ALIYEFARIKI 2018 AONEKANA AKIWA HAI, WANANCHI WAFURIKA KUMUONA "TULIJUA MAPEPO KUMBE NI YEYE"
Vložit
- čas přidán 23. 08. 2023
- Ni safari ya takribani kilomita 140 kwa mwendo wa gari na pikipiki kutoka Mpanda mjini hadi Kijiji cha Kamalampaka kilichopo Wilaya ya Mlele wa Katavi kukuletea ripoti ya Mwashi Lutema (33) mwanamke alifariki dunia mwezi Aprili 2018 na kuzikwa kijijini kwao na baada ya miaka mitano yani 2023 ameonekana akiwa hai akiwa kisima cha kutekea maji akiwa na nguo alizozikwa nazo.
Hii imetokea mkoani Kavati unaweza usiamini lakini Ayo Tv tumefunga safari kwenda kuthibitisha hili na baada ya kufika tumezingumza na Jonas Makita mwanafamilia ambaye amesimulia tukio zima lilikuwaje.
Hawana mtu hapo, wanaiumiza tu hiyo familia. Mungu wa mbinguni tupe nguvu ya kuvumilia maumivu makali haya.
Mambo yamebadilika, uchawi upo na unasumbua sana watu wasio na hati
Watu wengi sana wanakufa muda amba Mungu hakuwapagia kufa na hivyo anakufa kwa mapenzi ya wanadamu ,hawa watu wapo katika ulimwengu wa giza usioonekana ni watumwa wa watu huko ulimwengu huu unasiri
Mungu walaani wote wanaochezea wenzao. Mungu tutetee!
Jina la yesu lihimidiwe sana,,. Lakin pia huyo mtu asiache kumtafuta MUNGU Maana siyo kawaida kimwili
Mpanda oyeeee👍👍👍👍 tia coment kama ww ni WA mpanda katavi
Asante mungu kwakumrudisha nyumbani kwake, naomba mungu arudishe ndungu zangu walie chukuliwa musukule😢
Wanga ni watu wabaya sana na hawana msamaha kwa Allah
Tufanyeni ibada jamani natusome Qur'an
Wachawi sio watu wazuri mbwa Hawa, walimchukua msukule dada wa watu......
Baba kafurahi sana anaonekana Mungu ni mwema.
Uchawi upo Qur-an 2:102
Mungu mwema 🙏kilicho cha Mungu kitabaki kuwa chake sio masiara jaman miaka mitano so mchezo
Wampeleke akaombewe akili iachiliwe,,ulinzi ni juu ya mungu🙏
Qur'an inasema kweli wengi watauwawa nawenzao kwadhulma kabla ya Ahadi ya Mungu nikwel😢😢😢
Maajabu
Baba Mungu akutie nguvu mzee unajibu kijasili japo unamaumivu moyo Mungu awalinde
Sasa hayo matukio mbona yamekuwa mengi jamani!!tumrudie Mungu ndugu zangu
Huyu mzee anajibu maswali vizur san
Mungu yupo na shetani yupo.Hiyo ni kazi ya shetani.Wale wanaomjua Mungu wajishike nae kindakindaki shetani asituone. Dah.