🔴

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024
  • 🔴#Live: UTATA! PENZI la BIBI MIAKA 60 na KIJANA, AMLILIA KIBENTENI WAKE, ALIYEVUNJA PENZI AINGILIA KATI...
    CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
    ========================
    Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PEASA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Komentáře • 776

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Před rokem +6

    JISHINDIE TECNO CAMON 20 kwa BUKU TU! Ingia kwenye simu yako📲, NAMBA YA KAMPUNI 553111, KUMBU NO. 255 au GLOBAL kisha Tuma 1,000! Utapaja ujumbe wa USHINDI!

  • @lucymalindi9527
    @lucymalindi9527 Před rokem +43

    Mtangazaji wa kike hongera xna kwa ukweli na uwazi.

  • @umukulthumu1419
    @umukulthumu1419 Před rokem +22

    Huyu kijana aache tamaa afanye kazi nahuyu mama huu umri alofikia aache kuhangaika na vitoto sie vijana wenzao hao wanaume tunahangaika nao tunashindwa yy atawaweza wapi kama anataka mume bas Mungu amjalie mtu mzima mwezie

  • @user-kr1dh3lr1c
    @user-kr1dh3lr1c Před rokem +25

    Tamaa vijana acheni fanyeni Kazi mnapenda mseleleko sana.

  • @ritapiusnicolaus7068
    @ritapiusnicolaus7068 Před rokem +29

    Bibi nakuonea uluma sana 😭😭hapo akuna mapenzi ya kweli kijana kafata maokoto tuuuuuuuuuuu, Mama Hairat apambane mwenyewe kumlea mtoto wake uyo sio baba bora na bado bint mrembo utapata mume mwema 💖❤️

    • @beathagabriel8438
      @beathagabriel8438 Před rokem

      Bibi hana shida anasaidia anatafuta faraja kwa kusaidia wahitaji.kijana mlishaambiwa alikuwa kula kulala ktk nyumba ya urithi.Usicheze na pesa kabisa.

    • @LaCharmanteL
      @LaCharmanteL Před rokem

      Amiiina. Kweli iyo

  • @neemajeremiahs8430
    @neemajeremiahs8430 Před rokem +14

    Wanaume 🙌🙌
    Ogopa Hawa viumbe tuishi nao kwa akili mtu anakukana live na amekupa Hadi ujauzito

  • @sweetbenjamin7574
    @sweetbenjamin7574 Před rokem +8

    😂😂😂 dada mtangazaji unanifurahisha sana yn bibi dah mungu mnusuru mama angu na uzee wng

  • @getrudaleonald6302
    @getrudaleonald6302 Před rokem +12

    Yaan bibi ana watoto ila hataki kijana awe na mtotoo 😮😅😅😅😅😅

  • @user-pr8io5ek4v
    @user-pr8io5ek4v Před 8 měsíci

    Ongera ako Dada angu mtangazajiii unaweka vitu waziii ❤❤❤❤ Nmekupenda bureee kabsaaaa

  • @rosemilingi7860
    @rosemilingi7860 Před rokem +22

    Nilichogundua wanaume wengi wanapenda kulelewa

  • @malikamohammed6641
    @malikamohammed6641 Před rokem +14

    Maskini dada kaza roho utapata rizki Yako tena bado mrembo😢

  • @user-bx4wu4py5h
    @user-bx4wu4py5h Před rokem +7

    Huyu kijana aache tamaa nakupenda vyabure

  • @wanakwanyiwanyonyi
    @wanakwanyiwanyonyi Před rokem +2

    Kusema kweli,huyo BB anafaa aingie Towba wala huyo ni Mjukuu wake tu.Kwani,mali ya Dunia nini kisa kupewa Gari jamani! BB,acha za ovyo tafadhali mfungue mtoto wa watu.Ina lazima umemfunga,kichawi ukamfanya msukule.

