GARI YA MILIONI 4 ILIVYOBADILISHWA HADI MILL 40 " INA ENGINE YA V8,TV 2 HAITUMII FUNGUO KABISA"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 29. 07. 2023

Komentáře • 118

  • @Byondorujulika17
    @Byondorujulika17 Před 11 měsíci +2

    Hongera sana ndugu yangu kwa kufikiya ndoto yako, ni wachache watakao kupongeza, naona wengine ni kukuponda pahali ya kukupongeza, nasema tena Hongera kwa kazi nzuri, from Cedar Rapids Iowa state USA 🇺🇸.

  • @johnycavishe5207
    @johnycavishe5207 Před 11 měsíci +2

    Gar mkomao sanaaa big up Sana 💪 kwake kwishaaaaaaa anamfaa Sana masd kipanya waendeleze kampuni

  • @antonymwita6078
    @antonymwita6078 Před 11 měsíci +8

    Amejielezea yeye binafsi kuliko kuielezea gari yenyewe..
    Kamera man ametupiga maana hata ndani ya gari hatujaona hizo tv .
    Kama Ni advertisement mngetafta mtu anayejuw magari vzuri akaelezea gari cyo mmiliki wa gari maana cyo professional yake.
    Content nzuri lkn fanyeni maboresho katika uwasilishaji wa content.. content Ni nzuri sanaa I appreciate but imewasilishaa kwa kiwango Cha chini🇺🇸🇺🇸

  • @dennisevarist
    @dennisevarist Před 11 měsíci +17

    Gari nzuri ila kuna makosa makubwa sana mwenye gari hajui kuielezea gari yake ilikuwa njema sana kama mngeenda kwa huyo Bosco mwenyewe mkiwa na hiyo gari ndio aielezee maana huyu mmiliki anaongea sana kujisifia kusifia gari pasipo kugusia features za gari yake na kosa lingine kubwa ni la camera man hajui kushoot alikuwa busy kumshoot mwenye gari badala ya gari yenyewe na vitu anavyovitaja muhusika.

  • @itNeza
    @itNeza Před 11 měsíci +10

    Sasa Cameraman Kweli Umetupiga. 😢😢😢😢

  • @suleymansalim5732
    @suleymansalim5732 Před 11 měsíci +6

    MZEE HAWEZI KUJIELEZA KABISA YANI NA KUELEZEA GARI YAKE BADALA YAKE NIKAMA INABIDI MTU UJIELEZEE MWENYEWE KWA ULICHOKIONA

  • @geofreysadok4823
    @geofreysadok4823 Před 11 měsíci +39

    Sawa ni Gari nzuri sana bro,umeikosea sana umeinyima haki yake kuifanya auto badala ya manual

  • @mathanikibuti6676
    @mathanikibuti6676 Před 11 měsíci +2

    Anae watambua au kuwa juwa vizuri #GTPtz #OTAKU MAP,plz like pale ❤❤

  • @BenedictMatete
    @BenedictMatete Před 11 měsíci +3

    Milard kijana wako wa arusha anajituma sana pamoja sana

  • @harrisonkinuthia3754
    @harrisonkinuthia3754 Před 11 měsíci +1

    Land rover defender best 4x4 off-road machine in history. Manufactured since 1948 till now.

  • @isacklukinda6054
    @isacklukinda6054 Před 11 měsíci +11

    Tatizo jamaa sifa zinazidi kuliko maelezo ya kawaida, mhaya nini huyu mwamba.

  • @jumalihumbo5314
    @jumalihumbo5314 Před 11 měsíci +3

    One day yes ntamilik land rover km ii😊❤

  • @johanesnixon5473
    @johanesnixon5473 Před 11 měsíci +5

    Ange tuwekea after and before

  • @bagengift3488
    @bagengift3488 Před 11 měsíci +3

    Leo interview yenu sijaelewa kabisa🤌

  • @geofreysadok4823
    @geofreysadok4823 Před 11 měsíci +1

    Kigoma😮 aaah kumbe familia

  • @juliuskivuyo5271
    @juliuskivuyo5271 Před 10 měsíci

    Kazi nzuri kwake mwamba ila bhana kuna makosa sana hapo Mengi moja kujieleza tatizo pili camera man akapimwe mkojo bado sana

