NDANI ya JUMBA la KIFAHARI la MULOKOZI - TV ya MILIONI 60 - GYM na CHUMBA cha HADHI ya RAIS...

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 02. 2024
  • NDANI ya JUMBA la KIFAHARI la MULOKOZI - TV ya MILIONI 60 - GYM na CHUMBA cha HADHI ya RAIS...
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 739 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Komentáře • 188

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Před 5 měsíci

    JIUNGE KWENYE CHANELI YETU YA WHATSAP ==> whatsapp.com/channel/0029Va7u...

  • @christiancalvin2183
    @christiancalvin2183 Před 5 měsíci +6

    Good inspiration, sio kila tajiri anakubali kukupa access ya maisha yake.. Abarikiwe sana tajiri

  • @user-lo6rw3ic7v
    @user-lo6rw3ic7v Před 5 měsíci +10

    Nimekufurajia jinsi ulivyo humble, usiache kutoa zaka.ili Mungu aweke ulinzi Kwa Mali na afya yako.

  • @fatmaalnabhani3609
    @fatmaalnabhani3609 Před 5 měsíci +10

    Mungu atupe na sisi 🤲🤲

  • @janeturio7414
    @janeturio7414 Před 2 měsíci

    OMG OMG hongera sana umejitengeneza kisawasawa kkkkkkkk ni Mungu tu anapopita kubariki wengine anibarikie na mieeeee nakuonea raha sana bro nikipata nafasi nitakuja kukutembelea hapo kwa Royalty yako. Hallelujah Amen 👏👏👏🎊🎊

  • @helentelemla5623
    @helentelemla5623 Před 5 měsíci +5

    Nitatafuta pesa kwa bidii ili na mimi niwe na vitu vizuri.Mungu nisaidie

  • @kakawamashariki8978
    @kakawamashariki8978 Před 5 měsíci +3

    Astahilie pongezi apatiwe pongezi zake. Hongera sana kutupatia motisha na hamasa hasa kwa wale wapendao maisha ya viwango.

  • @ediththom8862
    @ediththom8862 Před 5 měsíci +3

    Mungu nakushukuru kwa hichi kidogo ulichonijalia, na pia nakuomba unijalie my dream house

  • @chedielimrutu6955
    @chedielimrutu6955 Před 5 měsíci +6

    Hongera sana umeiheshimisha Babati kwakweli umetisha.

  • @mrdesigner_2024
    @mrdesigner_2024 Před 5 měsíci +3

    Kwenye pongezi toa pongezi,,na tuombeane Mema....Kuna masikini wengi umu😅,, wengine wanaumia wanajifanya sijui kifo, sijui mautiii,,mara usitutishe,,maneno mengiii😅Hizo zote ni ishara za umaskini na Wivu,,Tutafute hela na si tuishiii😊,,
    Pongezi sana kwa tajiri asiye na maringo mjini,
    Mungu akupe maisha marefu,,We call him new Rich in Town 🥰

  • @stevenclaud6648
    @stevenclaud6648 Před 5 měsíci +3

    Ndoto ya kila anayepambana katka maisha hongera boss

  • @flm1530
    @flm1530 Před 5 měsíci +10

    Nawaza mbinguni itakuweje af ni uzima wa milele

    • @mamachris6811
      @mamachris6811 Před 5 měsíci

      Umewaza kama Mimi 😂😂😂😂

    • @PdidSule
      @PdidSule Před 5 měsíci

      Kuna maandalizi na huko tujiandae tusikose kite duniani na huko

  • @loiswahindi3353
    @loiswahindi3353 Před 5 měsíci

    Upo vizuri kaka, nimependa Kwa kuwa muwazi Ki hivyo. Nimejifuza Kwa kiasi kikubwa. Nami nimeshajaribu kuanzisha biashara mara nyingi Bila mafanikio, Sasa naanza Tena. Big up

