MZEE ALIYEKIMBIWA na MKE KISA UMASKINI AJENGA NYUMBA ya MILIONI 300, ATAFUTA MKE, ATAJA NAMBA ZAKE..

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 24. 02. 2023
  • MZEE ALIYEKIMBIWA na MKE KISA UMASKINI AJENGA NYUMBA ya MILIONI 300, ATAFUTA MKE ATAJA NAMBA ZAKE..
    Mzee Jumanne Kingu ni mkazi wa Mkonoo jijini Arusha ambaye aliwahi kuwa na tuhuma za kuwanyanyasa kijinsia watoto 22 na kesi yake ikapelekwa mahakamani na huko ikakosekana ushahidi kesi zake zote zilizokuwa zikimkabili zikafutwa.
    Ameibuka na kudai kuwa watu wanamuonea wivu kutokana na mafanikio aliyonayo wanamuita Freemason.
    Kutoka katika nyumba ya mbao hadi leo hii anajenga nyumba ya shilingi milioni 300 ya ghorofa.
    Alikimbiwa na mke kutokana na umaskini, lakini kwa sasa anatafuta mke mwingine wa kumuoa...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
    ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline

Komentáře • 267

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Před rokem +1

    SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉

  • @aishaamwalimu2887
    @aishaamwalimu2887 Před rokem +25

    Mungu akuzidishie kipato, Waache waseme, Wewe fanya yako mzee wangu.

  • @sharifaabdala1565
    @sharifaabdala1565 Před rokem +17

    Mungu akufanyie wepesi insha allah upate mke mwema Aamiin

  • @user-ty6lr1zq7j
    @user-ty6lr1zq7j Před rokem +8

    Watu wengi wamekosa maarifa kila mafanikio ya mtu wao wanawaza uchawi yani tunahitaji ukombozi wa fikra pole sana baba Mungu akuzidishie kadri umwombavyo

  • @asiakheir8684
    @asiakheir8684 Před rokem +30

    Allah akupe mke mwenye imani ya dini

  • @mariamyoyote8172
    @mariamyoyote8172 Před rokem +8

    Mashaallah mashaallah mwenyezi mungu akulinde na akujaaliye kila lenye kheri na baraka , akuepushie na Shari ,husida Amin yaraby thumma Amin 🤲🙏🙏♥️♥️❤️

  • @ahmedkandoro9594
    @ahmedkandoro9594 Před rokem +5

    MASHA ALLAH , ALLAH AKUZIDISHIE KHERI MZEE WANGU .

  • @ZsbAlbarwani
    @ZsbAlbarwani Před 21 dnem

    Baba hao wote ni wivu na choyo roho mbaya mafidi wanataka mtu asipate ukae unaombaomba na wakuzarau kama mali ya kichawi bas wakatafute wao usiwasikilize ishi maisha yako na mwenyezi Mungu atakubaliki said 🎉

  • @mariselabasil4350
    @mariselabasil4350 Před rokem +11

    kweli mungu ni mwema.

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 Před rokem +7

    Mwenyezi Mungu akulinde na husda za walimwengu

  • @nsiamasawe4578
    @nsiamasawe4578 Před rokem +8

    Hongera baba, fanya kazi kwa bidii usiwasikilize wambeya wenye dhiki. Wafunge mkanda kama wewe.

  • @salmajuma5313
    @salmajuma5313 Před rokem +1

    Mashallah Allah akupe mke mwenye hofu ya mungu inshallah 🤲

  • @jimjam4148
    @jimjam4148 Před rokem +2

    MASHA ALLAH.

  • @abdulrisassy2488
    @abdulrisassy2488 Před rokem +3

    Allah akusimamie usipate mke jambazi mzee wangu

  • @davidjohn2957
    @davidjohn2957 Před rokem +2

    Apana mtukuze Mwenyezi Mungu na tumia mda mwingi kumshukuru mwenyezi Mungu

  • @edinahmaganga2722
    @edinahmaganga2722 Před rokem +1

    Hongera sana Mzee wangu walimwengu wanapenda maneno sana wewe songa mbele achana na maneno ya wakosaji ziba masikio kwa pamba mtu mwenye wivu na maendeleo ya mtu mwingine huyo ni mchawi

  • @vincej9275
    @vincej9275 Před rokem +6

    Hongera sana mzee wangu kwa bidii. Utapata mkee mwema.

  • @yasminrashidi3070
    @yasminrashidi3070 Před rokem +1

    Masha ALLAH barakallah Nipo mm

  • @suleimanjokoro
    @suleimanjokoro Před rokem

    Pole Mzee,na hongera kwa kupambana!

  • @efraimrichard6440
    @efraimrichard6440 Před rokem +11

    Wadada Sasa Kama nawaona mzee kuwa makini wadada wa saivi ni hatar kabisa