BABA ATUHUMIWA KUUZA MTOTO wa MIAKA 7 -ASAFIRISHWA KWENDA NCHINI CANADA MAMA MZAZI AILILIA SERIKALI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024
  • BABA ATUHUMIWA KUUZA MTOTO wa MIAKA 7 -ASAFIRISHWA KWENDA NCHINI CANADA MAMA MZAZI AILILIA SERIKALI
    CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
    ========================
    Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PEASA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Komentáře • 412

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Před rokem +4

    JISHINDIE TECNO CAMON 20 kwa BUKU TU! Ingia kwenye simu yako📲, NAMBA YA KAMPUNI 553111, KUMBU NO. 255 au GLOBAL kisha Tuma 1,000! Utapaja ujumbe wa USHINDI!

    • @khaijakadija2082
      @khaijakadija2082 Před rokem +1

      Kwa gea habibu angamsaidia hadi mawakili angapata mtoto wake
      Yule alipta mtoto wake

    • @petulomwaitulo5826
      @petulomwaitulo5826 Před rokem

      Mung wañg

    • @maryamabdullah9169
      @maryamabdullah9169 Před rokem

      Heee mtihani

    • @HabimanaAbdaul
      @HabimanaAbdaul Před 11 měsíci

      0aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa0aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa0aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa0aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa0aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa0aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa0aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa00aaaaaa00aaaaaaaaaa0aa0aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa0aaaaaaaaaaaaaaaaa00aaaaaa0aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa0aaaaaaaaaaaaaaaa0aaaaaaaaaaaaaaa0aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa0aaaaaaaaaaaa0aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa0aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa0aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa0

    • @HabimanaAbdaul
      @HabimanaAbdaul Před 11 měsíci

      0aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa0aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa0aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa0aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa0a0aaaaaaaaaaaaaaaaaaaa0aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa

  • @KhalfanSaid-v1h
    @KhalfanSaid-v1h Před 27 dny +2

    Nenda kwa Rais moja kwa moja ...Rais atawasiliana na balozi wa TANZANIA NCHINI CANADA... INSHAALLAH MTOTO UTAMPATA

  • @ritapiusnicolaus7068
    @ritapiusnicolaus7068 Před rokem +6

    Pole sana dada Mungu asikie kilio chako 🙏🙏uyo baba mzazi njaa yake itamtokea puani janaume lisilojielewa

  • @stellasimon8306
    @stellasimon8306 Před rokem +12

    Huyo amepelekwa kwenye biashara haramu utakuta ameisha kuwa Shoga huyooo😭😭😭👍

  • @femidayahaya4882
    @femidayahaya4882 Před rokem +22

    Kuna wanaume wengine watateseka sana kwenye Maisha yao. Haiwezekani alienda Leba umtese kiasi hiki😢😢😢😢Pambana dadaangu Kijana wako arudi..toka lini Wahindi wakawa waungwana.

    • @magrthmakandi7224
      @magrthmakandi7224 Před rokem +1

      Ashikwe huyo wanaume amrudishe mtoto nchini wewe masikini unaweza mpa mtoto mtu bila mm yake kujua

    • @berthatz
      @berthatz Před rokem

      @@magrthmakandi7224yaani hiyo ikiripotiwa ubalozi wa Canada mtoto atarudishwa

    • @berthatz
      @berthatz Před rokem +4

      Hii ni human traffic..Huyu baba anatakiwa awekwe ndani,waliochukua mtoto wakamatwe Canada na mtoto arudishwe..Pumbavu.😡

    • @user-eb3sr5wi5v
      @user-eb3sr5wi5v Před rokem

      23:46

    • @mukeshimanataussi6939
      @mukeshimanataussi6939 Před rokem

      Na kwa nini asingeleka hzwo wa bibi mdogo

  • @hanialsaadi7394
    @hanialsaadi7394 Před rokem +21

    Huyu mama pekeyake kufatilia hili jambo hatoweza, please serikali msaidieni huyu mama jmn, mama Samia wewe km mama na uchungu wa mtoto unaujua please msaidieni huyu mama jmn😭😭😭🙏🙏🙏

  • @yasminmohamed267
    @yasminmohamed267 Před rokem +15

    Nenda kwenye ubalozi wao ukalalamike,kama unawajua majina yao kwa umakini.Inaweza kusaidia,pole sana mama

  • @twiseghekisilu8845
    @twiseghekisilu8845 Před rokem +11

    Serikali tunaomba huyu mama asaidiwe jamani maumivu Ni makali Sana,Rais Samia tunaomba msaada msaidie mwanamke mwenzetu!!

