SILAA AWAREJESHEA BAKWATA MWANZA ENEO LA WAQFU LA ZAIDI MIAKA 26 ILIYOPITA,WAMUOMBEA DUA RAIS SAMIA.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024
  • Waziri wa Ardhi nyumba na Maendeleo ya Makazi Jerry Silaa ameagiza kupewa hati Bakwata na kumilikishwa eneo lililokuwa na mgogoro kwa muda mrefu ambapo inadaiwa eneo hilo lilitolewa kama Waqfu kwa waumini ili kujenga madrasa.
    Maamuzi hayo yametolewa na Silaa alipopokea kero kwenye ziara yake ya kusikiliza kero za ardhi ndani ya wilaya Ilemela Mkoa wa Mwanza.
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Komentáře • 65

  • @abuusaid3297
    @abuusaid3297 Před 5 měsíci +4

    Honger sn waziri, kama viongozi wengine wangekua kama wewe,hata baraka zingeongezek ndani ya nchi, pia raisi samia allahu ampe kila lakheri kwa usimamizi mzuri wa anao waongoza❤

  • @williamssempoli2294
    @williamssempoli2294 Před 5 měsíci +8

    Jerry Slaa....... Mungu akutie nguvu, akupe afya na uzima, unafanya kazi kubwa sana.

  • @gibsonjosephat6352
    @gibsonjosephat6352 Před 5 měsíci +5

    Mimi ni Mkristo, nimependa Sana walichokufanya Mashekhe wangu kumuombea Dua huyu Kiongozi. Mungu awe. nanyi.

  • @saidimoshi1276
    @saidimoshi1276 Před 5 měsíci +4

    Mungu akulinde Waziri usie na tamaa

  • @user-oo1vz3zi1t
    @user-oo1vz3zi1t Před 5 měsíci +3

    Pole kjana na hongera sana tunazdi kukuombea Allah akuongoze

  • @mussakimaro5588
    @mussakimaro5588 Před 5 měsíci +3

    waziri nimemuelewa sana piga kazi mama samia kajua kuteua mtu mahiri sana ukitoka huko uende ngorongoro kwa wamasai

  • @salehothman6144
    @salehothman6144 Před 5 měsíci +4

    Daa yani kusema la ukweli ,Williamlujuvi alikua anajitahidi sana na wizara hii ila Jerry kwa muda mfupi sana umewafunika mawziri wote wa Ardhi.

  • @abujafarshaban6830
    @abujafarshaban6830 Před 5 měsíci +2

    Hon Silaa your very special in my ❤

  • @sammyalwahebi5937
    @sammyalwahebi5937 Před 5 měsíci +6

    Muheshimiwa waziri unapata visomo mpaka mimi nakuona wivu..lakini yote kheri.. bado natafuta Email yako nikupe hongera kwa unayofanya, Mungu akulinde na akubariki

  • @hasaabdi7199
    @hasaabdi7199 Před 5 měsíci +5

    Waziri Allah akuongeze

  • @ramadhanimtetu3656
    @ramadhanimtetu3656 Před 5 měsíci +2

    Mh Slaa usiogope songa mbele Nyuma Yako Yuko Ambae Yuko Mungu Mwenye Nguvu Mshindi na Msifiwa M/Mungu ni Mwenye haki
    Na Anawapenda Wasimamizi wa haki

  • @user-so9fo5tv3j
    @user-so9fo5tv3j Před 5 měsíci +2

    Stay blessed Mh. Jerry Slaa

  • @issarashid7707
    @issarashid7707 Před 5 měsíci

    Mungu akuongoze katika uadilifu kiongozi Slaa

  • @ezekieljacob5795
    @ezekieljacob5795 Před 5 měsíci +2

    Jamani, ni mahakama gani hizi ambazo zinaamua kesi kisha hukumu hazitekelezwi mpaka tena waziri wa ardhi aingilie kati ?????

