EXCLUSIVE: NYUMBANI KWA BILIONEA MTANZANIA ALIEPATA ALMASI YA BILIONI 3 SHINYANGA
Vložit
- čas přidán 14. 06. 2019
- Reporter wako Millard Ayo amefika mpaka Shinyanga kwa Mfanyabiashara Bilionea Mtanzania Joseph Temela ambae alitangazwa na Serikali kwamba amepata jiwe la ALMASI lenye thamani ya BILIONI 3, atazifanyia nini pesa zake? historia ya kutoka familia masikini, ulinzi wake ukoje baada ya hizo BILIONI?
Hivi kweli unampenda #Millard Ayo like hapa
Interview Kali sana 🌍🇹🇿👍
Upo vizurii milad
Wote muhojaji na muojiwa wote wate wametulia! Very excellent interview!!!
Kamanda niaje, ee bana sory utakapoona link yangu naomba unisapoti kusubscribe
czcams.com/video/cy2IbfNXA_Y/video.html
Official Anania Lijahe bila shaka sana kiongozi na hata kama kuna usaidizi mwingine unaweza kuitaji ambao ninaweza kuitatua basi nishtuwe hapa anzuantoine@yahoo.com
@@antoinea.katembo5326 asante sana kaka
Hongera sana *MILLARD AYO* kwa makala ya kipekee. Natazama kutoka Zanzibar!
Hongera kwake hongera pia Millard Ayo napenda kazi yako ubarikiwe sana
Mambo fatma, sorry mamy nina chanel yangu naomba unisapoti kusubscribe
Hizi ndo habar tunazo zitaka hakuna mamb ya umbea ooh sijui umedeti na mademu wangapi kabla zakupata almas lkn millard anauliza maswali ya maan big up hizi medi online nyengine zimejaa upuuzi tu
Umesema ukweli sana
Kabisaa
Shaaban Ramadhan 🤣🤣🤣kweli kabisaaa
Yaaani
Inaitwa professionalism
Millard Ayo you're the one who has a good and really story
Take five 👊👊
nimeamini kweli tusikate tamaa mungu yupo
Yes girl don't give up and you never ,imagine huyu mzee toka kitambo anapata tu some of na anapiga kazi long time Ila haku give up till today anapata zari Kama hilo ni Noma Sana but we have to learn from to him
Big up Millard...ww kibokooo na unajuwa kazi yako,huna spear na popote unafika,utabaki kuwa juu tuu
Billion 3 kibongo bongo sio mchezo...
Millard you rock it...
Hizi ndo habar za kurusha zina influence vijana kupambana pia zina entertain maendeleo
Alfred Davas mo
So kibongo bongo hizo ni pesa nyingi hata iweje mzee billion So mchezo
Yah true Nicky...
Kweli
Hongera millard kwa kutuletea habari nzur
Nothing comes easy, unawezaona kakaa miaka zaidi ya tisa bila kupata Mali na alitaka kuacha hiyo biashara lakin wakati huohuo akitoa hela kwa wafanyakazi wake bila yeye kuingiza pesa, hapo tujifunze kuwa na uvumilivu ukianguka amka pangusa mavumbi na songa mbele zaidi kwa sababu kesho yako huijui. Keep fighting never giver up.
Niaje Brother, sorry naomba utakapoona link yangu ya youtube unisapoti kusubscribe
Anko kamfungulia dunia kuwa anachotaka! Tujifunze kitu Hapo! Japo usitegemeeh kulipwa jema ahsante #joseph
Dah! Kweli maisha nipopote sio lazima shule, shule nimuhim ila kama namna yakusoma mtu hana ndo hiv tena Mungu anapanga maisha ya bina Adam yajua Mungu pekeake jmn me nakupend bure #millard
Milard utafika mbali sana unakipaji kiukweli MUNGU akuongoze, hii Habari Nimeipenda, fundisho tusikate tamaa 👏👏
Ayo nakubali sana kwa kujitoa kwako hili kujaribu kufikisha ujumbe kwa watanzania salute sana bro
We agha wewe interview kama hiz zinakuhusu
@@irenefaustine4205 Yah najua but nipe mda kdg ntaanza
Hongera joseph temela, bilionaire mpya wa tarehe 07/04/2019 nchini tanzania uwakumbuke wenzako
mabilionea wapo wengi wengine ni viongozi wa serikali wameficha mali zao..huwez kuniambia kiongozi anasimamia mradi wa bilioni 42 asiibe bilioni 10
Pesa haiko mkononi iko kichwani. Your dreams is the biggest success.
