Video není dostupné.
Omlouváme se.

MCHEPUKO WA MAMA ADAIWA KUMBAKA BINTI YAKE “WANAFANYA MAPENZI MLANGONI KWANGU, WANAPANGA KUNIUA”

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 10. 07. 2023

Komentáře • 417

  • @Yunis-hn9hn
    @Yunis-hn9hn Před rokem +40

    Mama ukipata kibentel usimpeleke nyumbani kwako.usimwonyeshe mwanaume mali zako.ndio wanachotaka ni mali sio wewe.waweke watoto mbali na wanaume wako.painfull😢

  • @achouraachoura5763
    @achouraachoura5763 Před rokem +17

    Huyu mtoto hata ivo Hana adabu napia Hana hofu ya mngu uwezi danganywa kiasi na watu umfanyie mamaako vitendo vya kinyama namna iyo miaka Kumi na NNE tayari NI binti ambaye anakua na uelewa wa kujitambua ... MUNGU amuongoze huyu binti mana dunia ya sasa na hawa vijana WATOTO wetu wanazidi kupotea ✍️

  • @zayumar2955
    @zayumar2955 Před rokem +5

    Upo vizur sana dada MashaAllah mungu akubariki hao wapangaji fukuzaaa wotee pangisha upya na uangalie wanaume wa kuwa nao kwan wengi wao skuiz wanapenda kitonga na tayar ww huna njaa njaa dada usilee mtt wa mamkweee komaa kivyako mapenz fanya kwa starehe tu wanaume wengi saiz waongo mnooo

  • @yasmine937-so4mi
    @yasmine937-so4mi Před rokem +36

    Yani watanzania sijui tupoje mtu analilia haki ya watoto wake mnamsema kisa yeye mtu wa viwanja acheni tabia mbaya msiangalie mapungufu yake angalieni haki ya watoto

    • @rogathengowo1099
      @rogathengowo1099 Před rokem

      Hakuna haki pasipo wajibu huyu mama anatakiwa awajibike kimalezi Kuna sehemu amekosea lazma aambiwe amekosea nn ili ajue anaanzaje

  • @zainabzain3434
    @zainabzain3434 Před rokem +6

    Umejitahidi sana kumfatilia mwanao Sema mahusiano ulonayo sio sahihi Allah akutie nguvu bado hujachelewa zidi kumpigania

  • @movingdiamonds5718
    @movingdiamonds5718 Před rokem +5

    Ukisikiliza hii interview kwa makini utagundua kuna shida sehemu..............malezi hayajakaa vizuri kabisa

    • @samiramawby1257
      @samiramawby1257 Před rokem

      Without a FATHER nothing will be possible thats why i needed him looking for him everywhere searching for him but am luck enough to be a good mother ans set the good example to all weman no matter whoever do something good will never be appriciated 😅😅🙏am not enough buddy

  • @camilasky254
    @camilasky254 Před rokem +8

    This woman nmependa anavojieleza May God fight for you mum

  • @user-li4kt7lz1r
    @user-li4kt7lz1r Před rokem +5

    Pole kipenz mm sisemi kitu sabu nina watt wa kike ila mm nilicho kiona wanawake tuweke mipaka kwa watt kama hamna baba zao na ukipata mwanaume usiwaoneshe watt na kumleta nyumbani uyo mume ili kuepuka zalau kwa watt pole sana

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly Před rokem +3

    Mmmmh!!!subhanna Allah Mwenyezi Mungu msimamie uyu mama

  • @ritapiusnicolaus7068
    @ritapiusnicolaus7068 Před rokem +12

    Pole sana mama Mungu awake mkono wake kwenye ili

  • @lukasjelamisanana6770
    @lukasjelamisanana6770 Před rokem +3

    Pole Sana dada Mungu atakusaidia

  • @fettyrcial2790
    @fettyrcial2790 Před rokem +4

    Mother don't fear death, Their greatest fear is leaving their children in this world, knowing no one will love them like her....GOD PLEASE HELP HER KEEP HER STRONG 🙏 😢

