KUTANA NA MTU HUYU ANAEISHI KWA MAPAFU YA CHUMA MIAKA 70 SASA, "NI MWANASHERIA, ANA MIAKA 77".

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 31. 07. 2023

Komentáře • 209

  • @jamilaathumani5481
    @jamilaathumani5481 Před 11 měsíci +51

    Asante mungu Kwa baraka zako na kwakunipa afya na uzima,,,Asante mungu,, nakupenda mungu wangu,,naomba nawewe unipende Zaid na uzidi kunilinda na kunipigania

    • @muddywatown
      @muddywatown Před 11 měsíci

      Akikupenda zaidi unakufa 😂😂

  • @yohanapelecca5034
    @yohanapelecca5034 Před 11 měsíci +13

    Hakika tumshukuru Mungu kwa uzima tulionao Sasa,tukumbuke kutenda mema kwa wenye uhitaji

  • @marysona9999
    @marysona9999 Před 11 měsíci +18

    MWENYEZI MUNGU NAOMBA UNISAMEHE BABA!😭😭😭😭

    • @lakaspamedia
      @lakaspamedia Před 11 měsíci

      czcams.com/video/8Tkp50SY4Ag/video.html

  • @anethwilson545
    @anethwilson545 Před 11 měsíci +5

    Mungu ni kwa neema yako tu kwamba tunaishi tukiwa na afya njema na imara jina lako lihimidiwe sana sana
    Nakupenda Yesu
    Naomba uendelee kuniimarishia ulinzi wako mimi na mwanangu

  • @zaitunjuma870
    @zaitunjuma870 Před 11 měsíci +12

    Eeh mungu wangu nashukuru sn kwa kunipa uzima huu 🙏🙏🙏❤️

  • @skilindaissa5441
    @skilindaissa5441 Před 11 měsíci +11

    Asante mungu kwa Afya na uzima.Asante Mungu Wangu 🙏 mungu Mwenye huruma na upendo nakuomba baba usimame na wote.🙏🙏

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 Před 11 měsíci +14

    Ukiamka mzima ushukuru alhamdulilah

  • @frdahkwa5483
    @frdahkwa5483 Před 11 měsíci +3

    Ooooh God of mercy😢😢😢😢thank you Jesus for the gift of life and good health

  • @QueenLyimo-hu4dj
    @QueenLyimo-hu4dj Před 11 měsíci +4

    Namshukuru Mungu kwa neema yake juu ya maisha yangu. Mungu aendelee kuuonyesha ukuu wake kupitia uzima wa ndugu yetu huyu. Hakika sifa na utukufu ni kwa Bwana.

  • @generosakinemo5490
    @generosakinemo5490 Před 11 měsíci +5

    "Nisiposema neno asante nisipokiri wema wa Mungu ulimi wangu ugandamane na kaakaa la kinywa changu". Itoshe kusema asante Yesu kwa kunipa afya njema.

  • @fredrickoloo8046
    @fredrickoloo8046 Před 11 měsíci +40

    Inaumiza sana wakati mtu wako wa karibu akiteseka namdogo wangu alipata ajali alilala 🏥 hospital miezi miwili bila kuzinduka niliumia sana na wakati anazinduka hakuna kitu alikumbuka wala kujua wala kuongea na siku alipoongea alimtambua mamayake only sis wengine wote bure kabisa....kilichonitesa ni bill ya hospital ila nashukuru hadi sasa anaendelea vizuri

  • @praygodmunisi8999
    @praygodmunisi8999 Před 11 měsíci +5

    Asante sana mwenyezi mungu Kwa uzima nilionao 😢😢

  • @aloycemathew3926
    @aloycemathew3926 Před 11 měsíci +10

    Mungu mponye paka dunia ishangae. ❤ God

  • @issambonde1469
    @issambonde1469 Před 11 měsíci +1

    Asante mungu kwa kutujalia afy njem tunakuomba mola wetu utukinge na kila baya utupe mwisho mwem alhmndlh amn

  • @barakampambwe9791
    @barakampambwe9791 Před 11 měsíci +2

    Ooh God i really appreciate ur presence Lord Jesus thank you for thy life and grace i grorify ur name LORD

  • @halimamfaume1925
    @halimamfaume1925 Před 11 měsíci +7

    Ukiwa mzima wa Afya mshukuru Mungu kila wakati

  • @mawazoramazani9370
    @mawazoramazani9370 Před 11 měsíci +3

    Yatupasa kumshukuru Mungu kila wakati kuna mtu anatamani ata kusimama kwa sekunde moja tu na hawezi kabisa 😭😭

  • @twiseghekisilu8845
    @twiseghekisilu8845 Před 11 měsíci +2

    Mungu wangu! Jehovah ndilo jina lako!Asante kwa kila kitu!

