This man is highly talented, the main problem in this country doesn't recognize and support highly talented people like this man. Tunawezaje kuwa na nchi y aviwanda bila kuwawezesha watu kama kina abubakari wajenge viwanda na wavisimamie? Inchi inashindwaje kuwekeza hata bilioni 10 wawaite watu kama Abubakari halafu wajenge VETA kubwa ya mfano Tanzania itakayo toa mafunzo ya vitendo ya kutengeneza na kubuni magari, helcopter, pikipiki, vifaa vya umeme, ulizi, udereva n.k. I mean the National Technical College (VETA) which is TYPICAL PRACTICAL which can accommodate more than 500 students at once.
Ushauri,usiuze hata kwa pesa ipo maana atakayeinunua ataifanyia biashara hasa ya utalii na hakika atarudisha zaidi ya faida yako. Fanya hivii tafuta mawasiliano na watu wanaohusika na watalii... Hakika utapata zaidi ussahau Mungu.
DA, HONGERA SANA MTU WA MUNGU. kwenye vitabu vitakatifu hayo maarifa walipewa watu wachache sana kutengeneza vitu visivyowezekana, kwa mfano NUHU alipewa maono ya kitengeneza safina nchi kavu. Ndio sawa na huyu mzee kupewa maono ya kutengeneza nyumba inayotembea. HAKIKA HIKI NI KIPAJI AU KARAMA PEKEE KUTOKA KWA MWENYEZI MUNGU.
Jamani huyu mtu apewe hongera yake tuacheni choyo hata km ulaya zipo gari km hii nyingi lkn kwa Tanzania hatujazoea kuona mtu akitengeneza, kwa hiyo apewe hongera yake amejitahidi.
Mashaallah. My advice dont sell it. Its beautiful. Rent it. Personally i will rent it when i come to zanzibar. I love it. You got talent brother. Proud of you
Mashallah hichi kitu nimekiona kwenye mitandao uzunguni nimependa sn hyu brother kukifanya. ila mntakiwa watanzania musivunje tamaa mtu km huyu niwakuzibitiwa nakumpa support ili serekali kumundalia office malumu,👈lkn Leo hii Tanzania haijitasimin km ubunifu ndio unawaweza kkuza uchumi wetu kwadumisha viwanda vikubwa leo watu km hao mukiwazarau munakuta munasafir kwakwenda kunnua gari nyumba nchi zawatu Tena kwacost kubwa,👈 kweli nyiny hamujitasimin mamuzi yen yakkurupka tu bila yakujiengeza.👋
Sasa hilo ndio lilo kuwepo maana apo kuna Ubaguzi uliota Magugu ndio maana tumekandamizwa sana kiuchumi kwa Wananchi na kupeana nafasi wenyewe wenye utawala wakati watu wa Vipaji wapo wengi sana Mashaa Allah Zanzibar💯😍 👍
Me love what i see na nliamin Tanzania hakunaga hivi vitu kumbe dah!!! Kuna vitu kama hivi we missed yaan he's mastermind an hii n gold as he say kwa Tanzania ain't no hustle dared to do what he did👏👏👏👏💪💪💪💪 classic and financial balance hakuna Kodi, bili ya maji wala umeme it's mafuta ya gari na location unayotaka lala😍🔥🔥🔥🔥💯
Natamani siku moja serikali iwaweke chini watu kawa huyu Atilist watano wafunguliwe chuo cha vipaji, naamini Tanzania itakuwa the Best country of the countries.
Broo kumbe zile disc unanunuwa dukani kwangu ilikuwa unafanyakazihii dah please broo Haroub unadisc moja ya ofa nafkiri ukiona comment yangu utanitambu..bonge moja laakili mawazo mubashara kabisa waaaaaaawo very amazing 👏 👏👏👌👌
Maashallah Tumevutiwa sana na Mr abuu na yupo tayari kupokea wanaotakakujifunza kwake ila mbona haikuwekwa wazi kuwa anapatkana znz sehemu gani wala nma ya kuwa na nawasiliano nae
Baba umenifurahisha sana hongera kwa ubunifuu huu. Utaongeza chachu kwenye sector ya utalii. Hongera mno ndugu.
