Video není dostupné.
Omlouváme se.
MCHEPUKO WA MAMA ADAIWA KUMBAKA BINTI YAKE “WANAFANYA MAPENZI MLANGONI KWANGU, WANAPANGA KUNIUA”
Komentáře • 417
Další v pořadí
Automatické přehrávání
VIDEO: MUME KILIO HAMTAKI MKE TENA ,MKE AMGANDA, TAHARUKI, MTAANI USHIRIKINA WATAJWA ZNZMillard Ayo
zhlédnutí 97K
''NYUMBANI KWANGU UKOKO HAUTUPWI, PESA HAITAFUTWI INAVUTWA" - MC LUVANDA AFUNGUKA| HARD TALKGlobal TV Online
zhlédnutí 41K
Věděl si že to FUNGUJE? #ostravskygastrošef #heřmangazdaOstravsky Gastrošef (Heřman Gazda)
zhlédnutí 127K
She blended SPAGHETTI @anasofiafehnLionfield
zhlédnutí 10M
Best exercises to lose weight ! 😱Tibo InShape
zhlédnutí 16M
واو! هذا الطلاء لذيذ جدًا 😋 مقلب الطعام! #مدرسة #كوميديا من SmashCrushSmashCrush! Arabic
zhlédnutí 38M
ATHUMANI: HAWA WATATU HAWATOSHI, LENGO LANGU NI KUOA WAKE 10 "HARUSI YETU ILIGHARIMU MILIONI 6"Millard Ayo
zhlédnutí 22K
Mume wa Diva Afunguka | "Mwanamke Kuacha na Mimi ni Mjinga"CLOUDSMEDIA
zhlédnutí 16K
Top U.S. & World Headlines - July 31, 2024Democracy Now!
zhlédnutí 157K
MREMBO ALIYEJENGA NYUMBA 3, ALIACHA KAZI, "MOJA MIL 280, WANANIITA FREEMASON".Millard Ayo
zhlédnutí 156K
AJALI ILIYOUA WATU 6 MWANZA, POLISI YABAINI CHANZO NI MWENDOKASI "DEREVA TUTAMKAMATA".Millard Ayo
zhlédnutí 18K
MFANYAKAZI AMBANA BOSS WAKE MBELE YA WAZIRI “HAJANILIPA MSHAHARA”Millard Ayo
zhlédnutí 49K
HOTUBA YA KWANZA NZITO YA RAIS MWABUKUSI WA CHAMA CHA MAWAKILI WA TANGANYIKA | "HAKI NGORONGORO"Mwanzo TV Plus
zhlédnutí 15K
Do u want the result? 🤔 Elsa and Nevada #elsarca #tiktokElsa Arca
zhlédnutí 14M
Pineapple Pizza (ft. Lionfield)Nick DiGiovanni
zhlédnutí 8M
Best Toilet Gadgets and #Hacks you must try!!💩💩Poly Holy Yow
zhlédnutí 22M
【鬥羅大陸】 小舞真的錯怪唐舞桐了! #斗羅大陸 #唐三 #小舞 #唐舞桐 #唐舞麟梓俊与唐三
zhlédnutí 61M
V MÉ HLAVĚ…Attack
zhlédnutí 215K
35M Subscriber Moment Almost Here🎉❤️ Supported by Korean creators🇰🇷🤝🇯🇵ISSEI / いっせい
zhlédnutí 98M
Your bathroom needs thisJustin Flom
zhlédnutí 20M
Mama ukipata kibentel usimpeleke nyumbani kwako.usimwonyeshe mwanaume mali zako.ndio wanachotaka ni mali sio wewe.waweke watoto mbali na wanaume wako.painfull😢
Nikweli
Pu⁶@❤
N kwel
Point
Huyu mtoto hata ivo Hana adabu napia Hana hofu ya mngu uwezi danganywa kiasi na watu umfanyie mamaako vitendo vya kinyama namna iyo miaka Kumi na NNE tayari NI binti ambaye anakua na uelewa wa kujitambua ... MUNGU amuongoze huyu binti mana dunia ya sasa na hawa vijana WATOTO wetu wanazidi kupotea ✍️
Upo vizur sana dada MashaAllah mungu akubariki hao wapangaji fukuzaaa wotee pangisha upya na uangalie wanaume wa kuwa nao kwan wengi wao skuiz wanapenda kitonga na tayar ww huna njaa njaa dada usilee mtt wa mamkweee komaa kivyako mapenz fanya kwa starehe tu wanaume wengi saiz waongo mnooo
