HAYA HAPA MATANGAZO KUMI YALIYOTIKISA MIAKA YA NYUMA, NOMA!!!

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 27. 07. 2023

Komentáře • 671

  • @mohammedshaibu3968
    @mohammedshaibu3968 Před rokem +335

    Gonga like kama unalikubaki tangazo la CHAI JABA ingawa wamelisahau

  • @Fromafrican
    @Fromafrican Před rokem +5

    Kunalile tangazo la RUNGU nyuma nyingine bhanaaaa nyumba nyingineee bhanaaa nyumba nyingine bhana Kama unalikumbuka gonga like ap

    • @Ebendentalclinic
      @Ebendentalclinic Před rokem +1

      rungu spray??,nyumba nyingine bwana nyumba nyingine bwana,

  • @threesix_media
    @threesix_media Před rokem +42

    Nimependa maudhui lakini ingekuwa bora zaidi kama tungewajua pia waongozaji wa matangazo hayo (directors) maana ndio waliofanikisha kazi hizo mara nyingi matangazo ufanywa na ma-director wa nje ya nchi hivyo tungependa kujua kati ya hayo matangazo kwenye orodha ni mangapi yamefanywa na ma-director watanzania? Tangazo la Chai jaba nahisi lingetakiwa kuwa kwenye orodha yenu pia.

  • @aishakaimu1791
    @aishakaimu1791 Před 11 měsíci +7

    Tangazo la zantel was one of my favourite😊, hiyo nyimbo naaimba hadi kesho

  • @alisterlexter1115
    @alisterlexter1115 Před rokem +51

    The years which we did not think of anything no stress ni kula kulala kucheza 😢 natamn kuwa mtto tena😊❤

  • @senseiamani4684
    @senseiamani4684 Před rokem +13

    Millard Ayo Ni mmoja tu❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @AllyrashidiNamugu-nj4lc
    @AllyrashidiNamugu-nj4lc Před rokem +20

    Hongeren san Ayo Tv mmetukumbusha mbali san nahii inaonesha wazi kuwa "Wakati niukuta" na muda haurudi nyuma na lazima maisha yaendelee kwa Uwezo wake mola(Allaah) bas!.

  • @user-tb5my7im5b
    @user-tb5my7im5b Před rokem +7

    Mtoto wetu alikuwa kama analia akisikia tangazo la Tigo , DUUUU ananyamaza anacheka likiisha anaendelea kulia ,kitambo sana

  • @oswardkabasa8503
    @oswardkabasa8503 Před rokem +13

    Furaha hii nimusimulie Nan daa!!!

  • @pendothomas7258
    @pendothomas7258 Před rokem +40

    Enzi hizo kutazama televisheni ilikuwa raha 🎉 matangazo matamu ❤

    • @aminata3702
      @aminata3702 Před rokem +3

      sikuhizi tv zina boa

    • @joshuamuro9494
      @joshuamuro9494 Před rokem

      @@aminata3702 hazibo tatizo simu zimeteka watu

    • @allycomm1553
      @allycomm1553 Před rokem +1

      kweli kabisa zama za kwnd kuchungulia kw jiran ndio zilikua zinavutia

  • @praygodmatemba3490
    @praygodmatemba3490 Před rokem +7

    Jmn serenget ni shida,❤️

  • @user-cl8vx8yx1j
    @user-cl8vx8yx1j Před rokem +9

    Ila kile kituo kilichokuw kinarusha haya matangazo kipewe maua yake asee❤❤

  • @boazmvellah6286
    @boazmvellah6286 Před rokem +14

    Sahivi Fataki anaitwa Sugar Daddy😅😅😅😅

  • @Mchora_tz
    @Mchora_tz Před rokem +3

    Tangazo la mshikaji mbu wakanyonye damu waeneze malaria Gonga like kama unalikumbuka.

