Hongera sana ndugu yangu kwa kufikiya ndoto yako, ni wachache watakao kupongeza, naona wengine ni kukuponda pahali ya kukupongeza, nasema tena Hongera kwa kazi nzuri, from Cedar Rapids Iowa state USA 🇺🇸.
Amejielezea yeye binafsi kuliko kuielezea gari yenyewe.. Kamera man ametupiga maana hata ndani ya gari hatujaona hizo tv . Kama Ni advertisement mngetafta mtu anayejuw magari vzuri akaelezea gari cyo mmiliki wa gari maana cyo professional yake. Content nzuri lkn fanyeni maboresho katika uwasilishaji wa content.. content Ni nzuri sanaa I appreciate but imewasilishaa kwa kiwango Cha chini🇺🇸🇺🇸
Gari nzuri ila kuna makosa makubwa sana mwenye gari hajui kuielezea gari yake ilikuwa njema sana kama mngeenda kwa huyo Bosco mwenyewe mkiwa na hiyo gari ndio aielezee maana huyu mmiliki anaongea sana kujisifia kusifia gari pasipo kugusia features za gari yake na kosa lingine kubwa ni la camera man hajui kushoot alikuwa busy kumshoot mwenye gari badala ya gari yenyewe na vitu anavyovitaja muhusika.
Tanzania bado kwa maendeleo. Dubai ni nchi wanapost vitu ambavyo kila duniani akisikia ana vutiwa na Dubai. Hasa, Habari kama hizi ni local sana, Atutakuwa kimataifa. #HonMichaelDeusdedityKessy.
Hongera sana ndugu yangu kwa kufikiya ndoto yako, ni wachache watakao kupongeza, naona wengine ni kukuponda pahali ya kukupongeza, nasema tena Hongera kwa kazi nzuri, from Cedar Rapids Iowa state USA 🇺🇸.
Gar mkomao sanaaa big up Sana 💪 kwake kwishaaaaaaa anamfaa Sana masd kipanya waendeleze kampuni
Amejielezea yeye binafsi kuliko kuielezea gari yenyewe..
Kamera man ametupiga maana hata ndani ya gari hatujaona hizo tv .
Kama Ni advertisement mngetafta mtu anayejuw magari vzuri akaelezea gari cyo mmiliki wa gari maana cyo professional yake.
Content nzuri lkn fanyeni maboresho katika uwasilishaji wa content.. content Ni nzuri sanaa I appreciate but imewasilishaa kwa kiwango Cha chini🇺🇸🇺🇸
Gari nzuri ila kuna makosa makubwa sana mwenye gari hajui kuielezea gari yake ilikuwa njema sana kama mngeenda kwa huyo Bosco mwenyewe mkiwa na hiyo gari ndio aielezee maana huyu mmiliki anaongea sana kujisifia kusifia gari pasipo kugusia features za gari yake na kosa lingine kubwa ni la camera man hajui kushoot alikuwa busy kumshoot mwenye gari badala ya gari yenyewe na vitu anavyovitaja muhusika.
Sasa Cameraman Kweli Umetupiga. 😢😢😢😢
MZEE HAWEZI KUJIELEZA KABISA YANI NA KUELEZEA GARI YAKE BADALA YAKE NIKAMA INABIDI MTU UJIELEZEE MWENYEWE KWA ULICHOKIONA
Sawa ni Gari nzuri sana bro,umeikosea sana umeinyima haki yake kuifanya auto badala ya manual
Atutaki shida
Ni kweli mkuu
Kweli kabisa
Walai
Nunua yako😂
Anae watambua au kuwa juwa vizuri #GTPtz #OTAKU MAP,plz like pale ❤❤
Milard kijana wako wa arusha anajituma sana pamoja sana
Land rover defender best 4x4 off-road machine in history. Manufactured since 1948 till now.
Tatizo jamaa sifa zinazidi kuliko maelezo ya kawaida, mhaya nini huyu mwamba.
😂😂😂
we umeleta story mpya
@@MabulamalembekaMoris😂😂😂
Kina lambat pia wahaya😂
Weee shika adabu muha huyo wa mwanga
One day yes ntamilik land rover km ii😊❤
Ange tuwekea after and before
Leo interview yenu sijaelewa kabisa🤌
Kigoma😮 aaah kumbe familia
Kazi nzuri kwake mwamba ila bhana kuna makosa sana hapo Mengi moja kujieleza tatizo pili camera man akapimwe mkojo bado sana
Ongera sana brother
GARI KWA NDANI HATUJAIONA VZR KWA NDANI ...CAMERA MAN UNACHEKA CHEKA TUU KAMA KUKU UMESAHAU KAZ YAKO
Kwani ni taarifa ya habari? Camera zungusha kwenye gari ngani nje nyuma mbele pembeni tuone hizo unique features 😰
❤am coming kupanda
Guud...
Ingekua nyeusi ingekua unyma sanaa
Too much unnecessary talks,
Well built.
