Huko chuga kila mtu Ni mady brooh imagine chalii anaenda chukuwa dawa hospital huku kabeba kid wake (marehemu) this it's more than Ukraine war... Arusha it's another country in country....
Tusimlaumu sana uyo dada maan yeye katolewa mimba na uyo anaedaiwa kua mama yake wa kambo, atuwez jua uyo mama wa kambo alimtishia vp uyo binti mpka akakubali kutoa, duh dunia hii mungu atusameh tu
Namfahamu dada mmoja alitoa mimba miaka kumi iliyopita huyo dada hajisikii vizuri mpaka leo anajilaumu sana wakati anatoa mimba boyfriend wake alimuacha na huyo dada alikuwa hana kazi wala hana uwezo wa kulea mtoto na wakati amepata ujauzito alikuwa na msongo wa mawazo na alikuwa kwenye dozi ya dawa huyo dada leo hii anaumia sana na stress za kutoa ile mimba mpaka anakunywa sana pombe ili kupunguza mawazo na mimba ilikuwa ndogo sio kubwa kuna kipindi alikunywa pombe mpaka alienda sober house kuokoa maisha yake na ametishia kujiua mara nyingi sana mpaka social wakampeleka hospitali kuongea na saikolojia na mwanzo hakujua kuwa ana mimba maana alikuwa akipata hedhi kama kawaida
Huyo msichana na mamayake wakambo laho moja kabla hajatoa kwaniniasimshauli baba malehem mtoto kwanza kwani alofungwakamba wakatianatolewa. Naehuyo rohoyaje bom tu
Innalillahi wa inna ilaiyhi Rajiuun 😢Yani Laana zitatumaliza ya Allah tustiri waja wako 😢😢unapata wapi ujasiri wakutowa mimba? Lailaha illa Llah Subhanallah 😭
Yani kutowa mimba sitoi mungu nisaidie na kizazi changu
Huko chuga kila mtu Ni mady brooh imagine chalii anaenda chukuwa dawa hospital huku kabeba kid wake (marehemu) this it's more than Ukraine war... Arusha it's another country in country....
Arusha ni Nairobi sio Tanzania😭
Kwisha
Yani chuga ukizingua hawanaga utani wanapiga atar
Uyo Mama Achukuliwe Hatua Anaroho mbaya sana
Huyo mwanaume anayetaka kumuoa ajifikirie tena mara 2 😂 huyo sio mke ni muuaji😢
Arusha mmenishinda tabia jamani mmmhh🙌🙌🙌🙌Mungu turehemu siku za mwisho hizi tutaona mengi na kusikia mengi
Jamani Mimi nimechoka kabisa
Umeiyona kombati lakini😅
Subhanallah yarrab tunusuru nafsi zetu uwiiiiii mbona wamama roho ngumu ivyo asa si bora angeitunza kisha akamzaa na kumpa huyo kijana haiyaa yamemkuta subiri sheria ifate mkondo wake
Tusimlaumu sana uyo dada maan yeye katolewa mimba na uyo anaedaiwa kua mama yake wa kambo, atuwez jua uyo mama wa kambo alimtishia vp uyo binti mpka akakubali kutoa, duh dunia hii mungu atusameh tu
Allah atusamehe ila rafiki una ushauri mzuri
Mama wa kambo ni mama sasa!