Yani watanzania sijui tupoje mtu analilia haki ya watoto wake mnamsema kisa yeye mtu wa viwanja acheni tabia mbaya msiangalie mapungufu yake angalieni haki ya watoto
Hakuna haki pasipo wajibu huyu mama anatakiwa awajibike kimalezi Kuna sehemu amekosea lazma aambiwe amekosea nn ili ajue anaanzaje
Umejitahidi sana kumfatilia mwanao Sema mahusiano ulonayo sio sahihi Allah akutie nguvu bado hujachelewa zidi kumpigania
Ukisikiliza hii interview kwa makini utagundua kuna shida sehemu..............malezi hayajakaa vizuri kabisa
Without a FATHER nothing will be possible thats why i needed him looking for him everywhere searching for him but am luck enough to be a good mother ans set the good example to all weman no matter whoever do something good will never be appriciated 😅😅🙏am not enough buddy
This woman nmependa anavojieleza May God fight for you mum
Anajieleza kisomi sana huyu dada ,ana akili sema mchina kamuharibu 🙄
Thanks and Amen
Pole kipenz mm sisemi kitu sabu nina watt wa kike ila mm nilicho kiona wanawake tuweke mipaka kwa watt kama hamna baba zao na ukipata mwanaume usiwaoneshe watt na kumleta nyumbani uyo mume ili kuepuka zalau kwa watt pole sana
Mmmmh!!!subhanna Allah Mwenyezi Mungu msimamie uyu mama
Amiin
Pole sana mama Mungu awake mkono wake kwenye ili
Amina na Inshaallah ALLAH atasimama
Pole Sana dada Mungu atakusaidia
Mother don't fear death, Their greatest fear is leaving their children in this world, knowing no one will love them like her....GOD PLEASE HELP HER KEEP HER STRONG 🙏 😢
😢😢😢😢😢
mchina kabla ya muhindiiii hahahahhahahaahha mama loool
Uyu dada anahitaji ulinzi na hao wahalifu wachukuliwe hatua
Huyo muhindi waandishi fatilieni na mhakikish huy mama anabak salama maan matendo hayo wanataka kufanya ni hatr kwa jamii na inaonekana ina watu wengi nyuma yake. Serikali tafadhli tunataka kuskia mwisho wake hatua kwa hatua, polis tafadhl msile rushwa ya hao wahindi tunataka kuokoa jamii yetu.
Duh!😢 Pole sana
Hiyo ni police case.Ashikwe haraka huyo baba
Mmmmh Allah atunusuru lnshallha kwa watt Wetumpka lnshallha sitaki kuongea sana katika hili pole dd
Pole sana
Mama yuko sawaa aseee
Wa kwanza mlimuuua ni mzungu ,
Wa pili mkampa maneno akaondoka ni mchina
Huyu wa sasa kaondoka ni Mhindi nasemaje huyu sasa tuachane 💃💃💃
jamani msaidien mama matibabu apone akaendeleze kula bata 😂😂
Mirembe tayari wana kadi yangu bro asante kwa ushauri mzuri baba huruma nyie ndo wagawa bure mnaidharirisha serikali yetu ionekane imeruhusu haya mambo na watoto kuingiliwa
Dah niatali Sana aisee
Eeh mungu maisha gani haya😢dunia imefikia huku...
Mwisho kabisa rehema ya Mungu ikatuokoe.