  • @praisesteven7774
    @praisesteven7774 Před rokem +2

    mchina kabla ya muhindiiii hahahahhahahaahha mama loool

  • @achouraachoura5763
    @achouraachoura5763 Před rokem +9

    Uyu dada anahitaji ulinzi na hao wahalifu wachukuliwe hatua

  • @user-rv7zt6tj3d
    @user-rv7zt6tj3d Před rokem +6

    Huyo muhindi waandishi fatilieni na mhakikish huy mama anabak salama maan matendo hayo wanataka kufanya ni hatr kwa jamii na inaonekana ina watu wengi nyuma yake. Serikali tafadhli tunataka kuskia mwisho wake hatua kwa hatua, polis tafadhl msile rushwa ya hao wahindi tunataka kuokoa jamii yetu.

  • @MwanaishaHemed-xi6rj
    @MwanaishaHemed-xi6rj Před rokem +1

    Duh!😢 Pole sana

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Před rokem +11

    Hiyo ni police case.Ashikwe haraka huyo baba

  • @safiyanirram-pf3sv
    @safiyanirram-pf3sv Před rokem

    Mmmmh Allah atunusuru lnshallha kwa watt Wetumpka lnshallha sitaki kuongea sana katika hili pole dd

  • @pendo8082
    @pendo8082 Před rokem +1

    Pole sana

  • @panafricanmawesa2555
    @panafricanmawesa2555 Před rokem +4

    Mama yuko sawaa aseee

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 Před rokem +4

    Wa kwanza mlimuuua ni mzungu ,
    Wa pili mkampa maneno akaondoka ni mchina
    Huyu wa sasa kaondoka ni Mhindi nasemaje huyu sasa tuachane 💃💃💃
    jamani msaidien mama matibabu apone akaendeleze kula bata 😂😂

    • @samiramawby1257
      @samiramawby1257 Před rokem

      Mirembe tayari wana kadi yangu bro asante kwa ushauri mzuri baba huruma nyie ndo wagawa bure mnaidharirisha serikali yetu ionekane imeruhusu haya mambo na watoto kuingiliwa

  • @waziriwahekima6824
    @waziriwahekima6824 Před rokem +1

    Dah niatali Sana aisee

  • @agriparose3942
    @agriparose3942 Před rokem +12

    Eeh mungu maisha gani haya😢dunia imefikia huku...

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 Před rokem

    Pole sana mdogo wangu

  • @user-sn6dc9gh8k
    @user-sn6dc9gh8k Před rokem +21

    Huyu mama kaeleza vzuri na anaumia ila watanzania mkiona m2 kapenda mchina, muhindi n.k wa2 wa nje mnahisi malaya si hvo ndo maan kashaenda polisi na wapangaji kafukuza na mwenyekiti anajua hvo acha kujudge wa2 vibaya😭😭😭🙌🙌🙌

  • @tato8979
    @tato8979 Před rokem +3

    Pole sana mama 😢😢

  • @fatmamrihani6828
    @fatmamrihani6828 Před rokem +4

    Kabla ya muhindi nilkua na mwanume wangu mchina😂😂😂nimecheka kama mazurii

  • @geitandelwa299
    @geitandelwa299 Před rokem +3

    Mmmh bila kumutaka MUNGU NA NGUVU ZAKE HATUWEZI CHOCHOTE TUTALIA KILA SIKU HAKUNA CHA MAPENZI WALA NN ILA TUTUBU DHAMBI NA KUACHA NA KUMUFUATA YESU TU

  • @user-wi9ks1rm9m
    @user-wi9ks1rm9m Před rokem +3

    Eee mungu tuhurumie

  • @devothamwamwezi2036
    @devothamwamwezi2036 Před rokem +1

    Sad 😭

  • @aliceemmanuel1892
    @aliceemmanuel1892 Před rokem +1

    Mmh dada mwanaume unadate nae miez miwili 2 lkn each and everything khsu life lako unamueleza kwel jmn daah . Ila pole me nakuombea kwa mungu 2 upone na wote walioshiriki wachukuliwe hatua.

