VIDEO: MUME KILIO HAMTAKI MKE TENA ,MKE AMGANDA, TAHARUKI, MTAANI USHIRIKINA WATAJWA ZNZ

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 07. 2023

Komentáře • 459

  • @nataliadominique5330
    @nataliadominique5330 Před rokem +29

    Mungu nipe nguvu ya kutafuta mali zangu ili nisije kuzalilika maisha ya Sasa mwisho mzaliliko 😢😢😢 ila nikiwa na vyangu bas ntaepukana na mengi ya dunia 🙏

  • @AminaShabani-ej7so
    @AminaShabani-ej7so Před 9 měsíci +4

    Nashindwa kusimama upande wowote ila kama taraka zmeisha ilibidi mwanamke arudi kwao, pia kama mwanamke ni mbishi sana ni bora mwanaume angemuachia nyumba uyo mwanamke yye akatafute maisha sehemu nyengine

  • @husna34562
    @husna34562 Před rokem +30

    Mwanamke mwenzangu pole ila tujifunze kujitegemea ili ukiachwa usonge mbele hawa generally yetu mtihani 😢

  • @mishikombowato1457
    @mishikombowato1457 Před rokem +16

    ila na ww dada jifunze kuongea ya kwako ya kakako uyaache kama yalivyo unaongea sana had unaboesha buana ww ni ndugu wa mume na sio mke wake achana na haya mambo kaa kando

  • @bintimbuto5740
    @bintimbuto5740 Před 11 měsíci +13

    Ndomana sisi wanawake tunauwawa sana kwasababu ya kunganganiya mbambo ambayo yalisha tukataha😢

  • @khadidjasuleiman8006
    @khadidjasuleiman8006 Před rokem +25

    Nachojuwa maisha ya ndoa yanachangamoto nying ila muamuzi ni mume Ushirikina haushindi Kudra za Allah

    • @hameezhami7795
      @hameezhami7795 Před 11 měsíci

      Ushirikina huo.kudra za Allah ndio maana huyo mama hatoki.allah bado kamuweka hapo .kwahiyo shirk inashindana na kudra ya Allah

  • @edithajohn9600
    @edithajohn9600 Před 11 měsíci +6

    Uyu dada miwani nyoko,kwa kuongea tu?🙌🙌🙌🙌

  • @openmindtz
    @openmindtz Před rokem +3

    Kaka enu mmoja mwanaume... Nafatilia vzr mnoo

  • @kekiplus1andonly
    @kekiplus1andonly Před rokem +6

    Mmmmh usijitoe sana kwa mwanaume jamani,bakisha akiba..ili mkataba ukiisha hasara ipo kidogo na hakikisha unakuwa unajikusanyia pesa ya kujifuta jasho😂😂😂😂tena pesa ya kutosha...ukiondoka unakuwa na tabasamu usoni😂😂
    Ndugu nao ,haswa huyu wifi miwani,usiingilie ndoa za watu,wakiachana wasiachane shauri yao

    • @nahlahassan-fd6le
      @nahlahassan-fd6le Před rokem +1

      ahahahahahaha

    • @omytifa6403
      @omytifa6403 Před rokem +1

      Uyo wifi miwan mmbea ile mbaya

    • @mbanga6759
      @mbanga6759 Před 10 měsíci

      Yani huyu Mimi ningempa kipaipai kajinga Sana eti hatumtaki nyoko wewe kijiuso kirefu km baniya

  • @Mtumweusi35
    @Mtumweusi35 Před rokem +2

    Heeee htr miaka 2 keshamwacha bdo yupo ndan hajaondoka jeee WALIKUWA WANATOMBANAA?

