Anatabasamu tu,vipi wakati wa kutoa dozi sasa,,,,,anaifurahiaaaa mpaka anasahau majukumu yke kwa muda flani si ndiyo hivo jamani.Gonga like twende na utamu ule ile.
Tulia Dada angu unajisumbua! Huwezi shinda uchaguzi kwa sanduku LA kura Mbeya Mjini tena mbele ya Ndg. Joseph Mbilinyi a.k.a "Sugu." Wala sikudanganyi najua unajua japo unapewa moyo na wateule wa rais na dola. Siku hiyo patachimbika Mbeya na nadhani ingependeza ubaki kuwa viti malumu na naibu spika wa kuteuliwa na sio kuwa mbunge wa kuchaguliwa.
Uzuri wa mke kwa mumewe ni tabia njema nyumbani na ndomaana kamsindikiza kwa ukarimu wao wawili ndimi zao zimejaa maneno ya hekima na busara ( mbarikiwe Sana na bwana awe nanyi)
Tulia ! Umenogewa na Mishikaki China! Unamwalika Mr. wako aache Ajira yake ili mwongeze kipato kwa kwenda kubweka ktk mjengo wa Watanzania ? Ubungo siyo shamba la bibi.
inaonekana unaumba watu wazuri sn ongela inafikia hatua hata unataka kumzidi alieumba ulimwengu mzima na watu wake ushauri wangu umba na dunia yako ukakae na watu uliowaumba
SUNGU ACHIYA NJIA TULIA AANZA KUTAMBA, KATI YA WANAWAKE MAKINI WANAO ISAIDIA TANZANI DK TULIA NI MOJA WAO' MWENYEZ MUNGU HILI TAIFA LAKO LA TANZANIA TWAKUOMBA UTUPE VIÒNGOZI MASHUHURI^. UTUPE. KWA WEMA WAKO.BABA MUNHU
Jaman naomba sana spika awe mwanaume....
Yani kwa ili wabunge msifanye makosa,ila turia awe naibu tu.....
Najua wenye upeo wamenielewa...🙏
MwenyenziMungu akusimamie💕💕
Anatabasamu tu,vipi wakati wa kutoa dozi sasa,,,,,anaifurahiaaaa mpaka anasahau majukumu yke kwa muda flani si ndiyo hivo jamani.Gonga like twende na utamu ule ile.
Ndo kwanza namuona mumewe.kumbe anawatoto hongera sana
umependeza sana dadangu mmewako amepata mkemzuli jitaidi Dada utapata ubunge muombe mungu
Safi shemeji yetu Kwa speech yako nzuri
Wanadam mnaongea maneno mengi mungu ana waona hongera tulia na James mungu kawaona pigeni kazi
Wanene wana wapenda wembamba ata mimi nampenda tulia kumbe umeolewa daa hongera mkuu umepa kanisa nakuomba wivu
Safi... gentleman...
Baba Mungu akubariki Sana Kwa Utumishi Uliotukuka uliopo ndani yako.
Tulia Dada angu unajisumbua! Huwezi shinda uchaguzi kwa sanduku LA kura Mbeya Mjini tena mbele ya Ndg. Joseph Mbilinyi a.k.a "Sugu." Wala sikudanganyi najua unajua japo unapewa moyo na wateule wa rais na dola. Siku hiyo patachimbika Mbeya na nadhani ingependeza ubaki kuwa viti malumu na naibu spika wa kuteuliwa na sio kuwa mbunge wa kuchaguliwa.
Apia
Huna lolote atapia na utabaki hapohapo uki shangaaa
@@waziriwaziga4432 aliesema hatapitaga nahisi MPAka anaona huruma
BASI TU! KIFO HAKIPIGIWI KURA ILA KAMA KINGEKUWA KINAPIGIWA KURA...
Asanteeee
SAFI SANA SHEMEJI LETU SAFI MR 👍👍👍
Roho mbaya Sana na sura mbaya huyu DP world
Mmm, tumwachie Mungu tu. Mimi nawapenda wote Tulia + Sugu. Ila kumbe mume naye ana upeo. Hlf anasema ni mtaalam wake 😂😂 ! Lakini inapendeza hivyo.
Mtaalamu wake😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Au upo sigle dada
Haya mambo ya (ammmu )kama wazungu sisi wafrica wazungu wame tupa nini
Kwanini msiseme( eeee )ammmu ndio imezidi
Tulia unaweza tena
WAZIRI MKUU MPYA NDO HUYO......
Mzee baba kaongea vzr yuko gud
Mweee! Uyo kweli tulia
Kayiii!!!
Kumbe yupo......
Pole kwa unae mwona hafai ila jua anaitano tena sugu akalale kwao
Tulia bungeni ulikuwa huelewekieleweki.
