MAUAJI ZANZIBAR: DADA WA KAZI ALISINGIZIWA, SIRI YAFICHUKA "MUME NDIE ANADAIWA KUMUUA MKEWE"
Vložit
- čas přidán 25. 09. 2021
- Baada ya tukio la Zulfat Sheikhani Rashid kushambuliwa kwa kupigwa na mapanga hadi kufariki taarifa za awali zilikuwa zinadai ameuawa na Dada wa Kazi lakini Polisi Zanzibar wamekuja na taarifa mpya kwamba anayedaiwa kuua ni Mume wa Marehemu.
Inna lillah wa inna ilahi rrajiun, Yaa-Rabbi mrehemu na umsamehe madhambi huyu marehemu. Yaa rabbi wewe ni mjuzi zaidi ktk tukio Hilo
Maskin mdada wawatu alikuwa katwishwa mzigo mkubwa subuhannallah MUNGU akampigania kumvua hilo joho, bora alivae mwenyewe Allah atunusuru yarabbi
Kazi nzuri sana kwa Jeshi la polisi
Pole kwa Dada wa kazi na hongera polisi kwa uelewa wa Mapema maana Bint angeteseka bule kwa uharifu wa mtu mwingine.
Kama humtaki binti wa watu si bora umuache tu aende zake kwao kuliko kumuumiza yeye na ndugu zake kuumia kwa ajili ya kifo chake
SubhanahAllah😭😭😭😭😭Innalillah wainna ilayhi rajioun yaarabby inauma sana
This Is Not Love...This Is Desire.
Yaraab tunusuru wanawake😭😭
Dah! Inasikitisha kwa kweli...😭😭😭😭😢😢
Poleni sana familia, pia nalipongeza jeshi la polisi kwa kazi nzuri
Innalilah wainailayh rajiuna mungu ampe kauli thabit Dada yetu
NASHUKRU MUNGU SANAAA. Kwa kutupa UJASIRI na Uvumilivu na IMAN BAADHI yetu.. wafanyakaz. Mengine majumbani hayavumiliki. Pole sana dada wa kaz
Yani tutaogopa kufanya kazi kwenye majumba ya watu
Ndoa zimegeuka sehemu ya maangamizi na maumivu, M/Mungu atunusuru,, Pumzika kwa amani Zulfa
Allah ajaalie haki ibainike إِنَّا لِلّهِ وَإِنَّـا إِلَيْهِ رَاجِعونَ
ishapatikana muuwaji si ashajulikana
Subhan Alla 😭😭
Subhannallah, Innalilah wainailah rajiun 😢
mtihani wallah
Nasasa hi tabia naona Inaenda kwa kasi, mungu atunusuru walahi
Innalillah wainnaillah raajiun.
Subhanallah! Sasa c angemuacha tu mtoto wa watu kuliko kufanya hivo alivofanya ! Dah
Nikweli kabisa!! Hata kama alimfumania (maana sioni kitu kikubwa zaidi) basi talaqa ndio ingekuwa suluhu na sio kumtowa roho mtt wa watu..!! Sub'hanaLlah 😢
@@nassernajm5417 anadai alikua anampenda hayupo Tayar kumuacha alaf aolewe na MTU mwengine ndo akaamua kumtoa uhai wake.
Jamaan kianga mmezidi kila siku ukifunguwa mawiyo lazima kutajwe
Dalili za kiama
Yaa rabb turuzuju mwisho mwema
Watu wa nakosa huruma ni ukatili gani huu
Yaani acha tu kwa kweli
subhanallah Inalillah wainaillah rajiun
Mbona kuna kitu sitofahamu hapo.... Allah ndio mtatuzi wa kila jambo.
Allah ampe wepesi huko aendapo.
Siri kubwa pengine sio mume aloua bado sifaham ipo siri kubwa y kifo ch zalfa bado pengine mfanya kazi kamuua au ipo siri hatujajua maneno y polisi hayaiingi akilini inshaallah tujue ukweli
Allah atuhifadhwi na vizazi Vyetu kwa mazira ya mfanano na huu poleni ndugu wa marehemu"vile nilivyohuzunika kwangu itoshe Sautii ya Kunyamazaaaa
Dah.!! Huy mume au Jambaz.??