  • @gracewilson1024
    @gracewilson1024 Před rokem +7

    Dah nzuri sana hii imetukumbusha mbali si wayarudie Tena hasa la Kwa Mzee mwarubaja😂😂😂

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 Před rokem +10

    Jamani Khadija Kopa alikuwa fire fire...,apungue tena azidi kunoga❤

  • @amirikoshuma6022
    @amirikoshuma6022 Před rokem +24

    Namshukuru mungu haya matangazo yote nimeyaona na hasa nililolipenda sana la mzee mwarubadu

  • @mayalamasuka8983
    @mayalamasuka8983 Před rokem +8

    Nimekwama hapa kwenye tangazo LA Zantel, kama utakuwa unapeleka mbele kwenye lako ulilopenda ukaona sehemu Most played ujue nimekwama hapo

  • @saidisefu8669
    @saidisefu8669 Před rokem +28

    PUMZIKA KWA AMANI SHARO MILIONEA 😢😢

  • @mwajabukaseke8710
    @mwajabukaseke8710 Před rokem +8

    😂😂😂😂😂😂😂😂ila nyiee matangaz yakianz tuuu na me nlikuwa nafatilizia tena kwa sauti kubwaaa 😢jmni utoto kazi sana

  • @christinakambona9963
    @christinakambona9963 Před rokem +30

    Serengeti and Zantel were my favourate 🔥🔥

  • @fundiseremalamohammedmdoe3711

    mngewataja na watu waliodesign hayo matangazo ingekua poa

  • @mercypeter162
    @mercypeter162 Před rokem +6

    Joti anaongoza. Jambo ilikua loshen yangu pendwa ilikua nzuri sana kwangu

  • @user-zg3lt1gr9o
    @user-zg3lt1gr9o Před rokem +5

    Serengeti Serengeti nalikubali sana😂

  • @edwardasumwisye3010
    @edwardasumwisye3010 Před rokem +4

    Chai Jaba ni nzuri,yenye nguvu na idumu maisha yote

  • @buzznengerrdangarr2135
    @buzznengerrdangarr2135 Před rokem +1

    Exactly big yes

  • @kennedymwandute
    @kennedymwandute Před rokem +7

    Sister you got my MB

  • @sekitauniquedesigns8813
    @sekitauniquedesigns8813 Před rokem +8

    Zantel kawimbo❤

  • @IsaiahEzrah
    @IsaiahEzrah Před rokem +1

    Daaaahhh matangazo ya zamani nd yalikuw yenye viwango sana kasoro ubora wa graphics tu ila kwny ubunifu ni 🔥🔥🔥🔥kama yale dstv ya saivi

  • @paulsimon9871
    @paulsimon9871 Před rokem +2

    Hapo umechemsha matangazo yaliyotisha mjini
    1. Chai jaba
    2. KK sukari sukari kijiko kimoja
    3. Magodoro ya Tanform
    4. Mirinda mango wee hii ilikua nakamziki flani hivi amaising
    5. Tangazo la Bwana sukari
    hayo kwa upande wamgu yalitisha sana

    • @juniorbachelor8296
      @juniorbachelor8296 Před rokem +2

      Kaacha Mengi tu ambayo ni Makali kuliko hata Baaz ya haya aliotaja. Kuna lile la Safari Lager( Asili Asili yake, Nchini Tanzania). Kuna la Vodacom, wewee ninanii, Unaishi wapi, Sisi Hatujari, Umoja ndio niaaa, Maendeleo piaaaa. Kuna la Lungu, Nyumba nyengine Bwanaaa. Na Mengine kibaoo😅😅😅

    • @paulsimon9871
      @paulsimon9871 Před rokem +1

      @@juniorbachelor8296 Hapo kwenye nyumba nyingine bwana 😂😂😂
      kali sana hiyo

    • @juniorbachelor8296
      @juniorbachelor8296 Před rokem

      @@paulsimon9871 Yes, lilitikisa Sana. Nashangaa linakosaje hapo😆😆

  • @jojigeorige1056
    @jojigeorige1056 Před rokem +15

    Time flies aisee... tangazo la tigo la ongea shilingi 1 kwa dakika enzi hizo nina ngozi kama 4 hivi nazipanga kuongea nazo usiku. Ila mmoja tu ndio nilitoboa nae tuna watoto nae wa wili sasa hivi!...

  • @starlonejadamskp8224
    @starlonejadamskp8224 Před rokem +20

    R I p King 😢😍😍

  • @mrsinia3064
    @mrsinia3064 Před rokem +2

    Kwa miaka 10 iliyopita mimi nilikuw form one sijui wew mwenzang

  • @RashadiMbutule
    @RashadiMbutule Před rokem +1

    🎉🎉🎉 yaan hpo kuna watu nd kwanz wanayasikia leo hya matangzo

  • @princesswaa1406
    @princesswaa1406 Před 11 měsíci +2

    matangazo mengine nizaidi ya miaka kumi . ila countdown ipo vzr. haya matangazo yametupa flashback ambazo zilosisimua. kudos to you guys

  • @ESET011
    @ESET011 Před rokem +8

    ubunifu mzuri sana

  • @faridakailembo3060
    @faridakailembo3060 Před rokem +3

    No moja wacha ibaki kuwa moja 😍,Serengeti Serengeti,Kwa mzee Mwalubadu😂(Joti).Tigo wametisha kwangu😂.

