NYUMBA ZINGINE ZA VUNJWA ARUSHA MBUNGE GAMBO ATAJWA - ''BORA LEMA ANGETUSAIDIA''...

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 8. 09. 2024
  • NYUMBA ZINGINE ZA VUNJWA ARUSHA MBUNGE GAMBO ATAJWA - ''BORA LEMA ANGETUSAIDIA''...
    CHOTA MAPENE ndiyo mchongo mpya town! Kwa shilingi 1,000 tu, yaani BUKU unajichotea mapene kibao au kupata nafasi ya kujishindia ZAWADI MBALIMBALI KILA SIKU, KILA WIKI kupitia Global TV, Global Radio na mitandao ya kijamii!
    ========================
    Ingia kwenye simu yako📲, sehemu ya kufanyia malipo, andika namba ya kampuni 553111, kumbukumbu namba 255 au andika neno GLOBAL. Weka kiasi cha shilingi 1,000, weka namba yako ya siri, thibitisha na tuma.👍 PEASA UTATUMIWA MOJA KWA MOJA KWENYE SIMU YAKO!🤝👍💰
    ============================================================
    ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
    ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 713 750910), ( +255 783453136)
    ⚫️ Email: globaltvonlinenews@gmail.com
    ⚫️ OUR PLAYLISTS:
    ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: • Habari zote za michezo...
    ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
    ⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
    ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
    ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: ndstream.net/gl...
    ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
    ⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
    ⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx

Komentáře • 266

  • @globaltv_online
    @globaltv_online  Před rokem +1

    JISHINDIE TECNO CAMON 20 kwa BUKU TU! Ingia kwenye simu yako📲, NAMBA YA KAMPUNI 553111, KUMBU NO. 255 au GLOBAL kisha Tuma 1,000! Utapaja ujumbe wa USHINDI!

    • @mkuluwaukae2221
      @mkuluwaukae2221 Před rokem +1

      Na nyie mshaaanza huu wizi na upuuuuzi? Hahahahahhahaha

    • @jacksoncharles5411
      @jacksoncharles5411 Před rokem +1

      Wewe acha usenge, kwenye matatizo ya watu ndo unakuja kutangazia biashara zako za simu,shika adabu yako kenge wewe.

  • @upendowakwelinaamani1060
    @upendowakwelinaamani1060 Před rokem +11

    Watu wako busy na bandari wampe mwarabu nani atakuskia wewe ndugu yaan hapo mwenye nguvu ndio kasha wavua nguo hakuna chenu tena hapo mungu awepe subrah msije kujinyonga kwa maumivu makali mnayo pitia maana kitu nyumba sio mchezo kwa usawa huu😭😭😭

  • @charlesmugisha6529
    @charlesmugisha6529 Před rokem +2

    Inauma Sana kwakweli.mimi nasema uyu alie usika kuwanyanyasa binadam wenzake ajue kwamba anaweza kujenga nyumba na yeye asiishi kabisa.kufa kabla ajafaidi chochote na yeye au akajenga nyumba zikawa na mauza uza mengi na asikae mtu yeyote.awe makini Sana pesa sio kila kitu binadamu tubadilike aya maisha kila kitu tutakiacha duniani.

  • @auntdorah9141
    @auntdorah9141 Před rokem +8

    Ungewekwa utaeatibu au sheria mtu akijenga mahali ndani ya miaka 5 au 10 hajatokea mlalamikaji basi hakuna kesi...hizo nyumba mbona kama za zamani kiasi?

  • @MajutoElliasi
    @MajutoElliasi Před 2 měsíci

    Daaa roho inauma sana hadi huruma mungu atusaidie dunia tutaiacha

  • @sharifshaban8817
    @sharifshaban8817 Před rokem +5

    Naziomba mahakama wamalize mashauri yote ya viwanja ambavyo havijajengwa kwa wakati ili kuondoa hii sintofahamu na kutoa fursa ya mtu kufanya maendeleo.

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael5470 Před rokem +7

    Watanganyika wanaishi kama wakimbizi katika nchi yao wenyewe.

