Tatizo letu wazanzibara tukifika znz tunakosea sana kuoa huko ,Hawa watu hatuendani kabisa Mila na tamaduni. Mimi binafsi nimeshaacha mke na watoto wawili. Wala sikumbuki kitu. Wanadharau sana
Wajinga sio hawana nguvu ha! Mimi mwenyewe ni mwanamke lakini hapo ningeuwana naye yangetokea mafaa makubwa ningempiga na SIRAHA yoyote mpaka amenyoka chini hivyo alivyo mvamia mzee hapo ndio ningemmaliza
Asee hapo nimeshangaa makska kuwepo na babao anapigwa asee pia mie ni wake tuu lakini mtu asicheze vibaya na wazazi wangu au mwanangu haijalushili yeye ninani lakini huyo bichwa achezee tuu familia hiyo vinginevyoo kama kwetu watajambeba mzoga so bichwa tenaa
Kuachana kawaida tu na kunipiga anipige mimi ila kwa jins nnavyompenda baba yangu ni kosaaa kubwaaa mmnooo Yan hatutamaliza wallah ila Mungu atunusuru na wenza wasio sahihi
Kweli wewe dada huna akili baba Yako anapigwa mpaka anajikojolea harafu Bado mnamuomba msahaha mmmmm! Mimi ningemuuwa naye Kwa njia yoyote huyo kaka Yako na wao watu wengine pia wajinga mtu mmoja analeta maafa Wana mwangalia, kweli nyinyi wenzetu dini imewatara sisi huku kwetu bara angeuliwa km kuku, hivyo alivyo mpiga baba haaa! Ningemuwa
Zanzibar wanayo Tabia ya kuleana na kufuga uovu kuna kesi nyingi za kijinga kama nasema uongo fuatilieni kesi za huko zanzibar wananchi wanafuga ujinga na ukichukua hatua wewe ndio unalaumia…
Zanzibari njema atakae aje!! Ndo yanatokea kama haya, maana sahiv znz kla siku majanga imebadilik imekua kam kama huko mikoni bara kwa wenzetu, na hawa wabara ndo wanokuja kutuletea mabalaa znz wahalif wakubwa
Duh. Zanzibar wastarabu Sana hadi Sasa inakuwa mbaya. Yana watu wamekuja na mapanga lakin hawakufua dafu, makaka wapo dada,baba kichapo. YANI INGEKUWA ARUSHA kichwa habari yake ingeisha dakika 2. Alafu dogo kichwa kumbe anakaa ukweni hahaaaa anapata wapi ujasiri huo waku piga baba mkwe anapo lala.
Uyo kaaa nae mbali mpaka anakata watu vidole mwanaume anipigie Kofi cku moja tu huyu usikae nae tena na ww pia ukae nae mbali anaweza kukuchinja ukaiyaga dunia mshenzi huyo
We mwanamke mshenzi unamuomba msamaha muuaji?! Yaani upo tayari baba yako afe kwa ajili ya huyo mbwa?!! Hv ndani humo hakuna visu na mchi!! Weweeee shida ya kula urojo mnalegea ovyoovyo,. Mwanamke ww ni mshenzi na mbwaaa sana.
Na huyu mdada hanaakili,jitu linampiga linamtesa,jitu levi bado analing'ang'ania.huyu mwanamke mpumbavu sana.huyo baba alifukuze hilo jambazi la kibara,wabara wanaroho mbaya weshazowea kuiba
Yani maana yake mkivunja ndoa ya halali na baadae mkawa mnazini,, ndio maana ya kuvunja kanisa kujenga mskiti,, yani mlikuwa kwenye halali mmetoka mnafanya haramu
Sasa siumeona majibu yake baada yakusema hiyo kauli na tazama kapigika katika uzee wake yani kadhalilishwa Mungu achezewi sasa maneno yake yamemtokea puani 😂😂😂😂😂😂
Wazanzibari ni wabaguzi sana wameirusha hiyo Habari sababu ni mtu wa bara , wanawake wa Zanzibar ni wabaguzi sana na familia zao Unaweza kuowa mtu wa bara Zanzibar kama una hela au unafanya kazi serikalini au mwanajeshi
We ungekuwa unapigwa kama Ivo ungekubali, mm ni mwanamme lakini uyo hana sifa ya kuwa mume kumpiga mke na baba alokuozesha mke, na halafu ndani kwao nyumba yao wamekueka bado tu unashindwa kujitambua
😅😅😅😅😅😅 uyo jmaa fala kwel yaan Kumbe anakaa UKWENI anafugwa kisha analeta vurugu
Tatizo linaanzia kwa jamaa kukosa pesa. Hapo ndo tatizo lilipo. Hizo masuala mara unanidharau mara nini yote ni kukosa pesa!!! Vijana tutafute pesa
Tatizo letu wazanzibara tukifika znz tunakosea sana kuoa huko ,Hawa watu hatuendani kabisa Mila na tamaduni. Mimi binafsi nimeshaacha mke na watoto wawili.
