Nimependa maudhui lakini ingekuwa bora zaidi kama tungewajua pia waongozaji wa matangazo hayo (directors) maana ndio waliofanikisha kazi hizo mara nyingi matangazo ufanywa na ma-director wa nje ya nchi hivyo tungependa kujua kati ya hayo matangazo kwenye orodha ni mangapi yamefanywa na ma-director watanzania? Tangazo la Chai jaba nahisi lingetakiwa kuwa kwenye orodha yenu pia.
Hongeren san Ayo Tv mmetukumbusha mbali san nahii inaonesha wazi kuwa "Wakati niukuta" na muda haurudi nyuma na lazima maisha yaendelee kwa Uwezo wake mola(Allaah) bas!.
Hapo umechemsha matangazo yaliyotisha mjini 1. Chai jaba 2. KK sukari sukari kijiko kimoja 3. Magodoro ya Tanform 4. Mirinda mango wee hii ilikua nakamziki flani hivi amaising 5. Tangazo la Bwana sukari hayo kwa upande wamgu yalitisha sana
Kaacha Mengi tu ambayo ni Makali kuliko hata Baaz ya haya aliotaja. Kuna lile la Safari Lager( Asili Asili yake, Nchini Tanzania). Kuna la Vodacom, wewee ninanii, Unaishi wapi, Sisi Hatujari, Umoja ndio niaaa, Maendeleo piaaaa. Kuna la Lungu, Nyumba nyengine Bwanaaa. Na Mengine kibaoo😅😅😅
Time flies aisee... tangazo la tigo la ongea shilingi 1 kwa dakika enzi hizo nina ngozi kama 4 hivi nazipanga kuongea nazo usiku. Ila mmoja tu ndio nilitoboa nae tuna watoto nae wa wili sasa hivi!...
Hapo mko vizuri nilikuwa nasubiri Du du duduu hakuna mpinzani mpaka kesho wale Wazee wa acapella wa The Voice walifanya jambo likawa jambo kweli...Ila Tangazo pia la Jambo Kubwa na Jambo katikati tuliimba sana tukiwa wadogo...
Hilo Tigo longa longa ni sawa the best. Chai jaba ni chai tamuuuuuuuuuuuu! Liko wapi hilo?Kuna lile la komoa sabuni ya mche, Safari ni safari, Usione soo sema naye(Ishi campaign)
Hili Tangazo la Zantel lilinikamata sana. Nalipenda mno hadi leo hii. Wakati naanza kutumia simu laini yangu ya kwanza ilikuwa ni mtandao wa zantel hii ni kutokana na ofa zilizokuwa zinapatikana kwa kipindi kile. Epiq Nation etc 😊😊
Mmesahau 1: Kilimanjaro 🎶 chemichemi ya Kilimanjaro 🎶Kila mtu anakiu nayo🎼 KILIMANJARO 🎶🎶 😊 2. Uhai Uhai Maji Safiiiiii yeah! 3. Chaijaba 4. Tangazo la bia, la kuweka bendera mlima Kilimanjaro 5. Tangazo la watoto wanakula lunch shuleni wakiwa wakubwa mmoja anamuokoa mwenzie asidondokewe na Bango.. I really liked this one 🔥🔥🔥 6. Taska! La kisoda (Watu wako disco wanacheza twist, mdada anazungusha gauni Kama kisoda kikizungushwa)🔥🔥🔥
Na kuna lile la mbu,nyumba nyingine bwana mbu wanauliwa na dawa ya rungu,kuna lile la rehema rehema fanya haraka twende xhule,afu kuna la chai jaba,hapo nimejalibu kuwakumbuxha na bado yapo kibao 🏃🏃🏃
Kulikuwa na Tangazo la TTCL kaimba Black Rhino anachana wanaimba 'Ungana na mimi, ungana na mimi' lilibamba sana nakumbuka Kapteni wa timu yetu ya darasa o levo alikuwa asubuhi anakuja kutuamsha kwenda mazoezi anaimba Ungana na mimi, ungana na Kisu, ungana na kisu. Andrew Mwakisu heshima yako popote ulipo bro. Pia kulikuwa na Tangazo la Ngao mbu wawili wanaongea wanashauriana 'Twende Tukamnyonye' halafu mmoja anaenda analambwa shoti na neti yenye dawa. Ayo tv mmeyasahau hayo Matangazo makali sana
Gonga like kama unalikubaki tangazo la CHAI JABA ingawa wamelisahau
Chai jaba ni la Kenya sio TZ
Kumbe la Kenya, ila lilikuwa zuri
Alafu nilikua nalipenda hatariii
😂😂😂
Enzi za Chai jaba nakumbuka ukiambiwa unadomo kubwa Kama chai jaba,ngumi zilikuwa ni lazima zitokee🤣🤣🤣
Kunalile tangazo la RUNGU nyuma nyingine bhanaaaa nyumba nyingineee bhanaaa nyumba nyingine bhana Kama unalikumbuka gonga like ap
rungu spray??,nyumba nyingine bwana nyumba nyingine bwana,
Nimependa maudhui lakini ingekuwa bora zaidi kama tungewajua pia waongozaji wa matangazo hayo (directors) maana ndio waliofanikisha kazi hizo mara nyingi matangazo ufanywa na ma-director wa nje ya nchi hivyo tungependa kujua kati ya hayo matangazo kwenye orodha ni mangapi yamefanywa na ma-director watanzania? Tangazo la Chai jaba nahisi lingetakiwa kuwa kwenye orodha yenu pia.