  • @dottohami
    @dottohami Před rokem +18

    Huyo anajua kuolewa tu hajui kuachwa🤣Ndiomana hataki kutoka🤣🙌

    • @pendo8082
      @pendo8082 Před rokem

      😂😂😂

    • @masturasudi7394
      @masturasudi7394 Před rokem +1

      Sasa hivi hamna kuachika

    • @khanifaally8752
      @khanifaally8752 Před rokem

      ​@@masturasudi7394umeona eee asiekupenda mng'ang'anie😂😂😂

    • @masturasudi7394
      @masturasudi7394 Před rokem +2

      Ndo hivyo maswala ya kuchezea hisia zetu hamna, anakuacha anakuachaje kwamfano anakuachia nani kwamfano🤣🤣🤣hiyo ndo inaitwa kuishi kwenye shida na raha hamna kuachana mpaka kifo kiwatenganishe💃

    • @KHAMIS_SHILINGI
      @KHAMIS_SHILINGI Před rokem

      😂😂😂😂😂 napita tuu

  • @jacklinejacksone1165
    @jacklinejacksone1165 Před 10 měsíci +4

    Iyo familia inaonekana inashida Tena mume nadada zake maana dada mwenyewe anaonaonekana nishangingi nashangaa anavo mponda wifi ake akiondoka ndo atalala na kaka ake

  • @khadijaabdulrahmani1446
    @khadijaabdulrahmani1446 Před rokem +5

    Wote wahuni hao waachani wapambane na Hali zao😅😅😅

    • @josephatjordan2150
      @josephatjordan2150 Před rokem

      Aseeh kweli kabisa nilkua natafuta hii comment!!
      Walipatana wenyewe huko wamezagamuana saiz Nyoko tena😂

  • @John-vn4pp
    @John-vn4pp Před rokem +13

    Huyu aliyemwoa huyu dada mtu, apewe tuzo ya uvumilivu💪.
    Anaongea hadi anakinaisha😢.

    • @onegamba2029
      @onegamba2029 Před rokem

      😂

    • @AalyahNasser
      @AalyahNasser Před 11 měsíci

      😅😅

    • @rogathengowo1099
      @rogathengowo1099 Před 11 měsíci

      Zanzibar moja hiyo

    • @mbanga6759
      @mbanga6759 Před 10 měsíci

      Da mpemba mweusi huyu Domo anaongeya huyu da eti wenywewe wanabana pua Kuna dini Kuna dini ha dini iponila tauhidi mhmmm namihina mipiko nje abaki na ndugu zake nyie ndo mtampa utulivu acheni wivu kaone sura nyeusi km Mimi hapa

    • @bryson0772
      @bryson0772 Před 10 měsíci

      @@mbanga6759 kanishangaza balaa eti abaki na ndugu zake kwa amani wanamtaka kaka yao au kama wachawi

  • @azamazam3279
    @azamazam3279 Před rokem +12

    Mume yuampenda mkewe hakuna ushirikina hapo acha kiherehere

    • @chunaabdullah1333
      @chunaabdullah1333 Před rokem

      Kwa nn ammpe talaka?

    • @innocentman5954
      @innocentman5954 Před 11 měsíci

      Aondoke

    • @emmykundy4273
      @emmykundy4273 Před 10 měsíci

      ⁠@@chunaabdullah1333hizo talaka umeshaziona? Au unamwamini huyo Dada ambaye ndio anahadithia kama yamemtokea yeye

  • @user-sq7pz9ex5g
    @user-sq7pz9ex5g Před rokem +20

    Hapo wabaya ndugu wa mume..

  • @jebellwallace3509
    @jebellwallace3509 Před 11 měsíci +1

    Khaaaaaaaa kumbe mlevi kwa mlevi mwenzake,zanzibar hadi aibu.