  • @MwanaishaHemed-xi6rj
    @MwanaishaHemed-xi6rj Před rokem +9

    Ila huyo Mama hailat ujue kukataliwa atakama asingekutana na Bibi angekua na danga jengine na ushasema hataki kazi muache tu aendelee maisha yake na huyo Bibi

  • @azzaalhabsi1505
    @azzaalhabsi1505 Před rokem +7

    Makubwa haya jamani.bibi rudi kwako utulie achana na huyu kijana atakusumbua buree.kwani ni kijana atakutoroka tu.mama hailat pole achana na huyo shine angalia maisha mengine huyo ni mume mzigo tu.

  • @revinamugyabuso4757
    @revinamugyabuso4757 Před rokem +11

    Aliondoka mwaka mmoja ila mtt ana miaka 2, na aliondoka wakati najifungua, uongo mwingine mpange vzr

    • @Official83640
      @Official83640 Před rokem +2

      Picha wamepiga ina miezi 8 na yy anasema waliachana akiwa mjamzito mara mtoto ana miaka 2 kweli waongo hawa shenzi zao

    • @khadidjasuleiman8006
      @khadidjasuleiman8006 Před rokem

      ​@@Official83640😂😂😂😂😂

    • @husna34562
      @husna34562 Před rokem

      😂😂😂😂😂

  • @rahmahersi6584
    @rahmahersi6584 Před rokem +2

    Dhuuuuuuu !!!!!
    Hii imekuwa kama
    Historia kwa wajukuu
    Zetu.

  • @nasramzee5551
    @nasramzee5551 Před rokem +3

    Alafu mungu atamuadhibu huo kijana Kwa kumuasi mungu Kwa sababu ya mwanamke

  • @hadija_makange
    @hadija_makange Před rokem +15

    Wallahi huyu mama namuonea huruma sana yn naumia km mama angu mzazi

  • @user-pr8io5ek4v
    @user-pr8io5ek4v Před 8 měsíci

    Mapenzii n upovuuu nmeamniii leo........ Lakniii uyoo bibii tumuangalie kwa macho mawiliiii❤❤❤❤ kila lakheriii🎉🎉🎉

  • @rosewandebi6496
    @rosewandebi6496 Před rokem +2

    Mwanaume kamili hategemei kugharimiwa na mwanamke.

  • @fatimahants1526
    @fatimahants1526 Před rokem +13

    We mama umeyataka mwenyewe huyu kijana atakuliza sana mwishoni utaacha wanao kwa presh

    • @John-et6rs
      @John-et6rs Před rokem

      🔥🔥🔥mbn niatariiii sanaaaa

    • @fatimahants1526
      @fatimahants1526 Před rokem +1

      @@John-et6rs kayataka mwenyewe umri wa kukaa na family yako unajikita kwenye mapenzi na vijana wadogo matokeo yake machozi....kijana kafata pesa amkana mkeo wa ndoa ahaaaa hatari sana

    • @Phoebe-b2l
      @Phoebe-b2l Před rokem +1

      Bibi mwenyewe utamu ushaisha

    • @oatriciahkiio5148
      @oatriciahkiio5148 Před rokem

      ​@@fatimahants1526maajabu yaani dunia haishi vituko

  • @focusmasunga1584
    @focusmasunga1584 Před rokem +5

    Huyu dada naye muongo alisema kaachwa na mimba mara ya pili anasema hali ilizidi kuwa mbaya kwasababu kunamtoto na maisha yakawa magumu akaaga anaenda morogora

  • @NR-ll4sr
    @NR-ll4sr Před rokem +4

    Kuna vitu vinatokea,kumbe inakuwa rizki yako..mama Hairat anaweza kupata msaada wa biashara na mume mwenye kheri na yeye

  • @pendomichael7592
    @pendomichael7592 Před rokem +5

    Halafu na hiyo miwani kawa Kama kichekesho ila sura yake inaendana na huyo mzee huyo dada akatafute maisha

  • @MwenebatoSwedi
    @MwenebatoSwedi Před rokem +5

    Kwanini uyu bibi alikubaliku deti na mtoto mdogo 😂😂 uyu bibi anazambi nyingi sana 😀😄

