MAKONDA AINGILIA KATI, DADA ATAPELIWA GARI ZAKE 4 ZA MILL ZAIDI YA 500 ARUSHA "NILIKUWA MZURI"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 05. 2024

Komentáře • 288

  • @mcback4384
    @mcback4384 Před 24 dny +73

    Halafu kuna wapumbavu wanangoja makonda aanguke, kwa harakati hizi Mungu anampigania na yupo upande wake sababu hizi ni sadaka na kazi za Mungu

    • @hamisijuma3276
      @hamisijuma3276 Před 24 dny +7

      RIP JPM

    • @sonnyr1899
      @sonnyr1899 Před 23 dny +4

      Kuna jama anaitwa Ngurumo Yani huyo jama anamchukia Makonda hadi roho inauma kwa kweli.
      Hakuna binaadam aliye kamilika ila aise Makonda anafanya kanzi Ya wito wa Mungu.
      Tunakuomba mama Samia usikubali watu wakushauri vibaya ju Ya huyu kijana.

    • @thabitdaudi9815
      @thabitdaudi9815 Před 22 dny +1

      ​@@sonnyr1899tayari wanamshauri ndyo maana kamshusha uwezo wake si wa kua mkuu wa mkoa.

  • @lovenessvisent9408
    @lovenessvisent9408 Před 24 dny +34

    Nimejifunza kitu hapa tunapofanikiwa tukumbuke kutoa sadaka kuwa na mungu karibu Asante Kwa video hii

  • @JosephuSwai
    @JosephuSwai Před 24 dny +37

    Makonda kama kunamahali uliteleza mungu akusamehe kaka manawewe ni binadam nimekwelewa

  • @user-fz2qn5to1v
    @user-fz2qn5to1v Před 24 dny +27

    Makonda makonda makonda nimeita mara 3 Mungu Akubariki Mungu Aibariki kazi ya mikono yako Mungu Aibariki Tanzania

    • @hassanihamisi6239
      @hassanihamisi6239 Před 13 dny

      Ww furaiya tu iko siku utajuwa wanawake niyoka kama ww nimwanaume ira kama mwanamke sawa

  • @dorahmushi-we6ts
    @dorahmushi-we6ts Před 24 dny +36

    Jamani binti anaonekana anamtumainia sana Mungu, na Mungu hajawahi kumuacha mtu.
    Tuendelee kumtumainia Mungu😢

  • @SuleAmber-lw2tx
    @SuleAmber-lw2tx Před 23 dny +9

    Dah jmn mbona binadamu tumekuwa wa hovyo sana, BigUp MH Paul Makonda

  • @mitaocamilliusthegreatest9068

    Mh.Makonda TUNAKUOMBEA Mwenyezi Mungu azidi kukutia nguvu zaidi na zaidi uzidi kuwa Bora zaidi usiku na mchana!

  • @eliaichraymond1215
    @eliaichraymond1215 Před 24 dny +35

    Ipo thawabu yako toka kwa Mungu mh Makonda,kuvivaa viatu vya mtu ni kazi ngumu sana,but wewe umekuwa ukivivaa viatu vya wanyonge,Mungu akutunze na kukujalia hekima kama ya mfalme Suleiman

  • @danielmadale7710
    @danielmadale7710 Před 24 dny +13

    Nyie hamuoni, Aliko makonda ndiko nchi na mitandao ilikohamia. Kwani mkiiga mtakufa.Waziri mwingine anaepiga kazi ni waziri wa ardhi. Halafu ana weledi saaaana katika kazi hiyo.Big up Waziri Slaa

    • @user-vr1hx4my6f
      @user-vr1hx4my6f Před 22 dny +1

      yani kaka yangu makondo utunzwe na mungu sina luga ya kusema

    • @user-vr1hx4my6f
      @user-vr1hx4my6f Před 22 dny +2

      uwiii makando tunzwa na mungu

    • @egonemmanuelkudaba4945
      @egonemmanuelkudaba4945 Před 22 dny +1

      Kiukwel makonda na wazir silaaaa Mungu awatunze na wawe mfano wa kuigwa na viongoz wengine na wa Tanzania wote kwa ujumla tuwe wazalendo

