Asante mungu Kwa baraka zako na kwakunipa afya na uzima,,,Asante mungu,, nakupenda mungu wangu,,naomba nawewe unipende Zaid na uzidi kunilinda na kunipigania
Mungu ni kwa neema yako tu kwamba tunaishi tukiwa na afya njema na imara jina lako lihimidiwe sana sana Nakupenda Yesu Naomba uendelee kuniimarishia ulinzi wako mimi na mwanangu
Namshukuru Mungu kwa neema yake juu ya maisha yangu. Mungu aendelee kuuonyesha ukuu wake kupitia uzima wa ndugu yetu huyu. Hakika sifa na utukufu ni kwa Bwana.
Inaumiza sana wakati mtu wako wa karibu akiteseka namdogo wangu alipata ajali alilala 🏥 hospital miezi miwili bila kuzinduka niliumia sana na wakati anazinduka hakuna kitu alikumbuka wala kujua wala kuongea na siku alipoongea alimtambua mamayake only sis wengine wote bure kabisa....kilichonitesa ni bill ya hospital ila nashukuru hadi sasa anaendelea vizuri
Hakika Mungu ni mwema siku zote aendelee kumtia nguvu na ipo siku ulimwengu utashangaa sana pia namshukuru Mungu kwa neema hii ya uhai mzurii ni neema tu ya Mungu ahsante sana yesu wangu sio kwa uwezo wangu au akili zangu ni neema tu🙏🙏
Mungu Kuna vitu anaachilia ili kujitukuza na kuonyesha yeye ni Mungu hapana mwingine ,kiburi Cha uzima Mungu tuepushe nacho ni Kwa huruma zako hatuangamii tunaishi aseee ni Hali ya uzuni.
Ohoo twampa pole mwenzetu Kwa kuwa mgonjwa kwa wakati wote huo. Ila ninaweza kuwapa ushauri hakuna Jambo gumu ambalo Yesu hawezi ,ampelekwe kwa mchungaji na nabii kakande atasimama na kama hawezi kupelekwe basi mtu aende kwa niaba yake Ila ninacho just hakuna Jambo gumu mkiwa na Imani asante.
Yesu ninakushukuru kwa maisha na afya ii uliyonipa sina cha kukulipa mimi ninakushukuru.naomba uwakumbuke wote walio kwenye mateso wagonjwa na wenye mahitaji wakumbuke Mungu wangu.
Asante mungu Kwa baraka zako na kwakunipa afya na uzima,,,Asante mungu,, nakupenda mungu wangu,,naomba nawewe unipende Zaid na uzidi kunilinda na kunipigania
Akikupenda zaidi unakufa 😂😂
Hakika tumshukuru Mungu kwa uzima tulionao Sasa,tukumbuke kutenda mema kwa wenye uhitaji
MWENYEZI MUNGU NAOMBA UNISAMEHE BABA!😭😭😭😭
czcams.com/video/8Tkp50SY4Ag/video.html
Mungu ni kwa neema yako tu kwamba tunaishi tukiwa na afya njema na imara jina lako lihimidiwe sana sana
Nakupenda Yesu
Naomba uendelee kuniimarishia ulinzi wako mimi na mwanangu
Eeh mungu wangu nashukuru sn kwa kunipa uzima huu 🙏🙏🙏❤️
Asante mungu kwa Afya na uzima.Asante Mungu Wangu 🙏 mungu Mwenye huruma na upendo nakuomba baba usimame na wote.🙏🙏
Asante mungu kwa afya
Ukiamka mzima ushukuru alhamdulilah
Kweli kabisa
czcams.com/video/8Tkp50SY4Ag/video.html
Kwel
Tena useme subhanna wallah wabihmdi subhanna wallah llghazim.
Asant mung kwa zawad ya uhai
Ooooh God of mercy😢😢😢😢thank you Jesus for the gift of life and good health
Namshukuru Mungu kwa neema yake juu ya maisha yangu. Mungu aendelee kuuonyesha ukuu wake kupitia uzima wa ndugu yetu huyu. Hakika sifa na utukufu ni kwa Bwana.
"Nisiposema neno asante nisipokiri wema wa Mungu ulimi wangu ugandamane na kaakaa la kinywa changu". Itoshe kusema asante Yesu kwa kunipa afya njema.
