MAKONDA AKASIRIKA "RPC UKO WAPI KAMATA TIA NDANI, ALIKOPA MILL 3, AKAUZIWA NYUMBA YA MILL 70"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 05. 2024

Komentáře • 455

  • @razackadam-cj2bx
    @razackadam-cj2bx Před měsícem +168

    kama unamkubari makonda gonga like hapa

  • @Mgema001
    @Mgema001 Před měsícem +115

    Kila binadamu anamapungufu yake, ila kwenye mazuri pia tumpe maua yake MAKONDA nakupa maua Yako hata kabla mungu hajakuita...BIG UP SANA

  • @FedyKafyulilo-iz2nw
    @FedyKafyulilo-iz2nw Před měsícem +94

    Makonda asili yake ya uongozi ni mtatuzi wa kero Mungu amlinde

    • @annasolomon9855
      @annasolomon9855 Před měsícem +4

      Namuona Magu ndani yake❤❤

    • @berthatz
      @berthatz Před měsícem +3

      Na kiongozi ni yule anayetatua kero za wananchi…Mungu amtunze Makonda.

    • @michaelaloyce2072
      @michaelaloyce2072 Před měsícem

      ​@@annasolomon9855kiki hizo

    • @michaelaloyce2072
      @michaelaloyce2072 Před měsícem

      ​@@berthatz hujui maana ya kiongozi ww

    • @sambulugu9988
      @sambulugu9988 Před měsícem

      Uongozi ni nini? Ujuaji tu mbele giza!​@@michaelaloyce2072

  • @yohanakereri5999
    @yohanakereri5999 Před měsícem +30

    Makonda Mungu ambariki kwa ni kiongozi wa mfano Tanzania

  • @emmanuelmayunga1518
    @emmanuelmayunga1518 Před měsícem +54

    Makonda Mungu akulinde usipatwe na dholuba yoyote ktk maisha yakooo...kazi nzuri sana unafanya

  • @felisterandrew8418
    @felisterandrew8418 Před měsícem +38

    Huyu brother Makonda huwa namwelewa sana ,mungu akupe maisha marefu na afya njema

  • @emmanuelkache4646
    @emmanuelkache4646 Před měsícem +22

    Asili ya Msukuma HAPENDI KABISA KUMWONA MTU ANAONEWA PIA WANAHURUMA SANA nimeishi kanda ya ziwa miaka mingi na Makonda ametoka
    kanda ya ziwa wapo hivyo ! Arusha hongereni

    • @faustinombilinyi9809
      @faustinombilinyi9809 Před 23 dny +2

      Kweli kaka wasukuma wanahuruma sn niliobahatika kuishi nao aisee sikuwahi juta kuishi na Hawa watu wanahuruma hata wanawake wakisukuma wenye asilia kabisa sio Hawa wamjini wananidhamu mno ni wanawake kwelikweli kaka.. Hawa watu wanakarama ya uongozi

  • @ndulasimon
    @ndulasimon Před měsícem +28

    JPM legacy will live on

  • @hanspop6961
    @hanspop6961 Před měsícem +35

    Makonda mpe kazi huyo Dada anajitambua sana

    • @WillBat-gc9ex
      @WillBat-gc9ex Před měsícem

      Makonda mi nakukubali sana mi nakuombea kwa mungu baba hautakufa hadi wakati wako utakapofika mungu akulinde sana kama hagai anavosema kuwa kama neno lile nililo agana nanyi mlipokuwa mkitoka katika nchi ya misri na roho yangu ikati yako makonda usiogope

  • @mpambanajitz7026
    @mpambanajitz7026 Před měsícem +17

    Namtabiria MBALI SANA HUYU MWAMBA 💪💪💪💪💪
    Makonda unajua na wanajua unajua ILA MUNGU anakujua zaidi,,na ipo SIKU watajua unajua
    HONGERA SANA MWAMBA 💪💪💪💪

  • @GibsonNtamamilo
    @GibsonNtamamilo Před měsícem +17

    Niko Kigoma Mjini. Hakika Makonda for Everyone❤

  • @aladinynur7915
    @aladinynur7915 Před měsícem +13

    Kama Kila mikoa Waki shughulikia wananchi na Imani tutasogea mbele . Nchi itakua inanghara .Hamna dhuluma Mungu atatu bariki. Naomba Mikoa yote .Wamige Mkuu Makonda. Hongera Mkuu.