  • @johnwillingstone3121
    @johnwillingstone3121 Před 5 měsíci +2

    Halafu muhuni wala hana maringo, yuko so simple hana habari, safi sana

  • @gindamaster1784
    @gindamaster1784 Před 5 měsíci +1

    Am inspired

  • @Chettymlambalipsi-lb9km
    @Chettymlambalipsi-lb9km Před 5 měsíci +5

    Kuna maisha mazuri zaidi ya haya huko mbinguni pia shukuru Kwa kile ulicho nacho mungu atakuongezea haya yote niya dunia tu na yanapita 😊😊

    • @davidmwita139
      @davidmwita139 Před 5 měsíci +1

      Acha izo kuwa inspired tafuta hela

    • @Chettymlambalipsi-lb9km
      @Chettymlambalipsi-lb9km Před 5 měsíci +1

      @@davidmwita139 pesa sio kila kitu Ili uone mbingu unahitaji kuwa na mambo muhimu hapa Duniani Elimu,kula,malazi hayo mengine niya shetani.kula Chuma hicho 😋😋😂😂

    • @emmanueljoseph3815
      @emmanueljoseph3815 Před 5 měsíci

      acha hale vyake maana ata uko mbiguni atupajui 🏃🏃

    • @Chettymlambalipsi-lb9km
      @Chettymlambalipsi-lb9km Před 5 měsíci

      @@emmanueljoseph3815 utapajua siku ukifa alafu wakati huo unateseka Huku mwili wako ukiwa mweusi tii zaidi ya masinzi Huku ndimi zako zimekutoka saizi ya kifuani

  • @iddyhassani2219
    @iddyhassani2219 Před 5 měsíci +4

    Amissi kigundu from uganda uyo nikufuru ss

    • @R.Dickon
      @R.Dickon Před 5 měsíci

      Hamis kiggundu ...thamani ya nyumba yake ni $ 30 Mln ... yule ni cent-milionare mwenye networth $800 million

  • @judithkirenga9977
    @judithkirenga9977 Před 5 měsíci +1

    God bless 🙏🏻

  • @user-qm2wl4pq4u
    @user-qm2wl4pq4u Před 5 měsíci

    good brother, God bless you

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 Před 5 měsíci +3

    Haya maisha hayan usaw kabisa kuna watu wanaishi jamn

  • @mamachris6811
    @mamachris6811 Před 5 měsíci +2

    Bei ya TV imezidi mafao yangu ya miaka 37
    Jamani 🤔🤔🤔🤔🤔

  • @maribaisack2097
    @maribaisack2097 Před 5 měsíci

    Dah hongera sana sana

  • @sylvestercharles3585
    @sylvestercharles3585 Před 5 měsíci +5

    Kuna watu wana nyumba mpaka wachawi wanaona aibu kwenda kuwanga😁😁😁

    • @najalinanyambo3971
      @najalinanyambo3971 Před 5 měsíci +1

      Wanaanzaje kwanza kwenda watapotea humo😅😅

    • @fatmaalnabhani3609
      @fatmaalnabhani3609 Před 5 měsíci

      Si wanafuata mtu anaemhitajia nyumba hawezi kuipata huyo mchawi

    • @mcback4384
      @mcback4384 Před 5 měsíci +1

      Serikali ya wachawi hawawezi kuachia wanga waingie hapo bila kutoa visa

    • @fatmaalnabhani3609
      @fatmaalnabhani3609 Před 5 měsíci

      @@mcback4384 Hiyo mpya sana 😂😂 na visa tena ?

    • @mamachris6811
      @mamachris6811 Před 5 měsíci

      ​@@mcback4384😂😂😂😂😂😂😂

  • @mohamedmahmudali9346
    @mohamedmahmudali9346 Před 5 měsíci

    Maisha ni mtihani tu ukiwa tajir mtihani,ukiwa maskini ni mtihani zaidi tusimameni na Ibada, Kwa Mtu ambaye amehafilika na ulimwengu na akamsahau Mungu ataona mambo makubwa sana haya ,,Mungu humpa amtakae..