  • @sophiakimaro5174
    @sophiakimaro5174 Před rokem +8

    Huyo mwanasheria ikibidi afutiwe leseni. Wanasheria washenzi kama hawa kuna siku watauza nchi tukiwa hatuna habari.

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 Před rokem +12

    Hii Tanzania ni nchi ya ajabu sana inahubiriwa Serekali inalinda watu na mali zao .Huku fedha fedheha hutumika kuuza hata vizazi vya nchi hii kirahisi kwa wageni.

  • @user-ng1po1dh4z
    @user-ng1po1dh4z Před 18 dny +1

    Kweli hao Wahindi, ni hatari sana kwa mbinu walizozitumia, huwenda wanamdaa mtoto huyo, kuuza viungo kama:-Vigo, nk. *HAO WOTE WALIOHUSIKA NI MAJIZI, tena MAJAMBAZI WA WATOTO*. (Rais Dr.Samia Suluhu Hassan, msaidie huyo mama wa mtoto, apate mtoto wake)

  • @rosemkonge8436
    @rosemkonge8436 Před rokem +6

    Ubaya wa mahakama za tanzania❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤huyu mama tumuonee huluma

  • @stefanomasolwa8979
    @stefanomasolwa8979 Před 11 měsíci +3

    Natamani iweke TIK tok hii Abari kwa Maana Haraka sana itatambaa vizuri sana inabindi huyu Mtoto arundishwe kwa Mzazi wake yani Mamake Mzazi

    • @eliza486
      @eliza486 Před 6 měsíci

      Fanya hvo dr aki plllzzz

  • @user-rv7zt6tj3d
    @user-rv7zt6tj3d Před rokem +14

    Udhaifu wa mahakama zetu tz ona mambo yanaenda hovyo yaan suala la mtt badala wawaite wote wawili et wanamzunguka mama mzazi yaan uchung wa mwana ajueaye ni mama huyo baba anauza utu kwa sh yaan hata kuish na mtt hajawah ishi naye mpk umr huo jmn pesa si mbaya binadamu ndio wabaya pole mama utapata mwanao ukiw na wanatakao fatilia serikal ikikuskia huyo baba arejesh nyumba ya watu na mal zote mtt atudi mbn hajamuuza wa mwanamke anayeish naye amuuze wako uliyezaa naye nje ya ndoa! Tena nyumba wachukue wao aaah utu hawana hao na wenye makosa ni hao wahind kwann hawajakushirikisha mazungumzo mwanz mpk mwsh mbona kama wanafanya kukuficha ficha

  • @waukweelinikkon6555
    @waukweelinikkon6555 Před rokem +8

    Huyu baba,kwa nini hakuwatoa watoto wake anaokaa nawo😢😢

    • @tatujafari9033
      @tatujafari9033 Před dnem

      Dada pole sana,pambana urudishiwe mwanao hauwezi kujua wanamfanyia nini dunia ya leo inawanyama wengi kuzidi binadamu,nahuyo baba yake ni mmoja wa wanyama hajatenda haki yeye hana hasara anao watoto wengine

  • @Elesciahmdugo
    @Elesciahmdugo Před 19 hodinami

    Pole dada , wanasema mtoto ulimtelekeza hiyo waliwezaje kumuasili bila kupeleleza kama kweli huna uwezo wa kumlea yusuph? .Binafsi mimi ni mwanamke machozi yamenita .TUNAKUOMBA MAMA YETU MH DR RAIS SAMIA SULUHU HASSAN MSAIDIYE HUYU DADA.

  • @susananyasani6526
    @susananyasani6526 Před 27 dny +1

    Maskini inauma Mtoto alitoroshwa kwa nchia ya kuuzwa huyo Mtoto lazima arudishwe kwa Mama yake pole sana Mama

  • @nassysakia9511
    @nassysakia9511 Před 11 měsíci +1

    Mama pole sana! Kwa mahakama za bongo ni uongo hutopata msaada wowote watu wamesha kula Madolla! Paza sauti kwa MAMA SAMIA AKUSAIDIE dakika sifuri yusufu atapatikana inshaallah.