  • @kelvinmtiesa2455
    @kelvinmtiesa2455 Před rokem +2

    Nice content millard

  • @tracejeezy8917
    @tracejeezy8917 Před rokem +15

    Labda kama mnabifu na PEPSI....... maana lile la PEPSI bariidii unapata 🎶🎼 Kiu yako yote inakata 🎼🎶 ilikuwa ni 🔥🔥🔥🔥

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 Před rokem +24

    Nina haki yakumshukuru Mungu sana. Wee. Yote niliyaona haya.

  • @sirizauzimaministry3465
    @sirizauzimaministry3465 Před 11 měsíci +2

    Hapo mko vizuri nilikuwa nasubiri Du du duduu hakuna mpinzani mpaka kesho wale Wazee wa acapella wa The Voice walifanya jambo likawa jambo kweli...Ila Tangazo pia la Jambo Kubwa na Jambo katikati tuliimba sana tukiwa wadogo...

  • @soloartist_ivanvespalusind1609

    Hilo Tigo longa longa ni sawa the best. Chai jaba ni chai tamuuuuuuuuuuuu! Liko wapi hilo?Kuna lile la komoa sabuni ya mche, Safari ni safari, Usione soo sema naye(Ishi campaign)

  • @benancejohn1198
    @benancejohn1198 Před rokem +5

    Fataki alisumbua sana 🙌🔥🙌

  • @ibrahimngokoe2102
    @ibrahimngokoe2102 Před rokem +3

    Hilo la Serengeti nilikuaga silali kwaajili ya Hilo tangazo 😂😂

  • @dominamabebe6691
    @dominamabebe6691 Před 11 měsíci +1

    Tangazo la jambo limenikimbusha mbali sana aisee😅😅😅😅

  • @selemanseed2476
    @selemanseed2476 Před rokem +15

    Oya kuna onja msisimko la Cocacola ft Diamond plutnumz ile ni hit song kabisa...🔥🙌🏾

  • @johnycavishe5207
    @johnycavishe5207 Před rokem +6

    Nomaa sanaa kwishaaaaaa wameuwa sanaaaa TBT wote waliuwa sanaa

  • @joesimba
    @joesimba Před rokem +4

    11:12 miaka 13 iliopita ni 2010 sio 2008, ila ni kweli hilo tangazo limetoka 2008, that was 15 years ago. Kazi nzuri though, mmetupeleka back in time

  • @angelajessala7633
    @angelajessala7633 Před 11 měsíci +1

    Weweee kuna Tangazo la mabus ya Scandnavia bwana bwana 😂😂😂😂😂😂

  • @clevermngao7565
    @clevermngao7565 Před rokem +4

    Tangazo la " Chai Jaba " . Pia tangazo la " Chai bora kilele cha ubora " lilikuwa kawimbo amazing flani!😂

  • @user-ve6rw7yt1i
    @user-ve6rw7yt1i Před 11 měsíci +1

    Jambo, chaijaba zilikuwa moto sana😁

  • @P.W.I.P.I_MINISTRIES
    @P.W.I.P.I_MINISTRIES Před rokem +4

    🤣🤣🤣🤣🤣mi naitwa jambo ndoogoooooo😂❤

  • @hamimhamis-dx5cv
    @hamimhamis-dx5cv Před rokem

    Tangazo la Airtel Limenikumbusha KASULU. Duuuuu. 😅😅😅

  • @MwigaKatumpula-mi3zt
    @MwigaKatumpula-mi3zt Před rokem +13

    Hakika King majuto ndio alikuaga the best kwa matangazo ever 👏👏😃

  • @pendokayage3538
    @pendokayage3538 Před 11 měsíci

    duh!🧏kama irudiwe😍😍😍😍😍

  • @sulaymanwaziri4455
    @sulaymanwaziri4455 Před rokem +10

    Number 8 na number 1 yamenikumbusha mbali sana😢😢

  • @finestwizzy2512
    @finestwizzy2512 Před rokem

    Tangazo la zantel alilofanya marehemu Kanumba "twanga kote kote" is my all time fav, ikifata chai jaba

