Kuna jama anaitwa Ngurumo Yani huyo jama anamchukia Makonda hadi roho inauma kwa kweli. Hakuna binaadam aliye kamilika ila aise Makonda anafanya kanzi Ya wito wa Mungu. Tunakuomba mama Samia usikubali watu wakushauri vibaya ju Ya huyu kijana.
Ipo thawabu yako toka kwa Mungu mh Makonda,kuvivaa viatu vya mtu ni kazi ngumu sana,but wewe umekuwa ukivivaa viatu vya wanyonge,Mungu akutunze na kukujalia hekima kama ya mfalme Suleiman
Nyie hamuoni, Aliko makonda ndiko nchi na mitandao ilikohamia. Kwani mkiiga mtakufa.Waziri mwingine anaepiga kazi ni waziri wa ardhi. Halafu ana weledi saaaana katika kazi hiyo.Big up Waziri Slaa
Mama nmekukubali xana umekumbuka mema ya mme wako wengi wakishagombna kuna wanawake wanasahau ule upendo uliokuwepo mwanzo kabla ya penzi kuanguka hongera xana mama Mungu atakusaidia mtarudiana nakuendeleza penzi
Mungu akupe uponyaji wa moyo na akili Teacher Sabina ili cku moja urudi kazini maana wewe ni mwalimu mzuri sana""wanafunzi wako watakaokuja kuona hii comment watakubali.
Kuna cha kujifunza apa mukiwa na mahusiano musitangulize mali zenu wanawake umpe mtu mwili wako mapenzi yako umjali kisha akudhulumu juu kisa umependa aaiiih wacha nibaki single ♥️ ❤️ 👌 ✨️ 💖 😍 ♥️
Makonda uko kwenye vita vikali sana kakaangu,Yani nakuona kwa jicho la mbali sana ila watu kama nyie wachache sana wanawachukia na awataki kuwaona watu kama nyie. Tunakuombea Mungu sana ndugu yangu Mungu akuwekee ulinzi mkubwa kwenye maisha yako,mana sio raisi au sio binadamu yoyote anaeza kujitolea kuwatetea wanainchi kwa nia njema kama iyo.
Makonda mwanzo nilikuaga simuelewi lkn huyu jamaa sasa hv namuelewa anamaamuzi magum sana ya papo kwa papo na mungu amsaidie ni watu wachache wanaweza kufanya hvi
Makonda aise unapaswa kuwa rais aise baba dur unapiga kazi baraaaaaaaa Mungu akutie nguvu pamoja na mama yetu samia fanyeni kazi Mungu yu pamoja nanyinyi
Hapo kuna maswali mengi ya kujiuliza, imekuwaje mpaka imefika hatua hiyo, inaonekana huyo mama alikuwa ndo kichwa cha familia yani anaongoza familia nzima ( Watoto na mume wake ). Ukimsikiliza kila kitu, kwanzia magari, nyumba, mita za umeme, mita za maji zinasoma jina la mama sasa kwa ninavyojua hakuna mwanaume anataka kuwa chini ya mwanamke hata kama wanapendana vipi, ila hapo ukiangalia mama ndo alikuwa mmiliki wa karibia vitu vyao vyote sasa ni mwanaume gani angevumilia hali hiyo? Atakaa na wewe tu ila siku akipata nafasi ya kufanya mapinduzi lazima afanye, hicho ndo kilichotokea hakuna cha Neema wala nini. Baba hakupewa nafasi yake kama kichwa kwenye familia.
Sijui Jamaa Alifeli wapi....mbona Mwanake Anaonekana ni Bora Sana na Mwenye mawazo ya maendeleo...kinacho nishangaza majina yote kwenye Mali yanasoma ya mwanamke...Mungu Atuongoze katika familia zetu..ziwe na Amani na Utulivu.
alikuwa mzuri kipindi yuko kwa mume wake hivyo wachaga na wapale wanawake wanatamaa sana na mali za waume zao had kuwatoa uhai huyo alijaribu akaishia hewani atuonyeshe kad za hizo gari na siyo picha ya gari
Wanaume tuna kazi sana kwa wake zetu,tunafungua biashara tunawaweka kwenye share holder tunanunua hizi kesi. Hizo gari hakuna inayofika milioni 90wala milioni 150 kwa sababu ni 124 na trailer zake ni mtumba kipindi hicho ziligharimu ml75 truck and trailer. Hizo bei anataja ni zaR440 na R450 aache uongo. Mara mpenzi x baba bora. Amwite mzazi mwenzake.
