JAMAA MWENYE GARI AKAMATWA AKIIBA 'PERFUME' DUKANI APIGA MAGOTI KUJITETEA "CAMERA ZAMUUMBUA"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024

Komentáře • 460

  • @janeenock5331
    @janeenock5331 Před rokem +11

    Mungu akuponye Kaka angu....wewe sio mwizi Ila aliekutupia hiyooo roho Mungu amlaan....pole Sana yataisha

  • @aal8041
    @aal8041 Před rokem +19

    Yani dada pole sana pia hongera sana kuwa mcha mungu naimani unauchamungu kwakweli wachache sana wasitarabu kama wewee yani akushukuru nakukuomba msamahe sana

    • @athumanfuko199
      @athumanfuko199 Před rokem

      Hajaibiwa pakubwa huyo.ningekuwa mm ningemkata kidole si mwachii

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l Před rokem +26

    Yani kuna mambo yakutupiwa ili upatwe na aibu. Mungu atusaidie

  • @UsafiMichael-mc8kt
    @UsafiMichael-mc8kt Před rokem +88

    Huyu kaka hana tatizo huyu kaka sio mwizi ni roho ya wizi iliyo ndani yake na hiyo huwa anavishwa ili akiiba alogwe,au ili apigwe kama mwizi.lakini katika jina la Yesu naipasua roho ya wizi usikae ndani yake.kqma msomaji unaamini sema ameeen

  • @GloryMshanga-gq2fg
    @GloryMshanga-gq2fg Před rokem +20

    Msamehe hakuna aliye mkamilifu hata mmoja

    • @ziadasalimu1730
      @ziadasalimu1730 Před rokem +1

      Kweli amsamehe kweli Mimi mpaka namuonea huruma jamani ha!

  • @azizayassin3623
    @azizayassin3623 Před rokem +10

    Dada mungu azidi kukupa moyo hou hou❤😊

  • @sein.208
    @sein.208 Před rokem +15

    Kaiba kweli ila dada umekosea umemdhalilisha sii vizuri
    Ficha aibu ya mwenzako na Allah atakufichia aibu yako

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 Před rokem +2

      Kweli, sikuona sababu ya kuita waandishi. Mtu amekiri,kaomba msamaha na amemrudishia vitu vyake..labda angemwuzia alivyovichukua..tena huyo dada bado anazo hela za huyo jamaa

    • @sein.208
      @sein.208 Před rokem

      @@josephlorri431
      Hakika ni makosa makubwa hakuna mkamilifu hapa duniani sote tuna mapungufu.
      Ukimdhalilisha mwenzako ipo siku na ww utadhalilishwa

    • @josephlorri431
      @josephlorri431 Před rokem +2

      @@sein.208 kweli hakuna mkamilifu,sikufurahi alivomdhalilisha huyo jamaa.. amemwaibisha. Angemwambia bei yake..wamalizane.

    • @sein.208
      @sein.208 Před rokem

      @@josephlorri431
      Naam sahihii kabisa

    • @happnessjulius6383
      @happnessjulius6383 Před rokem

      Mimi ningeita nchi nzima 😢

  • @hellenmollel6679
    @hellenmollel6679 Před rokem +30

    Eee Mungu niepushie hili janga na kizazi changu

  • @sleeprelaxation8431
    @sleeprelaxation8431 Před rokem +9

    sio wote wanao iba hawana hela, wengine ni ugongwa wa akili, poleni wafanya biashara. kaka hebu nenda kapate tiba ya akili, aibu ndogo ndogo hizi jaman,

  • @mussakimaro5588
    @mussakimaro5588 Před rokem +17

    Huyu atakua amerogwa sio bure

  • @joycekalago532
    @joycekalago532 Před rokem +2

    Kweli kabisa kitu kidogo kinaweza kukuchafua na kukuharibia sifa na tabia njema maisha yako yote

  • @neemashuma4152
    @neemashuma4152 Před rokem +19

    Huyu kaka ana mbegu njema ya Mungu ila shetani amepanda magugu ndani yke ila kipo kitu cha Mungu ndani yke

    • @bellatrixblack4491
      @bellatrixblack4491 Před rokem +2

      Na siku moja tutamuona madhabahuni akishuhudia haya anayoyapitia, Yesu amvuwe hilo vazi alilovalishwa na adui

    • @bellatrixblack4491
      @bellatrixblack4491 Před rokem +2

      Mungu wa mbingu mvuwe huyu kaka vazi alilovalishwa na shetani

    • @geeva99
      @geeva99 Před rokem +1

      😂😂😂 wakulima wa kihoro siwawezi 🙌🏾

  • @mwanyongamama4407
    @mwanyongamama4407 Před rokem +1

    Pole sana ushuhuda mzuri sana aokoke tu ubarikiwe sana binti Mungu Atusaidie

  • @auntdorah9141
    @auntdorah9141 Před rokem +7

    Ee Mungu uwanusuru watoto wetu.

