NDANI ya JUMBA la KIFAHARI la MULOKOZI - TV ya MILIONI 60 - GYM na CHUMBA cha HADHI ya RAIS...
Vložit
- čas přidán 6. 02. 2024
- NDANI ya JUMBA la KIFAHARI la MULOKOZI - TV ya MILIONI 60 - GYM na CHUMBA cha HADHI ya RAIS...
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...
Good inspiration, sio kila tajiri anakubali kukupa access ya maisha yake.. Abarikiwe sana tajiri
Nimekufurajia jinsi ulivyo humble, usiache kutoa zaka.ili Mungu aweke ulinzi Kwa Mali na afya yako.
Mungu atupe na sisi 🤲🤲
Ameeen
OMG OMG hongera sana umejitengeneza kisawasawa kkkkkkkk ni Mungu tu anapopita kubariki wengine anibarikie na mieeeee nakuonea raha sana bro nikipata nafasi nitakuja kukutembelea hapo kwa Royalty yako. Hallelujah Amen 👏👏👏🎊🎊
Nitatafuta pesa kwa bidii ili na mimi niwe na vitu vizuri.Mungu nisaidie
Astahilie pongezi apatiwe pongezi zake. Hongera sana kutupatia motisha na hamasa hasa kwa wale wapendao maisha ya viwango.
Mungu nakushukuru kwa hichi kidogo ulichonijalia, na pia nakuomba unijalie my dream house
Hongera sana umeiheshimisha Babati kwakweli umetisha.
Hii nyumba ipo Babat sehem gan
Babati mkoani
Kwenye pongezi toa pongezi,,na tuombeane Mema....Kuna masikini wengi umu😅,, wengine wanaumia wanajifanya sijui kifo, sijui mautiii,,mara usitutishe,,maneno mengiii😅Hizo zote ni ishara za umaskini na Wivu,,Tutafute hela na si tuishiii😊,,
Pongezi sana kwa tajiri asiye na maringo mjini,
Mungu akupe maisha marefu,,We call him new Rich in Town 🥰
Exactly 😅❤
Ndoto ya kila anayepambana katka maisha hongera boss
Nawaza mbinguni itakuweje af ni uzima wa milele
Umewaza kama Mimi 😂😂😂😂
Kuna maandalizi na huko tujiandae tusikose kite duniani na huko
Upo vizuri kaka, nimependa Kwa kuwa muwazi Ki hivyo. Nimejifuza Kwa kiasi kikubwa. Nami nimeshajaribu kuanzisha biashara mara nyingi Bila mafanikio, Sasa naanza Tena. Big up
Halafu muhuni wala hana maringo, yuko so simple hana habari, safi sana
Am inspired
Kuna maisha mazuri zaidi ya haya huko mbinguni pia shukuru Kwa kile ulicho nacho mungu atakuongezea haya yote niya dunia tu na yanapita 😊😊
Acha izo kuwa inspired tafuta hela
@@davidmwita139 pesa sio kila kitu Ili uone mbingu unahitaji kuwa na mambo muhimu hapa Duniani Elimu,kula,malazi hayo mengine niya shetani.kula Chuma hicho 😋😋😂😂
acha hale vyake maana ata uko mbiguni atupajui 🏃🏃
@@emmanueljoseph3815 utapajua siku ukifa alafu wakati huo unateseka Huku mwili wako ukiwa mweusi tii zaidi ya masinzi Huku ndimi zako zimekutoka saizi ya kifuani
Amissi kigundu from uganda uyo nikufuru ss
Hamis kiggundu ...thamani ya nyumba yake ni $ 30 Mln ... yule ni cent-milionare mwenye networth $800 million
God bless 🙏🏻
good brother, God bless you
Haya maisha hayan usaw kabisa kuna watu wanaishi jamn
Bei ya TV imezidi mafao yangu ya miaka 37
Jamani 🤔🤔🤔🤔🤔
Dah hongera sana sana
Kuna watu wana nyumba mpaka wachawi wanaona aibu kwenda kuwanga😁😁😁
Wanaanzaje kwanza kwenda watapotea humo😅😅
Si wanafuata mtu anaemhitajia nyumba hawezi kuipata huyo mchawi
Serikali ya wachawi hawawezi kuachia wanga waingie hapo bila kutoa visa
@@mcback4384 Hiyo mpya sana 😂😂 na visa tena ?
@@mcback4384😂😂😂😂😂😂😂
Maisha ni mtihani tu ukiwa tajir mtihani,ukiwa maskini ni mtihani zaidi tusimameni na Ibada, Kwa Mtu ambaye amehafilika na ulimwengu na akamsahau Mungu ataona mambo makubwa sana haya ,,Mungu humpa amtakae..