  • @nathanlusulo-po2lj
    @nathanlusulo-po2lj Před rokem +6

    Binadamu wananyanyasana Sana utazani wataishi milele

  • @omaryrjohn65
    @omaryrjohn65 Před rokem +4

    😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢 eeeeh Munguwangu wambinguni tizama watanzania hawa tizama babaa

  • @Princewaweru
    @Princewaweru Před rokem +7

    Watu wanafanya masihara sana na maisha ya watu hivi hawa wabomoaji mkiwaziba choo milele wasiende haja inakuaje si itakua poa maana mtetezi wa wanyonge ni uchawi tu kudadek

  • @lastkinglastking3326
    @lastkinglastking3326 Před rokem +5

    Hivi wabomowaji hao niwatu au niwanyama 😭😭😭

  • @ayubumbembati8658
    @ayubumbembati8658 Před rokem +7

    Mungu anawaona, machozi yao hayawezi kwenda buree!!

  • @maryrubunga6504
    @maryrubunga6504 Před rokem +1

    Poleni mliovunjiwa Mungu asikilze kilio chenu mpate ufadhili

  • @waziriwahekima6824
    @waziriwahekima6824 Před rokem +8

    Tanzania ni nchi yakisenge Sana !!! Watu tunatafuta kwanguvu tujenge then tunabomolewa

    • @omarymbaraj8072
      @omarymbaraj8072 Před rokem

      Viongozi wa ovyo Sana

    • @demicratia4071
      @demicratia4071 Před rokem

      mhhhhh

    • @karimkassam571
      @karimkassam571 Před rokem +2

      Kuheshimu mahakama ...ni pamoja na kufuata Sheria....kumbuka Sheria NI msumeno....

    • @mcback4384
      @mcback4384 Před rokem

      Ndio tuwe na akili wakati tunanunua viwanja, toka 1982 eneo lina mgogoro mahakamani

    • @hanifamasudi9732
      @hanifamasudi9732 Před rokem

      Uko wapi magufuli baldayako kufa tunaona vitu tafauti minatokea congo 🇨🇩 likini naishi marikani Ndotozangu nikuishitanzania ndio mana nawafatilia ooh magufuli uko wapi mtetezi wawanyonge 😢

  • @neemanziku5403
    @neemanziku5403 Před rokem +1

    Yan hii serikali yan mnamnyanya mama mtatanzania

  • @barakahenula1370
    @barakahenula1370 Před rokem +3

    I feel your pain bro,polee sanaa .Mahakana ni vyema kutumia hekima na burasa kwenye kutafuta haki

  • @EsamboWakilongo-bu2ds
    @EsamboWakilongo-bu2ds Před rokem +2

    Rais mama Samia nimsenge sana angekuwa baba waaki magufuli yasingetokea

  • @user-di3lr4xb9c
    @user-di3lr4xb9c Před rokem +1

    Tusijisahau kuwa dunia ni ya mungu...na cheo nidhama

  • @shanifesto9037
    @shanifesto9037 Před rokem +7

    RIP BABANGU WAMAMA ZETU WANALIA😭😭😭😭😭😭😭HATUNA PA KWENDA😭😭😭😭😭🙌

    • @GMD820
      @GMD820 Před rokem

      Nimelia mno😢😢hii ni Tanzania kweli? Nchi yangu tunayosema Ina amani haya bwana mungu nakushukuru.

    • @GMD820
      @GMD820 Před rokem

      Watetee wenzangu mungu wangu Niko chini ya miguu Yako baba yangu

    • @TM-zs3rm
      @TM-zs3rm Před rokem

      Kwa kwenda mnako. Ikatae CCM. Jipiganie. Pigania katiba mpya. Usiipigi kura tena CCM ya wachache.

    • @TM-zs3rm
      @TM-zs3rm Před rokem

      Kwa kwenda mnako. Ikatae CCM. Jipiganie. Pigania katiba mpya. Usiipigi kura tena CCM ya wachache.

  • @PrinceBonnyTz8
    @PrinceBonnyTz8 Před rokem +9

    Gufuli 😢 RIP baba

  • @karimjuma4019
    @karimjuma4019 Před rokem +1

    Pole sana brother kwa usawa huu ilo ni pigo kubwa sana

  • @shanifesto9037
    @shanifesto9037 Před rokem +5

    Mungu,,mama Samia mama hawaoni hao kina mama kweli,,😭😭😭😭😭😭😭inasikitisha sana

    • @TM-zs3rm
      @TM-zs3rm Před rokem

      Usimwite mama huyo. Mama hauzi watoto kamwe. Mamamako mzazi hawezi kukuuza, kukusaliti, wala kukuhujumu kamwe.

