GARI LA AJABU LILIVYOWASHANGAZA WATU ARUSHA, JAMAA KAINUNUA MILIONI 68

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 7. 07. 2021
  • Muonekano wa gari hili umewashangaza watu wengi kutokana na muonekano wake lakini mmiliki anasema gari hiyo ameinunua million 68 nchini japani alipokwenda kusoma na ina kazi mbili ikiwemo kwenda kutembelea sehemu mbalimbali ku-enjoy lakini kazi yake nyingine inabeba maiti na inaweza kumhifadhi kwa zaidi ya siku ishirini

Komentáře • 760

  • @shaddybmc8342
    @shaddybmc8342 Před 3 lety +16

    Jaman , gar ya maiti niende nayo pick niki tena. Ambao hawakubalian na ilo Gonga Like.

  • @neemanyerere5160
    @neemanyerere5160 Před 3 lety +34

    Hii ni special kwa maiti aseee na sio vitu vingine looh

  • @hidayamotto7210
    @hidayamotto7210 Před 3 lety +14

    Ulo gar mmh picnic hupati watu aseee

  • @lidyanapegwa8154
    @lidyanapegwa8154 Před 2 lety +3

    Dhuu Mungu tusaidie, gari tu yenyewe inaogopesha sana

  • @annenduku5243
    @annenduku5243 Před 3 lety +6

    Aiseee gari ya Maiti bwana itaendaje picnic, sibora. Itafanya vizuri sana kwa kubeba maiti,tena niyakifahari.hongera mzee.

    • @jeanbaek7607
      @jeanbaek7607 Před rokem

      Hakunanshida hapo maana hata zakawaida zinabeba ila wew ndo haujui ila na haufuatilii jamaa yuko wazi sana na anatangaza vyema biashara zake watu wenye mtazamo kama mim tutaendanalo picnic na tutabebea maiti pia

  • @kkagore4235
    @kkagore4235 Před 2 lety +1

    Hata mimi niliwahi kuliona mitaa ya KCMC for sure linatisha likiwa katika maduka ya majeneza kama ni kwa ajili ya kubebea maiti hapo sawa ila sio picnic

  • @juliusphabian6336
    @juliusphabian6336 Před 2 lety

    Asee niliiona mosh sanya...duuuuh! noma sana

  • @saramss7262
    @saramss7262 Před 3 lety

    Hongereni Ayoo habari za uwakika kabisa

  • @maryshirima3198
    @maryshirima3198 Před 3 lety +53

    Ukiona gari hii moyo lazima ustuke ndio ujue kuzimu kunatusubiri nambingu zinatungojea

  • @dorcaskidoti249
    @dorcaskidoti249 Před 3 lety +13

    Gari limeniogopesha na mwenye gari nae hadi nimemuogopa, Humo sipendi heri nipande baiskeli au nitembee kwa miguu 😎😎😒

  • @festosanga3525
    @festosanga3525 Před 3 měsíci

    Maisha yako kasi sana sahz iko Mbeya.

  • @jamesjoseph6825
    @jamesjoseph6825 Před 3 lety +46

    Hakuna picnic hapo kudadeki, hiyo ni gari ya kubebea maiti, hayo mengine unalazimisha

  • @erickmweta8215
    @erickmweta8215 Před 3 lety +2

    Picnic kwa gari hili hapana 🙌🙌

  • @honestkiwia2264
    @honestkiwia2264 Před 3 lety +5

    Iyo Gari ilikuwepo Moshi pande KCMC zaidi ya miezi 3 wakuu saiv imekuja kuwa star, kweli bongo noma

  • @amirikoshuma3039
    @amirikoshuma3039 Před 3 lety

    Hii chuma Kali kwa maiti Kali Sana sema nimeipenda sana

  • @omarcarlos4595
    @omarcarlos4595 Před 3 lety +14

    Hapana bwana,kwa picnic naona mnalazimisha tu,Hilo Ni kwa ajili ya maiti mambo ya picnic hayafai ni uchuro

    • @itNeza
      @itNeza Před 3 lety

      Na mimi napinga Kabisa 🤣🤣🤣

  • @fredjoel1350
    @fredjoel1350 Před 2 lety

    Tamaa mbaya sana gari ya maiti na picnic na viongozi wanaona sawa tu!