  • @amininuru9270
    @amininuru9270 Před 11 měsíci +8

    Ukweli nikwamba mwanaume ana matatizo ya akili nimwezi mchanga akili zina kuja nakuondoka

    • @zaidasalumualute6437
      @zaidasalumualute6437 Před 9 měsíci +1

      Ni kweli,kawakurupua nduguzake sasa tena anawaaziri,wamuache afe mfia mapenzi

  • @halimamfaume1925
    @halimamfaume1925 Před rokem +5

    Kama ameachwa talaka 3 itabidi aondoke kwa sababu simume wake tena🤔 lakini huyu mwanamume amuhudumie mtoto aliezaa nae

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 Před rokem +7

    Nyumba imevunjwa na familia ogopa familia kama hii wanachimba

    • @Aysha_ally
      @Aysha_ally Před rokem +1

      😅😅😅😅hiyo ndo Zanzibar hakuna chamume kumuacha mke ila ndugu hawamtaki mkee ndo nnacho jua tushaishi maisha hayooo😂😂😂😂😂

    • @sabihaibrahim143
      @sabihaibrahim143 Před rokem

      @@Aysha_ally swadakta

    • @AshaMakame-zg9xi
      @AshaMakame-zg9xi Před rokem +1

      Mmmmmh

  • @ericklibaba1198
    @ericklibaba1198 Před 10 měsíci +4

    Duuuuh... Mdada wa miwani unaongea hatariii... 😂😂😂😂😂

  • @christinachazy8644
    @christinachazy8644 Před 11 měsíci +7

    Dada acha kuongea sana wakati hata wew ni mwanamke na utapata mawifi pia kah

  • @naimanasoro4039
    @naimanasoro4039 Před rokem +2

    Ndugu w mume nishida sna yani inavyoonekana mume yuwampenda mke ila ndgu nd hawamtak mke looh

  • @azizabuyonde8368
    @azizabuyonde8368 Před 11 měsíci +4

    Ndoa ina jenngwa na watu 2 ,lakini ndoa ikiwa ya ya familiar na majirani ,ndo shida hizo

  • @azizahmustafa8330
    @azizahmustafa8330 Před rokem +5

    Mm hua nasema siwez kuungilia ndoa ya kakaangu hata kama kafanywa zezeta cha pili mume ukionà umenichokà ondoka ww niache ña wanangu

  • @leilashayo4723
    @leilashayo4723 Před 11 měsíci +6

    Huyu dada ajengewe sanamu kwa kuongea duuuuhhh kaz kwel kwel

  • @allymadenge4603
    @allymadenge4603 Před 9 měsíci

    Ndo MAANA sitaki kuoa nikisikia nyege ninapiga. Nyeto MAANA WANAWAKE mnazingua SANA tu

  • @shakirally3899
    @shakirally3899 Před rokem +2

    Wanawakee ni mama zetu lakni mmh wana vigingiii vingi mnooo

  • @judithtitomalyeta4000
    @judithtitomalyeta4000 Před rokem +4

    Mhuuu we dada mungu anakuona uwezi jua ndoa ni siri kubwa ww ni mwanamke utazaa mtoto wa kike

  • @khadidjasuleiman8006
    @khadidjasuleiman8006 Před rokem +1

    Subhanallah Mtihani kabisa

  • @JUMAJUMA-ym1kt
    @JUMAJUMA-ym1kt Před 11 měsíci

    ayo tv mmezdi umbea heee mmp vizuri

  • @hanifamasudi9732
    @hanifamasudi9732 Před 11 měsíci +5

    Pole sana mwanamke mwezangu allah atakuokoa sote tunapitia manito 😢😢😢

  • @rehemasharifu8985
    @rehemasharifu8985 Před 10 měsíci +1

    Heee dada anapambana wifi atoke😂😂😂

  • @yohanamaulid2388
    @yohanamaulid2388 Před 8 měsíci

    Kilicho unganishwa na mungu mwanadamu asikitenganishe ndugu acheni kuitenganisha msimsaidie mungu kazi😂

  • @mohamedshaaban9740
    @mohamedshaaban9740 Před rokem +5

    Ukweli wanawake wa kiswahili wako na vurumai ile mbaya...niulizeni mimi yashanipitia.

