Video není dostupné.
Omlouváme se.

HAMISA MOBETTO AFUNGUKA MAHUSIANO YAKE NA AZIZ KI "NILIMSHAWISHI ABAKI, ANGEONDOKA NINGEMFATA"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 20. 08. 2024

Komentáře • 151

  • @mitinjemaziku
    @mitinjemaziku Před měsícem +3

    Hamisa good sana yaani Hela zetu tukiwalipa watu wa nje zisivuke mipaka zibaki hapa hapa hongera Hela zinabakia tz

  • @HamadRamadhanKhatib
    @HamadRamadhanKhatib Před měsícem +10

    Mapenzi nibzaidi ya pesa Kwa kweli hongera mabeto umetuachia furaha wananchi

  • @user-fm8rm9ec5j
    @user-fm8rm9ec5j Před měsícem +3

    Nakupenda unavopambana kua level za juu thaman Yako itakua Bora zaid ukitafuta one real kuchange saana kunakushusha thaman ❤

  • @metoo-zv7eq
    @metoo-zv7eq Před měsícem +12

    Simba wamtumie hamisa kumshawishi aje kucheza simba

    • @wilsonjaphet5547
      @wilsonjaphet5547 Před měsícem

      Mobeto ni simb@

    • @agnesjohn9382
      @agnesjohn9382 Před měsícem

      Wanini sasa

    • @fifo262
      @fifo262 Před měsícem +1

      Hamna hela yakumlipa AZIZI KI 😢😢

    • @ezzepuritykamwene2121
      @ezzepuritykamwene2121 Před měsícem

      ​@@fifo262aziz sio wa ajabu kiivyo, sema kakutana na tim yenye watu wazuri, angekua simba asingekua star km alivyo,

  • @kolosii4351
    @kolosii4351 Před měsícem +6

    Iwe iweje, Hamisa sisi tunakushukuru mama endelea kumtunza kaka yetu K.

    • @rexgodwill7353
      @rexgodwill7353 Před měsícem

      @@kolosii4351 na dukani kwake muende mkawanunue vitambaa na magauni mtoto WA watu nae apatepo faraja..
      Maana yule ki nae anaonekana kijana shughuli yake panachimbika...
      Mashuti yanayotoka pale mguuni yanaunguza magolikpa mikono 😁

  • @user-hi8le2vb7z
    @user-hi8le2vb7z Před měsícem +5

    Uyo dem aachagi upepo...😊

  • @yusufmsaa5693
    @yusufmsaa5693 Před měsícem

    MashaAllah Uyu bi harusi mjanja sana anacheka akiwa nafiraha ya kweli MashaAllah

  • @musamusa6213
    @musamusa6213 Před měsícem +2

    Dada safi mpe raha masta k❤

  • @franccoz94
    @franccoz94 Před měsícem +24

    Baada ya kumpiga AZIZI KI pesaa n mda wa kufungua dukaa

    • @Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k
      @Johnsonnsteven-zs1pg5cx9k Před měsícem +2

      🤣🤣🤣🤣 umenifuraish sn iyo ndo jambo

    • @jumaamohamed2815
      @jumaamohamed2815 Před měsícem +4

      Ww Ki Aziz, Awezi Pigwa ela watu wa africa magharibi ni wajanja sana

    • @rebbywealth9869
      @rebbywealth9869 Před měsícem +4

      Kaweke kalio na wewe ufungue duka... mwanaume mzima hovyo

    • @LovelyOmbreSky-pu4jt
      @LovelyOmbreSky-pu4jt Před měsícem +4

      Na wewe kampige k azizi ili ukafunguwe duka tuache ushamba kwani mtoto mrembo kama Hamisa kupewa chochoteni hakiyake

    • @rexgodwill7353
      @rexgodwill7353 Před měsícem +4

      Mwache apate hela kazi kubwa kaifanya.. YAANI KAMA KWELI KAPEWA HELA SIYO NA AZIZ BALI KAPEWA NA WAAJIRI WA AZIZI KI..
      Kafanya kazi ambayo ilikuwa inawashinda... TENA WAMLIPE VIZURI binti kajitoa muhanga kutoka kuwa shabik wa simba na kwenda kufanikisha misheni hii mathubuti kwa yanga 😅.. TENA WAKULIPE vizuri... Lasivyo chomoa betri 😂

  • @jumakapilima7295
    @jumakapilima7295 Před měsícem +7

    Waandishi wa kibongo hovyo sana!!