Inaumiza sana wakati mtu wako wa karibu akiteseka namdogo wangu alipata ajali alilala 🏥 hospital miezi miwili bila kuzinduka niliumia sana na wakati anazinduka hakuna kitu alikumbuka wala kujua wala kuongea na siku alipoongea alimtambua mamayake only sis wengine wote bure kabisa....kilichonitesa ni bill ya hospital ila nashukuru hadi sasa anaendelea vizuri
😢 maskini 😢 poleni sana shkuru Mungu kwakua nimzima ipo siku ata wakumbuka nyinyi ote Dah
Ashukuriwe Mungu bado yupo hai.
Pole Sana my dear
Polen sana, at least yupo na nafuu, atapona kbs muombeni Mwenyez Mungu
Alhamdhulillah
Asante sana mwenyezi mungu Kwa uzima nilionao 😢😢
Mungu mponye paka dunia ishangae. ❤ God
Amina 🙏😢
Amen
Amina
Asante mungu kwa kutujalia afy njem tunakuomba mola wetu utukinge na kila baya utupe mwisho mwem alhmndlh amn
Ooh God i really appreciate ur presence Lord Jesus thank you for thy life and grace i grorify ur name LORD
Ukiwa mzima wa Afya mshukuru Mungu kila wakati
Kabisa
Aaaalllah mduliah
Yatupasa kumshukuru Mungu kila wakati kuna mtu anatamani ata kusimama kwa sekunde moja tu na hawezi kabisa 😭😭
Mungu wangu! Jehovah ndilo jina lako!Asante kwa kila kitu!
Daaaaaa mungu amponye tu pole sana Tena sana haya yote ni mapito katika Dunia
Ee Mungu wangu nakutukuza kwa kunipa uzima,nipe moyo wa kujua wewe Mungu ndo kila kitu ktk maisha ya mwanadamu
Asante Mungu wangu kwa neema hii uliyo nipa mpaka umri huu
Mungu baba natubu Mimi nisamehe
Amina
Asante Mungu kwa afya njema tunaomba uendelee kutupa afya ili tuendelee kukutumikia ww🙏
Tumshukuru sana mungu wetu kwa afya njema aman naww mungu afueni inshaalah
Asante MUNGU😭😭 kwa uzima huu
Mungu ni mwema kila wakati
Subuhanallh mwenyezi mungu anarehema anafanya analo taka kwa wajawake mungu amuhifadhi jamani
Thank You Son Of God🙏🏾
Hakika Mungu ni mwema siku zote aendelee kumtia nguvu na ipo siku ulimwengu utashangaa sana pia namshukuru Mungu kwa neema hii ya uhai mzurii ni neema tu ya Mungu ahsante sana yesu wangu sio kwa uwezo wangu au akili zangu ni neema tu🙏🙏
Thank God for everything you have given to me 🙏
ALHAMDULILLAH...
Asante mungu kwa uhai na Afya
Asante mungu kwa baraka zako
Asante mwenyezi mungu kwa afya nzuri 🙏🙏🙏🙏🙏
Mungu Kuna vitu anaachilia ili kujitukuza na kuonyesha yeye ni Mungu hapana mwingine ,kiburi Cha uzima Mungu tuepushe nacho ni Kwa huruma zako hatuangamii tunaishi aseee ni Hali ya uzuni.
Mungu akuponye. ❤
Ya Allah nisamehe MIM muja wako kumbe nakukufuru mi sin matatizo 😢
Wallah kwa kweli....Nashindwa kumalizia kuskiliza na kujikuta natokwa na machozi...Yaaa Allah tuswamehe dhambi zetu utufishe na kutuweke na watu wema
Aaaamin
Shukrani Ziegfeld kwako Mungu Baba.
Ohoo twampa pole mwenzetu Kwa kuwa mgonjwa kwa wakati wote huo. Ila ninaweza kuwapa ushauri hakuna Jambo gumu ambalo Yesu hawezi ,ampelekwe kwa mchungaji na nabii kakande atasimama na kama hawezi kupelekwe basi mtu aende kwa niaba yake Ila ninacho just hakuna Jambo gumu mkiwa na Imani asante.
