Mungu nipe nguvu ya kutafuta mali zangu ili nisije kuzalilika maisha ya Sasa mwisho mzaliliko 😢😢😢 ila nikiwa na vyangu bas ntaepukana na mengi ya dunia 🙏
Nashindwa kusimama upande wowote ila kama taraka zmeisha ilibidi mwanamke arudi kwao, pia kama mwanamke ni mbishi sana ni bora mwanaume angemuachia nyumba uyo mwanamke yye akatafute maisha sehemu nyengine
ila na ww dada jifunze kuongea ya kwako ya kakako uyaache kama yalivyo unaongea sana had unaboesha buana ww ni ndugu wa mume na sio mke wake achana na haya mambo kaa kando
Mmmmh usijitoe sana kwa mwanaume jamani,bakisha akiba..ili mkataba ukiisha hasara ipo kidogo na hakikisha unakuwa unajikusanyia pesa ya kujifuta jasho😂😂😂😂tena pesa ya kutosha...ukiondoka unakuwa na tabasamu usoni😂😂 Ndugu nao ,haswa huyu wifi miwani,usiingilie ndoa za watu,wakiachana wasiachane shauri yao
Ndo hivyo maswala ya kuchezea hisia zetu hamna, anakuacha anakuachaje kwamfano anakuachia nani kwamfano🤣🤣🤣hiyo ndo inaitwa kuishi kwenye shida na raha hamna kuachana mpaka kifo kiwatenganishe💃
Iyo familia inaonekana inashida Tena mume nadada zake maana dada mwenyewe anaonaonekana nishangingi nashangaa anavo mponda wifi ake akiondoka ndo atalala na kaka ake
Da mpemba mweusi huyu Domo anaongeya huyu da eti wenywewe wanabana pua Kuna dini Kuna dini ha dini iponila tauhidi mhmmm namihina mipiko nje abaki na ndugu zake nyie ndo mtampa utulivu acheni wivu kaone sura nyeusi km Mimi hapa
usitoke ndani tena mroge na huyu muongeaji wa familia na alibadilisha maamzi kwa ajili yenu ndo mnamlazimisha amuache ndo mana ndugu mlicyotoka nje bwana katengua kauli😂😂😂😂😂😂😂😂
Dada kazi hana Na vipesa hana , angekuwa Na kibarua chake Na vichenji vyake , hao mawifi wanafki ndo wangekuwa wanamtembelea kutwa Na kumpigia cm my wi . Wanawake hatupendani yaan , anabwabwaja wakati yeye wmwenyewe kaolewa a hao ndo chanzo
@@IbrahimMohamed-of3sl sikiliza weweeeeee ..kwanza hakuna mwanaumd anae nyanyaswa hapo, pili ndu za mume wengi wanavunja ndoa za watu kwa kuwaingia, ni ivi katk haya maisha hupaswi kuingilia mapenzi ya watu, mapenzi hayaingili kesho yameisha sura zenu mwazieka wapi
Muongo huo mwaname wanatakana hao kweli mwanamke umuache abaki ndani mwako wakat ww mwaname sio mtoto wa kiume aaah tuwacheni ,Fitina za zina huenda zina tu
Mwanaume mjinga hana maamuzi kama mwanaume anafanyiw maamuzi na ndg hahahaha kazi ipo, mwanamke akubali tu kuachika kama ana mtt wagawane vitu akaanz maish yake alee mtt inawezekana mzig ukawa kwa mke kulea so kama mmeamua aachike basi wagawane kila kitu maan walikuw kitu kimoja akaish kivyake na mtoto. Ndoa zikiingiw mambo ya kishirikina na maneno ya ndg basi tayr sio ndoa tena ukitaka salama ni kila mtu ashike njia yake.
