BIASHARA YA FAMILIA: MKURUGENZI KIJANA KIWANDA CHA JAMBO ASIMULIA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 23. 07. 2019

Komentáře • 477

  • @officer1208
    @officer1208 Před 5 lety +200

    Ambao hatujui hata baba zetu wako wapi ila bado tuna fight wenyewe.. gonga like mayatima tujuane.

    • @ndayisengafrorence8461
      @ndayisengafrorence8461 Před 5 lety +5

      Tupooo

    • @officer1208
      @officer1208 Před 5 lety +5

      @@ndayisengafrorence8461 daah pamoja sana mkuu! Bado tuna pambana na hatutochoka kupambana.

    • @alexlingwendu6780
      @alexlingwendu6780 Před 4 lety +5

      Kweli tuupo .Na tunapigana kwelikweli .Japo Mimi baba yuupo Ila mpka naanza kujitambua baba Angu hakua na chochote .

    • @albeleenalberto158
      @albeleenalberto158 Před 4 lety +2

      Don't make me cry

    • @yusufally6853
      @yusufally6853 Před 4 lety +2

      Alhamdulilah yote yana mungu.tumshukuru mungu kwa kila jambo

  • @kazungujonathan9000
    @kazungujonathan9000 Před 5 lety +17

    Millard nakuelewa sana kwa kazi yako , kutoka maganzo kwa jamaa wa almasi ukasogea jambo, jambo ndo nilipoanzia kazi baada ya kutoka SUA 2014 kama field officer. Ndo palinifungulia mlango, kwasasa nafanya kazi na taasisi ya utafiti wa kilimo tananzania kama mtafiti wa kilimo.

    • @OKiduma
      @OKiduma Před 5 lety

      kazungu jonathan bro kazungu tuwasiliane bas

    • @maijopardon2274
      @maijopardon2274 Před rokem

      Namba za company p Ries

  • @abuyunusmohamed6961
    @abuyunusmohamed6961 Před 4 lety +17

    Mashaallah.Hongereni Sana na mtangulizeni Mwenyezi Mungu katika Kila kitu.Msisahau kutoa zaka mwisho wa mwaka na kuwapa maskini

  • @40kstore
    @40kstore Před 5 lety +221

    millard tunaomba hizi interview za watu kama hawa ziongezeke kaka,please...zinatupa sana moyo wa kupambana,hoji watu wengi waliofanikiwa,ili tuweze kupata vitu

  • @brysonuronu5862
    @brysonuronu5862 Před 5 lety +17

    Hapa ndio utakapojua maana ubora wa Elimu naaarifa yanayopatikana.Investment yote haikua inamuandaa mtoto kusubiri au kuwaza kuajiriwa ..waliangalia zaidi kuanza jambo lao kuemdeleza na kuwa wabunifu .Hongera sana .

  • @shamimushittindi1418
    @shamimushittindi1418 Před 5 lety +21

    Sasa ni kipindi cha kurudi nyumbani maana tunayoyaona huku kwenye dunia ya kwanza ndio yanayoendelea nyumbani big up boss mtoto

    • @Pedeshee01
      @Pedeshee01 Před 5 lety +1

      Shamimu Shittindi tutarudi pamoja upo pande zipi

  • @simbawateranga7020
    @simbawateranga7020 Před 5 lety +32

    Mi nahc miaka mi'5 mbele MirlladAyo atakua kijana mdogo mwenye uwezo mkubwa sana..

  • @blackmamba7553
    @blackmamba7553 Před 5 lety +98

    Had leo sijui ofisi ya Baba iko wap 😢😢😢

  • @abrahamsingano5372
    @abrahamsingano5372 Před 5 lety +8

    Hongera Ayo kwa kutuletea interview hii. Endelea kutuletea nyingine za wengine waliofanikiwa. Interview kama hizi zitatusaidia kushirikiana na vijana wetu ktk kuendesha miradi kwa mafanikio

  • @louisngaiza
    @louisngaiza Před 5 lety +46

    Hizi ndo contents tunapenda kuona Be Millard una focus.

