Asili ya Msukuma HAPENDI KABISA KUMWONA MTU ANAONEWA PIA WANAHURUMA SANA nimeishi kanda ya ziwa miaka mingi na Makonda ametoka kanda ya ziwa wapo hivyo ! Arusha hongereni
Kweli kaka wasukuma wanahuruma sn niliobahatika kuishi nao aisee sikuwahi juta kuishi na Hawa watu wanahuruma hata wanawake wakisukuma wenye asilia kabisa sio Hawa wamjini wananidhamu mno ni wanawake kwelikweli kaka.. Hawa watu wanakarama ya uongozi
Makonda mi nakukubali sana mi nakuombea kwa mungu baba hautakufa hadi wakati wako utakapofika mungu akulinde sana kama hagai anavosema kuwa kama neno lile nililo agana nanyi mlipokuwa mkitoka katika nchi ya misri na roho yangu ikati yako makonda usiogope
Kama Kila mikoa Waki shughulikia wananchi na Imani tutasogea mbele . Nchi itakua inanghara .Hamna dhuluma Mungu atatu bariki. Naomba Mikoa yote .Wamige Mkuu Makonda. Hongera Mkuu.
Tuseme tu MTU yoyote atakaye mpinga makonda Kwa anayoyafanya MTU hiyo awe mwanaume au mwanamke ajitadhimin Akili zake na moyo wake atakuwa anaupungufu wa Akili na fikra zake zitakuwa zimeoza na atakuwa nasifa zakijinga,kipumbavu, na roho mbaya tu
Makonda uko vizuri kaka your born leader your doing wonderful things.l wish to you good health and long Life Among of the leader in Africa we never left you back your the some like kwame mkuruma Mohamed gaddafi.julius kambarage Nyerere . Eventually John pombe magofuli those African leader I mentioned they are all passed away but they are leder who love and fight the right of poor people which never ever in this word or under the sun no government leader religion leader who love poor people just a few leader who I mentioned .
Wajane wote mliodhulumiwa na mna uhalali wa kile mnadai njooni Kwa Makonda, msiogope kulogwa Wala kutengwa, inauma sana Kwa uonevu Kwa kuwa tuu mume amefariki...nasema inaumaaaa😭Mungu amemteua Makonda kupitia mama Samia Ili tusaidike.
Vizuri Sana mheshimiwa piga Kaz hata Mungu wetu anapenda tuende haki , Mungu akubariki Sana na kukutunza kwaajili ya kutatua kero za wananchi huu ndiyo utumish.
We mama hata kama unamsaidia mteja usioneshe mitandaoni sana msimamo wako na kwamba unawachukia hiyo kampuni sababu wanaweza kukuwinda hao majamaa, huwenda upatikanaji wako ni simple tofauti na mkuu wa mkoa. Endelea kumpambania sana huyo mteja kwa hali na mali mpaka apate haki yake lakini usioneshe km ww ndo ngazi kwa huyo mteja, acha wao wajue ni mkuu wa mkoa. Huo mkoa kuna mtu alimwagiwa tindikali wengine wanachinjwa n.k
kama unamkubari makonda gonga like hapa
Safi sana kaka makonda
Mungunakutunze paul
❤nakubal
Kila binadamu anamapungufu yake, ila kwenye mazuri pia tumpe maua yake MAKONDA nakupa maua Yako hata kabla mungu hajakuita...BIG UP SANA
czcams.com/video/DI_T2mOtMx0/video.html
KWA KWELI MAKONDA HAPO UNATENDA HAKI,STAY BLESSED
💐🌹🥀🌷🌺
Paul CHRISTIAN makonda ni kiongozi Mzuri sana
Makonda Mungu aendelee kukutunza
Makonda asili yake ya uongozi ni mtatuzi wa kero Mungu amlinde
Namuona Magu ndani yake❤❤
Na kiongozi ni yule anayetatua kero za wananchi…Mungu amtunze Makonda.