Tunakimbilia kwa Wahubiri wanachukua pesa zetu bila msahada wanatudanganya kuwa tunapokea wakati kuna Viongoz wa nchi wenye maono ndani ya mioyo yao barikiwa Kiongoz Makonda.
Makonda ni pamoja na kujikana,kama ambavyo tunapambana Kwa ajili ya haki nakuombea haki hiyo ikutetee katikati ya adui wengi.sadako yako ikafananishwe na sadaka ya Petro ,
Hapo nimekuelewa dada mwanzo mwa interview nilijua wewe muongo unatafuta kumdhurumu mmeo kumbe Kuna dangaji limeingia kwenye familia yako Neema utakufa kifo kibaya unakula jasho la mwanamke mwenzio danga kubwa dada pambana mpk upate hizo nyumba na gari huo danga akatafute Mme wa kuanza nae maisha wanawake wengi michepuko ni washirikina sana kweli adui wa mwanamke ni mwanamke
Halafu kuna wapumbavu wanangoja makonda aanguke, kwa harakati hizi Mungu anampigania na yupo upande wake sababu hizi ni sadaka na kazi za Mungu
RIP JPM
Kuna jama anaitwa Ngurumo Yani huyo jama anamchukia Makonda hadi roho inauma kwa kweli.
Hakuna binaadam aliye kamilika ila aise Makonda anafanya kanzi Ya wito wa Mungu.
Tunakuomba mama Samia usikubali watu wakushauri vibaya ju Ya huyu kijana.
@@sonnyr1899tayari wanamshauri ndyo maana kamshusha uwezo wake si wa kua mkuu wa mkoa.
Nimejifunza kitu hapa tunapofanikiwa tukumbuke kutoa sadaka kuwa na mungu karibu Asante Kwa video hii
Makonda kama kunamahali uliteleza mungu akusamehe kaka manawewe ni binadam nimekwelewa
Makonda makonda makonda nimeita mara 3 Mungu Akubariki Mungu Aibariki kazi ya mikono yako Mungu Aibariki Tanzania
Ww furaiya tu iko siku utajuwa wanawake niyoka kama ww nimwanaume ira kama mwanamke sawa
Jamani binti anaonekana anamtumainia sana Mungu, na Mungu hajawahi kumuacha mtu.
Tuendelee kumtumainia Mungu😢
Dah jmn mbona binadamu tumekuwa wa hovyo sana, BigUp MH Paul Makonda
Mh.Makonda TUNAKUOMBEA Mwenyezi Mungu azidi kukutia nguvu zaidi na zaidi uzidi kuwa Bora zaidi usiku na mchana!
Ipo thawabu yako toka kwa Mungu mh Makonda,kuvivaa viatu vya mtu ni kazi ngumu sana,but wewe umekuwa ukivivaa viatu vya wanyonge,Mungu akutunze na kukujalia hekima kama ya mfalme Suleiman
Ananikumbusha hayati John pombe Magufuri
Nyie hamuoni, Aliko makonda ndiko nchi na mitandao ilikohamia. Kwani mkiiga mtakufa.Waziri mwingine anaepiga kazi ni waziri wa ardhi. Halafu ana weledi saaaana katika kazi hiyo.Big up Waziri Slaa
yani kaka yangu makondo utunzwe na mungu sina luga ya kusema
uwiii makando tunzwa na mungu
Kiukwel makonda na wazir silaaaa Mungu awatunze na wawe mfano wa kuigwa na viongoz wengine na wa Tanzania wote kwa ujumla tuwe wazalendo
Kiukwel makonda na wazir silaaaa Mungu awatunze na wawe mfano wa kuigwa na viongoz wengine na wa Tanzania wote kwa ujumla tuwe wazalendo
Waige wakati wanajali matumbo yao
Makonda Mungu Akubariki.Dada Utakachopata hapa Kupitia Mkuu WA MKOA ,Ridhika na samehe Mungu ataendelea kuwa Upande wako.