  • @user-dn8dg2rl2q
    @user-dn8dg2rl2q Před 5 měsíci

    Watanzania ni wapole sana unafujiwa nyumba unaita waandishi wa habari uwa kwanza ndio wandishi wataandika

  • @mugishamajeba9628
    @mugishamajeba9628 Před rokem +3

    Achana na ccm

  • @charlessokoine-qp7uq
    @charlessokoine-qp7uq Před rokem +1

    Serikali ya Tanzania are very rabish madam Samia hona sera wewe.unyanyasaji mtupo nyie wananchi wa Tanzania Acheni uwoga mnasidi uwoga.ok pole Sana brother likini tuchenger na sisi serikali sio mungu ni watu kama sisi tu Acheni uwoga wanchi wetu wa watanzani

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Před rokem

      Alafu ati viongozi wakija wanajaa kwenye mikutano yao na kushiriki kura .Uoga ni mbaya sana

  • @user-xc4gr6by1y
    @user-xc4gr6by1y Před rokem

    Poleni Sana wore tunamsiba wa Aina mmoja lkn utasaidiwa wapii ,Raise tusaidieeeee

  • @AishaTarimo
    @AishaTarimo Před rokem +3

    😭😭😭😭😭😭Nalia Kwa uchungu jaman

  • @NeemaOmar-ou1sq
    @NeemaOmar-ou1sq Před rokem

    Inaumiza sana . Kesi ya mda mrefu hivyo kwa nini wasingeweka angalizo kuwa usinunue wala kujenga sehemu hii kwa sababu lina kesi mahakamani. Wameacha watu wamejenga leo wataishi wapi na nani atawafidia hiyo hasara.

  • @user-rg1qu2iu3r
    @user-rg1qu2iu3r Před 4 měsíci

    Jamani eee Mungu kwanini atunahuruma!!!!!!!!😢😢😢

  • @hollymore4904
    @hollymore4904 Před rokem +1

    Wabomoaji hao hawana wazaz? Mbn wamekosa huruma kwa mama zetu

  • @shabaniRuwa
    @shabaniRuwa Před rokem +2

    Polensananduguzangu serkali Angalien kwajicho la karibu

    • @leokamil6284
      @leokamil6284 Před rokem

      Serekali gani inayoumiza watu inabidi tuamke uonevu huu

  • @user-hs7vq1jo2q
    @user-hs7vq1jo2q Před 6 měsíci

    Mungu anamudawake wa majibu

  • @shanifesto9037
    @shanifesto9037 Před rokem +3

    Rip BABANGU ungeamka uone hili JAPO Kwa lisaa😭😭😭😭

  • @zawadiluvanda8162
    @zawadiluvanda8162 Před rokem +2

    duuu,poleni sana jamani inauma sana ila mbunge hapo hamna ni box tupu

  • @dicksonndalu6212
    @dicksonndalu6212 Před rokem

    Aisee

  • @user-vw8dt8sy8h
    @user-vw8dt8sy8h Před rokem +1

    Hivi hapo hakuna mchawi hata mmoja awaloge wabomoaji wote ,wawe machizi ?

  • @minnahloveiove1074
    @minnahloveiove1074 Před rokem

    Mwaka 83😢 wengine bdo hatukuzaliwa ndio waja kubomoa leo jmn duh sio sawa kbs yani dhuluma mbaya tutaona mwisho wake

  • @hilaliusjohn8386
    @hilaliusjohn8386 Před rokem +3

    Hivi ya Mambo huyu Samia anayaona kweli?? Au naye anafurahi

  • @dignakanje4508
    @dignakanje4508 Před rokem +2

    Kweli wanyonge tutajua natutakufa masikini.Kwani matajiri kwasasa ndio wakati wao wakudhulumu wanyonge,kuishi kifalme,kufanya watakacho.Ungefufuka leo Magufuli ukaona hya machozi yawanyonge ungeumia sana.Sijui kwasasa mtetezi wawanyonge yko wapi.Kweli binadamu tufika mahali tunakosa ubinadamu hta kwadakika,unavunja nyumba zawatu bila hta kujali watu wenye watoto.Mungu isikie sauti yawanyonge wako watanzania wanaoteseka kwahaki machozi yakwelo.