@@annasolomon9855kiki hizo
@@berthatz hujui maana ya kiongozi ww
Uongozi ni nini? Ujuaji tu mbele giza!@@michaelaloyce2072
Makonda Mungu ambariki kwa ni kiongozi wa mfano Tanzania
Makonda Mungu akulinde usipatwe na dholuba yoyote ktk maisha yakooo...kazi nzuri sana unafanya
czcams.com/video/DI_T2mOtMx0/video.html
Sana kaka
Huyu brother Makonda huwa namwelewa sana ,mungu akupe maisha marefu na afya njema
Aamin
Asili ya Msukuma HAPENDI KABISA KUMWONA MTU ANAONEWA PIA WANAHURUMA SANA nimeishi kanda ya ziwa miaka mingi na Makonda ametoka
kanda ya ziwa wapo hivyo ! Arusha hongereni
Kweli kaka wasukuma wanahuruma sn niliobahatika kuishi nao aisee sikuwahi juta kuishi na Hawa watu wanahuruma hata wanawake wakisukuma wenye asilia kabisa sio Hawa wamjini wananidhamu mno ni wanawake kwelikweli kaka.. Hawa watu wanakarama ya uongozi
JPM legacy will live on
Tunamuhitaji Magufuli mwingine aje nchi hii.Na atakuwa Tu no matter what.
True
Makonda mpe kazi huyo Dada anajitambua sana
Makonda mi nakukubali sana mi nakuombea kwa mungu baba hautakufa hadi wakati wako utakapofika mungu akulinde sana kama hagai anavosema kuwa kama neno lile nililo agana nanyi mlipokuwa mkitoka katika nchi ya misri na roho yangu ikati yako makonda usiogope
Namtabiria MBALI SANA HUYU MWAMBA 💪💪💪💪💪
Makonda unajua na wanajua unajua ILA MUNGU anakujua zaidi,,na ipo SIKU watajua unajua
HONGERA SANA MWAMBA 💪💪💪💪
Niko Kigoma Mjini. Hakika Makonda for Everyone❤
Kama Kila mikoa Waki shughulikia wananchi na Imani tutasogea mbele . Nchi itakua inanghara .Hamna dhuluma Mungu atatu bariki. Naomba Mikoa yote .Wamige Mkuu Makonda. Hongera Mkuu.
sawa bb
Arafu kuna jitu unakuta limeshiba kande linamtukana Makonda
Makonda, Mungu akutunze. Wala rushwa wengine lolote liwapate!!
czcams.com/video/DI_T2mOtMx0/video.html
Sasa kama ni mhalifu watu wasiseme? Kenge kweli wewe.
😂😂😂😂😂
Sure bro wengine Wana wivu tuu,
Kalisti Mungu wa mbingun akupe haki yako! Dada pia Mungu akulinde na familia yako na Makonda Mungu akupe maisha marefu, kwa kweli machozi yamenitoka
Mama Baraka jirani yangu piga kazi nakuaminia best
Yaani kuna vitu vinafanyika kwenye hii dunia ukiona au kusikia utadhani unaangali tamthilia
Namuona rais ajae makonda ktk jina la yesu👏👏🤲
Rais ajaye ni HAFREY POLEPOLE
Your blessing mkuu wetu wa mkoa Mungu azidi kukutunza❤
Naomba Mungu akupe maisha marefu uje uwe raisi wa nchi hii
Mungu akulinde mkuu wangu wa mkoa, una bright future na Mungu akusimamie usiishie kuwa mkuu wa mkoa bali uwe mkuu wa nchi !! Kwa jina la Yesu
Big up makonda❤❤❤❤❤❤❤
Wa Tanzania wengi wamepoteza haki zao kukosa watetezi, Makonda Big up sana
Big Up Champeeeez Your Future Presdent🙏🏻
Makonda aigwe na watendaji wengine wengi wanyonge wanateseka
MAKONDA MUNGU awatangulie katika kazi zako ❤❤❤❤❤❤❤
Magufuli blood like big up,
Natamani unge kuatanga.mungu akupe mri na akulinde kila aina ya khasad nakupenda sn
Makonda YESU KRISTO akubaliki sana kazi Yako ni njema
Hallo am from kenya and I like how makonda is prevailing justice to his people and I know one day makonda will became president of TZ
Daaa watu wanalaana sanaa daaa uonev kuuzia watu nyumba zao na huu n mfano , makonda uish milele
Tuseme tu MTU yoyote atakaye mpinga makonda Kwa anayoyafanya MTU hiyo awe mwanaume au mwanamke ajitadhimin Akili zake na moyo wake atakuwa anaupungufu wa Akili na fikra zake zitakuwa zimeoza na atakuwa nasifa zakijinga,kipumbavu, na roho mbaya tu
🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝😁
Hongera Sana Makonda mungu Azidi kukuweka baba
Makona mungu akulinde hujawahi kumuonea mtu
makonda Mungu akubariki sana
Makonda mungu akulinde kwa husda za walimwengu
Safi sana Makonda!