This man is highly talented, the main problem in this country doesn't recognize and support highly talented people like this man. Tunawezaje kuwa na nchi y aviwanda bila kuwawezesha watu kama kina abubakari wajenge viwanda na wavisimamie? Inchi inashindwaje kuwekeza hata bilioni 10 wawaite watu kama Abubakari halafu wajenge VETA kubwa ya mfano Tanzania itakayo toa mafunzo ya vitendo ya kutengeneza na kubuni magari, helcopter, pikipiki, vifaa vya umeme, ulizi, udereva n.k. I mean the National Technical College (VETA) which is TYPICAL PRACTICAL which can accommodate more than 500 students at once.
'Loppo'oooo0'o
Ooo'o
Opopoooo'ooLoo'opo'ooo
Pooo9
Lo
Hongera sanaBwana Abuu. Allah akuzidishie ujuzi na akufungulie milango ya mafanikio zaidi. Zanzibar got talents.
Amiin yarabbil alamiin
Hongera sana abuu allah akufungulie zaidi
Amiin yarabb
Masha Allah! 😍 Proud of you uncle Abuu! 👏🏻
Wengi tulikua tunaamini haya mambo yanawezekana nchi za nje huko ila tunashukuru umetuheshimisha Tanzania Big up sana engineer
Kwa sababu ni gari, watu wataona kitu kipya. Ila kiufupii huyu ni fundi wa nyumba na mbunifu kiujumla.
Congratulations brother may Almighty GOD continue to give you more talents 🫂
Mtu kama huyo ni Mali sana kwenye inchi yetu sema sasa hatuga habari na ujuzi wetu wataaza kusaport wazungu tulivo maboya😔
Ndo watanzania tulivyo
Mungu asiache ujuz wako ukaishia chini, hongera sna Sana mi naamin utafka mbal
Aseee umetishaa🙌🙌🙌🙌🔥🔥🔥🔥🔥 utafikir nyumba ilojengwa ardhini
Mashallah, good job my brother
Masha Allah mungu akikupa kipaji ukitumie big up brother
Ushauri,usiuze hata kwa pesa ipo maana atakayeinunua ataifanyia biashara hasa ya utalii na hakika atarudisha zaidi ya faida yako. Fanya hivii tafuta mawasiliano na watu wanaohusika na watalii... Hakika utapata zaidi ussahau Mungu.
Ila pia yeye bado atakua hajapoteza ikiwa atakua bado anatengeza akiuza.. Akiuza hii ananunua gari nyengine na kutengeza na kuuza
DA, HONGERA SANA MTU WA MUNGU.
kwenye vitabu vitakatifu hayo maarifa walipewa watu wachache sana kutengeneza vitu visivyowezekana, kwa mfano NUHU alipewa maono ya kitengeneza safina nchi kavu.
Ndio sawa na huyu mzee kupewa maono ya kutengeneza nyumba inayotembea.
HAKIKA HIKI NI KIPAJI AU KARAMA PEKEE KUTOKA KWA MWENYEZI MUNGU.
Jamani huyu mtu apewe hongera yake tuacheni choyo hata km ulaya zipo gari km hii nyingi lkn kwa Tanzania hatujazoea kuona mtu akitengeneza, kwa hiyo apewe hongera yake amejitahidi.
Namuomba Mungu asikuchukue sasaiv maana unandoto nyingi za kuwasaidia watu wewe ni tunu yetu kwa hapa Zanzibar
Hili gari wazungu watapenda sana ku kodisha aisee aifanye iwe RENTAL MOBILE HOME kwa Zanzibar watalii wengi watapenda
Dah! Masha Allah Allah sw akujaalie mafanikio na utimize ndoto zako zote, hongera Sana broo
Huyu mtanzania amejaliwa talent kubwa na bidii kwa kweli ni wa mfano.
Mashaallah. My advice dont sell it. Its beautiful. Rent it. Personally i will rent it when i come to zanzibar. I love it. You got talent brother. Proud of you
Kwani Kuna ulazima wa kuzungumza kingeleza?
ata mie nimesema nitarent ishallah
@@yunusrnb5227 acha unafik,kama hujui tulia,, nonsense NKT
@@samuelokeyo8839 😂😂😂
@@shabbyofficial_ au sio😜😜😜
Kutoka ZenjiTaxi hadi nyumba inayotembea ! Hongera kaka kwa bidii yako na moyo wa kujaribu.