  • @PASCALAlex-yk7ds
    @PASCALAlex-yk7ds Před 11 měsíci +4

    Daaaaaa mungu amponye tu pole sana Tena sana haya yote ni mapito katika Dunia

  • @pericyjohnson825
    @pericyjohnson825 Před 11 měsíci +2

    Ee Mungu wangu nakutukuza kwa kunipa uzima,nipe moyo wa kujua wewe Mungu ndo kila kitu ktk maisha ya mwanadamu

  • @joycemageta4876
    @joycemageta4876 Před 11 měsíci +2

    Asante Mungu wangu kwa neema hii uliyo nipa mpaka umri huu

  • @imanicharles936
    @imanicharles936 Před 11 měsíci +4

    Mungu baba natubu Mimi nisamehe

  • @user-qs9qd2ou5i
    @user-qs9qd2ou5i Před 11 měsíci +1

    Asante Mungu kwa afya njema tunaomba uendelee kutupa afya ili tuendelee kukutumikia ww🙏

  • @PiliKhamis-mb6ty
    @PiliKhamis-mb6ty Před 11 měsíci +3

    Tumshukuru sana mungu wetu kwa afya njema aman naww mungu afueni inshaalah

  • @rachelmikey5493
    @rachelmikey5493 Před 11 měsíci +2

    Asante MUNGU😭😭 kwa uzima huu

  • @timothysalehe402
    @timothysalehe402 Před 11 měsíci +6

    Mungu ni mwema kila wakati

  • @sabihahamadi2287
    @sabihahamadi2287 Před 11 měsíci +3

    Subuhanallh mwenyezi mungu anarehema anafanya analo taka kwa wajawake mungu amuhifadhi jamani

  • @saraphinasahani5104
    @saraphinasahani5104 Před 11 měsíci +1

    Thank You Son Of God🙏🏾

  • @Miss_lwambano
    @Miss_lwambano Před 10 měsíci

    Hakika Mungu ni mwema siku zote aendelee kumtia nguvu na ipo siku ulimwengu utashangaa sana pia namshukuru Mungu kwa neema hii ya uhai mzurii ni neema tu ya Mungu ahsante sana yesu wangu sio kwa uwezo wangu au akili zangu ni neema tu🙏🙏

  • @dayana5513story
    @dayana5513story Před 11 měsíci +13

    Thank God for everything you have given to me 🙏

  • @echimunimalikia4975
    @echimunimalikia4975 Před 11 měsíci +2

    Asante mungu kwa uhai na Afya

  • @felisterbalele
    @felisterbalele Před 11 měsíci +1

    Asante mungu kwa baraka zako

  • @petercostakisoka
    @petercostakisoka Před 11 měsíci

    Asante mwenyezi mungu kwa afya nzuri 🙏🙏🙏🙏🙏

  • @shalomchaula4420
    @shalomchaula4420 Před 11 měsíci +10

    Mungu Kuna vitu anaachilia ili kujitukuza na kuonyesha yeye ni Mungu hapana mwingine ,kiburi Cha uzima Mungu tuepushe nacho ni Kwa huruma zako hatuangamii tunaishi aseee ni Hali ya uzuni.

  • @saidatniyonkuru9910
    @saidatniyonkuru9910 Před 11 měsíci +11

    Ya Allah nisamehe MIM muja wako kumbe nakukufuru mi sin matatizo 😢

    • @hamadsuleiman5177
      @hamadsuleiman5177 Před 11 měsíci +2

      Wallah kwa kweli....Nashindwa kumalizia kuskiliza na kujikuta natokwa na machozi...Yaaa Allah tuswamehe dhambi zetu utufishe na kutuweke na watu wema

    • @ramadhanimwinyi-7445
      @ramadhanimwinyi-7445 Před 11 měsíci

      Aaaamin

  • @Muda27
    @Muda27 Před 11 měsíci

    Shukrani Ziegfeld kwako Mungu Baba.

  • @ellionajones1412
    @ellionajones1412 Před 11 měsíci

    Ohoo twampa pole mwenzetu Kwa kuwa mgonjwa kwa wakati wote huo. Ila ninaweza kuwapa ushauri hakuna Jambo gumu ambalo Yesu hawezi ,ampelekwe kwa mchungaji na nabii kakande atasimama na kama hawezi kupelekwe basi mtu aende kwa niaba yake Ila ninacho just hakuna Jambo gumu mkiwa na Imani asante.

