DOGO BICHWA AMPIGA BABA MKWE WAKE HADI KULAZWA ZNZ, MKE ASIMULIA MKASA MZIMA

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 07. 2023

Komentáře • 124

  • @Mtumweusi35
    @Mtumweusi35 Před rokem +2

    😅😅😅😅😅😅 uyo jmaa fala kwel yaan Kumbe anakaa UKWENI anafugwa kisha analeta vurugu

  • @comraderashid_nuru_m5260

    Tatizo linaanzia kwa jamaa kukosa pesa. Hapo ndo tatizo lilipo. Hizo masuala mara unanidharau mara nini yote ni kukosa pesa!!! Vijana tutafute pesa

    • @SalumNyiga-vj9ut
      @SalumNyiga-vj9ut Před rokem

      Tatizo letu wazanzibara tukifika znz tunakosea sana kuoa huko ,Hawa watu hatuendani kabisa Mila na tamaduni. Mimi binafsi nimeshaacha mke na watoto wawili.
      Wala sikumbuki kitu.
      Wanadharau sana

    • @nahlahassan-fd6le
      @nahlahassan-fd6le Před rokem +2

      Sasa mnakuja znz kuoa nini na tuna dharau?? Basi ndo msioe na sihaba bro kujua kama Mila zenu za Bara na Mila za znz ni tofauti.

  • @Mkomwa380
    @Mkomwa380 Před rokem +7

    Hao makaka nao mafala tu yaani baba yenu anapigwa na hicho kipumbavu kimoja mnakiangalia tu shubamiti kabisa😢

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme Před rokem +1

      Pengine hawana nguvu

    • @ziadasalimu1730
      @ziadasalimu1730 Před rokem +3

      Wajinga sio hawana nguvu ha! Mimi mwenyewe ni mwanamke lakini hapo ningeuwana naye yangetokea mafaa makubwa ningempiga na SIRAHA yoyote mpaka amenyoka chini hivyo alivyo mvamia mzee hapo ndio ningemmaliza

    • @user-zt3et5kl5m
      @user-zt3et5kl5m Před rokem +1

      Asee hapo nimeshangaa makska kuwepo na babao anapigwa asee pia mie ni wake tuu lakini mtu asicheze vibaya na wazazi wangu au mwanangu haijalushili yeye ninani lakini huyo bichwa achezee tuu familia hiyo vinginevyoo kama kwetu watajambeba mzoga so bichwa tenaa

    • @AshaMakame-zg9xi
      @AshaMakame-zg9xi Před rokem +1

      Ao watu walikua vipofu au vp bongazi watu wanapigwa nyinyi mnamapanga si mngeenda na VIHANJIFU😘

  • @jebellwallace3509
    @jebellwallace3509 Před rokem +1

    Huo mtaa unaishi wanawake watupu,usenge huo angekuja kufanya huku kiboko bar akaona.
    Zanzibar munalea wahalifu.

  • @zayumar2955
    @zayumar2955 Před rokem +1

    Kuachana kawaida tu na kunipiga anipige mimi ila kwa jins nnavyompenda baba yangu ni kosaaa kubwaaa mmnooo Yan hatutamaliza wallah ila Mungu atunusuru na wenza wasio sahihi

  • @ziadasalimu1730
    @ziadasalimu1730 Před rokem +3

    Haya Tena kumbe mia Hana anafugwa humo humo ndani Kwa mkwe harafu unampiga mzee wa watu jamani ha! Hata uwoga Hana kujuwa huyu ni baba yake pia

  • @KHAMIS_SHILINGI
    @KHAMIS_SHILINGI Před rokem +1

    Maskini subhahanallah 😭😭😭 kajishusha mhmm wachache sana ktk sisi wanawaake

  • @sabihahamadi2287
    @sabihahamadi2287 Před rokem +3

    Jamani mbona zanzibar imeharibika kiasi chote hicho haya ndio duniya iko mbiyoni kuisha

    • @nahlahassan-fd6le
      @nahlahassan-fd6le Před rokem

      Watu wanaotoka Bara ndo wanakuj kuharibu znz wallah laadhim

  • @nth3512
    @nth3512 Před rokem +2

    Angalau dd umesema ukweli kua uliondok bila ruhusa yake, wengine wanaficha makosa yao.

