Video není dostupné.
Omlouváme se.

KAMANDA ASIMULIA MAPYA MTOTO MZUNGU ALIYEJIRUSHA GHOROFANI “NI SIRI, MKEMIA ATAPIMA”.

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 1. 08. 2024

Komentáře • 44

  • @sabihahamadi2287
    @sabihahamadi2287 Před rokem

    Mtihani mwenyezi mungu atusaidiye

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 Před rokem

    Pole kwa familia

  • @user-yc7vf4ln5q
    @user-yc7vf4ln5q Před rokem +6

    Watangazaji samahani mm naitwa arafat ninashida na mahojiano ya mtoto anaeteseka sana mda mrefu zanzibar anateseka sana na yupo hatarini kuathiriwa na ile hal kwakweli je nawezapsta mawasliano yoyote naitwa arafat haroub kutoka zanzibar

    • @silverdavid6200
      @silverdavid6200 Před rokem +1

      Weka mawasiliano yako watakitafuta na Mungu atakubariki kwa kufikisha taarifa kwa jamii.

  • @erickchitumbi1308
    @erickchitumbi1308 Před rokem +3

    kamanda umeelezea vizuri Sana.hongera kwa weledi mkubwa

  • @zamalisaide3209
    @zamalisaide3209 Před rokem

    Pole kw familya

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 Před rokem +2

    Mbona mambo hayaeleweki 😢dogo ukute ame uawa 4:03

  • @khadija5761
    @khadija5761 Před rokem

    😢😢😢

  • @GpnAbel
    @GpnAbel Před rokem

    😢

  • @charleshangaya3550
    @charleshangaya3550 Před rokem +4

    Dogo kashtushwa na mkataba

  • @nasrahdullah1026
    @nasrahdullah1026 Před rokem +1

    R.i.p patrick umejua kutuweza 😢😢wiki iliyopita tumefurahia haruc y uncle wako wiki hii umetuacha daah😢😢😢😢

    • @janemsamati6700
      @janemsamati6700 Před rokem

      Poleni wafiwa, inasikitishaa sana jamani 😢
      RIP Patrick 😢

  • @liljammacha7806
    @liljammacha7806 Před rokem

    😢😢😢😢

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 Před rokem +1

    Depression

  • @HafswaIssa-ve4zf
    @HafswaIssa-ve4zf Před rokem +1

    Kamanda kuna kitu kama anakificha iv

  • @user-jk2et7gg2b
    @user-jk2et7gg2b Před rokem

    Mungu wangu 😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭💔💔💔💔💔💔💔💔

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 Před rokem +1

    Mbona huyo nae anafunikwa uso ama ni mchepuko

  • @adamsafari7657
    @adamsafari7657 Před rokem

    mbona watetemeka

  • @stellakasambala363
    @stellakasambala363 Před rokem +4

    Mwandishi, ask basic questions first!! Wazazi wake? Alikua mwanafunzi Au? Yuko Tanzania kama nani (maana nimeskia kama ni rain wa United Kingdom)...jifunzeni jamani! Daah!

    • @salomewandya7257
      @salomewandya7257 Před rokem

      Eti yaan wanauliza pumba tu

    • @neemamhina768
      @neemamhina768 Před rokem

      Ni kweli je alikuwa masomoni, alikuwa kazini ama alikuwa tapeli yote inawezekana, swali je huyo raia wa kigeni alikuwa akishughulika na nini hapa nchini kwetu?

  • @haikaelkiwia9705
    @haikaelkiwia9705 Před rokem

    Mwandishi bado kuna maswali hajauliza, wenyeji, wazazi nani, kahojiwa nani nyumbani, nk yaani sijui woga au?

  • @kennethbenjamin275
    @kennethbenjamin275 Před rokem +1

    Mwqndishi unauliza swali hilo hilo,ushajibiwa unarudia

  • @marthageorge5043
    @marthageorge5043 Před rokem

    Duuh

  • @stellah3844
    @stellah3844 Před rokem

    Kwani hayo magorofa yapoje mbona kunamaghorofa yapo vnzr si rahis mtu kujirusha

  • @athmandott9297
    @athmandott9297 Před rokem

    Uchuguzi ufanyike yani mtuajirushe aje kuangukia golofa la kwanza kutoka golofa la 15 aje aangukie golofa ya kwanza naamini katika uchunguzi

  • @abdulbonomali6548
    @abdulbonomali6548 Před rokem

    Kwani haya magorofa yanajengwaje mbona inakua rahisi kujirusha

  • @GenerousAfricantours
    @GenerousAfricantours Před rokem

    Waandishi wabongo ndo ma'ana mnauawa Alafu baadae mnasema ET hamna HAKI ? Unapiga Piga simu tu Angalia watu kuwapgia

  • @juniordamas2957
    @juniordamas2957 Před rokem

    Mwandishi unayumba

  • @user-xk7vp6ie5i
    @user-xk7vp6ie5i Před rokem +6

    Sorry kama ntakosea lkn kwann kichwa cha habar kisiseme mtoto alienguka kutoka gorofani badala ya kusema aliejirusha? Je nani kathibitisha kuwa kajirusha au karushwa? Apo ndio uchunguzi unatakiwa ili kujua kuanguka kwake

  • @alzawahirabdallah2299

    Hakuna kifo kitakacho kosa sababu siku ikifika haikwepeki

  • @rosemarymwakitwange6257
    @rosemarymwakitwange6257 Před rokem +2

    Hivi Kamanda wa Polisi ndio reliable source?. Waandishi wetu hao wanajiita waandishi wasomi

    • @fahadfaraj6474
      @fahadfaraj6474 Před rokem

      Waandishi wasomi wapi ndugu yangu 90% yao viazi

  • @vickyadrian1503
    @vickyadrian1503 Před rokem +6

    Why calling him Mzungu this doesn’t sound right you people keep identifying people like mswahili, mhindi,
    Sema tu kijana wa kitanda bia mwenye asili ya Scottish au mtanzani mwenye asili ya India

    • @stellah3844
      @stellah3844 Před rokem +1

      Wala usikasrike hata sisi tupo ugaibuni huwa tunaitwa waafrica

    • @G.r.e.a.t.I.Q
      @G.r.e.a.t.I.Q Před rokem

      Tu kuvutia watu. Au niseme kupambania views nyingi.

    • @Joycekombe2
      @Joycekombe2 Před rokem +1

      @vickyadrian1503 wewe pia ni nani aliyekuambia huyo kijana ni mtanzania?? Je umeona makaratasi yake ya uraia?

  • @aishaibrahim5607
    @aishaibrahim5607 Před rokem

    Karibuni kula maandazi jmn

    • @charlesmugisha6529
      @charlesmugisha6529 Před rokem

      We kuma nini.???

    • @aishaibrahim5607
      @aishaibrahim5607 Před rokem

      @@charlesmugisha6529 kuma bibi yko

    • @dianakalimba1109
      @dianakalimba1109 Před rokem

      Aisha hapa watu wapo wanahuzun kifo cha mtoto wewe unatukarbsha maandaz umetukanwa na wewe unajbu vivyo hvyo 🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌🙌 barikiwa sana kama ulichokiandika ni sawa na unajbu matus mtoto wa kike mtandaoni hongera mshindi wewe

    • @aishaibrahim5607
      @aishaibrahim5607 Před rokem

      @@dianakalimba1109 kajambe uko ss ulitaka nikaekimya kwan unaweza fny kz bilakula atamsibani watu wanakula ss ajabu nn wekanyaga kubwakubwa mfyuuu