Wala sikumbuki kitu.
Wanadharau sana
Sasa mnakuja znz kuoa nini na tuna dharau?? Basi ndo msioe na sihaba bro kujua kama Mila zenu za Bara na Mila za znz ni tofauti.
Hao makaka nao mafala tu yaani baba yenu anapigwa na hicho kipumbavu kimoja mnakiangalia tu shubamiti kabisa😢
Pengine hawana nguvu
Wajinga sio hawana nguvu ha! Mimi mwenyewe ni mwanamke lakini hapo ningeuwana naye yangetokea mafaa makubwa ningempiga na SIRAHA yoyote mpaka amenyoka chini hivyo alivyo mvamia mzee hapo ndio ningemmaliza
Asee hapo nimeshangaa makska kuwepo na babao anapigwa asee pia mie ni wake tuu lakini mtu asicheze vibaya na wazazi wangu au mwanangu haijalushili yeye ninani lakini huyo bichwa achezee tuu familia hiyo vinginevyoo kama kwetu watajambeba mzoga so bichwa tenaa
Ao watu walikua vipofu au vp bongazi watu wanapigwa nyinyi mnamapanga si mngeenda na VIHANJIFU😘
Huo mtaa unaishi wanawake watupu,usenge huo angekuja kufanya huku kiboko bar akaona.
Zanzibar munalea wahalifu.
Kuachana kawaida tu na kunipiga anipige mimi ila kwa jins nnavyompenda baba yangu ni kosaaa kubwaaa mmnooo Yan hatutamaliza wallah ila Mungu atunusuru na wenza wasio sahihi
Haya Tena kumbe mia Hana anafugwa humo humo ndani Kwa mkwe harafu unampiga mzee wa watu jamani ha! Hata uwoga Hana kujuwa huyu ni baba yake pia
Maskini subhahanallah 😭😭😭 kajishusha mhmm wachache sana ktk sisi wanawaake
Jamani mbona zanzibar imeharibika kiasi chote hicho haya ndio duniya iko mbiyoni kuisha
Watu wanaotoka Bara ndo wanakuj kuharibu znz wallah laadhim
Angalau dd umesema ukweli kua uliondok bila ruhusa yake, wengine wanaficha makosa yao.
Millard ayo Wamegeuka mawio wa Zanzibar
Uwe makini atakuuwa huyo
Unataka baba yako apigwe muongo ushindwe kuklmkataa😊 waume wapo
Huyu dada sjui vp naona km hana akili siku zote wanaume wa bara sio waume alikuwaje akaolewa na mnyamwezi
Kuma tu wewe znz hakuna wanaume zaidi ya mashoga ndio maana dada zenu wanaelewa wanaume wa bara
😂😂😂😂
Zanzibar njema atakae na aje, uyo hakukatai mana unamlea kwenu hemu alafu mara ya pili angalia wa kuolewa nae,
yani wapemba ingekuwa bongoo uyoo angekoma usiku uo nyie mnaleyana ujinga sana
magumi ushafaam😁😂😂
😂😂😂
Mmmh wanaume wengine buana asa ndo nini kufanya yote hayo 😮
Hao waliokuja na mapanga nao wakawa ndugu watazamaji ety
Bangi huyo usimpe sifa
Sielew niseme ni watu wa huko ni mdebwedo au ni vp kwa sbb huu usenge sidhan km unaweza kuufanya sehem zngine
Uongo mtu mmoja kwa mtaa mzima huna akili wew makwaju na magongo hakuna mpiga ya mabega mm nakwambia ukirudi wewe ni maiti tu
Kwahio hao watu waliokuja na mapanga nao walianza kuangalia mkipigwa ww na baba 🤔🤔🤔
Ha! Si ndio hivyo wangenzimisha kabisa akirudi kwao uheheni ana ngeu
Mm sielewi kwa kweli
Mmmmmnnh niseme sibure ipo namna.