  • @officialwagetto4006
    @officialwagetto4006 Před 3 lety +6

    Ila zur balaaaaaa

  • @georgeben2953
    @georgeben2953 Před 3 lety +23

    Ni sawa maana hata coster tunapanda kila siku lakini zinakodiwa kubeba maiti..maiti ni mtu kama wewe ukifariki...

  • @peteveprosper7186
    @peteveprosper7186 Před 3 lety +85

    Ilii ni kwaajili ya maitii tuuu hayo mengine mnafoc tuu

  • @janechacky3810
    @janechacky3810 Před 3 lety +1

    Acheni uwongo gari hilo nililikodi mwaka 2016 kwenye mazishi ya mzee wangu leo unatuongopea lina mwaka mmoja wabongo bwana

    • @zebedayokawiche5949
      @zebedayokawiche5949 Před 3 lety

      Broo upo sahii kabisa. Maana hili gari lipo dar maeneo ya banana kitunda (Dsm). Hata sisi tulipata huduma kwenye hili gari. Eti mwaka jana na No ni DE huyu jamaa ni noma sasa labda mwaka jana alilinua kwa mmiliki wa ndani

  • @samuelleonse9398
    @samuelleonse9398 Před 2 lety

    Safi sana kazi iendelee

  • @msuyasuya6752
    @msuyasuya6752 Před 3 lety +9

    Umezingua hapo kwa picnic

  • @majesticnaturesafari118

    Dah! Asante Nkya

  • @silentcry254
    @silentcry254 Před 3 lety +2

    Hapo kwa picnic Mimi niondoe, dah!!! 😂😂😂

  • @dullahshaaban9050
    @dullahshaaban9050 Před 3 lety

    Gari la Freemason Hilo ....✍️✍️✍️✍️

  • @willyclassic9263
    @willyclassic9263 Před 3 lety +4

    Iyo ni canter tu mbwembwe nyingiii na atuwez kwenda picnick na gal ya kubebea maiti tuache kidogo bna

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 Před 3 lety +1

    Kaka habari yako uko powa ngari yako nzur sana mashauwalah

  • @lowasalesirai9504
    @lowasalesirai9504 Před 3 lety

    Hilo gar Lina sura mbaya

  • @munaahmed8499
    @munaahmed8499 Před 3 lety +4

    Subhannallah nani mshamba kam mm maan nilijua ni Sanduku la maiti kumbe gari dahhhh ushamba huu mzigo sana ila mie hilo sipandi nikiwa hai wacha nipandishwe nikiwa mait like nipo hai noooo

    • @zaheernakhwa903
      @zaheernakhwa903 Před 3 lety

      😂😂😂

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 Před 3 lety

      mbona lipo sawa 2 unaliogopa kwa nn

    • @munaahmed8499
      @munaahmed8499 Před 3 lety

      @@heyumi2340 hapan naliogopa ndugu yng utapandaje jeneza hali ya kuw upo hai? Je ukiitwa na allah wataka upandishwe ktk gari gn ya mwisho? No niliogopa kabisa

    • @heyumi2340
      @heyumi2340 Před 3 lety

      @@munaahmed8499 😁😁😁

    • @munaahmed8499
      @munaahmed8499 Před 3 lety

      @@heyumi2340 walah tena

  • @anthonyluhumbika4693
    @anthonyluhumbika4693 Před 3 lety +4

    Duh!,Gari linatisha unaweza ukakimbia.

  • @yusuphpilion2465
    @yusuphpilion2465 Před 3 lety +40

    Picknick na kubeba maiti wap na wapi😂😂😂😂🙌

  • @faridimansuri2547
    @faridimansuri2547 Před 3 lety

    Hongera kwa gari

  • @barakamwakapoma2702
    @barakamwakapoma2702 Před 3 lety +25

    Gari kama Kaburi mmmh ,nani aende nalo picnic

  • @neemazee1864
    @neemazee1864 Před 2 lety +1

    Hv wew Baba upo sawa kweli??

