GARI NYUMBA LILILO NA SEBULE, JIKO NA CHOO CHA NDANI ZANZIBAR

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 17. 03. 2022

Komentáře • 527

  • @godlistenminja3574
    @godlistenminja3574 Před 2 lety +18

    Baba umenifurahisha sana hongera kwa ubunifuu huu. Utaongeza chachu kwenye sector ya utalii. Hongera mno ndugu.

  • @williammsilu8617
    @williammsilu8617 Před 2 lety +64

    This man is highly talented, the main problem in this country doesn't recognize and support highly talented people like this man. Tunawezaje kuwa na nchi y aviwanda bila kuwawezesha watu kama kina abubakari wajenge viwanda na wavisimamie? Inchi inashindwaje kuwekeza hata bilioni 10 wawaite watu kama Abubakari halafu wajenge VETA kubwa ya mfano Tanzania itakayo toa mafunzo ya vitendo ya kutengeneza na kubuni magari, helcopter, pikipiki, vifaa vya umeme, ulizi, udereva n.k. I mean the National Technical College (VETA) which is TYPICAL PRACTICAL which can accommodate more than 500 students at once.

  • @1964AliK
    @1964AliK Před 2 lety +29

    Hongera sanaBwana Abuu. Allah akuzidishie ujuzi na akufungulie milango ya mafanikio zaidi. Zanzibar got talents.

  • @muhammad_alhinai
    @muhammad_alhinai Před 2 lety +9

    Masha Allah! 😍 Proud of you uncle Abuu! 👏🏻

  • @cliffordmwangosi426
    @cliffordmwangosi426 Před 9 měsíci +3

    Wengi tulikua tunaamini haya mambo yanawezekana nchi za nje huko ila tunashukuru umetuheshimisha Tanzania Big up sana engineer

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 Před 2 lety +14

    Kwa sababu ni gari, watu wataona kitu kipya. Ila kiufupii huyu ni fundi wa nyumba na mbunifu kiujumla.

  • @alimambabazi3666
    @alimambabazi3666 Před 2 lety +14

    Congratulations brother may Almighty GOD continue to give you more talents 🫂

  • @nurudaud3993
    @nurudaud3993 Před 2 lety +30

    Mtu kama huyo ni Mali sana kwenye inchi yetu sema sasa hatuga habari na ujuzi wetu wataaza kusaport wazungu tulivo maboya😔

  • @vicentmlumba591
    @vicentmlumba591 Před 2 lety +1

    Aseee umetishaa🙌🙌🙌🙌🔥🔥🔥🔥🔥 utafikir nyumba ilojengwa ardhini

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 Před 2 lety +8

    Mashallah, good job my brother

  • @hassanmpemba5747
    @hassanmpemba5747 Před 2 lety +6

    Masha Allah mungu akikupa kipaji ukitumie big up brother

  • @sarafiamakilika9975
    @sarafiamakilika9975 Před 2 lety +4

    Ushauri,usiuze hata kwa pesa ipo maana atakayeinunua ataifanyia biashara hasa ya utalii na hakika atarudisha zaidi ya faida yako. Fanya hivii tafuta mawasiliano na watu wanaohusika na watalii... Hakika utapata zaidi ussahau Mungu.

    • @shabbyofficial_
      @shabbyofficial_ Před 2 lety

      Ila pia yeye bado atakua hajapoteza ikiwa atakua bado anatengeza akiuza.. Akiuza hii ananunua gari nyengine na kutengeza na kuuza

  • @mtumishidoublek1504
    @mtumishidoublek1504 Před 2 lety +4

    DA, HONGERA SANA MTU WA MUNGU.
    kwenye vitabu vitakatifu hayo maarifa walipewa watu wachache sana kutengeneza vitu visivyowezekana, kwa mfano NUHU alipewa maono ya kitengeneza safina nchi kavu.
    Ndio sawa na huyu mzee kupewa maono ya kutengeneza nyumba inayotembea.
    HAKIKA HIKI NI KIPAJI AU KARAMA PEKEE KUTOKA KWA MWENYEZI MUNGU.

  • @salmaseif6284
    @salmaseif6284 Před 2 lety +39

    Jamani huyu mtu apewe hongera yake tuacheni choyo hata km ulaya zipo gari km hii nyingi lkn kwa Tanzania hatujazoea kuona mtu akitengeneza, kwa hiyo apewe hongera yake amejitahidi.