Kuna baadhi ya watu wanajisahau sana kutambua kwamba huku duniani tumekuja kwa sababu wanakuwa na roho mbaya sana kiasi cha kuzuia riziki za wengine
🙏🙏 Ahsante mungu muumba mbingu na Ardhi kwakunipa nafasi ya kuwa na Afya njema
Allah Yaqfii Alhamdulillah
Asante mungu kwa afya njema daahh kunawakati tunalalamika nakukufuru ee mwenyezi mungu tusamehe hatujui tuyatendayo
Ooh God thank you for the gift of life 🙏🙏
Daah Mungu ni wetu sote tujaliie afya tele na uzima milele amina
🙏🙏 Nashukur Mungu kwa kunip afya njema
Pole sana jaman Allah akubalik
Asante MUNGU Kwakunilinda
Mungu ambaliki
Baba Asante Kwa kuwa nami,na nipo salma
Nakushukuru Mungu wangu kwa uzima na rehema zako kwangu
Subhana Allah ktk haya makafiri wajuwe wakuabudiwa ni Allah pekee yake
Alhamdulillah labbraalamin 🙏
Nakushukuru mungu,kwa kumtunza MTU huyu na sie ambao tuna.afya njema tuseme aminaa,sio kwa nguvu zetu Bali kwa upendo wa mungu baba.
Asante mungu kwa kila kitu yarrab
Asante mungu na unisamehe
Asante mungu kwa uzima
Ahsante Mungu naomba kila nikilalamika unikumbeshe baba
Asante mungu kwa afya njema mimi na familia yangu🙏
Poleni sana
Eee mwenyezi mungu asnte kwa afya njema
Ee Mungu nakushukuru kwa uzima na afya
Waah ukiamuka usiku na muchana ambia mungu asante
Asante Mungu wangu kwa uzima nilionao. Asante kwa zawadi ya pumzi. 🙏🙏
Mungu Ni wa ajaabhu
Subhannallah, mtihani kwakweli
Asante mungu naomba rehema baba
Asante mungu kwa kunpa afya njema mungu nisamahe sana kwa makosa ninayo kosea
Mungu nakushukuru kwayote
Allhamdullillah lladh afan mimma bitalaqa bi wafadwal alakathr minma qhalaqa tafdhwla
Asante Mungu kwa uzima
Pole dear
Nashukuru mungu ryisi ananirinda nafamily yangu❤❤❤
Maisha haya jaman Asante mungu Kwa uzima huu ulionipa🙏🙏🙏
MUNGU WANGU.
LKN PAUL BADO ANATABASAMU
Asant Mungu wangu kwa uzima huu mulionao
Nakushukuru MUNGU kwa hivi nilivyo
Tushukuru aaallah mdulilah
Bado kuna ngedere hawariziki kwa jinsi walivyoumbwa na wanauwezo wa viungo vyote, Asante Mungu I'm full filled.
Nakushukuru kwa uzima mungu wangu
Asante Mungu 🙏🏽
Thanks God for life
Mungu apewe sifa amin
Mungu wangu nakushukuru
czcams.com/video/8Tkp50SY4Ag/video.html
Mungu asante kwa afya njema ni ww t wakuabudiwa
Alihamdulliallah allah muwekeye wesi
czcams.com/video/8Tkp50SY4Ag/video.html
Mungu fundi
Alhamdulilai kull hally ashukurie Allah muweza ya yote
Alhamduli llahi Aãla kulli Hali ya Allah Subhanallah
Mungu apewe sifua kwa uzima amenipa n family yngu🙏🙏🙏🙏
Yuko Yesu mtenda miujiza anasema niite nami nitakwitikia
Thank you God for the gift of life you have given me and my family.
Asante mungu
Yatupasa kumshukuru Mungu kila wakati, kuna mtu anatamani ata kusimama kwa sekunde moja tu na hawezi kabisa
Ni kweli kbs Mungu atuhurumie
Glory to God 😢
Subhanalllllah
Tumshkuru MUNGU kwa kila jambo
czcams.com/video/8Tkp50SY4Ag/video.html
Mungu mkubwa sana
Yesu ninakushukuru kwa maisha na afya ii uliyonipa sina cha kukulipa mimi ninakushukuru.naomba uwakumbuke wote walio kwenye mateso wagonjwa na wenye mahitaji wakumbuke Mungu wangu.
Thenx God for everything
Thank GOD kwa neema ya uzima
Asnte mng kwa uzma ulionipa
Mungu mwema sana jamaniii