JAMAA AZUNGUKA NA KICHANGA MFUKONI ARUSHA, ATAKA KUKIZIKA MWENYEWE, MAMA WA KAMBO ATAJWA KUHUSIKA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 18. 07. 2023

Komentáře • 204

  • @khadidjasuleiman8006
    @khadidjasuleiman8006 Před rokem +15

    Innalillahi wa inna ilaiyhi Rajiuun 😢Yani Laana zitatumaliza ya Allah tustiri waja wako 😢😢unapata wapi ujasiri wakutowa mimba? Lailaha illa Llah Subhanallah 😭

  • @user-yy7qy7rs2y
    @user-yy7qy7rs2y Před rokem +9

    Yani kutowa mimba sitoi mungu nisaidie na kizazi changu

  • @chesterbrand6723
    @chesterbrand6723 Před rokem +16

    Huko chuga kila mtu Ni mady brooh imagine chalii anaenda chukuwa dawa hospital huku kabeba kid wake (marehemu) this it's more than Ukraine war... Arusha it's another country in country....

  • @Director_Kitindi_Complete

    Uyo Mama Achukuliwe Hatua Anaroho mbaya sana

  • @khadijambarouk2983
    @khadijambarouk2983 Před rokem +10

    Huyo mwanaume anayetaka kumuoa ajifikirie tena mara 2 😂 huyo sio mke ni muuaji😢

  • @stellamsokwa6785
    @stellamsokwa6785 Před 3 měsíci +2

    Arusha mmenishinda tabia jamani mmmhh🙌🙌🙌🙌Mungu turehemu siku za mwisho hizi tutaona mengi na kusikia mengi

  • @aisharamadhani1948
    @aisharamadhani1948 Před rokem +3

    Subhanallah yarrab tunusuru nafsi zetu uwiiiiii mbona wamama roho ngumu ivyo asa si bora angeitunza kisha akamzaa na kumpa huyo kijana haiyaa yamemkuta subiri sheria ifate mkondo wake

  • @HappyPallangyo
    @HappyPallangyo Před rokem +2

    Tusimlaumu sana uyo dada maan yeye katolewa mimba na uyo anaedaiwa kua mama yake wa kambo, atuwez jua uyo mama wa kambo alimtishia vp uyo binti mpka akakubali kutoa, duh dunia hii mungu atusameh tu

  • @yusrazamra64
    @yusrazamra64 Před rokem +5

    Allah atusamehe ila rafiki una ushauri mzuri

  • @musampanda3643
    @musampanda3643 Před rokem +5

    Mama wa kambo ni mama sasa!

  • @leokamil6284
    @leokamil6284 Před rokem +10

    Kapeleka taarifa kashikiliwa yeye, hii si itapelekea watu kuogopa kutoa taarifa za jambo lolote

    • @89_Media
      @89_Media Před rokem +1

      Jeshi la polisi liko namaana nzuri tu kumshikilia huyo jamaa,na uchunguzi pale ukikamilika mtawaelewa tu🙏🙏🙏🙏💯

  • @lailalaila8206
    @lailalaila8206 Před rokem +2

    Harafu badae wasipopata mtto wanahaza kulia kwa mitandao wasenge sana mnauwa roho ya mtu mungu hatawacha salama

  • @robertigohe7477
    @robertigohe7477 Před 2 měsíci

    Arusha kuna nini mrudieni Mungu Aliye Juu Bwana Yesu 🇮🇱🕎🔥⛪

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 Před rokem +3

    Nyie huyu mjeshi kajitoa ufahamu na kombati lake hadi police na kimalboro chake😂😂

  • @ruthjapheth174
    @ruthjapheth174 Před 3 měsíci

    Huyo Binti na huyo mama choma ndani hii dhambi ni nomaa

  • @Chiruka-qj3eb
    @Chiruka-qj3eb Před rokem +5

    Arusha acheni bangi mnajua asilimia 50% ni mteja ila huyo mdada na mamaake wakamatwe wameuwa kiumbe kisio na hatia

  • @marthageorge5043
    @marthageorge5043 Před rokem +3

    😭😭😭😭😭huu ni ukatili kupitia,angezaa tu jamani

  • @jeremialyati6092
    @jeremialyati6092 Před rokem +2

    Alaf c kuna MTU kaibiwa mimba huko?😁 Arusha🙋

  • @twiseghekisilu8845
    @twiseghekisilu8845 Před rokem +6

    Arusha Arusha 😭😭😭

  • @neema_mollel
    @neema_mollel Před rokem +3

    😢😢😢😢😢huu ni ushetani ...