  • @alisuleiman2917
    @alisuleiman2917 Před rokem +2

    Millard ayo Wamegeuka mawio wa Zanzibar

  • @user-sd5zf6fz4v
    @user-sd5zf6fz4v Před měsícem

    Uwe makini atakuuwa huyo

  • @user-sd5zf6fz4v
    @user-sd5zf6fz4v Před měsícem

    Unataka baba yako apigwe muongo ushindwe kuklmkataa😊 waume wapo

  • @juma2979
    @juma2979 Před rokem +2

    Huyu dada sjui vp naona km hana akili siku zote wanaume wa bara sio waume alikuwaje akaolewa na mnyamwezi

    • @VictorKotein
      @VictorKotein Před rokem

      Kuma tu wewe znz hakuna wanaume zaidi ya mashoga ndio maana dada zenu wanaelewa wanaume wa bara

    • @Leylah-pz5sc
      @Leylah-pz5sc Před 11 měsíci

      😂😂😂😂

  • @Leylah-pz5sc
    @Leylah-pz5sc Před 11 měsíci

    Zanzibar njema atakae na aje, uyo hakukatai mana unamlea kwenu hemu alafu mara ya pili angalia wa kuolewa nae,

  • @isamony58
    @isamony58 Před rokem +1

    yani wapemba ingekuwa bongoo uyoo angekoma usiku uo nyie mnaleyana ujinga sana

  • @ramboiddrambo3056
    @ramboiddrambo3056 Před rokem +1

    magumi ushafaam😁😂😂

  • @MawaddaKhamis-zh3kc
    @MawaddaKhamis-zh3kc Před rokem

    Mmmh wanaume wengine buana asa ndo nini kufanya yote hayo 😮

  • @samkoka3
    @samkoka3 Před rokem +2

    Hao waliokuja na mapanga nao wakawa ndugu watazamaji ety

  • @user-sd5zf6fz4v
    @user-sd5zf6fz4v Před měsícem

    Bangi huyo usimpe sifa

  • @NassorTwahiru-kf8fo
    @NassorTwahiru-kf8fo Před 11 měsíci

    Sielew niseme ni watu wa huko ni mdebwedo au ni vp kwa sbb huu usenge sidhan km unaweza kuufanya sehem zngine

  • @user-sd5zf6fz4v
    @user-sd5zf6fz4v Před měsícem

    Uongo mtu mmoja kwa mtaa mzima huna akili wew makwaju na magongo hakuna mpiga ya mabega mm nakwambia ukirudi wewe ni maiti tu

  • @joyce55727
    @joyce55727 Před rokem +2

    Kwahio hao watu waliokuja na mapanga nao walianza kuangalia mkipigwa ww na baba 🤔🤔🤔

  • @asiamohd5516
    @asiamohd5516 Před rokem

    Mmmmmnnh niseme sibure ipo namna.

  • @user-sd5zf6fz4v
    @user-sd5zf6fz4v Před měsícem

    Sasa watu hakuna au

  • @sihabaaly287
    @sihabaaly287 Před rokem

    Mwanamke mwenzangu sikuelewi yaan mimi ni mzanzibar lakini huyu mwanamke mwezangu simuelewi weeee ampige babaangu etiiiii🥴

  • @ziadasalimu1730
    @ziadasalimu1730 Před rokem +2

    Kweli wewe dada huna akili baba Yako anapigwa mpaka anajikojolea harafu Bado mnamuomba msahaha mmmmm! Mimi ningemuuwa naye Kwa njia yoyote huyo kaka Yako na wao watu wengine pia wajinga mtu mmoja analeta maafa Wana mwangalia, kweli nyinyi wenzetu dini imewatara sisi huku kwetu bara angeuliwa km kuku, hivyo alivyo mpiga baba haaa! Ningemuwa

  • @keyla3641
    @keyla3641 Před rokem

    Wewe dada shetani km huyo wanini usrudi

  • @MawaddaKhamis-zh3kc
    @MawaddaKhamis-zh3kc Před rokem +2

    Kwaiyo ushazoea kupigwa bi shosti 😊atakuuwa huyo

  • @teedullah5708
    @teedullah5708 Před rokem +1

    Kisa kilinipata hicho nepewa talaka asubuhi usiku huyu we alinifanya nikahama mtaa paka Leo niko saudi