  • @fidesbernard4835
    @fidesbernard4835 Před rokem +30

    Masikini amesikitisha amesikia Aibu adi huruma mweee watoto wetu Mungu awanusuru

  • @user-dl3ep1ow3y
    @user-dl3ep1ow3y Před rokem +1

    SISTER I AM PROUD OF YOU MY GOD BLESS YOU 🙏 U ARE BEST SISTER FROM TZ AMEEN AMEEN AMEEN ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤

  • @barikilangoy4737
    @barikilangoy4737 Před rokem +7

    Msamehe sana

  • @philosopherpima3672
    @philosopherpima3672 Před rokem +13

    Ila wa TZ bwana, yani mtu ana gari alafu anaiba deodorant ya buku 3

    • @husseinally5550
      @husseinally5550 Před rokem +2

      Hiyo ndo kitu ya ajabu

    • @happylynguya3464
      @happylynguya3464 Před rokem +1

      Inasikitisha

    • @johnmapunda99
      @johnmapunda99 Před rokem +1

      Hilo gari unajua alivyolipata?

    • @prudencehilary5078
      @prudencehilary5078 Před rokem

      ​@@johnmapunda99yawezekana siyo gari lake ameazima kwa mtu

    • @malopemaliyamungu5243
      @malopemaliyamungu5243 Před rokem

      Hayo maroho ya kumuaibisha. Kuna mtu mzima ana cheo, ana mke mrembo, watoto wazuri, magari na majumba anazini na kichaa ... Akili zikimrudia anaenda kujificha analia mpaka anatamani kujiua.

  • @saidasimba9979
    @saidasimba9979 Před rokem +4

    Mwizi hanaga u handsome ise atakuua

  • @EBENEZEREMMANUELtv
    @EBENEZEREMMANUELtv Před rokem +3

    Huyu dada anamjua Mungu inatakiwa apate msaada wa kiroho zaidi ili aijue njia ya wokovu vizuri atakua vizuri zaidi maana moyo wake anahofu ya Mungu ubarikiwe dada yetu

  • @hamidasaif4065
    @hamidasaif4065 Před rokem +4

    Dada akulipe mungu AmuBicha msamehe kwaimaniyak

  • @gladysmsele4291
    @gladysmsele4291 Před rokem +4

    Hilo ni pepo la wizi limemuingia

  • @rosemndolwa6622
    @rosemndolwa6622 Před rokem +2

    Lbd mwanamke anampelekesha ndio kataka amridhishe maskini ila huyu dada mstaarabu na anatoaga fungu la 10 ndio maana hakufanikiwa kumuibia

    • @wemapanga1547
      @wemapanga1547 Před rokem

      Kabisa

    • @ayububakari9942
      @ayububakari9942 Před rokem +1

      Sio fungu la kumi hakuibiwa kwa sababu alivorudi akaona tofauti kuna upungufu wa vitu vyake... pia cctv ilisaidia

  • @gladsilaa6078
    @gladsilaa6078 Před rokem +15

    Unajua dada kama Mungu angesema aanike ya kwako naona usingetamani kutoka nje,ni kweli kafanya hivyo ungemalizana naye tu lakini sio Kwa kufikisha vitu kwenye media,msitiri na msamhe uwezi juaa watoto wako ukoo mbele japo siwaombeii

    • @amanimanase8798
      @amanimanase8798 Před rokem +1

      Acha ufara ww hujawahi kuibiwa ndo maana ww tena kaa utulie msenge wewe

    • @gladsilaa6078
      @gladsilaa6078 Před rokem

      @@amanimanase8798 😂😂😂😂yaaan siongeagiii na gizaaa unaongea hata kibanda hunaaa

    • @gladsilaa6078
      @gladsilaa6078 Před rokem

      @@amanimanase8798 🤣🤣🤣🤣ukishatoka Kwa wazazi wako weka madaa mezan kama Badoo endelea kusubirii kengele ya chakula😏😏😏😏