  • @davidobonyo7558
    @davidobonyo7558 Před 5 lety +12

    Nimependa sana uzalishaji wa bidhaa za Jambo yaani very hygienic keep it up Jambo

  • @johnmwandry4309
    @johnmwandry4309 Před 5 lety +43

    gonga like kwa mzee aliona mbali kuwekeza elimu kwa watoto

    • @khadijak3065
      @khadijak3065 Před 5 lety +1

      Hakika amefanya kitu cha maana lio hii angeajiri MTU baki lakini hela ya mshahara imerudi nyumbani hongera baba

    • @salamakombo3257
      @salamakombo3257 Před 4 lety

      Goood

  • @jumannechapembe8280
    @jumannechapembe8280 Před 5 lety +6

    Nafarijika Sana kwa unachokifanya ayo tv. Natamani na Mimi kufanya innovation baada ya miaka kazaa niwe Kama Jamaaa hpo. Big up Ayo TV

  • @firdausnassor1105
    @firdausnassor1105 Před 5 lety +8

    Mungu awalinde hii familia , ni vema sana ndugu kukaa pamoja na kupendana

  • @ericernest2099
    @ericernest2099 Před 5 lety +42

    Niwapongeze kwa kuwekeza kwenye mkoa wao. Wengine wangekimbilia Dar au Mwanza

  • @abelshinyanga2683
    @abelshinyanga2683 Před 3 lety +3

    wale wote wa shy nyumbn ngola like twende sawa

  • @kingslleyhaidar2649
    @kingslleyhaidar2649 Před 5 lety +7

    Very impressed, very young Tanzania to run a big company like this owesome....

  • @mohamedhamdan4956
    @mohamedhamdan4956 Před 5 lety +5

    MashaAllah huyu kijana anakosa kubwa sana ambalo ni hatari kutoka wewe tangu uanze kulizungumzia kuhusu viwanda viwanda mbona hatujawahi kusikia ukishukuru Mungu ukisema ALHAMDULILAH HAPO UMEMASI ALLAH MAANA KAMA SI ALLAH NI NANI MWENGINE NI MWEZA??? Lazima utafakari maalim umemasi Mungu

    • @qilil7
      @qilil7 Před 5 lety

      Wallah hata Mimi nimeliona hilo

    • @qilil7
      @qilil7 Před 5 lety

      Kweli nami nimefikiria saana labda atasema Alhamdulillah

    • @kigomampyatv9209
      @kigomampyatv9209 Před 4 lety

      Ni mkristu

  • @justinemaganga4139
    @justinemaganga4139 Před 5 lety +25

    hii ndo interview bora kwangu ndani ya mwaka huu umefanya Millard hayo

  • @robtv9634
    @robtv9634 Před 5 lety +15

    Lemme tell you guys u have good governorship. And a great President #FromSomalia

    • @santodelove4351
      @santodelove4351 Před 5 lety +2

      Come and take him

    • @robtv9634
      @robtv9634 Před 5 lety +2

      @@santodelove4351 wish i can

    • @cbegram6161
      @cbegram6161 Před 2 lety

      Miaka miwili baada ya hii comment, he is no longer with us😥😥

  • @lukombesoemmanuel7271
    @lukombesoemmanuel7271 Před 5 lety +9

    Nice interview...vinajana tunapenda kusikia hays

  • @ahmedadam6568
    @ahmedadam6568 Před 5 lety +11

    Baba alikuwa akimpeleka kwenye ofisi ya biashara sio ofisi ya serikali,watu weupe wana uvumilivu na wananyanyuana sana lakn watu weusi tuna unyimi na malengo ya mida mfupi,ukaichana na tatzo la mtaji wa pesa bado mtaji wa mawazo ni duni,elimu itakufanya kuwa na mawazo mapana na zaidi ukisoma nje unapata fursa ya kujionea mambo mengi mazur na ya kisada,hongereni sana

    • @darmillionaire
      @darmillionaire Před 5 lety +2

      Jiongelee mwenyewe. Hili sio jambo la weusi au weupe. Ni jambo la mtu na mtu. Kama hujawahi kusikia basi enzi za Kikwete kuna mweusi mmoja mmiliki wa hoteli ya Peacock pale Mnazi Mmoja aliwahigi na yeye kuhojiwa na kueleza jinsi alivyosota kutoka kuuza duka Iringa hadi kujenga hoteli Mnazi Mmoja kwa elimu ya darasa la saba, halafu jinsi alivyomrithisha mwanae mikoba.
      Ila ujue pia kuna wengine wanaofanya hivyo ambao hawaongei.
      Sasa usijishushe na kukweza rangi ya mtu au kudharau rangi ya mtu kwa sababu ya matatizo ya watu binafsi. Hata watu wenye ngozi unazosifia ni wengi tu huko kwao ambao wana mambo ya ovyo ovyo kabisa. Usiangalie wachache unaowasikia wanavuma ukajua basi wote wako hivyo.