Tulia oyeee
Huyo mume mbona kama wamchongo dada
Tunakuombea dada
Safi sana
Mtaalam wake 😆😆😆
Specialist yake , Dr tulia
😂😅😅😅😅😅😂
Unafaa saana mama kwanza uyumbishwi na mtu
Kwani kama bundi
Mimi naomba spika achaguliwe mwanaume naomba sana wabunge msifanye makosa kwani mkifanya makosa itaendelea kutugarim. Mungu ilinde Tanzania
Ndio bc tena utabaki kulia tu
@@credo7837 umeona sasa
Anafaaaa
Mama jipange sugu ni wetu
Tulia na genge lake anajisumbua pamoja na kutegemea mkurugenzi mteule wao na dola, lakini Mbeya mjini hawezi shinda hata kidogo.
Mh mama yangu eeeee Sugu utamweza kumtoa kwel
@@issackchalahani1235walosema hutoboi Leo wako wap😂😂😂😂
SUGU VS DR TULIA ACSON 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥
Tulia una mume mzuriiii!
Kalee watoto ww baba tulia
Jamani mnachekesha daa
Mumewe ameruhusu, "Yupo tayari kutumika"
We unajua kutumika kupi?mweuh weyeee😂😂😂
Msifiee kabisaaaaa usijekosa chakulaaa
Hapana kiongozii hapo
Mshamba tu hawa ndyo wale wale waminyaji wa democracy.
Tulikuona sana bungeni ufai kabisa
Bro nimemkubali. Atafute jimbo tu naye atie nia.
Ilapesa zinanga'arisha watu wallah inaonyesha mgekua hamnapesa kamamie ingekua kilammoja anamshinda mwenzake
😁😁😁😁😁😁😁
Haya sasa sugu kapata nimi.turiya oyeee oyeeeee
Sugu haumtoi ng'ooooo 2015 alishinda kwa kura laki na elfu 10, kwa elfu 40
Dada yuko poa ila jamaa kama. Vile anakula ganja
Utakuwa na matatzo wew unamjaji mtu kiboya.
Kama wewe
Duu huyu dada ni kuni
Baba Wa nyumban santeeee!!!
Akisaidiana na dada wa kazi nyumbani, wakati Mama akitumikia Taifa.
Kweli baba wa nyumbani
Unaumwa
Vipi?? Na saivi je?? Ni baba wa nyumbani Bado??😂😂
Umepitaàaa
Uko sawa shemela mmefanana mbona
Walisema hana mume
Wamefanana
Yangu macho kuangalia vyuma vinavo suguana
Kila mwanamme atakayebofoa weka mwanamke hadi mfumo dume ufe
Tufahamishwe huyo mme wake tulia anafanya kazi gani ?
Ili iweje?
Yupo bank unasemaje?
Hahahhaa hatar sana @@innocenciamalyawere1503
Itakusaidia nini
Ni wakili jamani acheni utani Ila Ni mpole sana na hapendi kujionesha ndiyo maana wengine humtafsiri vibaya
Ili mwanamke awe mrembo awe na vigezo gani?🙄
Uzuri wa mke kwa mumewe ni tabia njema nyumbani na ndomaana kamsindikiza kwa ukarimu wao wawili ndimi zao zimejaa maneno ya hekima na busara ( mbarikiwe Sana na bwana awe nanyi)
Kama ulvyonavyo ww
Mbona wanafanana kaa matofali
Kinaongea kama kizungu falaaaaaaas
Acha chuki yako ya kijinga
Ndo vizuri tunapenda vizunguuuu falaeliiiiii
Msomi huyo
Tulia ! Umenogewa na Mishikaki China! Unamwalika Mr. wako aache Ajira yake ili mwongeze kipato kwa kwenda kubweka ktk mjengo wa Watanzania ? Ubungo siyo shamba la bibi.
Hafai hata kuongoza kijiji msifanye kosa .hana sida za uongozi Mkoloni asimamii haki .hafai kabisaaaaa
Pointless!gombea ww...unaijua haki
Kwa nn usigombee wew mbna huna kasoro yoyote
Mbona mzuri mme kuliko mke?
Kuna binadam aliyejiumba hata ww umejiumba?fikiri jambo kabla hujalisema mbele za watu,niushauri tu.
Ww dem wako anafananaj
inaonekana unaumba watu wazuri sn ongela inafikia hatua hata unataka kumzidi alieumba ulimwengu mzima na watu wake ushauri wangu umba na dunia yako ukakae na watu uliowaumba
Tulia komaa naxheo cha kuteuliwa
Cfa za kutusaidia Mbeya unazo!! Komaa!!
Ila watu wengine ubunge munakuja Kijiji I kuishi mjini VP
SUNGU ACHIYA NJIA TULIA AANZA KUTAMBA, KATI YA
WANAWAKE MAKINI WANAO
ISAIDIA TANZANI DK TULIA NI
MOJA WAO' MWENYEZ MUNGU
HILI TAIFA LAKO LA TANZANIA
TWAKUOMBA UTUPE VIÒNGOZI
MASHUHURI^. UTUPE. KWA WEMA WAKO.BABA MUNHU
Unasura ngumu utafikiri mkulima
We mtoto,kama sio sisi wakulima ungekula nini,alf wakulima ni wanasura nzr kamawabisha njoo huku ifakara uone huo mchele unaokula mtamu nani wnalima
wachawee
By by sung
Mzee baba umekodiwa nini..!!!???
Itakuwa asee
ahahahahahaha