  • @racheljoshua3266
    @racheljoshua3266 Před rokem +3

    Pole sana ila io nyumba ungepangisha ukalelee sehem ya ingine

  • @lusajoabel5496
    @lusajoabel5496 Před rokem +7

    Huyu mama anaonekana team ya mjini

  • @aisharamadhani1948
    @aisharamadhani1948 Před rokem +2

    Dahhhh,,, nyumba Nijenge afu uje ufanye mapenzi mlangoni aiseee uwiiii police patahusika na wataondolewa km kibaka

  • @fatmamrihani6828
    @fatmamrihani6828 Před rokem +3

    Daah kumbe mwanaume alomuoaa ni mzungu,, dada yupo vizuriii ila acheck na afya yake kama ipo vizur unakuta muhindi kashamuambukiza na mwanae alivyombaka

  • @fatmafatu1128
    @fatmafatu1128 Před rokem +4

    Kwanza mwenyezi mungu alitwambia tusiikurubie zinaa sisi tunakua na vichwa vigumu huo ndio mshahara wa uzinifu kwanza wewe ni mzinifu lazima mungu akupe mzinifu mwenzako pia nawatoto lazima wajifunze tabia mbaya kama wewe mzazi wao una michepuko sasa watajifunza nini kutoka kwako

    • @samiramawby1257
      @samiramawby1257 Před rokem

      Amina ,Inshaallah Allah akuone And Thanks but kabla hujato banzi kwa jicho la mwenzako tazama boriti kwa jicho la lako

  • @user-sj3wf5vz7l
    @user-sj3wf5vz7l Před 11 měsíci

    Mungu atusaidie. Yani Mungu avuruge hii dunia yote. Tunakoenda ni kubaya sana

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 Před rokem +1

    Heheheeee hoo mtihani

  • @gradnessshitindi3694
    @gradnessshitindi3694 Před rokem +17

    Ila kuolewa kunatuheshimisha wanawake! Angekuwa na mume yote haya yasingekuepo

    • @zainabzain3434
      @zainabzain3434 Před rokem +1

      Kishasema mume alifariki Sema uyu alojitokeza hakuwa sahihi

    • @samiramawby1257
      @samiramawby1257 Před rokem

      AMINA DADA

    • @mercypeter162
      @mercypeter162 Před rokem

      Kweli tuwaheshim wanaume pamoja na madhaufu wao lakini ni wa muhimu sana uwepo wao kwetu wanawake.

  • @rehemajuma9733
    @rehemajuma9733 Před rokem +5

    Mama ni next level aloo wachina na wahindiii

  • @jokhaali5893
    @jokhaali5893 Před rokem +11

    Wafukuze hao wapangaji, na wewe wacha UMALAYA ili upate kuishi kwa usalama na watoto wako.
    TAFUTA NDOA

  • @eddytheophil7626
    @eddytheophil7626 Před rokem +4

    Ww mwenyewe danga Sasa unategemea nn?

  • @rachelmcharo3934
    @rachelmcharo3934 Před rokem +7

    Yani ukiwa unataka kupangisha nyumba usikae karibu na wapangaji, utakufa ukiwa unaona

  • @waukweelinikkon6555
    @waukweelinikkon6555 Před rokem +4

    Kuna shida hapo kwa huyu mama, kwa nini wapangaji wako hawakuheshimu ,kwa nini wote wanajiunga wakudhuru,kwa nini huwapi Notice watoke hapo,mwanao umempa malezi gani ,kama unaleta wanaume nyumbani kwako,wanao unawaharibu mwenyewe, tabia yako ndiyo inayofanya wapangaji wako wasikuheshimu ,pole sana mwanamke mwenzetu ,nakushauri uwe bize na watoto wako ,hiyo ndiyo familia yako

