ALIYEFARIKI 2018 AONEKANA AKIWA HAI, WANANCHI WAFURIKA KUMUONA "TULIJUA MAPEPO KUMBE NI YEYE"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 23. 08. 2023
  • Ni safari ya takribani kilomita 140 kwa mwendo wa gari na pikipiki kutoka Mpanda mjini hadi Kijiji cha Kamalampaka kilichopo Wilaya ya Mlele wa Katavi kukuletea ripoti ya Mwashi Lutema (33) mwanamke alifariki dunia mwezi Aprili 2018 na kuzikwa kijijini kwao na baada ya miaka mitano yani 2023 ameonekana akiwa hai akiwa kisima cha kutekea maji akiwa na nguo alizozikwa nazo.
    Hii imetokea mkoani Kavati unaweza usiamini lakini Ayo Tv tumefunga safari kwenda kuthibitisha hili na baada ya kufika tumezingumza na Jonas Makita mwanafamilia ambaye amesimulia tukio zima lilikuwaje.

Komentáře • 187

  • @fridaernestmkedege900

    Hawana mtu hapo, wanaiumiza tu hiyo familia. Mungu wa mbinguni tupe nguvu ya kuvumilia maumivu makali haya.

  • @evodiadominicpaul5006

    Mambo yamebadilika, uchawi upo na unasumbua sana watu wasio na hati

  • @marymwapiya1274

    Watu wengi sana wanakufa muda amba Mungu hakuwapagia kufa na hivyo anakufa kwa mapenzi ya wanadamu ,hawa watu wapo katika ulimwengu wa giza usioonekana ni watumwa wa watu huko ulimwengu huu unasiri

  • @fridaernestmkedege900

    Mungu walaani wote wanaochezea wenzao. Mungu tutetee!

  • @yohanasingers

    Jina la yesu lihimidiwe sana,,. Lakin pia huyo mtu asiache kumtafuta MUNGU Maana siyo kawaida kimwili

  • @adamgeofrey567

    Mpanda oyeeee👍👍👍👍 tia coment kama ww ni WA mpanda katavi

  • @janetchinga695

    Asante mungu kwakumrudisha nyumbani kwake, naomba mungu arudishe ndungu zangu walie chukuliwa musukule😢

  • @fadhilhimid2776

    Wanga ni watu wabaya sana na hawana msamaha kwa Allah

  • @user-ui5xc6sb5m

    Tufanyeni ibada jamani natusome Qur'an

  • @Ambwene
    @Ambwene  +23

    Wachawi sio watu wazuri mbwa Hawa, walimchukua msukule dada wa watu......

  • @felisterandrew8741

    Baba kafurahi sana anaonekana Mungu ni mwema.

  • @nicholauskilosa5336

    Uchawi upo Qur-an 2:102

  • @suzypaul4559

    Mungu mwema 🙏kilicho cha Mungu kitabaki kuwa chake sio masiara jaman miaka mitano so mchezo

  • @neemambotola1139

    Wampeleke akaombewe akili iachiliwe,,ulinzi ni juu ya mungu🙏

  • @radhiambwana3353

    Qur'an inasema kweli wengi watauwawa nawenzao kwadhulma kabla ya Ahadi ya Mungu nikwel😢😢😢

  • @revilsonsariah307

    Maajabu

  • @deewallance9354

    Baba Mungu akutie nguvu mzee unajibu kijasili japo unamaumivu moyo Mungu awalinde

  • @happinessmosala2217

    Sasa hayo matukio mbona yamekuwa mengi jamani!!tumrudie Mungu ndugu zangu

  • @filbertnyambo2120

    Huyu mzee anajibu maswali vizur san

  • @annemlay11

    Mungu yupo na shetani yupo.Hiyo ni kazi ya shetani.Wale wanaomjua Mungu wajishike nae kindakindaki shetani asituone. Dah.