EXCLUSIVE: NYUMBANI KWA BILIONEA MTANZANIA ALIEPATA ALMASI YA BILIONI 3 SHINYANGA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 14. 06. 2019
  • Reporter wako Millard Ayo amefika mpaka Shinyanga kwa Mfanyabiashara Bilionea Mtanzania Joseph Temela ambae alitangazwa na Serikali kwamba amepata jiwe la ALMASI lenye thamani ya BILIONI 3, atazifanyia nini pesa zake? historia ya kutoka familia masikini, ulinzi wake ukoje baada ya hizo BILIONI?

Komentáře • 761

  • @princekassim4089
    @princekassim4089 Před 5 lety +215

    Hivi kweli unampenda #Millard Ayo like hapa
    Interview Kali sana 🌍🇹🇿👍

  • @antoinea.katembo5326
    @antoinea.katembo5326 Před 5 lety +94

    Wote muhojaji na muojiwa wote wate wametulia! Very excellent interview!!!

    • @ananialijahe9957
      @ananialijahe9957 Před 5 lety +1

      Kamanda niaje, ee bana sory utakapoona link yangu naomba unisapoti kusubscribe

    • @ananialijahe9957
      @ananialijahe9957 Před 5 lety

      czcams.com/video/cy2IbfNXA_Y/video.html

    • @antoinea.katembo5326
      @antoinea.katembo5326 Před 5 lety +1

      Official Anania Lijahe bila shaka sana kiongozi na hata kama kuna usaidizi mwingine unaweza kuitaji ambao ninaweza kuitatua basi nishtuwe hapa anzuantoine@yahoo.com

    • @ananialijahe9957
      @ananialijahe9957 Před 5 lety

      @@antoinea.katembo5326 asante sana kaka

  •  Před 5 lety +13

    Hongera sana *MILLARD AYO* kwa makala ya kipekee. Natazama kutoka Zanzibar!

  • @fatmachambotanzania9379
    @fatmachambotanzania9379 Před 5 lety +74

    Hongera kwake hongera pia Millard Ayo napenda kazi yako ubarikiwe sana

    • @ananialijahe9957
      @ananialijahe9957 Před 5 lety

      Mambo fatma, sorry mamy nina chanel yangu naomba unisapoti kusubscribe

  • @shaabanramadhan6770
    @shaabanramadhan6770 Před 5 lety +138

    Hizi ndo habar tunazo zitaka hakuna mamb ya umbea ooh sijui umedeti na mademu wangapi kabla zakupata almas lkn millard anauliza maswali ya maan big up hizi medi online nyengine zimejaa upuuzi tu

  • @stephanochaula4356
    @stephanochaula4356 Před 5 lety +137

    Millard Ayo you're the one who has a good and really story
    Take five 👊👊

    • @roseswai5386
      @roseswai5386 Před 5 lety +1

      nimeamini kweli tusikate tamaa mungu yupo

    • @stephanochaula4356
      @stephanochaula4356 Před 5 lety

      Yes girl don't give up and you never ,imagine huyu mzee toka kitambo anapata tu some of na anapiga kazi long time Ila haku give up till today anapata zari Kama hilo ni Noma Sana but we have to learn from to him

  • @johariabdalla3319
    @johariabdalla3319 Před 5 lety +42

    Big up Millard...ww kibokooo na unajuwa kazi yako,huna spear na popote unafika,utabaki kuwa juu tuu

  • @alfreddavas358
    @alfreddavas358 Před 5 lety +76

    Billion 3 kibongo bongo sio mchezo...
    Millard you rock it...
    Hizi ndo habar za kurusha zina influence vijana kupambana pia zina entertain maendeleo

  • @merryn4891
    @merryn4891 Před 5 lety +30

    Hongera millard kwa kutuletea habari nzur

  • @bibukaelias2722
    @bibukaelias2722 Před 5 lety +61

    Nothing comes easy, unawezaona kakaa miaka zaidi ya tisa bila kupata Mali na alitaka kuacha hiyo biashara lakin wakati huohuo akitoa hela kwa wafanyakazi wake bila yeye kuingiza pesa, hapo tujifunze kuwa na uvumilivu ukianguka amka pangusa mavumbi na songa mbele zaidi kwa sababu kesho yako huijui. Keep fighting never giver up.