Pole sana mdogo wangu
Huyu mama kaeleza vzuri na anaumia ila watanzania mkiona m2 kapenda mchina, muhindi n.k wa2 wa nje mnahisi malaya si hvo ndo maan kashaenda polisi na wapangaji kafukuza na mwenyekiti anajua hvo acha kujudge wa2 vibaya😭😭😭🙌🙌🙌
Thanks for understanding me
@@samiramawby1257 usjali dada yang❤❤
Pole sana mama 😢😢
Kabla ya muhindi nilkua na mwanume wangu mchina😂😂😂nimecheka kama mazurii
Mmmh bila kumutaka MUNGU NA NGUVU ZAKE HATUWEZI CHOCHOTE TUTALIA KILA SIKU HAKUNA CHA MAPENZI WALA NN ILA TUTUBU DHAMBI NA KUACHA NA KUMUFUATA YESU TU
Eee mungu tuhurumie
Sad 😭
Mmh dada mwanaume unadate nae miez miwili 2 lkn each and everything khsu life lako unamueleza kwel jmn daah . Ila pole me nakuombea kwa mungu 2 upone na wote walioshiriki wachukuliwe hatua.
Pole sana ila io nyumba ungepangisha ukalelee sehem ya ingine
Huyu mama anaonekana team ya mjini
Dahhhh,,, nyumba Nijenge afu uje ufanye mapenzi mlangoni aiseee uwiiii police patahusika na wataondolewa km kibaka
Daah kumbe mwanaume alomuoaa ni mzungu,, dada yupo vizuriii ila acheck na afya yake kama ipo vizur unakuta muhindi kashamuambukiza na mwanae alivyombaka
Kwanza mwenyezi mungu alitwambia tusiikurubie zinaa sisi tunakua na vichwa vigumu huo ndio mshahara wa uzinifu kwanza wewe ni mzinifu lazima mungu akupe mzinifu mwenzako pia nawatoto lazima wajifunze tabia mbaya kama wewe mzazi wao una michepuko sasa watajifunza nini kutoka kwako
Amina ,Inshaallah Allah akuone And Thanks but kabla hujato banzi kwa jicho la mwenzako tazama boriti kwa jicho la lako
Mungu atusaidie. Yani Mungu avuruge hii dunia yote. Tunakoenda ni kubaya sana
Heheheeee hoo mtihani
Ila kuolewa kunatuheshimisha wanawake! Angekuwa na mume yote haya yasingekuepo
Kishasema mume alifariki Sema uyu alojitokeza hakuwa sahihi
AMINA DADA
Kweli tuwaheshim wanaume pamoja na madhaufu wao lakini ni wa muhimu sana uwepo wao kwetu wanawake.
Mama ni next level aloo wachina na wahindiii
Wafukuze hao wapangaji, na wewe wacha UMALAYA ili upate kuishi kwa usalama na watoto wako.
TAFUTA NDOA
Ww mwenyewe danga Sasa unategemea nn?
Yani ukiwa unataka kupangisha nyumba usikae karibu na wapangaji, utakufa ukiwa unaona
Kabisa
Kuna shida hapo kwa huyu mama, kwa nini wapangaji wako hawakuheshimu ,kwa nini wote wanajiunga wakudhuru,kwa nini huwapi Notice watoke hapo,mwanao umempa malezi gani ,kama unaleta wanaume nyumbani kwako,wanao unawaharibu mwenyewe, tabia yako ndiyo inayofanya wapangaji wako wasikuheshimu ,pole sana mwanamke mwenzetu ,nakushauri uwe bize na watoto wako ,hiyo ndiyo familia yako
Ukiwa mwembamba huheshimiki but BAHATI bukuku aliimba AMEWAZIDI WOTE so INAWAUMA
Hata ofisini ni vigumu wembamba kutoa rushwa ya ngono ndo maana hawaajiriwi haraka
Kama ni kweli huyo Jamaa ni shoga halo ni hatari Sana
Moja ya tabia ya mwanaume ambae aishakuwa shoga Moja ukijuwa Siri zake halafu upo kinyume chake usalama wako ni 0
Pili wale wana connection kubwa Sana
Ukimpangishia nyumbani mmoja lazima watajazana wao nyumba yote maana hawawezi kukaa mahali pa mchanganyoko wa jamii nyingine KIRAHISI huyo mama aspokuwa muangalifu litamkuta jambo baya na familia yake Nashauri sirikali ifanye uchunguzi wa kina Sana
Wapangaji hawamdharau mwenye nyumbani sababu ya mishe zake mi nadhani hao wapangaji waliishaingizwa mkenge na huyo Bwana kama ni shoga kwel
Pole sn dd lkn ktk Hali ya kawaida ulitakiwa kumpeleka huyo binti hospitali ili kuthibitisha kwa ushahidi alichofanyiwa. Sshv ushahidi wwt utakaopatikana utakuwa circumstantial ambapo itakua rahisi kwa mtuhumiwa kupindua mahakamani.
