GARI LA AJABU LILIVYOWASHANGAZA WATU ARUSHA, JAMAA KAINUNUA MILIONI 68
Vložit
- čas přidán 7. 07. 2021
- Muonekano wa gari hili umewashangaza watu wengi kutokana na muonekano wake lakini mmiliki anasema gari hiyo ameinunua million 68 nchini japani alipokwenda kusoma na ina kazi mbili ikiwemo kwenda kutembelea sehemu mbalimbali ku-enjoy lakini kazi yake nyingine inabeba maiti na inaweza kumhifadhi kwa zaidi ya siku ishirini
Jaman , gar ya maiti niende nayo pick niki tena. Ambao hawakubalian na ilo Gonga Like.
Hii ni special kwa maiti aseee na sio vitu vingine looh
Kabiiiiiiiiisa
Ulo gar mmh picnic hupati watu aseee
Dhuu Mungu tusaidie, gari tu yenyewe inaogopesha sana
Aiseee gari ya Maiti bwana itaendaje picnic, sibora. Itafanya vizuri sana kwa kubeba maiti,tena niyakifahari.hongera mzee.
Hakunanshida hapo maana hata zakawaida zinabeba ila wew ndo haujui ila na haufuatilii jamaa yuko wazi sana na anatangaza vyema biashara zake watu wenye mtazamo kama mim tutaendanalo picnic na tutabebea maiti pia
Hata mimi niliwahi kuliona mitaa ya KCMC for sure linatisha likiwa katika maduka ya majeneza kama ni kwa ajili ya kubebea maiti hapo sawa ila sio picnic
Asee niliiona mosh sanya...duuuuh! noma sana
Hongereni Ayoo habari za uwakika kabisa
Ukiona gari hii moyo lazima ustuke ndio ujue kuzimu kunatusubiri nambingu zinatungojea
😅😅😅😅
Hahahaaa
🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Kweli kabisa
Kweli kabisa
Gari limeniogopesha na mwenye gari nae hadi nimemuogopa, Humo sipendi heri nipande baiskeli au nitembee kwa miguu 😎😎😒
Ata mm kaniogopesha
Maisha yako kasi sana sahz iko Mbeya.
Hakuna picnic hapo kudadeki, hiyo ni gari ya kubebea maiti, hayo mengine unalazimisha
😂😂
fact
😁😂😂😂
😂😂😂😂
Acha uongo wewe litakubebawewe
Picnic kwa gari hili hapana 🙌🙌
Iyo Gari ilikuwepo Moshi pande KCMC zaidi ya miezi 3 wakuu saiv imekuja kuwa star, kweli bongo noma
Na mi niliiona muda tuu pale wanapotengeneza majeneza...
Ndio lipo kcmc pale
Hii chuma Kali kwa maiti Kali Sana sema nimeipenda sana
Hapana bwana,kwa picnic naona mnalazimisha tu,Hilo Ni kwa ajili ya maiti mambo ya picnic hayafai ni uchuro
Na mimi napinga Kabisa 🤣🤣🤣
Tamaa mbaya sana gari ya maiti na picnic na viongozi wanaona sawa tu!
Ila zur balaaaaaa
Ni sawa maana hata coster tunapanda kila siku lakini zinakodiwa kubeba maiti..maiti ni mtu kama wewe ukifariki...
😂😂😂
Ilii ni kwaajili ya maitii tuuu hayo mengine mnafoc tuu
Kabisa
😂😂😂😂😂😂😂
🤣🤣🤣🤣 gari kwaajili ya shughuli za msiba haya mengine mnataka nini bwana
Kabisa
Ndo hapo sasa Nani aende piknik na mochwarii😄😄😄😄
Acheni uwongo gari hilo nililikodi mwaka 2016 kwenye mazishi ya mzee wangu leo unatuongopea lina mwaka mmoja wabongo bwana
Broo upo sahii kabisa. Maana hili gari lipo dar maeneo ya banana kitunda (Dsm). Hata sisi tulipata huduma kwenye hili gari. Eti mwaka jana na No ni DE huyu jamaa ni noma sasa labda mwaka jana alilinua kwa mmiliki wa ndani
Safi sana kazi iendelee
Umezingua hapo kwa picnic
Dah! Asante Nkya
Hapo kwa picnic Mimi niondoe, dah!!! 😂😂😂
Gari la Freemason Hilo ....✍️✍️✍️✍️
Iyo ni canter tu mbwembwe nyingiii na atuwez kwenda picnick na gal ya kubebea maiti tuache kidogo bna
Kaka habari yako uko powa ngari yako nzur sana mashauwalah
Hilo gar Lina sura mbaya
Subhannallah nani mshamba kam mm maan nilijua ni Sanduku la maiti kumbe gari dahhhh ushamba huu mzigo sana ila mie hilo sipandi nikiwa hai wacha nipandishwe nikiwa mait like nipo hai noooo
😂😂😂
mbona lipo sawa 2 unaliogopa kwa nn
@@heyumi2340 hapan naliogopa ndugu yng utapandaje jeneza hali ya kuw upo hai? Je ukiitwa na allah wataka upandishwe ktk gari gn ya mwisho? No niliogopa kabisa
@@munaahmed8499 😁😁😁
@@heyumi2340 walah tena
Duh!,Gari linatisha unaweza ukakimbia.