Tangazo la zantel was one of my favourite😊, hiyo nyimbo naaimba hadi kesho
I wish ningekuona nikupe zawadi
The years which we did not think of anything no stress ni kula kulala kucheza 😢 natamn kuwa mtto tena😊❤
😅
Subir kuzeeka 😁
hadi mm
Mambo cheki me asap
@@kingboss25 nikuchek wap xx??
Millard Ayo Ni mmoja tu❤❤❤❤❤❤❤❤
Hongeren san Ayo Tv mmetukumbusha mbali san nahii inaonesha wazi kuwa "Wakati niukuta" na muda haurudi nyuma na lazima maisha yaendelee kwa Uwezo wake mola(Allaah) bas!.
Yaan we acha tu❤
sio Allaah ni Allah
czcams.com/video/SS2nX1zLvqQ/video.html
Mtoto wetu alikuwa kama analia akisikia tangazo la Tigo , DUUUU ananyamaza anacheka likiisha anaendelea kulia ,kitambo sana
Furaha hii nimusimulie Nan daa!!!
Enzi hizo kutazama televisheni ilikuwa raha 🎉 matangazo matamu ❤
sikuhizi tv zina boa
@@aminata3702 hazibo tatizo simu zimeteka watu
kweli kabisa zama za kwnd kuchungulia kw jiran ndio zilikua zinavutia
Jmn serenget ni shida,❤️
Ila kile kituo kilichokuw kinarusha haya matangazo kipewe maua yake asee❤❤
I.t.v
Sahivi Fataki anaitwa Sugar Daddy😅😅😅😅
DANGA
Tangazo la mshikaji mbu wakanyonye damu waeneze malaria Gonga like kama unalikumbuka.
😢😢😢😅😅😅😅
Dah nzuri sana hii imetukumbusha mbali si wayarudie Tena hasa la Kwa Mzee mwarubaja😂😂😂
Jamani Khadija Kopa alikuwa fire fire...,apungue tena azidi kunoga❤
Namshukuru mungu haya matangazo yote nimeyaona na hasa nililolipenda sana la mzee mwarubadu
@@davienestory264😊😊
Nimekwama hapa kwenye tangazo LA Zantel, kama utakuwa unapeleka mbele kwenye lako ulilopenda ukaona sehemu Most played ujue nimekwama hapo
PUMZIKA KWA AMANI SHARO MILIONEA 😢😢
czcams.com/video/SS2nX1zLvqQ/video.html
😂😂😂😂😂😂😂😂ila nyiee matangaz yakianz tuuu na me nlikuwa nafatilizia tena kwa sauti kubwaaa 😢jmni utoto kazi sana
Serengeti and Zantel were my favourate 🔥🔥
mngewataja na watu waliodesign hayo matangazo ingekua poa
Joti anaongoza. Jambo ilikua loshen yangu pendwa ilikua nzuri sana kwangu
Serengeti Serengeti nalikubali sana😂
Chai Jaba ni nzuri,yenye nguvu na idumu maisha yote
Exactly big yes
Sister you got my MB
Zantel kawimbo❤