Ukiangalia vinzr sana mwanzo mwa video inapo anza mama nayeye ni mmoja wa watu wanao sapoti ushoga mana cm yake ina bendera za ushoga
Kama huwezi kuishi mwenyewe basi oleweni kisheria, hayo yote ni kwa sababu ya ushenzi tu, uzinzi tu hadabu hakuna kuji fanya kuku 2 kila aina ya jogoo we sawa tu.😏
Pole dada huyo mhindi ni pepo
Huyu mama anastahiki pole kwa yaliyomtokea ila anakosea sana kupeleka wanaume nyumbani kwake wakati anaishi na wanae
Watu huona mafanikio ya watu wengine bila kifahamu hata wao wanaeza kufanyikiwa na hii ndiyo upelekea kuhusudiana na kufanyiana ukatili sio vizuri, maskini mali zake mwenyewe mtoto wake na maisha yake ndiyo inamfanya anapitia machungu yote pole .ila watu wawe maakini na wawe wakijitambua kueka mpaka na msisahau kuombea vile Mungu alivyowapa ombea mali maisha yako na watoto wako .kuna watu wanaeza kutumia ulivyo navyo kama sila ili tu wakumalize kisaikolojia na kimaisha halisi pole.weka maisha yako siri hata ukipata mume usiwe mwepesi wakimsimulia uliyonayo mapema watu hawako sawa na hawaamini hupenda kufanya hiyana pole sana mama.
Eeeeh! MUNGU tusaidie sisi na vizazi vyetu 😢
Serekali ikomeshe hii tabia 😭😭😭
Duuu atar😭
Duh kumbe mu Hindi ALLAH AKBAR ALLAH awalinde AAMEEN
Mhuuuu
Baazi ya hizi comment duh!!! Hii nchi bila 5billion empire hakuna haja ya kuwa na familia
Huyu mama ni muongoo na hayuko sawaaaa hivi mwenye nyumba hauna sauti kwakooi
😢😢😢😢😢😢
Heee Mungu
😢
Fukuza wapangaji wote hao
Huyo kumbe ana fondisheni yake ya Ushoga na Serikali hipo na anatishiwa kuwawa na serikali ipo
Tunakoelekea hakuna atakae owa wala kuolewa .maana kunatisha .
Allah atunusuru na kizazi chetu
Pole mwaya
Asante mpenzi
Daah kwnn wanaume shazii sanaa mpk wachina na wahindi badilika achana na izo pigo
Usiishi mahali pamoja na wapangaji tafadhali.😢
Kwel watamzoea baadae wamsumbue kwenye kumlipa kodi
Asante na nimejifunza sana
Yeye Wahindi ali chukua wa kazi gani?
Mtihani kwakweli 😢
😂😂😂😂😂huyu maza nae danga tu anaonekana
Mm hiyonyumba haifai mama anaongea kaachereani
😢Pole sana
Ye mwenyewe mdangaji
Hiyo foundation ninini
Pole sana mama pia Sali sana
Atleast now I get the right person and right answer thanks
Sala na Ibada ni kitu muhimu mpenzi 🙏🙏AMIN ALLAH ATALIPA haki nipate
Mama anaongea vizur ila hapo kuwa na mchina muhindi wazungu ndo tatizo lilianzia apo😢
😢😢😢umeona
tatizo ni nin? kama sio wivu tu, tanzania ukiwa na mahusiano na mtu wa ngozi tafauti wanajua pesa, waakti wengine hawana pesa, wewe kwa nyumba hiyo na anaishi na wapangaji, hana hata hela ya kujitibu huyu mama ana maisha ya kawaida tu
na sasa hivi ndo wameshindwana na huyo shoga 😂😁
Wivu wao tu bro,kwani wao mbona wanadate hata waswahili 10 mzunguko,wa umeme,wa vocha,wa maji Bill shida mimi kuchagua kuwa wa mataifa?tena after break up with one I take another not futuring
Hajabakwa alichokifanya anakijua...maana lazima angeonyesha ushirikiano
Mrudie mungu wako .mama swali
😢😢😢😢mmmh
Dah
Ama hapo Jenga hata chumba kimoja na sebule mbona Hauna familia kubwa hapo waachie wapangaji wapya
Hayoo maelezo sio
Mtoto wa miaka 14 anakuja saa saba? Wazazi muna masihara.