  • @devisshirima6780
    @devisshirima6780 Před 5 měsíci

    Ninapata wivu unaonisukuma kupambana zaidi hata kwa hichi nilichonacho. Ninaamini katika Mungu na katika kazi nitafanikiwa na nitafikia kila lengo langu jema ambalo Mungu amekusudia katika maisha yangu. 😊😊

  • @redtk2971
    @redtk2971 Před 5 měsíci +2

    Masikini ni nani? Masikini ni yule anaewazia kifo kumuona mtu ana maisha haya wakati hata yeye anakesha kumuomba mungu ampe maisha kama haya binadamu sisi comedy sana😅

  • @adelaidabayyo1840
    @adelaidabayyo1840 Před 4 měsíci

    Afu haringi! Mengine yakinunua IST maji tu hatunywi😂

  • @francomwacha2262
    @francomwacha2262 Před 5 měsíci

    Maajabu ya hiyo nyumba yapo zaid kwenye facilities za ndani na mandhari ya nnje ya nyumba ila muundo kwa maana ya muonekano wa nyumba yenyewe naona kama wa kawaida hvi.. ila ni ni inspiration sana kwa wapambanaji 👏 👏

  • @nickylyanga2139
    @nickylyanga2139 Před 5 měsíci +1

    Safi sana ...japo umetunja mwandishi ...hujapitia kwenye paking bana ...any way next time ...jifunze kwa produse Michael USA 😅😅😅😅😂

  • @phantyrhymes9536
    @phantyrhymes9536 Před 5 měsíci +1

    Nyumba kali sana.Ila cameraman ajiongeze kidogo.

  • @queenmilan2024
    @queenmilan2024 Před 5 měsíci +2

    msituchoshe bwana na hizi nyumba za kujenga ukuta then mnagawa vyumba na kuweka vioo. Nendeni Mwanza muone yule msichana anaishi Italy amejenga nyumba mpaka utasema mimi mbona mungu ananionea.

    • @queenmilan2024
      @queenmilan2024 Před 5 měsíci

      Nendeni mkamuhoji huyo msichana maana ni doctor hapa Italy. ana miaka 35 nadhani amani mimi nataka nizae watoto wa kike

    • @mcback4384
      @mcback4384 Před 5 měsíci

      ​@@queenmilan2024interview yake ipo wapi?

  • @afyayako1053
    @afyayako1053 Před 5 měsíci +2

    Afu kuna mtu kajenga kisima juu ya nyumba yake akapiga kelele wiki nzima

  • @emmanuellomnyak
    @emmanuellomnyak Před 5 měsíci

    hilo ni somo tosha kwa wale vimbelembele wa kuonesha vtu vyako kuna watu kama kina MULOKOZI
    wana hatari sana
    mkuu MULOKOZI umetisha sana
    nakubali sana kwa TANZANIA UPO KATIKA WATU.

  • @FredMwamgogwa-td6ni
    @FredMwamgogwa-td6ni Před 5 měsíci +2

    Hata halingi yupo simple sana😂😂😂😂😂

  • @TysonPhilip-io8bc
    @TysonPhilip-io8bc Před 5 měsíci

    The boss is dealing with medicine & minerals so don't joke with him 😂😂

  • @FreeGod368
    @FreeGod368 Před 5 měsíci +1

    Mbona tajir humble vile kama mtaftaj wa kawaida vile anasema kabisa ngoja kuwashie TV😂😂😂

  • @gloriamsaki9109
    @gloriamsaki9109 Před 5 měsíci

    Hongera

  • @nesymichael4286
    @nesymichael4286 Před 5 měsíci +3

    Afuuu halingii jamani

  • @atuganilemsomba3028
    @atuganilemsomba3028 Před 5 měsíci +1

    Kweli utajiri hauzoeleki sa mbona ka tajiri mwenyewe anashangaa mavitu yake makali

