maana hata baadhi wanasita kuamini asili ya utajr wake. Binafs Jack ma ni miongon mwa matajr wachesh ninayependezwa naye.

    • @nurumuna7297
      @nurumuna7297 Před 4 lety

      kaka watu hawawezi fanana wote hiyo ni tabia yake - nani vizuri tu mi naona watu wakakushuhudia kuliko kujishuhudia mwenyewe ..

  • @luhanchen7824
    @luhanchen7824 Před 4 lety +14

    Allah insist people to be tollerant..Almost 15 years man stay as a show shiner 🙏🙏

    • @riphatmuhene9615
      @riphatmuhene9615 Před 4 lety

      Sawa lkn bro Bakhresa Kihistoria alisaidiwa na Mzee karume rais wa Zanzibar na kipindi kile ilikua ukiwa na mali basi biashara unatusua. Walisaidiwa na ndo sababu ya kutisua.

    • @blandinamwarabu5025
      @blandinamwarabu5025 Před 4 lety

      Kwa siku alikuwa anashona viatu vingapi lo msidanganyike

    • @luhanchen7824
      @luhanchen7824 Před 4 lety

      @@blandinamwarabu5025 kamulize babak0,,,👎😔 🖕

    • @ezekieljacob5795
      @ezekieljacob5795 Před 3 lety

      Shoe shiner...malaka

  • @muniraahmed624
    @muniraahmed624 Před 4 lety +81

    Ili utoboe kwenye hili life nilazima kupamban🙆

  • @tangaoldtv1067
    @tangaoldtv1067 Před 3 lety +3

    Jamani katika kazi hakuna ushirikina muacheni milad ayo azidi kuwa juu maana kazi zake sio za kubahatisha wala kuandika kitu ambacho huta kikuta katika vidio zake kitakacho andikwa basi ndicho kilichomo hongera sana sana kaka mungu akubariki chapa kazi ukituma tutaangalia wasio taka kujua ukweli wakafuata mitandao ya kuwadanganya wasikutishe hawakuwezi hata wafanyaje

  • @geraldluiso6792
    @geraldluiso6792 Před rokem +1

    100%√
    Ukinyosha mkono unabarikiwa zaidi.
    Ukikunja mkono riziki inabana.

  • @kijubakidiza730
    @kijubakidiza730 Před 4 lety +14

    Mzeee mungu akujalie ujaficha kitu sema hapo kwa manara umenikosha

  • @harunimfaume6280
    @harunimfaume6280 Před 4 lety +6

    daaaaah huyu jamaaa anahadisia vizue saaf sana milad ayoo mana chaneli zingine zinaweka picha ukiingia unakutana kingine good kwenu milaa ayoo

  • @rogersmasofa6549
    @rogersmasofa6549 Před 4 lety +20

    gonga like kama umelisikia neno kula kulala

  • @khalfansharji9790
    @khalfansharji9790 Před 4 lety +6

    Mzee Bakhresa ikikupendeza muwezeshe huyu mzee mwenzio naye hata asitajirike sana lakini angalau amalizie malizie na maisha ya furaha kumbuka mliko toka inawaza kuwa anaona haya kukuomba mpaka augue wewe fanya kher kwa mtani na rafiki yako.

  • @alexchungu9505
    @alexchungu9505 Před 4 lety +62

    Huyu mzee picha linaanza kazaliwa town

    • @shahamtindo
      @shahamtindo Před 4 lety

      Mzee wa Mjini huyo

    • @joycenganyule3231
      @joycenganyule3231 Před 4 lety

      kaachwa mbali saaana so kabaki na historia kweli akili ni nywele kila mtu ana zake

    • @aaaaaah290
      @aaaaaah290 Před 4 lety +2

      Joyce Nganyule
      NI KWELI, LAKINI WOTE WENYE BUSARA HUONA NA KUBAKI KIMYA, HUENDA NA WEWE KUNA WATU WAMEKUPITA SANA NA ULISOMA NAO, NA KAMA NOW UPO KILELE OMBA YASIKUKUTE🤔

    • @yaedlifemedia3203
      @yaedlifemedia3203 Před 4 lety +1

      uyu tumuie babu town😅😅😅 toka enz izo yeye na baharesa marafik aisee sifa njema anastahiki aliye tuumba.mzee bado strong kabisa aisee na umli miaka 81.

