HIVI HAPA VIATU VYA MTUME MUHAMMAD. NYWELE ZAKE NA BAADHI YA VYOMBO ALIVYO TUMIA.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 26. 12. 2023

Komentáře • 84

  • @user-fq1gg8rj9i
    @user-fq1gg8rj9i Před měsícem +4

    Inna lillah wainna illaih Rajiuun ,,hii ni duniya ya mwisho hujui umuamini Nani wallahi,,, Yarrab tuoneshe njia haki waja wako ili tusipotezwe

    • @ashasalmin1625
      @ashasalmin1625 Před 17 dny +1

      hujui umuamini nani? soma utaelewanani wa kumuamini ondoa shaka

  • @gamarmahsan8254
    @gamarmahsan8254 Před 14 dny +1

    اللهم صل وسليم عليه

  • @maulidbaggo6144
    @maulidbaggo6144 Před 6 měsíci +1

    Maa shaa Allaah!

  • @abdulbonomali6548
    @abdulbonomali6548 Před 3 dny

    He he he he he 😢😢😢😢😢 hivyo vilitumiwa na mababuzenu mtuachie mtume wetu apumzike

  • @mealiipafu-wg7dx
    @mealiipafu-wg7dx Před měsícem

    MashaAllah tabarakallah

  • @NduwimanaMariam-hl9tn

    Tunavyo faham kua mtum wetu Muhammad s.a.w.alizikwa madina je hizo nywele zikafikaje kuhifadhika huko utirik ? Subhannallah

  • @LatifaLatifa67-ho1zr
    @LatifaLatifa67-ho1zr Před měsícem

    MashaAllah ❤

  • @AbujadiAbdalaAbujadiAbujad
    @AbujadiAbdalaAbujadiAbujad Před měsícem

    Masha allh

  • @aishaabdullah837
    @aishaabdullah837 Před měsícem

    Mashallah mashallah

  • @yusuphmoshi
    @yusuphmoshi Před měsícem +2

    Naam kweli wazushi hawa.

    • @awadhally1052
      @awadhally1052 Před měsícem

      Uongoo mkubwa huuu haya masufi ni maongo sanaaaa.

  • @ShabaniJumbe
    @ShabaniJumbe Před 26 dny

    Achani kudanganya watu Kwan mtume alinyoa ndevu adi munasema ndevu zake zimeifadhiwa muogopen Allah

  • @latifasuleiman7527
    @latifasuleiman7527 Před 26 dny

    Allah ndie anaejuwa kama ni kweli au sio kweli

  • @user-hs9cb3ht4r
    @user-hs9cb3ht4r Před měsícem

    Mashallah

  • @binurusm8886
    @binurusm8886 Před 29 dny +1

    Viatu inawezekana vikawepo mahala Pa makumbusho, Lakini nywele Mhh KwaKweli Sio rahisi.

  • @BradothAdm
    @BradothAdm Před měsícem +3

    Kwa nni yaletwa msri acheni kupotosha waislm

  • @hezronjoseph405
    @hezronjoseph405 Před 7 dny

    Kiatu namba 60

  • @user-nb2ql7zw3i
    @user-nb2ql7zw3i Před měsícem

    Tokapaaaa,

  • @AsshaKhamis
    @AsshaKhamis Před 6 dny

    Allah mkumbwa kwa kweli

  • @user-xd4lu1xl6c
    @user-xd4lu1xl6c Před 29 dny +2

    Acheni uongo

  • @jumakasuly8875
    @jumakasuly8875 Před 9 dny

    Hivyo vitu vimetokaje saudia nakuja uturuki, nibiashara au? hizondevu zamtume alinyolewa wakatigani nahiyo sunah yakufuga ndevu tuliipataje?

  • @JohnMuhogo
    @JohnMuhogo Před 28 dny +1

    We mwongo

  • @salimk.3562
    @salimk.3562 Před 26 dny

    Tafuteni machimo halali, hizi njaa zitawapeleka pabaya. Mnamihusisha mtume wa ALLAH na upuuzi huo. Laahaulaa walaa quwwata illa billah.

  • @amadeomarsaide5023
    @amadeomarsaide5023 Před 16 dny +1

    Mimi hua nauliza hivi Hizo nywele mlizipata je mpaka mukazihifadhi uturuki? Watu wabidaa hupenda kudanganyana sana. Mcheni Allah na kueni miongoni mwa wasemao ukweli.