  • @MusaMollely
    @MusaMollely Před 10 měsíci

    Ongera sana brother

  • @gastonamnon7005
    @gastonamnon7005 Před 11 měsíci +2

    GARI KWA NDANI HATUJAIONA VZR KWA NDANI ...CAMERA MAN UNACHEKA CHEKA TUU KAMA KUKU UMESAHAU KAZ YAKO

  • @M_tika
    @M_tika Před 11 měsíci +2

    Kwani ni taarifa ya habari? Camera zungusha kwenye gari ngani nje nyuma mbele pembeni tuone hizo unique features 😰

  • @user-go5wb2pi2i
    @user-go5wb2pi2i Před 10 měsíci

    ❤am coming kupanda

  • @deogratiasshija5897
    @deogratiasshija5897 Před 10 měsíci

    Guud...

  • @thebushguy5774
    @thebushguy5774 Před 11 měsíci +1

    Ingekua nyeusi ingekua unyma sanaa

  • @ahmedadan2177
    @ahmedadan2177 Před 9 měsíci

    Too much unnecessary talks,
    Well built.

  • @georgevalilanga7412
    @georgevalilanga7412 Před 11 měsíci +2

    Mwanga majenga una wafahamu wakina gazi Buti

  • @kilimanjarobrothersclimbin7520
    @kilimanjarobrothersclimbin7520 Před 11 měsíci +1

    Kidogo ameguzia kuwa Gari in Taa zenye mwanga mkali, sijaelewa ni za nini tena barabarani au ni kwa ajili ya night game drive porini?

  • @jamespk1154
    @jamespk1154 Před 11 měsíci +4

    hatari sana hiyo mashine

  • @harrisonkinuthia3754
    @harrisonkinuthia3754 Před 11 měsíci +6

    Land rover defenders are more powerful than land cruisers in offroading and tug of war!!🏋️🏋️💪💪
    MACHINE POWER V8!!!💪💪💪

  • @daluckyFinancialServices
    @daluckyFinancialServices Před 11 měsíci +1

    Dadekiii engine 4.0 😢😢😢 inapepeeusha hiyo gari

  • @vandelinaugust4372
    @vandelinaugust4372 Před 9 měsíci

    Uyu cameraman alkua bang uyu

  • @michaelkessy5740
    @michaelkessy5740 Před 11 měsíci +5

    Tanzania bado kwa maendeleo.
    Dubai ni nchi wanapost vitu ambavyo kila duniani akisikia ana vutiwa na Dubai.
    Hasa, Habari kama hizi ni local sana, Atutakuwa kimataifa.
    #HonMichaelDeusdedityKessy.

  • @brianngowi4474
    @brianngowi4474 Před 10 měsíci

    Ulie andaa hii umezingua Ulipaswa umshike maic yeye ndio akuonyeshe hiki ni hiki na kile ni kile cameraman naww miyayusho

  • @idreamfoto
    @idreamfoto Před 11 měsíci

    Jamaa Anamaritingo Anajisifia Tu Badala Ya Kutuonyesha Hizo Vitu Anavyovosifia

  • @jumakassim5351
    @jumakassim5351 Před 8 měsíci

    Mzee anapenda tv😂😂

  • @nasibusaid4161
    @nasibusaid4161 Před 11 měsíci

    Amesema kibachoendelea ndani ya cabin na nyuma ni same same na AC nyuma inafika?

  • @user-ip3ey7xw8b
    @user-ip3ey7xw8b Před 11 měsíci +1

    Ni kweli,,,habari karibu 75% ni Arusha tu,,,ikizidi ni Moshi,,,kwingineko hakuna habari?????

  • @gasparmpoma3860
    @gasparmpoma3860 Před 11 měsíci +3

    Kila siku habari za Arusha tu daah millard unayumba sana mikoa mingine huna reporters?

  • @teachingtruthmission2140
    @teachingtruthmission2140 Před 11 měsíci +1

    Baaadae mtaona hapo awali

  • @elinamilyatuu7337
    @elinamilyatuu7337 Před 10 měsíci

    Gari ni kali sana iyo

  • @freedom-ui2et
    @freedom-ui2et Před 11 měsíci +1

    aliyenyuma ya camera ni hopeless kabisa. milard kama huyu cameraman anakudai mlipe au kama vipi mpge chini utafute mwingine.