  • @ezrayohana3541
    @ezrayohana3541 Před měsícem +92

    Arafu kuna jitu unakuta limeshiba kande linamtukana Makonda

  • @farajaMezza-qn4be
    @farajaMezza-qn4be Před měsícem +35

    Kalisti Mungu wa mbingun akupe haki yako! Dada pia Mungu akulinde na familia yako na Makonda Mungu akupe maisha marefu, kwa kweli machozi yamenitoka

    • @hellenshayo3454
      @hellenshayo3454 Před měsícem

      Mama Baraka jirani yangu piga kazi nakuaminia best

    • @JaneJennifer-zk7bk
      @JaneJennifer-zk7bk Před 27 dny

      Yaani kuna vitu vinafanyika kwenye hii dunia ukiona au kusikia utadhani unaangali tamthilia

  • @hopejohnson7352
    @hopejohnson7352 Před měsícem +14

    Namuona rais ajae makonda ktk jina la yesu👏👏🤲

  • @johnsangida5158
    @johnsangida5158 Před měsícem +9

    Your blessing mkuu wetu wa mkoa Mungu azidi kukutunza❤

  • @shepherdyusuphministry2539

    Naomba Mungu akupe maisha marefu uje uwe raisi wa nchi hii

  • @devisshirima6780
    @devisshirima6780 Před měsícem +3

    Mungu akulinde mkuu wangu wa mkoa, una bright future na Mungu akusimamie usiishie kuwa mkuu wa mkoa bali uwe mkuu wa nchi !! Kwa jina la Yesu

  • @AllyBabu-kr6lg
    @AllyBabu-kr6lg Před měsícem +12

    Big up makonda❤❤❤❤❤❤❤

  • @user-iu4du7ws6s
    @user-iu4du7ws6s Před měsícem +2

    Wa Tanzania wengi wamepoteza haki zao kukosa watetezi, Makonda Big up sana

  • @franklinjr996
    @franklinjr996 Před měsícem +3

    Big Up Champeeeez Your Future Presdent🙏🏻

  • @KhamisNahodah
    @KhamisNahodah Před měsícem +12

    Makonda aigwe na watendaji wengine wengi wanyonge wanateseka

  • @rosetreffert4179
    @rosetreffert4179 Před 26 dny +1

    MAKONDA MUNGU awatangulie katika kazi zako ❤❤❤❤❤❤❤

  • @user-rl3yh6ls7b
    @user-rl3yh6ls7b Před měsícem +5

    Magufuli blood like big up,

  • @mishiabdu7478
    @mishiabdu7478 Před 23 dny +1

    Natamani unge kuatanga.mungu akupe mri na akulinde kila aina ya khasad nakupenda sn

  • @PROPHETLWITIKO-rr4gc
    @PROPHETLWITIKO-rr4gc Před 29 dny +2

    Makonda YESU KRISTO akubaliki sana kazi Yako ni njema

  • @joelnjuguna7777
    @joelnjuguna7777 Před 29 dny +1

    Hallo am from kenya and I like how makonda is prevailing justice to his people and I know one day makonda will became president of TZ

  • @juliusdonard933
    @juliusdonard933 Před měsícem +12

    Daaa watu wanalaana sanaa daaa uonev kuuzia watu nyumba zao na huu n mfano , makonda uish milele

  • @YusufSwaibu
    @YusufSwaibu Před měsícem +17

    Tuseme tu MTU yoyote atakaye mpinga makonda Kwa anayoyafanya MTU hiyo awe mwanaume au mwanamke ajitadhimin Akili zake na moyo wake atakuwa anaupungufu wa Akili na fikra zake zitakuwa zimeoza na atakuwa nasifa zakijinga,kipumbavu, na roho mbaya tu

    • @user-sg7tr9fl5q
      @user-sg7tr9fl5q Před měsícem +1

      🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝🤝😁

  • @JescaMuyabi-ix8ly
    @JescaMuyabi-ix8ly Před 24 dny +1

    Hongera Sana Makonda mungu Azidi kukuweka baba

  • @user-ex9sd8wm4l
    @user-ex9sd8wm4l Před měsícem +10

    Makona mungu akulinde hujawahi kumuonea mtu

  • @magrethmathayo2800
    @magrethmathayo2800 Před měsícem +3

    makonda Mungu akubariki sana

  • @Zubaiba
    @Zubaiba Před dnem

    Makonda mungu akulinde kwa husda za walimwengu

  • @sambulugu9988
    @sambulugu9988 Před měsícem +13

    Safi sana Makonda!