    • @ananialijahe9957
      @ananialijahe9957 Před 5 lety

      Niaje Brother, sorry naomba utakapoona link yangu ya youtube unisapoti kusubscribe

  • @lucaswilliams5761
    @lucaswilliams5761 Před 5 lety +33

    Anko kamfungulia dunia kuwa anachotaka! Tujifunze kitu Hapo! Japo usitegemeeh kulipwa jema ahsante #joseph

  • @sifamugwaneza1178
    @sifamugwaneza1178 Před 5 lety +47

    Dah! Kweli maisha nipopote sio lazima shule, shule nimuhim ila kama namna yakusoma mtu hana ndo hiv tena Mungu anapanga maisha ya bina Adam yajua Mungu pekeake jmn me nakupend bure #millard

  • @amanamazanda748
    @amanamazanda748 Před 5 lety +14

    Milard utafika mbali sana unakipaji kiukweli MUNGU akuongoze, hii Habari Nimeipenda, fundisho tusikate tamaa 👏👏

  • @HUKUEUROPE.
    @HUKUEUROPE. Před 5 lety +30

    Ayo nakubali sana kwa kujitoa kwako hili kujaribu kufikisha ujumbe kwa watanzania salute sana bro

    • @irenefaustine4205
      @irenefaustine4205 Před 4 lety +1

      We agha wewe interview kama hiz zinakuhusu

    • @HUKUEUROPE.
      @HUKUEUROPE. Před 4 lety

      @@irenefaustine4205 Yah najua but nipe mda kdg ntaanza

  • @nicelaizer9854
    @nicelaizer9854 Před 5 lety +64

    Hongera joseph temela, bilionaire mpya wa tarehe 07/04/2019 nchini tanzania uwakumbuke wenzako

    • @255digitaltv7
      @255digitaltv7 Před 5 lety +3

      mabilionea wapo wengi wengine ni viongozi wa serikali wameficha mali zao..huwez kuniambia kiongozi anasimamia mradi wa bilioni 42 asiibe bilioni 10

  • @musarichard2934
    @musarichard2934 Před 5 lety +40

    Pesa haiko mkononi iko kichwani. Your dreams is the biggest success.

  • @malikimahmoudmangindo7430
    @malikimahmoudmangindo7430 Před 5 lety +50

    Huwa nakufuatilia sana Millard,kama kuna makosa unafanya kwenye kazi zako za habari,basi endelea kuyafanya maana makosa hayo ni yenye faida.Unagharamika sana kutafuta habari,nina imani initiative hii uliyochukuwa kwenda hadi Shinyanga imenifanya nikuone ukiwa mbali sana kama utajaaliwa umri mrefu(Nakuombea hili)..Wengi wameiona ya kawaida hii.Keep and push up the good work

  • @zclassicfashionz1573
    @zclassicfashionz1573 Před 5 lety +35

    Gonga like bila kikomo kama unapenda Millard Ayo azidishe subscribers kibao apa★☆☆☆☆

  • @elizabethmwandu6937
    @elizabethmwandu6937 Před 5 lety +6

    Hongera sana Millard Ayo kwa kazi nzuri ya utangazaji.

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi1308 Před 5 lety +20

    Hongera sana brz temela.Mungu akuzidishie mara 1000.kazi njema.

  • @helgaaporinaly2811
    @helgaaporinaly2811 Před 5 lety +28

    Hongera Joseph, fungua Fixed deposit account, nunua hisa kwenye makampuni makubwa, tulia fedha ikutengenezee pesa. Achana na traditional business

    • @josemchau470
      @josemchau470 Před 4 lety +1

      Kampun gani kubwa utapeleka 2bn wakat mishahara tu ni 500mil

  • @heshimabigete3735
    @heshimabigete3735 Před 5 lety +145

    Nimefurahi sana kuona unalinda faragha ya mali za mtu. Kunanzia plate number ya Bodaboda hadi magari ya tajiri. Waandishi wengine wangemulika hadi chooni

    • @godsanga518
      @godsanga518 Před 5 lety +4

      heshima bigete umetisha San kama umeliona hilo

    • @fadhilsanga2847
      @fadhilsanga2847 Před 4 lety +1

      Bigete naququbali
      Sana umetisha brother

  • @adrophwilliam3225
    @adrophwilliam3225 Před 5 lety +28

    Millad Ayo you will be rich because you really fighter.