Sasa watu hakuna au
Mwanamke mwenzangu sikuelewi yaan mimi ni mzanzibar lakini huyu mwanamke mwezangu simuelewi weeee ampige babaangu etiiiii🥴
Kweli wewe dada huna akili baba Yako anapigwa mpaka anajikojolea harafu Bado mnamuomba msahaha mmmmm! Mimi ningemuuwa naye Kwa njia yoyote huyo kaka Yako na wao watu wengine pia wajinga mtu mmoja analeta maafa Wana mwangalia, kweli nyinyi wenzetu dini imewatara sisi huku kwetu bara angeuliwa km kuku, hivyo alivyo mpiga baba haaa! Ningemuwa
Wewe dada shetani km huyo wanini usrudi
Kwaiyo ushazoea kupigwa bi shosti 😊atakuuwa huyo
😂😂😂
😂😂😂😂😂❤ chezea upwiru❤❤❤❤😂😂😂
😂😂😂😂🎉🎉
Kisa kilinipata hicho nepewa talaka asubuhi usiku huyu we alinifanya nikahama mtaa paka Leo niko saudi
😂😂😂😂😂 Mm Oman
Hivi kuna wahehe wengi zanzibar ? Huo jamaa ni mwendawazimu Inaonekana mpelekeni hospitali ya vichaa apewe dawa
Tusamehe nirejee mkewako😢
Watu walikuja na mapanga alafu wanaangalia tu babamkwe anapigwa hadi anajikojolea, hatar sana
Huyu mwanamke bado anampenda mzazi mwenziwe
Kabisa yan
Asituchanqanye nae pia amtaka wanawake tuna huruma nahasa mkisha zaa 🤣
Hakuna ndoa hapo
Mkatieni ndani akasome Maisha fala hiyo
Vibaya sana kupiga mzee wa miaka 70. lazima achukuliwe hatua na kisheria ili apate adabu.
72
Na mwanaume akishanipa talaka simuagi sio tumeshaachana hana adabu hyu mwanaume
Zanzibar wanayo Tabia ya kuleana na kufuga uovu kuna kesi nyingi za kijinga kama nasema uongo fuatilieni kesi za huko zanzibar wananchi wanafuga ujinga na ukichukua hatua wewe ndio unalaumia…
Kweli kabisa, wanapenda sana kufuga ujinga
Yani watu wazanzibar wapole watu wanakuja wanashindwa kumpiga huyo dogo bichwa aje huku atasimlia mnamkanda kisawa sawa
Zanzibari njema atakae aje!! Ndo yanatokea kama haya, maana sahiv znz kla siku majanga imebadilik imekua kam kama huko mikoni bara kwa wenzetu, na hawa wabara ndo wanokuja kutuletea mabalaa znz wahalif wakubwa
Yani ingekuwa dadaangu huyu ningemuweka ndani akachangamsha akili mxiuuuu
Duh. Zanzibar wastarabu Sana hadi Sasa inakuwa mbaya. Yana watu wamekuja na mapanga lakin hawakufua dafu, makaka wapo dada,baba kichapo. YANI INGEKUWA ARUSHA kichwa habari yake ingeisha dakika 2. Alafu dogo kichwa kumbe anakaa ukweni hahaaaa anapata wapi ujasiri huo waku piga baba mkwe anapo lala.
Kwakweli huyo sio Mume kumpiga mpaka mkwewe tena dah! Mwaache aende jela huyo labda atakaa sawa
Bac km umeshamzowesha vibaya haya subiri akuuwe maana anataka kunua baba yako mzazi
Huyu dada anaonekana kesi ataiyuwa waallah kama mpigaji asingefikia kutufanyia hivyo ningefika mpk kwa rais mwinyi
Halafu huyu bibi bado anampenda mumewe 😮😮😮😅
Hana akili
Na kipigo anakipenda mana mume anampiga na ameishi nae mpaka wamezaa watt watano.
Dogo bichwa kavurugwa kweli kweli😢😢
😂😂😂 mahaba hayo
😂😂😂😂atariiii
Mwenzangu dah
Ushafahamu
Watu wotee hao wanashindwa na mtu mojaa?mpaka masikini mzee wawatu wamepiga?
Mm mwenzangu sielewi au TEMBO uyo
Uyo kaaa nae mbali mpaka anakata watu vidole mwanaume anipigie Kofi cku moja tu huyu usikae nae tena na ww pia ukae nae mbali anaweza kukuchinja ukaiyaga dunia mshenzi huyo
Huyo jamaa mjinga kweli kwani watoto ndiyo Nini wakikaa ukweni? Damu ni nzito kuliko maji
Eti ascbome mckiti,akajenga kanisa.Ndo maana lilipata lala salama.Safi sn.
😂😂😂😂😂
Tatizo huyo mwamba ndio anawalisha ndio mana anawatawala
Huo ni ufala tuu, unamuombaje msamaha Kwa mwanaume anaepiga babaako?