    • @rashidkihunga2938
      @rashidkihunga2938 Před 13 dny

      kwani ww ukianza kuweka nywele zako sehem sio kuziacha saloon hawatozikuta tumia hata akili tu

  • @HAMISISHABANIDAUD
    @HAMISISHABANIDAUD Před 28 dny

    Acheni kutudanganya

  • @richardhosea8827
    @richardhosea8827 Před 8 dny

    Kumbe vinahusishwa tu si vya mtume?

  • @saidsaid-oj6qx
    @saidsaid-oj6qx Před měsícem +1

    Hizo ni ghurqfaati za masufi

  • @Gamba177
    @Gamba177 Před 28 dny +1

    Kwani Saudia hawajui kutunza hivyo vitu ? Acheni kudanganya watu jamani uwongo usiyofanana na ukweli mnaongea pumba siyo kweli kabisa.

  • @BilaliIloko
    @BilaliIloko Před 9 dny

    Ukisoma sira unajua kabusa ni uongo,eti nywele za mtume😂😂😂

  • @salimk.3562
    @salimk.3562 Před 26 dny +1

    Uongo

  • @MartinOnesmo-rk7hy
    @MartinOnesmo-rk7hy Před 26 dny

    Mh hicho kiatu kinasema mengi

  • @Gamba177
    @Gamba177 Před 28 dny +1

    Acha uwongo wewe huoni haya kwa uwongo wako

  • @ramzanqarim4977
    @ramzanqarim4977 Před 26 dny

    Hili ni jumba la historia ..kuna vitu wa mtume s.a.w..kuna vya othman..na kunanvitu vya historia vya turkey

  • @user-jw3gi6nn2i
    @user-jw3gi6nn2i Před 27 dny

    Ni Kwa Nini Yakahifadhiwe Utuluki Nayasiwe Sehemu Husika Hapo Huoni Kama Unatudanganya

  • @ShafiAthmani-bu6hq
    @ShafiAthmani-bu6hq Před měsícem

    Mh acha uzushi ww

  • @Rukaiya-lt3hm
    @Rukaiya-lt3hm Před měsícem

    Lakini kweriiiiii

  • @RamadhaniallyMavumbi-gb9hf

    Wew ni juha kabisa

  • @salehedikupatile
    @salehedikupatile Před 26 dny

    Naomba kuuliza khahaba ninini?

  • @babatidaawa6550
    @babatidaawa6550 Před měsícem

    Liongo sana

  • @kateadam8204
    @kateadam8204 Před 26 dny

    Allah tufungue macho waja wako

  • @SwalehMkuki
    @SwalehMkuki Před 26 dny

    Huu ni uzushi zahiri kabisa wala hakuna chenga.

  • @shabanimussa4269
    @shabanimussa4269 Před 28 dny

    hivi mbona watu hatumuopi mwenyezi mungu viatu Gani acheni uwongo Tena acheni kabisa hiv hamna KAZI zakufanya nyinyi?

  • @SadikiKiriti
    @SadikiKiriti Před 13 dny

    Huo ni uongo maana. Hizo nywere mmezitowa wap

  • @AlawAdam
    @AlawAdam Před 15 dny

    Tumu amini nan

  • @user-ve4hk6qt6s
    @user-ve4hk6qt6s Před 28 dny +1

    Kwaiyo unataka kusema kipindi cha mtume kulikuw na maulidi na watu walitengez kiti maalumu????

  • @fatinaselemani9859
    @fatinaselemani9859 Před 27 dny

    T

  • @Abuusaid-bm2go
    @Abuusaid-bm2go Před měsícem +2

    Mcheni Allah msiwe wanafi mkapitiliz kia's hicho ndev adhali Gani inayothibitisha kuwa alinyowa

  • @AdamrohoRoho-fr1kz
    @AdamrohoRoho-fr1kz Před měsícem

    Uzushi(bida'a)