  • @edwinemrod3933
    @edwinemrod3933 Před rokem +11

    Jmaa anavaa combart ya jeshi la marekani la air force 😂 Aise Arusha imeshindikana 🤣

  • @feisalmwinyi2429
    @feisalmwinyi2429 Před rokem

    Sheikhe malembaaaaa nani kamuona km kishapowwwww gonga like..🤔

  • @zebykulwa578
    @zebykulwa578 Před rokem

    Mbaya sana

  • @pendosalu9660
    @pendosalu9660 Před rokem +2

    Jaman kichanga kosa lake nn hadi kifanyiwe ukatili huo😭wanawake tumuogope Mungu

  • @dottohami
    @dottohami Před rokem +3

    Subhanallah kuna mtu wana roho mbaya sana hawana hofu ya mungu kabisa 😢

  • @bitecastory2137
    @bitecastory2137 Před rokem

    Arusha ni noma

  • @Youngteo394
    @Youngteo394 Před rokem

    Pole sana bro ila baazi ya mama wa kambo wabaya sana

  • @user-nn5sq8ol4g
    @user-nn5sq8ol4g Před rokem

    Jaman

  • @neemasalysaly4332
    @neemasalysaly4332 Před rokem

    Mwendelezo tafadhal

  • @PaulinaSemindu-ob3de
    @PaulinaSemindu-ob3de Před rokem +1

    Angeitak hy dhambi angetow kimya kimya watu wasijue hii dhambi sana mnadhalilisha kiumbe

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 Před rokem

    Subuhanallah

  • @mustafaalli4698
    @mustafaalli4698 Před rokem

    Duh....😓😢

  • @jazeerajuma5014
    @jazeerajuma5014 Před rokem +10

    Mimi nipo hapa nakunywa mizizi nipate mimba ya Allah nakuomba unijaalie uzazi ulio bora

    • @nasrahchambuso1131
      @nasrahchambuso1131 Před rokem

      Allah atakupa uzazi wenye Kheri na ww inshaAllah... Nakuombea huu mwaka kbl hujaisha na ww uwe mjamzito😢🤲

    • @tinnahagustinolyelu4247
      @tinnahagustinolyelu4247 Před 11 měsíci

      Mungu atakupa haja ya moyo wako mpenzi

  • @mustaphakijazi9807
    @mustaphakijazi9807 Před rokem +1

    Inallilah wainna lillah rajuun

  • @rehematawalani733
    @rehematawalani733 Před rokem

    INNA lILAHI WAINNA ILAYHI RAJ'UN
    Nawapa pole Huyo binty na Huyo kijana aliebebeshwa maiti

  • @khadijahali4837
    @khadijahali4837 Před rokem +2

    Duuuh, sasa anauhakika km atamuoa hy mtu mwngn

  • @husseinally5550
    @husseinally5550 Před rokem

    Daah arusha bwanaaa mmmh

  • @claudiajames2003
    @claudiajames2003 Před rokem +1

    Hahahaaa...wamewauzia mbuzi kwenye gunia,msingekubali kubeba hicho kichanga kwenda nacho polisi mngewaitia wenyewe polisi wakaja kuwakamata na kichanga chao

  • @dinagasper1097
    @dinagasper1097 Před 10 měsíci

    Dhambi kubwa sanahiyo jamani .mungu amemuona Mama wakambo ndiyo chanzo

  • @PaulinaSemindu-ob3de
    @PaulinaSemindu-ob3de Před rokem +18

    Na huko anapoolewa atakosa mtt malipo dunian 😭

    • @irenemdoe5301
      @irenemdoe5301 Před rokem +2

      Ajatoa yeye kwaiyali yake mama yake wakambo ndo kamtoa kilazima ili amwozeshe kwa mtu mwingine