  • @kabwelasutiviraka4765

    Hivi kuna wahehe wengi zanzibar ? Huo jamaa ni mwendawazimu Inaonekana mpelekeni hospitali ya vichaa apewe dawa

  • @Somorydady-yp2zp
    @Somorydady-yp2zp Před rokem +1

    Tusamehe nirejee mkewako😢

  • @bilioneabichwa
    @bilioneabichwa Před rokem

    Watu walikuja na mapanga alafu wanaangalia tu babamkwe anapigwa hadi anajikojolea, hatar sana

  • @user-gf6uo8qf3k
    @user-gf6uo8qf3k Před rokem +2

    Huyu mwanamke bado anampenda mzazi mwenziwe

  • @user-oc8rh9br4k
    @user-oc8rh9br4k Před rokem

    Asituchanqanye nae pia amtaka wanawake tuna huruma nahasa mkisha zaa 🤣

  • @bonnycostacosta7339
    @bonnycostacosta7339 Před rokem

    Hakuna ndoa hapo

  • @khadijaabdulrahmani1446

    Mkatieni ndani akasome Maisha fala hiyo

  • @vincej9275
    @vincej9275 Před rokem +1

    Vibaya sana kupiga mzee wa miaka 70. lazima achukuliwe hatua na kisheria ili apate adabu.

  • @user-wc8ug6fc5c
    @user-wc8ug6fc5c Před rokem

    Na mwanaume akishanipa talaka simuagi sio tumeshaachana hana adabu hyu mwanaume

  • @thestonetown3302
    @thestonetown3302 Před rokem +2

    Zanzibar wanayo Tabia ya kuleana na kufuga uovu kuna kesi nyingi za kijinga kama nasema uongo fuatilieni kesi za huko zanzibar wananchi wanafuga ujinga na ukichukua hatua wewe ndio unalaumia…

  • @SelinaPaschal-vq2iy
    @SelinaPaschal-vq2iy Před rokem

    Yani watu wazanzibar wapole watu wanakuja wanashindwa kumpiga huyo dogo bichwa aje huku atasimlia mnamkanda kisawa sawa

  • @nahlahassan-fd6le
    @nahlahassan-fd6le Před rokem

    Zanzibari njema atakae aje!! Ndo yanatokea kama haya, maana sahiv znz kla siku majanga imebadilik imekua kam kama huko mikoni bara kwa wenzetu, na hawa wabara ndo wanokuja kutuletea mabalaa znz wahalif wakubwa

  • @zaytunhijja6771
    @zaytunhijja6771 Před rokem

    Yani ingekuwa dadaangu huyu ningemuweka ndani akachangamsha akili mxiuuuu

  • @japhetjoseph1772
    @japhetjoseph1772 Před rokem

    Duh. Zanzibar wastarabu Sana hadi Sasa inakuwa mbaya. Yana watu wamekuja na mapanga lakin hawakufua dafu, makaka wapo dada,baba kichapo. YANI INGEKUWA ARUSHA kichwa habari yake ingeisha dakika 2. Alafu dogo kichwa kumbe anakaa ukweni hahaaaa anapata wapi ujasiri huo waku piga baba mkwe anapo lala.

  • @MwanaishaHemed-xi6rj
    @MwanaishaHemed-xi6rj Před rokem

    Kwakweli huyo sio Mume kumpiga mpaka mkwewe tena dah! Mwaache aende jela huyo labda atakaa sawa

  • @user-wc8ug6fc5c
    @user-wc8ug6fc5c Před rokem

    Bac km umeshamzowesha vibaya haya subiri akuuwe maana anataka kunua baba yako mzazi

  • @user-lv8nh6oz7w
    @user-lv8nh6oz7w Před rokem

    Huyu dada anaonekana kesi ataiyuwa waallah kama mpigaji asingefikia kutufanyia hivyo ningefika mpk kwa rais mwinyi

  • @MawaddaKhamis-zh3kc
    @MawaddaKhamis-zh3kc Před rokem

    Halafu huyu bibi bado anampenda mumewe 😮😮😮😅

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme Před rokem

      Hana akili

    • @tamemahmad9902
      @tamemahmad9902 Před rokem

      Na kipigo anakipenda mana mume anampiga na ameishi nae mpaka wamezaa watt watano.