Daaaahhh matangazo ya zamani nd yalikuw yenye viwango sana kasoro ubora wa graphics tu ila kwny ubunifu ni 🔥🔥🔥🔥kama yale dstv ya saivi
Hapo umechemsha matangazo yaliyotisha mjini
1. Chai jaba
2. KK sukari sukari kijiko kimoja
3. Magodoro ya Tanform
4. Mirinda mango wee hii ilikua nakamziki flani hivi amaising
5. Tangazo la Bwana sukari
hayo kwa upande wamgu yalitisha sana
Kaacha Mengi tu ambayo ni Makali kuliko hata Baaz ya haya aliotaja. Kuna lile la Safari Lager( Asili Asili yake, Nchini Tanzania). Kuna la Vodacom, wewee ninanii, Unaishi wapi, Sisi Hatujari, Umoja ndio niaaa, Maendeleo piaaaa. Kuna la Lungu, Nyumba nyengine Bwanaaa. Na Mengine kibaoo😅😅😅
@@juniorbachelor8296 Hapo kwenye nyumba nyingine bwana 😂😂😂
kali sana hiyo
@@paulsimon9871 Yes, lilitikisa Sana. Nashangaa linakosaje hapo😆😆
Time flies aisee... tangazo la tigo la ongea shilingi 1 kwa dakika enzi hizo nina ngozi kama 4 hivi nazipanga kuongea nazo usiku. Ila mmoja tu ndio nilitoboa nae tuna watoto nae wa wili sasa hivi!...
Enzi hizo nakumbuka nilikuwa mtumishi wa serikali Hukoooo Mlimba😂😂
@@Selemanian 😁😁 maisha safari kaka
😁😁😁
@@KhadijahAlly-jz7rl Dijah! tumetoka mbali aisee
@@jojigeorige1056 kweli
R I p King 😢😍😍
Kwa miaka 10 iliyopita mimi nilikuw form one sijui wew mwenzang
🎉🎉🎉 yaan hpo kuna watu nd kwanz wanayasikia leo hya matangzo
matangazo mengine nizaidi ya miaka kumi . ila countdown ipo vzr. haya matangazo yametupa flashback ambazo zilosisimua. kudos to you guys
ubunifu mzuri sana
No moja wacha ibaki kuwa moja 😍,Serengeti Serengeti,Kwa mzee Mwalubadu😂(Joti).Tigo wametisha kwangu😂.
Nice content millard
Labda kama mnabifu na PEPSI....... maana lile la PEPSI bariidii unapata 🎶🎼 Kiu yako yote inakata 🎼🎶 ilikuwa ni 🔥🔥🔥🔥
🤣🤣
Hata lile la buz kwenda bus niburee
sas hawawez wk yot
😂😂😂😂😂😂😂pata kile unachostahili nilikuwa naupenda huu wimbo nyie
Nina haki yakumshukuru Mungu sana. Wee. Yote niliyaona haya.
Kabisaaaa ndg yang
@@mrishojumaamrisho3212 Mwenyezi Mungu mkubwa sana. Alhamdullillah
Hapo mko vizuri nilikuwa nasubiri Du du duduu hakuna mpinzani mpaka kesho wale Wazee wa acapella wa The Voice walifanya jambo likawa jambo kweli...Ila Tangazo pia la Jambo Kubwa na Jambo katikati tuliimba sana tukiwa wadogo...