  • @user-lb1nr2fw7t
    @user-lb1nr2fw7t Před měsícem +5

    Daaha ukiwa na hela utaitwa handsome tu jaman tutafe pesa

  • @HalimaKassim-yz3we
    @HalimaKassim-yz3we Před měsícem +1

    Hongera sana ❤❤❤hamisa wangu

  • @abdy3477
    @abdy3477 Před měsícem +2

    Rick Ross is typing😊

  • @CareenTemba
    @CareenTemba Před měsícem +3

    Uzuri wa mwanamke sio sura Kaka zangu Ni tabia sura hata mbuzi anayo

  • @MwajumaMtonda
    @MwajumaMtonda Před měsícem +3

    Yani nimecheka kwa nguvu anyways nampenda sana huyu dada ❤❤❤❤

  • @MtessaAlly-rd4hf
    @MtessaAlly-rd4hf Před měsícem +1

    Ila huyu dada mzuri sana....

  • @RomanMwinyi
    @RomanMwinyi Před měsícem +3

    Sema uyu manzii namkubaliii

  • @happypiusi3801
    @happypiusi3801 Před měsícem +1

    Nakupenda hamisa❤

  • @nelsonleonard6768
    @nelsonleonard6768 Před měsícem +1

    Sema hamisa mzuri bana ngoja wenye hela wajilie tafteni tu majani hamisa analika tu😂😂

    • @ziadasalimu1730
      @ziadasalimu1730 Před měsícem

      Labda hivyo alivyoenda tengenesha shepu ,ila sura Hana mdomo umeenda upande akaufanyie sajari

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 Před měsícem +3

    Hamisa leo sijapenda nikusikizaga sichoki keo vipi au kweli una mahusiano na azizi k

    • @anethonesmo6390
      @anethonesmo6390 Před měsícem

      Wapo kibiashara hao wanatuzuga kupay attention kwa project Yao

  • @ChikuRashid-yg3jp
    @ChikuRashid-yg3jp Před měsícem +3

    Ivi kweli umempenda au umefuata ela

    • @errydeo8865
      @errydeo8865 Před měsícem +1

      Huyu ni smart girl! Ana ela za kukusha wewe na familia yako! Kaona opportunity kaitumia,watu wenye akili Thats what they do! Aziz kutua tu pale ufunguzi wa duka lake Africa nzima na nje wamejua!! UKIIONA FURSA BARABARANI ITUMIE! kalagabao😂😂😂 well done girl...hapo hamna uchawi,ni AKILI

  • @kelvinimunishi3334
    @kelvinimunishi3334 Před měsícem +4

    Nampenda Sanaa Hamisa Mobetto❤❤❤

  • @michaelmallya8847
    @michaelmallya8847 Před měsícem +1

    hiii Ya mchongooo wanangu msipagawe😊

  • @STANFORDNTILUGWALUGWA
    @STANFORDNTILUGWALUGWA Před 18 dny

    Oyaa mobeto mtunze sana huyo bro kwa mapenz mubashara asiondoke bongo maana yeye ni kipenz chetu kama mashabiki wa young African

  • @LeocardiaPeter-c6j
    @LeocardiaPeter-c6j Před 25 dny

    I like it ❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @nshaijatedy5512
    @nshaijatedy5512 Před měsícem +3

    Yan Aya ma kiki bhana

  • @rajimuashirafa8265
    @rajimuashirafa8265 Před měsícem

    Hapa ndipo namuelewa Hamisa mobeto anajielewa snaaa anafungua Biashara zake huku mnapiga porojo ,,,,huyu ni mwanamke anahaki ya kupenda na hapangiwi ni binadamu anahisia pia kama kweli kampenda ki master ruksa tu kwake

  • @mrsmumewangu4907
    @mrsmumewangu4907 Před 14 dny

    Dada uchi wake auna sili tena nimwendo wakufunuliwa tu kikubwa mkono wako ukiwa mrefu😅

  • @cynthiapwani1383
    @cynthiapwani1383 Před měsícem

    Ila kumbe hamisa sura yako ni ya kawaida tu hutishi kiviiiile eh aya bhna Mungu akujaalie utulivu watoto wako waige vyema.

