MZEE ALIYEKIMBIWA na MKE KISA UMASKINI AJENGA NYUMBA ya MILIONI 300, ATAFUTA MKE, ATAJA NAMBA ZAKE..
Vložit
- čas přidán 24. 02. 2023
- MZEE ALIYEKIMBIWA na MKE KISA UMASKINI AJENGA NYUMBA ya MILIONI 300, ATAFUTA MKE ATAJA NAMBA ZAKE..
Mzee Jumanne Kingu ni mkazi wa Mkonoo jijini Arusha ambaye aliwahi kuwa na tuhuma za kuwanyanyasa kijinsia watoto 22 na kesi yake ikapelekwa mahakamani na huko ikakosekana ushahidi kesi zake zote zilizokuwa zikimkabili zikafutwa.
Ameibuka na kudai kuwa watu wanamuonea wivu kutokana na mafanikio aliyonayo wanamuita Freemason.
Kutoka katika nyumba ya mbao hadi leo hii anajenga nyumba ya shilingi milioni 300 ya ghorofa.
Alikimbiwa na mke kutokana na umaskini, lakini kwa sasa anatafuta mke mwingine wa kumuoa...
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: • GLOBAL COMEDY/MOVIES
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltvonline
SUBSCRIBE NOW NA BONYEZA ALAMA YA KENGELE🔔 UWE WA KWANZA KUONA👉
Mungu akuzidishie kipato, Waache waseme, Wewe fanya yako mzee wangu.
Mungu akufanyie wepesi insha allah upate mke mwema Aamiin
Watu wengi wamekosa maarifa kila mafanikio ya mtu wao wanawaza uchawi yani tunahitaji ukombozi wa fikra pole sana baba Mungu akuzidishie kadri umwombavyo
Allah akupe mke mwenye imani ya dini
Mashaallah mashaallah mwenyezi mungu akulinde na akujaaliye kila lenye kheri na baraka , akuepushie na Shari ,husida Amin yaraby thumma Amin 🤲🙏🙏♥️♥️❤️
MASHA ALLAH , ALLAH AKUZIDISHIE KHERI MZEE WANGU .
Baba hao wote ni wivu na choyo roho mbaya mafidi wanataka mtu asipate ukae unaombaomba na wakuzarau kama mali ya kichawi bas wakatafute wao usiwasikilize ishi maisha yako na mwenyezi Mungu atakubaliki said 🎉
kweli mungu ni mwema.
Mwenyezi Mungu akulinde na husda za walimwengu
Hongera baba, fanya kazi kwa bidii usiwasikilize wambeya wenye dhiki. Wafunge mkanda kama wewe.
Mashallah Allah akupe mke mwenye hofu ya mungu inshallah 🤲
MASHA ALLAH.
Allah akusimamie usipate mke jambazi mzee wangu
Apana mtukuze Mwenyezi Mungu na tumia mda mwingi kumshukuru mwenyezi Mungu
Hongera sana Mzee wangu walimwengu wanapenda maneno sana wewe songa mbele achana na maneno ya wakosaji ziba masikio kwa pamba mtu mwenye wivu na maendeleo ya mtu mwingine huyo ni mchawi
Hongera sana mzee wangu kwa bidii. Utapata mkee mwema.
Masha ALLAH barakallah Nipo mm
Pole Mzee,na hongera kwa kupambana!
Wadada Sasa Kama nawaona mzee kuwa makini wadada wa saivi ni hatar kabisa