    • @oatriciahkiio5148
      @oatriciahkiio5148 Před rokem

      Anasema yeye bado ata periods yuaenda kama kawaida 😂😂

  • @latiphamfoy4265
    @latiphamfoy4265 Před rokem +10

    Huyu mama aendelee tu na mambo yake

  • @farajagideon8170
    @farajagideon8170 Před rokem +2

    Kupitia simu za vijana wengi n dhahir wanaume wengi wa kitanzania wanapenda mserereko, hawatak kufanya kazi. Wanapenda kulelewa. Mungu nisaidie uzao wangu watoto wangu wa kiume wajue kabisaaa mwanamke ni lazima ahudumiwe nakataa hii kwa damu ya Yesu

  • @annakaboi8811
    @annakaboi8811 Před rokem +1

    Huyu Dem anasema walikua nae 6 months ago, Kwan hakumuona mtoi ama kuongelea story ya mtoto? Nikuuliza tu

  • @aminanamoyo83
    @aminanamoyo83 Před rokem +10

    Mapenzi hayana umri kijana hana kosa cha muhimu kama kweli mtoto ni damu yake amlee hilo halina ubishi period

  • @suleimanbalemba3348
    @suleimanbalemba3348 Před rokem

    Huyu binti mchawi kama wachawi wengine shida kaona jamaa anashine wivu tu Asante mungu kuniumba wa kiume

  • @hidayaswai3119
    @hidayaswai3119 Před rokem +16

    Acheni maisha ya watu. Mbona mabinti wadogo wanaolewa na vizee. Nyakati zinaruhusu. Mnamsakama mmama wa watu kwn nyie mtabaki vijana milele. Ombeni Mungu ktk umri huo mpite salama. Uandishi haimaanishi udhalilishaji acheni mapenzi ya watu yanawahusu nini

  • @hadija_makange
    @hadija_makange Před rokem +7

    Aibu bibi anazalilika 😢kwa mambo ya vijana

  • @neemakarisa1496
    @neemakarisa1496 Před rokem +1

    Pole bibi,kama unampenda msamehe.lakini usimrudie baki Kwa mungu wako achana na mapenzi

  • @sadamohammed6177
    @sadamohammed6177 Před rokem +2

    Mapenzi hayana umri uyo kijana na uyo mama ameshapendana uyo dada aombe uduma ya mtoto basi maisha yaendelee kaja kuaribu t

  • @wahidaabeid5712
    @wahidaabeid5712 Před rokem +7

    Bibi kweli kapenda lakini kwa shein hana mapenzi nakesha muonesha ana pesa anataka maslahi yake atamsumbua huyu mama na akipsta prsa kea huyu mama atamkimbia na mtakuja kuyaona

  • @khamisrubea5083
    @khamisrubea5083 Před rokem +5

    Mwanamke hapindishi maneno safi sana

    • @aishaaisha9876
      @aishaaisha9876 Před rokem

      Dada usikate tamaa nawew pia ipo siku utakutana na mtu sahii

  • @filimonmpinge6039
    @filimonmpinge6039 Před rokem +1

    Nimekupenda mwandishi

  • @vero57
    @vero57 Před rokem +8

    Afadhali umegundua kabla ya ndoa, kijana kafanye kazi acha kula psa za bibi za bure, jiga sana wewe kijana

    • @hildadavid7389
      @hildadavid7389 Před rokem

      Bibi huyo ni mchawi katika wachawi ni mchawi nyoooko

    • @chunaabdullah1333
      @chunaabdullah1333 Před rokem

      ​@@hildadavid7389😂😂😂😂😂mwana kulitafuta..

  • @rahymaaa4357
    @rahymaaa4357 Před rokem +2

    Hii story ilikuwa tam lakin waandishi WA habar wanafeli saaana yaan story haijaisha mtu kapokea cm dah mtihan ila huyu kaka anaonekana muongo na zingatia huyu Ni mama mtu mzima sasa kama utakuwa unafanya kama chizi unazan utapata fqida gani Bibi kaa na pesa zako Kula Bata huyu kijana hakufai

  • @thureyaseif7908
    @thureyaseif7908 Před rokem +3

    Huyu kijana hana heshima hata kidogo na wala haoni aibu kusema uwongo huyu ni tapeli mkubwa sana hatari huyu kijana anaweza hata kuuwa mtu