    • @TM-zs3rm
      @TM-zs3rm Před rokem +1

      Ukijiita maskini, na kuacha kuunga mkono wanaokupigania ukabaki kuwapigia kura CCM tena ndio unajimaliza mwenyewe. Kitambulisho tumia karamu yako kukataa bandari na kutokuipigia tena CCM

  • @salmasaid2936
    @salmasaid2936 Před rokem +1

    Mungu awapiganie tu inaumiza mnooooo.

  • @joakimualfonce3849
    @joakimualfonce3849 Před 4 měsíci

    Polini sanh mungu yup huo niunyama

  • @user-rg1qu2iu3r
    @user-rg1qu2iu3r Před 4 měsíci

    Jamani poleni sana Mimi micjozi emetoka Kwani ujenzi wasasa ivi nigarama 😢😢😢😢😢😢😢😢😢😢

  • @AndersonMakala-vm6im
    @AndersonMakala-vm6im Před rokem +2

    Mlichangua wenyewe ccm pambaneni na Hari yenu

  • @sudymgeni701
    @sudymgeni701 Před rokem +2

    Yani lazima 3 4 wangekufa tu.mana ningetembeza mapanga wangekoma

  • @justinamunuo8006
    @justinamunuo8006 Před rokem

    Kaka yangu Balloon Pole sanaa jmn,kweli inasikitisha sana jmn poleni

  • @user-hs7vq1jo2q
    @user-hs7vq1jo2q Před 6 měsíci

    1983 mpaka leo ni kesi tu 2024 jamani!!

  • @zainabramadhani9838
    @zainabramadhani9838 Před rokem +2

    Shida ya watu wa Arusha wengi wananunuwa viwanja vimeuzwa zaidi ya watu watatu kiwanja kinoja ni vizuri kabla hujaanza kuanza kununuwa kiwanja kwenda Kwa Mtendaji, Jiji na mwanasheria kuepuka lawama

    • @AshaMakame-zg9xi
      @AshaMakame-zg9xi Před rokem

      Si Arusha tu sasa imekua km maradhi sugu
      Yaani huku Zanzibar pia ipo we acha tu

  • @babykisura1089
    @babykisura1089 Před rokem +1

    hyu mama samia hvi aoni haya jmn mbona kipnd cha magu hayakuwepo hya😢😢

  • @chidybwax8080
    @chidybwax8080 Před rokem

    Dahhh hy mwamba kaongea kwa hisia sana gambo umelala san mzeee watu wako wanalia na ww

  • @ramadhaniomary4870
    @ramadhaniomary4870 Před 5 měsíci

    Mungu tusaidie sisi watanzania.mafuriko,n.k

  • @msatibongonyuzi14
    @msatibongonyuzi14 Před 6 měsíci

    Hapo busara ni wengi wape huyo mwekezaji atafutiwe eneo jingine😢😢

  • @robbyman6213
    @robbyman6213 Před rokem +1

    Mungu Awasaidie

  • @fatmamayunga5792
    @fatmamayunga5792 Před rokem +2

    jaman dhambi

  • @evachuwa3809
    @evachuwa3809 Před rokem +4

    MUNGU TUSAIDIE TU 😢

  • @user-hs7vq1jo2q
    @user-hs7vq1jo2q Před 6 měsíci

    Maumivu yaliyopo hapo mungu ndiye ajuae

  • @fidesbernard4835
    @fidesbernard4835 Před rokem

    Poleni ndugu zetu inauma sana.

  • @user-ny2bi8yj1o
    @user-ny2bi8yj1o Před rokem

    Iyo ndo ccm mnayoitaka mtakoma ccm ikiwaretea kanga pic Moja mnchanganyakiwa angarieni sasa ccm iyo

  • @hatybshenkondo373
    @hatybshenkondo373 Před rokem

    Pole sana brooo

  • @Princewaweru
    @Princewaweru Před rokem

    Pole sana blood

  • @rajaburajabu59
    @rajaburajabu59 Před rokem

    Brother pole sana inauma sana serikali iyangalie ilo swala sio poa

  • @nabii-zc1hm
    @nabii-zc1hm Před rokem

    Gambo gambo gambo saidia hao watu, msiposaidia mwisho wenu ni mbaya sana hakuna mfano twende kazi