Hahahahahaha huyuu dada anajijuaa lkn km anaongea na mwandishi heeeeeeeeeee.. umeyashapuliaaaaaaa bi wifi wa mjomba na shangazi!!!! japooo nanyii wanawake mnaturogaaaaaaaaa sanaaaa lkn heeeee mtihani huu, ilaa lipo jambooo apo.. Iman nayooo wanaume inatuponzaaaaaa na wanawake nanyii mkifanya virojaaa kueni wabusaraa ata km mnarogaaaa awo waume zenu... ilaa hali hii wachanee kwa kheriiiiii salama tu hadii anasemaaa hy yote au mgojwaa huyuu mumee
We miwani mpumbavu nini mtoto wa nje ya ndoa ulikuwepo inakuhusu nini 😏mamae Mimi ningeanza na wewe ningepasua miwani . Watu wanalala bila nguo alafu wewe unakuja kuongea watengane
Mungu nipe nguvu ya kutafuta mali zangu ili nisije kuzalilika maisha ya Sasa mwisho mzaliliko 😢😢😢 ila nikiwa na vyangu bas ntaepukana na mengi ya dunia 🙏
Nashindwa kusimama upande wowote ila kama taraka zmeisha ilibidi mwanamke arudi kwao, pia kama mwanamke ni mbishi sana ni bora mwanaume angemuachia nyumba uyo mwanamke yye akatafute maisha sehemu nyengine
Sure kabisa, hivi hivi watakuja kuuana
Mwanamke mwenzangu pole ila tujifunze kujitegemea ili ukiachwa usonge mbele hawa generally yetu mtihani 😢
ila na ww dada jifunze kuongea ya kwako ya kakako uyaache kama yalivyo unaongea sana had unaboesha buana ww ni ndugu wa mume na sio mke wake achana na haya mambo kaa kando
Ndomana sisi wanawake tunauwawa sana kwasababu ya kunganganiya mbambo ambayo yalisha tukataha😢
Nachojuwa maisha ya ndoa yanachangamoto nying ila muamuzi ni mume Ushirikina haushindi Kudra za Allah
Ushirikina huo.kudra za Allah ndio maana huyo mama hatoki.allah bado kamuweka hapo .kwahiyo shirk inashindana na kudra ya Allah
Uyu dada miwani nyoko,kwa kuongea tu?🙌🙌🙌🙌
Kaka enu mmoja mwanaume... Nafatilia vzr mnoo
Mmmmh usijitoe sana kwa mwanaume jamani,bakisha akiba..ili mkataba ukiisha hasara ipo kidogo na hakikisha unakuwa unajikusanyia pesa ya kujifuta jasho😂😂😂😂tena pesa ya kutosha...ukiondoka unakuwa na tabasamu usoni😂😂
Ndugu nao ,haswa huyu wifi miwani,usiingilie ndoa za watu,wakiachana wasiachane shauri yao
ahahahahahaha
Uyo wifi miwan mmbea ile mbaya
Yani huyu Mimi ningempa kipaipai kajinga Sana eti hatumtaki nyoko wewe kijiuso kirefu km baniya
Heeee htr miaka 2 keshamwacha bdo yupo ndan hajaondoka jeee WALIKUWA WANATOMBANAA?
Huyo anajua kuolewa tu hajui kuachwa🤣Ndiomana hataki kutoka🤣🙌
😂😂😂
Sasa hivi hamna kuachika
@@masturasudi7394umeona eee asiekupenda mng'ang'anie😂😂😂
Ndo hivyo maswala ya kuchezea hisia zetu hamna, anakuacha anakuachaje kwamfano anakuachia nani kwamfano🤣🤣🤣hiyo ndo inaitwa kuishi kwenye shida na raha hamna kuachana mpaka kifo kiwatenganishe💃
😂😂😂😂😂 napita tuu
Iyo familia inaonekana inashida Tena mume nadada zake maana dada mwenyewe anaonaonekana nishangingi nashangaa anavo mponda wifi ake akiondoka ndo atalala na kaka ake
Wote wahuni hao waachani wapambane na Hali zao😅😅😅
Aseeh kweli kabisa nilkua natafuta hii comment!!
Walipatana wenyewe huko wamezagamuana saiz Nyoko tena😂
Huyu aliyemwoa huyu dada mtu, apewe tuzo ya uvumilivu💪.
Anaongea hadi anakinaisha😢.
😂
😅😅
Zanzibar moja hiyo
Da mpemba mweusi huyu Domo anaongeya huyu da eti wenywewe wanabana pua Kuna dini Kuna dini ha dini iponila tauhidi mhmmm namihina mipiko nje abaki na ndugu zake nyie ndo mtampa utulivu acheni wivu kaone sura nyeusi km Mimi hapa
@@mbanga6759 kanishangaza balaa eti abaki na ndugu zake kwa amani wanamtaka kaka yao au kama wachawi
Mume yuampenda mkewe hakuna ushirikina hapo acha kiherehere
Kwa nn ammpe talaka?