  • @rosehaule6765
    @rosehaule6765 Před 5 měsíci +2

    Naamini.kweli tamaa mbaya mama.kapatq hasara😢

  • @user-ow6wc1qv2h
    @user-ow6wc1qv2h Před 5 měsíci +3

    Da Jamaa kanyooka mpaka anakela

  • @superhemed7590
    @superhemed7590 Před 5 měsíci +2

    Hongera sn muheshimiwa Jerry

  • @MojamojaMojamoja-lw2ph
    @MojamojaMojamoja-lw2ph Před 5 měsíci

    Allaha akupe afya na wepes kazi waziri wetu

  • @SalamaJuma-db9ig
    @SalamaJuma-db9ig Před 5 měsíci +3

    Wazir huyu anawatumikia wana nchi mpaka waliokufa

  • @rajabumuyumbu4586
    @rajabumuyumbu4586 Před 5 měsíci +2

    huna baya mkuu mungu akulinde uendelee kutenda haki

  • @alphoncenerlimbweni6233
    @alphoncenerlimbweni6233 Před 5 měsíci +2

    Mungu azidi kukusimamia kwa utendaji wako

  • @anoldamkumba3208
    @anoldamkumba3208 Před 5 měsíci +2

    Mwenyezi Mungu umjalie Afya njema Waziri Slaa yupo vizuri sana.Mama Samia wizara imepata jembeeee.Azunguke hadi kona zote Tanzania Wizara ina watumishi wengi wabinafsi

  • @gibsonjosephat6352
    @gibsonjosephat6352 Před 5 měsíci +2

    Du! Waziri uko juu. " ...hapa hakuna aliyefoji nyaraka na siachi mgogoro hapa ..." 😂😂😂

  • @faisalahmedaly2414
    @faisalahmedaly2414 Před 5 měsíci

    MANSHA Allah

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh Před 5 měsíci +3

    Hili ni jembe Zanzibar tungelimpata huyu jamaa tungelikua mbali sana

    • @allysoudabdulla9292
      @allysoudabdulla9292 Před 5 měsíci +1

      Zanzibar hawez kufanya hivo hata siku moja... maana wanyonge wananyanganywa ardhi na wakubwa serikalii na watu wenye pesa na wenye michongo ya kuingia sehemu nyeti..

  • @josiahkulwa34
    @josiahkulwa34 Před 5 měsíci +1

    Great

  • @user-de2rg9kk7u
    @user-de2rg9kk7u Před 5 měsíci

    Hii Wizara ni ngumu sana. Wizara ya ARDHI

  • @user-up2kg1wm9p
    @user-up2kg1wm9p Před 5 měsíci +2

    Tackbri

  • @user-de2rg9kk7u
    @user-de2rg9kk7u Před 5 měsíci

    Unyamaaaa sana

  • @mussaram-tz5yf
    @mussaram-tz5yf Před 5 měsíci

    Hakika waziri anafanyakazi kubwa nzuri sana hakika matapeli wa Mali za waqfu zinatapeliwa sana

  • @hamadiayossy
    @hamadiayossy Před 5 měsíci +1

    Amiin,

  • @user-ui5xc6sb5m
    @user-ui5xc6sb5m Před 5 měsíci

    Mungu akulinde bwana Jerry

  • @jamals.mbarak8638
    @jamals.mbarak8638 Před 5 měsíci

    Mh! Yaani unasikiliza na kuhoji saa hiyo hiyo na kutoa maamuzi muda huo huo. Je kwa dizaini hiyo utapata ukweli ???

  • @user-jh1bu4iv7d
    @user-jh1bu4iv7d Před 5 měsíci

    Viongozi wa bakwata hongareni sana kwa kusimamia

  • @eastafricaqualitychickenfa9916
    @eastafricaqualitychickenfa9916 Před 5 měsíci +1

    😂😂😂😂😂😂sisemi kitu ila nchi ngumu hii

  • @user-oh6pc7zd4s
    @user-oh6pc7zd4s Před 5 měsíci +2

    FIDDA HUSSEIN NI JAMBAZI MKUBWA

  • @user-bn8xs8zd7i
    @user-bn8xs8zd7i Před 5 měsíci +2

    Chapa kijana USIRUDI nyuma

  • @saidkibasila3307
    @saidkibasila3307 Před 5 měsíci

    Mh: wakati unafanya pia na angalia baadhi wasaidizi wako kwani hao ndio wanawasaidia wasiokua watu wasiokua waaminifu kufanya dhuluma ya ardhi.

