Part10_MUNGU AMENIONYA KUHUSU PETE YA NDOA,SIIVAI TENA|KUOLEWA MARA YA PILI|MWANAMKE KUWA MCHUNGAJI
Vložit
- čas přidán 28. 07. 2023
- Wasiliana na Petrida Karch kwa What'sApp no. +491758114293
Wasiliana nasi promover tv kwa What'sApp no. +255784074462
Kujiunga na group la Petrida Karch, Bonyeza link hii chat.whatsapp.com/KngcNJwF9gO...
JE!UMEPENDA KAZI ZETU?BASI TUNAOMBA UCHANGIE SADAKA KILA MWEZI AU WAKATI WOWOTE ILI KUTUWEZESHA KUFANYA VIZURI ZAIDI.Kama uko tayari kuwa mchangiaji jiunge kwenye group letu la TEAM PROMOVER SUPPORTERS kwa kubonyeza link hii chat.whatsapp.com/CUGPFEt7SK4...
PIA UNAWEZA KUJIUNGA NA MAGROUP YETU MENGINE MAWILI AMBAYO SIYO LAZIMA KUCHANGIA BALI NI YA KUPATA SHUHUDA ZETU MPYA KILA SIKU NA KUJIFUNZA NENO LA MUNGU
1.TZ PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/J5QuMiNuG1l...
2.KENYA PROMOVER TV USHUHUDA bonyeza link hii chat.whatsapp.com/FRGK8R0u2ak...
Namba za mawasiliano na kuchangia sadaka ni: +255784074462 / +255766294335 / +254113844735 jina ni Jacktan Msafiri
#ShuhudaZaJacktanMsafiri #JacktanMsafiri #PromoverTV
Kwanza unatakiwa uangalie mahali pete imetoka. Pete imetoka Misri kwa Farao. Mwanzo
Wengi humu ndani ni wasikilizaji tu hakuna aliyethubutu kumtafuta Mungu kwa lengo la kusikia sauti ya Mungu. Ila kwa kupinga hatujambo. Mungu ni wetu sote kama unamashaka na lolote tuingie magotini wapendwa.
Asante kwaneno la uzima ubarikiwe mtumishi wa MUNGU pete siyo mpango wake YESU KRISTO
Asante Bwana Yesu kwa kumthibitishia huyu dada maana tulikuwa hatumuelewi akitoa shuhuda zako wewe Mungu
Amina sana Mtumishi ubarikiwe sana!!!
Asante Dada MUNGU akubariki Sana mimi nilionywa kabisa nisivae kabisa Pete iwe ya ndoa au urembo
Nashukuru mtumishi nimengi nilikua sijui naomba mungu anisamehe nmemkosea pasipo kufahamu
Mi naomba picha za mavazi ambayo Mungu anahitaji tuvae
Amen Amen, utukufu Kwa BWANA YESU KRISTO, jina la BWANA libarikiwe , asante kwa uthibitisho. Na pia umependeza saana mtumishi, na wengine waone kielelezo kwako zaidi.
Ahsante. Sana. Kwa. Ujumbe mzuri
Mm sitaki kuwa mtumwa wa mafunuo ya watu ,Daudi alivaa ,pete yenye muhuri wa kifalme , mfalme sulemani pia ,Pete inakuwa na shida kama ina alama za mingu ,au zina matambiko au dua flani ,au zenye mashariti kuwa siku flani weka marashi hapo inakuwa pete ya ibada na chukizo ,tukumbuke mwenye haki ataishi kwa IMANI ktk Kristo Yesu .
Ubarikiwe dada yangu na mtumishi wa BwanaYesu ujumbe umefika wanyenyekevu tupone
Ubarikiwe nabii, umenifungua.
Asante sana dada haya ndio mambo yafaa tuzingadia sana...nakufatilia nikiwa uwarabuni
Zidi kubarikiwa sana Shujaa wa Bwana wetu YESU KRISTO, Hakika Bwana anakupenda Sana.
Amen
Barikiwa mtumishi wa mungu
Amen ubarikiwe
Hongera mtumishi wa Mungu unatupa mwanga mkubwa, Mungu azidi kukuinua ili tupate mengi juu ya ufalme wa Mungu
Bwana asifiwe.Dada yetu tunafurahia kua Mungu amekupa onyo mapema.Sisi kama wafuasi wa channel hii ya promover tulikuonya mwanzoni lakini hukutuelewa.Bwana asifiwe sana.