Makonda chapa kazi bila kuogopa mwanadamu mwogope Mungu aliye juuuuuuu sanaaa 2030 we ni Risi Makonda oyeeee
Uyu dada ana maono na akiri ya maisha uyu ndo mwanamke sasa, uyo mbwa atadirisika
Pole sana Dada,Mwenyezi Mungu akusimamie uweze kupata haki yako.
Mungu umlinde Makonda 🙏🙏🙏
Ww ni nan makonda niliekuwa nakuchukia na leo nataka uwe RAISI WANGU..... 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Mungu amesikia kilio chako mama na kamtuma Makonda aje akusaidie, Mungu ni Mwema na haki Yako itapatikana Amen 🙏
Mungu akuongoze MUHESHIMIWA Mkonda Nakufuwatiria sana kipenzi kutoka Rwanda Kigali
Alhamdulillah. Mungu akueke ndugu Makonda. InshaAllah
Mungu aendelee kumpigania makonda. Anafanya kazi nzuri
Bora nitafute peke yangu, hivi vya kushare mwisho wake nikujiua sitaki mimi. Pole dea yatapita
Mama Mungu akutetee sana,"Mungu humtuma mtu" na mtu huyo ni mtumwa wa Mungu na serikali Makonda. Mungu amtunze kwa ajili ya wengi zaidi.
Pole sana dada, pamoja na hayo yote bado lipo tumaini, na Mungu huwa ana watu wake,
Mama nmekukubali xana umekumbuka mema ya mme wako wengi wakishagombna kuna wanawake wanasahau ule upendo uliokuwepo mwanzo kabla ya penzi kuanguka hongera xana mama Mungu atakusaidia mtarudiana nakuendeleza penzi
Mkuu Mungu akubariki sanaaa azidi kukuweka uzidi kuwasaidia watu wapate haki yake Nakuombea uwe Raisi wetu Inshallah 🙏
Kwa makonda ilo limeisha, huko arusha kumecha
She's still pretty though ❤
Jaman jaman tunamshukuru mungu kwakutuachia mtoto wa magufuli alimaarufu kama makonda mungu akubarik nauendelee kuwa naiman ya mungu
Makonda mungu akubariki zaidi na zaidi na akulinde na mahasid wa usiku na mchana
nauona uongozi wa magufuli kulejea hapa tz ndani ya myaka ijayo mungu akubaliki nakuona mbali sana
Kurejea sio kulejea,akubariki sio akubariki
Asante Mheshimiwa Makonda kazi kwenda lala nao mbele wanaofanya dhuluma
Mungu ambariki muheshimiwa Makonda
Makonda Mungu aubariki... sina cha kusema zaudi ila Mungu anajua fungu lako, kwa haya unayofanya kwenye maisha wa waliokata tamaa.
Sawa makonda ana mapungufu yake ila mema anayo fanyia wanaichi atujali sisi tunamuona nabii wawananchi
Mungu amlinde huyu baba makonda ❤😢
SABINA USIFE MOYO HADI HATIMA YAKO ITAKAPO TIMIA
Mungu akupe uponyaji wa moyo na akili Teacher Sabina ili cku moja urudi kazini maana wewe ni mwalimu mzuri sana""wanafunzi wako watakaokuja kuona hii comment watakubali.
Makonda vita ulioanzisha nikubwa MUNGU akutangulie
Kwa makonda hii kesi ndogo samaaa imeishaa munguu mwemaa
Kuna cha kujifunza apa mukiwa na mahusiano musitangulize mali zenu wanawake umpe mtu mwili wako mapenzi yako umjali kisha akudhulumu juu kisa umependa aaiiih wacha nibaki single ♥️ ❤️ 👌 ✨️ 💖 😍 ♥️
Duh.
Makonda uko kwenye vita vikali sana kakaangu,Yani nakuona kwa jicho la mbali sana ila watu kama nyie wachache sana wanawachukia na awataki kuwaona watu kama nyie.