  • @johnbernad3990
    @johnbernad3990 Před 2 lety +24

    Namuomba Mungu asikuchukue sasaiv maana unandoto nyingi za kuwasaidia watu wewe ni tunu yetu kwa hapa Zanzibar

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 Před 2 lety +7

    Hili gari wazungu watapenda sana ku kodisha aisee aifanye iwe RENTAL MOBILE HOME kwa Zanzibar watalii wengi watapenda

  • @fatumasaleh8048
    @fatumasaleh8048 Před 2 lety +5

    Dah! Masha Allah Allah sw akujaalie mafanikio na utimize ndoto zako zote, hongera Sana broo

  • @rhobinyabasi204
    @rhobinyabasi204 Před 2 lety +8

    Huyu mtanzania amejaliwa talent kubwa na bidii kwa kweli ni wa mfano.

  • @Queen-be1uf
    @Queen-be1uf Před 2 lety +30

    Mashaallah. My advice dont sell it. Its beautiful. Rent it. Personally i will rent it when i come to zanzibar. I love it. You got talent brother. Proud of you

  • @Asili
    @Asili Před 2 lety +6

    Kutoka ZenjiTaxi hadi nyumba inayotembea ! Hongera kaka kwa bidii yako na moyo wa kujaribu.

  • @isawmsafi5710
    @isawmsafi5710 Před 2 lety +4

    Watching from 254 ,,,,..mzee akona kipaji kweli

  • @hellenpaul9671
    @hellenpaul9671 Před 2 lety +3

    Waoooo! Ujuzi huu ni mzuri sana hongera kwako 🙏🙏🙏🙏

  • @mussakiziyzi408
    @mussakiziyzi408 Před 2 lety +1

    Chakupendeza ni ununifu wa nquvu and very clean,huwez amin km ni local,ni RV moja kali sana,
    Biq up sana Abuu
    👏

  • @Valentinef-cj9tn
    @Valentinef-cj9tn Před 2 měsíci

    nimependa sana kazi yako na mawazo yako yako vizuri sana najua unamtazamo wa juu sana natamani sana tungeweza kuwasiliana na mimi

  • @annastevensteven9515
    @annastevensteven9515 Před 2 lety +3

    Honger kwa ubunifu brooo

  • @dianangailo5468
    @dianangailo5468 Před 2 lety +2

    I love tiny houses ideas uzur wake kunakuwa na free space nyingi kuliko bigger house keep it up

  • @mufidaabdul5387
    @mufidaabdul5387 Před 2 lety +13

    Mashallah hichi kitu nimekiona kwenye mitandao uzunguni nimependa sn hyu brother kukifanya. ila mntakiwa watanzania musivunje tamaa mtu km huyu niwakuzibitiwa nakumpa support ili serekali kumundalia office malumu,👈lkn Leo hii Tanzania haijitasimin km ubunifu ndio unawaweza kkuza uchumi wetu kwadumisha viwanda vikubwa leo watu km hao mukiwazarau munakuta munasafir kwakwenda kunnua gari nyumba nchi zawatu Tena kwacost kubwa,👈 kweli nyiny hamujitasimin mamuzi yen yakkurupka tu bila yakujiengeza.👋

    • @jaysullman3697
      @jaysullman3697 Před 2 lety

      Sasa hilo ndio lilo kuwepo maana apo kuna Ubaguzi uliota Magugu ndio maana tumekandamizwa sana kiuchumi kwa Wananchi na kupeana nafasi wenyewe wenye utawala wakati watu wa Vipaji wapo wengi sana Mashaa Allah Zanzibar💯😍 👍

    • @newahomwashiuya8858
      @newahomwashiuya8858 Před 2 lety

      Yes wanaita tiny house

    • @alimuhamed1830
      @alimuhamed1830 Před 2 lety

      Tukumbuke kua kunajamaa alibuni vespa na ilikua nzuri sanaa nasijui kua ilipata usajili