  • @lenakassian-pr3dy
    @lenakassian-pr3dy Před rokem +1

    Dogo bichwa kavurugwa kweli kweli😢😢

  • @bonnycostacosta7339
    @bonnycostacosta7339 Před rokem

    Ushafahamu

  • @SafiaSeif-gw4ut
    @SafiaSeif-gw4ut Před rokem +1

    Watu wotee hao wanashindwa na mtu mojaa?mpaka masikini mzee wawatu wamepiga?

  • @user-wc8ug6fc5c
    @user-wc8ug6fc5c Před rokem

    Uyo kaaa nae mbali mpaka anakata watu vidole mwanaume anipigie Kofi cku moja tu huyu usikae nae tena na ww pia ukae nae mbali anaweza kukuchinja ukaiyaga dunia mshenzi huyo

  • @SalumNyiga-vj9ut
    @SalumNyiga-vj9ut Před rokem

    Huyo jamaa mjinga kweli kwani watoto ndiyo Nini wakikaa ukweni? Damu ni nzito kuliko maji

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 Před rokem

    Eti ascbome mckiti,akajenga kanisa.Ndo maana lilipata lala salama.Safi sn.

  • @hamadiacha2mwambamtalika272

    Tatizo huyo mwamba ndio anawalisha ndio mana anawatawala

  • @evodiadominicpaul5006

    Huo ni ufala tuu, unamuombaje msamaha Kwa mwanaume anaepiga babaako?

  • @user-sd5zf6fz4v
    @user-sd5zf6fz4v Před měsícem

    Acha ujinga atakuuwa usirudi muongo na wewe unamtaka

  • @ritapiusnicolaus7068
    @ritapiusnicolaus7068 Před rokem +1

    Acheni ubaguzi wa dini eti bora livinjwe kanisa kuliko msikit 😏😏

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme Před rokem

      Na ndio Mungu hapo hapo akamueleleza na kipigo juu 😂

    • @babymalisa3259
      @babymalisa3259 Před rokem +1

      Dah nmecheka 🤣🤣🤣🤣 ushafahamu...

  • @user-wc8ug6fc5c
    @user-wc8ug6fc5c Před rokem

    Mimi ningekua dada yako ningemkata kiungo kimoja huyo baba wa wtoto wako kama hana akili zingemuungi akili

  • @faithfaith-zr6gz
    @faithfaith-zr6gz Před rokem

    We mwanamke mshenzi unamuomba msamaha muuaji?! Yaani upo tayari baba yako afe kwa ajili ya huyo mbwa?!! Hv ndani humo hakuna visu na mchi!! Weweeee shida ya kula urojo mnalegea ovyoovyo,. Mwanamke ww ni mshenzi na mbwaaa sana.

  • @SalumNyiga-vj9ut
    @SalumNyiga-vj9ut Před rokem

    Ukitoa talaka sahau
    Huyo katoa Bado anakupenda

  • @wettykznznhuioploko1571
    @wettykznznhuioploko1571 Před rokem +1

    Kama muhee dada achananae atakuuwa ao ndio faniyao mwezio yamenishinda ao wamezoweana kuowana wenye mahana kupigana ndio mapenzi yao kama wakulwya

  • @user-lv8nh6oz7w
    @user-lv8nh6oz7w Před rokem

    Hana adabu lzm afungwe

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 Před rokem

    Kumbe dada umeoa??,yaani uowe halafu hilo shoga litawale kwenu? Ungeita vijana wamuoe vixuri.