  • @mellenondieki6329
    @mellenondieki6329 Před 10 měsíci +1

    Hi,TANZANIA MUKO,NA MUNAPEDA,BRIBE KUUZA,WATOTO,,HIYO ZURA,YAKIHIDI,WANANUNUA,WATOTO, PLEASE ZEREKALI,YA,TANZANIA PRESIDENT MAMA SAMIA,,SAIDIA THAT MAMA,TO RETURN HER CHILD FROM CANADA,, PLEASE TUNAKUHESIMU, MAMA PRESIDENT SAMIA,, HELP, AND HELP MAMA,WE LOVE YOU, MAMA SAMIA,JUSTICE TO BE DONE,, MAMA SAMIA.....I IN USA 🇺🇸

  • @khadijakimana8809
    @khadijakimana8809 Před rokem +4

    Government of Tanzania 🇹🇿 😰Mtoto arudi.alafu utaratibu sahihi ufanyike. Uyo mtoto ame ibwa...inaonekana wamesema uwongo kama mtoto amekuwa abandoned, ili wa mkomoe huyu mama. Mama Samia msaidieni Mtoto arudi kwa mamake.

  • @cocorita8367
    @cocorita8367 Před rokem +9

    Uchungu mwingi sana km mzazi pole sana wamama wote tupaze sauti kwaajili ya mwanamke mwezetu 😢😢😢

  • @mwamvuamagongo8163
    @mwamvuamagongo8163 Před rokem +15

    Pole sana mtoto mzuri Mungu apishie mbali wasije wakamgeuza shoga. Umasikini mbaya 😭

    • @Queen-by6ei
      @Queen-by6ei Před rokem +3

      Daa 🥺
      Na mambo ni mengi sana nawaza adi naogopa

    • @housnayousif780
      @housnayousif780 Před rokem +1

      Pengne kutilewa figo

    • @lildraco_k8977
      @lildraco_k8977 Před rokem +1

      Hawezi kuwa shoga huko Canada Watoto wana haki sana serekeli inafatilia sana kuusu Watoto Huyu maman amwache mtoto atapata maisha mazuri Mimi niko usa

    • @trophywilson7211
      @trophywilson7211 Před rokem

      ​@@lildraco_k8977wewe wapi mtoto anamaisha mazuri kama hayuko na Wazazi wake??Naishi Canada mimi

    • @tatotato506
      @tatotato506 Před rokem

      ​@@lildraco_k8977kamuuzewako tamaa tuu

  • @generosennko8343
    @generosennko8343 Před rokem +11

    Fedha huleta fedheha. Mwanaume Kauza mwanae. Kaaibisha taifa huyu. Wachunguzwe wote waliohusika. Mtoto mara moja achukuliwe na ubalozi wa tanzania kule canada kwa usalama wake kisha arudishwe kwa mzazi wa kike. Mungu yupo

  • @RehemaFord25
    @RehemaFord25 Před 23 hodinami

    Kilichofanyika hapa ni uwizi na uchawi kabisa mungu aingilie kati mtoto arudishiwe mama yake

  • @twiseghekisilu8845
    @twiseghekisilu8845 Před rokem +3

    Mimi hapa baba wa mtoto wangu yupo Uingereza anamtaka mtoto aende akaishi huko na mtoto ana miaka 7,kwa kweli sitaki kusikia hiyo hbr na baba mtoto nimemlock!!sitaki kabisa!pole mwanamke mwenzangu pambana!

    • @frankmlinda1181
      @frankmlinda1181 Před 4 měsíci

      Acha uchoyo wewe mpe mtoto mmeo

    • @aairraahseif5648
      @aairraahseif5648 Před měsícem

      ​@@frankmlinda1181uchoyo? Kwani imekuwa ni chakula au vitu?binadamu huyo

  • @mariamissa4029
    @mariamissa4029 Před rokem +1

    Subhannallah pole dada,jamani tuweni makini na watoto tusipende vitu vya kusaidiwa mtoto mwenyewe mmoja t subhannallah pole sana dada

    • @judithgodfrey6503
      @judithgodfrey6503 Před rokem

      Ukatili mkubwa Sana. Huyo baba ni muuaji. Amemuuza huyo mtoto jamani. Pole sana dada. Inaumaje!

  • @salma0000
    @salma0000 Před rokem +4

    Ushauri wangu, siku ukimpata mtoto wako unakatisha mahusianao na yule aliekua babaake, inaonesha hamtaki huyo mtoto.