  • @prince.eric_msemwa9732
    @prince.eric_msemwa9732 Před 5 měsíci

    mama pia kazulumiwa pia inawezekana

  • @user-re3zo7ie5e
    @user-re3zo7ie5e Před 5 měsíci

    Umefanya vizuri kuwarejeshea ila hao bakwata nao kwakuuza mali za wakfu wanaongoza

  • @abubakarimussa9131
    @abubakarimussa9131 Před 5 měsíci +1

    Tokea nakua sijawahi ona kiongozi makini nahekma kama silla

  • @mrafm7285
    @mrafm7285 Před 5 měsíci

    Huyu jamaa ni mkweli kabisa

  • @shabanponera2895
    @shabanponera2895 Před 5 měsíci +1

    Waziri anza na bakwata wamemuuzia manji mali za waqfu

    • @bamdogokiki1486
      @bamdogokiki1486 Před 5 měsíci +1

      Tmk kibasika changombe hii naamini, ilikuwa ijengwe chuo kikuu Cha kiislam pale

  • @officialmanji4438
    @officialmanji4438 Před 5 měsíci

    Apo wapi?.

  • @abasimzagu5729
    @abasimzagu5729 Před 5 měsíci

    bonge moja la waziri

  • @user-vl1zq7oi4m
    @user-vl1zq7oi4m Před 5 měsíci +1

    Mbon bakwata weto makafiri tu wanauza mali za waisilam

  • @nicebatare2737
    @nicebatare2737 Před 5 měsíci

    Kiswahili kigumu

  • @sananefrank6560
    @sananefrank6560 Před 5 měsíci

    Asisahau mawilayani kama magu huko hati hawatoi

  • @abdullayahya8717
    @abdullayahya8717 Před 5 měsíci

    Huyu dada wa Janeth Magufuli!!? Maana wana fanana?

  • @user-vl1zq7oi4m
    @user-vl1zq7oi4m Před 5 měsíci +1

    Sasa hawa bakwata kaziyao kutizam mwezi tu haw

    • @abdifaraji2883
      @abdifaraji2883 Před 5 měsíci

      Bakwata hawana kazi ya kuwasaidia na kuwaendeleza Waislam. Kazi yao ni kula tu mali za Waislam.

  • @officialmanji4438
    @officialmanji4438 Před 5 měsíci

    Musoma atakuja lini?.

  • @user-qd1fc4mq6o
    @user-qd1fc4mq6o Před 5 měsíci +1

    Mh waziri slaa huyo mama Hana chake hapo Hana kupotezea muda hametapeliwa na haliye muhuzia

  • @MrKhatibu
    @MrKhatibu Před 5 měsíci

    BAKWATA huwa na tabia za kuuza viwanja vyao wenyewe, hii kutokana na viongozi wao huwa na tabia ya tamaa. Wanajua kwakuwa viongozi wao waliopita hufanya hivyo na kila ajae hufanya hivyo. Yaani kama ni sunna kuuza Mali zao wwnyww

  • @jacksongidione-yo8vg
    @jacksongidione-yo8vg Před 5 měsíci

    Doo mtoto wa kafit kapigwa chinii

  • @kubulizuberikubulizuberihu5896

    Mawaziri wote wangefanyakazi kama wewe inchi ingikuwa mbali sana

  • @alisalimo2861
    @alisalimo2861 Před 5 měsíci

    Changombeee???????

  • @abdull_hafidh
    @abdull_hafidh Před 5 měsíci

    WAZIRI BAKWATA KULA NAO WAMEUZA MALI NYINGI ZA WAQFU

  • @user-de2rg9kk7u
    @user-de2rg9kk7u Před 5 měsíci

    Hii Wizara ni ngumu sana. Wizara ya ARDHI

  • @user-jh1bu4iv7d
    @user-jh1bu4iv7d Před 5 měsíci

    Viongozi wa bakwata hongareni sana kwa kusimamia