    • @samiramawby1257
      @samiramawby1257 Před rokem

      Ukiwa mwembamba huheshimiki but BAHATI bukuku aliimba AMEWAZIDI WOTE so INAWAUMA

    • @samiramawby1257
      @samiramawby1257 Před rokem +1

      Hata ofisini ni vigumu wembamba kutoa rushwa ya ngono ndo maana hawaajiriwi haraka

    • @apostlej.rministiryprophet2219
      @apostlej.rministiryprophet2219 Před 11 měsíci

      Kama ni kweli huyo Jamaa ni shoga halo ni hatari Sana
      Moja ya tabia ya mwanaume ambae aishakuwa shoga Moja ukijuwa Siri zake halafu upo kinyume chake usalama wako ni 0
      Pili wale wana connection kubwa Sana
      Ukimpangishia nyumbani mmoja lazima watajazana wao nyumba yote maana hawawezi kukaa mahali pa mchanganyoko wa jamii nyingine KIRAHISI huyo mama aspokuwa muangalifu litamkuta jambo baya na familia yake Nashauri sirikali ifanye uchunguzi wa kina Sana

    • @apostlej.rministiryprophet2219
      @apostlej.rministiryprophet2219 Před 11 měsíci

      Wapangaji hawamdharau mwenye nyumbani sababu ya mishe zake mi nadhani hao wapangaji waliishaingizwa mkenge na huyo Bwana kama ni shoga kwel

  • @mohamedsalum8933
    @mohamedsalum8933 Před rokem +1

    Pole sn dd lkn ktk Hali ya kawaida ulitakiwa kumpeleka huyo binti hospitali ili kuthibitisha kwa ushahidi alichofanyiwa. Sshv ushahidi wwt utakaopatikana utakuwa circumstantial ambapo itakua rahisi kwa mtuhumiwa kupindua mahakamani.

  • @maulidinusura2030
    @maulidinusura2030 Před rokem +2

    Ukiangalia vinzr sana mwanzo mwa video inapo anza mama nayeye ni mmoja wa watu wanao sapoti ushoga mana cm yake ina bendera za ushoga

  • @myunaniniahmad6463
    @myunaniniahmad6463 Před rokem +4

    Kama huwezi kuishi mwenyewe basi oleweni kisheria, hayo yote ni kwa sababu ya ushenzi tu, uzinzi tu hadabu hakuna kuji fanya kuku 2 kila aina ya jogoo we sawa tu.😏

  • @catherinemichael1275
    @catherinemichael1275 Před rokem +1

    Pole dada huyo mhindi ni pepo

  • @azizaawadh4439
    @azizaawadh4439 Před rokem +4

    Huyu mama anastahiki pole kwa yaliyomtokea ila anakosea sana kupeleka wanaume nyumbani kwake wakati anaishi na wanae

  • @mwakamwatsimu
    @mwakamwatsimu Před 11 měsíci

    Watu huona mafanikio ya watu wengine bila kifahamu hata wao wanaeza kufanyikiwa na hii ndiyo upelekea kuhusudiana na kufanyiana ukatili sio vizuri, maskini mali zake mwenyewe mtoto wake na maisha yake ndiyo inamfanya anapitia machungu yote pole .ila watu wawe maakini na wawe wakijitambua kueka mpaka na msisahau kuombea vile Mungu alivyowapa ombea mali maisha yako na watoto wako .kuna watu wanaeza kutumia ulivyo navyo kama sila ili tu wakumalize kisaikolojia na kimaisha halisi pole.weka maisha yako siri hata ukipata mume usiwe mwepesi wakimsimulia uliyonayo mapema watu hawako sawa na hawaamini hupenda kufanya hiyana pole sana mama.