  • @kemmymugele350
    @kemmymugele350 Před 5 měsíci +2

    Duuh watu wako na pesa bana😮😮😮

  • @rogerorio912
    @rogerorio912 Před 5 měsíci +1

    Tuanze kuandaa CV za kuomba kazi ya kuwa CEO wa hiko kiwanda cha Dawa 😅😂

  • @tediusmakwara3931
    @tediusmakwara3931 Před 5 měsíci

    very cute

  • @subiradaud711
    @subiradaud711 Před 5 měsíci

    Nimefurahi sana kusikia chumba cha mwanangu joyce

  • @richytarimo4656
    @richytarimo4656 Před 5 měsíci +1

    nyumba ya diamondi haifui dafu hapo,,,, jamaa kapambana aisee

  • @KassimHanga-xr7rb
    @KassimHanga-xr7rb Před 5 měsíci +2

    Ukiwanazo zitumie maisha mafupi

  • @emmanuelmwangosi9400
    @emmanuelmwangosi9400 Před 5 měsíci

    Hongera Mulokozi

  • @adelinemanongi5999
    @adelinemanongi5999 Před 5 měsíci

    Hii nyumba nzuri

  • @rasvegas8991
    @rasvegas8991 Před 5 měsíci +1

    Hatarii

  • @ramadhanishabani807
    @ramadhanishabani807 Před 5 měsíci +1

    Hio nyumba ndan ndio mbwembwe lkn ninyumba ya garama nafuu tu

  • @Kulindwa
    @Kulindwa Před 5 měsíci

    Nyumba ya sh 60m haiwezi kuwa hivi maana ingekuwa nyumba ya kawaida sana...inachekesha

  • @sabinaluyego4408
    @sabinaluyego4408 Před 5 měsíci +1

    MUNGU AWABARIKI WANAUME WOTE ambao wakifanikiwa wanawaza kuwatengenezea familia zao furaha na si kuwapa machungu Kwa kuwaza kuongeza wanawake

  • @drazzadrazza4165
    @drazzadrazza4165 Před 5 měsíci +19

    Duh nyumba ya jamaa imenifanga nimuone mwijaku amejenga dampo la kuhifadhia taka🤣🤣🤣🤣 maisha bhana.

  • @nwntz
    @nwntz Před 5 měsíci

    One point i take brother give me 5yrs

  • @user-xv7qp1yl8s
    @user-xv7qp1yl8s Před 5 měsíci

    Huyo Joyce huyo Nina jambo name,,,,🎉

  • @naomipieter4627
    @naomipieter4627 Před 5 měsíci +2

    Tusaidieni sisi wajane tunawaomba😢

  • @eddechriss2664
    @eddechriss2664 Před 5 měsíci

    Acheni ujinga wahandishi wa habari wa Tanzania hii sio nyumba ya kifahari bhana mtasababisha majirani waanze kutushambulia tena, kule Zanzibar kwa bakheresa ndio kuna inayostahiri kujadiliwa cha ajabu wala hamkuenda, narudia hii sio nyumba ya inayostahiri kuwa gumzo

  • @michaelsamson9663
    @michaelsamson9663 Před 5 měsíci +1

    Anaesema binadam tuko sawa uyo nichizi

  • @SophiaTafuna
    @SophiaTafuna Před 5 měsíci +1

    Hivi huyu kaka ndugu yake na Alen?

  • @queenmilan2024
    @queenmilan2024 Před 5 měsíci

    Yani Huyu dada ni Mdogo ila hapa Milano ni doctor Ana pesa nyingi

  • @hellenmassawe7284
    @hellenmassawe7284 Před 5 měsíci

    Yaniii mwandishi wa habarii umenifuraisha umejikuta umelemewa na maswali

  • @MagrethMussa-hm3qm
    @MagrethMussa-hm3qm Před 5 měsíci

    Kama hotel furani hivi 🙌

  • @annaniasbyarugaba5788
    @annaniasbyarugaba5788 Před 5 měsíci

    Mmmmmm hatar na nusu, sas hapo kati ya Mwijaku na huyu nani mhaya😂😂

  • @user-wy7cd5ue7y
    @user-wy7cd5ue7y Před 5 měsíci

    Mwamba tunahaki ya kumpa maua yake ameupiga mwingi 👊👊

  • @claudiajames2003
    @claudiajames2003 Před 5 měsíci +8

    Ukifikiria kuwa mwisho wa life kama hili ni kifo unachoka kabisaaa

    • @Nadhifasaid-1654
      @Nadhifasaid-1654 Před 5 měsíci +3

      Yaan wewe umewaza kama mimi maana tunatakiwa tujiandalie na maisha ya Duniani na maisha ya akhera