    • @crershawmafia1009
      @crershawmafia1009 Před 5 lety

      Ubinafsi ndio unatuponza sie weusi. Tunapenda kusujudiwa sana hasa tukipata mafanikio kidogo tu. Unataka walioko chini wabakie huko huko hata kama una nafasi ya kuwainua ila unawakazia makusudi ama kwa roho mbaya tu. Hatutakaa tusogee

    • @goodteam7890
      @goodteam7890 Před 4 lety

      @@darmillionaire weuc wenye maendeleo makubwa ni wachache sio kama wenzetu weupe

  • @edsonsibuti6914
    @edsonsibuti6914 Před 5 lety +13

    Sitokei katika familia tajiri lakini familia tajiri lazma itoke kwangu

  • @Rashidmhedhery
    @Rashidmhedhery Před 5 lety +28

    Well done young boy, initiatives, eduction, commitments , mitigation and excursion is the key of successes

    • @mutalemwagabriel2277
      @mutalemwagabriel2277 Před 5 lety

      😁😁

    • @InnohubGroup
      @InnohubGroup Před 6 měsíci

      Sasa mbona ujiaibishe mbele ya Dunia wakati unaweza kukitumia kiswahili. Kiingereza sio kipimo Cha masomo au ujanja!
      Next time try to find out the meaning of the vocabulary you would like to use and the correct/proper spelling. STOP 🛑 worshipping the English language. Be proud of our Swahili language.

  • @Witnessvlog
    @Witnessvlog Před 5 lety +18

    Familia za jamii ya watu weupe zimefanikiwa sana kuliko sis wabongo, tunawazaga tu kuuana

    • @Bigboy-nx3nc
      @Bigboy-nx3nc Před 5 lety +2

      UKWELI

    • @khadijak3065
      @khadijak3065 Před 5 lety +5

      Tatizo kubwa sisi watu weusi hatufikirii kuona mbali na rohoo mbaya ndio maana hatuwi na maendeleo MTU na mtoto wake anamfanyia rokho mbaya .Sasa wakiona intavyoo kama hizi ndio maswali mengi yanazuka kwanini biyashara kubwa zinashikwa na watu kwanza hawa watu wana hofu ya mungu pili wanaalikili yani ukiwa karibu na MTU mweupe kama unaakili hukosi kuishi maana utapata umajimaji Wa kutafuta kwa bidiii .Lakini sisi Tanzania uwena uwezo wakumiliki bajaji basi utawapanga kwa safu wanawake na kijisifu .lakini hakumbuki hata kuna watoto wakupeleka shule wakiona kamaivyo baba kajikaza kumsomesha kajima mengi na kukuza miradi Ingikuwa gozi nyusi majigambo. Mengi mahojiano hapo ungesikia NO : koment Tujitume Wa baba na Wa mama Wa KITANZANIA tusipende kubweteka

    • @dasilvajacmwax7436
      @dasilvajacmwax7436 Před 5 lety

      Kabisa

    • @mohamedimohamedi7881
      @mohamedimohamedi7881 Před 5 lety +3

      @@dasilvajacmwax7436 sio kweli kuna watu weusi wamefanikiwa sana

    • @dasilvajacmwax7436
      @dasilvajacmwax7436 Před 5 lety +3

      @@mohamedimohamedi7881 kaka mkubwa, hawa ndugu zetu kiukweli wako tofauti, sio Kama sisi blacks

  • @seifkulwa3346
    @seifkulwa3346 Před 5 lety +67

    Miaka 5 ijayo tutashindana sokoni na jambo company, Mimi nikiwa Geita I'm serious!