  • @hamisiyusuph6721
    @hamisiyusuph6721 Před 26 dny +1

    Unique Man" Makonda

  • @lightnessmarwa1755
    @lightnessmarwa1755 Před měsícem +7

    Safi sana...warudishe nyumba ya watu

  • @jullysillo2557
    @jullysillo2557 Před 24 dny +1

    Makonda Mungu Awe Nawe

  • @user-ex9sd8wm4l
    @user-ex9sd8wm4l Před měsícem +9

    Mungu akucmamie

  • @praygodmtui1407
    @praygodmtui1407 Před měsícem +2

    Makonda uko vizuri kaka your born leader your doing wonderful things.l wish to you good health and long Life Among of the leader in Africa we never left you back your the some like kwame mkuruma Mohamed gaddafi.julius kambarage Nyerere . Eventually John pombe magofuli those African leader I mentioned they are all passed away but they are leder who love and fight the right of poor people which never ever in this word or under the sun no government leader religion leader who love poor people just a few leader who I mentioned .

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts Před měsícem +1

    Wajane wote mliodhulumiwa na mna uhalali wa kile mnadai njooni Kwa Makonda, msiogope kulogwa Wala kutengwa, inauma sana Kwa uonevu Kwa kuwa tuu mume amefariki...nasema inaumaaaa😭Mungu amemteua Makonda kupitia mama Samia Ili tusaidike.

  • @OmmyJames-xn7ji
    @OmmyJames-xn7ji Před měsícem +28

    MPAKA 2040 WATANYOOKA MAJIZI 😢😢😢😢

    • @aaa64sa13
      @aaa64sa13 Před měsícem

      🤔2040 mbona umefikiria mbali hivi🤣🤣🤝

    • @user-nd8gg4ig7m
      @user-nd8gg4ig7m Před měsícem

      Tutakuwepo kweli fupisha kidogo😮😮

    • @aaa64sa13
      @aaa64sa13 Před měsícem

      ​@user-nd8gg4ig7m 😂😂😂😂😂

  • @thedon8467
    @thedon8467 Před měsícem +19

    UJE NA ZANZIBAR MAKONDA

    • @jpmanotaofficial639
      @jpmanotaofficial639 Před měsícem +1

      Zanzibar ni inchi nyingine

    • @miriamdavis3893
      @miriamdavis3893 Před měsícem +1

      Nyie nchi nyingine mnajitegemea

    • @SamsonMalisa
      @SamsonMalisa Před měsícem +1

      Nje ya nchi mumpige kipapai😂

    • @thedon8467
      @thedon8467 Před měsícem

      @@jpmanotaofficial639 NCHI MOJA SASA KWANINI KAMA NI NCHI NYENGINE TUNATUMIA PASSPORT 🛂 MOJA HALAFU TUKENDA NJE YA NCHI SOTE TWAJUILIKANA WATANZANIA

    • @thedon8467
      @thedon8467 Před měsícem

      @@miriamdavis3893 ZANZIBAR INA JITEGEMEA KWA KIPI

  • @HOSEAZAKARIA-vn7ox
    @HOSEAZAKARIA-vn7ox Před měsícem +2

    Dada wewe ni kiongozi haswaaa mungu akutie nguvu wanyooshe majizi hao

  • @mrliverpoolynwa7641
    @mrliverpoolynwa7641 Před měsícem +1

    Mheshimiwa makonda ww ni kiongozi haswaa,salute kwako mkuu wangu💪💪💪

  • @mbolikop6419
    @mbolikop6419 Před měsícem

    Asante Makonda kwa Initiative nzuri ya kuleta Haki, Asante dada wa Ushirika kwa Moyo wako wa kupambania haki za wana ushirika😮

  • @verynicemonyo8671
    @verynicemonyo8671 Před měsícem +2

    Makonda mtetezi wa wanyonge Mungu akulinde

  • @fredmponzimponzi9714
    @fredmponzimponzi9714 Před měsícem +9

    Safi kabisa baba kregan🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 Před měsícem +5