Picknick na kubeba maiti wap na wapi😂😂😂😂🙌
😂😂😂
Ndo nawaza hapa
🤣🤣🤣
😂😂😅 Yaani biashara za watanzania ni noma..
Mnaweza kwenda picnic kumbe ndani inamaiti tayali ila jamaa anaongezea kipato tena
Hongera kwa gari
Gari kama Kaburi mmmh ,nani aende nalo picnic
🤣 🤣 🤣 🤣
🤣🤣
🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣
Hahahaaaaa
Hv wew Baba upo sawa kweli??
Hiyo lamd ikes nmekufa ningizwe kwa bahat mbay lkn hvhvh siwez ingia hat kwa bure
Daaah mj umetisha.
Sema gari ya kubebea maiti!!!!
What 😁😁😁
Ibraaa
Kweli kabisa maana 😎😎😎
😂😂😂
Kweli hatari
Safi sana inapendeza
Mtangazaji kashamaliza story yte kwenye intro yani
Kiukweli juzi nimeona dodoma nlijua kuwa ni ya kubeba maiti
Magari ya kuzimu kabisa hayo
Bora kabsa umesema ukwelii wako kama Mimi nimeona hivyohivyo
Yaani ww ndo umeongea neno, Gari linaogopesha mwenye gari nae ameniogopesha mhhh
Muteule,muchungaji,.mwAkihA ba
Hongera Kwake
Magari Ya Kishetani Ayo Panda Ufe Panda Usiku Uote Ndoto Za Kifokifo Mpaka Ukome
Masheitwan yanaanza kuleta vitu vyao. Picnic upande hilo dude?
linatisha
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Mzee baba ilipitaa manyara hapaa tuliionaa
Njombe pia nimeiona gari kama hii..
Itakuwa ni hihi ndugu yangu
Gari zuri kwa kubebea maiti lakini fridge hiyo hiyo ya vinywaji wakat wa picnic na na hiyohiyo kutunzia maiti! Hapa haijakaa vizuri.Hata wanaokodi kwa ajili ya picnic wako vizuri mitano Tena ila Mimi hata mmoja hapana
Hahahahahahshdhhghhhhhjjjjjjjjhhhhbbhhhhhhhhhhhhhhhhhhhjjjjjjjjjjn haaaaaaaaa!!!! Jamani picknic i? na soda?
Siwezi Panda hilo gar ata nan she😀😀😀😀
Ongera sana Nkya
Aiseeee hii gari yenyewe tu inatisha kabla hajatuambia ni gari ya nini teyari inajitambulisha pale juu ya gari kuna muundo kama wa jeneza kwa hiyo inajulikana ni gari ya kusafirisha maiti wala siyo ya kwenda picnic.
liko vizuri sana
Gari zingine ni za ngu vu za giza.
😃😃
Wewe sema gari la mait kenge we
wakisema ooh Mondi ana gari la hatari, oona hapa kitu kitu ca huyu baba ...
Picnic n funerals, come onnn!!!!
Kaka Idriss ha ha mwamba wa KCMC
Duh... picnic na maiti vinachanganywa vipi nawakati muundo wa gari ni kama jeneza kabisa
Umeonee
Nimeliona leo hilo gal babat manyala
Lenyewe kama jeneza
Gari ni gari lakini hili gari ni noma innocent atapanda na guilty atapanda😭😭😭😭😭
Nzur sana
Honger
Mtihani
Me kwenye picnic unibebi humo,bora nibaki
😂😂😂😂😂
😂😂😂
Kumbe tuko wengi😁😁😁
Mbona couster zinabeba sana mait au mnajisahaulisha
@@mikehjackson8146 bora kosta kaka,hili limekaa moja kwa moja yaani,lina mpaka chumba spesho cha maiti,hili lipo serious sana na maiti kuliko kosta
Picnic!!!! Acheni utani picnic na gari la marehemu !!!
