Nyumba 1500 zinazojengwa Kigamboni na Milionea Mtanzania aliyeishia la 7

Sdílet
Vložit

Komentáře • 322

  • @Bbwaoy
    @Bbwaoy Před 7 lety +43

    Nili bahatika kukaa na huyu jamaa alipo kuja Mwanza. Alini inspire sana.

  • @ghatimakonge9383
    @ghatimakonge9383 Před 2 lety +4

    Hongera Sana kamanda 🙏🙏 baraka hiyo Ni kubwa kutoka kwa Mwenyezi Mungu. Umetusaidia ufahamu la 7 wenzio Utajiri sio Elimu.

  • @ernestonesmo405
    @ernestonesmo405 Před měsícem

    Hamidu hemedi Mvungi mkoa Kilimanjaro Wilaya ya mwanga Kijiji Cha Lembeni Kijiji kwetu kabisa nafurahia kuona hili wapare hoyeee Kuna mwamba mwingine anaitwa Vigu Daaah Ila Mungu kampenda zaidi naye aliifanya Lembeni ijulikane Sanaa tupo nyuma yenu hakuna kukata tamaaa mpk mwisho

  • @mkolamrua9494
    @mkolamrua9494 Před 7 lety +31

    Mungu wetu sote wallahy Hamidu nipo nyuma yako

  • @tracyjustice1600
    @tracyjustice1600 Před 7 lety +3

    Hongera sana kaka Hamidu mungu aendelee kukubariki na kukupa Afya njema

  • @NdayizeyeAline-zr6zc
    @NdayizeyeAline-zr6zc Před 3 měsíci

    Asante sana kwa maelezo unae tupatia Mimi Ni myarwanda nataka ku nunua nyumba hiyo Tanzania kwa kuripa kidogo kidogo Sasa naomba maelezo zaidi ili nijue xakufanya

  • @faysalmahmuddidar7135
    @faysalmahmuddidar7135 Před 7 lety +13

    nimependa-sana-kaka-hamidu-mungu-anisaidie-nifate-nyayo-zako

  • @mossymtwana6422
    @mossymtwana6422 Před 2 lety

    Mwenyeezimungu azidi kukubariki Baraka za Roho na mwili Hamid all the best mbarikiwa

  • @BongoHabariTv
    @BongoHabariTv Před 5 lety +13

    Mungu akuzidishie ujuzi mkuu....big inspiration

  • @elijahthomas7855
    @elijahthomas7855 Před 6 lety +3

    The sound track is legit. I love the years of the sum action movie

  • @Patricia800
    @Patricia800 Před 7 lety +1

    Nakutakia kila la kheri Mungu azidi kukuinua zaid ya hapo. Hongera sana.

  • @jumaramadhani5861
    @jumaramadhani5861 Před 7 lety +1

    Mwenyezi Mungu akuzidishie wepesi,yaani kaka Hamidu umedhubutu,kweli akili ni nywele

  • @amanichanga3448
    @amanichanga3448 Před 7 lety +25

    Mungu amzidishie na hongera sana kwake

  • @rogertmshana9226
    @rogertmshana9226 Před 2 lety +1

    Sisi tulikuja baada ya Kuona Zamarad kapost like 🤣🤣🙈🙈

  • @kadzomangi484
    @kadzomangi484 Před 7 lety +3

    mungu ni wetu sote hongera sana nd mungu akuzidishie

  • @zainabukalinga5000
    @zainabukalinga5000 Před 5 lety +2

    Hangera sana na mungu akutie nguvu uweze kusaidia na wengine.

  • @rukiyatajir8064
    @rukiyatajir8064 Před 2 lety

    Hongera sana sana Mungu amekubariki, hakikisha kizazi chako kinaendeleza uliyoanzisha

  • @EmainaEmanuel
    @EmainaEmanuel Před 7 lety +2

    hongera bro Allah azid kukuongoza .

  • @mwamgundasamson2192
    @mwamgundasamson2192 Před 7 lety +26

    mungu akupe nguvu mtanzania mwenzetu ila punguza kabei kidogo basi😀

    • @azizayassin3623
      @azizayassin3623 Před 7 lety

      Mwamgunda Samson ameen ameen

    • @ahz6907
      @ahz6907 Před 2 lety +1

      Kwani we una sh ngap?

