Video není dostupné.
Omlouváme se.
BILIONEA MTANZANIA ASIMULIA MAZITO ALIYOPITIA MGODINI, NIMECHIMBA NA HARMONIZE, NIMELALA MSITUNI
Komentáře • 143
Další v pořadí
Automatické přehrávání
USICHUKULIE POA, KILA JIWE NI MADINI UTAPISHANA NA MKWANJA...Global TV Online
zhlédnutí 29K
World’s Largest Jello PoolMark Rober
zhlédnutí 107M
ДЕДУШКИН РАССОЛ В СОЛО⚡️КАН АНДРЕЙ⚡️
zhlédnutí 12M
JO PARIS 2024 - Céline Dion chante "L'hymne à l'amour" sur la Tour Eiffel à la cérémonie d'ouvertureEurosport France
zhlédnutí 6M
KARMA AT SCHOOL 🏫 Stop timedednahype
zhlédnutí 53M
#EXCLUSIVE: MBUNGE SALIM ASIMULIA ALIVYONUSURIKA KIFO MGODINI MSUMBIJIWasafi Media
zhlédnutí 12K
Kemikali za sumu zinavyoathiri wachimbaji wa madini TanzaniaBBC News Swahili
zhlédnutí 4,7K
EXCLUSIVE: NYUMBANI KWA BILIONEA MTANZANIA ALIEPATA ALMASI YA BILIONI 3 SHINYANGAMillard Ayo
zhlédnutí 711K
MILLARD AYO AFIKA KWENYE JUMBA LA BILIONEA MULOKOZI "SIO YA NDOTO ZANGU, ANAKUJA KUKAA MFANYAKAZI"Millard Ayo
zhlédnutí 471K
MTANZANIA ALIYEKUWA WA MWISHO DARASANI ATOA MTAJI WA MILIONI 10Millard Ayo
zhlédnutí 74K
A-Z dhahabu inavyopatikanaDaily News Digital
zhlédnutí 8K
SHUHUDIA MREMBO MDOGO ANAYEMILIKI MJENGO MKALI GOBA | ATAJA SIRI YA MAFANIKIO YAKE "Sili bata..."EastAfricaTV
zhlédnutí 48K
VUNJA BEI AMWAGA MACHOZI MBELE YA WAZIRI MKUU, WANACHO KIFANYA TRA SIO SAWAMbengo Tv
zhlédnutí 90K
Věděl si že to FUNGUJE? #ostravskygastrošef #heřmangazdaOstravsky Gastrošef (Heřman Gazda)
zhlédnutí 127K
Eleftherios Petrounias helped by Arthur Zanetti = epic gala moment ❤️Olympics
zhlédnutí 32M
Smart Sigma Kid #funny #sigma #comedyCRAZY GREAPA
zhlédnutí 32M
IKON A SÉGRA HRAJÍ ENGLISH OR SPANISH ?! 🇬🇧🇪🇸😂 #shortsIkonova Videa
zhlédnutí 164K
#JasonDeruloTV // Lottery #GotPermissionToPost From @prestige_et_collection #FromTheIslandsJason Derulo
zhlédnutí 115M
Inside Out 2: Test IQ Joy, Envy, Anger, Anxiety in One Line #shorts #animationAnythingAlexia
zhlédnutí 24M
Bullet Ricochet Myth 🤔 (explained)Zack D. Films
zhlédnutí 36M
Amazing weight loss transformation !! 😱😱Tibo InShape
zhlédnutí 65M
Kama unakubali kufeli shule sio kufeli maisha, gonga like tujuane boss.
Godson mrema umenikumbusha niposhule nilimwambia mkuu wa shule ya sekondari nilimwambia ivoivo kufeli mitihani sio kufeli maisha with nipo mtalini akaniita usiseme Ivo eti.nikweli Leo namshukuru mungu tz ninanyumba yangu bado napambana na Vita ya maisha.
Acha shule sasa
@@jumarwambo7420 muambie aige uache shule uone!!
Nikweli ndugu yangu kufeli kusoma sio kufeli maisha
@@shadagadagga9922 haaaaahaaa
Baba yake alimshirikisha ...wazazi wengine mna biashara kubwa lkn hamuwashirikishi familia mkifa kila kitu kinakufa...
Hongera kijana Mungu azidi kukulinda na kukuongoza.
MAHENGE MOROGORO NDIO HOME, BIGUP ALMAS💪
Asiyekujua,atahoji but I know you,I know your family ,na mapambano yako yote,you deserve to be a billionaire, also a leader coz you are blessed with good heart...kila la kheri my Uncle..Salim😍😍
Nice
Kama Tanzania imepata ma billionea wa madini ndani ya miaka miwili mfululizo je wazungu waliochimba tangu Karne wamevuna watrilioni mangapo Tanzania?