  • @chotark1881
    @chotark1881 Před 11 měsíci +2

    Kuna baadhi ya watu wanajisahau sana kutambua kwamba huku duniani tumekuja kwa sababu wanakuwa na roho mbaya sana kiasi cha kuzuia riziki za wengine

  • @frankfelix3876
    @frankfelix3876 Před 11 měsíci

    🙏🙏 Ahsante mungu muumba mbingu na Ardhi kwakunipa nafasi ya kuwa na Afya njema

  • @husnashaheeb8756
    @husnashaheeb8756 Před 11 měsíci +1

    Allah Yaqfii Alhamdulillah

  • @Neema-lh8pi
    @Neema-lh8pi Před 11 měsíci

    Asante mungu kwa afya njema daahh kunawakati tunalalamika nakukufuru ee mwenyezi mungu tusamehe hatujui tuyatendayo

  • @petronilakitonyo3716
    @petronilakitonyo3716 Před 11 měsíci +1

    Ooh God thank you for the gift of life 🙏🙏

  • @MichaelEdwrdi-jp5ve
    @MichaelEdwrdi-jp5ve Před 11 měsíci

    Daah Mungu ni wetu sote tujaliie afya tele na uzima milele amina

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 Před 11 měsíci

    🙏🙏 Nashukur Mungu kwa kunip afya njema

  • @user-vd7ib3gq3v
    @user-vd7ib3gq3v Před 11 měsíci

    Pole sana jaman Allah akubalik

  • @daddysalha5883
    @daddysalha5883 Před 11 měsíci

    Asante MUNGU Kwakunilinda

  • @deogratiusdeo6954
    @deogratiusdeo6954 Před 11 měsíci

    Mungu ambaliki

  • @suzanfavour5558
    @suzanfavour5558 Před 11 měsíci

    Baba Asante Kwa kuwa nami,na nipo salma

  • @christinajisena2634
    @christinajisena2634 Před 11 měsíci

    Nakushukuru Mungu wangu kwa uzima na rehema zako kwangu

  • @mohammadoman8963
    @mohammadoman8963 Před 11 měsíci

    Subhana Allah ktk haya makafiri wajuwe wakuabudiwa ni Allah pekee yake

  • @zuchubabee5822
    @zuchubabee5822 Před 11 měsíci +1

    Alhamdulillah labbraalamin 🙏

  • @annamadavid4152
    @annamadavid4152 Před 11 měsíci

    Nakushukuru mungu,kwa kumtunza MTU huyu na sie ambao tuna.afya njema tuseme aminaa,sio kwa nguvu zetu Bali kwa upendo wa mungu baba.

  • @tatuluanda6581
    @tatuluanda6581 Před 11 měsíci

    Asante mungu kwa kila kitu yarrab

  • @jamilairakoze6600
    @jamilairakoze6600 Před 11 měsíci

    Asante mungu na unisamehe

  • @marthamorris7297
    @marthamorris7297 Před 11 měsíci

    Asante mungu kwa uzima

  • @agnestemu8382
    @agnestemu8382 Před 11 měsíci

    Ahsante Mungu naomba kila nikilalamika unikumbeshe baba

  • @user-uj6lg7jf2e
    @user-uj6lg7jf2e Před 11 měsíci +1

    Asante mungu kwa afya njema mimi na familia yangu🙏

  • @mashapromise3364
    @mashapromise3364 Před 11 měsíci

    Poleni sana

  • @mariaagnes447
    @mariaagnes447 Před 11 měsíci

    Eee mwenyezi mungu asnte kwa afya njema

  • @theresiamartin3150
    @theresiamartin3150 Před 11 měsíci +1

    Ee Mungu nakushukuru kwa uzima na afya

  • @usheiyhseff-bo9vv
    @usheiyhseff-bo9vv Před 11 měsíci

    Waah ukiamuka usiku na muchana ambia mungu asante

  • @gracekunambi7438
    @gracekunambi7438 Před 11 měsíci

    Asante Mungu wangu kwa uzima nilionao. Asante kwa zawadi ya pumzi. 🙏🙏

  • @jonasphilemon6956
    @jonasphilemon6956 Před 11 měsíci +1

    Mungu Ni wa ajaabhu

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 Před 11 měsíci

    Subhannallah, mtihani kwakweli

  • @agriparose3942
    @agriparose3942 Před 11 měsíci

    Asante mungu naomba rehema baba

  • @kiambahd-kh4px
    @kiambahd-kh4px Před 11 měsíci

    Asante mungu kwa kunpa afya njema mungu nisamahe sana kwa makosa ninayo kosea

  • @JanethLameck-ly8cz
    @JanethLameck-ly8cz Před 11 měsíci

    Mungu nakushukuru kwayote

  • @jumamohamed4808
    @jumamohamed4808 Před 11 měsíci

    Allhamdullillah lladh afan mimma bitalaqa bi wafadwal alakathr minma qhalaqa tafdhwla