  • @yusrakhaidally345
    @yusrakhaidally345 Před 2 lety +5

    Mashallah mungu akupe maisha malefu tuendele kuona mazuri inshallah

  • @graveengrave2936
    @graveengrave2936 Před 2 lety +1

    Hongera saana kwakazi nzurii mtuakihitajii inakuwajee

  • @hajjmohd3602
    @hajjmohd3602 Před 2 lety +1

    Masha Allah ni kipaji cha kuzaliwa na ni akili isio na mipaka ama kwel " MAARIFA YA MTU HAYATEGEMEANI NA DARASA ALILO"

  • @edwinalexander1170
    @edwinalexander1170 Před rokem +1

    Huyu mtu ni mbunifu sana hongera sana sana kwani umedesign kazi nzuri sana

  • @khamisshee5131
    @khamisshee5131 Před 2 lety +1

    MASHAALLAH
    🇰🇪🇰🇪🇰🇪
    aka bachuchu mombasa 001
    🇰🇪🇰🇪🇰🇪

  • @sebonikegobi6244
    @sebonikegobi6244 Před 2 lety +1

    Hongera sana Mungu akupe maono zaidi kazi yako ni nzuri saaaaana hongera mnoooo natamani kuona hilo gari nyumba from Mlandizi

  • @fatmabhai2812
    @fatmabhai2812 Před 2 lety

    Mashaallah Kaka ..umri twawil ,hongera Sana mungu azidi kukupa uelewa na ubunifu zaidi.

  • @binloufy454
    @binloufy454 Před 2 lety +3

    ZANZIBAAAAAAAAR TALENTED MAA SHA ALLAH

  • @abrahamdismas1580
    @abrahamdismas1580 Před 2 lety +2

    Safi sanaa hongera sna bro

  • @madammesatalks6913
    @madammesatalks6913 Před 2 lety +1

    Kiukweli nakupongeza sana kaka angu kazi nzr sana, Mungu azidi kukupa maarifa makubwa zaidi🙌🙌🤜🤜

  • @malikshafii2968
    @malikshafii2968 Před 2 lety +6

    Alot of Appreciate to him talented man

  • @omarikakozi3363
    @omarikakozi3363 Před 2 lety +5

    Elimu ya kuzaliwa kabisa sio kila kitu, wazungu ata sisi tunaweza naomba serikali imshike mkono

  • @manallayusuf4951
    @manallayusuf4951 Před 2 lety

    Mashallah safi sana abuu good job

  • @auroxenterprises8003
    @auroxenterprises8003 Před 2 lety +1

    Mashaaaalllah allah akubarik broo safi sana

  • @mecksaloon81
    @mecksaloon81 Před 2 lety +3

    Hongera kwa ubunifu Mungu akuinue zaidi.

  • @williammsilu8617
    @williammsilu8617 Před 2 lety +11

    They can even call it AN ENTREPRENEURSHIP VILLAGE OR NATIONAL TECHNOLOGY CENTRE

  • @saidwayawaya5356
    @saidwayawaya5356 Před 2 lety +6

    Allah akufanyie wepesi kwa kila jambo.

  • @munnamattaka3220
    @munnamattaka3220 Před 2 lety

    Me love what i see na nliamin Tanzania hakunaga hivi vitu kumbe dah!!! Kuna vitu kama hivi we missed yaan he's mastermind an hii n gold as he say kwa Tanzania ain't no hustle dared to do what he did👏👏👏👏💪💪💪💪 classic and financial balance hakuna Kodi, bili ya maji wala umeme it's mafuta ya gari na location unayotaka lala😍🔥🔥🔥🔥💯

  • @abdallahlugendo3221
    @abdallahlugendo3221 Před 2 lety +6

    Good idea for a wonderful time to come visit us in life enjoy 🌎 is very impressive for you to be able and to have you as a great opportunity

  • @rehemaabdallah3712
    @rehemaabdallah3712 Před 2 lety +2

    Hongera sana boss wangu abuu

  • @mrjohn4446
    @mrjohn4446 Před 2 lety +7

    Aweke na angle cameras za nnje na kwa dereva Ili watu watakaokuwa ndani waweze kujua kinachoendelea nnje bila ya kutumia simu kuwasiliana