    • @hamiduhamisi2371
      @hamiduhamisi2371 Před 2 lety

      @@ahz6907 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

  • @carlosmzena548
    @carlosmzena548 Před 5 lety +10

    Set a dream believe in your dream work on your dream then live your dream, no limits in life 💪💪

  • @superlevy9389
    @superlevy9389 Před 7 lety +1

    🙌🙌🙌 hongera saaaana na mungu akubalikiiiiiiiii

  • @jimmycliff6977
    @jimmycliff6977 Před 2 lety +1

    Kaka Ayo Unatupa nguvu sana ya kupambana katika maisha ya Kila siku

  • @toshirohitsugaya6421
    @toshirohitsugaya6421 Před 7 lety +13

    hongera sana kwa mtanzania mwenzangu

  • @elpiemghoi8004
    @elpiemghoi8004 Před 2 lety +1

    Waa hongera sana mimi pia nambana ila bado.Haminu nisaidie nimalize yangu ni moja tu

  • @momatv2019
    @momatv2019 Před 2 lety

    Maa Shaa Allah.
    Mwenyezi Mungu akupe ulinzi wake na akulinde na macho ya watu.

    • @Awatee
      @Awatee Před 2 lety

      Amiin yarabal alamin

  • @saumuhassan1365
    @saumuhassan1365 Před 7 lety

    MashaAllah, hongera sana Brothar, umepiga hatua Allah akusimamie.

  • @abdallahmbonabona8860
    @abdallahmbonabona8860 Před 4 měsíci

    Mungu akuraisishie kwenye mradi wako

  • @mobileshop818
    @mobileshop818 Před 7 lety +6

    hongera sana

  • @angelavayinga914
    @angelavayinga914 Před 6 lety +6

    Ni watanzania wachache sana wenye kuthubutu,wengi wao hata wakipata chans km hiyo wanaishia kugombania wake hata za watu ili mradi tu wajue ana pesa,hongera sana kaka.

  • @hongerakkachawasemewwkzbut4996

    mashaallah kila kitu kinawezekana waweza soma hadi kidato cha sita lakini ukatoka patupu alie soma mpaka lasaba akatoka kimaisha zaidi mungu akupe zaidi ya apo kaka angu.

  • @aminaathumani6832
    @aminaathumani6832 Před 3 lety

    Hata mm napigania Kaka anguu ni we kama ww tupo pamoja hongeraa sanaaaa mungu akuzidishieee pamoja nawengnee aminiii 🤲🤲🤲🙏🙏🙏🤝🤝🌹🌹🌹🌹❤️❤️😎❤️😘😎❤️❤️❤️❤️

  • @yohanamagele3633
    @yohanamagele3633 Před 3 lety

    WOW classic inspiration

  • @donaldmwangasa852
    @donaldmwangasa852 Před 7 lety +4

    So inspiring

  • @africanchild4525
    @africanchild4525 Před 7 lety +2

    Mungu amzidishie. ameniinspire sana. ntafuata nyayo zake kujindeleza.

  • @nikitadiamorelivingstone2831

    hongera, sana hiyo ndio njia mojawapo ya kuleta mabadiliko katika nchi,

  • @dungayusufu1954
    @dungayusufu1954 Před 2 lety

    mashaalah Mungu akubariki ndugu kwa ubunifu wako

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 Před 2 lety

    Naomba hamidu unioe mke wa pili

  • @habauagway7251
    @habauagway7251 Před 5 lety

    Hongera kwa kujituma kaka Hamidu

  • @lulugama1547
    @lulugama1547 Před 7 lety +1

    big up Hamidu we ni noumaaaa

  • @dotoe.a7869
    @dotoe.a7869 Před 7 lety

    Hongera saaanaa kaka Hamidu

  • @sheezy96sarah55
    @sheezy96sarah55 Před 2 lety

    Ur the best hamidu

  • @simbarajabu4157
    @simbarajabu4157 Před 4 lety

    Asante sana kaka amidu ,kila kitu kujituma

  • @DrMbonea
    @DrMbonea Před 2 lety

    Hii ndiyo tofauti ya wasomi wa bongo na darasa la saba
    Wasomi huamin katika madaftari yao na vyeti lakin hawa wengine huamin katika nguvu zao maana hawana elimu na hapa ndio wanawazidi waliosoma
    Mzee ameni inspire

  • @arafsaaa8844
    @arafsaaa8844 Před 7 lety

    mashaallah allah akuzidishie

  • @hajjighanji5667
    @hajjighanji5667 Před 4 lety +1

    @hakika shemeji yangu amethubutu darasa la saba lawakati wa nyuma ni kama form 6 kwa sasa nataka nikwambie kufanya hivii ulivyofanya zaidi ya chuo kikuu. big up mlamuwa.havaache sana.