Nambie kamanda
czcams.com/video/cy2IbfNXA_Y/video.html
True
Huwa nakufuatilia sana Millard,kama kuna makosa unafanya kwenye kazi zako za habari,basi endelea kuyafanya maana makosa hayo ni yenye faida.Unagharamika sana kutafuta habari,nina imani initiative hii uliyochukuwa kwenda hadi Shinyanga imenifanya nikuone ukiwa mbali sana kama utajaaliwa umri mrefu(Nakuombea hili)..Wengi wameiona ya kawaida hii.Keep and push up the good work
Ha ha haa ninekufuma huku Leo.
Ooh jmn mungu ni mwema jmn
Gonga like bila kikomo kama unapenda Millard Ayo azidishe subscribers kibao apa★☆☆☆☆
Z Classic Fashionz
Hongera sana Millard Ayo kwa kazi nzuri ya utangazaji.
Hongera sana brz temela.Mungu akuzidishie mara 1000.kazi njema.
Hongera Joseph, fungua Fixed deposit account, nunua hisa kwenye makampuni makubwa, tulia fedha ikutengenezee pesa. Achana na traditional business
Kampun gani kubwa utapeleka 2bn wakat mishahara tu ni 500mil
Nimefurahi sana kuona unalinda faragha ya mali za mtu. Kunanzia plate number ya Bodaboda hadi magari ya tajiri. Waandishi wengine wangemulika hadi chooni
heshima bigete umetisha San kama umeliona hilo
Bigete naququbali
Sana umetisha brother
Millad Ayo you will be rich because you really fighter.
Mambo vipi
He is already a rich
@@re_up_gang 😃😃😃 true
Mpeni pole millardayo hilo kovu,sikujua kuwa alitokewa na problem.From Zambia
Aaaah mzee ume win kinyama na hivi ndivyo Mungu anavyobariki watu wake.
AND GOD BLESS YOU BABA IN JESUS NAME I PRAY.
Duuuuuh kudadeki kweli mungu akitaka kukupa wala hakuandikii barua
😂😂😂😂😂
Umenichekeshaaaa
Kaz nzuri sana Millard ayo......hongera bro kwa kutusua dili kubwa mungu anakuonesha njia ukiamin...
Kama unankubal Millard gonga like👍
Wewe jembe millard
Namkubali sana sana
Mambo niaje
Mjomba Josef nimefulai Sana kukuona leo
Shimano mjomba hakika leo nimefulai sana
Hongera sanaaa uncle Joseph.Mungu abariki kazi ya mikono yako
Nampenda Sana Mungu Ni fundi Sana acheni aitwe Mungu anainua vinyonge bila kujali muonekano hapa najifunza kuwa Mungu amempa mwanadamu akili na lzm kujikubali na kujiamini.kisha umtegemee yeye .kutokea hapo mafanikio yapo .ndugu zangu elimu ya kwanza aliyotupa Mungu ni Akili.mengine hayo Ni matokeo .God can.kuishia drs la Saba sio kufeli maisha na kusoma Sana sio kufaulu maisha.
Ukpata hela alafu ukaishi mjini kingereza lazima ukijue tuu 🤓😂 complicated, otherwise, Dollar,No,It depends,manage,simple, imagine,swaga za kisomi kabisa🙏Hongereni Sana Millard & Billionaire
Hahahaaa ...weweee😃😃😃😃😃
Safi
Ni kweli kabisa birds of the feathers flock together
😂😂😂😂😂hatar fireee
Kiingereza kweli simple, ukiwa na mkwanja!