Hilo Tigo longa longa ni sawa the best. Chai jaba ni chai tamuuuuuuuuuuuu! Liko wapi hilo?Kuna lile la komoa sabuni ya mche, Safari ni safari, Usione soo sema naye(Ishi campaign)
Fataki alisumbua sana 🙌🔥🙌
Hilo la Serengeti nilikuaga silali kwaajili ya Hilo tangazo 😂😂
Tangazo la jambo limenikimbusha mbali sana aisee😅😅😅😅
Oya kuna onja msisimko la Cocacola ft Diamond plutnumz ile ni hit song kabisa...🔥🙌🏾
Sanaaaa
Mtoto wa juzi wewe😂😂😂
Oya Ile ni Hit Mzee nilkuw naomba kama Ngoma flani Hivi
Hao wanabifu Simba mule kaua sana
Tena sana
Nomaa sanaa kwishaaaaaa wameuwa sanaaaa TBT wote waliuwa sanaa
11:12 miaka 13 iliopita ni 2010 sio 2008, ila ni kweli hilo tangazo limetoka 2008, that was 15 years ago. Kazi nzuri though, mmetupeleka back in time
Weweee kuna Tangazo la mabus ya Scandnavia bwana bwana 😂😂😂😂😂😂
Tangazo la " Chai Jaba " . Pia tangazo la " Chai bora kilele cha ubora " lilikuwa kawimbo amazing flani!😂
Nalo lilibamba pamoja Fanta
Tangazo la rungu la mbu
Jambo, chaijaba zilikuwa moto sana😁
🤣🤣🤣🤣🤣mi naitwa jambo ndoogoooooo😂❤
Tangazo la Airtel Limenikumbusha KASULU. Duuuuu. 😅😅😅
Hakika King majuto ndio alikuaga the best kwa matangazo ever 👏👏😃
duh!🧏kama irudiwe😍😍😍😍😍
Number 8 na number 1 yamenikumbusha mbali sana😢😢
Tangazo la zantel alilofanya marehemu Kanumba "twanga kote kote" is my all time fav, ikifata chai jaba
This is your girl "Mwantum"😍
Hii sauti ya fataki ni kama ya mrisho mpoto😂😂
mi mwenyew nilikuaga najua ni yy
Ni yeye mkuu
I dear nzur ila kuna matangazo yalikuw mazur zaid ya haya aisee!
Kuna ile boss kagari kako kamepata ajali na miguu imepata matege!..
Kama niliwah kuskia vile redion chumban kwa baba
@@mrsinia3064 🤣🤣🤣
@@mrsinia3064 ilikuw kali sana hyo japo siikumbuk vzr
Hili Tangazo la Zantel lilinikamata sana. Nalipenda mno hadi leo hii. Wakati naanza kutumia simu laini yangu ya kwanza ilikuwa ni mtandao wa zantel hii ni kutokana na ofa zilizokuwa zinapatikana kwa kipindi kile. Epiq Nation etc 😊😊
Wallahi nmezeeka sanaa duh😂
Kuna tangazo la fifa cocacola 2010, tangazo la rungu spray ya mbu
Ucshangae kuna watu waliona haya matangazo ila mpk sasa bdo wanakaa kwao😂
Kwaio unataka kusemaje mbwa wewe 😁😆😁
@@mkodojoseph-kt8wd umezeekea kwenu
@@mkodojoseph-kt8wd mda wa kuwepo nyumbn ushakuishia ondokaaaaaa
Du . Is my favourite..
Mmesahau
1: Kilimanjaro 🎶 chemichemi ya Kilimanjaro 🎶Kila mtu anakiu nayo🎼 KILIMANJARO 🎶🎶 😊
2. Uhai Uhai Maji Safiiiiii yeah!
3. Chaijaba
4. Tangazo la bia, la kuweka bendera mlima Kilimanjaro
5. Tangazo la watoto wanakula lunch shuleni wakiwa wakubwa mmoja anamuokoa mwenzie asidondokewe na Bango.. I really liked this one 🔥🔥🔥
6. Taska! La kisoda (Watu wako disco wanacheza twist, mdada anazungusha gauni Kama kisoda kikizungushwa)🔥🔥🔥
Kuna lile la bibi la magodoro
@@dmswaggbamboostick4576 Bibi ugonile,
Bibi Leo umechelewa kuamka???!...
Bibi: Mjukuu wangu Usingizi mororo na Godoro Dodoma.
Na kuna lile la mbu,nyumba nyingine bwana mbu wanauliwa na dawa ya rungu,kuna lile la rehema rehema fanya haraka twende xhule,afu kuna la chai jaba,hapo nimejalibu kuwakumbuxha na bado yapo kibao 🏃🏃🏃
Chai bora pia 😅
Matangazo ya lio bamba clouds
Aaaaah yeah oooh noo yap yap yap ebwanaaa eeeh😂😂😂😂
Tunoangalia 2024 gonga like
Nakumbuka lile La Rosheni zilikua zinacheza nakuimba aiseee nililipenda saaaaanananaa
Chai jaba na mama lishe mchuzi mix
Nasubiri kwa hamu kubwa sana Tangazo LA CRDB kutimiza miaka 10, wayback 2006 huko, yote kwa yote hongereni ubunifu mzuri
Alilifanya Enika 🔥
Lilikua noma sana
Hata sjui aliyeimba linaanza,
"Tunasonga mbele kwa umoja mafanikio yetu kwa pamoja ,miaka 10 tunajivunia CRDB BANK
Lilinikosha sana Aisee!!