Watching from 254 ,,,,..mzee akona kipaji kweli
Waoooo! Ujuzi huu ni mzuri sana hongera kwako 🙏🙏🙏🙏
Chakupendeza ni ununifu wa nquvu and very clean,huwez amin km ni local,ni RV moja kali sana,
Biq up sana Abuu
👏
nimependa sana kazi yako na mawazo yako yako vizuri sana najua unamtazamo wa juu sana natamani sana tungeweza kuwasiliana na mimi
Honger kwa ubunifu brooo
I love tiny houses ideas uzur wake kunakuwa na free space nyingi kuliko bigger house keep it up
Mashallah hichi kitu nimekiona kwenye mitandao uzunguni nimependa sn hyu brother kukifanya. ila mntakiwa watanzania musivunje tamaa mtu km huyu niwakuzibitiwa nakumpa support ili serekali kumundalia office malumu,👈lkn Leo hii Tanzania haijitasimin km ubunifu ndio unawaweza kkuza uchumi wetu kwadumisha viwanda vikubwa leo watu km hao mukiwazarau munakuta munasafir kwakwenda kunnua gari nyumba nchi zawatu Tena kwacost kubwa,👈 kweli nyiny hamujitasimin mamuzi yen yakkurupka tu bila yakujiengeza.👋
Sasa hilo ndio lilo kuwepo maana apo kuna Ubaguzi uliota Magugu ndio maana tumekandamizwa sana kiuchumi kwa Wananchi na kupeana nafasi wenyewe wenye utawala wakati watu wa Vipaji wapo wengi sana Mashaa Allah Zanzibar💯😍 👍
Yes wanaita tiny house
Tukumbuke kua kunajamaa alibuni vespa na ilikua nzuri sanaa nasijui kua ilipata usajili
Mashallah mungu akupe maisha malefu tuendele kuona mazuri inshallah
Hongera saana kwakazi nzurii mtuakihitajii inakuwajee
Masha Allah ni kipaji cha kuzaliwa na ni akili isio na mipaka ama kwel " MAARIFA YA MTU HAYATEGEMEANI NA DARASA ALILO"
Huyu mtu ni mbunifu sana hongera sana sana kwani umedesign kazi nzuri sana
MASHAALLAH
🇰🇪🇰🇪🇰🇪
aka bachuchu mombasa 001
🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Hongera sana Mungu akupe maono zaidi kazi yako ni nzuri saaaaana hongera mnoooo natamani kuona hilo gari nyumba from Mlandizi
Mashaallah Kaka ..umri twawil ,hongera Sana mungu azidi kukupa uelewa na ubunifu zaidi.
ZANZIBAAAAAAAAR TALENTED MAA SHA ALLAH
Safi sanaa hongera sna bro
Kiukweli nakupongeza sana kaka angu kazi nzr sana, Mungu azidi kukupa maarifa makubwa zaidi🙌🙌🤜🤜
Alot of Appreciate to him talented man
Elimu ya kuzaliwa kabisa sio kila kitu, wazungu ata sisi tunaweza naomba serikali imshike mkono
Mashallah safi sana abuu good job
Mashaaaalllah allah akubarik broo safi sana
Hongera kwa ubunifu Mungu akuinue zaidi.
They can even call it AN ENTREPRENEURSHIP VILLAGE OR NATIONAL TECHNOLOGY CENTRE
Allah akufanyie wepesi kwa kila jambo.
Me love what i see na nliamin Tanzania hakunaga hivi vitu kumbe dah!!! Kuna vitu kama hivi we missed yaan he's mastermind an hii n gold as he say kwa Tanzania ain't no hustle dared to do what he did👏👏👏👏💪💪💪💪 classic and financial balance hakuna Kodi, bili ya maji wala umeme it's mafuta ya gari na location unayotaka lala😍🔥🔥🔥🔥💯
Good idea for a wonderful time to come visit us in life enjoy 🌎 is very impressive for you to be able and to have you as a great opportunity
Hongera sana boss wangu abuu
Aweke na angle cameras za nnje na kwa dereva Ili watu watakaokuwa ndani waweze kujua kinachoendelea nnje bila ya kutumia simu kuwasiliana
Wazo Zuri sana hilo
Thanks mr abuu,nimependa sana kazi yako boss wangu ,keep it up
Maa Shaa Allah
Hongera sana Kaka Mungu Akubariki
Daaah very fantastic man may Allah give u more energy to do more than this 😍
❤❤ hongera broo
Mashaallah katisha sana..wenzetu huku arabuni wana hayo magari
Upp vzr sana my frend
Good stuff I’m from Australia
Hongera sana kaka M/Mungu akufikishe unapo hitaji 🌹🤗
Courage sana maître mungu azidi kukuonza na kukupa maono yaku vumbuza zaidi yaiyo uliyo nacho mukuu🙏🙏🙏
Natamani siku moja serikali iwaweke chini watu kawa huyu Atilist watano wafunguliwe chuo cha vipaji, naamini Tanzania itakuwa the Best country of the countries.