  • @rehemshehoz8704
    @rehemshehoz8704 Před 3 lety +4

    Hiyo lamd ikes nmekufa ningizwe kwa bahat mbay lkn hvhvh siwez ingia hat kwa bure

  • @ramadhanimostoni8273
    @ramadhanimostoni8273 Před 2 lety

    Daaah mj umetisha.

  • @stanymccary7136
    @stanymccary7136 Před 3 lety +51

    Sema gari ya kubebea maiti!!!!

  • @mathewndunguru6340
    @mathewndunguru6340 Před 3 lety

    Safi sana inapendeza

  • @fredrickyayambo206
    @fredrickyayambo206 Před 3 lety +1

    Mtangazaji kashamaliza story yte kwenye intro yani

  • @yustinhhari5085
    @yustinhhari5085 Před 3 lety +1

    Kiukweli juzi nimeona dodoma nlijua kuwa ni ya kubeba maiti

  • @rukiaminja5540
    @rukiaminja5540 Před 3 lety +5

    Magari ya kuzimu kabisa hayo

    • @winniewairimu3822
      @winniewairimu3822 Před 3 lety

      Bora kabsa umesema ukwelii wako kama Mimi nimeona hivyohivyo

    • @dorcaskidoti249
      @dorcaskidoti249 Před 3 lety

      Yaani ww ndo umeongea neno, Gari linaogopesha mwenye gari nae ameniogopesha mhhh

  • @sigiwemwazembe6950
    @sigiwemwazembe6950 Před 2 lety

    Muteule,muchungaji,.mwAkihA ba

  • @ericknyawehe8932
    @ericknyawehe8932 Před 3 lety

    Hongera Kwake

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 Před 3 lety +5

    Magari Ya Kishetani Ayo Panda Ufe Panda Usiku Uote Ndoto Za Kifokifo Mpaka Ukome

  • @godfreycharles6322
    @godfreycharles6322 Před 3 lety

    Mzee baba ilipitaa manyara hapaa tuliionaa

  • @eliamtambo6655
    @eliamtambo6655 Před rokem +1

    Njombe pia nimeiona gari kama hii..

  • @pascalnicolaus6986
    @pascalnicolaus6986 Před 3 lety +2

    Gari zuri kwa kubebea maiti lakini fridge hiyo hiyo ya vinywaji wakat wa picnic na na hiyohiyo kutunzia maiti! Hapa haijakaa vizuri.Hata wanaokodi kwa ajili ya picnic wako vizuri mitano Tena ila Mimi hata mmoja hapana

    • @eugeneurassa5301
      @eugeneurassa5301 Před rokem

      Hahahahahahshdhhghhhhhjjjjjjjjhhhhbbhhhhhhhhhhhhhhhhhhhjjjjjjjjjjn haaaaaaaaa!!!! Jamani picknic i? na soda?

  • @dinnahdan3598
    @dinnahdan3598 Před 3 lety

    Siwezi Panda hilo gar ata nan she😀😀😀😀

  • @queennkya1932
    @queennkya1932 Před 3 lety

    Ongera sana Nkya

  • @sarahminja7255
    @sarahminja7255 Před 3 lety +2

    Aiseeee hii gari yenyewe tu inatisha kabla hajatuambia ni gari ya nini teyari inajitambulisha pale juu ya gari kuna muundo kama wa jeneza kwa hiyo inajulikana ni gari ya kusafirisha maiti wala siyo ya kwenda picnic.

  • @petercosta1317
    @petercosta1317 Před 3 lety

    liko vizuri sana

  • @roselusenaka7548
    @roselusenaka7548 Před 3 lety +2

    Gari zingine ni za ngu vu za giza.

  • @antonjohn8865
    @antonjohn8865 Před 3 lety

    Wewe sema gari la mait kenge we

  • @cestlaviecestlavie4073

    wakisema ooh Mondi ana gari la hatari, oona hapa kitu kitu ca huyu baba ...

  • @NixonAnderson1997
    @NixonAnderson1997 Před 3 lety +2

    Picnic n funerals, come onnn!!!!