    • @madamehatibu9324
      @madamehatibu9324 Před rokem +1

      Asee dada niache tu siku ukiibiwa utaelewa Hawa wez hamuwajui vizuri jiran yangu Yuko hospital kala mapanga et kisa kasema Hana hela

    • @omanlove3968
      @omanlove3968 Před rokem

      Acha ujinga hujawah kuibiwa wewe

  • @rechalbarama6758
    @rechalbarama6758 Před rokem +7

    Niliwahi ibiwa simu dukani ili tukio linanikumbusha tuwe makini Sana sis wat wa dukani

  • @mathayokaaya4093
    @mathayokaaya4093 Před rokem +8

    Sasa wewe jamaa yangu umeshaharibu uchumba tayar tamaa imekuponza ungechukua icho chuma baba

    • @jumaramadhani5861
      @jumaramadhani5861 Před rokem +1

      Tamaa ndio iliyomponza,uyo dada inaelekea hana mume kweli hapo ndio ingekuwa mwanzo wa kuchukua jiko,

    • @user-sq7pz9ex5g
      @user-sq7pz9ex5g Před rokem

      ​@@jumaramadhani5861😂😂sasaa jamaa c ana mke lakini?!😮

    • @brysonmandari5694
      @brysonmandari5694 Před rokem

      Na hiyo chuma angepeleka wapi wakati ako na mke?

    • @brysonmandari5694
      @brysonmandari5694 Před rokem

      Hiyo chuma anasema akiiba tena apigwe vepeee!!

  • @aginsagins-jf4vz
    @aginsagins-jf4vz Před rokem +4

    Anajuata pole kama ni pepo tu inaonekana sio tabia yako

  • @dayana5513story
    @dayana5513story Před rokem +9

    Kweli jamaa kakosea but si vizuri unamwitia ayo kwajili ya deodorant kweli 😢😢😢gari sim nzuri si tatizo yawezekana anatatizo kunawatu waivi anadokoa achukui kitu cha maana si wote wezi awana kitu linakua niugojwa

    • @unknownbutterfly6310
      @unknownbutterfly6310 Před rokem

      Hujawahi kuibiwa dada. Ukimwacha na hivyo unavyosema vidogo, akuja kuchukua vikubwa.

    • @sein.208
      @sein.208 Před rokem +1

      @dayana
      Umenena vyema

    • @dayana5513story
      @dayana5513story Před rokem

      @@unknownbutterfly6310 dear nenda Google utapata jibu mimi nimeongrea maybe yawezekana anatatizo la kuiba upo ugojwa waivo

    • @neyjohn923
      @neyjohn923 Před rokem

      Kuna kaugonjwa kanapata watu kisaikolojia kanawasukuma kudokoa vitu vidogo vidogo hata kama hawavihitaji na hata akiwa na uwezo kiasi gani akidokoa ndio anapata amani. So huu ni ugonjwa anatakiwa afanyiwe behavioral modification kupitia Cognitive behavioral therapy. Vinginevyo hataacha atadokoa hata mboga nyumbani. Wale watu wazima wanaodokoa mboga na chakula hili ndio kundi lao 😊

  • @richarddavidmk
    @richarddavidmk Před rokem +2

    Huyu ni mwizi mkomavu, 💯%

  • @bakariyusuph-uf7nc
    @bakariyusuph-uf7nc Před rokem +2

    Huyo ni mwizi nashangaa hamjamtoa hata wenge😂😂

  • @pendo8082
    @pendo8082 Před rokem +4

    Yaan huyu ingekua ameiba oman angekoma huku madukani wana camera tena mteja akiingia dukani wao wako busy ila wanakuona kwa camera

    • @AbcMosshi
      @AbcMosshi Před rokem

      Kabisa uku kamera kilakona

  • @mwana4599
    @mwana4599 Před rokem +7

    Jamani kuna watu huumwa ugonjwa wa wizi. Tulikuwa nae shuleni. Watanzania inatakiwa mjue. Very unfortunate,.