Rip Zulfa 💔 pole sana dd wa Kaz Maan ulibebeshw mzig mzito all in all huy Mume afungwe kifungo cha maisha jela
Inna lillahy wa inna illayhi Rajioun, SubhanAllah Ukatili, Roho Ngumu Aina Gani.
Subhaana Allah
Poleni Sana wafiwa.Niwaombe Sana mnaopenda kuhukumu hasa mliosema Dada wa kazi kamuua Bosi wake mchuguzage kwanza.Hapo wameshamsema Mabaya mengi huyu Dada haki za binadamu waingilie Kati na kimefanyia Canceling kwa aliyoyaona na kusikia
Subhanallah😭😭😭
Inallah wainnailaih rajiun pumzika kwaa Aman😭😭😭😭😭😭
SubhanaAllah 😭😭😭Dunia imeisha
Innalilahi waina hilahi rajuun
Big up POLISI.mmefanyakazi ya kiistor
Polisi wote sio wabaya kuna bahadhi yao
Wallahi Cc Wanaume Kusema Ukwel wa Mungu Tunawakosea Sna Wanawake Tukataee Tukubali kwa hali kma hiii kwann Mwanamke Asikatakae kuolea Mke Wenza
Imeniuma sna kila siku Ukisikia Visa Vya Ndoa Bas Utasikia Mume Ndio Amemjerui Mkeee Nimeumia pakubwa Sna Wallahi Moyo Unanivuja Damu sina lakusema ila sijui kwann sisi Wanaume Atubadiliki Kabisa
Kbs yaaan ndoa n scum aki
Hizi shida zipo sehemu zote mbili kwa wanaume na wanawake wanaume sio shida sana kama utafanya uchunguzi sana.
Ss swala la ukewenza na mauwaji laingiliana wp apo
Na wale ambao hawana wake zaid ya wawili na wanafanya mauwaji !!!
Wtu Wengine bwana
Ttzo kubw iman ZA Wtu zimeshapungua imani hamna skuiz Wtu weng mitihan
Ndio wskia mtu kauwa mkewe
Kauwa kumewe
Kauwa mtt wake au wa mwenzie
Mtu kauwa rafiki yake kauwa mwenzie tu hwan hata udgu
Mtu kajiuwa mwenyewe pia
Na ukiangalia Sbb utakuta mambo ming kias kuelezea ni jambo lahitaji mda mkubw
Inalilah wainailahi rajiuun maskini kamdhulumu bado mdogo sana wallahi 😭😭😭😭😭
Here we don't us english.
Innalillah Wainaillah Raajiun 😭😭
R.I.P.Marehemu.Poleni Wafiwa.
Pumzika kwa aman mdogo wangu 🙏🙏🙏🙏😭😭😭😭😭 binaadam tumekuwa wakatili sana
Mungu atuhifadhi na ailinde mioyo yetu na maamuzi magumu kama haya na mengineyo.
Inalilah wainailahirajiun allah mjalie kaulithabit allah tujalie nasisi tulobaki husni lahatima.allah tuepushie mitihani mikubwa na namidogo allah tupesubra juya kuzuiya ghazab zetu
wivu wa kimapenzi tu huo.Mwanamke kama mmeshindwana si ungemrudisha kwao ?.
Mwenyezi Mungu amlaze mahali pema.Amiin
Duh tulijua kumnanga uy dada wakaz uk whtsp jamn we kaka ulaaniwe machoz ya hao watt yatakufunza😭😭
SUBHANNALLAH
Subhanallah jamani
Innahlillah wainnah illah rajiun Allah amrehemu poleni sana ndugu na jamaa Allah awape subira katika kipindi hiki kigumu..Allah amuadhibu huyo mume vikali hapa duniani mpaka kesho akhera 😭😭😭😭
Innalillah wainnahllah rajiun😪😪.