  • @blacknature7637
    @blacknature7637 Před 5 lety +12

    Huyu kijana Millard huwa anajuwa mambo ya kutuletea kwa kweli hanaga upuuzi

  • @rayesrayyan2428
    @rayesrayyan2428 Před 5 lety +16

    MashaAllah very proud of you khamis your doing so well. May Allah bless you all and keep up with high quality products.

  • @munnawwaryaqoob3414
    @munnawwaryaqoob3414 Před 5 lety +5

    Safi sana kwa Elimu kweli nampa big up sana Salum wtt wote wamesoma

  • @Famsting
    @Famsting Před 5 lety +7

    Leading the industry, big up Khamis !

  • @micamathew6433
    @micamathew6433 Před 5 lety +7

    Mzee wake huyu jamaa ni kati ya baba bora sana hapa Africa..ahsante sana millard

  • @jabalimikechi7750
    @jabalimikechi7750 Před 5 lety +1

    Congratulations guys we need people like so we can change the lives of our peoples, big up my bro

  • @maigajohn5828
    @maigajohn5828 Před rokem +2

    Hongera sana mzee amesimama vyema sana na kijana anajitambua sana ni vijina wachache sana

  • @geographyteacher.2961
    @geographyteacher.2961 Před 5 lety +5

    Nimeipenda hii, safi sn Millard!

  • @khamisjuma4691
    @khamisjuma4691 Před 5 lety +2

    Beautiful wajina.message from USA good job brother

  • @richardntullo6105
    @richardntullo6105 Před 4 lety +1

    Hongereni Kwa kazi nzuri mbarikiwe katika biashara ipate kua yamafanikio siku zote mungu akuongoze daima

  • @samuelmulumba1892
    @samuelmulumba1892 Před 5 lety +7

    Hongera sana wana Shinyanga wenzangu. No efforts without impacts.

  • @ahikemankambila7255
    @ahikemankambila7255 Před 5 lety +2

    Very very inspiring; assurance and guarantee of products quality to consumers is where success rely; 👊Big up Jambo family 👏

  • @mussamsindo2029
    @mussamsindo2029 Před 5 lety +3

    Safiiiii Ila muda mchache sn nimependa sn Hamis anavyojieleza kwa kujiamin big up

  • @onlinemovie8580
    @onlinemovie8580 Před 5 lety +7

    Tisha sana millado bonge moja la interview

  • @YusufAli-ib6xu
    @YusufAli-ib6xu Před 5 lety +17

    May Allah bless you and your family more and more Insha Allah Ameen

  • @jumakibula4851
    @jumakibula4851 Před 3 lety

    Mashaallah good inspiration

  • @tztanzania2262
    @tztanzania2262 Před 5 lety +4

    Mashaa allah nataman utajir in shaa allah nitapambana sana kutafuta halaal

  • @khamisrashidy1348
    @khamisrashidy1348 Před 5 lety +8

    Millard karibu shay jamukaya

  • @moussabmohamedsaid6066
    @moussabmohamedsaid6066 Před 5 lety +5

    Millard tunahitaji more Interviews Kama hizi zinatu motivate vijana kama sisi ambao tupo vyuoni trying to get our Educations

  • @ikulunimahalipatakatifu7642

    Safi sana , fursa ni mahari popote, mnaokimbilia kuangalia magorofa ulaya fursa mnaziahacha hapa kwenu, karibuni shinyanga Tanzania

  • @user-tf8qx4us5b
    @user-tf8qx4us5b Před 5 lety +5

    Mashaa Allah

  • @lawfang2311
    @lawfang2311 Před 5 lety +3

    He been the hardest worker man!!!! Happy for you bro keep going

  • @Jcmadad
    @Jcmadad Před 4 lety

    Great. I love it

  • @blacknature7637
    @blacknature7637 Před 5 lety +6

    Masha Allah mungu awasimamie

  • @luizabahati5198
    @luizabahati5198 Před 4 lety

    Whaoo...good info ..job well done ...wako vzr

  • @amethysturanus6351
    @amethysturanus6351 Před 4 lety

    Hongera Khamisi, Hongera Jambo. Mnatuletea maendeleo, Ajira na mafinikio Tanzania. Mungu abariki Tanzania.