Aondoke
@@chunaabdullah1333hizo talaka umeshaziona? Au unamwamini huyo Dada ambaye ndio anahadithia kama yamemtokea yeye
Hapo wabaya ndugu wa mume..
Ndio maana yake nawala hajarogwa huyo
Kabisa.
Asilimia 100
Ndugu wa mume wapo huu mwaka wa pili na hawajaingilia toka waachane lkn kaomba msaada kwa ndugu zake ndo wakaenda kumsaidia
@@joyce55727 Ila hii kesi ngumu jamani
Khaaaaaaaa kumbe mlevi kwa mlevi mwenzake,zanzibar hadi aibu.
Ukweli nikwamba mwanaume ana matatizo ya akili nimwezi mchanga akili zina kuja nakuondoka
Ni kweli,kawakurupua nduguzake sasa tena anawaaziri,wamuache afe mfia mapenzi
Kama ameachwa talaka 3 itabidi aondoke kwa sababu simume wake tena🤔 lakini huyu mwanamume amuhudumie mtoto aliezaa nae
Nyumba imevunjwa na familia ogopa familia kama hii wanachimba
😅😅😅😅hiyo ndo Zanzibar hakuna chamume kumuacha mke ila ndugu hawamtaki mkee ndo nnacho jua tushaishi maisha hayooo😂😂😂😂😂
@@Aysha_ally swadakta
Mmmmmh
Duuuuh... Mdada wa miwani unaongea hatariii... 😂😂😂😂😂
😂sana
Dada acha kuongea sana wakati hata wew ni mwanamke na utapata mawifi pia kah
Ww kaka ako akifanyiwa ivyo utaridhika
Ndugu w mume nishida sna yani inavyoonekana mume yuwampenda mke ila ndgu nd hawamtak mke looh
Ndoa ina jenngwa na watu 2 ,lakini ndoa ikiwa ya ya familiar na majirani ,ndo shida hizo
Mm hua nasema siwez kuungilia ndoa ya kakaangu hata kama kafanywa zezeta cha pili mume ukionà umenichokà ondoka ww niache ña wanangu
subuttuuuuu
@@nahlahassan-fd6lendio ww si unataka kutanga tanga na dunia😂
@@estermahenge-ks3dr Ehee ndio
Huyu dada ajengewe sanamu kwa kuongea duuuuhhh kaz kwel kwel
😂😂😂😂
Sidhani kama Ana mume huyu kahaba
Ndo MAANA sitaki kuoa nikisikia nyege ninapiga. Nyeto MAANA WANAWAKE mnazingua SANA tu
Wanawakee ni mama zetu lakni mmh wana vigingiii vingi mnooo
Mhuuu we dada mungu anakuona uwezi jua ndoa ni siri kubwa ww ni mwanamke utazaa mtoto wa kike
Subhanallah Mtihani kabisa
ayo tv mmezdi umbea heee mmp vizuri
Pole sana mwanamke mwezangu allah atakuokoa sote tunapitia manito 😢😢😢
Heee dada anapambana wifi atoke😂😂😂
Kilicho unganishwa na mungu mwanadamu asikitenganishe ndugu acheni kuitenganisha msimsaidie mungu kazi😂
Ukweli wanawake wa kiswahili wako na vurumai ile mbaya...niulizeni mimi yashanipitia.
😂😂
😅😅🤣
Pole sana
Ndugu wa mume shiiiiiiiiiiikaaaaaaaaaaamooooooooooooo🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼🙌🏼dada anaongea hadi mate meupe yanamtoka cherean ya umeme 😏😏😏😏😏
😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣wueeeewueeee
Hapo ujakutana na gubu lakipemba huyo akasome
Hahahaaaaaaa 😂😂chezea kijito upele weweee
usitoke ndani tena mroge na huyu muongeaji wa familia na alibadilisha maamzi kwa ajili yenu ndo mnamlazimisha amuache ndo mana ndugu mlicyotoka nje bwana katengua kauli😂😂😂😂😂😂😂😂
Huyo wifi mtu taahira sana natamani niwe karibu nae nimzabue
Dada kazi hana Na vipesa hana , angekuwa Na kibarua chake Na vichenji vyake , hao mawifi wanafki ndo wangekuwa wanamtembelea kutwa Na kumpigia cm my wi . Wanawake hatupendani yaan , anabwabwaja wakati yeye wmwenyewe kaolewa a hao ndo chanzo
Yaani we nimekuelewa kweli, huyu dada kaolewa lakini naye ajitambui na pete yake ya kinafki
Yani anajifanya aachiki kumbe hajishughulishi😂😂😂😂
@@yasmine937-so4mi kishamufanyia mambo🤣🤣🤣
Bado wanapendana
Kweli nimeamini ndugubwa mume huwa hawapendi wake wa ndugu zao duuuhh 😢😢
Ndoa ni mfano wa urafiki tu.. ukiachwa, achika!!!