  • @nkamangi4707
    @nkamangi4707 Před rokem

    Kaka Idriss ha ha mwamba wa KCMC

  • @saramuna1173
    @saramuna1173 Před 3 lety +3

    Duh... picnic na maiti vinachanganywa vipi nawakati muundo wa gari ni kama jeneza kabisa

  • @stevenngakonda6483
    @stevenngakonda6483 Před 3 lety +2

    Nimeliona leo hilo gal babat manyala

  • @alfanishabani1928
    @alfanishabani1928 Před 3 lety +4

    Lenyewe kama jeneza

  • @fatmamirraj1187
    @fatmamirraj1187 Před 2 lety +1

    Gari ni gari lakini hili gari ni noma innocent atapanda na guilty atapanda😭😭😭😭😭

  • @salumtall1785
    @salumtall1785 Před 3 lety +1

    Nzur sana

  • @kelsamtv5529
    @kelsamtv5529 Před 3 lety

    Honger

  • @katemboyamotomoto420
    @katemboyamotomoto420 Před 3 lety

    Mtihani

  • @40kstore
    @40kstore Před 3 lety +15

    Me kwenye picnic unibebi humo,bora nibaki

    • @caslidajosephat8912
      @caslidajosephat8912 Před 3 lety

      😂😂😂😂😂

    • @mkumbomoody6162
      @mkumbomoody6162 Před 3 lety

      😂😂😂

    • @peaceisrael8158
      @peaceisrael8158 Před 3 lety

      Kumbe tuko wengi😁😁😁

    • @mikehjackson8146
      @mikehjackson8146 Před 3 lety

      Mbona couster zinabeba sana mait au mnajisahaulisha

    • @40kstore
      @40kstore Před 3 lety

      @@mikehjackson8146 bora kosta kaka,hili limekaa moja kwa moja yaani,lina mpaka chumba spesho cha maiti,hili lipo serious sana na maiti kuliko kosta

  • @desdelius
    @desdelius Před 3 lety

    Picnic!!!! Acheni utani picnic na gari la marehemu !!!

  • @benithabuberwa1553
    @benithabuberwa1553 Před 3 lety

    Hatarii sana

  • @rukiasalum5671
    @rukiasalum5671 Před 3 lety

    Jamani mume mume Mimi nataka wanaume wa aina hi wabunivu na wenye vitu vipya kama upo single tuunganishe babaaaa napitikana ugaiyabuni Dubai 🙏

  • @danieljumanne3643
    @danieljumanne3643 Před 3 lety +1

    Hil Gari linashinda pale bohari karib na bunge dodoma

  • @annahpsimon1156
    @annahpsimon1156 Před 3 lety +17

    Tutaona mengi Mwaka huu 😎

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 Před 3 lety +4

    Subhannallah, mtihani kwakweli dah!

  • @edithashirima7278
    @edithashirima7278 Před 3 lety +2

    Ndio ufreemason wenyewe huu wallah Tena 😥😥hata kwa bure silipandi aise

  • @macktiger1970
    @macktiger1970 Před 3 lety

    Mh noma kwa hiyo pesa siwezi nunua

  • @elizabethmathayo5290
    @elizabethmathayo5290 Před 3 lety +3

    🤣🤣🤣🤣🤣 duuuh,jana nmeiona ikipita dodoma na rafiki zangu tukajisemea kua ni ya kubeba maiti, rafiki angu mmoja akasema haiwez kununua hata,hata bure hapokei loooh.tulilishangaa kwel

  • @giftpamelagiftpamela4494
    @giftpamelagiftpamela4494 Před 2 lety +3

    😭😭😭😭eeee mungu wangu

  • @kevoowizzy12
    @kevoowizzy12 Před 2 lety

    Nimeshaendesha Sana Hii Gar Pale Njia Panda Himo Nikiwa Napta Nayo Wananiitaga Faru John

  • @zamzamhassan4159
    @zamzamhassan4159 Před 3 lety +13

    Muonekano wagari tu nikama jeneza sasa ukisema pikiniki misikuelewe

  • @sportstoall9394
    @sportstoall9394 Před 3 lety +7

    Gari la namna hii nililiona pale chuo cha DIT posta nikawa nalishangaa sana! Ila cha ajabu ni mwaka 2019 sasa hapo ndio nashindwa kuelewa kwamba ndio hilo au laa.