  • @khalidballeth5957
    @khalidballeth5957 Před 5 lety +2

    Maashallah Big Up Mjmb👍🏼

  • @mohdpandu6802
    @mohdpandu6802 Před 5 lety +3

    Safi sana Millard, njoo na Zenji huku

  • @herysikawa3138
    @herysikawa3138 Před 5 lety +1

    Mungu akubariki Millard, ii content ni nzuri kuliko shukran sana

  • @edwingwesso129
    @edwingwesso129 Před 5 lety +7

    Kazin kwangu hapa

  • @alexmichael8735
    @alexmichael8735 Před 5 lety +2

    mahojiano kama haya ndo muhimu nyakati hizi keep it up millard

  • @mwarabutoleolamwisho7879
    @mwarabutoleolamwisho7879 Před 4 lety +2

    Hamis Salum,WAJNA ALLAH azd kukusimamia inshallah

  • @newforcejv9721
    @newforcejv9721 Před 5 lety +10

    Ayo kazi zako hazipitwi na wakati

  • @princegabytv7251
    @princegabytv7251 Před 5 lety +4

    This guys are so SMART.

  • @officialmakertz6516
    @officialmakertz6516 Před 5 lety +1

    Nakubali kazi yako millard

  • @piusundisputed
    @piusundisputed Před rokem

    A lesson to learn from this amaizing interview, for a child to achieve financially, a family must play a vital role, unlike relying to gain it only from schools, this is contrary In Tanzania,whereby financial knowledge is left only to school!!

    • @badmanno.1650
      @badmanno.1650 Před 4 měsíci

      Well said .. point kubwa mno sema umeweka kiingereza ndiyo naona watz hatuja kufahamu 😅

  • @salumsaid9913
    @salumsaid9913 Před 5 lety +3

    MASHAALLAH

  • @swalehfarid5466
    @swalehfarid5466 Před 3 lety +1

    ALLAH Azidi Kuwatilia Barka Muzidi Kupanua Company

  • @abdalahsuleiman8989
    @abdalahsuleiman8989 Před 5 lety +3

    Nimewakubali sanaaa Masha Allah

  • @johanesssiongo1351
    @johanesssiongo1351 Před 5 lety +3

    Powerful!

  • @sebaskibiki4836
    @sebaskibiki4836 Před 3 lety +2

    Waarabu na wahindi wako vizuri lakini weusi ngozi ya yako nyoko Sana! Litahonga vimada mpaka mfilisike

  • @allyhamad7999
    @allyhamad7999 Před 4 lety

    Maashallah. Hongereni sana

  • @kaulimbiu181
    @kaulimbiu181 Před 5 lety +11

    Kijana kafanana na yule mapengo sapota wa Liverpool wa Dar. Sema huyu Hamisi hana upuzi kama yule mlaji ugoro anaedai amwagiwe ndoo ya mavi Liverpool ikishindwa 🤣🤣🤣

  • @faizahalidi4556
    @faizahalidi4556 Před 4 lety

    Interesting big up millard

  • @frankforeheads9796
    @frankforeheads9796 Před 5 lety +8

    sometime familia inachangia katika watoto kufanya vizur angalia huyu jamaa kasomeshwa mpaka nje ndio maana mpaka Leo kafika hapo alipo ,Lakini ninaacho Mimi mafanikio ya mtu yako katika mikono yake mwenyewe

    • @edinakyaruzi9226
      @edinakyaruzi9226 Před rokem

      Ndio kunakusomeshwa nje mtoto akaja waovyo kweli mafanikio yapo mkonono mwetu

  • @samirakhamis6630
    @samirakhamis6630 Před 5 lety +5

    Mbrouk kila la lkheir mbele yenu 👍🏽

  • @jumamohamedy2005
    @jumamohamedy2005 Před 4 lety

    Millard Ayo TV umeona mbali unatufundisha mengi kupitia vipindi vyako mungu akupe maisha marefu.