  • @hillsgate386
    @hillsgate386 Před 7 lety +6

    Very inspiring footage to succsess

  • @nassorsaid2331
    @nassorsaid2331 Před 7 lety +2

    hongera kaka lakini hizo nyumba,site sizani kama zitauzika kwa maisha ya kibongobongo ungeanza na few hubdreds uwone uoeoo

  • @davidjoshua129
    @davidjoshua129 Před 7 lety

    Mungu akuzidishie

  • @goodafya7149
    @goodafya7149 Před 4 měsíci

    Hiii nzuri sanaa

  • @maryamjuma9816
    @maryamjuma9816 Před 4 lety

    Honger xnaaa 👏👏

  • @nambuacassandramlaki3516

    Yessss...hongera sana Uncle😘😘😘😘

  • @ashazaharan1750
    @ashazaharan1750 Před 6 lety +2

    Mansha Allah. hakika hakuna linalo shaindikana jamani hongera kaka

  • @saifalrajhi5001
    @saifalrajhi5001 Před 7 lety

    big up Mr Hamidu

  • @vincentmokenye4465
    @vincentmokenye4465 Před rokem

    Million miatatu ipo juu sana

  • @idyjumanne9796
    @idyjumanne9796 Před 5 lety

    mashaaaaalah unanipa mzuka kwel Na mm nifanye business

  • @hongerakkachawasemewwkzbut4996

    kaka umenivutia na nimejifunza kutoka kwako hongera sana kaka angu

  • @deusmhapa2400
    @deusmhapa2400 Před 2 lety

    Hongela Boss Hamidu

  • @samiakikwete1762
    @samiakikwete1762 Před 3 lety +1

    Mungu humpa amtakae napia hutoa kwa wakty ukifyka

  • @jaklinifaustini4259
    @jaklinifaustini4259 Před 4 lety

    Honger sijawah kuona

  • @saidkhalfan1607
    @saidkhalfan1607 Před 7 lety +8

    mungu akitaka kukupa hakuandikii baruwa

  • @senatorhans6433
    @senatorhans6433 Před 7 lety +1

    Hongera saaana Kaka

  • @zaidihussein4311
    @zaidihussein4311 Před 2 lety

    Hongera sana hamidu

  • @petermboje5839
    @petermboje5839 Před rokem

    Hongera bro sana nimekupenda

  • @fayeezomar2902
    @fayeezomar2902 Před 7 lety

    salm, fayeez and Hi support u

  • @lucysimtowe421
    @lucysimtowe421 Před 2 lety

    Hongera sana

  • @freddymello3227
    @freddymello3227 Před 5 lety +2

    Eti aliyeishia la 7!
    maisha ya mafanikio hayana vigezo hivyo vya hizo elimu zenu za kikoloni.ambazo mnaandaliwa muwe watumwa wa watu.
    mfano:wengi mkihitimu huwa Hamna la kufanya punde mnapokosa kuingia katika huo mfumo(wa kitumikia hao masters wenu)
    Wapo wengi tuu wa aina hii.

  • @imanmohamed7632
    @imanmohamed7632 Před 2 lety

    MashaAllah TabarakkahAllah

  • @fatumamasudi365
    @fatumamasudi365 Před 7 lety +1

    uko juu sana kaka

  • @priscadaniel7
    @priscadaniel7 Před 3 lety

    Safi Sana Kaka Mimi Sina hata uwezo WA kukunuwa hata basikeri

  • @michaelsamson9663
    @michaelsamson9663 Před rokem

    Wa Tz walio wengi waoga kufanya kazi zao au biashala zao Wana aminijuu yakuajiliwa nakulipwa mwisho wamwezi nawengine Hawana elim Wana nyonywa nama boss awashtuki wanazidi kupoteza muda wao

  • @Boaz22
    @Boaz22 Před 4 lety

    Jamaa yupo vizuri aisee

  • @sarajackson7373
    @sarajackson7373 Před 7 lety

    Hongera sana kaka Mungu ni mwema wewe ni mfano wa kuigwa

    • @man.lule.585
      @man.lule.585 Před 6 lety

      Iga ufe kila mtu kazaliwa na zali lake.