  • @halimamfaume1925
    @halimamfaume1925 Před rokem +3

    Mungu amlinde huyu mtoto inauma sana jamani 😭 Pole sana mama yusufu

  • @user-on4jf2tu7m
    @user-on4jf2tu7m Před rokem +3

    Hakimu akamatwe na Huyo baba Yusuph ,na wakili njaa. weka ndani kwanza.

  • @user-jw2ei9oy4f
    @user-jw2ei9oy4f Před rokem +3

    Warudishe mtoto kwanza halafu wakaewaongee kwaupya na makubaliaano wote,kama itakuwa siowizi ,tena wafanye haraka sana, sisi wanawake hatuja shindwa kulea

  • @nasrayahya2885
    @nasrayahya2885 Před rokem +1

    Dah inauma sana mama Samia wewe ni mwanake umezaa unaujua uchungu wa mtoto muonee huruma huyu mama mwenye mtoto fanya uwezavyo mtoto alejeshe na kila alohusika na hili wachukuliwe hatua kali za kisheria

  • @AishaTarimo
    @AishaTarimo Před rokem +2

    Yaan mm sijui niseme nn mpaka tumbo la uzaz linanichezA.NAJARIBU KUVAA VIATU VYA HUYU MAMA HAVINITOSHI

  • @angonzamujunangoma8775
    @angonzamujunangoma8775 Před 4 měsíci

    Pole sana dada,pambana mwanao utampata.Hata wao wahidi hawana nia nzuri kwa huyo mtoto why wafanye vitu kwa kificho

  • @shamzone388
    @shamzone388 Před rokem

    Pole ndugu yangu umaskini umekuponza
    Ungelujua hayo bora angesomea shule za serekali kuliko hayo
    In sha allah kwa uwezo wa allah utampata mtt wako zidisha duaa allah amuhifadhi amrudishe salama
    Na huyo baba ana haki yakufungwa ana muuza mtt kwa ajili ya pesa mpumbavu mkubwa asie kuwa na imani ya dini

  • @UkendeDaud
    @UkendeDaud Před 10 měsíci +1

    Ushauri wangu mama nenda kwa mtumishi mwamposa yote yanawenzekana

  • @petermboje5839
    @petermboje5839 Před rokem +2

    Hapa mama Samia afanye kazi yake kama kwa yule kijana aliyemjengea nyumba na wafanyakazi wa wote wa mahakama hiyo wafukunzwe msaindieni mama Samia aipate video hii pia baba wa mtoto akamatwe

  • @user-qz2xl3qe3v
    @user-qz2xl3qe3v Před 9 měsíci

    Wahenga wanasema tajiri na mali yake masikini na wanawe endelea kupambana mungu atakusaidia na uyo baba hafai anaona bora kitu kuliko utu

  • @user-op3dn6ls2e
    @user-op3dn6ls2e Před 11 měsíci +1

    Pole mwanamke mwenzangu
    Haki ya mtu haipotei pambana utampata mwnao

  • @vero57
    @vero57 Před rokem +4

    I hope hawata mfanyia kitu kibaya, kama kuchukua organ za huyo mtoto. Kwanini mama mtu asiambiwe??? Magufuli tunakukumbuka baba, hapa ni pesa zimetembea pole sana mama

  • @happyjohnson4171
    @happyjohnson4171 Před rokem +4

    Mungu amnusuru huyo mtoto arudi salama

  • @naomibildad509
    @naomibildad509 Před rokem +3

    Aisee mtoto mzuri. Amlete mtoto kamwe mtoto hawezi kuthaminishwa na vitu.

  • @gloriamichael7935
    @gloriamichael7935 Před rokem +4

    Tuna mifano hai huwa hawarudishi watoto kamwe . Ni mmoja tu aliyeweza kufanikiwa kumpata mtoto wake. Aidha huwa wanawaambia mtoto kuwa kwenu wanakaa porini na wanyama aidha wanasema wazazi wako wamekuuza

    • @berthatz
      @berthatz Před rokem +3

      Kesi kama hiii ilitokea Norway,Mbona walimrudisha mtoto….Hii clip ingetafsiriwa kingereza then ikasambazwa ubalozi wa Canada weee..kesi nzito hiii..