    • @egonemmanuelkudaba4945
      @egonemmanuelkudaba4945 Před 22 dny +1

      Kiukwel makonda na wazir silaaaa Mungu awatunze na wawe mfano wa kuigwa na viongoz wengine na wa Tanzania wote kwa ujumla tuwe wazalendo

    • @miriamdavis3893
      @miriamdavis3893 Před 19 dny

      Waige wakati wanajali matumbo yao

  • @yohanampangule8817
    @yohanampangule8817 Před 4 dny

    Makonda Mungu Akubariki.Dada Utakachopata hapa Kupitia Mkuu WA MKOA ,Ridhika na samehe Mungu ataendelea kuwa Upande wako.

  • @JoshuaMusukwa-kq4ll
    @JoshuaMusukwa-kq4ll Před 24 dny +8

    Makonda chapa kazi bila kuogopa mwanadamu mwogope Mungu aliye juuuuuuu sanaaa 2030 we ni Risi Makonda oyeeee

  • @meddyally4416
    @meddyally4416 Před 24 dny +15

    Uyu dada ana maono na akiri ya maisha uyu ndo mwanamke sasa, uyo mbwa atadirisika

  • @wiliminawiliams9384
    @wiliminawiliams9384 Před 24 dny +12

    Pole sana Dada,Mwenyezi Mungu akusimamie uweze kupata haki yako.

  • @user-ru6ct4rh3t
    @user-ru6ct4rh3t Před 24 dny +19

    Mungu umlinde Makonda 🙏🙏🙏

  • @kessykessy563
    @kessykessy563 Před 24 dny +8

    Ww ni nan makonda niliekuwa nakuchukia na leo nataka uwe RAISI WANGU..... 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏

  • @hafsalucky1088
    @hafsalucky1088 Před 24 dny +7

    Mungu amesikia kilio chako mama na kamtuma Makonda aje akusaidie, Mungu ni Mwema na haki Yako itapatikana Amen 🙏

  • @user-kk3fp2yq2d
    @user-kk3fp2yq2d Před 24 dny +6

    Mungu akuongoze MUHESHIMIWA Mkonda Nakufuwatiria sana kipenzi kutoka Rwanda Kigali

  • @aaa64sa13
    @aaa64sa13 Před 24 dny +22

    Alhamdulillah. Mungu akueke ndugu Makonda. InshaAllah

  • @danielchamoto9376
    @danielchamoto9376 Před 23 dny +3

    Mungu aendelee kumpigania makonda. Anafanya kazi nzuri

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 Před 24 dny +5

    Bora nitafute peke yangu, hivi vya kushare mwisho wake nikujiua sitaki mimi. Pole dea yatapita

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 Před 24 dny +23

    Mama Mungu akutetee sana,"Mungu humtuma mtu" na mtu huyo ni mtumwa wa Mungu na serikali Makonda. Mungu amtunze kwa ajili ya wengi zaidi.

  • @stellarogath1876
    @stellarogath1876 Před 23 dny +2

    Pole sana dada, pamoja na hayo yote bado lipo tumaini, na Mungu huwa ana watu wake,

  • @hazard7157
    @hazard7157 Před 23 dny +2

    Mama nmekukubali xana umekumbuka mema ya mme wako wengi wakishagombna kuna wanawake wanasahau ule upendo uliokuwepo mwanzo kabla ya penzi kuanguka hongera xana mama Mungu atakusaidia mtarudiana nakuendeleza penzi

  • @Samwelmagita-jb1so
    @Samwelmagita-jb1so Před 21 dnem +1

    Mkuu Mungu akubariki sanaaa azidi kukuweka uzidi kuwasaidia watu wapate haki yake Nakuombea uwe Raisi wetu Inshallah 🙏

  • @meddyally4416
    @meddyally4416 Před 24 dny +18

    Kwa makonda ilo limeisha, huko arusha kumecha

  • @azizimyavilwa8199
    @azizimyavilwa8199 Před 24 dny +6

    She's still pretty though ❤

  • @user-td4kg7sw7l
    @user-td4kg7sw7l Před 18 dny +1

    Jaman jaman tunamshukuru mungu kwakutuachia mtoto wa magufuli alimaarufu kama makonda mungu akubarik nauendelee kuwa naiman ya mungu

