#VIDEO
Vložit
- čas přidán 30. 07. 2023
- #VIDEO ya MAKTABA: MANENO ya MWISHO ya DJ STEVE B kwa GLOBAL TV, ALIVYOSIMULIA FIGO ILIVYOMTESA...
CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
========================
Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PEASA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
============================================================
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_ya_kusisimua
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globalradio
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusive_interviews
⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/globalradio/
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx - Zábava
JISHINDIE TECNO CAMON 20 kwa BUKU TU! Ingia kwenye simu yako📲, NAMBA YA KAMPUNI 553111, KUMBU NO. 255 au GLOBAL kisha Tuma 1,000! Utapaja ujumbe wa USHINDI!
Jishindie Tecno hadi kwenye mambo siriazi mmmmmh kweli pesa ili uwa watu , bora mngesema tumchangie au tumuombee haya leo hii muendelee kujishindia tecno 😢😢😢😢😢😢
Wangelileta kwenye mitandao tukachanga na km ishu ni figo wangejitolea watu akapata Figo nyingine subhanallah
Mwenyezimungu amrehemu na amuondolee adhabu za kabri
Heri wafu wafao ktk Bwana maana hao watauridhi uzima wa milele. RIP DJ StevB
pumzika salama ndugu yangu😢😢💔 mbele yako nyuma yetu🤗🤗😢😢
Innalilah wainnalilah rajiuun! Mwenyezimungu amjalie kauli thabiti! Poleni sana wafiwa!
Alhamdulilah 🙏 jamani picha zake za mwanzo zalikuwa hensamu baraa , da! Maradhi haya mungu kupunzishe Milele daima
Ulazwe mahali pema mzee steven mdoe mungu akupokee na akuweke pema Amin
dj skill salute mungu mwema
Gone too soon and too young. RIP my brother 🙏
😭😭😭mwanga wa milele umuangazie 🙏🙏🙏
R.I.P Steve B japo kaongea kitu kwamba figo yake iliharibika kutokana na blood pressure yani shinikizo la juu la damu,ivyo tufanye mazoezi na tubadili mtindo wa maisha jamani,unapoanza kuwa mnene au kunenepa manake unakaribisha shinikizo la juu la damu
Poleni wafiwa kuondokewa na ndugu yenu
Nyieeee! Kweli Duniani tunapita 😭😭😭
Kumbe alisha kuwa hivi?? Dah. Tunaomba taalifa za watu maarufu wakiumwa tuambiwe. Hata kama hawaombi msaada ila tujue hata tuwaombee😢😢😢😢😢 na dawa tuwatafutie. 😢😢😢😢
Mwenyezi Mungu amlaze mahali pema peponi🙏
Amen Steve, Mungu aendelee kukurehemu huko uliko.
Hakuna Rehema baada ya kufa.
Baaaa ya kufa ni hukumu
Innalilah wainailah rajuun mungu akuweke pema kaka atu
tuwe makini na pombe ndugu zangu, May he rest in peace my friend😢😢
May you received by Good Angels..and be one of them!
Poleni sana!
Ameshamkir kirsto ni bwana ...pumzika kwa Aman
Maradhi hay.! Rest in peace Dj Steve B 🙏😭😭
Innah lillah Wainnah iley Rajioon 😢
Binadamu nathaminiwa ukiwa mzima wa afya tu hapo utakuwa namarafikiwengi sana uyosteve b nikama alitengwa nikama alitengwa nawadau wa sanaa wote ni wachache sanaa waliothubutukumtembelea
Kweli kabisa ndugu yangu! Saizi tunajifanya kuhuzunika na mbwembwe nyingi kwenye msiba mtu akifa ila akiwa hai hayo magari yanayoongozana ya kifahari wakati alipokua anahitaji msaada hayakuwepo. Dunia hii ndugu yangu tuishi tukijua mtu upo mwenyewe na utateseka mwenyewe na kufa mwenyewe! So tufait for own our own....
R.I.P .STV .B😢😢😢😢😢😢
Pumzika bro
Mungu ailaze roho ya marehemu Steve b skls dj pamoja na rafiki yake vevean walikuwa wanafanya kipindi cha daladala clouds 8 mpaka 10 rip Steve b
Toka kipindi cha makonda ndo una post Leo baada ya kufariki Wakati mtu alikuwa anaomba msaada kwann haujapost tukamchangia unakuja kupost baada ya miaka 2 Tena baada ya kufarik
Mbona hii video ilionyweshwa kitambo humu mitandaoni wakati anaumwa anaomba msaada nilishawahi kuiona hii kitambo sana
Poleni san familya
Innalilah Wanainalilah Rajiun
RIp brother
Ukiumwa tu sura imehama duh
😢😢😢😢hapo Kenya huduma ya Figo kupandikizwa ipo aghakan .yani ukipata shida ukiwahi kutolewa figo na kuelewa hata moja unaishi tu vizuri na iyo Figo Moja
Anyway r.i.p young man
Pumzika kwa Amani kak
Mtangazaji ajifunze kutofautisha matumizi ya R na L.
R.i.p😢😢
Rest Well Bro
R. I. P brother
Sub'hana Allah
Alianza kuumwa tangu wakati wa Makonda ndio mnapost leeeoo???jaaamaanii aibu
Rest in peace broo
Rest In Peace STIVE
Hali ya miguu kuvimba na hali ya kuchoka ni dalili ya ugonjwa wa figo apumzike kwa amani kijana wetu
R I p
Duuh jama alikondaa😢😢😢😢😢
😢😢😢
Rest in peace
Pumzika kwa amaan broo dj mkongwe tutakukumbuka
Daah pumzika kwa aman kaka
Ameen😢😢😢😢
Rip
Amekufa uwez tu hana hel ingekuepo ananunuliwafigo moh
Ngazaji maswali yako eti unaumwa wakati unamuona
Mtu akiumwa hawamjali akifa wanaumia
Maswali yako sio mtanhazaji
R.I.p
😢😢😢😢😢
Kaka wawatu mzuri maashallah ,,ila kazi ya mungu haina makosa
@@zulfahaji91 Tumuombee 🤗🤝💔 Allah Amueke mahala🤗 pema 🤗 Atupe mwisho mwema🤗😢🤝