czcams.com/video/DI_T2mOtMx0/video.html
Unique Man" Makonda
Safi sana...warudishe nyumba ya watu
Makonda Mungu Awe Nawe
Mungu akucmamie
Huyo Dada apewe ulinZi
Makonda uko vizuri kaka your born leader your doing wonderful things.l wish to you good health and long Life Among of the leader in Africa we never left you back your the some like kwame mkuruma Mohamed gaddafi.julius kambarage Nyerere . Eventually John pombe magofuli those African leader I mentioned they are all passed away but they are leder who love and fight the right of poor people which never ever in this word or under the sun no government leader religion leader who love poor people just a few leader who I mentioned .
Wajane wote mliodhulumiwa na mna uhalali wa kile mnadai njooni Kwa Makonda, msiogope kulogwa Wala kutengwa, inauma sana Kwa uonevu Kwa kuwa tuu mume amefariki...nasema inaumaaaa😭Mungu amemteua Makonda kupitia mama Samia Ili tusaidike.
MPAKA 2040 WATANYOOKA MAJIZI 😢😢😢😢
🤔2040 mbona umefikiria mbali hivi🤣🤣🤝
Tutakuwepo kweli fupisha kidogo😮😮
@user-nd8gg4ig7m 😂😂😂😂😂
UJE NA ZANZIBAR MAKONDA
Zanzibar ni inchi nyingine
Nyie nchi nyingine mnajitegemea
Nje ya nchi mumpige kipapai😂
@@jpmanotaofficial639 NCHI MOJA SASA KWANINI KAMA NI NCHI NYENGINE TUNATUMIA PASSPORT 🛂 MOJA HALAFU TUKENDA NJE YA NCHI SOTE TWAJUILIKANA WATANZANIA
@@miriamdavis3893 ZANZIBAR INA JITEGEMEA KWA KIPI
Dada wewe ni kiongozi haswaaa mungu akutie nguvu wanyooshe majizi hao
Mheshimiwa makonda ww ni kiongozi haswaa,salute kwako mkuu wangu💪💪💪
Asante Makonda kwa Initiative nzuri ya kuleta Haki, Asante dada wa Ushirika kwa Moyo wako wa kupambania haki za wana ushirika😮
Makonda mtetezi wa wanyonge Mungu akulinde
Safi kabisa baba kregan🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉
czcams.com/video/DI_T2mOtMx0/video.html
Nitafurahi Na kushukuru Huyu baba akipata haki zake pamoja na nyumba yake😢😢
Mpaka nimelia😢
Kaka makonda mungu akutunze
Mungu akubariki
Safi sana dada
Nice Rc Makonda, let God bless you
Jmn binaadam mbn mtihani xn,bb w watu anajikaza kiume anataka kulia..HONGERA MAKONDA HAKIKA MUNGU HATOKUACHA PEKEYAKO BB.