    Nitafurahi Na kushukuru Huyu baba akipata haki zake pamoja na nyumba yake😢😢

  • @samwelnevele7796
    @samwelnevele7796 Před měsícem +12

    Kaka makonda mungu akutunze

  • @NaomiSabuni
    @NaomiSabuni Před 22 dny

    Mungu akubariki

  • @andreadaniel8276
    @andreadaniel8276 Před měsícem +3

    Safi sana dada

  • @Shamkumbo-sh7gc
    @Shamkumbo-sh7gc Před měsícem +1

    Nice Rc Makonda, let God bless you

  • @mwantumkombo3014
    @mwantumkombo3014 Před měsícem +3

    Jmn binaadam mbn mtihani xn,bb w watu anajikaza kiume anataka kulia..HONGERA MAKONDA HAKIKA MUNGU HATOKUACHA PEKEYAKO BB.

  • @jacklinegasper1707
    @jacklinegasper1707 Před měsícem +3

    Mungu akilinde sana, zidi kutetea haki zetu wanyonge

  • @user-om1gn3uw9z
    @user-om1gn3uw9z Před měsícem

    Mungu akulinde Po MAKONDA

  • @SuleAmber-lw2tx
    @SuleAmber-lw2tx Před měsícem +7

    Hii nchi tunaoneana sana lakn kwann yan nchi imejaa madudu hii Makonda njoo na Dodoma utusikilize ht km sio mkuu wetu

  • @ShukuruLazaro
    @ShukuruLazaro Před 28 dny +1

    Magufuri is back

  • @esthersissamo1120
    @esthersissamo1120 Před měsícem +4

    Mungu akutunze mkuu wetu uwe na maisha marefu yenye afya njema Mungu ibariki Tanzania nchi yetu

  • @ayubzaka1598
    @ayubzaka1598 Před 28 dny

    Very smart lady here

  • @user-qw2kg3dh4k
    @user-qw2kg3dh4k Před 28 dny

    Mungu akubarki sana dada kwa kutenda haki mungu akubarki makonda wetu

  • @umlaith5202
    @umlaith5202 Před měsícem

    Ubarikiwe Makonda❤ mtetezi wa wanyonge😢😢😢 wasokupenda ni adui wa haki✌️

  • @vivianallan8963
    @vivianallan8963 Před měsícem +3

    Makonda hoyeeee. Mungu akulinde naakupe afya njema. Damu ya Yesu ikufunike.

  • @adudeswalehe8724
    @adudeswalehe8724 Před měsícem +2

    Magufuli alijizaa kabisa hapa dah 😂👏👏

  • @janesterbatikinasabuninzur3628

    Nampenda sana makonda natamani awe mkuu wa mkoa wa mwanza!

  • @dorcasdavid2247
    @dorcasdavid2247 Před měsícem

    Kwa Kweli M/Mungu Naomba sn Mlinde Makonda kwa kazi Nzuri Anayoifanya,pasipo kuonea Mtu.🙏🙏

  • @titoamon
    @titoamon Před měsícem

    Vizuri Sana mheshimiwa piga Kaz hata Mungu wetu anapenda tuende haki , Mungu akubariki Sana na kukutunza kwaajili ya kutatua kero za wananchi huu ndiyo utumish.

  • @deusdeditswebe8930
    @deusdeditswebe8930 Před 28 dny

    Mwenyezi Mungu mlinde kiongozi huyu...

  • @salmahanai
    @salmahanai Před měsícem

    Kwa.kweli muheshimiwa makonda uko vizuri sana unatetea haki za wsnanchi mungu akulinde sana

  • @user-kk6rd8md5i
    @user-kk6rd8md5i Před 25 dny

    MUNGU akulinde makonda

  • @nth3512
    @nth3512 Před měsícem +2

    We mama hata kama unamsaidia mteja usioneshe mitandaoni sana msimamo wako na kwamba unawachukia hiyo kampuni sababu wanaweza kukuwinda hao majamaa, huwenda upatikanaji wako ni simple tofauti na mkuu wa mkoa. Endelea kumpambania sana huyo mteja kwa hali na mali mpaka apate haki yake lakini usioneshe km ww ndo ngazi kwa huyo mteja, acha wao wajue ni mkuu wa mkoa. Huo mkoa kuna mtu alimwagiwa tindikali wengine wanachinjwa n.k