HIVI INGEKUWA KAKA AKO ANATESWA UNGEWAZA HIVYO?
@@IbrahimMohamed-of3sl sikiliza weweeeeee ..kwanza hakuna mwanaumd anae nyanyaswa hapo, pili ndu za mume wengi wanavunja ndoa za watu kwa kuwaingia, ni ivi katk haya maisha hupaswi kuingilia mapenzi ya watu, mapenzi hayaingili kesho yameisha sura zenu mwazieka wapi
Majirani nao ndugu wa mume au?
Mmmh ndoa hixi jamani ndugu wa mume shkamoniiii😂
Atoke yy
Uyo mwanaume boya ,iyo nyumba iuzwe wagawwane ,atoke aende waoi
Dah mtihani
We wifi pumbavu zako kabisa,wewe mapenzi ya watu yanakuhusu nini taahira wewe,yaani adui wa mwanamke ni mwanamke mwenzie dah nimekuchukia sana we dada
"Banda" hilo ndo shida. Tena ni faida njema sana ya kuokotana kwenye maasi!
Ni faida ama hasara 😂😂😂
Aondoke asinganganie mwsho aje kutolewa utumbo 👏👏👏
Yan mtu akikuzngua sepa ad ufe
Kusema kweli dunia hii wanaume pia tuna teswa pia kila saa tuna skiliza upande wa wanawake
Sio wote
@@rayahamisi118mara nyingi sisi wanaume tuki lalamika tuna teswa tuna onekana kama waongo
Kakaenu kanogewa wacheni kuingilia mapenzi ya watu mnajuwa anachopewa, pengine katumika vibaya ktk iyo ndoa nyie hamjui ndoa ina siri uyo ata mkimtoa mtakuja kukuta kesharudi sura zenu sijui mtazieka wapi
Ndugu wanavunja sana nyumba za watu
Sana, na uyu Dada wa miwani anaongea hatariiii 😅
Dada ondoka tu ukatafute kazi ufanye kazi
Kwahiyo aondoke namtoto aende wapi mawifi wabaya sana ningekuwa nimimi ningekupa hata kichwa maana unaongea sana😂😂😂
@@jrsaid4270umemaliza ndugu kweli kabisaaa
We dada una roho mbaya sana mamae
Ndugu wa mume😅😅😅😅
Awafai
Karogwa uyo mwanammke hafai msaidieni kaka enu
Hao wanapendana si atoke huyo mwanaume
Wifi pambe mashalla
Mke apewe haki yake sio kumfukuza Kama paka,
We dada domo hilo waongea sana😂😂😂😂😂😂😂
Wifi mnoko ww ovyooo
Muongo huo mwaname wanatakana hao kweli mwanamke umuache abaki ndani mwako wakat ww mwaname sio mtoto wa kiume aaah tuwacheni ,Fitina za zina huenda zina tu
Ndy mkome kuingilia mapenzi ya watu...
Basi dunia itamfunza mwacheni mwenyewe Amjui anapewa nni😂😂uko chumbani
😂😂kali
Uhuniniii,😀😀nacheka km mazur ila wznz kuchamba kawaida yao
ila watu wa zanzibar kma akil kidogo hama🤣🤣🤣🤣🤣
Akili unayo ww t mbumbavu
Yaaan we mjinga Tena shangingi,km niwewe au mwanao utajihis vp
Kwanini asimuachie nyumba akaondoka yeye au ndio hayo madawa
Yaani serikali iwasaidie mke aondoke vipi
Ivi wifi umeolewa??