  • @mussasaidhamad1891
    @mussasaidhamad1891 Před 29 dny

    Basi alikuwa na mguu mkubwa sana

  • @markabibrahim2397
    @markabibrahim2397 Před měsícem +1

    Nii ukweli mashaall a

  • @user-nk4oq4ek9y
    @user-nk4oq4ek9y Před měsícem

    Nimefurai kuina wallai

  • @user-jh9yv1zp1l
    @user-jh9yv1zp1l Před měsícem +1

    Uchawi tupu

  • @SWABRASWALEH-nc2lf
    @SWABRASWALEH-nc2lf Před měsícem

    Vitu vilikua turkey sio masri

  • @AminaMakera
    @AminaMakera Před 29 dny +2

    Acheni ulaghabu msipende kuzusha vitu mkavifananisha na hizo ndoto mnazoota nani alimnyoa na akazitunza msichume madhambi mtaulizwa mshindwe kujibu

  • @markabibrahim2397
    @markabibrahim2397 Před měsícem +1

    It's true god is great

  • @BradothAdm
    @BradothAdm Před měsícem +12

    Sio kweli ni uongo hakuna athari ya mtume iliyo baki zaid ya qur ani na sunna hao ni wazushi ktk dini

    • @SWABRASWALEH-nc2lf
      @SWABRASWALEH-nc2lf Před měsícem

      La si uzushi kama hujui fanya utafiti

    • @user-fw7rk1su1q
      @user-fw7rk1su1q Před měsícem +1

      Nyie mbona munaangaisha saana, kila kitu ni uzushi ivi ku madrassa yenu hakuna kitu chochote mnachokisoma ya kufundishwa bidaa , ile yote ni ufinyo wa elimu

    • @hilalkhalfan1452
      @hilalkhalfan1452 Před měsícem

      Ukafiri wa kiwahabia umewehuka sasa

    • @ramzanqarim4977
      @ramzanqarim4977 Před 26 dny

      Tembea ujioneee usiseme ni uzushi

    • @ustrashidsalimtz9316
      @ustrashidsalimtz9316 Před 26 dny

      Vilichoma moto?

  • @MuhammadShariff-ji9ye
    @MuhammadShariff-ji9ye Před 29 dny +1

    Ikiwa firaun amehifadhiwa akiwa mwili mzima kwanini washabga na nywele za mtume Muhammad s a w

  • @hajihaji123-lp5lx
    @hajihaji123-lp5lx Před měsícem +2

    hakuna chochote alichotumia mtume kwa sasa tangia zama za imaam dhahabi alikanusha kuwepo mabaki ya mtumme acheni uongo

  • @user-mx4wi8ic5e
    @user-mx4wi8ic5e Před 26 dny

    Nywele apana ,,haziwezi kupatikana aca uwongo,,

  • @user-mx4wi8ic5e
    @user-mx4wi8ic5e Před měsícem +1

    Hakuna alico kiaca mtume zaidi ya quran ,,aca uwongo mzushi wewe

  • @AbdallahSalum-vi3tw
    @AbdallahSalum-vi3tw Před 26 dny

    Kuhusu mtume (S.a.w)Huo ni uwongo unakithiri.Nani aliyeokota nywele za mtume ? Isitoshe na vitu alivyotumia ! Wewe watoka planet gani ? ACHA UWONGO .WE DON'T NEED SUCH A FUCKEN STORY !

  • @comredmuslimmputa2275
    @comredmuslimmputa2275 Před 6 měsíci

    Mhhhhhh

  • @user-lo1ui8tb6b
    @user-lo1ui8tb6b Před měsícem

    Kweli mawahabi ni wapumbavu na niwajinga hawataki kusoma firauni yuko misri mbona wapuuzi nyinyi hamupingi

  • @user-oc8uo9rl3u
    @user-oc8uo9rl3u Před 26 dny

    MPAKA AJE MZUNGU ATWAMBIE KWELI NDO TUTAAMINI.

  • @user-ve4hk6qt6s
    @user-ve4hk6qt6s Před 28 dny

    Muongo mkubwa wewe

  • @tibaasiligreatmoment8850

    Wajinga ndio waliwao

  • @shabanihugo8332
    @shabanihugo8332 Před měsícem

    Acheni uongo

  • @salehengoma5550
    @salehengoma5550 Před měsícem

    Uongo

  • @user-mx4wi8ic5e
    @user-mx4wi8ic5e Před měsícem

    Hakuna alico kiaca mtume zaidi ya quran ,,aca uwongo mzushi wewe