NAENDA KUKUTANA NA PACOME PAMOJA NA AZIZ KI DAKIKA 90 TUTAKUA MAADUI WAKUBWA SANA
Vložit
- čas přidán 1. 08. 2024
- Follow us on Social Media Platforms
Instagram:
Crown FM - / crownfmtz
Crown TV - / crowntvtz
Twitter (X):
CROWN MEDIA SWAHILI: / crownmediatz
CROWN MEDIA ENGLISH: / crownmediaen
Facebook:
CROWN MEDIA: profile.php?...
TIKTOK:
- www.tiktok.com/@crownmedialiv...
SUBSCRIBE & WATCH OUR SHOWS: / @crownmediatz - Hry
Mkali pablo🔥 na sisi mashabiki zako tunaongea kimoyomoyo nusuru ya kumeza ulimi
Habari nzuri zinakuja kwa uyaledi mkubwa crown mko vixuri
Pablo sikujui hunijui ila nakuona mbali sana ndugu yang chukua maua Yako 🌹❤️
Crown mpo juuu mnaitendea haki nafasi ya habari na masikio kupata kikichobora
Hii ilikua isiitwe crown et ilikuw itwe howo au scania asnte muandishi nimekuelew namaua yako ayoapo🌹⚘️🌺
Safi Pablo Almas 🎉🎉🎉
Big up pablo
MWAMBA SANA HUYU PABLO ALMAS. MASTERY YA KIBABE YA KIFARANSA
MUANDISHI SUPER KABISA HUYU KUJUA LUGHA ZAIDI YA MOJA
hawa ndo waandishi jaman ❤❤❤
Chuma apa Leo nimekua WA kwanza
Pablo wewe ni mona sana mimi supporter wako kaka
Pabloo, Pablo, Pablo
Safii sanaa❤❤❤❤
Good brather
Hii tra bi tra mbona kama ndo ilikua inatajwa Bungeni kipindi flan au ndo Budget iliongezekea huku🤣🤣 🙌🙌🙌🙌
Shikamoo crown 👑 Media Shikamoo Pablo 🎉🎉🎉
Wamemuiba kwa manara tv huyo
Good job pablo
Ulitakiwa kutafsiri hata maswali
Nakukubari kakaa
wafanye haraka tunahamu ya kumuona huyoo mtuuu
Pablo ni black Tigger sio star
Pablo❤❤❤ uko vyedi sana
Nc
Yani hawa Singinda wamesajili vizuri kuliko hata SIMBA sijui MO anatuchukuliaje sisi Wanasimba
Pablo kahama manara tv
Pablo pablo niko naww
Pablo mbadiiii
Hapa King 👑 Alipatiya Xana Kukusajili💚👊🇹🇿🇹🇿🔥🔥🔥
Huyu mtafsiri hajatupiga kweli?
Mko vzur
Uyo dirisha dogo yanga
Pqbloooo🎉
Pablo upo vizuri lkn wakati mwengine unazingua
Sifa nyingi , kisa anajua lugha
Watu tumejipanga nyie makolo zuruleni😂😂😂😂😂
pablooooo
Anton tra bi tra ....
Pablo, umesahau kumtaja Yao Kouassi
Pabro
Bwana pablo tunataka utuwekee maneno tusome tunataka tumsikie yy mwenyewe tu na ww ila sio ukitafsiri
Unadhan ni rahis e😂