  • @SuzanIkwabe
    @SuzanIkwabe Před měsícem +1

    Hivi mnajua kweli hamisa huwa anapenda sn Kiki na kujitredisha ili asisahaulike wala hana mahusiano ya kimapenzi ni rafiki yake tu😅😅😅😅

  • @user-mo7iq2fd8g
    @user-mo7iq2fd8g Před měsícem +1

    kale kananiliu leo hakipo wakat yupo #Aziz🔑

  • @PudensianaNavona
    @PudensianaNavona Před měsícem

    😢❤😅hongera dada

  • @TalkiNgailo
    @TalkiNgailo Před měsícem

    Ahh bahamed uyo. Ad anatak atok na mbape😂😂😂😂😂😂😂

  • @user-mo7iq2fd8g
    @user-mo7iq2fd8g Před měsícem +5

    hamisa mageto😂😅

  • @livinglikelarry9892
    @livinglikelarry9892 Před měsícem

    Damn she's cute

  • @erca111
    @erca111 Před měsícem

    Nampenda hamisa sema anamoyo mkubwa sana huyu dada ana moyo nyie...I dare you to fall for Ki aziz😂😂 sema ts all about money..she deserve the tittle *CASH MADAME*😂😂😂❤

  • @maryamtanzania9743
    @maryamtanzania9743 Před měsícem +2

    Hamisa uwe unasuka tu usiachie nywele

  • @saidbakari7998
    @saidbakari7998 Před měsícem +1

    Aziz k. Kwishaa😂😂

  • @donlinechanell4760
    @donlinechanell4760 Před měsícem +1

    Huyu dem ni umbo tu bana😂😂😂😂uso ni wa kawaida .

  • @geofreymalangu3737
    @geofreymalangu3737 Před měsícem

    Akicheka sura inakuwa mbaya ndomana anajifunika akicheka

  • @petercostakisoka
    @petercostakisoka Před měsícem +2

    Daah amekataa mshahara mkubwa usishangae msimu ujao amna timu inamtaka ata kwa buku

  • @user-oc3wu7js5k
    @user-oc3wu7js5k Před měsícem

    Ww Hamisa tulia na mwanaume mmoja umesha kuza watoto sio sifa kila mwanaume anakupana. Unawafunza nini watoto wako? Pesa tutaziacha hapa dunian.

  • @ezzepuritykamwene2121
    @ezzepuritykamwene2121 Před měsícem

    Mobeto ni mkubwa kwq Aziz ,,kitqmbo huyu kwenye game ,,ila kwa kuwa kapata sehem nzuri ya kukis sio mbaya

  • @MafuruGeremu
    @MafuruGeremu Před měsícem

    Ila wanaume tulishapigwa vizinga hamna cha kupamban wala nin hizo hela ni za watu alio date nao aliomtumia

  • @josiacharles2778
    @josiacharles2778 Před měsícem +1

    Mwanamke malaya waziwazi chalamila njoo kamata uyu tia ndani😂

  • @MahmoudAhmed-hy7js
    @MahmoudAhmed-hy7js Před 29 dny

    زوجتي مستقبلية هي تنزانية يا ناس

  • @Namkulanga
    @Namkulanga Před měsícem

    Uongo 3:55 3:57

  • @mohamedredsea962
    @mohamedredsea962 Před měsícem

    Yanga msije kumchokoza hamisa mana mkataba WA Aziz k anao hamisa

  • @anethonesmo6390
    @anethonesmo6390 Před měsícem +1

    Unatudanganya Misa hakuna mahusiano your cooking something nmekaa pale

  • @mrsabdul-mz8hh
    @mrsabdul-mz8hh Před měsícem

    Alafu namimi nimecheka wallah 😂😂😂😂Apo nyieeee 😂😂😂😂 Akhhhhhhhh

  • @snipershort6988
    @snipershort6988 Před měsícem

    Duh, Sio kwa domo hilo kumbe kuna wakati sura inaonesha uhalisia, pindi unapocheka ana mdomo mkubwa blaa😮😮 ndomana anauziba mweh!!😁😁

    • @rebbywealth9869
      @rebbywealth9869 Před měsícem

      Kamuumbe wako ambae hajapinda....
      Mnakuwaga wapumbavu mkiwa nyuma ya keyboard