  • @ritapiusnicolaus7068
    @ritapiusnicolaus7068 Před rokem +1

    Ndugu wa mume shiiiiiiiiiiikaaaaaaaaaaamooooooooooooo🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼dada anaongea hadi mate meupe yanamtoka cherean ya umeme 😏😏😏😏😏

    • @thescop1003
      @thescop1003 Před rokem

      😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣wueeeewueeee

    • @modycombo7421
      @modycombo7421 Před 11 měsíci

      Hapo ujakutana na gubu lakipemba huyo akasome

    • @zuhuramwanafuno1851
      @zuhuramwanafuno1851 Před 11 měsíci

      Hahahaaaaaaa 😂😂chezea kijito upele weweee

  • @pendoanzigar3172
    @pendoanzigar3172 Před 11 měsíci +3

    usitoke ndani tena mroge na huyu muongeaji wa familia na alibadilisha maamzi kwa ajili yenu ndo mnamlazimisha amuache ndo mana ndugu mlicyotoka nje bwana katengua kauli😂😂😂😂😂😂😂😂

    • @soberhousetv2245
      @soberhousetv2245 Před 10 měsíci

      Huyo wifi mtu taahira sana natamani niwe karibu nae nimzabue

  • @user-wk1ix1gm1p
    @user-wk1ix1gm1p Před rokem +15

    Dada kazi hana Na vipesa hana , angekuwa Na kibarua chake Na vichenji vyake , hao mawifi wanafki ndo wangekuwa wanamtembelea kutwa Na kumpigia cm my wi . Wanawake hatupendani yaan , anabwabwaja wakati yeye wmwenyewe kaolewa a hao ndo chanzo

    • @Vauxhallmental
      @Vauxhallmental Před rokem +1

      Yaani we nimekuelewa kweli, huyu dada kaolewa lakini naye ajitambui na pete yake ya kinafki

    • @yasmine937-so4mi
      @yasmine937-so4mi Před rokem

      Yani anajifanya aachiki kumbe hajishughulishi😂😂😂😂

    • @ayshamahariq6665
      @ayshamahariq6665 Před 11 měsíci +1

      @@yasmine937-so4mi kishamufanyia mambo🤣🤣🤣

  • @ameenaameena1224
    @ameenaameena1224 Před rokem +3

    Bado wanapendana

  • @EddahBure-te7ft
    @EddahBure-te7ft Před 11 měsíci +5

    Kweli nimeamini ndugubwa mume huwa hawapendi wake wa ndugu zao duuuhh 😢😢

    • @innocentman5954
      @innocentman5954 Před 11 měsíci

      Ndoa ni mfano wa urafiki tu.. ukiachwa, achika!!!

    • @IbrahimMohamed-of3sl
      @IbrahimMohamed-of3sl Před 11 měsíci

      HIVI INGEKUWA KAKA AKO ANATESWA UNGEWAZA HIVYO?

    • @EddahBure-te7ft
      @EddahBure-te7ft Před 11 měsíci +1

      @@IbrahimMohamed-of3sl sikiliza weweeeeee ..kwanza hakuna mwanaumd anae nyanyaswa hapo, pili ndu za mume wengi wanavunja ndoa za watu kwa kuwaingia, ni ivi katk haya maisha hupaswi kuingilia mapenzi ya watu, mapenzi hayaingili kesho yameisha sura zenu mwazieka wapi

    • @IbrahimMohamed-of3sl
      @IbrahimMohamed-of3sl Před 11 měsíci

      Majirani nao ndugu wa mume au?

    • @zuhuramwanafuno1851
      @zuhuramwanafuno1851 Před 11 měsíci +2

      Mmmh ndoa hixi jamani ndugu wa mume shkamoniiii😂

  • @marymanoni5536
    @marymanoni5536 Před 3 měsíci +1

    Atoke yy

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 Před 10 měsíci +1

    Uyo mwanaume boya ,iyo nyumba iuzwe wagawwane ,atoke aende waoi

  • @ahmedhassani7058
    @ahmedhassani7058 Před rokem

    Dah mtihani

  • @soberhousetv2245
    @soberhousetv2245 Před 10 měsíci +1

    We wifi pumbavu zako kabisa,wewe mapenzi ya watu yanakuhusu nini taahira wewe,yaani adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzie dah nimekuchukia sana we dada

  • @G.r.e.a.t.I.Q
    @G.r.e.a.t.I.Q Před rokem +5

    "Banda" hilo ndo shida. Tena ni faida njema sana ya kuokotana kwenye maasi!