Kapeleka taarifa kashikiliwa yeye, hii si itapelekea watu kuogopa kutoa taarifa za jambo lolote
Jeshi la polisi liko namaana nzuri tu kumshikilia huyo jamaa,na uchunguzi pale ukikamilika mtawaelewa tu🙏🙏🙏🙏💯
Harafu badae wasipopata mtto wanahaza kulia kwa mitandao wasenge sana mnauwa roho ya mtu mungu hatawacha salama
Arusha kuna nini mrudieni Mungu Aliye Juu Bwana Yesu 🇮🇱🕎🔥⛪
Nyie huyu mjeshi kajitoa ufahamu na kombati lake hadi police na kimalboro chake😂😂
😂😂😂😂😂😂sio mjesh bahn ni vazi tu
Huyo Binti na huyo mama choma ndani hii dhambi ni nomaa
Arusha acheni bangi mnajua asilimia 50% ni mteja ila huyo mdada na mamaake wakamatwe wameuwa kiumbe kisio na hatia
😭😭😭😭😭huu ni ukatili kupitia,angezaa tu jamani
Alaf c kuna MTU kaibiwa mimba huko?😁 Arusha🙋
Arusha Arusha 😭😭😭
😢😢😢😢😢huu ni ushetani ...
Jmaa anavaa combart ya jeshi la marekani la air force 😂 Aise Arusha imeshindikana 🤣
Acha kabisa😂😂😂😂 sema hilo dude la US ARMY
Hata mimi nimeangalia mara mbilimbili😂😂
😂😂
😂😂😂
Na kaenda nalo mpk polisi halafu hajali Wala nn🤣
Sheikhe malembaaaaa nani kamuona km kishapowwwww gonga like..🤔
Mbaya sana
Jaman kichanga kosa lake nn hadi kifanyiwe ukatili huo😭wanawake tumuogope Mungu
Subhanallah kuna mtu wana roho mbaya sana hawana hofu ya mungu kabisa 😢
Arusha ni noma
Pole sana bro ila baazi ya mama wa kambo wabaya sana
Jaman
Mwendelezo tafadhal
Angeitak hy dhambi angetow kimya kimya watu wasijue hii dhambi sana mnadhalilisha kiumbe
Subuhanallah
Duh....😓😢
Mimi nipo hapa nakunywa mizizi nipate mimba ya Allah nakuomba unijaalie uzazi ulio bora
Allah atakupa uzazi wenye Kheri na ww inshaAllah... Nakuombea huu mwaka kbl hujaisha na ww uwe mjamzito😢🤲
Mungu atakupa haja ya moyo wako mpenzi
Inallilah wainna lillah rajuun
INNA lILAHI WAINNA ILAYHI RAJ'UN
Nawapa pole Huyo binty na Huyo kijana aliebebeshwa maiti
Duuuh, sasa anauhakika km atamuoa hy mtu mwngn
Daah arusha bwanaaa mmmh
Hahahaaa...wamewauzia mbuzi kwenye gunia,msingekubali kubeba hicho kichanga kwenda nacho polisi mngewaitia wenyewe polisi wakaja kuwakamata na kichanga chao
Dhambi kubwa sanahiyo jamani .mungu amemuona Mama wakambo ndiyo chanzo
Na huko anapoolewa atakosa mtt malipo dunian 😭
Ajatoa yeye kwaiyali yake mama yake wakambo ndo kamtoa kilazima ili amwozeshe kwa mtu mwingine
sawa Mungu
Mhhh kazi wanayo hawa
Bila shaka mwisho wa Dunia ndo huu
Dah😢
Namfahamu dada mmoja alitoa mimba miaka kumi iliyopita huyo dada hajisikii vizuri mpaka leo anajilaumu sana wakati anatoa mimba boyfriend wake alimuacha na huyo dada alikuwa hana kazi wala hana uwezo wa kulea mtoto na wakati amepata ujauzito alikuwa na msongo wa mawazo na alikuwa kwenye dozi ya dawa huyo dada leo hii anaumia sana na stress za kutoa ile mimba mpaka anakunywa sana pombe ili kupunguza mawazo na mimba ilikuwa ndogo sio kubwa kuna kipindi alikunywa pombe mpaka alienda sober house kuokoa maisha yake na ametishia kujiua mara nyingi sana mpaka social wakampeleka hospitali kuongea na saikolojia na mwanzo hakujua kuwa ana mimba maana alikuwa akipata hedhi kama kawaida
Sahv Arusha kuna nini jmn Mungu tuponye nchi yetu
Innalillah wainnalilah rayjun duh
Jamani puuu Mungu shuka tusaidie jamani
Duuu watu Wana roho ngumu sana, yaani kuolewa ni muhimu kuliko mtoto? Rip baby
Yaani mtu Yuko radhi atelekeze watoto Ili tu akaolewe
Unakuta anaolewa af hakukaliki nyuma inakuwa ngumu
Dah😭😭😭😭
Mngu atusaidie
Daaaaaa jamani dunia inaelekea wapi
Kazi ipo
😭😭😭😭😭😭😭😭Jaman jaman hii inauma sana
Wanawake wanawake tumwogope Mungu jaman mbona ivi Mungu Wang katoto kanashida gan sasa😢😢😢😢
Eu sinto muito😭😭😭 nao quero nem ouvir esse papo.