Kwanza ata mchana tu unambie unatoka utaeleza vzr unaenda wap na kufanya nn,,,sijui wengine wanawezaje wenzetu jmn
@@joyceassey2347 mshenzi huyu mama. Anahitaji kifungo na yeye.
Nilimpiga na kumfungia ndo nikavunjwa mkono na kuundiwa timu iniue
Uko vizuri😂mchina tena
Ndiyoooo na ndo naongeza mwingine
Karibuni
Tutafika mbinguni tumechoka jmn😢
Maisha ya kudanga😔
Huyu mama hayuko sawa jaman msaidien akili yake bado haijatulia😢😢😢
Me nahisi we ndio chizi .
Mama anaakili zake timamu tu anaeleza vizur kabisa .
@@firdauskarembo7664 umetumwa au mm sijamanisha ni chizi kumbuka kauli yake anazibitisha aliugua uchizi kosa langu liko wapi nyau ww
@@firdauskarembo7664wenae mwenyewe apo anasema aliwaikuugua kichaa
Wewe pia unaweza ukawa hauna akili timamu
@@tatotato506 bora umenisaidia watu wengine utafikir ni kizazi cha shetani 😒😒😒😒
Nchi hii hivi aina mwenyewe. Viongozi mpo wapi Tanzania Ina halibiwa kiasi hicho ushoga unaenezwa Kila kukicha
Duuh, mambo yanatisha haya na kwamba yanafanyika Tanzania? Mwisho wa dunia umefika
Shoga uko vzr wazungu,wachina,Watanzania hakuna?
Ndo ninaowapenda so kipendacho roho hula nyama mbichi
Kwa maelezo haya na namna anavoishi kwa kudanga inanipa mashaka hata na hicho kifo cha mume alie acha mali
HISTORIA inajirudia!
Ipi?
Acha mteremko wewe ndie unaesababisha mwanao kufuata matendo yako
Huyu mama mshiriki hayo mambo ya LGBTQ ila walishindwana kwenye deals zao,na serikali inawafuatilia..tena aliolewa na mzungu..company yake wazungu, wahindi, wachina
Jamaniii
Kumbe mnanijua mimi mshirikina???eeh 😅😅😅sasa wape habari yao wabakaji na wanao increase kubaka watoto adabu ntawatia na muwaulize wapo wote mpaka mda huu au bado wanavaa ma plastic kuigiza😅😅😅🙏🙏Taawire mkuu
Tena kuwashitaki nimewasaidia tu ili msinihukumu baadae kila atakayeimeza au kuiminya haki ya mwanangu ntahamisha mawingu,mawimbi,bahari na mito waisome habari yangu hao hawanijui waambie wewe bora unaenijua😅😅😅mimi simba wa YUDA eti brooo au ni sister
@@samiramawby1257 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Inawezekana kabisaa unacho sema kaka,,
Mama unaonekana hata wewe unatabia mbaya unaperekaje mwanaume kwenye nyumba ambayo amejenga mume wako hata kama nimarehemu.badirisha tabia zako kwanza hapo unaumwa mkono bado umebandika mawingi kichwani .wahindi wazungu wachina
Wameshaachana mnataka aishi vip
Wewe ukifiwa mume usihitaji nusura kisa una nyumba nikupe hongera,,Nusura ya kuwa na mume ni bora hata kama anadhiki kama anajiheshimu kama baba kuishi nae siyo kosa angalia BI HADIJA na MUHAMMAD A.Salaam
😢😢😢😢
Hii😢
Kwahy tayari mtoto walishamwarib
Mama mwenyewe hajatulia kabisa
Msiba tu kahaba
nyege hizo huwezi kukaa bila mboo
Ila huyu mama kma Teja au msongo wa mawazo umemuathiri haupo sawa
Malaya sio teja
@@sabihaibrahim143 Tena kakubuhu haswaaa manake hata aibu hanaa