    • @Sheba4651
      @Sheba4651 Před 9 měsíci

      Ni faida ama hasara 😂😂😂

  • @welcometoeat165
    @welcometoeat165 Před rokem

    Aondoke asinganganie mwsho aje kutolewa utumbo 👏👏👏

  • @ilynpayne7491
    @ilynpayne7491 Před rokem +14

    Kusema kweli dunia hii wanaume pia tuna teswa pia kila saa tuna skiliza upande wa wanawake

    • @rayahamisi118
      @rayahamisi118 Před 11 měsíci

      Sio wote

    • @ilynpayne7491
      @ilynpayne7491 Před 9 měsíci +1

      ​@@rayahamisi118mara nyingi sisi wanaume tuki lalamika tuna teswa tuna onekana kama waongo

  • @Leylah-pz5sc
    @Leylah-pz5sc Před 10 měsíci +1

    Kakaenu kanogewa wacheni kuingilia mapenzi ya watu mnajuwa anachopewa, pengine katumika vibaya ktk iyo ndoa nyie hamjui ndoa ina siri uyo ata mkimtoa mtakuja kukuta kesharudi sura zenu sijui mtazieka wapi

  • @soberhousetv2245
    @soberhousetv2245 Před 10 měsíci +2

    Ndugu wanavunja sana nyumba za watu

  • @dorahhussein
    @dorahhussein Před rokem +2

    Dada ondoka tu ukatafute kazi ufanye kazi

  • @savelaaizack6322
    @savelaaizack6322 Před rokem +3

    Kwahiyo aondoke namtoto aende wapi mawifi wabaya sana ningekuwa nimimi ningekupa hata kichwa maana unaongea sana😂😂😂

  • @soberhousetv2245
    @soberhousetv2245 Před 10 měsíci

    We dada una roho mbaya sana mamae

  • @Tinatana30
    @Tinatana30 Před rokem +3

    Ndugu wa mume😅😅😅😅

  • @ishadulla4525
    @ishadulla4525 Před 11 měsíci +1

    Karogwa uyo mwanammke hafai msaidieni kaka enu

  • @saumusanjiama6991
    @saumusanjiama6991 Před 10 měsíci +1

    Hao wanapendana si atoke huyo mwanaume

  • @rayahamisi118
    @rayahamisi118 Před 11 měsíci

    Wifi pambe mashalla

  • @mambosasa2950
    @mambosasa2950 Před 10 měsíci +1

    Mke apewe haki yake sio kumfukuza Kama paka,

  • @aminanyoni6471
    @aminanyoni6471 Před 10 měsíci

    We dada domo hilo waongea sana😂😂😂😂😂😂😂

  • @omytifa6403
    @omytifa6403 Před rokem +2

    Wifi mnoko ww ovyooo

  • @salummzee9739
    @salummzee9739 Před rokem +1

    Muongo huo mwaname wanatakana hao kweli mwanamke umuache abaki ndani mwako wakat ww mwaname sio mtoto wa kiume aaah tuwacheni ,Fitina za zina huenda zina tu

  • @MuniraJoseph
    @MuniraJoseph Před 9 měsíci +1

    Ndy mkome kuingilia mapenzi ya watu...