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 Před rokem +2

    Subhannallah mtihani kwakweli njaa gani hii

  • @noorlheyaljabri602
    @noorlheyaljabri602 Před rokem +2

    jamani mamasamiya tunakuwomba raisiwetu msaidiyeni mwanamke mwezetumwanayearudi mamayeto wadawatilajinsiya hakiyatotonanawanawake mamayetu bwajima tumakutegemeya namuwashulikeye hawpbaba nahakimnamwanashariya maanahatakama mama agekuwahakuwezakukaana mtoto kunaustawiwajamiy nasiyokumuuzanjeyanchi

  • @VictoriaIkomeja-kh7wr
    @VictoriaIkomeja-kh7wr Před 11 měsíci +1

    Pole ,mama yetu Samia msaidie mwanake mwenzetu

  • @nabirabakary4209
    @nabirabakary4209 Před rokem +1

    6:54 Ninamuonea huruma mtoto jaman anaenda kufundishwa ushoga mwishowe wamuozeshe mwanaume mwenzake 😢😢

  • @AhmedAbdallahBakari
    @AhmedAbdallahBakari Před 4 dny

    Da Tanzania ni nchi ya ajabu San tena san kiukweli inaumaa Sana mgeni ananguvu kulik mzaliwa Yani MTU anaondok na mtoto kama mtoto hakuzaliw huyu Baba afungwee jela angalau 30

  • @timejames5099
    @timejames5099 Před rokem +2

    Serikali kueni na uchungu basi na wananchi wenu mama wawatu mnamjua uchungu anaopitia mtoto anauma jamani msimgawe mtoto kwa shilingi kueni na huruma mama samia msaidie mama wa watu inaniuma sana nimeumia na ninaumia mpaka sasa

  • @blessingmapazia9545
    @blessingmapazia9545 Před rokem +3

    Pole sana ,pambana mpaka mtoto wako arudi

  • @felisterandrew8741
    @felisterandrew8741 Před rokem +1

    Pole sana tulidhike na hali yetu vitonga vinaponza

  • @noorlheyaljabri602
    @noorlheyaljabri602 Před rokem +1

    polesana dada munguakusaidiye mtotowako arudi jamanihuyumwanaume nakama alikuwashidayakepesa kwanini asiuzewalea alokuwa anakaanawo kwaza agewekwandani iliakili imsogee

    • @gracenkembo8318
      @gracenkembo8318 Před 11 měsíci

      kumbuka yule muhindi alikuwa anamsomesha mtoto toka hapa.ange kataa tangu mwanzo.kwa upande mwingine baba ana akili sana

  • @user-py3qf8ig7u
    @user-py3qf8ig7u Před rokem

    Mwenyekiti anajua Tena mbaya Sana Sasa dada Kwa nn toka mwanzo hujaweka angalizo kwenye vyombo vya habari

  • @stelamwakatulile2455
    @stelamwakatulile2455 Před rokem +1

    Uyu baba anajua uchungu wa mwana kweli unagawa mtoto bila mamake kukubali kunawanaume mashetani kweli😢

  • @bahatikyusa8864
    @bahatikyusa8864 Před rokem +4

    Pole sana dada ila baba mtoto wako anazambi kubwa sana

  • @nasrayahya2885
    @nasrayahya2885 Před rokem +1

    Baba mtoto mwana sheria wote wakamatwe was waswekwe ndani naserikali imsaidie huyu mama mtoto alejeshwe nchini

  • @magejuliani5293
    @magejuliani5293 Před rokem +1

    Duh pole! Kuna umuhimu kumbe wa kupima DNA iwapo Mtoto anataka kupelekwa Nje ya nchi

    • @ukhtyrayyan7884
      @ukhtyrayyan7884 Před rokem

      Dn hapo haihusiki dini ya kiislam kama mume hajakuowa mtoto sibabaake hana baba kazaliwa nje yandowa ila bara wengi hawajui mtoto waharamu mtu husema mwanawe

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 Před rokem +7

    Kama maandalizi ya kumchukua mtoto yangeenda vizuri kwa pande zote mbili upande wa Baba na Mama ,ingekuwa haina shida mtoto kwenda kupata elimu bora huko Canada. Lakini kwa kilichofanyika ni lazima huyu Mama apate wasiwasi. Ila wewe Mama uzembe wako umekuponza

    • @issacmary9495
      @issacmary9495 Před rokem +2

      Hyo mama alikuwa mzembe sana pia alikuwa kama mjinga flan hivi

    • @timejames5099
      @timejames5099 Před rokem +2

      Acheni kumtusi huyu kama hataki mwanae akalelewe na watu kuna shida gani kwani kwenda nje ndio kufanikiwa toka lini muhindi akampenda mswahili mwanasheria unamgawaje mtoto wa mtu huoni hata dhambi ungezaa wewe ungegawa mtoto

    • @TM-zs3rm
      @TM-zs3rm Před 11 měsíci

      Baba Ndo wakumshtumu.