Hatarii sana
Jamani mume mume Mimi nataka wanaume wa aina hi wabunivu na wenye vitu vipya kama upo single tuunganishe babaaaa napitikana ugaiyabuni Dubai 🙏
😁😁😁🙄
Hil Gari linashinda pale bohari karib na bunge dodoma
Tutaona mengi Mwaka huu 😎
La mdaa sana ii
@@calvinpaul2171 kumbe 🙄
Subhannallah, mtihani kwakweli dah!
Njoo tukakodishe twende picnic😂 @saumu
@@alfanm.8221 Gari lenyewe tu lanitishia Amani, sithubutuh hata kwa lift tu,🙌😜
@@saumusalimuhassan2499 😂😂😂😂 mbona mm nipo hakuna kitakachokutokea.
Saana my
😂😂
Ndio ufreemason wenyewe huu wallah Tena 😥😥hata kwa bure silipandi aise
Umewaza kama mimi duuuuuu!
Mh noma kwa hiyo pesa siwezi nunua
🤣🤣🤣🤣🤣 duuuh,jana nmeiona ikipita dodoma na rafiki zangu tukajisemea kua ni ya kubeba maiti, rafiki angu mmoja akasema haiwez kununua hata,hata bure hapokei loooh.tulilishangaa kwel
😭😭😭😭eeee mungu wangu
Nimeshaendesha Sana Hii Gar Pale Njia Panda Himo Nikiwa Napta Nayo Wananiitaga Faru John
Muonekano wagari tu nikama jeneza sasa ukisema pikiniki misikuelewe
🤣🤣🤣
Gari la namna hii nililiona pale chuo cha DIT posta nikawa nalishangaa sana! Ila cha ajabu ni mwaka 2019 sasa hapo ndio nashindwa kuelewa kwamba ndio hilo au laa.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
La skunying sanaa
Yapo mawili wale wahindu wenye jumba lao la kuabudu pembeni ya DIT wanayo
@@juliusuronu8812ndio maana nimeshangaaa
Maajabu na upande wa juu
Kwel linatisha jman 😳😳😳NMeliona leo nkagoogle😂
njooni DIT yapo mengi tu....asiseme liko peke ake😂😂😂 karibuni DIT hapa
Mwenyewe nilishaliona dar kurasin tulioeleka mwil maduka mawil temeke Tena Kama miaka 4 hivi imeisha
Hahaha namuona mzee Mboroo
Gari ya mtaani kwetu huku sanya juu ni special kwaajili yakubebea maiti nahuwa inakaaga hospital ya KCMS
Anaitwa mamboro ama nimesoma vibaya wachaga mna majina ya ajabu
Ndio ndio jina la ukoo wake no ndio jina analotumia maarufu
dahh!!!
Hii gari iko hapa kcmc tena inabebaga maiti
Cho!
Picnic ndani ya gari la maiti?!
Mie sebu!
Mko juu ayo
Hilo si li kenta hilo kapigwa Japan ni bei rahisi sana hilo hadi likifika Tanzania ni million 9 tu huyo kapigwaaaaaaaa
Sema hili gali linatishaaaa weeee ahaaaa
Hilo gari liko kcmc
Linaogopesha sana hili gari
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Mbona gari yenyewe tuu kama jeneza mimi siwezi panda gari hiyo
Hii nchi sijui waandishi wataelimika lini
hususani huyu jamaa nimemfatiliaga kazi zake miyayusho sana Millard amfanyie 8nterview tena 😂😂
Magari haya yapo mengi Sana Bangkok ndiyo mengi
iyo gar ni yakubeba maiti acha kufoc mambo mengne
Yaan nikakod gari ilo kwa ajiri ya starehe tu!! Labda kwa msiba tu😂😂😂
gari lenyewe ni maiti tu,,rip
Cwezi kupanda kwa kweli
Jamaniii.kunawatu.wanahelaaaaa.mtupe.nasisiiiiijamaniiii
Gari ni CANTER sio jina geni ila ugeni ni huo muundo (decoration) na sehmu ya kuhifadhi mwili
Mmmh mochwari inayotembea.. 🤗
😂😂😂😂😂