  • @bakari-si1pw
    @bakari-si1pw Před 11 měsíci

    Basi dunia itamfunza mwacheni mwenyewe Amjui anapewa nni😂😂uko chumbani

  • @user-nn5sq8ol4g
    @user-nn5sq8ol4g Před rokem

    😂😂kali

  • @sumeiyamaddy95
    @sumeiyamaddy95 Před rokem +1

    Uhuniniii,😀😀nacheka km mazur ila wznz kuchamba kawaida yao

  • @praisesteven7742
    @praisesteven7742 Před 10 měsíci +1

    ila watu wa zanzibar kma akil kidogo hama🤣🤣🤣🤣🤣

    • @juma2979
      @juma2979 Před 9 měsíci

      Akili unayo ww t mbumbavu

  • @hasnanassoro7142
    @hasnanassoro7142 Před 9 měsíci

    Yaaan we mjinga Tena shangingi,km niwewe au mwanao utajihis vp

  • @lulually5209
    @lulually5209 Před rokem +3

    Kwanini asimuachie nyumba akaondoka yeye au ndio hayo madawa

  • @soberhousetv2245
    @soberhousetv2245 Před 10 měsíci

    Yaani serikali iwasaidie mke aondoke vipi

  • @DaynessSteven-yr4ud
    @DaynessSteven-yr4ud Před 10 měsíci

    Ivi wifi umeolewa??

  • @user-rv7zt6tj3d
    @user-rv7zt6tj3d Před rokem +1

    Mwanaume mjinga hana maamuzi kama mwanaume anafanyiw maamuzi na ndg hahahaha kazi ipo, mwanamke akubali tu kuachika kama ana mtt wagawane vitu akaanz maish yake alee mtt inawezekana mzig ukawa kwa mke kulea so kama mmeamua aachike basi wagawane kila kitu maan walikuw kitu kimoja akaish kivyake na mtoto. Ndoa zikiingiw mambo ya kishirikina na maneno ya ndg basi tayr sio ndoa tena ukitaka salama ni kila mtu ashike njia yake.

  • @husna34562
    @husna34562 Před rokem +3

    Kwa nyumba gan hapo😅😅😅😂😂😂

  • @feisalmwinyi2429
    @feisalmwinyi2429 Před 11 měsíci

    Hahahahahaha huyuu dada anajijuaa lkn km anaongea na mwandishi heeeeeeeeeee.. umeyashapuliaaaaaaa bi wifi wa mjomba na shangazi!!!! japooo nanyii wanawake mnaturogaaaaaaaaa sanaaaa lkn heeeee mtihani huu, ilaa lipo jambooo apo.. Iman nayooo wanaume inatuponzaaaaaa na wanawake nanyii mkifanya virojaaa kueni wabusaraa ata km mnarogaaaa awo waume zenu... ilaa hali hii wachanee kwa kheriiiiii salama tu hadii anasemaaa hy yote au mgojwaa huyuu mumee

  • @piuslugata4931
    @piuslugata4931 Před 11 měsíci +1

    Inaonekana ndugu wa mwanaumme wanamatatizo uwenda hawajaolewa na uweda wanamtegemea sana mwanaumme huyo kwa hiyo dada huyo anapambania ndoa yake

  • @dianacharles8147
    @dianacharles8147 Před 10 měsíci +1

    We miwani mpumbavu nini mtoto wa nje ya ndoa ulikuwepo inakuhusu nini 😏mamae Mimi ningeanza na wewe ningepasua miwani . Watu wanalala bila nguo alafu wewe unakuja kuongea watengane

  • @hajirama4270
    @hajirama4270 Před 10 měsíci

    Mucjisimbue kukoment ashaachwa atoke hapana Tena ndoa apo kinachoeendelea ni zinaa tu

  • @dayana5513story
    @dayana5513story Před rokem

    Siku izi ndoa hazipatikani so akuna kuachika 😀😀

  • @rasvegas8991
    @rasvegas8991 Před rokem

    Balaaaaa

  • @Sheba4651
    @Sheba4651 Před 9 měsíci

    Shida ya kuowa mwanamke mmekutana ulevini, ukiona atatulia 😂😂😂 ...Unamtoa mke kwa wazazi shetani haachi tafrani zake, iwe baa.