    • @TM-zs3rm
      @TM-zs3rm Před 11 měsíci

      Wanaweza kumharvest viongozi apewe huyu mahindi sababu Ana matatizo ya moyo. Ni biashara hiyo.

    • @easternyerembe7271
      @easternyerembe7271 Před 11 měsíci

      ​@@timejames5099umejijibu, Toka lini muhindi akawa rahis kumpenda mswahili kiasi hicho... Alikubali misaada bila kuwa na mipaka

  • @RuqaiRasheid
    @RuqaiRasheid Před 15 dny

    Pole sana huo wizi

  • @HusnaAbdalla-c2g
    @HusnaAbdalla-c2g Před dnem

    Pole sana mama yangu

  • @janechristophermkumbi9046

    Kwanini asipeleke wale watoto wa mke mkubwa ndani ya nyumba yake raise samia funga awo wa tu weka ndani you mama watamuwuwa angepeleka wale watoto wa nyumba kubwa mama samia saidia damu yetu Tanzania uwaje akauzwe mama tunakuomba uhamiaji wachunguzwe kwanini wamubadirishe majina uyo baba mbaya

  • @ElisioVicenteMadimba
    @ElisioVicenteMadimba Před 11 měsíci +1

    Nifanyaje ?

  • @ZsbAlbarwani
    @ZsbAlbarwani Před 26 dny

    Jamani serekali imsaidie arudi mtoto,wote hao wanahusika kumuuza mtoto wamesha pewa pesa

  • @EshaHamd-ed9yv
    @EshaHamd-ed9yv Před 6 měsíci

    Huyu Baba mtoto hana matungu naye Kwa sababu ni mtoto wa nje ya ndoa mbona anao watoto wengine hakuwapeleka Mama pambana mpaka tone lako la mwisho la Damu hao wamekusudia kukufanyia ukatili lakini haki Yako haipotei Iko siku atarudi mikononi mwako Inshallah.

  • @husnaameen9309
    @husnaameen9309 Před rokem +4

    Wewe kaka ni mjinga eti mtoto ni WA baba unauhakika Gani sisi wamama tuna Siri kubwa unaweza jitapa kumbe umelea mimba mama ndiyo kiungo na ndiyo maana waislan wanazika mtu Kwa kitumia jina la mama na siyo baba

  • @annamazengo975
    @annamazengo975 Před rokem +2

    Hata wakimbadilisha jina mradi tu uwe na mawasiliano,usimkoseshe mtoto bahati dada,jatakuja kukutafuta tu.

    • @leahmlagwa284
      @leahmlagwa284 Před rokem

      Wakimchinja jee

    • @Tdm1389
      @Tdm1389 Před rokem

      @@leahmlagwa284
      Sio kumchinja wakimtoa organ
      Tamaa mbele mauti nyumba.
      Alichopangiwa mtu na Mungu Hutimia,
      Km alipangiwa kusoma Atasoma
      Hataiwe chini ya mwembe

    • @HinohiatHidoCo
      @HinohiatHidoCo Před měsícem

      Acha kutetea uovu.

    • @HinohiatHidoCo
      @HinohiatHidoCo Před měsícem

      Eti usimkoseshe mtoto bahati!!! KWA NINI ASAFIRISHWE KINYEMELA BILA MAMA MZAZI KUJULISHWA. Halafu wewe!!! Sijui na wewe ni Mhindi mwenzao. Bora usingejitokeza humu na kuandika yasiyoeleweka.

  • @dramakid7569
    @dramakid7569 Před 10 měsíci

    Tujifunze pia kurahisisha maisha..watoto wetu tuhangaike nao wenyew mm na umasiki wangu siwez kusomesha atakaa nyumbn..kayumba zipo kibao

  • @nicholasmkama2877
    @nicholasmkama2877 Před 4 měsíci

    Kwa nini asipeleke kati ya watoto wa mke anayeishi naye?ina maana watoto wa mke wake hahitaji wakasome huko Canada?.