Ukiwa na pesa unaishi popote walahi! Hongera Joseph ht usiposoma ukitumia akili yako vzr unatoka tu!
Pia ni mtihani
Anakula magengen nimemuelewa sana
Watu wa drs 7 ni noma sana wanapiga mapesa kuliko mapro hatari sana
😂😂😂
Ujue Mungu habagui
Akina Msukuma, Kishimba n.k
Maprof wenyewe kama akina paramaganda kabudi? 😂😂😂😂 mara mia mbili uishie la nne😂😂😂😂😂😂😂😂
Kweli kabisa
Nmekupenda bure millad jaman mpaka umefika kwetu love u love u
Yaan nyumbani kabisa Maganzo
Kama anaimiliki diamond kiwanja nikipendacho mwanza, basi ni dhahiri kwamba huyu jamaa alikua tajiri hata kabra ya hilo jiwe
kutoka kimaisha ni juudi zako na kumuomba Mungu Kwa kila nyendo..!
Nifollow @kingo_calius Instagram, kwa comedy, Ili uongeze miaka ya kuishi
Good
Amen
Mungu mkubwa..haijalishi umesota mda gani..mda ukifika hufungua milango.
Trust in God and you make it in life be honest with tithing and God will open great doors in your life
Natamani iwe ivo kwangu jamani 🙏🙏
Upo sawa nikweli siku zikifika Allah anakuinua fasta
Saf sana
God is over everything trust in God every time
Big Temela Mungu akuzidishie nakukubali sana pamoja Na kumiliki pesa mingi kiasi hicho huna majivuno watu wote unawathamini
Namfaham Mr.TemelA nimeamini Kweli unapojishushA na kua mnyenyekevu Mung Hakutupi maana jamaa yuko So humble and simple hata Ukienda kwenye hotel yake ya Diamond pale Mwanza ukamkuta unaweza dhan yye ni mteja tu wa kawaida ilA WapambE nuksi ndo wanavimba hatar.Mungu ni mwemA nataka nije kuwa Temela wa miaka ijayO🙏 Mungu mzidishiE huyU babA
Nikiona habari ambayo AYO uneitoa ndo naikubali na najua umeifanyia uchunguzi wa kutosha na tena ya maana. Wengine wajifunze kwako siyo story za matusi matusi. Bigup sana kaka
romana mbelle umenena point,,, Wee subiri kuanzia kesho utaona channel nyingine wanaedit heading na kupost kwao
MashaAllah, Millard ayo your the best
Jamaa katulia na anajielewa. Hongera kaka.
Hahahaha, wewe Betrice wewe
Haya Maisha bhana Unaweza kulala Masikini ukaamka Tajiri Sito Kata Tamaa Naamin ntafika ninapo oataka Waalah
Uyo tajiri kitambo hapo kaongezea .........jamaa anajituma na muaminifu mno
Huyo hakulala masikini alikuwa anapamban lala wewe kjn 😁
Nilichojifunza kutoka kwa huyu jamaa ni kwamba ni mfanyabiashara damu
Very humble.... person
Watu woote waliopitia mchakato sahihi huwa hawana mbwe mbwe...
Very humble...
Ngoja umpate mjomba ameamilza degree amepata kazi kwa memo...
Amepata home apartment ...
😎😎 full kuvimbaaa
Makala mazuri sana Millard Ayo. Hongera sana! Kwingineko, watoto wa Maradona, Argentina walifungwa 2-0 na vijana wa Colombia jana. Hata Free kicks za Messi hazikuwaokoa. Nenda youtube utafutize - hashtagmpasuamsonobari- Kwa kujua yaliyojiri
Millard nakukubali sana bro daaah uyu jamaa kanipa moyo wakupambana 💥
Kaka niaje, sory bro naomba utakapoona link yangu unisaidi kunisapoti kusubscribe
Nakkbal kwa kila habari zako kama na ww unaikubal ayo tv tujuane kwa like
Bos wangu Mr Joseph temelwa hana neno mpenda watu
Nmependa xana jinsi Joseph alivyoenjoy interview na mtu wa nguvu Millard
Huyo mjanja kauza bilioni 3 ila ataki kusema anaogopa wajanja wa mjini
Big up millard ayo to the world
Vp kaka Millard Ayo, sorry Kuna Namba ya Simu inatapeli watu mtandaoni kupitia account yako ya Fb!