Duuuu hii dunia ni mtihani sijui binadam tunaekea wapi
Rest in peace Daaaaa Mbk naogopa jmn arusha yangu
😊
Stela Mushi ukimzingua unaweza chezea beto za kutosha anakufanya chekecheke😂
Duh
Huy mama wakambo sio Mama na huy Dada atapt mikos mpk ajute maishan
Dah hii inanikumbusha jambo😢
Duniya inamambo😮😮
Arusha Arusha Arusha
Duniani Kuna mambo Yan nimechekaa kama mazuri
Huyo mama waķmbo nahuyo msichana kijana alichanganyikiwa
😢😢😢😢😢😢😢😢😢
Apo kwa machupa
Kumbe mwanaume mwenyewe Ana dozi😂 hata Mimi nisingekubali mwanangu azae na mla unga
😢
Naitwa Abdull lakini najulikana kama Ken
Ni kweli lkn Arusha kumezidi chali yangu duu
Mbona jamaa Anaoneka Aliwaifanya jeshi us 😂
Heeee Watu wana Roho za ajabu duuuh
uko anakoenda kuolewq hata beba mimba kama ameweza kuuw anaetaka kumuowa nae afikirie
Marbolo ni aina ya mifuko
Arusha moto duhh Kila siku matukio tu
Aisee hivi hii Dunia inaenda wapi
Hiidinia jaman 😢
Kwani uyo ni mwanajesh wa marekani au
Asa mbona marboro
Mwandishi ana kichwa kigumu sn yan anauliza maswali yaleyale
🤣🤣🤣 vituko kweli.
Arusha kama mbele yani
Haya sasa mnasemaga wanaume ndo tunasababisha wanawake kutoa momba haya oneni sasa!
Yalabi tujalie tutimize ndoto zetu
Jamaa kaenda polisi na kombati ya Jeshi la USA bila kujali polisi wametoa tamko ivi karibuni!!!
Sio kwa watu wa arusha nadhani hawajaiona hiy taarifa😅😅😅😅
Sasa hapo watamkamata Mama wa kambo au watamkamata aliye toa ujauzito
Marborooo 🤓🤓🤓
Duu hivi hizi laana mtazipeleka wapi
Mwandishi unachosha unaulza maswali mara 2 mxieeew
Jamani mama wa kambo Si mama😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Si wote
Huyu muandishi mpuuzi sana maswali gani anarudia rudia na kila akiambiwa kitu haelewi…
Huyo msichana na mamayake wakambo laho moja kabla hajatoa kwaniniasimshauli baba malehem mtoto kwanza kwani alofungwakamba wakatianatolewa. Naehuyo rohoyaje bom tu
Arusha Kuna watu.
Wachaga nao wako na mambo kila siku ni wachaga tu😏😏😏😏
🥺🥺🥺🥺🥺🥺
Wewe mwandishi mbonahuelewi? Kilaunavyoambiwa unaulizatu loh
Arusha mnalaana
Jamani nyie wamama wa mambo badilikeni mnaroho nene