  • @user-rg1vy2tx5j
    @user-rg1vy2tx5j Před rokem +3

    Mashaallah anaongea vizuri❤

  • @user-li4kt7lz1r
    @user-li4kt7lz1r Před rokem +3

    Sasa uyu bb atazaa kwel eti watapandikiza wakat dam imesha kata

  • @ShukuruHangi-re3gs
    @ShukuruHangi-re3gs Před rokem +1

    Natowa ushauriwangu kwa bibi mufariji wa kweli ni Mungu pekeyake bibi

  • @user-kx5ck5yz4l
    @user-kx5ck5yz4l Před rokem

    Jaman dad mtangazaji unanikoshaaaa na vibe lako sema hongera Kwa ukwerii jaamn😅

  • @elizabethobege1789
    @elizabethobege1789 Před rokem +1

    Jamani Mwatuoneya😂Sisi Wanawake jamani, mbona wasichana wakiolewa na Wazeee huwa hamsemiii???Love Is Blind iiiiii

  • @matildapaulo2366
    @matildapaulo2366 Před rokem +1

    Huyu Nyanya ni mchawi yeye ana watoto lakini hataki Kijana awe na watoto

  • @MohamedSaid-jx3df
    @MohamedSaid-jx3df Před rokem +1

    Hii nchi ngumu Sana ,,Raia miyeyusho sana

  • @mariamzubeiri1723
    @mariamzubeiri1723 Před rokem +1

    Duuu kwan huyu mbibi huyu hana watoto khaa mbon ni aib jamn😢

  • @salamakassim2775
    @salamakassim2775 Před rokem +1

    Hyo jamaa mungu atamlani vile anamkataa hyo mtoto😢😢😢😢😢

  • @nantaembanusurupia5674
    @nantaembanusurupia5674 Před rokem +3

    Bibi kama ni msitaafu wa mahakama masijara😊😊😊

    • @maigemayasa3382
      @maigemayasa3382 Před rokem +2

      😂😂😂😂
      Jamani unamaneno wewe? Mstaaf wa masijara wa Mahakama😂😂😂

    • @nantaembanusurupia5674
      @nantaembanusurupia5674 Před rokem

      @@maigemayasa3382 😆😆😆 we humuoni, alivyokaa kama anakujibu faili halioni😂😂😂

    • @magrethpaul5959
      @magrethpaul5959 Před 3 měsíci

      Mstaafu

  • @rayanndizeyes3161
    @rayanndizeyes3161 Před rokem +10

    dunia inamegi kweli

  • @kamikazisalma5209
    @kamikazisalma5209 Před rokem +2

    Hata ufanyeje iyo video niyako mwenye macho hambiwi tazama

  • @sophiakimaro5174
    @sophiakimaro5174 Před rokem +2

    Mimi ni mwanamke lakini kuna wakati najiuliza kwani mwisho wa kudanganywa ni miaka mingapi?huyu bibi ni wa kudanganywa umri huu kweli?

  • @aishaibrahim5607
    @aishaibrahim5607 Před rokem +2

    Oyaaa weeeeeeee nanimwingne amegundua shain bdo anampenda uyu mdada alafu camera mani kamwelewa mama khairaty nipo apa

  • @naomiyohana7001
    @naomiyohana7001 Před rokem +1

    Zary una hekima sana Mungu akubariki

  • @user-rg1vy2tx5j
    @user-rg1vy2tx5j Před rokem +3

    Wamakonde wana true love plus heshima❤

    • @elishageorge3980
      @elishageorge3980 Před rokem

      Mwambie wakapime iri kupata uwakika bibi awe hulu na umewe

  • @khadidjasuleiman8006
    @khadidjasuleiman8006 Před rokem +13

    Bibi achana na huyo kijana ufanye toba Shaine huo ni muongo 🙌 tu

  • @BiamuJH-zh8xo
    @BiamuJH-zh8xo Před rokem

    Huyo kaka ni mnafki achanae nae tu kwanza kabadili dini achane nae tu endelea na maisha yak na mtt atakuwa tu