  • @MkayaMilia-hg7zo
    @MkayaMilia-hg7zo Před rokem

    ao ni watanzania wezetu na kumbukeni kuwa Wana family zao ni lazima wapete haki zao kwaza kuvuja nyumba za watu ambao wanaishi ndani ni laana kubwa Sana embu mwogopeni ata mungu ina Uma Sana tena zaidi ya Sana mm Nina Imani na raisi Wetu kuwa atalisimamia Kwa Hali kabisaa kwani ni uwonivu kubwa Sana tagia nyumba zinaaza kujegwa Wana agaliya Tu paka watu Wana amia muda wooote uwo kwani wakusimamisha agali mtu aliaza msigi au kununuwa agali ni lazima walienda kuandikishana Kwa watumishi WA serekali yetu ni Kwa nn awake seme kipindi icho MSI mnunuwe hapa kwani kuna mgogoro

  • @mohamediabdalah7650
    @mohamediabdalah7650 Před rokem

    Duh hii kweli mama anaupiga mwingi. 😮😮😮

  • @matridawilium9945
    @matridawilium9945 Před rokem +1

    Hyo ndio ccm mtaanyoka tu

  • @waziriwahekima6824
    @waziriwahekima6824 Před rokem

    Brother pole kiasi kikubwa Sana !!! Malalamiko yako raisi ataipata mtarudishiwa Mali zenu

  • @navioma4882
    @navioma4882 Před rokem +1

    😢😢😢😢😢😢😮kwani mama haya mambo Huyaoni

  • @husenihamza7591
    @husenihamza7591 Před rokem

    Duuu Eeh mungu tupambaniee hatuna pa kulilia

  • @yonasaimoni1302
    @yonasaimoni1302 Před rokem +1

    Ndio mkome mlimkata lema kupenda inzi wa kijani goja mpewe mkokore

  • @danieljoseph1610
    @danieljoseph1610 Před rokem

    Nishawaambia dunia sio mahali salama! mnaona sasa!

  • @neemabright3635
    @neemabright3635 Před rokem

    CCM Arusha ndo kwaheri wajipange tu....

  • @user-sd5zf6fz4v
    @user-sd5zf6fz4v Před 2 měsíci

    Kwa nini serekali ya fanya huvi inashindwa kutambuwq samani ya wananchi wake hivi Samia yuko wapi su anawatumaa

  • @user-ny2bi8yj1o
    @user-ny2bi8yj1o Před rokem

    Jamani hata kama kweri 41 miaka

  • @Official83640
    @Official83640 Před rokem +2

    Dah inauma ujue hivi vitu ombeni visiwakute ya Rabbi😢😢😢😢

  • @neemabright3635
    @neemabright3635 Před rokem

    This is my say Iko siku hii nchi itaelewa SoMo tu itafika mahali watu wamechoka ccm itakuwa ndogo sana muda unakuja tu just simple ..... As that

  • @aloycemwakatala2796
    @aloycemwakatala2796 Před rokem

    Baada ya Mzee wa misinamo kwenda zake wamesharudi makaburu weusi kunyanyasa wenzao, yaani matajiri wameendelea kuonea masikini na sidhani kama kuna haki za masikini zitapatikana?

  • @vikramlufunyo5832
    @vikramlufunyo5832 Před rokem

    Ivi hizi nyumba kwenye sensa zilihesabiwa au hazikuhesabiwa?

  • @kalebphilip3426
    @kalebphilip3426 Před rokem +2

    Kpnd ya maguful huu upuuz ulitoweka

  • @erickrubanda
    @erickrubanda Před rokem +1

    Me nawambia magufuli atakumbukwa sana

  • @adamumbilinyi9183
    @adamumbilinyi9183 Před rokem

    Mbaya sana Mungu awalaani hawa viongozi hata kama kuna vyovyote vile kwanini wasilipwe fidia kibinadamu Then Rais unajificha wapi huoni au