Ninapata wivu unaonisukuma kupambana zaidi hata kwa hichi nilichonacho. Ninaamini katika Mungu na katika kazi nitafanikiwa na nitafikia kila lengo langu jema ambalo Mungu amekusudia katika maisha yangu. 😊😊
Masikini ni nani? Masikini ni yule anaewazia kifo kumuona mtu ana maisha haya wakati hata yeye anakesha kumuomba mungu ampe maisha kama haya binadamu sisi comedy sana😅
Afu haringi! Mengine yakinunua IST maji tu hatunywi😂
Maajabu ya hiyo nyumba yapo zaid kwenye facilities za ndani na mandhari ya nnje ya nyumba ila muundo kwa maana ya muonekano wa nyumba yenyewe naona kama wa kawaida hvi.. ila ni ni inspiration sana kwa wapambanaji 👏 👏
Safi sana ...japo umetunja mwandishi ...hujapitia kwenye paking bana ...any way next time ...jifunze kwa produse Michael USA 😅😅😅😅😂
Nyumba kali sana.Ila cameraman ajiongeze kidogo.
msituchoshe bwana na hizi nyumba za kujenga ukuta then mnagawa vyumba na kuweka vioo. Nendeni Mwanza muone yule msichana anaishi Italy amejenga nyumba mpaka utasema mimi mbona mungu ananionea.
Nendeni mkamuhoji huyo msichana maana ni doctor hapa Italy. ana miaka 35 nadhani amani mimi nataka nizae watoto wa kike
@@queenmilan2024interview yake ipo wapi?
Afu kuna mtu kajenga kisima juu ya nyumba yake akapiga kelele wiki nzima
Hahahahahahahaha daah
hilo ni somo tosha kwa wale vimbelembele wa kuonesha vtu vyako kuna watu kama kina MULOKOZI
wana hatari sana
mkuu MULOKOZI umetisha sana
nakubali sana kwa TANZANIA UPO KATIKA WATU.
Hata halingi yupo simple sana😂😂😂😂😂
The boss is dealing with medicine & minerals so don't joke with him 😂😂
Mbona tajir humble vile kama mtaftaj wa kawaida vile anasema kabisa ngoja kuwashie TV😂😂😂
Hongera
Afuuu halingii jamani
Kweli utajiri hauzoeleki sa mbona ka tajiri mwenyewe anashangaa mavitu yake makali
Duuh watu wako na pesa bana😮😮😮
Tuanze kuandaa CV za kuomba kazi ya kuwa CEO wa hiko kiwanda cha Dawa 😅😂
very cute
Nimefurahi sana kusikia chumba cha mwanangu joyce
nyumba ya diamondi haifui dafu hapo,,,, jamaa kapambana aisee
Ukiwanazo zitumie maisha mafupi
Hongera Mulokozi
Hii nyumba nzuri
Hatarii
Hio nyumba ndan ndio mbwembwe lkn ninyumba ya garama nafuu tu
Kajengeee
Nyumba ya sh 60m haiwezi kuwa hivi maana ingekuwa nyumba ya kawaida sana...inachekesha
MUNGU AWABARIKI WANAUME WOTE ambao wakifanikiwa wanawaza kuwatengenezea familia zao furaha na si kuwapa machungu Kwa kuwaza kuongeza wanawake
Umejuwaje kama hana😮
Duh nyumba ya jamaa imenifanga nimuone mwijaku amejenga dampo la kuhifadhia taka🤣🤣🤣🤣 maisha bhana.
😂😂😂
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣
Hapa Italy Ana villa kubwa Kwa lake Como.
@@queenmilan2024we acha masihara 😮
One point i take brother give me 5yrs
Huyo Joyce huyo Nina jambo name,,,,🎉
Tusaidieni sisi wajane tunawaomba😢
😂
Acheni ujinga wahandishi wa habari wa Tanzania hii sio nyumba ya kifahari bhana mtasababisha majirani waanze kutushambulia tena, kule Zanzibar kwa bakheresa ndio kuna inayostahiri kujadiliwa cha ajabu wala hamkuenda, narudia hii sio nyumba ya inayostahiri kuwa gumzo
Anaesema binadam tuko sawa uyo nichizi
Hivi huyu kaka ndugu yake na Alen?