  • @nikodemumakibonya378
    @nikodemumakibonya378 Před 11 měsíci

    Eti baadae mtaona hapo awali!!r chuga automatcally wanazaliwa wakiwa tayar bange kichwani

  • @collinsstanley6126
    @collinsstanley6126 Před 9 měsíci

    Camera man jau sana

  • @user-bl3rq8fj9u
    @user-bl3rq8fj9u Před 10 měsíci +1

    Mara v8 mara ranger rova😮😢

  • @EnesforoSama-my1om
    @EnesforoSama-my1om Před 11 měsíci

    Millard Millard mludishie Mzigo wake Message not Yet kama umekula Pesa yake nakwambia hiyo ni champion😂😂😂😂

  • @waziriomar1414
    @waziriomar1414 Před 11 měsíci +2

    Ungevua hiyo gearbox uweke manual mkuu

    • @pcthemaster9096
      @pcthemaster9096 Před 10 měsíci

      Labda awezi kuendesha manual ndio maana. Coz chuma kama hizi mm zote naona ni manual. Sasa ikiwa auto na kwa jinsi ilivyo ameinyima heshima yake

  • @christopherwami2006
    @christopherwami2006 Před 11 měsíci +6

    Sio land Rover tena kama haina engine ya land Rover

  • @barakamshiu7146
    @barakamshiu7146 Před 11 měsíci +2

    Defender nazionaga tyu arushaa ila mikoanii duh cjui kwann hata

    • @Zanga93
      @Zanga93 Před 11 měsíci

      Arusha utalii huku mikoani ni chache mno nyingi ni zile za zamani

  • @geofreysadok4823
    @geofreysadok4823 Před 11 měsíci +1

    TDi

  • @liberatusjackson5045
    @liberatusjackson5045 Před 11 měsíci +2

    Tereza nipopobawa

  • @benjaminsanare-ug6ge
    @benjaminsanare-ug6ge Před 11 měsíci

    Cameraman kazingua aisee

  • @masoudalriyamy6298
    @masoudalriyamy6298 Před 9 měsíci

    SHIDA YOTE YANINI UKASUMBUKE KUUNDA MAGAR MAGAR YAPO ZAMA ZA KUUNDA MAGARI ZIMEISHA USUMBUFU WANINI

  • @geofreysadok4823
    @geofreysadok4823 Před 11 měsíci +1

    Defender

  • @karimsolyambingu6335
    @karimsolyambingu6335 Před 10 měsíci

    4:50 Baadae mtaona hapo awali 🤔

  • @scholahsimon-om1gt
    @scholahsimon-om1gt Před 11 měsíci

    One day land rover

  • @bagengift3488
    @bagengift3488 Před 11 měsíci

    Yaa yaaa yaaaa yaaa😂😂😂

  • @adamsafari7657
    @adamsafari7657 Před 11 měsíci +1

    baadae mtaona hapo awli

  • @geofreysadok4823
    @geofreysadok4823 Před 11 měsíci +1

    110

  • @maddog6123
    @maddog6123 Před 10 měsíci

    Hakuna mtu hapa

  • @davidpaschal778
    @davidpaschal778 Před 11 měsíci

    Ajui kuelezea

  • @mugishamajeba9628
    @mugishamajeba9628 Před 11 měsíci +1

    Sas mutatuerimisha nin apo

  • @robinsonmaleo37
    @robinsonmaleo37 Před 11 měsíci

    Ni wangapi hawajaona tv

  • @reticiakaria615
    @reticiakaria615 Před 10 měsíci

    Kuongea hujui unakera aisee

  • @LucksonEdwardmgallah-tf5nc
    @LucksonEdwardmgallah-tf5nc Před 10 měsíci

    Anayerekod nae ganzi

  • @shadrackkassale2968
    @shadrackkassale2968 Před 9 měsíci

    Arusha kama mbele

  • @brightontheogenes5093
    @brightontheogenes5093 Před 8 měsíci

    jamaa amejielezea mwenyewee hyo million 40 haijaonesha imepatikana vipii cameraa alilewa nini mbonaa content ya hovyoo hiviii

