UTASHANGAA HAYA MADINI YANAPATIKANA TANGA, BILIONEA AMWAGA AJIRA NYINGINE, YEYE ANAISHI KWENYE HEMA.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 3. 08. 2023

Komentáře • 36

  • @MauFundiElectronics
    @MauFundiElectronics Před 11 měsíci +8

    Mtangazaji upo vizuri sana KAZI mzuri sana mungu akubariki sana .

  • @abdulshakulahmed7903
    @abdulshakulahmed7903 Před 11 měsíci +5

    Mungu akutangulie yeye ndiye anagawa ridhiki amina

  • @mussaluhwago8829
    @mussaluhwago8829 Před 11 měsíci +3

    Kaka hakika mungu atakubariki katika hili unalofanya kuwezesha watu kupata ajira ,kuwezesha familia zao kupata chochote kulingana na uhaba wa ajira

  • @twalebleboss9687
    @twalebleboss9687 Před 11 měsíci

    Maashaallah.... Siku zote akili kubwa na imani kwa MUUMBA...Huleta mafanikio kwa WANAOJITUMA NA KUJIELEWA....GOD BLESS YOU BRO....

  • @user-pw8ml6ts8r
    @user-pw8ml6ts8r Před 8 dny

    Mtua nyagu nikupa hongela sana ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @hamishalidy5696
    @hamishalidy5696 Před 11 měsíci +6

    Watu wa mwakijembe tujuane hapa

  • @peninanicodemus2703
    @peninanicodemus2703 Před 11 měsíci +2

    He is the best ever

  • @wolframmwalo2432
    @wolframmwalo2432 Před 11 měsíci

    Naku admire mkuu kwa uwekezaji unaofanya mungu akulinde maana hadi kufika hapo changamoto unazopitia sio kidogo

  • @andrewemmanuel1861
    @andrewemmanuel1861 Před 11 měsíci +2

    Kaziiii yangu pendwaa Sana'a nitaiishiii although nimesomea kitu kingine

  • @nandyadam72
    @nandyadam72 Před 11 měsíci +1

    Mwakijembee...wao kwaktuu babu

  • @MauFundiElectronics
    @MauFundiElectronics Před 11 měsíci +2

    Kazi mzuri mtangazi

  • @warren-zs6vv
    @warren-zs6vv Před 11 měsíci +1

    Hiyo Echo tent ni kama around 50 million + hongera mbunge

  • @moyogems
    @moyogems Před 11 měsíci

    Hongera mzawa zamani wanaomiliki vifaa ni wazungu watai umethubutu maisha ni safari ndefu jamani karibu morogoro vjjn uweke keze kwa babu tale njoo kwangu naitwa mh mary mkuyuni

  • @InnohubGroup
    @InnohubGroup Před 6 měsíci

    Kama tungekuwa wazalendo, huyu angekuwa ametuzwa na kupewa motisha kama vile Forbes 400 na Bloomberg index wanavyofanya. Tatizo la media zetu zinazingatia sana kwa ngono na wasanii.
    Ningependa kuwahimiza wazingatie kwa maswala ya kujenga nchi kama haya na umaskini utakuwa jambo la sahau.

  • @raphaeljickson9476
    @raphaeljickson9476 Před 11 měsíci +1

    ❤❤❤

  • @daudikatanga6064
    @daudikatanga6064 Před 10 měsíci

    Mungu akutie nguvu boss

  • @asiamerey9081
    @asiamerey9081 Před 11 měsíci +2

    Haya umeshaajiri watu 70 mgodini namimi niajiri nyumbani kwako lakini hyo ajira ninayoitaka mimi Mh!!😂😂😂😂 Nikicheko

  • @michaelsamson9663
    @michaelsamson9663 Před 11 měsíci

    Vijana mpunguze kujaza namba zawadada kwenye sm zenu anzeni kufanya kazi naku fanya ujasiliamali

  • @emmanuelfari8924
    @emmanuelfari8924 Před 11 měsíci

    +MUNGU+ akutunze na UBARIKIWE ZAIDI brother YOHANA 14:14🙏

  • @benancejohn1198
    @benancejohn1198 Před 11 měsíci +1

    Hizo ajira tunapataje kaka 🤔

  • @yusufuzuberi9884
    @yusufuzuberi9884 Před měsícem

    Naomba namba ya mkurugenzi fafadhali

  • @abdullayahya8717
    @abdullayahya8717 Před 11 měsíci +1

    Kuna swali naona mtangazaji hujauliza kuhusu Mazingira eneo husika baada ya kuharibu kwa uchimbaji nini kitaendelea kuweka mazingira rafiki eneo liloharibiwa kwa baruti?

    • @timcee2670
      @timcee2670 Před 11 měsíci

      hili ndilo ilibidi liwe swali kuu la kufungia interview

  • @salumjrsaidjr7150
    @salumjrsaidjr7150 Před 10 měsíci

    Bungeni haonekani yupo bize na Mgodi Tz nchi ya Ahadi

  • @OLDSCHOOL-if7mi
    @OLDSCHOOL-if7mi Před 11 měsíci +1

    Asalam aleykum kka huku kizenge ukipata muda njoo tomalini ipo hayo madini yamechongoka kama pensel?

  • @manchumaiddi766
    @manchumaiddi766 Před 11 měsíci

    Big deal big boss

  • @sennybrown8588
    @sennybrown8588 Před 11 měsíci

    Sorry boss , Point of correction, its not mobilizations, The technical mining term is the Development stage

  • @JosephBWAGIZO-fs5ig
    @JosephBWAGIZO-fs5ig Před 11 měsíci

    MUNGU akubariki kiongoz tabu yako sio bure utavuna zaid na zaid

    • @JosephBWAGIZO-fs5ig
      @JosephBWAGIZO-fs5ig Před 11 měsíci

      Pia hongera sana Miladiayo kwa kazi nzuri MUNGU awabariki wote mzidi na kuzidi katika kila lililo jema