  • @abdulwahababdulkadir9965

    Thanks mr abuu,nimependa sana kazi yako boss wangu ,keep it up

  • @khayraatabdool2286
    @khayraatabdool2286 Před 2 lety

    Maa Shaa Allah
    Hongera sana Kaka Mungu Akubariki

  • @sophiaabdallah7821
    @sophiaabdallah7821 Před 2 lety +2

    Daaah very fantastic man may Allah give u more energy to do more than this 😍

  • @malikzafarani172
    @malikzafarani172 Před 2 lety +1

    Mashaallah katisha sana..wenzetu huku arabuni wana hayo magari

  • @ramadhanimrungu5806
    @ramadhanimrungu5806 Před 2 lety

    Upp vzr sana my frend

  • @Kevinhb_
    @Kevinhb_ Před 2 lety +1

    Good stuff I’m from Australia

  • @lovenoor988
    @lovenoor988 Před 2 lety

    Hongera sana kaka M/Mungu akufikishe unapo hitaji 🌹🤗

  • @buyondeboston5571
    @buyondeboston5571 Před 2 lety

    Courage sana maître mungu azidi kukuonza na kukupa maono yaku vumbuza zaidi yaiyo uliyo nacho mukuu🙏🙏🙏

  • @mtumishidoublek1504
    @mtumishidoublek1504 Před 2 lety +3

    Natamani siku moja serikali iwaweke chini watu kawa huyu Atilist watano wafunguliwe chuo cha vipaji, naamini Tanzania itakuwa the Best country of the countries.

  • @najashrk3738
    @najashrk3738 Před 2 lety +9

    Broo kumbe zile disc unanunuwa dukani kwangu ilikuwa unafanyakazihii dah please broo Haroub unadisc moja ya ofa nafkiri ukiona comment yangu utanitambu..bonge moja laakili mawazo mubashara kabisa waaaaaaawo very amazing 👏 👏👏👌👌

  • @domowalidomo4922
    @domowalidomo4922 Před 2 lety

    Abuu Shala Allah akuzidishie uko vizuri sana hongera sana

  • @shijamahona4491
    @shijamahona4491 Před 2 lety

    Hongera sana kiongozi Naomba MUNGU azidi kukulinda na kukuongezea maalifa zaidi

  • @aminaaman9439
    @aminaaman9439 Před 2 lety

    Mashallah sasa mr Abuu njoo unipose tuishi zetu tu😃😃😃

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 Před 2 lety

    Very creative aisee huyu jamaa ana Akili mnoo

  • @priscajohn6090
    @priscajohn6090 Před 2 lety

    Hongera sana' haya wenyepesa zenu wakina Diamond,kiba,harmonize Mumuunge mkono kwa kununua magari hayo

  • @nassortwahir5089
    @nassortwahir5089 Před 2 lety +1

    Congratulations 👌

  • @kennyrogers4734
    @kennyrogers4734 Před 2 lety +1

    Safi sana pongezi kwako kaka

  • @user-gs1xl8nu1s
    @user-gs1xl8nu1s Před 2 měsíci

    Umetisha sana baba angu

  • @worldbeautyfitness
    @worldbeautyfitness Před 2 lety +1

    Congratulations Mr. that's a dream of mine for for very long time I hope one day am going to fulfill it too..God bless

  • @shamsakarimu6276
    @shamsakarimu6276 Před 2 lety

    Hongera kazi nzuri

  • @maryamkharusy4518
    @maryamkharusy4518 Před 2 lety +1

    Very talented and creative

  • @OmanOman-ky2oo
    @OmanOman-ky2oo Před 2 lety +2

    Mashaallah Allah akupe afya njema 🥰🥰🥰

  • @jebellwallace3509
    @jebellwallace3509 Před 2 lety

    Big up bro

  • @godfreygeraz9556
    @godfreygeraz9556 Před 2 lety

    Hongera sana Mungu akutunze jamn serikali mchukueni atengeneze mengi utalii utazid sana

  • @nassirahmed2275
    @nassirahmed2275 Před 2 lety +1

    Maashallah
    Tumevutiwa sana na Mr abuu na yupo tayari kupokea wanaotakakujifunza kwake ila mbona haikuwekwa wazi kuwa anapatkana znz sehemu gani wala nma ya kuwa na nawasiliano nae