    • @elizabethmabula101
      @elizabethmabula101 Před 4 lety

      Lol

  • @benedictmrisho2361
    @benedictmrisho2361 Před 3 lety

    Barhesa tafuta mtaalam mzuri wa kuabdika.historia yako sasa. Mungu alikujalia kuweza kufikia hapo ulipo na umeweza kufanya maajabu ktk biashara. Hakuna aliyeamini lawalawa tamtam ice cream nk vinaweza kumtoamo mtu. Mf ukwaju ulikuwa umedharaulika. Ni utundu wa kibiashara unafa kuigwa. Hongera sana.

  • @ampelibasimaki4114
    @ampelibasimaki4114 Před 4 lety +2

    Inatufundisha katika maisha ishi kwa wema na kila mtu, hujui kesho atakuwa nani!

  • @iddiking6963
    @iddiking6963 Před 4 lety +6

    Km unaamini maisha ni mzunguko ht ww ipo siku utakuwa km huyo tajiri twende kazi🙏🙏🙏🙏🙏

  • @leonardgervas7515
    @leonardgervas7515 Před 2 lety +1

    Mungu aendelee kumuongezea iliaendelee kuwasaidia na wengine!!

  • @malugukushaha6764
    @malugukushaha6764 Před 4 lety +15

    Simbaaaaaa,Nguvu moja.

  • @abdulazeeznaaswir4518
    @abdulazeeznaaswir4518 Před 4 lety +5

    Mtangazaji hongera sana

  • @luvangakalinga8698
    @luvangakalinga8698 Před 4 lety +2

    Namfahamu huyu mzee toka miaka ya 90 anakuaga opposite na ofisi ya azam hapo alikuwa anauza miwa na tulikuwa tukitoka kununua mikate na ice cream mzee alikuwa anatupeleka kwa huyu mzee tunamsalimia na alikuwa akitusisitiza tusome sana kwa bidiii

  • @afamatv4848
    @afamatv4848 Před 4 lety +12

    Infact nothing easy we must struggle. "No pain no gain"

  • @stevoeligwe859
    @stevoeligwe859 Před 4 lety +6

    Kama wewe ume zaliwa k/koo gonga like tujuane.

  • @mbaroukali9758
    @mbaroukali9758 Před 4 lety +6

    Allah amzaidishie

  • @vickykassumy1630
    @vickykassumy1630 Před 3 lety +1

    Mzee wa taun,hongera hupindishi maneno🙏🏼

  • @noortvborder7369
    @noortvborder7369 Před 2 lety

    Mungu ampe bakherasa maisha marefu mashaallah ana roho nzuri

  • @salimmachila5736
    @salimmachila5736 Před 4 lety +3

    Respect kwa huyu mzee

  • @drnickysarapion134
    @drnickysarapion134 Před 4 lety +4

    Very inspirational

  • @aminamikidadi7754
    @aminamikidadi7754 Před 2 lety +10

    Huyo babu ...namfahamu kitambo ....anauza miwa mtaa wa living ston ...pembeni ya bakhresa... siku moja niliwahi piga nae story ...akaniambia mwanangu kikubwa ukijaliwa kupata ridhki.. kula kdogo weka ....baada ya kuweka tafuta ardhi nunuwa kisha jenga nyumba usipokuwa na sehemu yako unayo imiliki mwenyewe hata watoto wako uliowazaa mwenyewe watakuzarau sn. ...