  • @Zubaiba
    @Zubaiba Před 7 dny

    Makonda mungu akubariki zaidi na zaidi na akulinde na mahasid wa usiku na mchana

  • @ScopionScopion-zj9cd
    @ScopionScopion-zj9cd Před 24 dny +8

    nauona uongozi wa magufuli kulejea hapa tz ndani ya myaka ijayo mungu akubaliki nakuona mbali sana

    • @selector728
      @selector728 Před 9 dny

      Kurejea sio kulejea,akubariki sio akubariki

  • @cidewashington670
    @cidewashington670 Před 24 dny +11

    Asante Mheshimiwa Makonda kazi kwenda lala nao mbele wanaofanya dhuluma

  • @wemamanikana9791
    @wemamanikana9791 Před 24 dny +3

    Mungu ambariki muheshimiwa Makonda

  • @dianasamson9311
    @dianasamson9311 Před 24 dny +2

    Makonda Mungu aubariki... sina cha kusema zaudi ila Mungu anajua fungu lako, kwa haya unayofanya kwenye maisha wa waliokata tamaa.

  • @geoufo2858
    @geoufo2858 Před 24 dny +10

    Sawa makonda ana mapungufu yake ila mema anayo fanyia wanaichi atujali sisi tunamuona nabii wawananchi

  • @samirazuberi186
    @samirazuberi186 Před 7 dny

    Mungu amlinde huyu baba makonda ❤😢

  • @PacohMedia
    @PacohMedia Před 23 dny +4

    SABINA USIFE MOYO HADI HATIMA YAKO ITAKAPO TIMIA

  • @blandinamyinga9489
    @blandinamyinga9489 Před 23 dny +1

    Mungu akupe uponyaji wa moyo na akili Teacher Sabina ili cku moja urudi kazini maana wewe ni mwalimu mzuri sana""wanafunzi wako watakaokuja kuona hii comment watakubali.

  • @erickimambo4544
    @erickimambo4544 Před 20 dny +2

    Makonda vita ulioanzisha nikubwa MUNGU akutangulie

  • @madahaisack1268
    @madahaisack1268 Před 24 dny +3

    Kwa makonda hii kesi ndogo samaaa imeishaa munguu mwemaa

  • @MizeKombeSuleiman-id1rp
    @MizeKombeSuleiman-id1rp Před 24 dny +6

    Kuna cha kujifunza apa mukiwa na mahusiano musitangulize mali zenu wanawake umpe mtu mwili wako mapenzi yako umjali kisha akudhulumu juu kisa umependa aaiiih wacha nibaki single ♥️ ❤️ 👌 ✨️ 💖 😍 ♥️

  • @furahaabonga6642
    @furahaabonga6642 Před 24 dny +2

    Makonda uko kwenye vita vikali sana kakaangu,Yani nakuona kwa jicho la mbali sana ila watu kama nyie wachache sana wanawachukia na awataki kuwaona watu kama nyie.
    Tunakuombea Mungu sana ndugu yangu Mungu akuwekee ulinzi mkubwa kwenye maisha yako,mana sio raisi au sio binadamu yoyote anaeza kujitolea kuwatetea wanainchi kwa nia njema kama iyo.

  • @user-vn5mv6gn2b
    @user-vn5mv6gn2b Před 24 dny +2

    Mungu msaidie huyu dada apate haki yake.. mungu mtunze makonda

  • @user-nm8ym6iq7n
    @user-nm8ym6iq7n Před 24 dny +2

    Makonda mwanzo nilikuaga simuelewi lkn huyu jamaa sasa hv namuelewa anamaamuzi magum sana ya papo kwa papo na mungu amsaidie ni watu wachache wanaweza kufanya hvi

  • @festohaule9716
    @festohaule9716 Před 24 dny +4

    Wakuu wa Mikoa mingine igeni kazi hii!!!!

