DKT TULIA AMTAMBULISHA MUME WAKE, AKICHUKUA FOMU YA KUGOMBEA UBUNGE “TUMEWAACHA WATOTO NYUMBANI”

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 6. 09. 2024

Komentáře • 119

  • @Madollajay
    @Madollajay Před 2 lety +4

    Jaman naomba sana spika awe mwanaume....
    Yani kwa ili wabunge msifanye makosa,ila turia awe naibu tu.....
    Najua wenye upeo wamenielewa...🙏

  • @tanzaniaoman6423
    @tanzaniaoman6423 Před 4 lety +3

    MwenyenziMungu akusimamie💕💕

  • @msetikebwasi6895
    @msetikebwasi6895 Před 4 lety +9

    Anatabasamu tu,vipi wakati wa kutoa dozi sasa,,,,,anaifurahiaaaa mpaka anasahau majukumu yke kwa muda flani si ndiyo hivo jamani.Gonga like twende na utamu ule ile.

  • @radhiasalum7156
    @radhiasalum7156 Před 2 lety +4

    Ndo kwanza namuona mumewe.kumbe anawatoto hongera sana

  • @ashrafhosseni4051
    @ashrafhosseni4051 Před 2 lety +1

    umependeza sana dadangu mmewako amepata mkemzuli jitaidi Dada utapata ubunge muombe mungu

  • @amenyemwansile631
    @amenyemwansile631 Před 4 lety +3

    Safi shemeji yetu Kwa speech yako nzuri

  • @jamesmahatane2723
    @jamesmahatane2723 Před 4 lety +1

    Wanadam mnaongea maneno mengi mungu ana waona hongera tulia na James mungu kawaona pigeni kazi

  • @angeluslijuja3408
    @angeluslijuja3408 Před 2 lety +1

    Wanene wana wapenda wembamba ata mimi nampenda tulia kumbe umeolewa daa hongera mkuu umepa kanisa nakuomba wivu

  • @faridaaloyce7672
    @faridaaloyce7672 Před 2 lety

    Safi... gentleman...

  • @elizabethkalinga0822
    @elizabethkalinga0822 Před rokem

    Baba Mungu akubariki Sana Kwa Utumishi Uliotukuka uliopo ndani yako.

  • @issackchalahani1235
    @issackchalahani1235 Před 4 lety +4

    Tulia Dada angu unajisumbua! Huwezi shinda uchaguzi kwa sanduku LA kura Mbeya Mjini tena mbele ya Ndg. Joseph Mbilinyi a.k.a "Sugu." Wala sikudanganyi najua unajua japo unapewa moyo na wateule wa rais na dola. Siku hiyo patachimbika Mbeya na nadhani ingependeza ubaki kuwa viti malumu na naibu spika wa kuteuliwa na sio kuwa mbunge wa kuchaguliwa.

  • @Hapomwanzo
    @Hapomwanzo Před 23 dny

    BASI TU! KIFO HAKIPIGIWI KURA ILA KAMA KINGEKUWA KINAPIGIWA KURA...

  • @aishamaulidi9589
    @aishamaulidi9589 Před 4 lety

    Asanteeee

  • @bimumaulid1171
    @bimumaulid1171 Před 2 lety

    SAFI SANA SHEMEJI LETU SAFI MR 👍👍👍

  • @timboxlee919
    @timboxlee919 Před 10 měsíci

    Roho mbaya Sana na sura mbaya huyu DP world

  • @solomonmpuluma282
    @solomonmpuluma282 Před 4 lety +2

    Mmm, tumwachie Mungu tu. Mimi nawapenda wote Tulia + Sugu. Ila kumbe mume naye ana upeo. Hlf anasema ni mtaalam wake 😂😂 ! Lakini inapendeza hivyo.

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary893 Před 13 dny

    Au upo sigle dada

  • @halifajuma545
    @halifajuma545 Před 2 lety +1

    Haya mambo ya (ammmu )kama wazungu sisi wafrica wazungu wame tupa nini
    Kwanini msiseme( eeee )ammmu ndio imezidi

  • @user-xo3bf3hm3p
    @user-xo3bf3hm3p Před 10 měsíci

    Tulia unaweza tena

  • @godfreyapollo1864
    @godfreyapollo1864 Před 4 lety

    WAZIRI MKUU MPYA NDO HUYO......

  • @selemakilawa3969
    @selemakilawa3969 Před 4 lety

    Mzee baba kaongea vzr yuko gud

  • @Hasha-zt2oy
    @Hasha-zt2oy Před 4 lety +1

    Mweee! Uyo kweli tulia

  • @msemwawalter837
    @msemwawalter837 Před 2 lety

    Kayiii!!!
    Kumbe yupo......