@@mayalamasuka8983aiseee ilikuwa nomaaa sana. Nimelikumbuka😂😂😂😂
Kuna moja kwenye radio la George Poji na Amanda😂😂😂
Dododododo do do do do Atari sana enzi izo😅😅😅
Mimi mars alisema anapenda kula chocolate na ice cream .waliolewa gonga like twende
Kweli nimezeeka sasa😂😂
Kanumba achakubip bwana twanga this is my favorite
Namba 8 nimsimulie naani
Jambo Duuuhh ukwel tunazeeka sana😢😢😢
Mpka nimecheka nilivoiona jambo🤣
😅😅😅🙌🏼🙌🏼, tumshukuru Mungu kwa kutuweka mpaka saa hi🙏🏽🙏🏽
Umetukumbusha mbali jamani
nakumbuka mamayangu alikuwa anapaka mafuta ya JAMBO
very very creative
Miaka inaenda sana naona kama jana hivi
Hata mimi nashangaa eti miaka 10 😅😅😅jamani siku zinaenda.
lafu utasikia mastar uchwara kila mwaka wako na 29😂😂
@@sifatiiman 😅😅😅akina Irene hao, na tangazo lake la bibi harusi.
@@happylynguya3464 😂😂😂
Nimekumbuka wakati nasoma tigo walikuwa wanatupa sms za bure mwezi mzima ilikuwa raha sana😅😅
Daaah...!umetisha
Tangazo la "BUZZ BOMBA nani analikumbuka gonga like hapo muhenga 😎
Mimi nimeyaona tuh machache tena kwenye tv yajirani,,latigo hilo la duu,mzee mwalubandu,fataki,,lamagodoro,ila leo ndio nimejua kua nimimi mars,
Waliokuja kutazama video hii 2024 weka like yako hapa😂
Kulikuwa na Tangazo la TTCL kaimba Black Rhino anachana wanaimba 'Ungana na mimi, ungana na mimi' lilibamba sana nakumbuka Kapteni wa timu yetu ya darasa o levo alikuwa asubuhi anakuja kutuamsha kwenda mazoezi anaimba Ungana na mimi, ungana na Kisu, ungana na kisu. Andrew Mwakisu heshima yako popote ulipo bro. Pia kulikuwa na Tangazo la Ngao mbu wawili wanaongea wanashauriana 'Twende Tukamnyonye' halafu mmoja anaenda analambwa shoti na neti yenye dawa. Ayo tv mmeyasahau hayo Matangazo makali sana
Matangazo Bora matatu
1.Mimi naitwa jambo ndogo
2.Chai Jaba
3.Na mbu twende tukanyonye damu
4.Nakuna moja la Mzee mashaka la Rangi
Best ever this 4
Nyumba nyingine bwana
Dogo huyo ni wangu
Miaka ya 2010 lilitamba sana lilikiwa tangazo la Rungu
zingatia miaka 10 nyuma
oryx gas kumbe kitamboooo 😎
Kwang me Coka alilofanya diamond ni🔥🔥🔥
Too emotional..back then
Nimekumbuka mbali sana za zantel
Hata Mimi enzi hizo nafanya kazi Mbeya zantel tunazeeka kwakweli
Foma limao/Sport sigala
Unanikumbusha mbali sana bro....KIPINDI CHA JAMBO LOTION, kipindi iko MR NICE ana trend sana
Haya matangazo yote yamenikuta na yameniacha na bado nipo nyumbani........dear Lord
Pole njoo nkuoe hahaa
@@user-zk9np9fm6e 😅😅😅😅😅😅😅
Pole sana Neema
@@dannylinguist15 Thanks master kama master
Naile ya mbu twende tuka nyonye damu mmesahau
Dah nina kila sababu ya kusema Asante Mungu kwa kuwa hii ni neema kubwa ata kuyaona haya na sasa bado nipo naona mengi
Unahatajee tangazoo la runguuu kwenye top ten
"Nyumba nyingine bhn, nyumba nyingine bhn"
Mmetisha
King and Sharo Allah awape kauri dhabini in shallah 🙏🙏🙏🙏
Kumbe nimezeeka niolew sasa 😂😂😂
😂😂😂