  • @aboudybahmesh5424
    @aboudybahmesh5424 Před 11 měsíci

    Maskini pole khadija Allah atamuhifadhi wahindi siwatu wazuri ni wachafu sana awaogopi mungu Kwanzaa na huyo baba ni mchawi wa nafsi wajua mtoto anafanyanini usiku mbona pesa zina wahadaa chungeni sana watu ni wabaya sana muombeni mungu sana

  • @saeedalyahmadi1738
    @saeedalyahmadi1738 Před rokem +2

    Mazingira uliyatengeneza kuanzia mtt akiwa mdogo kabisa maama NA wewe ulaumiwe, but tu nakuombea umpate mwanao

  • @ruu6592
    @ruu6592 Před rokem +1

    Pole sana ila hii inaonesha ukaribu wa mama na mtoto ulikua hafifu sana

  • @neemamaganga9774
    @neemamaganga9774 Před 11 měsíci

    Wazazi tupate kujifunza ni kweli kabisa kuwa tuna maisha magumu bali tunatakiwa tuwe makini na misaada .hata kama mtu amejitokeza kukusaidia usimwelemee sana na kumuacha mtoto wako amilikiwe na yeye.

  • @SajidaIkoma-bt8qk
    @SajidaIkoma-bt8qk Před 9 měsíci

    Mama samia mama yetu mlezi, najua fika ww ni mwanamke ambae ulishawahi kuonja uchungu wa reba naomba msaidie mwanamke mwenzio apatiwe mtoto wake,😭😭😭

  • @salma0000
    @salma0000 Před rokem

    Rushwa ndio adui wetu mkubwa, bila ya rushwa yote hayo yasingewezekana, pole sana

  • @user-ei6ik2yw9f
    @user-ei6ik2yw9f Před 9 měsíci

    Pole sana dadangu pambana mwanae arud ni bora ulale nae njaa

  • @reginamanyangu7258
    @reginamanyangu7258 Před 11 měsíci +1

    Tatizo lushwa imetembea mahakamani, kwa nini mahakama nimefanya unyama wa namna hii juu ya pesa baba kafanya unyama wa khali ya juu jmn dah😢😢hili ni gumu kwa huyu mama, mama samia amsaidie jmn dah😢😢😢😢😢

  • @HadijaZabroni-pu1lt
    @HadijaZabroni-pu1lt Před rokem +3

    Mtoto anauma jamani acheni mama adai mwanae ata kama ingekua ni wewe mtoto kusoma atukatai lakini wao wamemfisha

  • @janetchinga695
    @janetchinga695 Před rokem +1

    Kwaiyo Tanzania mmeanza kuuza watoto inje? Mtoto arudi jamani tunamuomba president watching from Capetown

    • @shakilabakari6928
      @shakilabakari6928 Před rokem

      Usiseme tanzania imeanza sema hiv huyo baba na cha kuzingatia jamn tuwe karibu na watoto tusiwaamini watu hivhiv jamn 😢😢

  • @LucyOmary-e8s
    @LucyOmary-e8s Před 25 dny

    Makubwa ,kweli hali mbaya hadi mmefikia kuuza watoto jmn Mungu atusaidie hii ni hatar

  • @doricecyprian7246
    @doricecyprian7246 Před 11 měsíci +4

    mama apate haki yake ,mtoto anauma uchungu saana🙄🙄

  • @RenaldaZeramula
    @RenaldaZeramula Před rokem +4

    Hawana nia njema kwanini wabadikishe jina

  • @RenaldaZeramula
    @RenaldaZeramula Před rokem +2

    Yaani kuna watakaopoteza kazi uhamiaji vipi passport waliitoa.bila.cheti cha kuzaliwa

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Před rokem

      Sio cheti peke yake bila idhini kamili zinazostahili ,nchi hii rushwa tu

    • @mariamgodfrey53
      @mariamgodfrey53 Před rokem

      Cheti cha kuzaliwa walimbadilisha jina kwa hiyo walipata cheti cha kuzaliwa kwa jina lingine na ndio walichokitumia.

    • @gracenkembo8318
      @gracenkembo8318 Před 11 měsíci

      Baba hajauza mtoto hivyo vitu amepewa kama zawad tu.maana waliish kama marafiki

  • @kimwanachangani3922
    @kimwanachangani3922 Před 10 měsíci

    Baba hauna huruma hata hauogopi mungu ..tamaa imekushika kwa faida yako ba familia yako ..