😧😱 daaah acha kbisa yan
Hapo sasa ndio maana tumempata kiongozi ambaye ameshtukia huo wizi.
Tatizo linaloisumbua Africa ni Uzalendo na Good management mkuu
Ukimkuta mtu anajigamba anapesa huyo anazo za nyanya
Ahaaahaaa
Kabisa
Inawezakana ila pia haiwezkani.
Mbunge Mtarajiwa Salim jina maarufu Salim Almasi MAHENGE stand UP
Huyu amepita,
Anayajua maisha
Good jobs speaking up my.brothe
Hongera sana kwa kupambna mbunge wetu mtarajiwa kaz kaz
Ongera sna mr Alimasi mm nimejifunza. Kua ukiamua kutafuta basi weka akili yko hpo ni usifanye jambo kwa kujaribu sema na mungu kua naamini hapa nitafanikiwa basi wee pambana kwa imani na kili moja tu
Big up bro we to gather
jama iko vizuri mwenye kuhoji na kuhojiwa.
Awww smart bro God bless you family is everything baba I’m so proud of you wa mahenge mwenzangu
Hongera achana na wanao kesha kumtukana rais hawana lolote
Nimejifunza hapa ya kuwa kumshirikisha mtoto ktk kutafuta ugari inamsaidia hata uko ktk maisha yake yoote hata uko alipopotea nguvu za babake zili murika uyu kaka anazo radhi za babake kiukweli
I like this job keep it up salim God bless u and your family
Dah...pongezi kubwa sana...maisha ni safari kaka na kwawa Tanzania wote
Kondeboy kahaso Bwana acha ale vyake
Kabisa kaangaika bana
God bless u gud work.
Big up brother
Mungu akusaidie
MASHAALLAH!!! MUNGU AKUENDELEZEE NA I.ANI YAKO MM NAOMBA KIBARUA TU JAMANI AJIRA HAKUNA!
Mungu amlinde
Ila huyu jamaa anayo roho safi sanaa yan ukifika mahenge auwez kusikia anazungumziwa kwa ubaya yan ni mtu amabae anasupport sana watu asee
Kweli kbs,,,,,huyu jamaa ana moyo wa kipekee sana
Mie Nataka niende huko Nipe Location Ndugu
Ukiwa mpambanaji huwezi kuwa na roho mbaya
Respect
Anafaa kua mbunge kujieleza anaweza wanaulanga mpeni kura zote
Kazi sana
Watu wametoka mbali...usione mtu anatumia pesa yake!
Duuh atali sana
Unachosema kweli watutunapitia sehemu mbalimbali
Never give up in your life
So inspired.
Home sweet home😍😍😍
inspired
Hongera zake ila headline is click baiting. Hajafanya kazi na Harmonize kama mlivyoandika bali kafanya mahali ambapo Harmo kadai kuwahi kufanya pia.
Mtangazaji hujauliza alipata shingapi huko Msumbiji wala hujaongelea kuhusu hilo Jiwe alilopata lililompa ubilionea. Kwaninia kaingia kwenye siasa na Chama gani. Pengine muda haukutosha ila zilikua info za msingi.
Hana maswali huyu jamaa..
Penye nia hapakosi njia na penye juhudi neema unakuja.
Hongera kaka imejitahidi. Inastahili huo umilionea
congrats mheshimiwa maisha ni ubishi....umepamban san had ulipo tunahitaj hyo spirit piah tupe siri.....
Nifunguwa apa baada yakuona iyo picha ya harmonize
ata mie
Ata mm
Hata mimi
Hongera sana
Duh watu wanachimba madini wanatiki mie nachimba tu wadada wa watu 😎
Wachimbe mkuu ipo siku utapata Tanzanite
Mbunge wetu uyooo tunakupenda snaaa
Hongera
Mbunge wetu tunampenda
Safi
Watanzania bado hatjajua maana ya neno BILIONEA
Good luck Live long is my dua
Mkuu ww ni nembo kubwa 💎💎💎
Dah hongera
Nice
Heri yako wengine kazi kukesha mitandaoni kumtukana rais maisha magumu.
Nakubaliii
Lakini jimboni bado maisha magumu ,miundombinu bado mibovu sana ,
❤
Story ya huyu ndugu kuhusu Msumbiji inanikumbusha nilivyotembea kuanzia saa 9 usiku mpaka saa 12 jioni kesho yake kwa mguu kuelekea mgodini,ilikuwa ni kutoka wilaya moja kwenda wilaya nyingine!!