    • @lujuomjanja2866
      @lujuomjanja2866 Před 5 měsíci +1

      kweli kabisa yaani haina lolote ni makazi tu na utakuta hata yeye mwenyewe izo sehemu mwisho wake ni kuwaonyesha watu tu wakija lakini yeye hazitumii kazi sana kwa kweli

    • @johnzege209
      @johnzege209 Před 5 měsíci +6

      Masikini ndio mawazo yake haya, kwani umeambiwa ukiwa na Hela ndio Moja kwa Moja una dhambi? Baki na umasikini wako

    • @mbanga6759
      @mbanga6759 Před 5 měsíci

      Kafa huyu sindiyo walikuaga na ugomvi mange kimambi alikufa gafla km ndo yeyey lakini

    • @user-gi5fv2hz7b
      @user-gi5fv2hz7b Před 5 měsíci

      ​@@johnzege209hakika kaka maskinii hufikilia kushndwa tu

  • @dorislema2465
    @dorislema2465 Před 5 měsíci

    iyo nyumba ukiona kwa nje unaweza usiielewe,,bhana wee uko ndani ni balaa.watu wanaishi pazur jmn

  • @salcle9702
    @salcle9702 Před 5 měsíci

    Jengeni nyumba kwa mapana zaidi kama huyu jamaa siyo kukimbilia viwanja vya 15 kwa 30.

  • @michaelsamson9663
    @michaelsamson9663 Před 5 měsíci

    Bei ya Tv inanitisha

  • @shikushyamunissy9723
    @shikushyamunissy9723 Před 5 měsíci

    kila kitu cha mulokoz ni kama ninavyowaza kasoro ni kwenye viwanda tuu yan

  • @simonkaaya1220
    @simonkaaya1220 Před 5 měsíci

    Nimeiyelewa.

  • @saidibanda8347
    @saidibanda8347 Před 5 měsíci +1

    Watu wanaishi

  • @MAPETEE
    @MAPETEE Před 5 měsíci

    Mwajika VP kibanda chako kipo 😂

  • @allenmwambuch3689
    @allenmwambuch3689 Před 5 měsíci

    Kuna watu wanaishi na Kuna akina sisi sasa😂😂😂😂😂

    • @mamachris6811
      @mamachris6811 Před 5 měsíci

      Wanaishi duniani,sisi tunakaa duniani 😂😂😂😂

  • @byeramwombeki
    @byeramwombeki Před 5 měsíci +1

    huyu ni mwanaume 💪🏾💪🏾

  • @glorychristopher7283
    @glorychristopher7283 Před 4 měsíci

    Wewe kaka nimepanda maisha.yako.naomba uniajiri plss

  • @danieljoseph1610
    @danieljoseph1610 Před 5 měsíci

    Pesa zinazojenga nyumba kama hi, sio hizi tunazo tafuta! Elewa na uamini! Sio hizi tunazotafuta!

    • @user-po7ho6so7v
      @user-po7ho6so7v Před 4 měsíci

      Kaka ni kweli pesa za kujenga sio hizi tunazo tafuta ,kwasasaivi bila kujiunga na mtandao bado hujawa mtu ban

  • @EddazariaMsulwa
    @EddazariaMsulwa Před 5 měsíci

    PESA HAIJIFICHI VIJANA TUSAKE PESA

  • @atuganilemsomba3028
    @atuganilemsomba3028 Před 5 měsíci

    Kweli utajiri hauzoeleki

  • @helentelemla5623
    @helentelemla5623 Před 5 měsíci +2

    Mwijakuuu njooooo hukuuuu kuna jambo

  • @peektvonline7244
    @peektvonline7244 Před 5 měsíci

    Tv milioni 60😂😂 duuh bora ninunue zangu hier ya milion mbili

  • @chidiomari.65
    @chidiomari.65 Před 5 měsíci

    Msiokua na Hela usiseme unaenda kulala SEMA naenda kuegesha kama gari tu unaegesha popote