  • @priskasantony5392
    @priskasantony5392 Před 4 lety +11

    Nd zangu ni kweli hii stori huku zanbari suma ni tajiri na kaanzia kuuza kahawa tu

  • @artisthusnatalal3099
    @artisthusnatalal3099 Před 2 lety +1

    *Mzee hali yako siyo mbaya uko sawa shukuru mungu!* 😊

  • @abdulkhanyraashid7887
    @abdulkhanyraashid7887 Před 4 lety

    Dah! uyumzeee anakinaa yaroho kinaa yaroho nimojakatiyahatuwa ktk maisha mungu mbarikiuyu babu umpekilala kheri

  • @aichaabdul5844
    @aichaabdul5844 Před 4 lety +4

    Kwa maana hiyo kuna shida hapo....kama kipinde kile cha mwalimu Nyerere sukari ikuwa shida wakati huo yeye Bakresa alikuwa na gunia karibu 200 wakati mtu mwingine hana hata kilo 2. Huoni hapo tayari kuna alama za kuuliza, ???????

  • @hanankhalifa8309
    @hanankhalifa8309 Před 4 lety +4

    Ma shaa Allah unapotoa kwa ajil ya Allah bs jua Allah anakuongezea zaid na zaid.... Na hata ww chunguza ukitoa japo sh.50 bs unapata zaid y hyo hata nguo.

  • @nahime9907
    @nahime9907 Před 4 lety

    Nashindwa kitu kimoja...huyu bakhresa millionea mungu akustiri...yaani huyu baba mulikotoka ni mbali mno..ila ulishindwa kumstiri jirani yako mpendwa... baba wawatu mpaka kafika umri 81 mungu akueke na akubariki uwe na moyo uliotosheka ....

  • @brysonuronu5862
    @brysonuronu5862 Před 3 lety

    Mungu akubariki Mzee wangu unaongea vzr bila uoga wala kinyongo wala matamanio

  • @asyaibrahim1504
    @asyaibrahim1504 Před 4 lety +1

    Napenda Sana taarifa zenu nizauhakika hamudanganyi

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY Před 4 lety +9

    Leo mulimkuta kigogo kwel kwel
    Duh Mzee SAID LEO kaanikwa
    Adharan kwel kwel

    • @elizabethmabula101
      @elizabethmabula101 Před 4 lety

      Kamuanika jamali. Ati yeye kula kulala tu. Hafanyi chochote lol

  • @user-tf8qx4us5b
    @user-tf8qx4us5b Před 4 lety +3

    MashaAllah.

  • @suratfrank6282
    @suratfrank6282 Před 4 lety +6

    Poa sana mi naamini ukijituma utatoka na mafanikio makubwa hata madili Mengine yatajileta yenyewe ,,,,

  • @christophermlaponi534
    @christophermlaponi534 Před 4 lety +2

    Na huwezi amini, kwamba kuna watu wamezikariri hizo siku zao za kuomba msaada badala ya kutaka akili za kuzalisha hiko kidogo !

  • @jajipeter4873
    @jajipeter4873 Před 4 lety +28

    Wato wapo sooo negative...huyu mzee hanasababu ya kudanganya.

  • @nadiafahad3926
    @nadiafahad3926 Před rokem

    Masha Allah nimependa maongezi ya uyu baba angu ni mtu alie kinai wallah

  • @saidibambo4339
    @saidibambo4339 Před 4 lety +3

    Muachen bakhresa azidi kuwa juu kifedha maan kutoa msaada kwa kila cku kwa omba omba co mchezo

  • @shahamtindo
    @shahamtindo Před 4 lety +12

    Hata Mbuyu ulianza kama mchicha..

  • @Mr_Africanman
    @Mr_Africanman Před 4 lety +1

    Safi ,hard work pays

  • @derrickboaz5099
    @derrickboaz5099 Před 4 lety +6

    Original diagonal inafanyakazi leo hii🤣🤣🤣🤣

  • @abrahamkibona7038
    @abrahamkibona7038 Před 4 lety +11

    Basi Bakhresa ampe mtaji huyo mzee

  • @ashwaagkarama1588
    @ashwaagkarama1588 Před 4 lety

    Masha Allah 🤲

  • @geraldjoel5727
    @geraldjoel5727 Před 4 lety +33

    Kumbe bhakresa naye ni simba ndio najua Leo ase

    • @angelmhina5072
      @angelmhina5072 Před 4 lety

      Kuna kipindi alitkaga simba iwe chini yake viongoz wa simba wakagoma ndio akaamua kuanzisha timu yake