  • @yeyothegreat8277
    @yeyothegreat8277 Před 4 lety

    Best Interview ever Millard izi ndo interview bwana sio bongomovie please ooo abeg

  • @J4UPro
    @J4UPro Před 4 lety +3

    Washindani wa AZAM

  • @issaramadhani3064
    @issaramadhani3064 Před 3 lety +1

    Thanks millard

  • @orgeneslema9464
    @orgeneslema9464 Před 5 lety +12

    Ayo next time uliza kuhusu kiasi cha investment. Benki zilizoshiriki kutoa mikopo na riba. Na masharti ya ulipaji. Hayo mengine ni ya kawaida sana kwenye biashara

  • @manenolugendo6396
    @manenolugendo6396 Před 5 lety +4

    Safi sana jamaa wanaandaliwa mapema sana

  • @muhsinsalum2305
    @muhsinsalum2305 Před 4 lety

    Mko vizuri saana maa shaa Allah

  • @HusseinHaule-pr5ov
    @HusseinHaule-pr5ov Před měsícem

    Iko poa sana tuwasomeshe watoto jaman milla hongera bro

  • @user-yh3do3pk4y
    @user-yh3do3pk4y Před 9 měsíci

    Alahuakbar mashaalah tabarak Allah love this

  • @husseinmbetela4046
    @husseinmbetela4046 Před 5 lety +2

    Jambo wapo vizuri sana mimi nikiwaga shinyanga hua naifulahia sana juisi zao

  • @imagepower3641
    @imagepower3641 Před 5 lety +2

    hongera sana jambo company napenda sana ubora wenu

  • @heavenlypatric4822
    @heavenlypatric4822 Před 5 lety +8

    Duuh wengine tulikuwa tukitoka shule ni uwanjan moja kw moja

    • @dottojamali6515
      @dottojamali6515 Před 4 lety

      Heavenly Patric araf hat hatujawa wachezaji 😂😂😂😂😂

  • @fatmaabdallah7709
    @fatmaabdallah7709 Před 2 lety +1

    Mi naomba uwakala wa jambo Niko dar es salam

  • @salminejuma5454
    @salminejuma5454 Před 3 lety +1

    Asante baba ckulaumu kwa chochote.

  • @stephanominja8927
    @stephanominja8927 Před 3 lety +1

    Yes jambo naikubali,,

  • @rabiahassan9177
    @rabiahassan9177 Před 3 lety

    MashaAllah ❤️

  • @issaally4125
    @issaally4125 Před 5 lety +6

    Kumbe inawezekana biashara na familia ukiwa makini unatoka lakini kibongo bongo familia zetu hiz ukizishilikisha wao ndio wakwanza kufisadi Mali wakitegemea mzee yupo tu

  • @tumainingowi6373
    @tumainingowi6373 Před 5 lety +22

    Ongezeni muda mukiwahoji watu kama hawa millard

    • @abuyunusmohamed6961
      @abuyunusmohamed6961 Před 5 lety +2

      muda unatosha sana chamsingi ni pointi tu.chakwanza ni elimu na pili ni ari na juhudi ya kufanya kazi na tatu ni msingi wa kuanzia biashara.

  • @amosurio8045
    @amosurio8045 Před 4 lety +1

    akuna asie jua Jambo tuko vizuri kilakona kwenye bindaa zetu

  • @maryamjuma9816
    @maryamjuma9816 Před 5 lety +1

    Maa shaa allah

  • @mariamkaaya214
    @mariamkaaya214 Před 5 lety +4

    shkamoo wajerumani,technology imekua,inatengenezwa wakiwa ujerumani,technology ni nzuri mno

  • @shamimhayat7637
    @shamimhayat7637 Před 3 lety

    Mashaaalah weldone

  • @najma3268
    @najma3268 Před 5 lety +6

    Hakika yaha ndo madini tunayoyataka kwenye jamii kwakweli

  • @zwainazwaina9808
    @zwainazwaina9808 Před 3 lety +1

    Mashllh

  • @dflexmashairi8824
    @dflexmashairi8824 Před 3 lety +3

    Waliidhamini Stand United lakn kwa bahati mbaya ikashuka daraja.Rest in peace Chama La Wana

  • @ramadhanramizo9717
    @ramadhanramizo9717 Před 3 lety +1

    Nimepaelewa sana

  • @princabubakr2492
    @princabubakr2492 Před 5 lety +1

    Kazi nzur mallard

  • @abinarisy1080
    @abinarisy1080 Před 5 lety

    Good job.