  • @christinelubingo7347
    @christinelubingo7347 Před rokem +1

    Iyo ni tama ya vijana

  • @keifatuke99
    @keifatuke99 Před rokem +7

    HUYU MAMA HANA AKILI

  • @novatidamian7236
    @novatidamian7236 Před rokem

    Kwenye maingezi ya mama huyu anae dai kuwa nimke wakwanza alisema hawainana mwaka mzima na alisema alimuachia mimba na huku anasema mtoto ana miaka miwili hivi kama ni mahakamani huyu bwana si ameshinda kesi? Maanaake hutu binti anamichongo anataka mme

  • @starelectrical864
    @starelectrical864 Před 11 měsíci

    Love on fire

  • @abdiaudi1393
    @abdiaudi1393 Před rokem +1

    Tuwe wakwel mbona mabint wanaolewa na wazee kwanini mzee asiishi nakijana acheni maisha yao yaendelee

  • @user-gk6uz7ok3g
    @user-gk6uz7ok3g Před rokem

    Jamani kwa nini huyo mwalimu Wema haji kwenye studio atueleze kinaco endelea mbele ya wa Tanzanie wote?!!!!

  • @EdinaSiwale
    @EdinaSiwale Před rokem

    Bibi uko vizuri

  • @hadiadaoman1981
    @hadiadaoman1981 Před rokem +2

    Hayo mapenz kwa sisi vijana tu yanatupasua kichwa sasa aje bibi kama huyu atafute faraja kwenye mapenz tena kwa kijana mdogo huyu bibi akisamehe na kuoana na huyu kijana bas asubir matukio kama yote si tuko hapa twala popcorn 😅😅😅

  • @AishaTarimo
    @AishaTarimo Před rokem +1

    Movie naona imefikaje mwisho Alf sterring Ni huyo dada😂😂😂😂😂😂

  • @DanielSamatembo-ks3vl
    @DanielSamatembo-ks3vl Před 11 měsíci

    Iyo imeenda

  • @DanielSamatembo-ks3vl
    @DanielSamatembo-ks3vl Před 11 měsíci

    Imeisha iyo

  • @AmeldaKavishe-ry9ow
    @AmeldaKavishe-ry9ow Před rokem

    Kwa nn Kama mna mnyanyapaa mnamkejeli mungu apendi hai itawale ni mwanadam yupo hai naanaishi kwa nn

  • @Official83640
    @Official83640 Před rokem +4

    Kiki imeisha hiyo wasituzingue hilo jina la Warda kalipata wapi na yy anajina la Kikristo alilitaja masham sham hivi nyie haiwaingii akilini km wale wa Buza walioona uani baadae wakaja kukataa hawajaoana

    • @nadyasalim7956
      @nadyasalim7956 Před rokem

      mie mwenyewe nashangaa hilo jina la warda limetoka wapiii na yeye mkiristo

    • @hopekrish5433
      @hopekrish5433 Před rokem

      Alisema alikuwa muislam ndiyo jina la warda ilo lkn alibadili dini baada ya kuolewa na marehem mume wake

  • @EuphrasiaNtawatawa
    @EuphrasiaNtawatawa Před rokem +2

    Kama ulikuwa unaishi naye kihalali mwaka mzima haonikani kwanini hujaenda kwa wazazi wake?

  • @user-oy8go8zs7e
    @user-oy8go8zs7e Před rokem +10

    Bibi ukome kutembea na mtoto mdogo damu zinamchemka

  • @user-qo5gj9um4p
    @user-qo5gj9um4p Před rokem +3

    Mwajie mjukuu jamani aleye mtoto eeee 😢😢😢

  • @bamurangepeace9567
    @bamurangepeace9567 Před rokem

    Am happy 😊

  • @wahidaabeid5712
    @wahidaabeid5712 Před rokem +4

    Mwanaume mshenzi bibi achana nae huyu tamaaa

  • @EvaIssa-ko3mq
    @EvaIssa-ko3mq Před rokem +2

    Dada mtangazaji nimekupenda bure

  • @DuLLAWAZIRI
    @DuLLAWAZIRI Před rokem +3

    Aibu kubwa sana dah

  • @FransiscahMuindi
    @FransiscahMuindi Před rokem +1

    Penzi ni zuri lakini hapa hamna penzi huyu ni bibi na mjukuu wake

  • @habibuester9221
    @habibuester9221 Před rokem

    Aiseee

  • @desangeskihuha437
    @desangeskihuha437 Před rokem

    Inawezekanaje mama akose picha ya mtoto wake kwenye simu?