  • @ibrahkartel9778
    @ibrahkartel9778 Před 10 měsíci

    Mzee ni hatari

  • @Alkibosstz
    @Alkibosstz Před 11 měsíci

    sielewi mimi aki but ongera basi 😢😅

  • @babalad983
    @babalad983 Před 11 měsíci

    hatujaiona hiyo gali camera man na edita wabovu ni kama mnampa promo jamaa ila hatujaona chochote

  • @Alkibosstz
    @Alkibosstz Před 11 měsíci

    sasa wewe siuliamuwa wewe sasa ikawa gari powa wacha kutusubuwa bwana duuu😂😂😂😂 mbona rangi ni mutu anaweka

  • @kiaphs6222
    @kiaphs6222 Před 11 měsíci

    SS MASTA UNATUONYESHA MTU BADALA TUONE HYO NDINGA ULITAKIWA UREVIEW HYO GAR TUIONE JAMAA ANATUELEZA TU BUT GAR ZUR

  • @erastomapunda1444
    @erastomapunda1444 Před 11 měsíci

    iyo gali ata uku zm ipo

  • @saidyfikirini9679
    @saidyfikirini9679 Před 10 měsíci

    😂😂😂hio gari mpe mtoto achezee ww ni mtu mzima unahitaji manual transmision bro

  • @jofreymata5343
    @jofreymata5343 Před 11 měsíci +3

    Mwamba kama dalali

  • @aminakasim1198
    @aminakasim1198 Před 11 měsíci

    Kumbee milioni450 unapataa gari

  • @josephnjella4919
    @josephnjella4919 Před 11 měsíci

    Ungete ngeneza Ka ma
    ulivyo ulivyo inunua

  • @edwardmkwelele
    @edwardmkwelele Před 11 měsíci

    una pesa lakini hujuwi kujielezea

  • @leahmgunda4154
    @leahmgunda4154 Před 9 měsíci

    Engine za v8 bei gani

  • @user-cd2pk7pg7j
    @user-cd2pk7pg7j Před 11 měsíci

    Unadaiwa shilingi laki 2 za kitanzania seat cover hukulipa

  • @daudiobedi5070
    @daudiobedi5070 Před 11 měsíci +1

    Apo awali tenaa

  • @user-rg5sg1xz8p
    @user-rg5sg1xz8p Před 11 měsíci

    Weka manual ww

  • @petronilamtei7470
    @petronilamtei7470 Před 11 měsíci +1

    unaongea sana mwamba

  • @goodluckkilala813
    @goodluckkilala813 Před 9 měsíci

    Uchafu uo

  • @shamsaazhar3473
    @shamsaazhar3473 Před 6 měsíci

    Ajatengeneza amecopy tuy huyu

  • @gasperjohnson3388
    @gasperjohnson3388 Před 10 měsíci

    Muongo huyu 😂

  • @elinamilyatuu7337
    @elinamilyatuu7337 Před 10 měsíci

    Cameraman shame on you

  • @abubakarizuberi7165
    @abubakarizuberi7165 Před 11 měsíci

    4:49 "baadae mtaona hapo awali"😅😅

  • @bobanthony1326
    @bobanthony1326 Před 10 měsíci

    what is this all about - worst report ever witnessed on ayo tv.

  • @hamissnjumba302
    @hamissnjumba302 Před 11 měsíci

    Kiswahili ulicho tumia ni kichache mno

  • @steveprosper4084
    @steveprosper4084 Před 9 měsíci

    Ujinga ni automatic transmission chuma hizi ni manual bwebwe zisizo za msingi

  • @robertphilip385
    @robertphilip385 Před 11 měsíci

    Hamna gari ya milioni 40 hapo tusidanganyane labda milio 8

  • @centlaz1678
    @centlaz1678 Před 11 měsíci

    Camera man MSENGE ww uko hopeles sana fuck

  • @abednego3876
    @abednego3876 Před 10 měsíci

    Cameraman ni 🚮🚮

  • @edgarelia3035
    @edgarelia3035 Před 10 měsíci

    Badae mtaona hapo awali😅

  • @masoudalriyamy6298
    @masoudalriyamy6298 Před 9 měsíci

    MIMI NAONA NI USHAMBA MTUPU