  • @user-tw6gr8jn1n
    @user-tw6gr8jn1n Před 5 měsíci

    Bado amjasema

  • @kajalamaganga1913
    @kajalamaganga1913 Před rokem +1

    Baba amka hata mara moja uone haya😭😭😭😭😭

  • @eddytheophil7626
    @eddytheophil7626 Před rokem

    Polen sana..dahh

  • @mlyambisipaul8399
    @mlyambisipaul8399 Před rokem +2

    Hiii ni Tanzania 😭😭😭

  • @mrsab303
    @mrsab303 Před rokem +1

    So sad😭😭😭😭😭

  • @GodfreyNefary-mq5gr
    @GodfreyNefary-mq5gr Před rokem

    Nchi Haina mwenyewe acha I yeshe

  • @AshaMakame-zg9xi
    @AshaMakame-zg9xi Před rokem

    82 nyumba inavunjwa leo mm nna miaka 41 sasa dah hii kweli Tanzania yetu tunaipenda ila kwa hawa wanasheria wanofanya hivi duh sijui niwambieje

  • @peterchacha-dx7nv
    @peterchacha-dx7nv Před rokem

    Kuna watendaji kwa Mkuu wa Wilaya wanashirikiana na mahakama ya ardhi Ni HATARI wenyeviti wawe wanahamishwa kuepusha RUSHWA

  • @joshuasarakikya1442
    @joshuasarakikya1442 Před rokem +1

    inauma saaana

  • @lailalaila8206
    @lailalaila8206 Před rokem +3

    Magufuri ndio arikuwa mtetezi wa wanyonge na kuwaonea huruma wamama aisee mtihan kwakweri uyu samia yye hanadri na wageni tu wenye nchi hatuna samani uyo mfanya biashala kashaonga pesa vijana wamepewa ndio wamepata nguvu sasaiv aisee mungu tusaidye na viongozi wa hovyo wa tz jmn warabu ndio wanasaminika hapo watu wanamishwa iri hapewe kigogo furani iv wanasema mfanya biashala aisee ni shida hii nchi ishalibika anaendesha samia na kikwete

    • @birianination7097
      @birianination7097 Před rokem

      Watu walivunjiwa ubungo wakati wa magu, na hata fidia hakutoa.

    • @kipupwefedede7130
      @kipupwefedede7130 Před rokem +2

      ​@@birianination7097fidia walipewa wa mwanzon. waliouziwa mwishon walitapeliwa usiwaongopee watu

    • @chrismassawe2939
      @chrismassawe2939 Před rokem +1

      Alivunja kimara mbezi mpaka watu wakafa kwa presha

    • @sixmundleonard2135
      @sixmundleonard2135 Před rokem

      Wa kimara walio kuwepo mwanzo washa lipwa waliouziwa kwa mara ya 2 walitapeliwa

  • @salimiddy7769
    @salimiddy7769 Před rokem

    Pia na sisi Wananchi tusi pende kununua Ardhi kwa njia ya mkato unapo nunua Ardhi nenda kwenye mamlaka husika ili kujirdhisha kabla ya kutoa fedha yako ambayo umeitafuta kwa taabu sana

  • @FrankNzombo-ps8gw
    @FrankNzombo-ps8gw Před rokem

    Namkome leo mnamkumbuka lema wakati mlimwona si kitu na mkome na ccm yenu

  • @jumannehamadi2282
    @jumannehamadi2282 Před rokem

    pole Sana kaka daaah hadi nimelia

  • @gaspeldaniel1140
    @gaspeldaniel1140 Před rokem +1

    Mama anaupiga mwingi

  • @teedullah5708
    @teedullah5708 Před rokem

    Nikweli poleni

  • @user-sd5zf6fz4v
    @user-sd5zf6fz4v Před 2 měsíci

    Wakakae wapi na watt

  • @philipowyinjones9645
    @philipowyinjones9645 Před rokem

    Jamaa amemaanisha

  • @user-ny2bi8yj1o
    @user-ny2bi8yj1o Před rokem

    Hapo ndo muone leema arikua na umhimu mtajua

  • @mustaphakijazi9807
    @mustaphakijazi9807 Před rokem

    Dah umaskini una uma sana ewe MOLA Tusaidie

  • @malkavoice2570
    @malkavoice2570 Před rokem +1

    Hii nchi vipi aisee?!

  • @maswamills3161
    @maswamills3161 Před rokem

    Mtu mmoja tu anavunjia watu Mia!!!!!!,.Watu 100 wanakosa makazi know sa mtu 1 tu!!!!!!!!