  • @angelholsey2484
    @angelholsey2484 Před rokem +4

    Eeeeh! MUNGU tusaidie sisi na vizazi vyetu 😢

  • @khadijanjama8721
    @khadijanjama8721 Před rokem +4

    Serekali ikomeshe hii tabia 😭😭😭

  • @MarjohReginald-wx8mm
    @MarjohReginald-wx8mm Před rokem +1

    Duuu atar😭

  • @jumakhatib892
    @jumakhatib892 Před rokem

    Duh kumbe mu Hindi ALLAH AKBAR ALLAH awalinde AAMEEN

  • @annastevensteven9515
    @annastevensteven9515 Před rokem

    Mhuuuu

  • @geeva99
    @geeva99 Před rokem +4

    Baazi ya hizi comment duh!!! Hii nchi bila 5billion empire hakuna haja ya kuwa na familia

  • @neemamshote9577
    @neemamshote9577 Před rokem +1

    Huyu mama ni muongoo na hayuko sawaaaa hivi mwenye nyumba hauna sauti kwakooi

  • @bigirumanalululouise4540

    😢😢😢😢😢😢

  • @itanzaniaAS
    @itanzaniaAS Před rokem +1

    Heee Mungu

  • @evachuwa3809
    @evachuwa3809 Před rokem

    😢

  • @khadijatanzania8040
    @khadijatanzania8040 Před rokem +6

    Fukuza wapangaji wote hao

  • @mohamedrashid9035
    @mohamedrashid9035 Před rokem +3

    Huyo kumbe ana fondisheni yake ya Ushoga na Serikali hipo na anatishiwa kuwawa na serikali ipo

  • @Yunis-hn9hn
    @Yunis-hn9hn Před rokem +8

    Tunakoelekea hakuna atakae owa wala kuolewa .maana kunatisha .

  • @rehemamgeni203
    @rehemamgeni203 Před rokem +1

    Pole mwaya

  • @petercostakisoka
    @petercostakisoka Před rokem

    Daah kwnn wanaume shazii sanaa mpk wachina na wahindi badilika achana na izo pigo

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Před rokem +30

    Usiishi mahali pamoja na wapangaji tafadhali.😢

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 Před rokem +1

    Yeye Wahindi ali chukua wa kazi gani?

  • @coolwaveac7659
    @coolwaveac7659 Před rokem +1

    Mtihani kwakweli 😢

  • @najimsultan9128
    @najimsultan9128 Před rokem

    😂😂😂😂😂huyu maza nae danga tu anaonekana

  • @amanmaleko3085
    @amanmaleko3085 Před rokem +2

    Mm hiyonyumba haifai mama anaongea kaachereani

  • @faudhiasalum7279
    @faudhiasalum7279 Před rokem +2

    😢Pole sana

  • @erichemily4890
    @erichemily4890 Před rokem

    Ye mwenyewe mdangaji

  • @edinachami4318
    @edinachami4318 Před rokem

    Hiyo foundation ninini

  • @PENDOLUKUMAY-th4np
    @PENDOLUKUMAY-th4np Před rokem +3

    Pole sana mama pia Sali sana

    • @samiramawby1257
      @samiramawby1257 Před rokem

      Atleast now I get the right person and right answer thanks

    • @samiramawby1257
      @samiramawby1257 Před rokem

      Sala na Ibada ni kitu muhimu mpenzi 🙏🙏AMIN ALLAH ATALIPA haki nipate

  • @mohdmohd8428
    @mohdmohd8428 Před rokem +18

    Mama anaongea vizur ila hapo kuwa na mchina muhindi wazungu ndo tatizo lilianzia apo😢

    • @sifatiiman
      @sifatiiman Před rokem

      😢😢😢umeona

    • @sleeprelaxation8431
      @sleeprelaxation8431 Před rokem +2

      tatizo ni nin? kama sio wivu tu, tanzania ukiwa na mahusiano na mtu wa ngozi tafauti wanajua pesa, waakti wengine hawana pesa, wewe kwa nyumba hiyo na anaishi na wapangaji, hana hata hela ya kujitibu huyu mama ana maisha ya kawaida tu