  • @kennedymwangala8385
    @kennedymwangala8385 Před 5 lety +11

    Mpeni pole millardayo hilo kovu,sikujua kuwa alitokewa na problem.From Zambia

  • @samwellupimo1125
    @samwellupimo1125 Před 5 lety +25

    Aaaah mzee ume win kinyama na hivi ndivyo Mungu anavyobariki watu wake.
    AND GOD BLESS YOU BABA IN JESUS NAME I PRAY.

  • @stevoovlogs8645
    @stevoovlogs8645 Před 5 lety +22

    Duuuuuh kudadeki kweli mungu akitaka kukupa wala hakuandikii barua

  • @vincentauxerbius7554
    @vincentauxerbius7554 Před 5 lety +15

    Kaz nzuri sana Millard ayo......hongera bro kwa kutusua dili kubwa mungu anakuonesha njia ukiamin...

  • @issaferruzferruz3629
    @issaferruzferruz3629 Před 5 lety +500

    Kama unankubal Millard gonga like👍

  • @henrynzella9531
    @henrynzella9531 Před 5 lety +7

    Hongera sanaaa uncle Joseph.Mungu abariki kazi ya mikono yako

  • @andrewmagwila6219
    @andrewmagwila6219 Před 5 lety +5

    Nampenda Sana Mungu Ni fundi Sana acheni aitwe Mungu anainua vinyonge bila kujali muonekano hapa najifunza kuwa Mungu amempa mwanadamu akili na lzm kujikubali na kujiamini.kisha umtegemee yeye .kutokea hapo mafanikio yapo .ndugu zangu elimu ya kwanza aliyotupa Mungu ni Akili.mengine hayo Ni matokeo .God can.kuishia drs la Saba sio kufeli maisha na kusoma Sana sio kufaulu maisha.

  • @hazibonplatformafrica9617
    @hazibonplatformafrica9617 Před 5 lety +34

    Ukpata hela alafu ukaishi mjini kingereza lazima ukijue tuu 🤓😂 complicated, otherwise, Dollar,No,It depends,manage,simple, imagine,swaga za kisomi kabisa🙏Hongereni Sana Millard & Billionaire

  • @tedymwandara5480
    @tedymwandara5480 Před 5 lety +31

    Ukiwa na pesa unaishi popote walahi! Hongera Joseph ht usiposoma ukitumia akili yako vzr unatoka tu!

  • @jacobmwalusamba4478
    @jacobmwalusamba4478 Před 5 lety +125

    Watu wa drs 7 ni noma sana wanapiga mapesa kuliko mapro hatari sana

  • @happynessnyanda3613
    @happynessnyanda3613 Před 5 lety +10

    Nmekupenda bure millad jaman mpaka umefika kwetu love u love u

  • @edwardlupolaso2061
    @edwardlupolaso2061 Před 5 lety +35

    Kama anaimiliki diamond kiwanja nikipendacho mwanza, basi ni dhahiri kwamba huyu jamaa alikua tajiri hata kabra ya hilo jiwe

  • @pablogeoffrey5231
    @pablogeoffrey5231 Před 5 lety +137

    kutoka kimaisha ni juudi zako na kumuomba Mungu Kwa kila nyendo..!

  • @leylahley3542
    @leylahley3542 Před 5 lety +56

    Mungu mkubwa..haijalishi umesota mda gani..mda ukifika hufungua milango.