  • @user-sd5zf6fz4v
    @user-sd5zf6fz4v Před měsícem

    Acha ujinga atakuja kukupigeni mapanga huyo na asijekwita usiku ukatoka na hicho kijiji chenu wajinga kwani hakuna watu na uwe makini kakwambia hivo ujuwe akikurejea kifo unacho

  • @ameenaameena1224
    @ameenaameena1224 Před rokem +1

    Bado unampenda mume wewe dada unaonekana tu

    • @user-zt3et5kl5m
      @user-zt3et5kl5m Před rokem

      Umeona yee anavyosema anahofia mzee wa watu it means yeye anaweza rudi loooo huyu nae kashazoe vipigo maana kajisemea

  • @madamaisha1641
    @madamaisha1641 Před rokem

    Na huyu mdada hanaakili,jitu linampiga linamtesa,jitu levi bado analing'ang'ania.huyu mwanamke mpumbavu sana.huyo baba alifukuze hilo jambazi la kibara,wabara wanaroho mbaya weshazowea kuiba

    • @mariamdullazy8166
      @mariamdullazy8166 Před rokem

      Wazanzibar wote wana roho safii eeh mukifa hamuozi haya je wale wanaolawiti nawo wana roho safi pia na muna walea

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 Před rokem

    Inaonekana mume bado anamtaka mke wake

    • @user-zt3et5kl5m
      @user-zt3et5kl5m Před rokem

      Anamtaka ndio maana mwanaune hata kuhudumia familia ni shida so mke ndo anasimamia familia parefu

  • @irenekitomary7271
    @irenekitomary7271 Před rokem

    Usije ukabomoa msikiti ukajenga kanisa hii ni nini???? Huwez skia mkristo akisema hvi duuuuu

    • @LoveStory-ne2ee
      @LoveStory-ne2ee Před rokem +1

      Kwa sababu yesu aliswali msikitini na sio kanisani nawala alijui kanisa

    • @meyuuabdallah4674
      @meyuuabdallah4674 Před rokem +1

      Yani maana yake mkivunja ndoa ya halali na baadae mkawa mnazini,, ndio maana ya kuvunja kanisa kujenga mskiti,, yani mlikuwa kwenye halali mmetoka mnafanya haramu

    • @asalkhan9168
      @asalkhan9168 Před rokem

      🤣🤣🤣 keshaelewa uyo

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme Před rokem

      Sasa siumeona majibu yake baada yakusema hiyo kauli na tazama kapigika katika uzee wake yani kadhalilishwa Mungu achezewi sasa maneno yake yamemtokea puani 😂😂😂😂😂😂

  • @kabwelasutiviraka4765
    @kabwelasutiviraka4765 Před rokem +1

    Wazanzibari ni wabaguzi sana wameirusha hiyo Habari sababu ni mtu wa bara , wanawake wa Zanzibar ni wabaguzi sana na familia zao Unaweza kuowa mtu wa bara Zanzibar kama una hela au unafanya kazi serikalini au mwanajeshi

    • @mohamedsuleiman2785
      @mohamedsuleiman2785 Před rokem +1

      Uwe na adabu ingekuwa mzanzi wako ungelinyama mbona huko Bara matukio kama haya pia huwa Yana ruswa km kawaida tu

    • @asalkhan9168
      @asalkhan9168 Před rokem +1

      We ungekuwa unapigwa kama Ivo ungekubali, mm ni mwanamme lakini uyo hana sifa ya kuwa mume kumpiga mke na baba alokuozesha mke, na halafu ndani kwao nyumba yao wamekueka bado tu unashindwa kujitambua

    • @wettykznznhuioploko1571
      @wettykznznhuioploko1571 Před rokem

      Awezi nipigia baba yangu alufu niishinae tena iyo neva

    • @kabwelasutiviraka4765
      @kabwelasutiviraka4765 Před rokem

      @@mohamedsuleiman2785 uelewi wewe nyamaza Wazanzibar wamerusha sababu ni mtu wabara au vichogo kuonyesha watu wa bara sio watu wazuri

    • @kabwelasutiviraka4765
      @kabwelasutiviraka4765 Před rokem

      @@asalkhan9168 mko na ubaguzi sana nyie mnawahita watu wa bara vichogo

  • @joyce55727
    @joyce55727 Před rokem

    Kwahio hao watu waliokuja na mapanga nao walianza kuangalia mkipigwa ww na baba 🤔🤔🤔

  • @Mtumweusi35
    @Mtumweusi35 Před rokem

    Na nyie wanawake muwe mnatizama kwnza ao waume wa kuwaowa mwsho wa sku ni aibu km hiii

  • @joyce55727
    @joyce55727 Před rokem

    Kwahio hao watu waliokuja na mapanga nao walianza kuangalia mkipigwa ww na baba 🤔🤔🤔