  • @azizalungo266
    @azizalungo266 Před 11 měsíci

    Asante Mungu kwa uzima

  • @janeongala6684
    @janeongala6684 Před 11 měsíci

    Pole dear

  • @christainc.5217
    @christainc.5217 Před 11 měsíci

    Nashukuru mungu ryisi ananirinda nafamily yangu❤❤❤

  • @doreenalexander6493
    @doreenalexander6493 Před 11 měsíci

    Maisha haya jaman Asante mungu Kwa uzima huu ulionipa🙏🙏🙏

  • @juliethgodfreylusaulwa2543
    @juliethgodfreylusaulwa2543 Před 11 měsíci +2

    MUNGU WANGU.
    LKN PAUL BADO ANATABASAMU

  • @user-qy5qw1jv4s
    @user-qy5qw1jv4s Před 11 měsíci

    Asant Mungu wangu kwa uzima huu mulionao

  • @user-uf1cs8kv8s
    @user-uf1cs8kv8s Před 11 měsíci

    Nakushukuru MUNGU kwa hivi nilivyo

  • @omanmct135
    @omanmct135 Před 11 měsíci

    Tushukuru aaallah mdulilah

  • @hallin9561
    @hallin9561 Před 11 měsíci

    Bado kuna ngedere hawariziki kwa jinsi walivyoumbwa na wanauwezo wa viungo vyote, Asante Mungu I'm full filled.

  • @emeldatemba3891
    @emeldatemba3891 Před 10 měsíci

    Nakushukuru kwa uzima mungu wangu

  • @godloveemanuel1417
    @godloveemanuel1417 Před 10 měsíci

    Asante Mungu 🙏🏽

  • @glorymtenga4019
    @glorymtenga4019 Před 11 měsíci

    Thanks God for life

  • @gabrielndikumana157
    @gabrielndikumana157 Před 11 měsíci

    Mungu apewe sifa amin

  • @aliemdogo
    @aliemdogo Před 11 měsíci +3

    Mungu wangu nakushukuru

    • @lakaspamedia
      @lakaspamedia Před 11 měsíci

      czcams.com/video/8Tkp50SY4Ag/video.html

  • @jemimahchiro4013
    @jemimahchiro4013 Před 11 měsíci

    Mungu asante kwa afya njema ni ww t wakuabudiwa

  • @omanmuscatmus2155
    @omanmuscatmus2155 Před 11 měsíci +2

    Alihamdulliallah allah muwekeye wesi

    • @lakaspamedia
      @lakaspamedia Před 11 měsíci

      czcams.com/video/8Tkp50SY4Ag/video.html

  • @user-nn5sq8ol4g
    @user-nn5sq8ol4g Před 11 měsíci +1

    Mungu fundi

  • @siriyangu4724
    @siriyangu4724 Před 11 měsíci

    Alhamdulilai kull hally ashukurie Allah muweza ya yote

  • @khadidjasuleiman8006
    @khadidjasuleiman8006 Před 11 měsíci +1

    Alhamduli llahi Aãla kulli Hali ya Allah Subhanallah

  • @paulineMmbulika1533
    @paulineMmbulika1533 Před 11 měsíci

    Mungu apewe sifua kwa uzima amenipa n family yngu🙏🙏🙏🙏

  • @brunolwambano6752
    @brunolwambano6752 Před 11 měsíci

    Yuko Yesu mtenda miujiza anasema niite nami nitakwitikia

  • @euniceonyango6263
    @euniceonyango6263 Před 11 měsíci

    Thank you God for the gift of life you have given me and my family.

  • @sabahdaudi8128
    @sabahdaudi8128 Před 11 měsíci

    Asante mungu

  • @GloryElisha-dl9my
    @GloryElisha-dl9my Před 11 měsíci +2

    Yatupasa kumshukuru Mungu kila wakati, kuna mtu anatamani ata kusimama kwa sekunde moja tu na hawezi kabisa

  • @mwingadulle7400
    @mwingadulle7400 Před 11 měsíci +9

    Glory to God 😢

  • @omanmct135
    @omanmct135 Před 11 měsíci

    Subhanalllllah

  • @mercypeter162
    @mercypeter162 Před 11 měsíci +5

    Tumshkuru MUNGU kwa kila jambo

  • @JailosPhilbert-vd5is
    @JailosPhilbert-vd5is Před 11 měsíci

    Yesu ninakushukuru kwa maisha na afya ii uliyonipa sina cha kukulipa mimi ninakushukuru.naomba uwakumbuke wote walio kwenye mateso wagonjwa na wenye mahitaji wakumbuke Mungu wangu.

  • @ZenorinaLyimo
    @ZenorinaLyimo Před 11 měsíci

    Thenx God for everything

  • @JamesJohn-ly3xt
    @JamesJohn-ly3xt Před 11 měsíci

    Thank GOD kwa neema ya uzima

  • @sevenskyyahaya304
    @sevenskyyahaya304 Před 11 měsíci +1

    Asnte mng kwa uzma ulionipa

  • @joycejackson2320
    @joycejackson2320 Před 11 měsíci

    Mungu mwema sana jamaniii