  • @deusmgema1204
    @deusmgema1204 Před 4 lety +1

    Big Temela Mungu akuzidishie nakukubali sana pamoja Na kumiliki pesa mingi kiasi hicho huna majivuno watu wote unawathamini

  • @danielyonah6010
    @danielyonah6010 Před 5 lety +1

    Namfaham Mr.TemelA nimeamini Kweli unapojishushA na kua mnyenyekevu Mung Hakutupi maana jamaa yuko So humble and simple hata Ukienda kwenye hotel yake ya Diamond pale Mwanza ukamkuta unaweza dhan yye ni mteja tu wa kawaida ilA WapambE nuksi ndo wanavimba hatar.Mungu ni mwemA nataka nije kuwa Temela wa miaka ijayO🙏 Mungu mzidishiE huyU babA

  • @romanambelle6356
    @romanambelle6356 Před 5 lety +7

    Nikiona habari ambayo AYO uneitoa ndo naikubali na najua umeifanyia uchunguzi wa kutosha na tena ya maana. Wengine wajifunze kwako siyo story za matusi matusi. Bigup sana kaka

    • @ednafiloteus5216
      @ednafiloteus5216 Před 5 lety

      romana mbelle umenena point,,, Wee subiri kuanzia kesho utaona channel nyingine wanaedit heading na kupost kwao

  • @rahillhamidu2544
    @rahillhamidu2544 Před 5 lety +26

    MashaAllah, Millard ayo your the best

  • @beatricemapembe8941
    @beatricemapembe8941 Před 5 lety +11

    Jamaa katulia na anajielewa. Hongera kaka.

  • @raymondjimmy2712
    @raymondjimmy2712 Před 5 lety +61

    Haya Maisha bhana Unaweza kulala Masikini ukaamka Tajiri Sito Kata Tamaa Naamin ntafika ninapo oataka Waalah

    • @sashababy1321
      @sashababy1321 Před 5 lety +1

      Uyo tajiri kitambo hapo kaongezea .........jamaa anajituma na muaminifu mno

    • @nickalreadyknows
      @nickalreadyknows Před 5 lety +3

      Huyo hakulala masikini alikuwa anapamban lala wewe kjn 😁

  • @marsgenesis7200
    @marsgenesis7200 Před 5 lety +15

    Nilichojifunza kutoka kwa huyu jamaa ni kwamba ni mfanyabiashara damu

  • @iviejustified8109
    @iviejustified8109 Před 5 lety +1

    Very humble.... person
    Watu woote waliopitia mchakato sahihi huwa hawana mbwe mbwe...
    Very humble...
    Ngoja umpate mjomba ameamilza degree amepata kazi kwa memo...
    Amepata home apartment ...
    😎😎 full kuvimbaaa

    •  Před 5 lety

      Makala mazuri sana Millard Ayo. Hongera sana! Kwingineko, watoto wa Maradona, Argentina walifungwa 2-0 na vijana wa Colombia jana. Hata Free kicks za Messi hazikuwaokoa. Nenda youtube utafutize - hashtagmpasuamsonobari- Kwa kujua yaliyojiri

  • @Dm-yq9wn
    @Dm-yq9wn Před 5 lety +71

    Millard nakukubali sana bro daaah uyu jamaa kanipa moyo wakupambana 💥

    • @ananialijahe9957
      @ananialijahe9957 Před 5 lety

      Kaka niaje, sory bro naomba utakapoona link yangu unisaidi kunisapoti kusubscribe

  • @djrautz733
    @djrautz733 Před 5 lety +71

    Nakkbal kwa kila habari zako kama na ww unaikubal ayo tv tujuane kwa like

  • @andrewairo3390
    @andrewairo3390 Před 5 lety +9

    Bos wangu Mr Joseph temelwa hana neno mpenda watu

  • @MrRush-ev6nr
    @MrRush-ev6nr Před 5 lety +5

    Nmependa xana jinsi Joseph alivyoenjoy interview na mtu wa nguvu Millard

  • @paulsaul1168
    @paulsaul1168 Před 5 lety +18

    Huyo mjanja kauza bilioni 3 ila ataki kusema anaogopa wajanja wa mjini

  • @wemakalamu3538
    @wemakalamu3538 Před 5 lety +21

    Big up millard ayo to the world

    • @yusuphkitori6040
      @yusuphkitori6040 Před 5 lety

      Vp kaka Millard Ayo, sorry Kuna Namba ya Simu inatapeli watu mtandaoni kupitia account yako ya Fb!