    • @hallin9561
      @hallin9561 Před rokem

      sawa Mungu

  • @samboarnold611
    @samboarnold611 Před rokem

    Mhhh kazi wanayo hawa

  • @aminielimushi8709
    @aminielimushi8709 Před rokem +4

    Bila shaka mwisho wa Dunia ndo huu

  • @mkombozsanga
    @mkombozsanga Před rokem

    Dah😢

  • @happynelson1180
    @happynelson1180 Před rokem +3

    Namfahamu dada mmoja alitoa mimba miaka kumi iliyopita huyo dada hajisikii vizuri mpaka leo anajilaumu sana wakati anatoa mimba boyfriend wake alimuacha na huyo dada alikuwa hana kazi wala hana uwezo wa kulea mtoto na wakati amepata ujauzito alikuwa na msongo wa mawazo na alikuwa kwenye dozi ya dawa huyo dada leo hii anaumia sana na stress za kutoa ile mimba mpaka anakunywa sana pombe ili kupunguza mawazo na mimba ilikuwa ndogo sio kubwa kuna kipindi alikunywa pombe mpaka alienda sober house kuokoa maisha yake na ametishia kujiua mara nyingi sana mpaka social wakampeleka hospitali kuongea na saikolojia na mwanzo hakujua kuwa ana mimba maana alikuwa akipata hedhi kama kawaida

  • @laurenciamwalongo8165

    Sahv Arusha kuna nini jmn Mungu tuponye nchi yetu

  • @zakhiamsuya4922
    @zakhiamsuya4922 Před rokem

    Innalillah wainnalilah rayjun duh

  • @tinnahagustinolyelu4247
    @tinnahagustinolyelu4247 Před 11 měsíci

    Jamani puuu Mungu shuka tusaidie jamani

  • @farajasallah2338
    @farajasallah2338 Před rokem +34

    Duuu watu Wana roho ngumu sana, yaani kuolewa ni muhimu kuliko mtoto? Rip baby

  • @suzyclement3899
    @suzyclement3899 Před rokem

    Dah😭😭😭😭

  • @eliupendo3205
    @eliupendo3205 Před 11 měsíci

    Mngu atusaidie

  • @jinnahsameer
    @jinnahsameer Před rokem

    Daaaaaa jamani dunia inaelekea wapi

  • @nusraabdull
    @nusraabdull Před 9 měsíci

    Kazi ipo

  • @owenyatv9142
    @owenyatv9142 Před rokem

    😭😭😭😭😭😭😭😭Jaman jaman hii inauma sana

  • @tinaminja5500
    @tinaminja5500 Před rokem +10

    Wanawake wanawake tumwogope Mungu jaman mbona ivi Mungu Wang katoto kanashida gan sasa😢😢😢😢

  • @youngtomuller-vh2pu
    @youngtomuller-vh2pu Před rokem

    Eu sinto muito😭😭😭 nao quero nem ouvir esse papo.

  • @YusraMadodo-sl5oh
    @YusraMadodo-sl5oh Před rokem

    Duuuu hii dunia ni mtihani sijui binadam tunaekea wapi

  • @ukhutfatumah1154
    @ukhutfatumah1154 Před rokem +5

    Rest in peace Daaaaa Mbk naogopa jmn arusha yangu

  • @pendomasanyiwa5213
    @pendomasanyiwa5213 Před rokem

    😊

  • @hancymachibbula4355
    @hancymachibbula4355 Před rokem

    Stela Mushi ukimzingua unaweza chezea beto za kutosha anakufanya chekecheke😂

  • @DenisMawala
    @DenisMawala Před rokem

    Duh

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 Před rokem

    Huy mama wakambo sio Mama na huy Dada atapt mikos mpk ajute maishan

  • @user-wd2oq6oq4b
    @user-wd2oq6oq4b Před rokem

    Dah hii inanikumbusha jambo😢

  • @omanmct135
    @omanmct135 Před rokem

    Duniya inamambo😮😮

  • @janengowi-lt9gu
    @janengowi-lt9gu Před rokem

    Arusha Arusha Arusha

  • @sauda4505
    @sauda4505 Před rokem +1

    Duniani Kuna mambo Yan nimechekaa kama mazuri

  • @rahma6189
    @rahma6189 Před 3 měsíci

    Huyo mama waķmbo nahuyo msichana kijana alichanganyikiwa

  • @navioma4882
    @navioma4882 Před rokem +1

    😢😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @BigBrother-rg1ui
    @BigBrother-rg1ui Před 8 měsíci

    Apo kwa machupa

  • @adelajunior5266
    @adelajunior5266 Před 11 měsíci

    Kumbe mwanaume mwenyewe Ana dozi😂 hata Mimi nisingekubali mwanangu azae na mla unga