Mwanga majenga una wafahamu wakina gazi Buti
Kidogo ameguzia kuwa Gari in Taa zenye mwanga mkali, sijaelewa ni za nini tena barabarani au ni kwa ajili ya night game drive porini?
hatari sana hiyo mashine
Land rover defenders are more powerful than land cruisers in offroading and tug of war!!🏋️🏋️💪💪
MACHINE POWER V8!!!💪💪💪
Dadekiii engine 4.0 😢😢😢 inapepeeusha hiyo gari
Uyu cameraman alkua bang uyu
Tanzania bado kwa maendeleo.
Dubai ni nchi wanapost vitu ambavyo kila duniani akisikia ana vutiwa na Dubai.
Hasa, Habari kama hizi ni local sana, Atutakuwa kimataifa.
#HonMichaelDeusdedityKessy.
Ulie andaa hii umezingua Ulipaswa umshike maic yeye ndio akuonyeshe hiki ni hiki na kile ni kile cameraman naww miyayusho
Jamaa Anamaritingo Anajisifia Tu Badala Ya Kutuonyesha Hizo Vitu Anavyovosifia
Mzee anapenda tv😂😂
Amesema kibachoendelea ndani ya cabin na nyuma ni same same na AC nyuma inafika?
Ni kweli,,,habari karibu 75% ni Arusha tu,,,ikizidi ni Moshi,,,kwingineko hakuna habari?????
Jiji la kitalii habar zipo za kutosha
Kila siku habari za Arusha tu daah millard unayumba sana mikoa mingine huna reporters?
Mikoa mingine ime poa
Imepoa mingine
Baaadae mtaona hapo awali
Gari ni kali sana iyo
aliyenyuma ya camera ni hopeless kabisa. milard kama huyu cameraman anakudai mlipe au kama vipi mpge chini utafute mwingine.
Eti baadae mtaona hapo awali!!r chuga automatcally wanazaliwa wakiwa tayar bange kichwani
Camera man jau sana
Mara v8 mara ranger rova😮😢
Millard Millard mludishie Mzigo wake Message not Yet kama umekula Pesa yake nakwambia hiyo ni champion😂😂😂😂
Ungevua hiyo gearbox uweke manual mkuu
Labda awezi kuendesha manual ndio maana. Coz chuma kama hizi mm zote naona ni manual. Sasa ikiwa auto na kwa jinsi ilivyo ameinyima heshima yake
Sio land Rover tena kama haina engine ya land Rover
Range rover engine manufacturer is land Rover...
Siyo rend rova Tena
Defender nazionaga tyu arushaa ila mikoanii duh cjui kwann hata
Arusha utalii huku mikoani ni chache mno nyingi ni zile za zamani
TDi
Tereza nipopobawa
😂
Cameraman kazingua aisee
SHIDA YOTE YANINI UKASUMBUKE KUUNDA MAGAR MAGAR YAPO ZAMA ZA KUUNDA MAGARI ZIMEISHA USUMBUFU WANINI
Defender
4:50 Baadae mtaona hapo awali 🤔
One day land rover
Yaa yaaa yaaaa yaaa😂😂😂
baadae mtaona hapo awli
110
Hakuna mtu hapa
Ajui kuelezea
Sas mutatuerimisha nin apo
Ni wangapi hawajaona tv
Kuongea hujui unakera aisee
Anayerekod nae ganzi
Arusha kama mbele
jamaa amejielezea mwenyewee hyo million 40 haijaonesha imepatikana vipii cameraa alilewa nini mbonaa content ya hovyoo hiviii
Mzee ni hatari
sielewi mimi aki but ongera basi 😢😅
hatujaiona hiyo gali camera man na edita wabovu ni kama mnampa promo jamaa ila hatujaona chochote
sasa wewe siuliamuwa wewe sasa ikawa gari powa wacha kutusubuwa bwana duuu😂😂😂😂 mbona rangi ni mutu anaweka
SS MASTA UNATUONYESHA MTU BADALA TUONE HYO NDINGA ULITAKIWA UREVIEW HYO GAR TUIONE JAMAA ANATUELEZA TU BUT GAR ZUR
iyo gali ata uku zm ipo
😂😂😂hio gari mpe mtoto achezee ww ni mtu mzima unahitaji manual transmision bro
Mwamba kama dalali
Kumbee milioni450 unapataa gari
Ungete ngeneza Ka ma
ulivyo ulivyo inunua
una pesa lakini hujuwi kujielezea
Engine za v8 bei gani
Unadaiwa shilingi laki 2 za kitanzania seat cover hukulipa
Ndo umdai mtandaon
Apo awali tenaa
😂
Weka manual ww
unaongea sana mwamba
Uchafu uo
Ajatengeneza amecopy tuy huyu
Muongo huyu 😂
Cameraman shame on you
4:49 "baadae mtaona hapo awali"😅😅
what is this all about - worst report ever witnessed on ayo tv.
Kiswahili ulicho tumia ni kichache mno
Ujinga ni automatic transmission chuma hizi ni manual bwebwe zisizo za msingi
Hamna gari ya milioni 40 hapo tusidanganyane labda milio 8
Camera man MSENGE ww uko hopeles sana fuck
Cameraman ni 🚮🚮
Badae mtaona hapo awali😅
MIMI NAONA NI USHAMBA MTUPU