    • @ananialijahe9957
      @ananialijahe9957 Před 5 lety

      Jomba niaje sory utakapoona linki yangu naomba unisapoti kusubscribe sir

    • @ananialijahe9957
      @ananialijahe9957 Před 5 lety

      czcams.com/video/cy2IbfNXA_Y/video.html

  • @evaristmrope
    @evaristmrope Před 5 lety +13

    Duuuh hongera yake saanaaa

  • @amnemkubwa7353
    @amnemkubwa7353 Před 5 lety +18

    Ee dodo bahati kwa mtu mwenye shamba😉😁🤗.. akaweka jembe chini akaenda mjini kununua motocar ss ni tajiri🔥🔥

  • @maryammaram2612
    @maryammaram2612 Před 5 lety +45

    Fursa katika nchi yetu ni nyingi.. Ni akili yako tu 🙌🙌🙌

  • @yusuphmussa6589
    @yusuphmussa6589 Před 5 lety +13

    Wangapi watu wa shy town nipen like zangu

  • @rashidimkwango3097
    @rashidimkwango3097 Před 5 lety +7

    Nice C.E.O wa DIAMOND kiwanja cha bata rock city

  • @mrmoyo2772
    @mrmoyo2772 Před rokem

    Maganzo kuna maendeleo mbalimbali.Nikaona mengi kama mgeni msomi pale Kolandoto kutoka Zambia 🇿🇲.Watu wa Maganzo wamebarikiwa sana.The man himself is very wise, humble and in-deed focused.High pedigree in business world.God bless Maganzo.

  • @saleheinnocent7636
    @saleheinnocent7636 Před 5 lety +16

    Uyu sio mchimbaji kama ilivyo tangazwa na serikali, huyu automatic ni mfanya biashara ya madini na nyinginezo. Na wauzaji waliuza million kumi wakaenda bar.

    • @rizikibakar3186
      @rizikibakar3186 Před 5 lety

      Salehe Innocent ni kweli bna

    • @elizabethmabula101
      @elizabethmabula101 Před 5 lety

      Exactly

    • @upendorobert7298
      @upendorobert7298 Před 5 lety +1

      ni mchimbaji ambaye ameadvance, yeye hachimbi, Bali kaajili wachimbaji, hamsikilizi wajameni

    • @hainesurasa1503
      @hainesurasa1503 Před 5 lety

      Millard nakupenda bure

    • @saleheinnocent7636
      @saleheinnocent7636 Před 5 lety

      @@upendorobert7298 we hujui lolote kuhusu uchimbaji nina uwelewa Wa kutosha kwenye uchimbaji mdogo coz nishachimba na nikaambulia vumbi.

  • @ommietrendz7175
    @ommietrendz7175 Před 5 lety +47

    Mzeee kama huyu anasema opportunities zipo nyingi ila ni akili yako tu
    Sisi vijana tunalalamika ,,
    Never give up

    • @upendorobert7298
      @upendorobert7298 Před 5 lety +1

      ommie马瑞 acha ujinga wewe huyu ni mzee, au husikilizi unakurupuka tuu kukoment

    • @ameenahzenjbar7425
      @ameenahzenjbar7425 Před 5 lety +1

      Je za vitisho aja pat

    • @iviejustified8109
      @iviejustified8109 Před 5 lety +1

      Huyu siyo mzee ana miaka 44..
      Lol mzee anaanzia 50yrars
      Nyie watoto mliozaliwa 2000...
      Millenials

    • @ommietrendz7175
      @ommietrendz7175 Před 5 lety

      @@upendorobert7298 sawa mimi mjinga ila wewe *mpumbavu* sina haja ya kukuelezea utofauti

    • @ommietrendz7175
      @ommietrendz7175 Před 5 lety

      @@nellyjakobo9214 hili ndio nimeona sasa jamaa anazungumzia kujenga hotel 5 stars kama kununua unga wa ugali

  • @fadhilsanga2847
    @fadhilsanga2847 Před 4 lety +1

    Millard ayo naququbali kiongozi kazi zako hakuna wa kukufikia wewe hakika unajua sijaona wa kushindana na wewe brother. Naququbali #millard ayo

