Hamidu hemedi Mvungi mkoa Kilimanjaro Wilaya ya mwanga Kijiji Cha Lembeni Kijiji kwetu kabisa nafurahia kuona hili wapare hoyeee Kuna mwamba mwingine anaitwa Vigu Daaah Ila Mungu kampenda zaidi naye aliifanya Lembeni ijulikane Sanaa tupo nyuma yenu hakuna kukata tamaaa mpk mwisho
Asante sana kwa maelezo unae tupatia Mimi Ni myarwanda nataka ku nunua nyumba hiyo Tanzania kwa kuripa kidogo kidogo Sasa naomba maelezo zaidi ili nijue xakufanya
Ni watanzania wachache sana wenye kuthubutu,wengi wao hata wakipata chans km hiyo wanaishia kugombania wake hata za watu ili mradi tu wajue ana pesa,hongera sana kaka.
mashaallah kila kitu kinawezekana waweza soma hadi kidato cha sita lakini ukatoka patupu alie soma mpaka lasaba akatoka kimaisha zaidi mungu akupe zaidi ya apo kaka angu.
Hii ndiyo tofauti ya wasomi wa bongo na darasa la saba Wasomi huamin katika madaftari yao na vyeti lakin hawa wengine huamin katika nguvu zao maana hawana elimu na hapa ndio wanawazidi waliosoma Mzee ameni inspire
@hakika shemeji yangu amethubutu darasa la saba lawakati wa nyuma ni kama form 6 kwa sasa nataka nikwambie kufanya hivii ulivyofanya zaidi ya chuo kikuu. big up mlamuwa.havaache sana.
Eti aliyeishia la 7! maisha ya mafanikio hayana vigezo hivyo vya hizo elimu zenu za kikoloni.ambazo mnaandaliwa muwe watumwa wa watu. mfano:wengi mkihitimu huwa Hamna la kufanya punde mnapokosa kuingia katika huo mfumo(wa kitumikia hao masters wenu) Wapo wengi tuu wa aina hii.
Wa Tz walio wengi waoga kufanya kazi zao au biashala zao Wana aminijuu yakuajiliwa nakulipwa mwisho wamwezi nawengine Hawana elim Wana nyonywa nama boss awashtuki wanazidi kupoteza muda wao
Nili bahatika kukaa na huyu jamaa alipo kuja Mwanza. Alini inspire sana.
Hongera Sana kamanda 🙏🙏 baraka hiyo Ni kubwa kutoka kwa Mwenyezi Mungu. Umetusaidia ufahamu la 7 wenzio Utajiri sio Elimu.
Hamidu hemedi Mvungi mkoa Kilimanjaro Wilaya ya mwanga Kijiji Cha Lembeni Kijiji kwetu kabisa nafurahia kuona hili wapare hoyeee Kuna mwamba mwingine anaitwa Vigu Daaah Ila Mungu kampenda zaidi naye aliifanya Lembeni ijulikane Sanaa tupo nyuma yenu hakuna kukata tamaaa mpk mwisho
Mungu wetu sote wallahy Hamidu nipo nyuma yako
Mkola Mrua naam
azh zha yassin ipo siku tu
Hata mm nipo nyuma yake mungu ni mkubwa tuamini hilo jamani
Nomrango
Hongera sana kaka Hamidu mungu aendelee kukubariki na kukupa Afya njema
Asante sana kwa maelezo unae tupatia Mimi Ni myarwanda nataka ku nunua nyumba hiyo Tanzania kwa kuripa kidogo kidogo Sasa naomba maelezo zaidi ili nijue xakufanya
nimependa-sana-kaka-hamidu-mungu-anisaidie-nifate-nyayo-zako
Faysal Mahmud Didar duuuuuu
Mwenyeezimungu azidi kukubariki Baraka za Roho na mwili Hamid all the best mbarikiwa
Mungu akuzidishie ujuzi mkuu....big inspiration
The sound track is legit. I love the years of the sum action movie
Nakutakia kila la kheri Mungu azidi kukuinua zaid ya hapo. Hongera sana.
Mwenyezi Mungu akuzidishie wepesi,yaani kaka Hamidu umedhubutu,kweli akili ni nywele
Mungu amzidishie na hongera sana kwake
Sisi tulikuja baada ya Kuona Zamarad kapost like 🤣🤣🙈🙈
mungu ni wetu sote hongera sana nd mungu akuzidishie
Hangera sana na mungu akutie nguvu uweze kusaidia na wengine.
Hongera sana sana Mungu amekubariki, hakikisha kizazi chako kinaendeleza uliyoanzisha
hongera bro Allah azid kukuongoza .
mungu akupe nguvu mtanzania mwenzetu ila punguza kabei kidogo basi😀
Mwamgunda Samson ameen ameen
Kwani we una sh ngap?
@@ahz6907 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Set a dream believe in your dream work on your dream then live your dream, no limits in life 💪💪
🙌🙌🙌 hongera saaaana na mungu akubalikiiiiiiiii
Kaka Ayo Unatupa nguvu sana ya kupambana katika maisha ya Kila siku
hongera sana kwa mtanzania mwenzangu
Waa hongera sana mimi pia nambana ila bado.Haminu nisaidie nimalize yangu ni moja tu
Maa Shaa Allah.
Mwenyezi Mungu akupe ulinzi wake na akulinde na macho ya watu.
Amiin yarabal alamin
MashaAllah, hongera sana Brothar, umepiga hatua Allah akusimamie.