  • @kinglee6777
    @kinglee6777 Před 3 měsíci

    Hongera sana mwamba naona hapo omar na juma wameikimbia camera

  • @jayloo4699
    @jayloo4699 Před 2 lety +1

    Kama umewaona waliokimbia camera gonga like

  • @kisalaTV
    @kisalaTV Před 2 lety

    Kaka utajiri umeushika. Biashara hiyo kaka . hongera sana

  • @johannahakim8470
    @johannahakim8470 Před 2 lety

    Masha ALLAH, Mungu akuzidishiye

  • @venturebown6983
    @venturebown6983 Před 2 lety +1

    Wish niwepo hapo Zanzibar...Ila nko Tanzania Arusha mjin 💥💥

  • @John-vn4pp
    @John-vn4pp Před 2 lety +3

    Hongera sana. Namshauri tu aongeze tairi za nyuma angalau ziwe mbili mbili

    • @abrahamdismas1580
      @abrahamdismas1580 Před 2 lety

      Hta mim nimeliona ili

    • @jaysullman3697
      @jaysullman3697 Před 2 lety

      Sawa sawa ni kweli kabisa kiukweli Wazanzibar tupo vizuri bc tunakandamizwa vipaji vyetu kwa Mfumo wa Utawala mbaya tulionao!

  • @afandechanel1507
    @afandechanel1507 Před 2 lety +1

    Ongera sana kwa kazi nzuri nime sikia una sema kama una ujuzi mwingi kwa nini usi andiki kitabu tu ila watakao kuja nyuma weweze kujifunza

  • @hannansdeliciousfood4261

    MashaaAllah maashaaAllah Allah akutangulie ufike mbali....

  • @makamemassoud3143
    @makamemassoud3143 Před rokem

    Daha kazi nzur sana naitaji Kuna mwanafunzi wako na mimi

  • @nasralukanga1712
    @nasralukanga1712 Před 2 lety

    Khaa naic iko pw bro we ni njiniaz w Tanzania tunatak vipaji Kam nyie kwenye inchiet n sio wannje mashaalah

  • @hannansdeliciousfood4261

    MaashaaAllah vipaji km hivi ni vya kushughulikiwa....but serikali haitoi support yyt

  • @husnaali7708
    @husnaali7708 Před 2 lety

    hongera kaka ni shilingi ngapi nataka moja tafadhali

  • @mwakahassan7685
    @mwakahassan7685 Před 2 lety

    Maa shaa Allah Allah awazidishie atuhifadh husda za kila aina

  • @Judithmuniss
    @Judithmuniss Před 2 lety

    Clever man 🔥🔥🔥

  • @Frankmwesiga
    @Frankmwesiga Před 2 lety +2

    Mungu akubariki mzee wewe ni mkarimu sana

  • @lidriclidric4247
    @lidriclidric4247 Před 2 lety +3

    jamaa amejitahidi sana 🤝🤝🙏🙏

  • @mamlee7983
    @mamlee7983 Před 2 lety +1

    Hili gari linashawishi uzinzi ila hongera kwake Mr.Aboo🤣🤣🤣🤣

  • @faizanassor9400
    @faizanassor9400 Před 2 lety +2

    Mashllallah zanzibar kuna vipaji

  • @Mpakauseme
    @Mpakauseme Před 2 lety +2

    Mungu akubariki sana hivyo ndivyo wenzetu wanavyo tupiga magoli ya visigino

  • @lisajonsony9246
    @lisajonsony9246 Před 2 lety +1

    Nice nikirudi tz nitakuja kukodisha

  • @mweusiasili8345
    @mweusiasili8345 Před 2 lety

    Jamaa nomaa sana nimeikubal kazi

  • @bigirimanashantal1375
    @bigirimanashantal1375 Před 2 lety

    Wooooowwww soooo nice 😊

  • @lailawaso2421
    @lailawaso2421 Před 2 lety

    Wow,,,,hongera sana sana

  • @fatmamasoud1398
    @fatmamasoud1398 Před 2 lety

    Hongera. Sana. Mungu. Akuzishie. Apatikana. Wapi

  • @rubensaitoti6839
    @rubensaitoti6839 Před 2 lety

    Hongera sana kaka kweli hii kipaji

  • @khamishumba6511
    @khamishumba6511 Před 2 lety

    Mashaallah more talent

  • @malimamalima3137
    @malimamalima3137 Před 2 lety

    Hongera broo,uckate tamaa utafanikiwa tu