  • @jackayub1494
    @jackayub1494 Před 21 dnem +1

    Kama Kuna Mahalia Makonda ulimkosea Mungu akusamehe kupitia haya

  • @levinalyimo6240
    @levinalyimo6240 Před 24 dny +8

    Pole Sana shooo usiwaamini Sana wanaume wamekua matapeli

  • @ednasomi7422
    @ednasomi7422 Před 24 dny +10

    Pole sana ndugu yangu Mungu atajibu maombi yako

  • @dottomarikatv780
    @dottomarikatv780 Před 24 dny +2

    Pole sana Dada, Mungu yupo

  • @josephmwalwanje4430
    @josephmwalwanje4430 Před 18 dny +1

    Makonda mungu atakulinda kunasiku itakua

  • @tijakimonga1889
    @tijakimonga1889 Před 2 dny

    Makonda Mungu akubariki sana❤❤

  • @pauloropian2367
    @pauloropian2367 Před 24 dny +2

    Hawa viumbe siyo yà kuaminiwa sana.

  • @elizabethmziray5811
    @elizabethmziray5811 Před 16 dny

    Tatizo la viongozi wengi hawataki kusema ukweli kama makonda mana wanaogopa kufa.mungu akubariki uishii miaka mingi kama mzee mwinyi.

  • @patrickfanuel
    @patrickfanuel Před 23 dny +1

    Makonda mungu yupo pamoja nawe🎉🎉

  • @SalamaNauthar
    @SalamaNauthar Před 22 dny +1

    Viva Makonda❤❤❤❤🔥🔥🔥🔥🔥

  • @veronicankhwazi7954
    @veronicankhwazi7954 Před 23 dny +1

    My rais sijui lini ila namkubali sana Makonda

  • @user-ly9us4db3m
    @user-ly9us4db3m Před 24 dny +9

    Makonda aise unapaswa kuwa rais aise baba dur unapiga kazi baraaaaaaaa Mungu akutie nguvu pamoja na mama yetu samia fanyeni kazi Mungu yu pamoja nanyinyi

  • @JeremiahYohana-br2bd
    @JeremiahYohana-br2bd Před 20 dny +1

    Nawashauri mkiingia kwenye mahusiano msiingie kichwa kichwa mtajutaaaaa.

  • @winfridambwambo9830
    @winfridambwambo9830 Před 6 dny

    Tunaemwamini yupo na atatenda Mungu wa mbinguni ni mkubwa kuliko tatizo ulilonalo dada yetu

  • @kelvinkimario4408
    @kelvinkimario4408 Před 23 dny +2

    Ogopa sana mwanamke,

  • @changanikinabo7835
    @changanikinabo7835 Před 22 dny +1

    Hapo ni upande mmoja bado kusikia na upande mwingine, dunia ina mengi

  • @azariamarembo3653
    @azariamarembo3653 Před 11 dny

    Huyu ndie alitakiwa kuwa mke anajui kuponda mme anasifia mazuri ya nyuma . Safi sana

  • @fredytarimo9107
    @fredytarimo9107 Před 24 dny +2

    Tunatakiwa tumsikilize na mumeo ili tubalance story. Yawezekana wewe ndo ulikua chanzo. Wanaume tukisaritiwaga huwa tunakua confused kwa kila kitu.

  • @Mzena4343
    @Mzena4343 Před 24 dny +3

    Dada ukifanikiwa mi nipo kwaajili yako nitakuoa ❤❤❤

  • @johnmalembo6464
    @johnmalembo6464 Před 24 dny +1

    Mama moyo wako na kauli zako zinawakilisha jinsi ulivyo mnyenyekevu....MUNGU ANAWEZA ATAFANYA NJIA PASIPO NA NJIA.