  • @MwanamiruruRamadhaniabda-xt4sv

    Mtihani sana jamani si aondoke wanaume wamejaaa

  • @mweusiasili8345
    @mweusiasili8345 Před rokem +1

    Nyumba haikai nyumba ni hivi sasa ndungu ndo wanaonchangia familia nyingi kuvunjika yakhee

  • @graciedivyang
    @graciedivyang Před 10 měsíci +1

    Ifike pahala muache kuipa serikali vitu vya kijinga 😹😹😹😹😹

  • @marymanoni5536
    @marymanoni5536 Před 3 měsíci +1

    Amemuacha amuachie na nyumba

  • @nusurasaid5099
    @nusurasaid5099 Před rokem +2

    Jamani hata sheria ya dini hairuhusu kukaa pamoja wakati talaka tatu zishamaliza mpaka majirani washachoshwa na mambo yao

  • @soberhousetv2245
    @soberhousetv2245 Před 10 měsíci

    Wewe dada mropokaji sana

  • @aminaasia-jl8fk
    @aminaasia-jl8fk Před 10 měsíci

    Wedada mwenye miwani umeolewa nakama umeolewa nawewe subili yakwako

  • @salumjumaruhaga2513
    @salumjumaruhaga2513 Před 10 měsíci

    Sasa mambo ya mke na mme mnaingilia vip

  • @HadijaOmar-qh9jn
    @HadijaOmar-qh9jn Před 5 měsíci

    Huyo mwanamke muongo mm ni jirani yangu haswa lkn mengine kazua kwenye tulikuwepo lkn punguza ww dada fanya yko

  • @user-oc3wu7js5k
    @user-oc3wu7js5k Před 10 měsíci

    Ww dada ongea machache

  • @MishiPapalan
    @MishiPapalan Před rokem

    Jamani sitalehe wanaigeuza shida siupumbauv mhh muacheni na mkewe

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 Před 10 měsíci

    Mtihani mzito.😢

  • @user-lc6mf4jm2l
    @user-lc6mf4jm2l Před 10 měsíci

    Uyu ndugu wa mume mbona kaniboa ghafla sana😂😂 yan anaongea mpk kero alafu anashadadia kuachwa mwanamke mwenzake😂😂

  • @amisarajabu5608
    @amisarajabu5608 Před 11 měsíci

    Taarifa gani ya upande mmoja?

  • @marcoakyoo760
    @marcoakyoo760 Před rokem +2

    Nilitamani nione hao wahusika niwasikie kwa vinywa vyao

  • @vom84
    @vom84 Před rokem +3

    Kijito upele 😂😂

  • @gracekagoma3231
    @gracekagoma3231 Před 11 měsíci

    Wote wawili wana Matatizo Yao.ndugu hawayajui

  • @lucygichi3666
    @lucygichi3666 Před 10 měsíci +1

    Huu ni upuzi amemchoka baada ya kumtumia Sasa atoke amempa Nini cha kuanza maisha.stupidity!nashkuru kua mkristo yaani talaka ukiandikiwa utoke tu😏😏😏

    • @Sheba4651
      @Sheba4651 Před 9 měsíci

      Ndoa za wahuni hizo, wamekutana baa. Kunguru huwa hawafugiki.

  • @ireneassey2022
    @ireneassey2022 Před rokem

    Tutaft elaaa we subir vumba nyumbn kitakacho kukut ndo icho

  • @adnansaid4209
    @adnansaid4209 Před 11 měsíci +1

    Hao washirikina wakubwa wanavuna wanayoyaamini. Astaghfirullah, mwatoa na ushahidi wa uongo kuaminisha imani yenu iliyoshehenu ushirikina. Huyo kaka humumuoni akili zake zimejaa ughafilika?

  • @zuenajohn8325
    @zuenajohn8325 Před rokem +2

    Ukiachwa achika jmn ondoka muache Kaka watu.

  • @khumayraabdulla96
    @khumayraabdulla96 Před 11 měsíci +1

    Lisikie tu ilo dada lisikukute mpenz 😢