  • @keagleeagle821
    @keagleeagle821 Před 5 lety +20

    Kweli tuliosoma ndio wajinga.Tuna calculate risk sana

    • @upendorobert7298
      @upendorobert7298 Před 5 lety +1

      Keagle Eagle umeona ee, na ndicho kinacho tuponzaga

    • @dicksonbaraka7639
      @dicksonbaraka7639 Před 4 lety

      Sanaaaaa

    • @saidmtb3013
      @saidmtb3013 Před 4 lety +1

      Hapana kusoma ni muhimua sana na kutoka kimaisha ni mipango ya muungu.huo ni mtaz

  • @sebmalunde5945
    @sebmalunde5945 Před 5 lety +6

    Jamaa Check hii bro if you can
    1.Temela Diamond Hotel Mwanza
    2.Temela Diamond Hotel Dodoma
    ~TDH~
    3. Diamond NightClub~Julius Nyerere International Airport

  • @munashally3318
    @munashally3318 Před 5 lety +7

    Ishi maisha yako simple kama vile ulikuwa ukishi zamani

  • @proflwimo309
    @proflwimo309 Před 5 lety +15

    kwahio mzee baba ulirudi kwa mguu naona umeanza safari na kibegi mgongoni alafu jamaa anakuacha hivihvi

  • @simonsadala2386
    @simonsadala2386 Před 5 lety +1

    Hongera sanaaaa br kweli upo simple na hayo ndo maisha pamoja na kuwa ww ni billionaire but still unakaa na wachimbaji

  • @nshomamayungu2326
    @nshomamayungu2326 Před 5 lety +3

    Miradi ayo umefika kwetu Shy town karibu sana.na hongera kwa kazi yako ya uhakika.

    • @tanitani3387
      @tanitani3387 Před 5 lety

      Mzee unaharibu majina ya watu bana@sio miradi ayo ni millard ayo

  • @bebisheni4380
    @bebisheni4380 Před 4 lety +1

    Basi sawa vizuri

  • @ramadhanisalum8321
    @ramadhanisalum8321 Před 5 lety +3

    Maganzo ni mji nilipokulia kuanzia chekechea hadi Sekondari..big up sana Millard kwa kuitumia vyema taaluma yako kwa weledi wa hali ya juu...

  • @heraldloshi1864
    @heraldloshi1864 Před 5 lety +5

    Inspiring! Bora ametoa ushauri wa kweli kwenye maisha ya biashara.

  • @danielmotta3399
    @danielmotta3399 Před 5 lety +3

    Nakukubali Ayo

  • @benimagaya7966
    @benimagaya7966 Před 5 lety +4

    Pamoja Sana @millardayo 🇹🇿

  • @keagleeagle821
    @keagleeagle821 Před 5 lety +5

    Nimeelewa aisee.Watu wenye pesa zao hawapendi kijulikana

  • @Bensonfrank25
    @Bensonfrank25 Před 5 lety +19

    KEEP UP THE GREAT WORK MAN

    • @babyleila8349
      @babyleila8349 Před 5 lety

      Ben Kisanga

    • @taretv1177
      @taretv1177 Před 5 lety

      Big up bro kwa kazi zako zakutupatia habar zenyew na co zaku2potezea tym ye2

  • @upendorobert7298
    @upendorobert7298 Před 5 lety +17

    Yaani mie nimegundua kuwa mbilionea wengi si wasomi, eti sijui degree, masters, hakuna, sijui tunakwama wapi, lakini wanaomiliki mabiashara mkubwa ni std 7, nahisi wasomi ni kujiona na kuona ni wakufanya kazi flani flani na si kazi za kujichanganya, ambazo ndo zinapesa nyingi.

  • @nicholausmbilinyi3587
    @nicholausmbilinyi3587 Před 5 lety +8

    What you do is "READING BETWEEN THE LINES" that is what make u so different!

  • @frankshindano4620
    @frankshindano4620 Před 5 lety +26

    Millard huyu jamaa kamaliza na wewe darasa la saba mwaka mmoja 😊

  • @mishaelmisana1973
    @mishaelmisana1973 Před 5 lety +3

    Ongera sana milardayo kila la kher kiongoz

  • @charleslwoga7026
    @charleslwoga7026 Před 5 lety +12

    Braza Chanel yako ishakuwa na adds za kutosha!