  • @ruthmuja7792
    @ruthmuja7792 Před 24 dny +3

    Pole sana

  • @Boniphaceshayo5
    @Boniphaceshayo5 Před 20 dny

    Neema ni mchawi sana alitumia uchawi kuvuruga maisha yenu

  • @mkemiabenzn7811
    @mkemiabenzn7811 Před 24 dny +1

    Kuna mambo yanaumiza sana. Pole sana dada Sabina. MUNGU AKUBARIKI SANA MAKONDA

  • @racmyco6501
    @racmyco6501 Před 10 dny

    Hapo kuna maswali mengi ya kujiuliza, imekuwaje mpaka imefika hatua hiyo, inaonekana huyo mama alikuwa ndo kichwa cha familia yani anaongoza familia nzima ( Watoto na mume wake ). Ukimsikiliza kila kitu, kwanzia magari, nyumba, mita za umeme, mita za maji zinasoma jina la mama sasa kwa ninavyojua hakuna mwanaume anataka kuwa chini ya mwanamke hata kama wanapendana vipi, ila hapo ukiangalia mama ndo alikuwa mmiliki wa karibia vitu vyao vyote sasa ni mwanaume gani angevumilia hali hiyo? Atakaa na wewe tu ila siku akipata nafasi ya kufanya mapinduzi lazima afanye, hicho ndo kilichotokea hakuna cha Neema wala nini. Baba hakupewa nafasi yake kama kichwa kwenye familia.

  • @RoanCorporation
    @RoanCorporation Před 24 dny +5

    Mungu akusaidie hyo dada apate haki yake

  • @user-xc5ie8cp7o
    @user-xc5ie8cp7o Před 12 dny

    Mama haki ya mtu haipotei bali inacheleweshwa utapatapa tu

  • @msafiripascal2757
    @msafiripascal2757 Před 24 dny

    Makonda mungu akibariki babayangu kunawanyonge wanao nyanyasika sana makonda umekuja kuwaokowa wanao onewa

  • @hawa6052
    @hawa6052 Před 11 dny

    Halo dada umenikosha kwenye mrembo nawewe utapata

  • @husseinshabani9522
    @husseinshabani9522 Před 24 dny +1

    Sijui Jamaa Alifeli wapi....mbona Mwanake Anaonekana ni Bora Sana na Mwenye mawazo ya maendeleo...kinacho nishangaza majina yote kwenye Mali yanasoma ya mwanamke...Mungu Atuongoze katika familia zetu..ziwe na Amani na Utulivu.

    • @frankkessy1260
      @frankkessy1260 Před 24 dny

      uchawi michepuko inaloga kinoma mpaka unasahau ukoo ulotoka

  • @nancyg8664
    @nancyg8664 Před 24 dny +2

    Duh kweli alikua mzuri asee

    • @zanzibamjimpya17
      @zanzibamjimpya17 Před 24 dny +2

      alikuwa mzuri kipindi yuko kwa mume wake hivyo wachaga na wapale wanawake wanatamaa sana na mali za waume zao had kuwatoa uhai huyo alijaribu akaishia hewani atuonyeshe kad za hizo gari na siyo picha ya gari

  • @KassimuMbarack
    @KassimuMbarack Před 24 dny +4

    Makonda ni mtenda haki tuondoe chuki binafsi nchi hii tuna wakombozi ila hatuwapi moyo

  • @tumainimwaifunga3884
    @tumainimwaifunga3884 Před 24 dny

    Pole sana dasa

  • @eddytheophil7626
    @eddytheophil7626 Před 24 dny

    Pole sana Dada..

  • @HadijaZabroni-pu1lt
    @HadijaZabroni-pu1lt Před 24 dny

    Pole dada yangu

  • @user-do4qs8vx2s
    @user-do4qs8vx2s Před 24 dny

    Pole sana dada hapo umefika unasaidiwa ondoa hofu

  • @hawa6052
    @hawa6052 Před 11 dny

    Pole Dada

  • @abdulhajiahmed8735
    @abdulhajiahmed8735 Před 24 dny +2

    Inasikitisha sana kweli eeh

  • @user-dx4gj6sd5n
    @user-dx4gj6sd5n Před 24 dny

    Pole sana Dada

  • @dayana5513story
    @dayana5513story Před 24 dny +1

    Hakika Mungu nimwema

  • @AmadeMbenze-nh9ly
    @AmadeMbenze-nh9ly Před 23 dny

    Pole dada mungu yupo

  • @hassanihamisi6239
    @hassanihamisi6239 Před 13 dny

    Wanaume kuweni makini sana na wanawake mnapokuwa nao kimapenz msiwashilikishe kwenye mari zenu atari sana

  • @erasmusshauritanga8485

    Makonda ni prime minister baadae kidogo TU tuendelee kusubiri.