  • @petroyohana1126
    @petroyohana1126 Před měsícem

    Makonda big up my brother

  • @user-hw7kz8rv2c
    @user-hw7kz8rv2c Před 29 dny

    Ati maye mungu amemuona uyu baba

  • @rahimshoki208
    @rahimshoki208 Před měsícem +1

    Mama yetu akipiga miongo yake kumi kura yangu unayo brother Makonda mungu akulinde

  • @RokoineMollel
    @RokoineMollel Před 24 dny

    mkuu wa mkoa arusha unapgia mwingi kweli mungu akutangulie

  • @braitonilomo1635
    @braitonilomo1635 Před měsícem

    mungu akubariki mweshimiwa makonda nakurindee kirawakatii

  • @marianmartin7483
    @marianmartin7483 Před měsícem +1

    Makonda mwenyezi MUNGU akutangulie. Mwenyezi MUNGU anakuandalia jambo huko mbele linakuja.

  • @deodartngaiza6664
    @deodartngaiza6664 Před 29 dny

    Nakupongeza Mh Makonda.

  • @dinakyoma5977
    @dinakyoma5977 Před měsícem

    Uishi miaka mingi Mheshimiwa Makonda, huu ni zaidi ya Utumishi mbele za Mungu! Mungu akukumbuke

  • @ernestkaji9640
    @ernestkaji9640 Před měsícem

    Mungu akutunze mpenda haki,na mtatuzi wa kero za watu wa nchi hii

  • @joowzeyboyjoowzee4474
    @joowzeyboyjoowzee4474 Před měsícem

    Uyu ndio my president naemfaham mimi

  • @user-sg7tr9fl5q
    @user-sg7tr9fl5q Před měsícem +4

    Safi sana konda uko vizuri weka ndani wote haijalishi ana cheo gan

  • @benardpeter3562
    @benardpeter3562 Před měsícem

    Barikiwa sana mheshimiwa🙏🙏🙏🙏

  • @happypiusi3801
    @happypiusi3801 Před měsícem

    Hongera kiongozi wangu

  • @bilakawaboynew978
    @bilakawaboynew978 Před měsícem +1

    Nilikuwa nashauri makonda awe anakaa kwenye ukuu wa mkoa kwa miezi6 then anaamia mkoa mwingine ili kila mkoa upate huduma yake

  • @msafirimfilinge8222
    @msafirimfilinge8222 Před 29 dny

    Mungu akulinde makonda wewe ndo kiongozi❤❤❤❤

  • @epiphanywilliam9056
    @epiphanywilliam9056 Před 27 dny

    Asante sana Makonda

  • @RUBENNGAYA
    @RUBENNGAYA Před 19 dny +1

    ANAFAA KUWA WAZIRI MKUU

  • @mkemiabenzn7811
    @mkemiabenzn7811 Před měsícem +1

    MAKONDA MUNGU AZIDI KUKUBARIKI, KWA KUWATETEA WANYONGE KAMA HAWA🙏🙏🙏

  • @zuberikamote2078
    @zuberikamote2078 Před 29 dny

    Safi sana makonda mungu akusimamie

  • @FatnaAlly-go7yt
    @FatnaAlly-go7yt Před 26 dny

    Allahu akbaru

  • @user-qj1zu5kv9k
    @user-qj1zu5kv9k Před 29 dny

    Hongera makonda

  • @angonzamujunangoma8775
    @angonzamujunangoma8775 Před měsícem

    Makonda una kiti chako mninguni .Mungu akubariki baba🙏🏽

  • @amosmachibya1800
    @amosmachibya1800 Před měsícem +1

    Namkubali sana jembe makonda.

  • @AshuraSaid-ep2sx
    @AshuraSaid-ep2sx Před měsícem

    Jembe la arusha

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Před měsícem

    Makonda hongera sana ndugu❤

  • @KundaelGeorge-tv8mz
    @KundaelGeorge-tv8mz Před měsícem

    Duu. Makonda nalia mimi, Mungu akusaidie sana

  • @JudicaMboye
    @JudicaMboye Před měsícem

    Mkuu mungu aklinde kamanda aixeee

  • @jobmaclean5382
    @jobmaclean5382 Před měsícem +1

    Big up

  • @enockmaige8936
    @enockmaige8936 Před měsícem

    Dada Mungu akulinde