Broo kumbe zile disc unanunuwa dukani kwangu ilikuwa unafanyakazihii dah please broo Haroub unadisc moja ya ofa nafkiri ukiona comment yangu utanitambu..bonge moja laakili mawazo mubashara kabisa waaaaaaawo very amazing 👏 👏👏👌👌
ubarikiwe
@@zuleikhakhamis3303 asant dada
Mashaallah
@@princessmamy6057 baaraka Allah fiq
Abuu Shala Allah akuzidishie uko vizuri sana hongera sana
Hongera sana kiongozi Naomba MUNGU azidi kukulinda na kukuongezea maalifa zaidi
Mashallah sasa mr Abuu njoo unipose tuishi zetu tu😃😃😃
Very creative aisee huyu jamaa ana Akili mnoo
Hongera sana' haya wenyepesa zenu wakina Diamond,kiba,harmonize Mumuunge mkono kwa kununua magari hayo
Congratulations 👌
Safi sana pongezi kwako kaka
Umetisha sana baba angu
Congratulations Mr. that's a dream of mine for for very long time I hope one day am going to fulfill it too..God bless
Hongera kazi nzuri
Very talented and creative
Mashaallah Allah akupe afya njema 🥰🥰🥰
Big up bro
Hongera sana Mungu akutunze jamn serikali mchukueni atengeneze mengi utalii utazid sana
Maashallah
Tumevutiwa sana na Mr abuu na yupo tayari kupokea wanaotakakujifunza kwake ila mbona haikuwekwa wazi kuwa anapatkana znz sehemu gani wala nma ya kuwa na nawasiliano nae
Hongera sana mwamba naona hapo omar na juma wameikimbia camera
Kama umewaona waliokimbia camera gonga like
Kaka utajiri umeushika. Biashara hiyo kaka . hongera sana
Masha ALLAH, Mungu akuzidishiye
Wish niwepo hapo Zanzibar...Ila nko Tanzania Arusha mjin 💥💥
Hongera sana. Namshauri tu aongeze tairi za nyuma angalau ziwe mbili mbili
Hta mim nimeliona ili
Sawa sawa ni kweli kabisa kiukweli Wazanzibar tupo vizuri bc tunakandamizwa vipaji vyetu kwa Mfumo wa Utawala mbaya tulionao!
Ongera sana kwa kazi nzuri nime sikia una sema kama una ujuzi mwingi kwa nini usi andiki kitabu tu ila watakao kuja nyuma weweze kujifunza
MashaaAllah maashaaAllah Allah akutangulie ufike mbali....
Daha kazi nzur sana naitaji Kuna mwanafunzi wako na mimi
Khaa naic iko pw bro we ni njiniaz w Tanzania tunatak vipaji Kam nyie kwenye inchiet n sio wannje mashaalah
MaashaaAllah vipaji km hivi ni vya kushughulikiwa....but serikali haitoi support yyt
hongera kaka ni shilingi ngapi nataka moja tafadhali
Maa shaa Allah Allah awazidishie atuhifadh husda za kila aina
Clever man 🔥🔥🔥
Mungu akubariki mzee wewe ni mkarimu sana
jamaa amejitahidi sana 🤝🤝🙏🙏
Hili gari linashawishi uzinzi ila hongera kwake Mr.Aboo🤣🤣🤣🤣
Hayo ndio unayo yapenda
Mashllallah zanzibar kuna vipaji
Mungu akubariki sana hivyo ndivyo wenzetu wanavyo tupiga magoli ya visigino
Nice nikirudi tz nitakuja kukodisha
Jamaa nomaa sana nimeikubal kazi
Wooooowwww soooo nice 😊
Wow,,,,hongera sana sana
Hongera. Sana. Mungu. Akuzishie. Apatikana. Wapi
Hongera sana kaka kweli hii kipaji
Mashaallah more talent
Hongera broo,uckate tamaa utafanikiwa tu