  • @user-xo3bf3hm3p
    @user-xo3bf3hm3p Před 10 měsíci

    Pole kwa unae mwona hafai ila jua anaitano tena sugu akalale kwao

  • @calvinkitaly9376
    @calvinkitaly9376 Před 4 lety +4

    Tulia bungeni ulikuwa huelewekieleweki.

  • @nuruasukile1303
    @nuruasukile1303 Před 2 lety

    Tulia oyeee

  • @msafiriomary893
    @msafiriomary893 Před 13 dny

    Huyo mume mbona kama wamchongo dada

  • @ntullykessy5247
    @ntullykessy5247 Před 3 lety +2

    Tunakuombea dada

  • @doricepulling8051
    @doricepulling8051 Před 4 lety

    Safi sana

  • @kaizamandike8771
    @kaizamandike8771 Před 2 lety +3

    Mtaalam wake 😆😆😆

  • @rehemamasoud3687
    @rehemamasoud3687 Před 4 lety +1

    Unafaa saana mama kwanza uyumbishwi na mtu

  • @nixonjohnson6346
    @nixonjohnson6346 Před 2 lety +1

    Kwani kama bundi

  • @edithajoseph7675
    @edithajoseph7675 Před 2 lety +1

    Mimi naomba spika achaguliwe mwanaume naomba sana wabunge msifanye makosa kwani mkifanya makosa itaendelea kutugarim. Mungu ilinde Tanzania

  • @user-xo3bf3hm3p
    @user-xo3bf3hm3p Před 10 měsíci

    Anafaaaa

  • @meryjohn7120
    @meryjohn7120 Před 4 lety +3

    Mama jipange sugu ni wetu

    • @issackchalahani1235
      @issackchalahani1235 Před 4 lety

      Tulia na genge lake anajisumbua pamoja na kutegemea mkurugenzi mteule wao na dola, lakini Mbeya mjini hawezi shinda hata kidogo.

    • @priscamboya6422
      @priscamboya6422 Před 4 lety

      Mh mama yangu eeeee Sugu utamweza kumtoa kwel

    • @Gersah
      @Gersah Před 4 měsíci

      ​@@issackchalahani1235walosema hutoboi Leo wako wap😂😂😂😂

  • @sniper93999
    @sniper93999 Před 4 lety

    SUGU VS DR TULIA ACSON 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥

  • @Mimi-wf7mb
    @Mimi-wf7mb Před 10 měsíci

    Tulia una mume mzuriiii!

  • @chongemarwa5834
    @chongemarwa5834 Před 4 lety

    Kalee watoto ww baba tulia

  • @ramadhanijuma4204
    @ramadhanijuma4204 Před 4 lety +3

    Mumewe ameruhusu, "Yupo tayari kutumika"

    • @wazirmlogi7532
      @wazirmlogi7532 Před 2 lety

      We unajua kutumika kupi?mweuh weyeee😂😂😂

  • @naomikatharinaandrewmnkai6760
    @naomikatharinaandrewmnkai6760 Před 10 měsíci

    Msifiee kabisaaaaa usijekosa chakulaaa

  • @tianodokgo8718
    @tianodokgo8718 Před 4 lety +1

    Hapana kiongozii hapo

  • @frankremishoy5778
    @frankremishoy5778 Před 2 lety

    Mshamba tu hawa ndyo wale wale waminyaji wa democracy.

  • @meryjohn7120
    @meryjohn7120 Před 4 lety +4

    Tulikuona sana bungeni ufai kabisa

  • @braysonchalamila1199
    @braysonchalamila1199 Před 4 lety

    Bro nimemkubali. Atafute jimbo tu naye atie nia.

  • @zulfaissa7814
    @zulfaissa7814 Před 2 lety

    Ilapesa zinanga'arisha watu wallah inaonyesha mgekua hamnapesa kamamie ingekua kilammoja anamshinda mwenzake

  • @nyekingobwire6327
    @nyekingobwire6327 Před 3 lety

    Haya sasa sugu kapata nimi.turiya oyeee oyeeeee

  • @johndaud1663
    @johndaud1663 Před 4 lety +2

    Sugu haumtoi ng'ooooo 2015 alishinda kwa kura laki na elfu 10, kwa elfu 40

  • @emanuelmwanga4
    @emanuelmwanga4 Před 4 lety +4

    Dada yuko poa ila jamaa kama. Vile anakula ganja

  • @edwardchokala2425
    @edwardchokala2425 Před 3 lety

    Duu huyu dada ni kuni

  • @bettymrema6580
    @bettymrema6580 Před 4 lety +2

    Baba Wa nyumban santeeee!!!