Mungu akulaze mahali pema peponi Zylphaty👏
Namfaham Huyu Dada innallh
Dahh😢
Daah!! Sasa kwanini wadada wa kazi wanasingiziwa mi adi niliogopa kuleta mdada wa kazi
Inauma sana
Upendo umeisha kwa wanadam kama ana wake 2 si angeka kwa mke mkubwa mpaka hasira iishe jaman
Si ndo hapo ss
Innalillahi wainna ilayhi rajiun jamani watu tumrudie muumba wetu,na tujitahidi kuishi kwa kuhurumiana mbele huko kugumu tusifanye masihara,
Jmn mbn mtihan huu
Wanaume wamekosa huruma jmn
Mungu wangu inauma Sana navutapicha ndo ningekuwa mimi jaman
Subhana Allah
Na yy anyongweee tuu. Km alivyo mdhulumu mwenzake mdogo. Na kumpa kifo chamaumivu sn sn. Allah amuweke peponi na amsamehe makosa yke Ameen yarbllamn
Daah pole sana dada
Innalillah wainnaillah rajiun
Duh
Zanzibar tushazoea kesi zetu kubwa ni udharirishaji sasa hii ya mauaji inakujaje jaman Mana mauaji ni Tanzania
Keep update us
Inna Lillah wa Inna Ilaihi rajiun
Allah atupe mwisho mwema
Mungu tuhurumie Sisi Waja Wako....
Jamani 🙆😭🙏
Poren sana
Silaumu kwanini sijaolewa, kama mungu amepaenga nije kuolewa nitashukuru ila kama ndio haitokuwa siwezi kumlaumu sabbu Kuna mafunzo na endelea kujifunza iki tokea haya isipotokea sitokufuru pengine mungu kaniepusha kitu hususani kama hivi, r l p Dada mungu akupe pumziko la milele amina,
Mungu tunusuru na vizazi vyetu 😭😭
Unaroho mbaya Sana wewe mwanaume! Bora ungempa talaka kuliko kumdhulumu nafsi yake! Pumzika kwa amani Binti! Mungu atakulipia
SUBHANNA LLAH alhamdulillah ALLAH AKBAR
Zullfa! Bado camini.. Pumzika kwa amani rafki yangu😭😭
Rafiki yako 😭😭POLE SANA, alifanya nini JAMANI?! Ama Ndio Uke weza na Wivu 😭. INNALILLAHI...
Dah 😭😭😭😭Inalilah wainailah rajiun si ungempa talaka tu ende zake kuliko kumuuwa
Innalillaha Wainnaillayh rajiuun
Mungu amlaze mahali pema peponi amiin
zamu hiyo sisi tushachomwa sana moto r.i.p zungu 👏👏
Yaa ALLAH tuokoe na dhiki za kilimwengu waja wako na vifo vya kufadhaisha
Dah mkishawachoka warudisheni tu kwao si kuuwana tena jamani,Hadi tunaogopa saiv hizi ndoa.
Pole ssna
R, I, P
lnalillaah wainaillaah rajiun
Dah😐😪kuna watu wana roho mbaya humu Duniani jamaniiii..ALLAH tuepushie mitihani waja wako
Adhuu adhuu😪😪😪😪😭😭😭😭😭😭umetuliz sana hny Allah akupe kaul thabit daaah so sad,,
Poleni
Ndoa zishakuwa mtihani.Unakuta mtu anakulazimisha fanya uoe.Uoe pale unapohisi unataka kuoa pasipo kushinikizwa.Na hasa wazee punguzeni mashinikizo.Ndoa ni upendo si vurugu.
Kifo cha maumivu ya hali ya juu. Allahau Akbaru
Ndoa zimekuwa sehemu ya makaburi ya wanawake!!! eeh mungu utuhurumie
Nimeishiwa pozi nimeishiwa na la kusema yaani sasa znz yng imefikia hivi .yaa aallah tupe ctara waja wako.😭
Shukran sn jeshi la police kwauchunguz mzur mlio ufanya mana bila ivo maskin mtt wawatu angefia jela bure
Innalilah wainnailaih raajiun 😭 Allah atakulipa pepo dada yangu kwa dhulma hii waliokufanyia.