  • @mussaelias3535
    @mussaelias3535 Před měsícem

    Kwani kuna shida huyu dada kuwa karibu na Aziz muacheni ale maisha

  • @user-xh1ns6yu9x
    @user-xh1ns6yu9x Před měsícem

    Leo aziz ki,jana millard,juzi rick ross,diamond, na wengine kibao wanapishana mwez mwez tu,utaskia na kesho yupo kwangu kapu la magori ilo sio dem wa kujivunia

    • @BarakaKusalula
      @BarakaKusalula Před měsícem

      Umesahau Majizo hapo na yule jamaa wa France

  • @magrethmalobola5470
    @magrethmalobola5470 Před měsícem

    Kweli huyu katumika kumbakisha Azizi k

  • @liseprimaryschool2596
    @liseprimaryschool2596 Před měsícem

    Bongo kuwa super star unanyaka yeyote

  • @vumiliamgendi148
    @vumiliamgendi148 Před měsícem

    Aibu sana

  • @user-is2pj2vq3r
    @user-is2pj2vq3r Před měsícem

    Kuwakilisha ligi ya bongo NIMECHEKA SANA🫵🤣😅🤣

  • @EmmanuelHaule-w6t
    @EmmanuelHaule-w6t Před 19 dny

    haya

  • @KhamisHamad-p2s
    @KhamisHamad-p2s Před měsícem

    Huyo ni malawa 2 Hana lote ni mwnake malawa

  • @jumamnambangule1957
    @jumamnambangule1957 Před měsícem

    Asa huk nd kushawiiishii😃

  • @LazaroELucas
    @LazaroELucas Před měsícem

    Nisaidieni kumuuliza Rick Rosee aliachana nae

  • @user-bz5ti6op6z
    @user-bz5ti6op6z Před měsícem

    Pesa sabuni ya roho Azizi ki na sura yake yite hamisa mobeto aikubali

  • @wakusomacomedy
    @wakusomacomedy Před měsícem

    Ameyatimba ep 01

  • @emamanuelpallanjo6693
    @emamanuelpallanjo6693 Před měsícem

    Diamond ulimuacha kwann ss wakat anaela nying kulko iyo azz k

  • @trizereve3386
    @trizereve3386 Před měsícem

    Huyu dada kila mwanaume akishikana nae anamwangia sifaa hana kinyogo

  • @babujohnmwita4337
    @babujohnmwita4337 Před měsícem

    Ana uwezo gani wa kumbakisha azizi uyo? Na nyie sijui mnaulizaga maswali gani, oya Millard unapotea kwa izi interv

  • @AdamMwananzumi
    @AdamMwananzumi Před 7 dny

    Hapana Pesando kilakitu

  • @Kacharich
    @Kacharich Před měsícem

    Amisa usisahahu Ile Kazi tumekupa Wana simba

  • @RoseMichael-oz7cy
    @RoseMichael-oz7cy Před měsícem

    Me cjaelewa vzur juzkati c alikua na yule don cjui mnaija mpk akapewa mkoko sa mbn ghafla tena? au ni episode zinaendlea

  • @adolfmathew9698
    @adolfmathew9698 Před měsícem

    Huyu demu ni mzuri kinyama au naona vibaya?

  • @rashidiiddi2433
    @rashidiiddi2433 Před měsícem +2

    Umri umeenda Sasa nimda wakutubu

  • @PendoRobert-ph6ux
    @PendoRobert-ph6ux Před měsícem

    Ila hamisa na komwe lako

  • @davidrweyemamu938
    @davidrweyemamu938 Před měsícem

    Masikini bado kana utoto mwingi japo kanajitwisha majukumu mazito!

  • @ProsperSantos
    @ProsperSantos Před měsícem

    Aziz ki bwabwa kweli yatamkuta ya Emmanuel ebua anaendekeza mapenz anasahau kaz

  • @WitnessHassan-gy3rz
    @WitnessHassan-gy3rz Před měsícem

    Wakaka mjifunze hapo kuna nini?
    Mjini shule dahaa cheza na nyakati

  • @MusaJuma-jr7wb
    @MusaJuma-jr7wb Před měsícem

    Kweli ukipanda unalipa nauli ukishuka mwingine anapanda

  • @masukekihanda
    @masukekihanda Před měsícem

    Huyo tayar

  • @YushaMohamed-qh8ch
    @YushaMohamed-qh8ch Před měsícem

    😂😂 what?

