Mimi hua nauliza hivi Hizo nywele mlizipata je mpaka mukazihifadhi uturuki? Watu wabidaa hupenda kudanganyana sana. Mcheni Allah na kueni miongoni mwa wasemao ukweli.
Nyie mbona munaangaisha saana, kila kitu ni uzushi ivi ku madrassa yenu hakuna kitu chochote mnachokisoma ya kufundishwa bidaa , ile yote ni ufinyo wa elimu
Kuhusu mtume (S.a.w)Huo ni uwongo unakithiri.Nani aliyeokota nywele za mtume ? Isitoshe na vitu alivyotumia ! Wewe watoka planet gani ? ACHA UWONGO .WE DON'T NEED SUCH A FUCKEN STORY !
Inna lillah wainna illaih Rajiuun ,,hii ni duniya ya mwisho hujui umuamini Nani wallahi,,, Yarrab tuoneshe njia haki waja wako ili tusipotezwe
hujui umuamini nani? soma utaelewanani wa kumuamini ondoa shaka
اللهم صل وسليم عليه
Maa shaa Allaah!
He he he he he 😢😢😢😢😢 hivyo vilitumiwa na mababuzenu mtuachie mtume wetu apumzike
MashaAllah tabarakallah
Tunavyo faham kua mtum wetu Muhammad s.a.w.alizikwa madina je hizo nywele zikafikaje kuhifadhika huko utirik ? Subhannallah
MashaAllah ❤
Masha allh
Mashallah mashallah
Naam kweli wazushi hawa.
Uongoo mkubwa huuu haya masufi ni maongo sanaaaa.
Achani kudanganya watu Kwan mtume alinyoa ndevu adi munasema ndevu zake zimeifadhiwa muogopen Allah
Allah ndie anaejuwa kama ni kweli au sio kweli
Mashallah
Viatu inawezekana vikawepo mahala Pa makumbusho, Lakini nywele Mhh KwaKweli Sio rahisi.
Kwa nni yaletwa msri acheni kupotosha waislm
Kiatu namba 60
Tokapaaaa,
Allah mkumbwa kwa kweli
Acheni uongo
Hivyo vitu vimetokaje saudia nakuja uturuki, nibiashara au? hizondevu zamtume alinyolewa wakatigani nahiyo sunah yakufuga ndevu tuliipataje?
We mwongo
Tafuteni machimo halali, hizi njaa zitawapeleka pabaya. Mnamihusisha mtume wa ALLAH na upuuzi huo. Laahaulaa walaa quwwata illa billah.
Mimi hua nauliza hivi Hizo nywele mlizipata je mpaka mukazihifadhi uturuki? Watu wabidaa hupenda kudanganyana sana. Mcheni Allah na kueni miongoni mwa wasemao ukweli.
kwani ww ukianza kuweka nywele zako sehem sio kuziacha saloon hawatozikuta tumia hata akili tu
Acheni kutudanganya
Kumbe vinahusishwa tu si vya mtume?
Hizo ni ghurqfaati za masufi
Kwani Saudia hawajui kutunza hivyo vitu ? Acheni kudanganya watu jamani uwongo usiyofanana na ukweli mnaongea pumba siyo kweli kabisa.
Ukisoma sira unajua kabusa ni uongo,eti nywele za mtume😂😂😂
Uongo
Mh hicho kiatu kinasema mengi
Acha uwongo wewe huoni haya kwa uwongo wako
Hili ni jumba la historia ..kuna vitu wa mtume s.a.w..kuna vya othman..na kunanvitu vya historia vya turkey
Ni Kwa Nini Yakahifadhiwe Utuluki Nayasiwe Sehemu Husika Hapo Huoni Kama Unatudanganya
Mh acha uzushi ww
Lakini kweriiiiii
Wew ni juha kabisa
Naomba kuuliza khahaba ninini?
Liongo sana
Allah tufungue macho waja wako
Huu ni uzushi zahiri kabisa wala hakuna chenga.
hivi mbona watu hatumuopi mwenyezi mungu viatu Gani acheni uwongo Tena acheni kabisa hiv hamna KAZI zakufanya nyinyi?
Huo ni uongo maana. Hizo nywere mmezitowa wap
Tumu amini nan
Kwaiyo unataka kusema kipindi cha mtume kulikuw na maulidi na watu walitengez kiti maalumu????
Weee vp?😔😔
T
Mcheni Allah msiwe wanafi mkapitiliz kia's hicho ndev adhali Gani inayothibitisha kuwa alinyowa
Wewe mwehu ukawehuka Kwa mawahabi
Mashaallah mashaallah mashaallah
Uzushi(bida'a)
Umewehuka na mawahabi
Basi alikuwa na mguu mkubwa sana
Nii ukweli mashaall a
Nimefurai kuina wallai
Uchawi tupu
Vitu vilikua turkey sio masri
Acheni ulaghabu msipende kuzusha vitu mkavifananisha na hizo ndoto mnazoota nani alimnyoa na akazitunza msichume madhambi mtaulizwa mshindwe kujibu
It's true god is great
Sio kweli ni uongo hakuna athari ya mtume iliyo baki zaid ya qur ani na sunna hao ni wazushi ktk dini
La si uzushi kama hujui fanya utafiti
Nyie mbona munaangaisha saana, kila kitu ni uzushi ivi ku madrassa yenu hakuna kitu chochote mnachokisoma ya kufundishwa bidaa , ile yote ni ufinyo wa elimu
Ukafiri wa kiwahabia umewehuka sasa
Tembea ujioneee usiseme ni uzushi
Vilichoma moto?
Ikiwa firaun amehifadhiwa akiwa mwili mzima kwanini washabga na nywele za mtume Muhammad s a w
hakuna chochote alichotumia mtume kwa sasa tangia zama za imaam dhahabi alikanusha kuwepo mabaki ya mtumme acheni uongo
Nywele apana ,,haziwezi kupatikana aca uwongo,,
Hakuna alico kiaca mtume zaidi ya quran ,,aca uwongo mzushi wewe
Kuhusu mtume (S.a.w)Huo ni uwongo unakithiri.Nani aliyeokota nywele za mtume ? Isitoshe na vitu alivyotumia ! Wewe watoka planet gani ? ACHA UWONGO .WE DON'T NEED SUCH A FUCKEN STORY !
Mhhhhhh
Kweli mawahabi ni wapumbavu na niwajinga hawataki kusoma firauni yuko misri mbona wapuuzi nyinyi hamupingi
MPAKA AJE MZUNGU ATWAMBIE KWELI NDO TUTAAMINI.
Muongo mkubwa wewe
Wajinga ndio waliwao
Acheni uongo
Uongo
Hakuna alico kiaca mtume zaidi ya quran ,,aca uwongo mzushi wewe
Wehu huo ushakupanda
@@hilalkhalfan1452wewe ni zaidi ya mwehu