  • @alphoncewilliam4325
    @alphoncewilliam4325 Před rokem

    😢

  • @lawrencealfred1707
    @lawrencealfred1707 Před 11 měsíci

    Naitwa Abdull lakini najulikana kama Ken

  • @teddymassawe3583
    @teddymassawe3583 Před rokem

    Ni kweli lkn Arusha kumezidi chali yangu duu

  • @candy9969
    @candy9969 Před rokem

    Mbona jamaa Anaoneka Aliwaifanya jeshi us 😂

  • @yohanekopilato-wn3lo
    @yohanekopilato-wn3lo Před rokem

    Heeee Watu wana Roho za ajabu duuuh

  • @evalineemmanuel8178
    @evalineemmanuel8178 Před 3 měsíci

    uko anakoenda kuolewq hata beba mimba kama ameweza kuuw anaetaka kumuowa nae afikirie

  • @dorothysamwel2648
    @dorothysamwel2648 Před rokem

    Marbolo ni aina ya mifuko

  • @sudymgeni701
    @sudymgeni701 Před rokem

    Arusha moto duhh Kila siku matukio tu

  • @liesharehema5193
    @liesharehema5193 Před rokem

    Aisee hivi hii Dunia inaenda wapi

  • @RahimaMct-ik8mr
    @RahimaMct-ik8mr Před rokem

    Hiidinia jaman 😢

  • @mikelkea1531
    @mikelkea1531 Před 9 měsíci

    Kwani uyo ni mwanajesh wa marekani au

  • @bayernsulesh568
    @bayernsulesh568 Před rokem

    Asa mbona marboro

  • @abubakarmago2623
    @abubakarmago2623 Před rokem

    Mwandishi ana kichwa kigumu sn yan anauliza maswali yaleyale

  • @rachelmponda7875
    @rachelmponda7875 Před rokem

    🤣🤣🤣 vituko kweli.

  • @brantywilson1347
    @brantywilson1347 Před rokem

    Arusha kama mbele yani

  • @chrissg4026
    @chrissg4026 Před rokem

    Haya sasa mnasemaga wanaume ndo tunasababisha wanawake kutoa momba haya oneni sasa!

  • @kulthummohamed101
    @kulthummohamed101 Před 11 měsíci

    Yalabi tujalie tutimize ndoto zetu

  • @comraderashid_nuru_m5260

    Jamaa kaenda polisi na kombati ya Jeshi la USA bila kujali polisi wametoa tamko ivi karibuni!!!

    • @marrypius576
      @marrypius576 Před rokem +1

      Sio kwa watu wa arusha nadhani hawajaiona hiy taarifa😅😅😅😅

  • @coolwaveac7659
    @coolwaveac7659 Před rokem

    Sasa hapo watamkamata Mama wa kambo au watamkamata aliye toa ujauzito

  • @b-creative4662
    @b-creative4662 Před rokem

    Marborooo 🤓🤓🤓

  • @aldeamasuki6196
    @aldeamasuki6196 Před rokem

    Duu hivi hizi laana mtazipeleka wapi

  • @nsiamushi5363
    @nsiamushi5363 Před rokem +2

    Mwandishi unachosha unaulza maswali mara 2 mxieeew

  • @dorahhussein
    @dorahhussein Před rokem +8

    Jamani mama wa kambo Si mama😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @lisaupendoibrahim5509
    @lisaupendoibrahim5509 Před 8 měsíci

    Huyu muandishi mpuuzi sana maswali gani anarudia rudia na kila akiambiwa kitu haelewi…

  • @hanifatanzania7258
    @hanifatanzania7258 Před rokem +1

    Huyo msichana na mamayake wakambo laho moja kabla hajatoa kwaniniasimshauli baba malehem mtoto kwanza kwani alofungwakamba wakatianatolewa. Naehuyo rohoyaje bom tu

  • @papadimayo1chanel.747
    @papadimayo1chanel.747 Před 11 měsíci

    Arusha Kuna watu.

  • @Irenes_Kitchen
    @Irenes_Kitchen Před rokem

    Wachaga nao wako na mambo kila siku ni wachaga tu😏😏😏😏

  • @khadijanjama8721
    @khadijanjama8721 Před rokem

    🥺🥺🥺🥺🥺🥺

  • @HAMIDAMIVULE
    @HAMIDAMIVULE Před rokem +1

    Wewe mwandishi mbonahuelewi? Kilaunavyoambiwa unaulizatu loh

  • @samsonmwaipaja5231
    @samsonmwaipaja5231 Před 9 měsíci

    Arusha mnalaana

  • @lullebolle808
    @lullebolle808 Před rokem

    Jamani nyie wamama wa mambo badilikeni mnaroho nene