  • @domymerinyo8165
    @domymerinyo8165 Před 24 dny +4

    Wanaume tuna kazi sana kwa wake zetu,tunafungua biashara tunawaweka kwenye share holder tunanunua hizi kesi. Hizo gari hakuna inayofika milioni 90wala milioni 150 kwa sababu ni 124 na trailer zake ni mtumba kipindi hicho ziligharimu ml75 truck and trailer. Hizo bei anataja ni zaR440 na R450 aache uongo. Mara mpenzi x baba bora. Amwite mzazi mwenzake.

    • @theodorythobius3965
      @theodorythobius3965 Před 24 dny

      Kabisa, umeongea kitu kikubwa sana.

    • @agnesjohn9382
      @agnesjohn9382 Před 23 dny

      Acheni utapeli na kulelewa huyo mwanamke siyo mpumbavu acha shobo

    • @--------GEO_SPORT_EARTH_EA
      @--------GEO_SPORT_EARTH_EA Před 23 dny

      Hizo reckless decision za kumiliki mali kwa umoja..Nazo ni kukosa akili

    • @habibakaponda
      @habibakaponda Před 22 dny

      Hyo mwanamke namjua hakia kitu anatakakumilisi mume wake ili aolewena mwanaume mwingine

  • @alexmwalingo5020
    @alexmwalingo5020 Před 17 dny

    Pole sana dada

  • @janelyatuu1135
    @janelyatuu1135 Před 23 dny

    Mungu akutunze makonda

  • @samtelah7578
    @samtelah7578 Před 15 dny

    Daah nashindwa hta niandike nn

  • @aryanamendes8700
    @aryanamendes8700 Před 24 dny

    Mungu msimamie huyu dada sakina apate haki yake

  • @ismaelgadiye4488
    @ismaelgadiye4488 Před 24 dny

    Hiyo kazi hata mtu mwengine hawezi hii inamkono wa MUNGU MUNGU amekuweka MAKONDA

  • @simonmadiba2053
    @simonmadiba2053 Před 23 dny

    Daaaaaa Mungu atusaidie wanaume

  • @CondradMwasse
    @CondradMwasse Před 24 dny +1

    Mwizi uyooo ana hela ya kununua ata cmu

  • @user-up2kg1wm9p
    @user-up2kg1wm9p Před 24 dny

    Polee Sanaa mwangu. Haliya ya mtu haipotei yataisha hayo alokuzulumu atavinaalichopanda mungu yupo

  • @pascalmsechu6874
    @pascalmsechu6874 Před 24 dny

    Tunakimbilia kwa Wahubiri wanachukua pesa zetu bila msahada wanatudanganya kuwa tunapokea wakati kuna Viongoz wa nchi wenye maono ndani ya mioyo yao barikiwa Kiongoz Makonda.

  • @tumainichanya3268
    @tumainichanya3268 Před 24 dny

    Makonda ni pamoja na kujikana,kama ambavyo tunapambana Kwa ajili ya haki nakuombea haki hiyo ikutetee katikati ya adui wengi.sadako yako ikafananishwe na sadaka ya Petro ,

  • @ElizabethJoseph-yy8li
    @ElizabethJoseph-yy8li Před 24 dny

    Wewe neema mungu anakuona

  • @suleimanbalemba3348
    @suleimanbalemba3348 Před 24 dny

    Hapo nimekuelewa dada mwanzo mwa interview nilijua wewe muongo unatafuta kumdhurumu mmeo kumbe Kuna dangaji limeingia kwenye familia yako Neema utakufa kifo kibaya unakula jasho la mwanamke mwenzio danga kubwa dada pambana mpk upate hizo nyumba na gari huo danga akatafute Mme wa kuanza nae maisha wanawake wengi michepuko ni washirikina sana kweli adui wa mwanamke ni mwanamke

  • @user-gy5en6cy8o
    @user-gy5en6cy8o Před 24 dny

    Pole sana mamaa😢haki haipotei

  • @gusonyusto9740
    @gusonyusto9740 Před 23 dny

    Dooo mbona kama alipigwa vitu vingi