Mwanaume mjinga hana maamuzi kama mwanaume anafanyiw maamuzi na ndg hahahaha kazi ipo, mwanamke akubali tu kuachika kama ana mtt wagawane vitu akaanz maish yake alee mtt inawezekana mzig ukawa kwa mke kulea so kama mmeamua aachike basi wagawane kila kitu maan walikuw kitu kimoja akaish kivyake na mtoto. Ndoa zikiingiw mambo ya kishirikina na maneno ya ndg basi tayr sio ndoa tena ukitaka salama ni kila mtu ashike njia yake.
Kwa nyumba gan hapo😅😅😅😂😂😂
Mwenzanguu😂😂😂😂😂
Kijito upele 😅😅😅
Nyumba si hy
@@khadijahali4837 😃😄😄😄
@@husna34562 😁😁
Hahahahahaha huyuu dada anajijuaa lkn km anaongea na mwandishi heeeeeeeeeee.. umeyashapuliaaaaaaa bi wifi wa mjomba na shangazi!!!! japooo nanyii wanawake mnaturogaaaaaaaaa sanaaaa lkn heeeee mtihani huu, ilaa lipo jambooo apo.. Iman nayooo wanaume inatuponzaaaaaa na wanawake nanyii mkifanya virojaaa kueni wabusaraa ata km mnarogaaaa awo waume zenu... ilaa hali hii wachanee kwa kheriiiiii salama tu hadii anasemaaa hy yote au mgojwaa huyuu mumee
Inaonekana ndugu wa mwanaumme wanamatatizo uwenda hawajaolewa na uweda wanamtegemea sana mwanaumme huyo kwa hiyo dada huyo anapambania ndoa yake
We miwani mpumbavu nini mtoto wa nje ya ndoa ulikuwepo inakuhusu nini 😏mamae Mimi ningeanza na wewe ningepasua miwani . Watu wanalala bila nguo alafu wewe unakuja kuongea watengane
Mucjisimbue kukoment ashaachwa atoke hapana Tena ndoa apo kinachoeendelea ni zinaa tu
Siku izi ndoa hazipatikani so akuna kuachika 😀😀
Balaaaaa
Shida ya kuowa mwanamke mmekutana ulevini, ukiona atatulia 😂😂😂 ...Unamtoa mke kwa wazazi shetani haachi tafrani zake, iwe baa.
Mtihani sana jamani si aondoke wanaume wamejaaa
Nyumba haikai nyumba ni hivi sasa ndungu ndo wanaonchangia familia nyingi kuvunjika yakhee
Mhh.kweli
Ifike pahala muache kuipa serikali vitu vya kijinga 😹😹😹😹😹
Amemuacha amuachie na nyumba
Jamani hata sheria ya dini hairuhusu kukaa pamoja wakati talaka tatu zishamaliza mpaka majirani washachoshwa na mambo yao
Wewe dada mropokaji sana
Wedada mwenye miwani umeolewa nakama umeolewa nawewe subili yakwako
Sasa mambo ya mke na mme mnaingilia vip
Huyo mwanamke muongo mm ni jirani yangu haswa lkn mengine kazua kwenye tulikuwepo lkn punguza ww dada fanya yko
Ww dada ongea machache
Jamani sitalehe wanaigeuza shida siupumbauv mhh muacheni na mkewe
Mtihani mzito.😢
Uyu ndugu wa mume mbona kaniboa ghafla sana😂😂 yan anaongea mpk kero alafu anashadadia kuachwa mwanamke mwenzake😂😂
Taarifa gani ya upande mmoja?
Nilitamani nione hao wahusika niwasikie kwa vinywa vyao
Kijito upele 😂😂
Apo sasa duuuu kijito upele zanzibar mnatisha
Wote wawili wana Matatizo Yao.ndugu hawayajui
Huu ni upuzi amemchoka baada ya kumtumia Sasa atoke amempa Nini cha kuanza maisha.stupidity!nashkuru kua mkristo yaani talaka ukiandikiwa utoke tu😏😏😏
Ndoa za wahuni hizo, wamekutana baa. Kunguru huwa hawafugiki.
Tutaft elaaa we subir vumba nyumbn kitakacho kukut ndo icho
Hao washirikina wakubwa wanavuna wanayoyaamini. Astaghfirullah, mwatoa na ushahidi wa uongo kuaminisha imani yenu iliyoshehenu ushirikina. Huyo kaka humumuoni akili zake zimejaa ughafilika?
Ukiachwa achika jmn ondoka muache Kaka watu.
Lisikie tu ilo dada lisikukute mpenz 😢