  • @Fafabraids
    @Fafabraids Před 11 měsíci

    This is your girl "Mwantum"😍

  • @swalehesaad1143
    @swalehesaad1143 Před rokem +8

    Hii sauti ya fataki ni kama ya mrisho mpoto😂😂

  • @danielmkama24
    @danielmkama24 Před rokem +6

    I dear nzur ila kuna matangazo yalikuw mazur zaid ya haya aisee!
    Kuna ile boss kagari kako kamepata ajali na miguu imepata matege!..

    • @mrsinia3064
      @mrsinia3064 Před rokem +1

      Kama niliwah kuskia vile redion chumban kwa baba

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 Před rokem +2

      @@mrsinia3064 🤣🤣🤣

    • @danielmkama24
      @danielmkama24 Před rokem +1

      @@mrsinia3064 ilikuw kali sana hyo japo siikumbuk vzr

  • @stephanmpangire4741
    @stephanmpangire4741 Před rokem +2

    Hili Tangazo la Zantel lilinikamata sana. Nalipenda mno hadi leo hii. Wakati naanza kutumia simu laini yangu ya kwanza ilikuwa ni mtandao wa zantel hii ni kutokana na ofa zilizokuwa zinapatikana kwa kipindi kile. Epiq Nation etc 😊😊

  • @glorylema5652
    @glorylema5652 Před rokem +3

    Wallahi nmezeeka sanaa duh😂

  • @richardibrahim5609
    @richardibrahim5609 Před rokem +1

    Kuna tangazo la fifa cocacola 2010, tangazo la rungu spray ya mbu

  • @danielmkama24
    @danielmkama24 Před rokem +2

    Ucshangae kuna watu waliona haya matangazo ila mpk sasa bdo wanakaa kwao😂

    • @mkodojoseph-kt8wd
      @mkodojoseph-kt8wd Před rokem +1

      Kwaio unataka kusemaje mbwa wewe 😁😆😁

    • @avitusmichael5
      @avitusmichael5 Před rokem +1

      @@mkodojoseph-kt8wd umezeekea kwenu

    • @danielmkama24
      @danielmkama24 Před rokem +2

      @@mkodojoseph-kt8wd mda wa kuwepo nyumbn ushakuishia ondokaaaaaa

  • @collinsbella8360
    @collinsbella8360 Před 11 měsíci

    Du . Is my favourite..

  • @lydialaurian4734
    @lydialaurian4734 Před rokem +34

    Mmesahau
    1: Kilimanjaro 🎶 chemichemi ya Kilimanjaro 🎶Kila mtu anakiu nayo🎼 KILIMANJARO 🎶🎶 😊
    2. Uhai Uhai Maji Safiiiiii yeah!
    3. Chaijaba
    4. Tangazo la bia, la kuweka bendera mlima Kilimanjaro
    5. Tangazo la watoto wanakula lunch shuleni wakiwa wakubwa mmoja anamuokoa mwenzie asidondokewe na Bango.. I really liked this one 🔥🔥🔥
    6. Taska! La kisoda (Watu wako disco wanacheza twist, mdada anazungusha gauni Kama kisoda kikizungushwa)🔥🔥🔥

    • @dmswaggbamboostick4576
      @dmswaggbamboostick4576 Před rokem +6

      Kuna lile la bibi la magodoro

    • @lydialaurian4734
      @lydialaurian4734 Před rokem +7

      @@dmswaggbamboostick4576 Bibi ugonile,
      Bibi Leo umechelewa kuamka???!...
      Bibi: Mjukuu wangu Usingizi mororo na Godoro Dodoma.