    • @stephanonyogoto6421
      @stephanonyogoto6421 Před 4 lety

      Kabla ya Azam alitaka kuinunua Simba wakamzingua na alishawahi kuwa kiongozi ndani ya Simba. Yule ni mnyama lialia

  • @tangaoldtv1067
    @tangaoldtv1067 Před 3 lety +1

    Mashaallah mzee bado yupo fiti kabisa mashaallah

  • @salehsuleiman1218
    @salehsuleiman1218 Před 4 lety +2

    Allah amjaalie kher mzee wetu bakhresa

  • @sellah4603
    @sellah4603 Před 4 lety +5

    Nakubala sn dullah tz

  • @kingpesapesha2597
    @kingpesapesha2597 Před 4 lety +1

    Nakutakia maisha marefu mzeee

  • @alemalmaz9466
    @alemalmaz9466 Před 4 lety

    Tithing/Sadaqa uwe mwislamu au mkristo toa sadaqa uone tofauti the likes of bakhresa and bamburi cement they will never go bankrupt from that one thing.

  • @kibokibosho7476
    @kibokibosho7476 Před 4 lety +2

    Gonga like kam umeckia Shati jeupe

  • @edwardmkwelele
    @edwardmkwelele Před 4 lety +2

    Kwa hiyo unaamini huo utajiri umetokana kwa kushona viatu aaaaaa wapi there is something behind that will never be told. Kwanza tu kwa kudokeza umeshasema aliwahi kukamatwa na sukari gunia 200 wakati wa kampeni za Sokoine za uhujumu uchumi. Utasema alinunuwa kwa pesa zake halali Sasa alipataje gunia 200 kinyume na utaratibu wa wakati huo!!!?? Kuna mambo mengi matajiri wanafanya kuwa hapo walipo hawatayaamsema kamwe

  • @comedytz3487
    @comedytz3487 Před 4 lety +11

    kuna behind scene kuhusu bakhresa ndioo maana hataki kuogelea kuhusu mafaniko yake

    • @awatifalghanim1106
      @awatifalghanim1106 Před 3 lety

      Huyu mzee wa Ki Bara Mungu amhifadhi anamjuwa Bw. Bakhresa kwa miaka 40 ni kidogo sana. Ni bora mwende Zanzibar (Unguja) kwao kwenye mitaa inayo itwa Malindi, Mchangani na Mbuyuni hapo ndipo mtajuwa wapi Bw. Bakhresa kaanziya biashara yake...pesa hazikuja kwa USIKU MMOJA. Mungu amhifadhi na ampe afya na sihaa yake. Kwa sote. Amin.

  • @galachagalacha1808
    @galachagalacha1808 Před 2 lety

    Mungu awajaliee awaweke miaka miamoja asanteee

  • @bonabonala42
    @bonabonala42 Před 3 lety

    Bakhresa mungu anakutumiaa ubarikiwe

  • @josephatmazinde1628
    @josephatmazinde1628 Před 4 lety +2

    Nimempenda huyu mzee kanichekesha kinoma. Kwanza anasema hizo ni pesa. Ukiwa na shida million mbili unapata siyo milioni kumi. Na huyo wa kula kulala kazi hataki.

  • @andrewjuma2485
    @andrewjuma2485 Před 4 lety +1

    Nice interview 👌

  • @luomusicchannelfromtanzani5650

    very charming

  • @tangaoldtv1067
    @tangaoldtv1067 Před 3 lety

    Milad ayo utaendelea kuwa juu na mungu akuzidishie upeo wa ko wa kazi yako nandio maana watu wanakufuatilia sana kaka hongera sana ila hao wajinga wengine unacho kisoma tofauti na unacho kiangalia ila ww hakuna kama ww

  • @yahyamajidyahyahilalal-har8762

    Tutoe Sadaka ndugu ni Muhimu Sana.