  • @charleskaozya9924
    @charleskaozya9924 Před 5 lety +2

    Nakubali sana kazi mzee baba

  • @ahmadsayyeed1400
    @ahmadsayyeed1400 Před 5 lety +6

    Ni kweli biashara ni siri kwenye makubaliano pia kumtangazia mtu mafanikio yake ni kumuweka kwenye wakati mgumu kimazingira

  • @damasbenedict4246
    @damasbenedict4246 Před 5 lety +10

    hata ungekuwanayo huwezi kumpa kila mtu

  • @bonybony2848
    @bonybony2848 Před 5 lety +3

    Mwanaume kupambana cyo kukata tamaa safi sana

  • @anisiamedard3775
    @anisiamedard3775 Před 5 lety +2

    Ur the best kaka Millard Ayo

  • @faudhiatmasoud4025
    @faudhiatmasoud4025 Před 5 lety +1

    July..July..i repeat July..hero'z month..sou much inspired👍

  • @abdulfatahjuma5355
    @abdulfatahjuma5355 Před 5 lety +2

    kama ww mjanja na kama umeiona rangi ya mdomo ngonga like

  • @mariaamosy2701
    @mariaamosy2701 Před 5 lety +10

    Kaka Millard big up san

  • @gamechanger9646
    @gamechanger9646 Před 5 lety +21

    Desire and persistence=success

  • @mikemutabuzi3665
    @mikemutabuzi3665 Před 5 lety +4

    USIKATE TAMAA, HUWEZI JUA MWENYEZI MUNGU AMEKUPANGIA UTAKUWA TAJIRI LINI, ONGEZA JUHUDI

  • @madukaj.j.6999
    @madukaj.j.6999 Před 5 lety +7

    "Opportunities zipo nyingi ila ni akili yako tu" Mwisho wa kunukuu nadhani mnanielewa. Kaeni na wimbo wa vyumaaa ......

    • @SDFLASHTV
      @SDFLASHTV Před 4 lety +1

      Hiyo Akili unayo uzungumzia BILA PESA NI UPUMBAVU MKUBWA MNOO

  • @babyggg1509
    @babyggg1509 Před 5 lety +13

    La Saba hilo 🔥 la Saba kawa millionaire daahh

  • @hojamathias9989
    @hojamathias9989 Před 5 lety

    Hongera sana ayo na josee soon na mimi nita piga kiazi ktk mazingira ya kutatanisha never giverup

  • @shabansalee4924
    @shabansalee4924 Před 2 lety +1

    Naomba jibu moja sio mengi moja tuu jamani watanzania wenzangu kuwa namaisha mazuli ni moja JUUDI ZAKO 2 MIPANGO YAMUNGU 3 KUFOSI KWAKO kama unaaso kama mm jibu moja tuwekane sawa jamani

  • @najma3268
    @najma3268 Před 5 lety

    Hongera sana brother, ngongera pia Millard kwa kutuletea habar nzur

  • @chrisroby1953
    @chrisroby1953 Před 5 lety +7

    Wp like za ayo tv

  • @nyikatokewa4678
    @nyikatokewa4678 Před 5 lety +1

    Mungu,aishie akawe mwalim, mlinzi, na mtetezi wa maisha yako, kwani wanadam wanasiri nyingi!

  • @brownjulius8514
    @brownjulius8514 Před 5 lety +6

    Never give up

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 Před 2 lety

    Mashallah, hongera kwake

  • @noahakyoo4595
    @noahakyoo4595 Před 5 lety

    Millard Ayo nakupongeza sana sichoki kufuatilia habari unazotuletea maana ni za kweli tofauti na wanavyofanya wengine. mi niko arusha na ninakuombea Mungu akupe neema ya kufanya makuu zaidi

  • @vivianchawe7561
    @vivianchawe7561 Před 5 lety +10

    Toa%10 wasaidie yatima na masikini

  • @rweyemamukatunzi548
    @rweyemamukatunzi548 Před 5 lety

    Asantee dogo milladi kwa habari Nzuri,