Yani Huyu dada ni Mdogo ila hapa Milano ni doctor Ana pesa nyingi
Yaniii mwandishi wa habarii umenifuraisha umejikuta umelemewa na maswali
Kama hotel furani hivi 🙌
Mmmmmm hatar na nusu, sas hapo kati ya Mwijaku na huyu nani mhaya😂😂
Mwamba tunahaki ya kumpa maua yake ameupiga mwingi 👊👊
Ukifikiria kuwa mwisho wa life kama hili ni kifo unachoka kabisaaa
Yaan wewe umewaza kama mimi maana tunatakiwa tujiandalie na maisha ya Duniani na maisha ya akhera
kweli kabisa yaani haina lolote ni makazi tu na utakuta hata yeye mwenyewe izo sehemu mwisho wake ni kuwaonyesha watu tu wakija lakini yeye hazitumii kazi sana kwa kweli
Masikini ndio mawazo yake haya, kwani umeambiwa ukiwa na Hela ndio Moja kwa Moja una dhambi? Baki na umasikini wako
Kafa huyu sindiyo walikuaga na ugomvi mange kimambi alikufa gafla km ndo yeyey lakini
@@johnzege209hakika kaka maskinii hufikilia kushndwa tu
iyo nyumba ukiona kwa nje unaweza usiielewe,,bhana wee uko ndani ni balaa.watu wanaishi pazur jmn
Jengeni nyumba kwa mapana zaidi kama huyu jamaa siyo kukimbilia viwanja vya 15 kwa 30.
😂😂
Bei ya Tv inanitisha
kila kitu cha mulokoz ni kama ninavyowaza kasoro ni kwenye viwanda tuu yan
Nimeiyelewa.
Watu wanaishi
Na wanaishia vile vile!
Mwajika VP kibanda chako kipo 😂
Kuna watu wanaishi na Kuna akina sisi sasa😂😂😂😂😂
Wanaishi duniani,sisi tunakaa duniani 😂😂😂😂
huyu ni mwanaume 💪🏾💪🏾
Wewe kaka nimepanda maisha.yako.naomba uniajiri plss
😂😂😂mshaaza
Pesa zinazojenga nyumba kama hi, sio hizi tunazo tafuta! Elewa na uamini! Sio hizi tunazotafuta!
Kaka ni kweli pesa za kujenga sio hizi tunazo tafuta ,kwasasaivi bila kujiunga na mtandao bado hujawa mtu ban
PESA HAIJIFICHI VIJANA TUSAKE PESA
Kweli utajiri hauzoeleki
Mwijakuuu njooooo hukuuuu kuna jambo
Tv milioni 60😂😂 duuh bora ninunue zangu hier ya milion mbili
Msiokua na Hela usiseme unaenda kulala SEMA naenda kuegesha kama gari tu unaegesha popote
😂😂😂😂😂😂😂😅😅😅😅
Masikini mwijaku 😂😂😂😂😂
😂😂😂😂😂😂😂
Kwahiyo mpaka leo anaona CEO ni wazungu tu au expatriate Toka nje,Bado yuko gizani tanzania Kuna wasomi na managers wazuri siyo mpaka nje😢😢😢😢😢
wanakuwaga wengi
Suala ni uaminifu apo
Mzee sehemu umeweka bilioni zako za kutosha huwezi kuwachia kina ndegejoni wawe vibopa huyu ana viwanda so ana uzoefu
Anahofia kupigwa na wabongo, wamesoma kwl lakn akiwekwa hapo anataka nae ajenge kama hiyo kupitia wizi
Mliosema hamnywi pombe mnajenga😂😂 nasubr nyumba zenu😂
Baba pesa unayo mungu akubariki sana
Vizuri sana, na jambo zuri zaidi amefanya hilo katika mji mdogo wa Babati
Ila Mungu ni kiboko vyoooooote mwisho ni mauti haiangalii jamani
Tutafute hela sijui wapi na sisi
Hapa hakuna camera man mmepigwa
Kama ya mwijaku
Shida huyo rafiki yako anaponda nyumba za wenzie
Camera man sijamuelewa hatembez Camera anamchukua muhusika tu
Kama ya Mwijaku!
Hebu mheshimu kaka Mulokozi plz.
Mwandishi vipi ninasikia tuu uuu
Nakuaminia shem hiyo ndio ilikua ndoto yako
Nyumba kama hii zinapatikana ulaya na marekani alafu zinamilikiwa na watu matajiri wa Dunia kama wakina billget na benzos nk
Weee mmh
Mulokozi,umeupiga mwingi ,owamawe,omukama akubele
Why mkurugenzi atoke nje? Hatuthaminiani wazawa?😮😮😮
Wa nje wanaaminika. Mtanzania wapo wachache sana waaminifu wengine atakufilisi mpaka ubaki majengo tu na yeye aanzishe chake.
Naomba niwe mfanyakaz wako jmn 😂😂
Inye ninshaba akalimo tata ndasima
Ss ulileta waandsh wann 17:11
One day I will make more money than this guy's let fight in good ways