  • @ibrahimmahmud8164
    @ibrahimmahmud8164 Před 4 lety +2

    Hiyo ndio faisal ya sadaka

  • @mangumbulikikwembe4471
    @mangumbulikikwembe4471 Před 4 lety +1

    naona masuala ya branding mnazuia bango la NBC kuonekana😂😂🙌🙌🙌

  • @victormtani7170
    @victormtani7170 Před 2 lety +2

    Hakuna kitu msituadae alikuwa akiuza madawa huyo na pembe za ndovu Mwarabu acheni uongo bhana msitufanye mazombi. Alikuwa mkwepaji wa kodi huyo.
    Ila Kwa moyo wake namkubali anasaidia watu.
    Hilo nimeshuhudia

  • @shamimkingazi8925
    @shamimkingazi8925 Před 4 lety +4

    Nimekuja apa kujua bakhresa ni unga au ni mtu ☺☺☺☺☺☺☺

  • @victormaimu3748
    @victormaimu3748 Před 4 lety +16

    Na mm nafikiria kuanza kushona viatu 🧐

  • @Ali-nl2du
    @Ali-nl2du Před 4 lety

    Original diagonal. Naikumbuka sana!

  • @abdul-rahmanfakijuma1879

    maa shaa Allwah

  • @anuaryally6177
    @anuaryally6177 Před 4 lety +4

    Tafadhari mzee uyo muuwa tembo jangili mkubwa kwa ilo mimi apana kama viatu alikuwa anazuga kama wanavyozuga wengine kuwa na sehemu ya kazi uku akipiga madili madawa ya kulevya vipusa basi maisha yanakwenda

    • @abuyabally5086
      @abuyabally5086 Před 4 lety +4

      mungu humruzuku amtakae bila.hesabu. hasad niyule mtu anachukia neema ya mwenzie asipate huyo ndio hasidi

    • @ramabendera8183
      @ramabendera8183 Před 4 lety +4

      Unapomdhania mwezio mabaya bila uakika Allah atakulipa kwa kile ulichomdhania mwezio.

    • @machimbenedicto9163
      @machimbenedicto9163 Před 4 lety +2

      acha roho mbaya ww,kwan ulikua unamsaidia ww

    • @Rashidmhedhery
      @Rashidmhedhery Před 4 lety +1

      Acha wivu wewe😚

    • @sadih5333
      @sadih5333 Před 4 lety +2

      Haujaambiwa kua kashona viatu Kawa Tajiri la hasha, hio ni katika mapitio ya kutafuta maisha kila mmoja ana history yake, kama uliwahi kumsikia mzee mengi utaelewa hilo, Rais wetu alikua mchunga ngo'mbe leo yupo magogoni, litazame na hilo pia.

  • @mumybhay6561
    @mumybhay6561 Před 4 lety +1

    kwa bakhresa na hictoria ya kushona viatu ni kweli kabisa.ila kwa mungu hakuna kubwa humnyanyua aliechini muda wwt to akitaka.

  • @hamisisuley6362
    @hamisisuley6362 Před 4 lety +4

    Sasa mtu hanakamatwa na sukari gunia 200 halafu hunamuhita masikini mtu hanamiliki gari ya kutembelea mda huo hatakua masikini kweli mmhh

    • @saidibambo4339
      @saidibambo4339 Před 4 lety

      Alikua anashona viatu kwa sababu maalum lkn co km ndio kaz aliyokua anategemea tuchukue mfano leo hii mie niseme nauza unga au bangi lazima niwe na kibiashara au kikaz cha kuzugia ili kesho nicshtukiwe hela nying nazitoa wap ikiwa cna kaz ndio maisha yanavyokwenda hvyo

  • @khadijaa815
    @khadijaa815 Před 4 lety +12

    Kweli alianza na kushona viatu mimi kaka angu alianza kuwa mfanyakazi wake kweli kaanza mbali