Tunakuombea Mungu sana ndugu yangu Mungu akuwekee ulinzi mkubwa kwenye maisha yako,mana sio raisi au sio binadamu yoyote anaeza kujitolea kuwatetea wanainchi kwa nia njema kama iyo.
Mungu msaidie huyu dada apate haki yake.. mungu mtunze makonda
Makonda mwanzo nilikuaga simuelewi lkn huyu jamaa sasa hv namuelewa anamaamuzi magum sana ya papo kwa papo na mungu amsaidie ni watu wachache wanaweza kufanya hvi
Wakuu wa Mikoa mingine igeni kazi hii!!!!
Kama Kuna Mahalia Makonda ulimkosea Mungu akusamehe kupitia haya
Pole Sana shooo usiwaamini Sana wanaume wamekua matapeli
Hata wanawake hamuaminiki wengi ni matapeli na njaa tupu.
Pole sana ndugu yangu Mungu atajibu maombi yako
Pole sana Dada, Mungu yupo
Makonda mungu atakulinda kunasiku itakua
Makonda Mungu akubariki sana❤❤
Hawa viumbe siyo yà kuaminiwa sana.
Tatizo la viongozi wengi hawataki kusema ukweli kama makonda mana wanaogopa kufa.mungu akubariki uishii miaka mingi kama mzee mwinyi.
Makonda mungu yupo pamoja nawe🎉🎉
Viva Makonda❤❤❤❤🔥🔥🔥🔥🔥
My rais sijui lini ila namkubali sana Makonda
Makonda aise unapaswa kuwa rais aise baba dur unapiga kazi baraaaaaaaa Mungu akutie nguvu pamoja na mama yetu samia fanyeni kazi Mungu yu pamoja nanyinyi
Kabisaa
Hafai
@@abdulrahmanmohammed4449 kwanini unasema hafai toa sababu
Wewe ndo hufai@@abdulrahmanmohammed4449
Nawashauri mkiingia kwenye mahusiano msiingie kichwa kichwa mtajutaaaaa.
Tunaemwamini yupo na atatenda Mungu wa mbinguni ni mkubwa kuliko tatizo ulilonalo dada yetu
Ogopa sana mwanamke,
😅😅😅
Hapo ni upande mmoja bado kusikia na upande mwingine, dunia ina mengi
Huyu ndie alitakiwa kuwa mke anajui kuponda mme anasifia mazuri ya nyuma . Safi sana
Tunatakiwa tumsikilize na mumeo ili tubalance story. Yawezekana wewe ndo ulikua chanzo. Wanaume tukisaritiwaga huwa tunakua confused kwa kila kitu.
Dada ukifanikiwa mi nipo kwaajili yako nitakuoa ❤❤❤
😂😂
😂😂😂😂😂😂😂😂
Unataka kitonga au
Hahaha kwahiyo hamniamini
😅😅😅😅kama nakuona unavyosubiria mke
Mama moyo wako na kauli zako zinawakilisha jinsi ulivyo mnyenyekevu....MUNGU ANAWEZA ATAFANYA NJIA PASIPO NA NJIA.
Pole sana
Neema ni mchawi sana alitumia uchawi kuvuruga maisha yenu
Kuna mambo yanaumiza sana. Pole sana dada Sabina. MUNGU AKUBARIKI SANA MAKONDA
Hapo kuna maswali mengi ya kujiuliza, imekuwaje mpaka imefika hatua hiyo, inaonekana huyo mama alikuwa ndo kichwa cha familia yani anaongoza familia nzima ( Watoto na mume wake ). Ukimsikiliza kila kitu, kwanzia magari, nyumba, mita za umeme, mita za maji zinasoma jina la mama sasa kwa ninavyojua hakuna mwanaume anataka kuwa chini ya mwanamke hata kama wanapendana vipi, ila hapo ukiangalia mama ndo alikuwa mmiliki wa karibia vitu vyao vyote sasa ni mwanaume gani angevumilia hali hiyo? Atakaa na wewe tu ila siku akipata nafasi ya kufanya mapinduzi lazima afanye, hicho ndo kilichotokea hakuna cha Neema wala nini. Baba hakupewa nafasi yake kama kichwa kwenye familia.