Mungu akuraisishie kwenye mradi wako
hongera sana
Ni watanzania wachache sana wenye kuthubutu,wengi wao hata wakipata chans km hiyo wanaishia kugombania wake hata za watu ili mradi tu wajue ana pesa,hongera sana kaka.
mashaallah kila kitu kinawezekana waweza soma hadi kidato cha sita lakini ukatoka patupu alie soma mpaka lasaba akatoka kimaisha zaidi mungu akupe zaidi ya apo kaka angu.
Hata mm napigania Kaka anguu ni we kama ww tupo pamoja hongeraa sanaaaa mungu akuzidishieee pamoja nawengnee aminiii 🤲🤲🤲🙏🙏🙏🤝🤝🌹🌹🌹🌹❤️❤️😎❤️😘😎❤️❤️❤️❤️
WOW classic inspiration
So inspiring
Mungu amzidishie. ameniinspire sana. ntafuata nyayo zake kujindeleza.
Swahili 101 ameen
hongera, sana hiyo ndio njia mojawapo ya kuleta mabadiliko katika nchi,
mashaalah Mungu akubariki ndugu kwa ubunifu wako
Naomba hamidu unioe mke wa pili
Hongera kwa kujituma kaka Hamidu
big up Hamidu we ni noumaaaa
Hongera saaanaa kaka Hamidu
Ur the best hamidu
Asante sana kaka amidu ,kila kitu kujituma
Hii ndiyo tofauti ya wasomi wa bongo na darasa la saba
Wasomi huamin katika madaftari yao na vyeti lakin hawa wengine huamin katika nguvu zao maana hawana elimu na hapa ndio wanawazidi waliosoma
Mzee ameni inspire
mashaallah allah akuzidishie
@hakika shemeji yangu amethubutu darasa la saba lawakati wa nyuma ni kama form 6 kwa sasa nataka nikwambie kufanya hivii ulivyofanya zaidi ya chuo kikuu. big up mlamuwa.havaache sana.
Very inspiring footage to succsess
hongera kaka lakini hizo nyumba,site sizani kama zitauzika kwa maisha ya kibongobongo ungeanza na few hubdreds uwone uoeoo
Mungu akuzidishie
Hiii nzuri sanaa
Honger xnaaa 👏👏
Yessss...hongera sana Uncle😘😘😘😘
Mansha Allah. hakika hakuna linalo shaindikana jamani hongera kaka
big up Mr Hamidu
Million miatatu ipo juu sana
mashaaaaalah unanipa mzuka kwel Na mm nifanye business
kaka umenivutia na nimejifunza kutoka kwako hongera sana kaka angu
Hongela Boss Hamidu
Mungu humpa amtakae napia hutoa kwa wakty ukifyka
Honger sijawah kuona
mungu akitaka kukupa hakuandikii baruwa
Hongera saaana Kaka
Hongera sana hamidu
Hongera bro sana nimekupenda
salm, fayeez and Hi support u
Hongera sana
Eti aliyeishia la 7!
maisha ya mafanikio hayana vigezo hivyo vya hizo elimu zenu za kikoloni.ambazo mnaandaliwa muwe watumwa wa watu.
mfano:wengi mkihitimu huwa Hamna la kufanya punde mnapokosa kuingia katika huo mfumo(wa kitumikia hao masters wenu)
Wapo wengi tuu wa aina hii.
MashaAllah TabarakkahAllah
uko juu sana kaka
Safi Sana Kaka Mimi Sina hata uwezo WA kukunuwa hata basikeri
Wa Tz walio wengi waoga kufanya kazi zao au biashala zao Wana aminijuu yakuajiliwa nakulipwa mwisho wamwezi nawengine Hawana elim Wana nyonywa nama boss awashtuki wanazidi kupoteza muda wao
Jamaa yupo vizuri aisee
Hongera sana kaka Mungu ni mwema wewe ni mfano wa kuigwa
Iga ufe kila mtu kazaliwa na zali lake.
Hamidu lv u😘
Hongera Sana.
dah!hayo ndiyo matamanio yangu hongera zake kafanya kitu kikubwa,sisi vijana inatusa tuige mfano wake
sema asante mungu
i really like his idea
MashaaalH
V.nice brother
Ukiwa na nidhamu na malengo na mpango wa kuyafikia hakuna kitakachokwamisha mafanikio.
Hongera sana kk
duuh mungu akubaliki kaka
Hongera. Boy
Mashallllah❤❤
Mashallah nimeipeda
Mtani wangu Mpare Shikamoo...Faida yakula ugali na picha ya Samaki. Wapare Shiakamoo
Kaka najiona mbulula na mavyeti yangu jamani.
Marahaba mtani. Thamaki thi kindu, kindu ni mshombe.
mtani tulia ufuate nyayo
Rose Hillary usipagawe mie ndugu yake najua yaliyo nyuma ya mradi mzima.
@@blackpanther4825 ohoooooo kama nimekuelewaaaaaa😥
Hongera
hongera san
Mashaallah
Habidu safi sana
Apo tunakuombea Mungu akupe mawazo zaidi
Mashalha
sawa kaka nas twaja
Mash Allah
Sound good
Duh hatari sana,wengine tumezaliwa kumaliza hewa tu humu duniani,hahahahaha
Duuh kaka ana juhudi sijawahi kuona. nimezipenda sana jamani sio siri
Kabisaaa ukijituma tu MUNGU hawezi kukuacha
nmejifunza ki2...akili yangu utajili wangu
Mashallah 💕💕
Mashall