Jomba niaje sory utakapoona linki yangu naomba unisapoti kusubscribe sir
czcams.com/video/cy2IbfNXA_Y/video.html
Duuuh hongera yake saanaaa
Ee dodo bahati kwa mtu mwenye shamba😉😁🤗.. akaweka jembe chini akaenda mjini kununua motocar ss ni tajiri🔥🔥
Fursa katika nchi yetu ni nyingi.. Ni akili yako tu 🙌🙌🙌
haswaaaaaa
Watu wavivu wanataka kuletewa
@@ilovejesus9303 😂😂😂 mteremkoo unaumiza hawajui
Mashaallah Mariam
Mariam call me 0684606015
Wangapi watu wa shy town nipen like zangu
Nice C.E.O wa DIAMOND kiwanja cha bata rock city
Maganzo kuna maendeleo mbalimbali.Nikaona mengi kama mgeni msomi pale Kolandoto kutoka Zambia 🇿🇲.Watu wa Maganzo wamebarikiwa sana.The man himself is very wise, humble and in-deed focused.High pedigree in business world.God bless Maganzo.
Uyu sio mchimbaji kama ilivyo tangazwa na serikali, huyu automatic ni mfanya biashara ya madini na nyinginezo. Na wauzaji waliuza million kumi wakaenda bar.
Salehe Innocent ni kweli bna
Exactly
ni mchimbaji ambaye ameadvance, yeye hachimbi, Bali kaajili wachimbaji, hamsikilizi wajameni
Millard nakupenda bure
@@upendorobert7298 we hujui lolote kuhusu uchimbaji nina uwelewa Wa kutosha kwenye uchimbaji mdogo coz nishachimba na nikaambulia vumbi.
Mzeee kama huyu anasema opportunities zipo nyingi ila ni akili yako tu
Sisi vijana tunalalamika ,,
Never give up
ommie马瑞 acha ujinga wewe huyu ni mzee, au husikilizi unakurupuka tuu kukoment
Je za vitisho aja pat
Huyu siyo mzee ana miaka 44..
Lol mzee anaanzia 50yrars
Nyie watoto mliozaliwa 2000...
Millenials
@@upendorobert7298 sawa mimi mjinga ila wewe *mpumbavu* sina haja ya kukuelezea utofauti
@@nellyjakobo9214 hili ndio nimeona sasa jamaa anazungumzia kujenga hotel 5 stars kama kununua unga wa ugali
Millard ayo naququbali kiongozi kazi zako hakuna wa kukufikia wewe hakika unajua sijaona wa kushindana na wewe brother. Naququbali #millard ayo
Kweli tuliosoma ndio wajinga.Tuna calculate risk sana
Keagle Eagle umeona ee, na ndicho kinacho tuponzaga
Sanaaaaa
Hapana kusoma ni muhimua sana na kutoka kimaisha ni mipango ya muungu.huo ni mtaz
Jamaa Check hii bro if you can
1.Temela Diamond Hotel Mwanza
2.Temela Diamond Hotel Dodoma
~TDH~
3. Diamond NightClub~Julius Nyerere International Airport
Ishi maisha yako simple kama vile ulikuwa ukishi zamani
kwahio mzee baba ulirudi kwa mguu naona umeanza safari na kibegi mgongoni alafu jamaa anakuacha hivihvi
Hongera sanaaaa br kweli upo simple na hayo ndo maisha pamoja na kuwa ww ni billionaire but still unakaa na wachimbaji
Miradi ayo umefika kwetu Shy town karibu sana.na hongera kwa kazi yako ya uhakika.