  • @jamesnzuki2214
    @jamesnzuki2214 Před 3 lety

    Maajabu na upande wa juu

  • @tujambwambo606
    @tujambwambo606 Před 2 lety

    Kwel linatisha jman 😳😳😳NMeliona leo nkagoogle😂

  • @josephsngwegwe8767
    @josephsngwegwe8767 Před 3 lety +1

    njooni DIT yapo mengi tu....asiseme liko peke ake😂😂😂 karibuni DIT hapa

    • @kanaelykombe4011
      @kanaelykombe4011 Před 3 lety

      Mwenyewe nilishaliona dar kurasin tulioeleka mwil maduka mawil temeke Tena Kama miaka 4 hivi imeisha

  • @gb-one6435
    @gb-one6435 Před 3 lety +1

    Hahaha namuona mzee Mboroo
    Gari ya mtaani kwetu huku sanya juu ni special kwaajili yakubebea maiti nahuwa inakaaga hospital ya KCMS

    • @msowamhokole7714
      @msowamhokole7714 Před 3 lety +1

      Anaitwa mamboro ama nimesoma vibaya wachaga mna majina ya ajabu

    • @gb-one6435
      @gb-one6435 Před 3 lety

      Ndio ndio jina la ukoo wake no ndio jina analotumia maarufu

  • @reginaldmsofe2437
    @reginaldmsofe2437 Před 3 lety +7

    dahh!!!

  • @edenbaraka7533
    @edenbaraka7533 Před 2 lety

    Hii gari iko hapa kcmc tena inabebaga maiti

  • @alidochi2889
    @alidochi2889 Před 3 lety +3

    Cho!
    Picnic ndani ya gari la maiti?!
    Mie sebu!

  • @mustaphareua2370
    @mustaphareua2370 Před 3 lety +1

    Mko juu ayo

  • @Majanga-d4h
    @Majanga-d4h Před 3 lety +1

    Hilo si li kenta hilo kapigwa Japan ni bei rahisi sana hilo hadi likifika Tanzania ni million 9 tu huyo kapigwaaaaaaaa

  • @jeylanrashidi1468
    @jeylanrashidi1468 Před 3 lety

    Sema hili gali linatishaaaa weeee ahaaaa

  • @josekaliyaya1948
    @josekaliyaya1948 Před 3 lety

    Hilo gari liko kcmc

  • @witneyjerry1293
    @witneyjerry1293 Před 3 lety +1

    Linaogopesha sana hili gari

  • @samrecordvwawa9133
    @samrecordvwawa9133 Před 3 lety

    Mbona gari yenyewe tuu kama jeneza mimi siwezi panda gari hiyo

  • @salmaathuman9156
    @salmaathuman9156 Před 3 lety +7

    Hii nchi sijui waandishi wataelimika lini

    • @hassanhancha1413
      @hassanhancha1413 Před 3 lety +1

      hususani huyu jamaa nimemfatiliaga kazi zake miyayusho sana Millard amfanyie 8nterview tena 😂😂

  • @jumaabdala7530
    @jumaabdala7530 Před 3 lety

    Magari haya yapo mengi Sana Bangkok ndiyo mengi

  • @charlesmyamba8531
    @charlesmyamba8531 Před 3 lety +1

    iyo gar ni yakubeba maiti acha kufoc mambo mengne

  • @juniormgema2524
    @juniormgema2524 Před 3 lety +1

    Yaan nikakod gari ilo kwa ajiri ya starehe tu!! Labda kwa msiba tu😂😂😂

  • @lashansoky1437
    @lashansoky1437 Před 2 lety

    gari lenyewe ni maiti tu,,rip

  • @prossonassoro525
    @prossonassoro525 Před rokem

    Cwezi kupanda kwa kweli

  • @asha.mwambamwamba1774
    @asha.mwambamwamba1774 Před 3 lety

    Jamaniii.kunawatu.wanahelaaaaa.mtupe.nasisiiiiijamaniiii

  • @daudimwidimakihanda5386

    Gari ni CANTER sio jina geni ila ugeni ni huo muundo (decoration) na sehmu ya kuhifadhi mwili

  • @beatricemshiu2816
    @beatricemshiu2816 Před 3 lety

    Mmmh mochwari inayotembea.. 🤗