Mungu akilinde sana, zidi kutetea haki zetu wanyonge
Mungu akulinde Po MAKONDA
Hii nchi tunaoneana sana lakn kwann yan nchi imejaa madudu hii Makonda njoo na Dodoma utusikilize ht km sio mkuu wetu
czcams.com/video/DI_T2mOtMx0/video.html
😂😂😂😂
Kwa jina la Yesu one day atapangiwa Dodoma tu
Magufuri is back
Mungu akutunze mkuu wetu uwe na maisha marefu yenye afya njema Mungu ibariki Tanzania nchi yetu
Very smart lady here
Mungu akubarki sana dada kwa kutenda haki mungu akubarki makonda wetu
Ubarikiwe Makonda❤ mtetezi wa wanyonge😢😢😢 wasokupenda ni adui wa haki✌️
Makonda hoyeeee. Mungu akulinde naakupe afya njema. Damu ya Yesu ikufunike.
Magufuli alijizaa kabisa hapa dah 😂👏👏
Nampenda sana makonda natamani awe mkuu wa mkoa wa mwanza!
Kwa Kweli M/Mungu Naomba sn Mlinde Makonda kwa kazi Nzuri Anayoifanya,pasipo kuonea Mtu.🙏🙏
Vizuri Sana mheshimiwa piga Kaz hata Mungu wetu anapenda tuende haki , Mungu akubariki Sana na kukutunza kwaajili ya kutatua kero za wananchi huu ndiyo utumish.
Mwenyezi Mungu mlinde kiongozi huyu...
Kwa.kweli muheshimiwa makonda uko vizuri sana unatetea haki za wsnanchi mungu akulinde sana
MUNGU akulinde makonda
We mama hata kama unamsaidia mteja usioneshe mitandaoni sana msimamo wako na kwamba unawachukia hiyo kampuni sababu wanaweza kukuwinda hao majamaa, huwenda upatikanaji wako ni simple tofauti na mkuu wa mkoa. Endelea kumpambania sana huyo mteja kwa hali na mali mpaka apate haki yake lakini usioneshe km ww ndo ngazi kwa huyo mteja, acha wao wajue ni mkuu wa mkoa. Huo mkoa kuna mtu alimwagiwa tindikali wengine wanachinjwa n.k
Makonda big up my brother
Ati maye mungu amemuona uyu baba
Mama yetu akipiga miongo yake kumi kura yangu unayo brother Makonda mungu akulinde
mkuu wa mkoa arusha unapgia mwingi kweli mungu akutangulie
mungu akubariki mweshimiwa makonda nakurindee kirawakatii
Makonda mwenyezi MUNGU akutangulie. Mwenyezi MUNGU anakuandalia jambo huko mbele linakuja.
Nakupongeza Mh Makonda.
Uishi miaka mingi Mheshimiwa Makonda, huu ni zaidi ya Utumishi mbele za Mungu! Mungu akukumbuke
Mungu akutunze mpenda haki,na mtatuzi wa kero za watu wa nchi hii
Uyu ndio my president naemfaham mimi
Safi sana konda uko vizuri weka ndani wote haijalishi ana cheo gan
czcams.com/video/DI_T2mOtMx0/video.html
Barikiwa sana mheshimiwa🙏🙏🙏🙏
Hongera kiongozi wangu
Nilikuwa nashauri makonda awe anakaa kwenye ukuu wa mkoa kwa miezi6 then anaamia mkoa mwingine ili kila mkoa upate huduma yake
Mungu akulinde makonda wewe ndo kiongozi❤❤❤❤
Asante sana Makonda
ANAFAA KUWA WAZIRI MKUU
MAKONDA MUNGU AZIDI KUKUBARIKI, KWA KUWATETEA WANYONGE KAMA HAWA🙏🙏🙏
Safi sana makonda mungu akusimamie
Allahu akbaru
Hongera makonda
Makonda una kiti chako mninguni .Mungu akubariki baba🙏🏽
Dah
Namkubali sana jembe makonda.
Jembe la arusha
Makonda hongera sana ndugu❤
Duu. Makonda nalia mimi, Mungu akusaidie sana
Mkuu mungu aklinde kamanda aixeee
Big up
Dada Mungu akulinde