Yaan huyu house girls amshukuru Sana Mungu Kwa kumuondokea Kwa kesi kubwa ya namna hii vinginevyo angeozea jera Kwa kosa la kubambikiziwa daaah Kaka anatakiwa nae snyongwe kabisaaa
Yaan wee Acha Tu hatacjui nan alimbambikia dada wa watu had Moyo ukaniuma
Kabisa mimi nina voice inasema dada wa kazi ndo kafanya hilo tukio zimeambatana na picha za marehem ameloa damu mwili mzima
Tatizo lililopo mpaka uchunguzi wa awali ulionyesha dada wa kazi amefanya Mauaji ni kwa sababu alipowaita majerani na kudai kwamba nyumba imevamiwa na watu wasiofahamika na kufanyika Mauaji ya boss wake Kuna vitu vya kuangalia pale kwenye "scene of crime"je mlango ulivunjwa? mazingira ya ndani yalikuwaje Kuna ishara yoyote ya uvamizi au watu wawili tu walikuwa wanagombana Kuna vitu vingi vya kuangalia ndio maana halisi ya upelelezi ili upatikane ukweli kwa mazingira halisi ya tukio lazima mtuhumiwa namba moja angekuwa dada wa kazi
Kwa sababu siku hiyo ya tukio walikuwa wawili na mtoto mchanga unafikiri nani angetuhumiwa
Amlaze mahali pema pepo malemu, mwenyez mung
Kwa mtazamo wangu nahisi bado ipo Siri imejificha baina ya mdada was Kaz baba mwenye nyumba na marehemu,,ila Allah ndo mjuzi wa yote
Hakika ukweli wa Police sio ukweli wa mahakamani
Innalilah wainna ilayhi rajioun subhanallah
Inalillah wainalillah laa juuni
Inauzunisha sana mungu tunusulu wanawake ote
Poleni family
Poleni sana familia
Dada wa kazi hawezi kuua hvyo kwa kumkata kata mapanga labda kwa sumu lakini hvyo itakuwa huyo mumewe
Subhaanallh...nae auliwe tu kufungwa haitoshi..
Miradi Ayo utumalizie habari
Daaaah jmn me sichoki kuwaz.aiseee.sasa tatzo Nini siungemuacha t afnye maisha.yke imeniuma.kwel😭😭😭
Nafikir upelelezi unahitajika sana bado hoja hizo hazija ridhisha kabisa. Kipo kitu hapo kikubwa zaidi.
Kabisa hapo upelelezi haujakamilika kuna Siri nzito hapo huyo msichana abanwe zaidi atasema mengi inawezekana nae kahusika pia kisha wapange kwamba wamevamiwa
Upelelezi upi tena mnaoutaka huyo Mume baada ya kufanya hayo Mauaji na ndipo akamshawishi huyo bint wa kazi kwa vitisho kwamba toa taarifa kwa majerani kwamba nyumba imevamiwa na watu wasiofahamika na kumkata mapanga boss wake
Sasa mlitaka afanyeje na huyo accused hawezi kataa kwamba amefanya Mauaji
@@hamisisabdallah3146 hayo maneno ni kwa mujibu wa housegirl lkn tuna uhakika gani kwamba alitishwa aseme hivyo inawezekana pia akawa anasema uongo
Kweli kabisa,Yani mmhh wafanye mpelelezi kwa undani zaidi
Hata mm nazani Kuna haja uchunguzi wa kina Zaid coz kama ukijaribu kuskiliza ayo maneno ya hausegirl na mazingira ya tukio ni vitu 2 tofauti haya ingii akilini kabisa na tukio,
mm najiuliza kama kweli muume ndie muhusika basi na kama kweli alikuwa na nia ya mauwaji Kwa nn asinge tumia nyengine kama mnyonga ili kupotza ushahd
😭😭😭😭
Inna lillah wainna ilaihi Raajiuun
Mungu wangu nijaalie mume mwema
Daaa jamani🤔 hongera sana house girl kwa kuwa na moyo wa ujasiri na kujitoa mhanga na kusema ukweli .Usingesema ukweli wewe ndio ungeenda kufungwa na kumuacha mwanaume huyo anakula raha.Hata ukiingia mtandaoni unaona kabisa wanasema house girl amuua mama mwenye nyumba kisa marehemu aligundua kuwa unatembea na mumewe ,mama alikwenda kuwaambia wazazi wa mume wake kuwa house girl anatembea na mumewe na wazazi wa mume kumshauri mkwe wake huyo mfanyakazi arudishwe kwao.Na house girl aliposikia anarudishwa kwao ndio kumuua huyo mama.Masikini wa Mungu kumbe sio kweli mume ndio kaua mkewe.Na yy huyo mume damu hiyo aliyoimwaga bila hatia yoyote haitamuacha salama ktk maisha yake.R..I.P mwanamke mwenzetu mbele yako nyuma yetu🙏
😭😭😭
Innalillahi wa inana ilahi raajiun kuna watu wana roho mbaya sana tena ya kikatili daaaa