Acha ujinga atakuuwa usirudi muongo na wewe unamtaka
Acheni ubaguzi wa dini eti bora livinjwe kanisa kuliko msikit 😏😏
Na ndio Mungu hapo hapo akamueleleza na kipigo juu 😂
Dah nmecheka 🤣🤣🤣🤣 ushafahamu...
Mimi ningekua dada yako ningemkata kiungo kimoja huyo baba wa wtoto wako kama hana akili zingemuungi akili
We mwanamke mshenzi unamuomba msamaha muuaji?! Yaani upo tayari baba yako afe kwa ajili ya huyo mbwa?!! Hv ndani humo hakuna visu na mchi!! Weweeee shida ya kula urojo mnalegea ovyoovyo,. Mwanamke ww ni mshenzi na mbwaaa sana.
Hana akili huyo mweu
Ukitoa talaka sahau
Huyo katoa Bado anakupenda
Kama muhee dada achananae atakuuwa ao ndio faniyao mwezio yamenishinda ao wamezoweana kuowana wenye mahana kupigana ndio mapenzi yao kama wakulwya
😂😂😅
😂😂😅
Hana adabu lzm afungwe
Kumbe dada umeoa??,yaani uowe halafu hilo shoga litawale kwenu? Ungeita vijana wamuoe vixuri.
Acha ujinga atakuja kukupigeni mapanga huyo na asijekwita usiku ukatoka na hicho kijiji chenu wajinga kwani hakuna watu na uwe makini kakwambia hivo ujuwe akikurejea kifo unacho
Bado unampenda mume wewe dada unaonekana tu
Umeona yee anavyosema anahofia mzee wa watu it means yeye anaweza rudi loooo huyu nae kashazoe vipigo maana kajisemea
Na huyu mdada hanaakili,jitu linampiga linamtesa,jitu levi bado analing'ang'ania.huyu mwanamke mpumbavu sana.huyo baba alifukuze hilo jambazi la kibara,wabara wanaroho mbaya weshazowea kuiba
Wazanzibar wote wana roho safii eeh mukifa hamuozi haya je wale wanaolawiti nawo wana roho safi pia na muna walea
Inaonekana mume bado anamtaka mke wake
Anamtaka ndio maana mwanaune hata kuhudumia familia ni shida so mke ndo anasimamia familia parefu
Usije ukabomoa msikiti ukajenga kanisa hii ni nini???? Huwez skia mkristo akisema hvi duuuuu
Kwa sababu yesu aliswali msikitini na sio kanisani nawala alijui kanisa
Yani maana yake mkivunja ndoa ya halali na baadae mkawa mnazini,, ndio maana ya kuvunja kanisa kujenga mskiti,, yani mlikuwa kwenye halali mmetoka mnafanya haramu
🤣🤣🤣 keshaelewa uyo
Sasa siumeona majibu yake baada yakusema hiyo kauli na tazama kapigika katika uzee wake yani kadhalilishwa Mungu achezewi sasa maneno yake yamemtokea puani 😂😂😂😂😂😂
Wazanzibari ni wabaguzi sana wameirusha hiyo Habari sababu ni mtu wa bara , wanawake wa Zanzibar ni wabaguzi sana na familia zao Unaweza kuowa mtu wa bara Zanzibar kama una hela au unafanya kazi serikalini au mwanajeshi
Uwe na adabu ingekuwa mzanzi wako ungelinyama mbona huko Bara matukio kama haya pia huwa Yana ruswa km kawaida tu
We ungekuwa unapigwa kama Ivo ungekubali, mm ni mwanamme lakini uyo hana sifa ya kuwa mume kumpiga mke na baba alokuozesha mke, na halafu ndani kwao nyumba yao wamekueka bado tu unashindwa kujitambua
Awezi nipigia baba yangu alufu niishinae tena iyo neva
@@mohamedsuleiman2785 uelewi wewe nyamaza Wazanzibar wamerusha sababu ni mtu wabara au vichogo kuonyesha watu wa bara sio watu wazuri
@@asalkhan9168 mko na ubaguzi sana nyie mnawahita watu wa bara vichogo
Kwahio hao watu waliokuja na mapanga nao walianza kuangalia mkipigwa ww na baba 🤔🤔🤔
Na nyie wanawake muwe mnatizama kwnza ao waume wa kuwaowa mwsho wa sku ni aibu km hiii
Kwahio hao watu waliokuja na mapanga nao walianza kuangalia mkipigwa ww na baba 🤔🤔🤔