  • @mariambuya9654
    @mariambuya9654 Před 4 lety

    Umepitaàaa

  • @rehemamasoud3687
    @rehemamasoud3687 Před 4 lety

    Uko sawa shemela mmefanana mbona

  • @angelntandu661
    @angelntandu661 Před 3 lety +1

    Walisema hana mume

  • @rehemamayende552
    @rehemamayende552 Před 4 lety

    Wamefanana

  • @matundukafwila5754
    @matundukafwila5754 Před 4 lety

    Yangu macho kuangalia vyuma vinavo suguana

  • @benedictmrisho5947
    @benedictmrisho5947 Před 2 lety

    Kila mwanamme atakayebofoa weka mwanamke hadi mfumo dume ufe

  • @pantaleokulaya2112
    @pantaleokulaya2112 Před 4 lety +1

    Tufahamishwe huyo mme wake tulia anafanya kazi gani ?

  • @kadamlwenje7629
    @kadamlwenje7629 Před 4 lety

    Ili mwanamke awe mrembo awe na vigezo gani?🙄

    • @ashrafumohammedi5078
      @ashrafumohammedi5078 Před 4 lety +4

      Uzuri wa mke kwa mumewe ni tabia njema nyumbani na ndomaana kamsindikiza kwa ukarimu wao wawili ndimi zao zimejaa maneno ya hekima na busara ( mbarikiwe Sana na bwana awe nanyi)

    • @jacklinegeorge5220
      @jacklinegeorge5220 Před 4 lety

      Kama ulvyonavyo ww

  • @angelntandu661
    @angelntandu661 Před 3 lety

    Mbona wanafanana kaa matofali

  • @edenbaraka7533
    @edenbaraka7533 Před 4 lety

    Kinaongea kama kizungu falaaaaaaas

  • @hebronmalatila6186
    @hebronmalatila6186 Před 4 lety

    Tulia ! Umenogewa na Mishikaki China! Unamwalika Mr. wako aache Ajira yake ili mwongeze kipato kwa kwenda kubweka ktk mjengo wa Watanzania ? Ubungo siyo shamba la bibi.

  • @joycemagessa350
    @joycemagessa350 Před 4 lety

    Hafai hata kuongoza kijiji msifanye kosa .hana sida za uongozi Mkoloni asimamii haki .hafai kabisaaaaa

  • @titosanga5447
    @titosanga5447 Před 4 lety +2

    Mbona mzuri mme kuliko mke?

    • @onesmokabia80
      @onesmokabia80 Před 4 lety +2

      Kuna binadam aliyejiumba hata ww umejiumba?fikiri jambo kabla hujalisema mbele za watu,niushauri tu.

    • @jacklinegeorge5220
      @jacklinegeorge5220 Před 4 lety +2

      Ww dem wako anafananaj

    • @gracejohn886
      @gracejohn886 Před 4 lety +1

      inaonekana unaumba watu wazuri sn ongela inafikia hatua hata unataka kumzidi alieumba ulimwengu mzima na watu wake ushauri wangu umba na dunia yako ukakae na watu uliowaumba

    • @ratifasalumu4021
      @ratifasalumu4021 Před 4 lety

      Tulia komaa naxheo cha kuteuliwa

    • @juliusakilimali9781
      @juliusakilimali9781 Před 4 lety

      Cfa za kutusaidia Mbeya unazo!! Komaa!!

  • @kakorejrboyz6447
    @kakorejrboyz6447 Před 4 lety

    Ila watu wengine ubunge munakuja Kijiji I kuishi mjini VP

  • @pettermasika9120
    @pettermasika9120 Před 4 lety

    SUNGU ACHIYA NJIA TULIA AANZA KUTAMBA, KATI YA
    WANAWAKE MAKINI WANAO
    ISAIDIA TANZANI DK TULIA NI
    MOJA WAO' MWENYEZ MUNGU
    HILI TAIFA LAKO LA TANZANIA
    TWAKUOMBA UTUPE VIÒNGOZI
    MASHUHURI^. UTUPE. KWA WEMA WAKO.BABA MUNHU

  • @gracechalagwa9745
    @gracechalagwa9745 Před 4 lety +1

    Unasura ngumu utafikiri mkulima

    • @leonidaskalumuna8350
      @leonidaskalumuna8350 Před 4 lety

      We mtoto,kama sio sisi wakulima ungekula nini,alf wakulima ni wanasura nzr kamawabisha njoo huku ifakara uone huo mchele unaokula mtamu nani wnalima

  • @yahkiwera3611
    @yahkiwera3611 Před 4 lety

    wachawee

  • @irangalimbu1867
    @irangalimbu1867 Před 4 lety

    By by sung

  • @stevemligo1863
    @stevemligo1863 Před 4 lety

    Mzee baba umekodiwa nini..!!!???