    • @fettyrashid9042
      @fettyrashid9042 Před rokem

      🤣🤣🤣mwana

    • @zuwenaalamin8985
      @zuwenaalamin8985 Před rokem +1

      Ni kweli unachokisema hata huku Zanzibar I yupo Mdada mumewe anamuwekea vitu vya mchuzi vyote lkn wallah Amin anaenda gengen anaiba anaficha kwenye juba ashaumbuliwa Mara kibao na hajaacha hiyo tabia wallah

  • @shijandoya1780
    @shijandoya1780 Před rokem +2

    Pole Sana yaani nigekuwa Mimi Leo nigemkata kichwa kabisa maana niliibiwa hivyo nahasila na wezi sana siwez kumbembeleza mwz

    • @gracemwakibolwa7910
      @gracemwakibolwa7910 Před rokem

      Shangaaa majitu eti msamehe nyie ndio mnafuga mijizi hili jizi kabisa nfyuuùuuu.peleka police hilo.

  • @adriannebatakanwa6904
    @adriannebatakanwa6904 Před rokem +4

    Huyu ni mwizi mzoefu tu. Ana bahati sana angeuawa.

  • @ashuuuaisha9122
    @ashuuuaisha9122 Před rokem +1

    Zingine ni hasada za walimwengu.niliwahi kutizama nigeria moves kuna binti alisoma sanaa. Ila kabla ya kwenda masomoni alimtusi bibi jirani wa mtaani kwao .sasa alipomaliza masomo akaolewa na mtu mwenye pesa.ila alipewa hasada ya wizi. Alikuwa akienda salon atabeba mpaka kitana.akienda dukani anaiba.siku alipokamatwa alipigwa na kuachìka .mwisho wa siku ilionekana yule bibi

  • @yuzzob
    @yuzzob Před rokem +2

    Ni Shetani ndani yake, siyo yeye..amepata mwanzo wa kumrudia Mungu na kuokoka kabisa

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 Před rokem +16

    Hii ni mtihani yarabi unaiba mtu nzima una nguvu zako unaiba huongopi kupingwa na kufa😢🎉😂

  • @barakamshiu7146
    @barakamshiu7146 Před rokem +2

    mbona hamjampigaa mpaka sasa sasaivii kusemakweli?

  • @samwelhechei8537
    @samwelhechei8537 Před rokem

    Du!
    Huyu ni mwizi professional

  • @dickaugustino8238
    @dickaugustino8238 Před rokem +1

    Kamera muhimu sn!

  • @gayanimwansasu
    @gayanimwansasu Před 11 měsíci

    Semann Mungu amekusamee nimeona kweli umejutia hakika

  • @bakarikisuda4948
    @bakarikisuda4948 Před rokem +1

    Asee wedada unamoyo wakitafauti.. nnavoijua sekei Yani wangekuua dakika

  • @mariangaida6584
    @mariangaida6584 Před rokem +2

    Anatia huruma

  • @janethjonas1700
    @janethjonas1700 Před rokem

    Pole shetani ni mbwa...asamehewe na usitende dhambi hii tena???

  • @wilfredyhumphrey918
    @wilfredyhumphrey918 Před rokem +1

    Jamani mbona siyo tabia yake nimepingwa na kitu kizito kichwani

  • @EdgarLema-qi9or
    @EdgarLema-qi9or Před rokem

    Mshukuru MUNGU ungekuja dukani kwangu nikufuraishe

  • @ashachitemo7816
    @ashachitemo7816 Před rokem +1

    Daah vijana punguzeni tamaa maisha yamebadilika

  • @praisesteven7742
    @praisesteven7742 Před rokem

    huyu hayupo sawaaa 🤦‍♀️🤦‍♀️imajina akarud tna na aliambiwa kuna cctv cameraaaaa niamin mim hayupo sawa wenda ana pepooooooo

  • @moudys
    @moudys Před rokem +1

    Mwizi hana sura, upole na ukarimu ndio bakora yenu.

  • @jumapiliissa4835
    @jumapiliissa4835 Před rokem

    Aisee pole sana wanaume wengi wapojela sababu kumbwa nikufosi kuwatimizia wanawake zao iliwasionekani wanyonge matokeoyake ndoayo

  • @hijamwinyi3233
    @hijamwinyi3233 Před rokem

    Mungu akufanyie wepesi

  • @user-zg4ln7vr5z
    @user-zg4ln7vr5z Před rokem

    Poleee

  • @BIGBOSS-hl3bu
    @BIGBOSS-hl3bu Před rokem +1

    Huyu ndio kwanza mwizi mpya anaejifunza ndio maana anaona noma sana 😂😂😂

  • @RachelRachel-zx6dx
    @RachelRachel-zx6dx Před rokem

    Jamani kaka inatia huruma aiseee

  • @zakiaramadhan6976
    @zakiaramadhan6976 Před rokem

    Mmmmmh huyu naye ndo wale matapel tuu inabd ajirekebishe vingnevyo yatamkuta makubwaa