  • @edwinsilas4326
    @edwinsilas4326 Před rokem +2

    Ngoja nife na shida zangu na watoto wangu sitaki misaada ya watu

  • @estermahenge-ks3dr
    @estermahenge-ks3dr Před 10 měsíci

    mama samia tunaomba msaidie uyu mama jamani uchungu wa toto aujuae mzazi wake alie enda leba😢😢😢

  • @aairraahseif5648
    @aairraahseif5648 Před měsícem

    Mahakama haifuati sheria ila wanatoa maamuzi yao tu wayapendayo lkn Sio kufuata haki na sheria, wanatumia sheria sheria vibaya

  • @malyondanga4635
    @malyondanga4635 Před 10 měsíci

    Uzembee wamama kupendaa rahaa twakusomesheea Asante atasomaa hadi ulaya Asante Marpo yaasantee Ndiyohayo mwapendaa vyadezo brajashoo

  • @MeryMichael-mg2zc
    @MeryMichael-mg2zc Před rokem +3

    Si ungeenda police ulipoanza kuona hizo dalili

  • @happynelson1180
    @happynelson1180 Před 11 měsíci

    Huyo mhindi ana tatizo la moyo halafu wanamruhusu aasili mtoto kwanza tangu lini mhindi akampenda mwafrika mpaka kutaka kuishi nae na kumsomesha huko bongo wahindi huwa wanajitenga sana na makabila mengine hata huku majuu na kule kwao india wana ubaguzi sana na watu weusi

  • @user-tv9vt4qx2n
    @user-tv9vt4qx2n Před 10 měsíci

    WanUme mkishaishiwa msifanye watt vitega uchumi kina Mm tunajitahidi sana kulea wtt wetuuu

  • @user-chungamali
    @user-chungamali Před 10 měsíci

    Aki watanzania kweli wanapenda pesa 😢😢😢😢Yani uuze mtoto wako .ule mwanamme ni shetani sana .alafu wenye wamepata faida ni mama wakombo na watoto wake

  • @maryamhassan7000
    @maryamhassan7000 Před rokem +1

    Mm kama mama nilie zaza kwa uchungu hyu baba kichwa chake halali yangu😢 leba sio kuzur fanya mchezi mamaae

  • @user-uj5wg9mm2t
    @user-uj5wg9mm2t Před 3 dny

    😭😭😭😭inauma sanaa jmn

  • @edithaeugeni9695
    @edithaeugeni9695 Před rokem

    Mtihani sana jamanii hii miteremko haina mwisho mwema yaani unge wakatalya tangu awali haya yote yasinge kukuta bora unge mpeleka ty kayumba

  • @pendomarco8928
    @pendomarco8928 Před rokem +2

    Mungu wwtu mribde Mtoto huyu

  • @gowekogoweko5803
    @gowekogoweko5803 Před měsícem

    MAMA WA MTOTO HATAKI. PERIOD!!

  • @SajidaIkoma-bt8qk
    @SajidaIkoma-bt8qk Před 9 měsíci

    Kuzaa mtoto nje ya ndoa siyo shida ni mapenzi ya mungu, mama apatiwe mtoto wake jamani ww baba kauze wakwako ulionao ndani,

  • @anifaumutoniwase7166
    @anifaumutoniwase7166 Před 9 měsíci

    Jamani selekari imusaidie mama huu apate mtotowake,kuzaa simchezo kila mzazi anajua maumivu mzazi mwanamke anayoyapata kupoteza mtoto,nahuu baba aazibiwe mana huu simzazi huwezi kuuza mtoto hujui anapokwenda hujui atakutwa nanini

  • @azizaomary7253
    @azizaomary7253 Před rokem +3

    we mama ni mjinga unampaje mtoto wako baba yake wakati unajua yeye hajakuoa wewe ndio mlezi wa hiyo mtoto

    • @aairraahseif5648
      @aairraahseif5648 Před měsícem

      Hajampa, mtoto alikua shule anasoma, baba alimfuata shule na kusema mtoto mgonjwa ndo hakurudi tena shule wakamtorosha

  • @SajidaIkoma-bt8qk
    @SajidaIkoma-bt8qk Před 9 měsíci

    Kama mama wamtoto anakataa mtoto wake asichukuliwe yupo sahihi kwakuwa yy ndiye mmiliki Harali wa mtoto,hakiyake apewe,baba mzazi nikatiri sana Hana uruma anaroho ya kinyama sana,au kwakuwa yy anawatoto wengine ndiyo sababu ya kumuumiza mzazi wenzake siyo utu

  • @hadijaramadhani4801
    @hadijaramadhani4801 Před rokem

    Kwanini kwanza walaImishe kuondoka na mtoto mama kakataa basi unalaImisha wako huy yaan mm.huy baba aisee sijui tuningekuwaje jaman