  • @nyanziraruth7689
    @nyanziraruth7689 Před rokem +7

    Finally ending in Tears 😭

  • @sifalalia6208
    @sifalalia6208 Před rokem +1

    Bibi . Mawazoyangu mimi sifa, chukuwa sehemu ya pesa umpe huyo mama mtoto ajiendeshe mahisha yake na mtoto. Usiliye we fanya hivo

  • @christinelubingo7347
    @christinelubingo7347 Před rokem +1

    Mama yetu achana na uyo hawuto fika fasi na uyo kijana mama yangu hakuna mapemzi ni tama ya vijana wa siku izi

  • @LucyKamau-ui2wz
    @LucyKamau-ui2wz Před rokem

    WOI MAY THE LORD HAVE MERCY ON HIS PEOPLE
    THIS IS A MOTHER TO THIS MAN
    THE LORD IS A HUSBAND TO THE WIDOWS ISAIAH 54:5

  • @wahidaabeid5712
    @wahidaabeid5712 Před rokem +1

    No ya kweli kabisa

  • @G.r.e.a.t.I.Q
    @G.r.e.a.t.I.Q Před rokem +2

    Masikini Bibi! Hajui kuwa jamaa kafuata pesa!

  • @mariamali1887
    @mariamali1887 Před rokem +1

    Yaani kijana muongo pasua kichwa 🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️🙆‍♂️

  • @salmakiti1517
    @salmakiti1517 Před rokem +2

    Huyo kijana yuko na Tama huyo bibi Angeka kwakutulia

  • @sophiekindem9071
    @sophiekindem9071 Před rokem +8

    Warda, 😢 Amka mama, huyu kijana ni mtapeli! Tafuta Rika yako, utaheshimika! Yaah Rabb Tulindie vizazi vyetu🙏🏾🤲 Duuuhhh 😵 Inasikitisha Saana 😪 🤷🏽 Ata kama ni Kiki, Inasikitisha 😓👎🏽👎🏽

  • @biggievandar254
    @biggievandar254 Před rokem +8

    Yaani wamkana mtoto juu yamwanamke foolish man

  • @latipheralmasy1669
    @latipheralmasy1669 Před rokem

    Video ya miez 8 kamuacha km mwaka mmoja, mtoto ana miaka miwili. Hatak kupima dna dada nae haeleweki

  • @user-bi1vk7zl2o
    @user-bi1vk7zl2o Před rokem

    Yeye hakuwa na sim kubwa iyo video alikuwa na ifadhi wapi?

  • @user-dy9ki5qe7d
    @user-dy9ki5qe7d Před rokem

    Pole sana biti inauma

  • @irakozenarizadi-bn1hh

    Jamani eee

  • @khadidjasuleiman8006
    @khadidjasuleiman8006 Před rokem +3

    Leo kijana kapatikana 1:27 😂😂 nimechek bibi alivyo taka kumzaba kibao Astaghfiru llah 😂

  • @kamikazisalma5209
    @kamikazisalma5209 Před rokem +1

    Uyo kijana nimuongo zile video nizake kabisa uyobibi angeyachana nahuyo kijana amefata mali rudi ukaliye mtotowako

  • @khadijatanzania8040
    @khadijatanzania8040 Před rokem

    Yaan huyu bibi ingekuwa mama yangu akirud nyumban namcharaza fimbo😀😀😀😅😅😅

  • @shelomaday4633
    @shelomaday4633 Před rokem +1

    Wanaume waongo sana , kwann ulikuwa unakataa toka mwanzo siungekubal tu ww kijana