    • @user-os2dc7hi7y
      @user-os2dc7hi7y Před rokem +7

      Na kuna lile la mbu,nyumba nyingine bwana mbu wanauliwa na dawa ya rungu,kuna lile la rehema rehema fanya haraka twende xhule,afu kuna la chai jaba,hapo nimejalibu kuwakumbuxha na bado yapo kibao 🏃🏃🏃

    • @dullahkhalifa5312
      @dullahkhalifa5312 Před rokem +1

      Chai bora pia 😅

    • @allychessy
      @allychessy Před rokem +1

      Matangazo ya lio bamba clouds

  • @husnaibrahim2107
    @husnaibrahim2107 Před rokem +2

    Aaaaah yeah oooh noo yap yap yap ebwanaaa eeeh😂😂😂😂

  • @aminaothman2136
    @aminaothman2136 Před 19 dny

    Tunoangalia 2024 gonga like

  • @felixkato6283
    @felixkato6283 Před rokem

    Nakumbuka lile La Rosheni zilikua zinacheza nakuimba aiseee nililipenda saaaaanananaa

  • @Nuyama1
    @Nuyama1 Před 10 měsíci +1

    Chai jaba na mama lishe mchuzi mix

  • @mayalamasuka8983
    @mayalamasuka8983 Před rokem +16

    Nasubiri kwa hamu kubwa sana Tangazo LA CRDB kutimiza miaka 10, wayback 2006 huko, yote kwa yote hongereni ubunifu mzuri

    • @gallanttv5024
      @gallanttv5024 Před rokem +1

      Alilifanya Enika 🔥

    • @chingejotham3508
      @chingejotham3508 Před 11 měsíci

      Lilikua noma sana

    • @mayalamasuka8983
      @mayalamasuka8983 Před 11 měsíci +1

      Hata sjui aliyeimba linaanza,
      "Tunasonga mbele kwa umoja mafanikio yetu kwa pamoja ,miaka 10 tunajivunia CRDB BANK
      Lilinikosha sana Aisee!!

    • @amoskagika8884
      @amoskagika8884 Před 4 měsíci

      @@mayalamasuka8983aiseee ilikuwa nomaaa sana. Nimelikumbuka😂😂😂😂

  • @amoskagika8884
    @amoskagika8884 Před 4 měsíci

    Kuna moja kwenye radio la George Poji na Amanda😂😂😂

  • @peacemuzaliwa2563
    @peacemuzaliwa2563 Před 11 měsíci +1

    Dododododo do do do do Atari sana enzi izo😅😅😅

  • @westcijosh
    @westcijosh Před rokem +2

    Mimi mars alisema anapenda kula chocolate na ice cream .waliolewa gonga like twende

  • @swalehesaad1143
    @swalehesaad1143 Před rokem +3

    Kweli nimezeeka sasa😂😂

  • @kizratshenki8515
    @kizratshenki8515 Před 11 měsíci

    Kanumba achakubip bwana twanga this is my favorite

  • @sulaymanwaziri4455
    @sulaymanwaziri4455 Před rokem +2

    Namba 8 nimsimulie naani

  • @mrishojumaamrisho3212
    @mrishojumaamrisho3212 Před rokem +12

    Jambo Duuuhh ukwel tunazeeka sana😢😢😢

    • @icramnajim626
      @icramnajim626 Před rokem

      Mpka nimecheka nilivoiona jambo🤣

    • @monicacheche7392
      @monicacheche7392 Před 11 měsíci

      😅😅😅🙌🏼🙌🏼, tumshukuru Mungu kwa kutuweka mpaka saa hi🙏🏽🙏🏽

  • @elizabethmhapa3658
    @elizabethmhapa3658 Před rokem +4

    Umetukumbusha mbali jamani
    nakumbuka mamayangu alikuwa anapaka mafuta ya JAMBO

  • @norbertnoel2429
    @norbertnoel2429 Před rokem +1

    very very creative

  • @renatusblandes1131
    @renatusblandes1131 Před rokem +9

    Miaka inaenda sana naona kama jana hivi

    • @happylynguya3464
      @happylynguya3464 Před rokem +1

      Hata mimi nashangaa eti miaka 10 😅😅😅jamani siku zinaenda.

    • @sifatiiman
      @sifatiiman Před rokem +1

      lafu utasikia mastar uchwara kila mwaka wako na 29😂😂

    • @happylynguya3464
      @happylynguya3464 Před rokem

      @@sifatiiman 😅😅😅akina Irene hao, na tangazo lake la bibi harusi.