  • @upendojohn
    @upendojohn Před rokem +2

    Jamani Mungu aturehemu

    • @UsafiMichael-mc8kt
      @UsafiMichael-mc8kt Před rokem

      Ameen aturehemu!!! Maana mama gani anabeba mimba atarajie mwanae aje kuwa mwizi? Kila mama hupenda mwanae awe mwema hata kama hana pesa ndio furaha ya kila mwanamke aliyezaa

    • @UsafiMichael-mc8kt
      @UsafiMichael-mc8kt Před rokem

      Hapa wasichana na wale ambao hawajaanza ndio watashabikia kwanini hakuchomwa kwanini hakupigwa lakini mama haswa huwa anaumia japo ni vizuri kuweka wazi ili iwe funzo lakini sio kitu cha kushangilia sana

  • @happinesskitali164
    @happinesskitali164 Před rokem +1

    Daah aibu nyngn yaan hapo kanusurika kuchomwa motto maana angekutana na mtu mwngn angemwitia mwizi angechomwa motto wamsamehe tu

  • @therealaitar4149
    @therealaitar4149 Před rokem

    We dada aisee ingekuwa ni mm hapo hapo

  • @annaki318
    @annaki318 Před rokem +2

    Kaka jambazi 😂😂😂😂😂

  • @salomewandya7257
    @salomewandya7257 Před rokem

    Duh mtihani sana

  • @siamariamaro3500
    @siamariamaro3500 Před rokem +2

    I hope hayo siyo majaribio ya camera maana tz 😂😂😂😂😂😂

  • @sabihahamadi2287
    @sabihahamadi2287 Před rokem +2

    Mtihani yarabi tujaaliye na roho za kukinai maana aibu nyengine ni balaaa

  • @frankfaraja4767
    @frankfaraja4767 Před rokem +2

    Fogg perfume imemuumbua 😂

  • @cettyamandus2929
    @cettyamandus2929 Před 10 měsíci

    Msamehee dada

  • @mashramadhani1989
    @mashramadhani1989 Před rokem

    Mpuuuuuuuuuuuziiiiiiiiiiiiiiiiii mnafirwaga ninyi tamaa za kisenge

  • @Kidia-yt3bm
    @Kidia-yt3bm Před rokem +3

    Huyu kwa kumwangalia ni mwizi mzoefu sana hawa jamaa wakipewa mda wa kujieleza wanajuwa kutia huruma lakini inaonekana kazi yake inayomweka mjini ni hiyo hakuna cha bahati mbaya hapo,na hiyo gari ndio strategy ya kuiba kwa sababu mtu akija na gari mara nyingi huwezi mzania kuwa anaweza kuiba ndio hapo anakumaliza

  • @BONGOINMOTION
    @BONGOINMOTION Před rokem

    We bro inazingua,,perfyumuuuuuu

  • @sopy3055
    @sopy3055 Před rokem +1

    Ooooh maskin, kajuta

  • @mohammadoman8963
    @mohammadoman8963 Před rokem +1

    Subhana Allah

  • @jackpottables6314
    @jackpottables6314 Před rokem

    pole bro

  • @johnbernad3990
    @johnbernad3990 Před rokem +1

    Mungu akurehemu inatakiwa utubu na kujuta na uache kuiba

  • @ChristianDondo
    @ChristianDondo Před rokem

    Mmembembeleza saana jameni

  • @annamussa185
    @annamussa185 Před rokem +1

    Yani kwa maelezo hayo huyo kaka ni mwizi mzoefu wanaiba sana kwa mtindo huo yani huyo ni mwizi sugu

  • @mwanaishaabubakar5013

    Huyu si kijana . Kijana anakuwa mpaka 30yrs. Huyu mpaka kipara kimemtoka. Mzee hasa.

  • @brysonmandari5694
    @brysonmandari5694 Před rokem

    Mbona hamkumfinya kidogo?

  • @joycenicodemus.2232
    @joycenicodemus.2232 Před rokem

    Pole sana dada huyo mkaka nimwizi tena tapel atakua ameshazoea utapel.