Mzee unaharibu majina ya watu bana@sio miradi ayo ni millard ayo
Basi sawa vizuri
Maganzo ni mji nilipokulia kuanzia chekechea hadi Sekondari..big up sana Millard kwa kuitumia vyema taaluma yako kwa weledi wa hali ya juu...
Inspiring! Bora ametoa ushauri wa kweli kwenye maisha ya biashara.
Nakukubali Ayo
Pamoja Sana @millardayo 🇹🇿
Nimeelewa aisee.Watu wenye pesa zao hawapendi kijulikana
KEEP UP THE GREAT WORK MAN
Ben Kisanga
Big up bro kwa kazi zako zakutupatia habar zenyew na co zaku2potezea tym ye2
Yaani mie nimegundua kuwa mbilionea wengi si wasomi, eti sijui degree, masters, hakuna, sijui tunakwama wapi, lakini wanaomiliki mabiashara mkubwa ni std 7, nahisi wasomi ni kujiona na kuona ni wakufanya kazi flani flani na si kazi za kujichanganya, ambazo ndo zinapesa nyingi.
True
Wasomi ubongo umesimamia kwenye vyeti tu
😁😁😁😂😁😁
Tunasoma muda mrefu mno
What you do is "READING BETWEEN THE LINES" that is what make u so different!
NICHOLAUS MBILINYI
Millard huyu jamaa kamaliza na wewe darasa la saba mwaka mmoja 😊
Mmmh hapana huyu 89 afu Millard 98
Lasamb no ma
Ongera sana milardayo kila la kher kiongoz
Braza Chanel yako ishakuwa na adds za kutosha!
Nakubali sana kazi mzee baba
Ni kweli biashara ni siri kwenye makubaliano pia kumtangazia mtu mafanikio yake ni kumuweka kwenye wakati mgumu kimazingira
hata ungekuwanayo huwezi kumpa kila mtu
Mwanaume kupambana cyo kukata tamaa safi sana
Ur the best kaka Millard Ayo
July..July..i repeat July..hero'z month..sou much inspired👍
kama ww mjanja na kama umeiona rangi ya mdomo ngonga like
Kaka Millard big up san
Ivi Millard unapaka nn mdomon lipustik au
Desire and persistence=success
USIKATE TAMAA, HUWEZI JUA MWENYEZI MUNGU AMEKUPANGIA UTAKUWA TAJIRI LINI, ONGEZA JUHUDI
"Opportunities zipo nyingi ila ni akili yako tu" Mwisho wa kunukuu nadhani mnanielewa. Kaeni na wimbo wa vyumaaa ......
Hiyo Akili unayo uzungumzia BILA PESA NI UPUMBAVU MKUBWA MNOO
La Saba hilo 🔥 la Saba kawa millionaire daahh
Hi nitafte au nitumie namb yako
Na hakufaulu madam
Sio millionaire ni billionaire
Bilionea
Hongera sana ayo na josee soon na mimi nita piga kiazi ktk mazingira ya kutatanisha never giverup
Naomba jibu moja sio mengi moja tuu jamani watanzania wenzangu kuwa namaisha mazuli ni moja JUUDI ZAKO 2 MIPANGO YAMUNGU 3 KUFOSI KWAKO kama unaaso kama mm jibu moja tuwekane sawa jamani
Hongera sana brother, ngongera pia Millard kwa kutuletea habar nzur
Wp like za ayo tv
Mungu,aishie akawe mwalim, mlinzi, na mtetezi wa maisha yako, kwani wanadam wanasiri nyingi!
Never give up
Mashallah, hongera kwake
Millard Ayo nakupongeza sana sichoki kufuatilia habari unazotuletea maana ni za kweli tofauti na wanavyofanya wengine. mi niko arusha na ninakuombea Mungu akupe neema ya kufanya makuu zaidi
Toa%10 wasaidie yatima na masikini
Vivian Chawe unampangia?
Asantee dogo milladi kwa habari Nzuri,