    • @sifatiiman
      @sifatiiman Před rokem

      @@happylynguya3464 😂😂😂

  • @neemaclement
    @neemaclement Před rokem +2

    Nimekumbuka wakati nasoma tigo walikuwa wanatupa sms za bure mwezi mzima ilikuwa raha sana😅😅

  • @erickMugisha-vp6tn
    @erickMugisha-vp6tn Před rokem

    Daaah...!umetisha

  • @biasharaonline693
    @biasharaonline693 Před rokem +1

    Tangazo la "BUZZ BOMBA nani analikumbuka gonga like hapo muhenga 😎

  • @user-xe5ek7oz1t
    @user-xe5ek7oz1t Před rokem +1

    Mimi nimeyaona tuh machache tena kwenye tv yajirani,,latigo hilo la duu,mzee mwalubandu,fataki,,lamagodoro,ila leo ndio nimejua kua nimimi mars,

  • @jacksonmartnez6940
    @jacksonmartnez6940 Před měsícem

    Waliokuja kutazama video hii 2024 weka like yako hapa😂

  • @arsenalic23
    @arsenalic23 Před rokem +19

    Kulikuwa na Tangazo la TTCL kaimba Black Rhino anachana wanaimba 'Ungana na mimi, ungana na mimi' lilibamba sana nakumbuka Kapteni wa timu yetu ya darasa o levo alikuwa asubuhi anakuja kutuamsha kwenda mazoezi anaimba Ungana na mimi, ungana na Kisu, ungana na kisu. Andrew Mwakisu heshima yako popote ulipo bro. Pia kulikuwa na Tangazo la Ngao mbu wawili wanaongea wanashauriana 'Twende Tukamnyonye' halafu mmoja anaenda analambwa shoti na neti yenye dawa. Ayo tv mmeyasahau hayo Matangazo makali sana

    • @joshuamuro9494
      @joshuamuro9494 Před rokem +1

      Matangazo Bora matatu
      1.Mimi naitwa jambo ndogo
      2.Chai Jaba
      3.Na mbu twende tukanyonye damu
      4.Nakuna moja la Mzee mashaka la Rangi
      Best ever this 4

    • @benjaminikazi
      @benjaminikazi Před 11 měsíci +2

      Nyumba nyingine bwana
      Dogo huyo ni wangu
      Miaka ya 2010 lilitamba sana lilikiwa tangazo la Rungu

    • @mirajimwango5763
      @mirajimwango5763 Před 11 měsíci

      zingatia miaka 10 nyuma

  • @amanididas7660
    @amanididas7660 Před rokem

    oryx gas kumbe kitamboooo 😎

  • @ndolimwakijuja7948
    @ndolimwakijuja7948 Před 11 měsíci

    Kwang me Coka alilofanya diamond ni🔥🔥🔥

  • @saidhamza5318
    @saidhamza5318 Před rokem +3

    Too emotional..back then

  • @dagigy5194
    @dagigy5194 Před rokem +2

    Nimekumbuka mbali sana za zantel

    • @erickhaule8680
      @erickhaule8680 Před rokem

      Hata Mimi enzi hizo nafanya kazi Mbeya zantel tunazeeka kwakweli

  • @TASINITV
    @TASINITV Před rokem

    Foma limao/Sport sigala

  • @mbumbumbu0
    @mbumbumbu0 Před rokem +1

    Unanikumbusha mbali sana bro....KIPINDI CHA JAMBO LOTION, kipindi iko MR NICE ana trend sana

  • @neemawilliam6265
    @neemawilliam6265 Před rokem +2

    Haya matangazo yote yamenikuta na yameniacha na bado nipo nyumbani........dear Lord

  • @sas7728
    @sas7728 Před rokem +2

    Naile ya mbu twende tuka nyonye damu mmesahau

  • @alphoncesanare7011
    @alphoncesanare7011 Před 11 měsíci

    Dah nina kila sababu ya kusema Asante Mungu kwa kuwa hii ni neema kubwa ata kuyaona haya na sasa bado nipo naona mengi

  • @wilsonlulambo6498
    @wilsonlulambo6498 Před 11 měsíci

    Unahatajee tangazoo la runguuu kwenye top ten
    "Nyumba nyingine bhn, nyumba nyingine bhn"

  • @patrickmsuguri
    @patrickmsuguri Před rokem

    Mmetisha

  • @neykweyamba2429
    @neykweyamba2429 Před 10 měsíci

    King and Sharo Allah awape kauri dhabini in shallah 🙏🙏🙏🙏

  • @ireneassey2022
    @ireneassey2022 Před rokem +1

    Kumbe nimezeeka niolew sasa 😂😂😂