  • @user-ts5bu7os5d
    @user-ts5bu7os5d Před 5 měsíci +1

    Masikini mwijaku 😂😂😂😂😂

  • @archbordygodfrey2614
    @archbordygodfrey2614 Před 5 měsíci

    Kwahiyo mpaka leo anaona CEO ni wazungu tu au expatriate Toka nje,Bado yuko gizani tanzania Kuna wasomi na managers wazuri siyo mpaka nje😢😢😢😢😢

    • @sheilaally9490
      @sheilaally9490 Před 5 měsíci

      wanakuwaga wengi

    • @elinamilyatuu7337
      @elinamilyatuu7337 Před 5 měsíci

      Suala ni uaminifu apo

    • @mcback4384
      @mcback4384 Před 5 měsíci

      Mzee sehemu umeweka bilioni zako za kutosha huwezi kuwachia kina ndegejoni wawe vibopa huyu ana viwanda so ana uzoefu

    • @abuukamugisha5994
      @abuukamugisha5994 Před 5 měsíci

      Anahofia kupigwa na wabongo, wamesoma kwl lakn akiwekwa hapo anataka nae ajenge kama hiyo kupitia wizi

  • @annaniasbyarugaba5788
    @annaniasbyarugaba5788 Před 5 měsíci

    Mliosema hamnywi pombe mnajenga😂😂 nasubr nyumba zenu😂

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Před 5 měsíci +1

    Baba pesa unayo mungu akubariki sana

  • @muchunofrank1326
    @muchunofrank1326 Před 5 měsíci

    Vizuri sana, na jambo zuri zaidi amefanya hilo katika mji mdogo wa Babati

  • @musokedios8162
    @musokedios8162 Před 5 měsíci +2

    Ila Mungu ni kiboko vyoooooote mwisho ni mauti haiangalii jamani

  • @gonsalvamswaga6471
    @gonsalvamswaga6471 Před 5 měsíci

    Tutafute hela sijui wapi na sisi

  • @asalitv8810
    @asalitv8810 Před 5 měsíci

    Hapa hakuna camera man mmepigwa

  • @amanijampion3045
    @amanijampion3045 Před 5 měsíci +1

    Kama ya mwijaku

    • @oswaldtemba2770
      @oswaldtemba2770 Před 5 měsíci

      Shida huyo rafiki yako anaponda nyumba za wenzie

  • @ZubedaJamuhuri
    @ZubedaJamuhuri Před 5 měsíci

    Camera man sijamuelewa hatembez Camera anamchukua muhusika tu

  • @judyngowi391
    @judyngowi391 Před 5 měsíci

    Kama ya Mwijaku!

  • @hellenmassawe7284
    @hellenmassawe7284 Před 5 měsíci

    Mwandishi vipi ninasikia tuu uuu

  • @subiradaud711
    @subiradaud711 Před 5 měsíci

    Nakuaminia shem hiyo ndio ilikua ndoto yako

  • @Aminmwansile-we8vn
    @Aminmwansile-we8vn Před 5 měsíci

    Nyumba kama hii zinapatikana ulaya na marekani alafu zinamilikiwa na watu matajiri wa Dunia kama wakina billget na benzos nk

  • @dicksonlaurean1614
    @dicksonlaurean1614 Před 5 měsíci

    Mulokozi,umeupiga mwingi ,owamawe,omukama akubele

  • @shadrackdeogratius6760
    @shadrackdeogratius6760 Před 5 měsíci

    Why mkurugenzi atoke nje? Hatuthaminiani wazawa?😮😮😮

    • @virosegg7712
      @virosegg7712 Před 5 měsíci

      Wa nje wanaaminika. Mtanzania wapo wachache sana waaminifu wengine atakufilisi mpaka ubaki majengo tu na yeye aanzishe chake.

  • @Happy-ef9kf
    @Happy-ef9kf Před 5 měsíci

    Naomba niwe mfanyakaz wako jmn 😂😂

  • @fintanifelix1680
    @fintanifelix1680 Před 5 měsíci

    Inye ninshaba akalimo tata ndasima

  • @ramadhanishabani807
    @ramadhanishabani807 Před 5 měsíci

    Ss ulileta waandsh wann 17:11

  • @andrewemmanuel1861
    @andrewemmanuel1861 Před 5 měsíci

    One day I will make more money than this guy's let fight in good ways