Hii kama hujaelewa kitu bas elewa kwenye kutafuta mafanikio kunatakiwa kujirisk maisha yako
Hustler 💪🏽
ndio mwanajeshi mimi mwenyewe nilikuwepo huko msumbiji mwaka1993mpka 94 sehemu moja inaitwa miazini a
morogoro mkoa mzur sana aseee
Box mungu azidi kuku inua
Miamia bosi naiona ipanko na sisi tunapambana ndani ya korongo one day brother tupo nyuma
Mtu hata hajafika huko mayunivaa kawa bilionea
All the best Mpambanaji ...MBUNGE Mtarajiwa #harakatizamtumweusi
Mbuge wetu👌
Boss najifunza mengi sana kupitia ww
Salim Almas
Tanzania Kwanza Mengine baadae jpm nambari 1 Katiba sisi wananchi tuibadilishe rais wetu aendelee kutawala mpaka ukomo wa uhai wake kwa pamoja tunaweza Kinacho tukwamisha maishani! Sio kile kitu tusichonacho! HAPANA nikile tulichonacho hatujui namna ya kukitumia wananchi WANAHITAJI KIONGOZI BORA NA SI BORA KIONGOZI.
Hhhhhhhhhhhhh tulia ule ugari wa bule hapo kwa mume wa dada yko maisha unayajulia wapi wewe
Duh,maisha ni safari ndefu na ngumu
Namuona kama police ndio bodigad wake ama
Harmonze kweli jeshiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Ka mtipweshi iyoo ..msitu unaitw amazonia ....daaah kaka yaan kuna wale lenamo nime chezeaga sana bakora ...nili sachiwa mzee walikomba kila kitu nlibaku na pens tu ..
Pole sana dahh kipindi kile mzungu anamwaga Ile sumu ulikuepo? Nilipoteza kakangu nilisulika tu Kwa kuwa siku ilikuwa bado
Mnaohoji muwe basi na maswali yanayohusu jamani. Tumieni weledi basi. Mmetuacha ns kiuu hamhoji maswali ya maana. Mwisho mtatuchosha kusoma habari zenu maana hazina usahihi vizuri na ziko nie ya mafa husika.
Weledi jamani please.
pesa sio matako dadeki cha msingi usikate tamaa kama ipo ipo tu
Daaah nampendaa coz yuko really sana
Wapakaya
Msumbiji isikieni tuu aisee
Ndugu yetu huyu ulanga stand up
Naomba hixoria iwe ndefu bci..jmni...mbona ni fundixhoo zuri xana..lakin inakuwa fupi....
Unanikumbusha mbali Kaka mi bado na aso toka tumefukuzwa mtepweshi na siachi kuchimba
Maisha ni safari
AYO tuleteeni na wagombea wengine wapya tujifunze kitu kwao
Tatizo wengine historia zao hazizidi mistari minne
Maisha haya mmh tunahaso san
Mzungu wa roho
Millard ayo hapa huna mtangazaji anaacha key concept anaongelea mambo mengine
😂😂😂😂😆
Huyu jamaa anaweza andika kitabu kuhusu maisha yake hii interview ilitakiwa iwe ndefu zaidi
Inaonekana wazi kua mama yako arikua msimbe yan watoto wanne Kira mtoto na baba yake 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😋
Wa ukae huyu
Wakashina mayangu???
Swali zito sana kwa wanasiasa wa Tanzania
Ww kweli kichwa nilivyo kusikia tu ww uko vzr na akili imetulia
SIKU ZOTE MUNGU NI MWEMA SANA KWA MTU MWENYE BIDII.
Ndio mkewe huyoo acha hamisa ajisevie tu
N
Anipe siri ya urembo ili nam niwe tajiri
Mtangazaj chana nywele
😂😂😂😆
He
Bilionea?????
Ushamba
Dah maisha aisee
Nani amesikia he cant do anything
Hyu anaonekana dalal tu wa madin Hana lolote,kama anapga pesa kwnye madini unafuata nn kwnye ubunge,hzo ni mbnu tu za wanasiasa.
hujielewi
Acha rohombaya usimpe kurayako basi uswalitu
Ujielewi
Wivu aka husda
Kijana mpambanaji sana na ni kawaida ya watu weupe sababu wanachukia umasikini. Mbunge tumepata Ulanga
Mtu hata hajafika huko mayunivaa kawa bilionea
Hongera sana
Njia ngumu nilizopita mkanipa na jina mkasema niitwe jeshi.