    • @rabiaiddi2884
      @rabiaiddi2884 Před rokem +1

      na sasa hivi ndo wameshindwana na huyo shoga 😂😁

    • @samiramawby1257
      @samiramawby1257 Před rokem

      Wivu wao tu bro,kwani wao mbona wanadate hata waswahili 10 mzunguko,wa umeme,wa vocha,wa maji Bill shida mimi kuchagua kuwa wa mataifa?tena after break up with one I take another not futuring

  • @janethjonas1700
    @janethjonas1700 Před rokem +2

    Hajabakwa alichokifanya anakijua...maana lazima angeonyesha ushirikiano

  • @AsdDsa-fi5qk
    @AsdDsa-fi5qk Před rokem +5

    Mrudie mungu wako .mama swali

  • @vumi8371
    @vumi8371 Před rokem

    😢😢😢😢mmmh

  • @user-vv6oj5eh6z
    @user-vv6oj5eh6z Před rokem

    Dah

  • @jeffkonki8279
    @jeffkonki8279 Před rokem +3

    Ama hapo Jenga hata chumba kimoja na sebule mbona Hauna familia kubwa hapo waachie wapangaji wapya

  • @simbajumanne9718
    @simbajumanne9718 Před rokem

    Hayoo maelezo sio

  • @damariszuckschwert9489
    @damariszuckschwert9489 Před rokem +4

    Mtoto wa miaka 14 anakuja saa saba? Wazazi muna masihara.

    • @joyceassey2347
      @joyceassey2347 Před rokem +1

      Kwanza ata mchana tu unambie unatoka utaeleza vzr unaenda wap na kufanya nn,,,sijui wengine wanawezaje wenzetu jmn

    • @damariszuckschwert9489
      @damariszuckschwert9489 Před rokem

      @@joyceassey2347 mshenzi huyu mama. Anahitaji kifungo na yeye.

    • @samiramawby1257
      @samiramawby1257 Před rokem

      Nilimpiga na kumfungia ndo nikavunjwa mkono na kuundiwa timu iniue

  • @Yunis-hn9hn
    @Yunis-hn9hn Před rokem +2

    Uko vizuri😂mchina tena

  • @mithlaabdulrahim8566
    @mithlaabdulrahim8566 Před rokem +1

    Tutafika mbinguni tumechoka jmn😢

  • @nurudaniford333
    @nurudaniford333 Před rokem +4

    Maisha ya kudanga😔

  • @rauhiyanyange2438
    @rauhiyanyange2438 Před rokem +23

    Huyu mama hayuko sawa jaman msaidien akili yake bado haijatulia😢😢😢

    • @firdauskarembo7664
      @firdauskarembo7664 Před rokem +5

      Me nahisi we ndio chizi .
      Mama anaakili zake timamu tu anaeleza vizur kabisa .

    • @rauhiyanyange2438
      @rauhiyanyange2438 Před rokem +8

      @@firdauskarembo7664 umetumwa au mm sijamanisha ni chizi kumbuka kauli yake anazibitisha aliugua uchizi kosa langu liko wapi nyau ww

    • @tatotato506
      @tatotato506 Před rokem +3

      ​@@firdauskarembo7664wenae mwenyewe apo anasema aliwaikuugua kichaa

    • @incase284
      @incase284 Před rokem

      Wewe pia unaweza ukawa hauna akili timamu

    • @rauhiyanyange2438
      @rauhiyanyange2438 Před rokem +2

      @@tatotato506 bora umenisaidia watu wengine utafikir ni kizazi cha shetani 😒😒😒😒

  • @kungugeni
    @kungugeni Před rokem +1

    Nchi hii hivi aina mwenyewe. Viongozi mpo wapi Tanzania Ina halibiwa kiasi hicho ushoga unaenezwa Kila kukicha

  • @ghelimafilemon9653
    @ghelimafilemon9653 Před rokem +3

    Duuh, mambo yanatisha haya na kwamba yanafanyika Tanzania? Mwisho wa dunia umefika

  • @zuwenasalim2794
    @zuwenasalim2794 Před rokem +2

    Shoga uko vzr wazungu,wachina,Watanzania hakuna?