  • @barutiabuu9492
    @barutiabuu9492 Před měsícem

    Muogope mungu we kahaba kabla haja toa hiko kiriho chako unacho lingia nacho

    • @happypiusi3801
      @happypiusi3801 Před měsícem

      Mh unaugomvi nae au maisha magumu yanakufanya uwe ma chuki

    • @barutiabuu9492
      @barutiabuu9492 Před měsícem

      @@happypiusi3801 Njoo nikupe kazi ufanye ndio utajua nina njaa au laa au nawew nikahaba maana nchi hii now makahaba wamejaa nilaana tupu imejaa tanzania hapa bila kufunuliwa hamuwezi kuishi miili yenu ndio mitaj yenu yakuishi njoo nilipo ndio ujue nina njaa au wewe ndio mwenyenjaa

  • @SuzanaSuzanamwangingo-uu4ct

    Kwani ufiche mdomo ikicheka au unanuka ?

  • @catherinekanono4298
    @catherinekanono4298 Před 21 dnem

    Hamisa amechanganyikiwa she is gold digger hajiheshimu unafuata nyayo za zari roho ya umalaya inamsumbua shame on you

  • @niwemugenimediatrice5640
    @niwemugenimediatrice5640 Před měsícem

    Hivi huyu ana wanaume wangapi?

  • @fatmaalliy3699
    @fatmaalliy3699 Před měsícem

    Heeee huyu nae mila mwezi anamahusiano mapya

  • @KingMoses-kq9yy
    @KingMoses-kq9yy Před měsícem

    😂

  • @ZuhuraRajabu-rc3zf
    @ZuhuraRajabu-rc3zf Před měsícem

    Kama huna D2😅

  • @evansmoshi1923
    @evansmoshi1923 Před měsícem +1

    Mdomo wake umepimdaa nini shidaa?

    • @rebbywealth9869
      @rebbywealth9869 Před měsícem

      Kaumbe binadamu wako ambae amenyooka mdomo

    • @evansmoshi1923
      @evansmoshi1923 Před měsícem

      @@rebbywealth9869 poa ndio namalizia kumuumba hapa

  • @MusaJuma-jr7wb
    @MusaJuma-jr7wb Před měsícem

    Kilamtu unampenda yupi AmBAR humpendi

  • @ibrahimmakame3533
    @ibrahimmakame3533 Před měsícem

    Kudanga tu umri unakwenda ushanza kuzeeka , mtafute wa kukuzika.

  • @ziadasalimu1730
    @ziadasalimu1730 Před měsícem

    Kwani huyu azizi k hama mke?

  • @marthageorge5043
    @marthageorge5043 Před měsícem

    😂😂😂😂😂😂

  • @rajabdibwa6415
    @rajabdibwa6415 Před měsícem +1

    Inasemekana au nyinyi ndio mnasema?😂

  • @user-lb1nr2fw7t
    @user-lb1nr2fw7t Před měsícem

    Duuh amisa ana shahawa za wanaume wengi Sana mwilini mwake maana kila mtu anakojolea choo chake

  • @user-zr8be7ep4g
    @user-zr8be7ep4g Před měsícem

    Malaya ti

  • @GraceJofrey-v9w
    @GraceJofrey-v9w Před 7 dny

    Anamke yule

  • @vumiliamgendi148
    @vumiliamgendi148 Před měsícem

    Du pesa zitakuja kuwauwa Malaya nyie

  • @BarakaJoseph-ij2hc
    @BarakaJoseph-ij2hc Před měsícem

    Hyu demu ana macho ya dharau daaah

  • @zuenahamoud1532
    @zuenahamoud1532 Před měsícem +3

    Huyu mwanamke kashazoea kuchezewa nakila mwanaume hana mpenzi 1 yaani ndoa ataiskia kama mama ake

  • @KhamisHamad-p2s
    @KhamisHamad-p2s Před měsícem

    Huyo ni malawa 2 Hana lote ni mwnake malawa

  • @MusaJuma-jr7wb
    @MusaJuma-jr7wb Před měsícem

    Unampenda unatamani mana keshopia utapenda mwingine