Mungu akusaidie hyo dada apate haki yake
Mama haki ya mtu haipotei bali inacheleweshwa utapatapa tu
Makonda mungu akibariki babayangu kunawanyonge wanao nyanyasika sana makonda umekuja kuwaokowa wanao onewa
Halo dada umenikosha kwenye mrembo nawewe utapata
Sijui Jamaa Alifeli wapi....mbona Mwanake Anaonekana ni Bora Sana na Mwenye mawazo ya maendeleo...kinacho nishangaza majina yote kwenye Mali yanasoma ya mwanamke...Mungu Atuongoze katika familia zetu..ziwe na Amani na Utulivu.
uchawi michepuko inaloga kinoma mpaka unasahau ukoo ulotoka
Duh kweli alikua mzuri asee
alikuwa mzuri kipindi yuko kwa mume wake hivyo wachaga na wapale wanawake wanatamaa sana na mali za waume zao had kuwatoa uhai huyo alijaribu akaishia hewani atuonyeshe kad za hizo gari na siyo picha ya gari
Makonda ni mtenda haki tuondoe chuki binafsi nchi hii tuna wakombozi ila hatuwapi moyo
Pole sana dasa
Pole sana Dada..
Pole dada yangu
Pole sana dada hapo umefika unasaidiwa ondoa hofu
Pole Dada
Inasikitisha sana kweli eeh
Pole sana Dada
Hakika Mungu nimwema
Pole dada mungu yupo
Wanaume kuweni makini sana na wanawake mnapokuwa nao kimapenz msiwashilikishe kwenye mari zenu atari sana
Makonda ni prime minister baadae kidogo TU tuendelee kusubiri.
Wanaume tuna kazi sana kwa wake zetu,tunafungua biashara tunawaweka kwenye share holder tunanunua hizi kesi. Hizo gari hakuna inayofika milioni 90wala milioni 150 kwa sababu ni 124 na trailer zake ni mtumba kipindi hicho ziligharimu ml75 truck and trailer. Hizo bei anataja ni zaR440 na R450 aache uongo. Mara mpenzi x baba bora. Amwite mzazi mwenzake.
Kabisa, umeongea kitu kikubwa sana.
Acheni utapeli na kulelewa huyo mwanamke siyo mpumbavu acha shobo
Hizo reckless decision za kumiliki mali kwa umoja..Nazo ni kukosa akili
Hyo mwanamke namjua hakia kitu anatakakumilisi mume wake ili aolewena mwanaume mwingine
Pole sana dada
Mungu akutunze makonda
Daah nashindwa hta niandike nn
Mungu msimamie huyu dada sakina apate haki yake
Hiyo kazi hata mtu mwengine hawezi hii inamkono wa MUNGU MUNGU amekuweka MAKONDA
Daaaaaa Mungu atusaidie wanaume
Mwizi uyooo ana hela ya kununua ata cmu
😅😅😅😂
Polee Sanaa mwangu. Haliya ya mtu haipotei yataisha hayo alokuzulumu atavinaalichopanda mungu yupo
Tunakimbilia kwa Wahubiri wanachukua pesa zetu bila msahada wanatudanganya kuwa tunapokea wakati kuna Viongoz wa nchi wenye maono ndani ya mioyo yao barikiwa Kiongoz Makonda.
Makonda ni pamoja na kujikana,kama ambavyo tunapambana Kwa ajili ya haki nakuombea haki hiyo ikutetee katikati ya adui wengi.sadako yako ikafananishwe na sadaka ya Petro ,
Wewe neema mungu anakuona
Hapo nimekuelewa dada mwanzo mwa interview nilijua wewe muongo unatafuta kumdhurumu mmeo kumbe Kuna dangaji limeingia kwenye familia yako Neema utakufa kifo kibaya unakula jasho la mwanamke mwenzio danga kubwa dada pambana mpk upate hizo nyumba na gari huo danga akatafute Mme wa kuanza nae maisha wanawake wengi michepuko ni washirikina sana kweli adui wa mwanamke ni mwanamke
Pole sana mamaa😢haki haipotei
Dooo mbona kama alipigwa vitu vingi