    • @samiramawby1257
      @samiramawby1257 Před rokem

      Ndo ninaowapenda so kipendacho roho hula nyama mbichi

  • @sadiqrifay5448
    @sadiqrifay5448 Před rokem +3

    Kwa maelezo haya na namna anavoishi kwa kudanga inanipa mashaka hata na hicho kifo cha mume alie acha mali

  • @rahabnkya8276
    @rahabnkya8276 Před rokem +2

    HISTORIA inajirudia!

  • @waziriwahekima6824
    @waziriwahekima6824 Před rokem +6

    Acha mteremko wewe ndie unaesababisha mwanao kufuata matendo yako

  • @josephlorri431
    @josephlorri431 Před rokem +8

    Huyu mama mshiriki hayo mambo ya LGBTQ ila walishindwana kwenye deals zao,na serikali inawafuatilia..tena aliolewa na mzungu..company yake wazungu, wahindi, wachina

    • @riosingingandmore8224
      @riosingingandmore8224 Před rokem

      Jamaniii

    • @samiramawby1257
      @samiramawby1257 Před rokem +1

      Kumbe mnanijua mimi mshirikina???eeh 😅😅😅sasa wape habari yao wabakaji na wanao increase kubaka watoto adabu ntawatia na muwaulize wapo wote mpaka mda huu au bado wanavaa ma plastic kuigiza😅😅😅🙏🙏Taawire mkuu

    • @samiramawby1257
      @samiramawby1257 Před rokem

      Tena kuwashitaki nimewasaidia tu ili msinihukumu baadae kila atakayeimeza au kuiminya haki ya mwanangu ntahamisha mawingu,mawimbi,bahari na mito waisome habari yangu hao hawanijui waambie wewe bora unaenijua😅😅😅mimi simba wa YUDA eti brooo au ni sister

    • @riosingingandmore8224
      @riosingingandmore8224 Před rokem

      @@samiramawby1257 🤣🤣🤣🤣🤣🤣

    • @michaeljohn9070
      @michaeljohn9070 Před rokem

      Inawezekana kabisaa unacho sema kaka,,

  • @julianamasato5655
    @julianamasato5655 Před rokem +6

    Mama unaonekana hata wewe unatabia mbaya unaperekaje mwanaume kwenye nyumba ambayo amejenga mume wako hata kama nimarehemu.badirisha tabia zako kwanza hapo unaumwa mkono bado umebandika mawingi kichwani .wahindi wazungu wachina

    • @jescajulius8023
      @jescajulius8023 Před rokem +1

      Wameshaachana mnataka aishi vip

    • @samiramawby1257
      @samiramawby1257 Před rokem

      Wewe ukifiwa mume usihitaji nusura kisa una nyumba nikupe hongera,,Nusura ya kuwa na mume ni bora hata kama anadhiki kama anajiheshimu kama baba kuishi nae siyo kosa angalia BI HADIJA na MUHAMMAD A.Salaam

  • @Minilove....985
    @Minilove....985 Před rokem

    😢😢😢😢

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 Před rokem

    Hii😢

  • @SamweliMwasomola-ey1eg

    Kwahy tayari mtoto walishamwarib

  • @ndennkya9554
    @ndennkya9554 Před rokem +6

    Mama mwenyewe hajatulia kabisa

  • @user-qe7on1ws5u
    @user-qe7on1ws5u Před rokem +1

    nyege hizo huwezi kukaa bila mboo

  • @rehemajuma9733
    @rehemajuma9733 Před rokem +7

    Ila huyu mama kma Teja au msongo wa mawazo umemuathiri haupo sawa