  • @emmanuelmlowe-ew7gx
    @emmanuelmlowe-ew7gx Před rokem +3

    Amedhalilisha sana familia yake

  • @user-ub8lm8xk7j
    @user-ub8lm8xk7j Před 11 měsíci

    Dada ukimwachia huyo itakuwa umewapa wengi majeraha sana.

  • @jamesjoseph6825
    @jamesjoseph6825 Před rokem

    Dah, jmn, hilo ni pepo tu wala sio mwizi, kuna binadamu wabaya sana, unakuta mtu ni tajiri lkn ana roho chafu ya udokozi, kuna msanii mmoja mkubwa yeye wakiwa location alikuwa anawaliza wenzie

  • @nsiamushi5363
    @nsiamushi5363 Před rokem

    Mmhhhh aibu sana aiseee.

  • @bonabonala5559
    @bonabonala5559 Před rokem +1

    mwizi ataakiwa milionea bado ataiba hata kijiko

  • @OmanOman-bx5du
    @OmanOman-bx5du Před rokem +2

    Sikuizi camera bei laisi mutaweka mpaka. Chooni

  • @godloveemanuel1417
    @godloveemanuel1417 Před rokem

    Dah asije tu akajiua kaka wawatu maana inaonekana anamawazo sana

  • @ambroceharouna1612
    @ambroceharouna1612 Před rokem +1

    Gari sio lake ilo

  • @irhamseif
    @irhamseif Před rokem

    Kuna wengine inakua kama ni ugonjwa maana mw na nsugu yangu akija kwangu ni kumchunga tu yani akinyanyuka ni nae maana akikosa cha kuiba anabeba hata vijiko vya chakuka akishindwa nje anapoondoka atabadili ata viatu yan ilimladi tu aibe dah ila kajifunza

  • @fatmaabdallah7709
    @fatmaabdallah7709 Před rokem +2

    Yaani kaandikiwa kukamatwA mwizi kisha unaacha na namba ya simu kweli huyu si mzima ni mgonjwa wa akili inawezekana ndio tatizo linaanza hajajijua maskini. M.mungu atuhifadhi

  • @chalresykedimon2254
    @chalresykedimon2254 Před rokem

    Ila umekosea sana kumuita ayo dada japo kaka kweli ni mwizi nimeumia kweli kama vile mim yamenikuta

  • @aishahussein9348
    @aishahussein9348 Před rokem

    Dsh una mungu.,ujapigwa ata kofi usirudie tena

  • @franciscakija1702
    @franciscakija1702 Před rokem +1

    Ng'oooooooombe we

  • @fatmaahmed8637
    @fatmaahmed8637 Před rokem +1

    Weee ! Hadi siku ya pili na ya tatu?

  • @alexnyigo8864
    @alexnyigo8864 Před rokem

    Pole dada

  • @fetychina3969
    @fetychina3969 Před rokem +1

    Hivi huna pesa ya kununua deodorant??huna pesa ya kununua bodyspray??

    • @ashuuuaisha9122
      @ashuuuaisha9122 Před rokem

      Kuna mengine zinakuwa hasada. Kaelekezwa awe afanya hivyo

  • @mohdmohd8428
    @mohdmohd8428 Před rokem +1

    Hii alofanyiwa bora angepigwa akafa, mana hii haifi mpaka afe

  • @nickolatharwelamila776

    Mmi naona uyu kaka angepelekwa police tu sio ivi jamani dunia Mzima imuone jamani

  • @isaacjaphet1314
    @isaacjaphet1314 Před rokem

    Huwez sikia wadada wakibongo wakikuita handsome kaibe ukamatwe ndo utasikia kijana mwenyewe mzuri...

  • @mwasa_tv
    @mwasa_tv Před rokem +1

    gali ukute nalo la wizi

  • @mariamgodfrey53
    @mariamgodfrey53 Před rokem

    Uwiiiiiiiiiiii jamani mbona aibu demu wake ameona ndugu wameona majirani wameona fedheha jamani

  • @josephifanda5626
    @josephifanda5626 Před rokem

    Mzoefu huyo,msimwangalie sura,hakuna Cha shetani hapo

  • @frankngoloka5416
    @frankngoloka5416 Před rokem

    Mpigeni huyo mnamwacha bila kovu?

  • @BONGOINMOTION
    @BONGOINMOTION Před rokem

    Mnao amini ndinga kuweni makini,,,mtoto aki nini? Unamanishaaje?