  • @tanjaniyoman3160
    @tanjaniyoman3160 Před 2 lety

    Hamidu lv u😘

  • @marryg4235
    @marryg4235 Před 2 lety

    Hongera Sana.

  • @adrianoadam8741
    @adrianoadam8741 Před 7 lety +1

    dah!hayo ndiyo matamanio yangu hongera zake kafanya kitu kikubwa,sisi vijana inatusa tuige mfano wake

  • @chriskalega3855
    @chriskalega3855 Před 6 lety

    sema asante mungu

  • @vincent9132
    @vincent9132 Před 7 lety +5

    i really like his idea

  • @venancerichard920
    @venancerichard920 Před 2 lety

    V.nice brother

  • @ahz6907
    @ahz6907 Před 2 lety +1

    Ukiwa na nidhamu na malengo na mpango wa kuyafikia hakuna kitakachokwamisha mafanikio.

  • @ephraimkayeta7252
    @ephraimkayeta7252 Před 2 lety

    Hongera sana kk

  • @florabaruti8032
    @florabaruti8032 Před 5 lety +1

    duuh mungu akubaliki kaka

  • @othumanmaulid7406
    @othumanmaulid7406 Před 5 lety

    Hongera. Boy

  • @omanmct135
    @omanmct135 Před 6 měsíci

    Mashallllah❤❤

  • @fatmaomary3981
    @fatmaomary3981 Před 2 lety

    Mashallah nimeipeda

  • @rosehillary8742
    @rosehillary8742 Před 7 lety +17

    Mtani wangu Mpare Shikamoo...Faida yakula ugali na picha ya Samaki. Wapare Shiakamoo
    Kaka najiona mbulula na mavyeti yangu jamani.

    • @superwarema2309
      @superwarema2309 Před 2 lety

      Marahaba mtani. Thamaki thi kindu, kindu ni mshombe.

    • @hamismndeme9501
      @hamismndeme9501 Před 2 lety

      mtani tulia ufuate nyayo

    • @blackpanther4825
      @blackpanther4825 Před 2 lety

      Rose Hillary usipagawe mie ndugu yake najua yaliyo nyuma ya mradi mzima.

    • @dorcaskidoti249
      @dorcaskidoti249 Před 2 lety

      @@blackpanther4825 ohoooooo kama nimekuelewaaaaaa😥

  • @emmanuelekapanda3398
    @emmanuelekapanda3398 Před 7 lety

    Hongera

  • @wilsonnyabagaka2265
    @wilsonnyabagaka2265 Před 7 lety

    hongera san

  • @halimatanzani8587
    @halimatanzani8587 Před 4 lety +1

    Mashaallah

  • @r14kgroup68
    @r14kgroup68 Před 2 lety

    Habidu safi sana

  • @joetemba6376
    @joetemba6376 Před 2 lety +1

    Apo tunakuombea Mungu akupe mawazo zaidi

  • @dalalimjinga.144
    @dalalimjinga.144 Před 2 lety

    Mashalha

  • @reubenjackson7327
    @reubenjackson7327 Před 7 lety +1

    sawa kaka nas twaja

  • @jameskitheka5702
    @jameskitheka5702 Před 3 lety

    Mash Allah

  • @mwalyanga_94
    @mwalyanga_94 Před 6 lety

    Sound good

  • @emmanuelmasanja6040
    @emmanuelmasanja6040 Před rokem

    Duh hatari sana,wengine tumezaliwa kumaliza hewa tu humu duniani,hahahahaha

  • @rahmashaban8693
    @rahmashaban8693 Před 7 lety +1

    Duuh kaka ana juhudi sijawahi kuona. nimezipenda sana jamani sio siri

  • @lizzybahati3739
    @lizzybahati3739 Před 2 lety

    Kabisaaa ukijituma tu MUNGU hawezi kukuacha

  • @michaelmchodo4887
    @michaelmchodo4887 Před 6 lety +2

    nmejifunza ki2...akili yangu utajili wangu

  • @prettyh7509
    @prettyh7509 Před 2 lety

    Mashallah 💕💕

  • @tumainimsumba9542
    @tumainimsumba9542 Před 2 lety

    Mashall