MAUAJI ZANZIBAR: DADA WA KAZI ALISINGIZIWA, SIRI YAFICHUKA "MUME NDIE ANADAIWA KUMUUA MKEWE"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 09. 2021
  • Baada ya tukio la Zulfat Sheikhani Rashid kushambuliwa kwa kupigwa na mapanga hadi kufariki taarifa za awali zilikuwa zinadai ameuawa na Dada wa Kazi lakini Polisi Zanzibar wamekuja na taarifa mpya kwamba anayedaiwa kuua ni Mume wa Marehemu.

Komentáře • 454

  • @mohammedmatumla538
    @mohammedmatumla538 Před 2 lety +29

    Inna lillah wa inna ilahi rrajiun, Yaa-Rabbi mrehemu na umsamehe madhambi huyu marehemu. Yaa rabbi wewe ni mjuzi zaidi ktk tukio Hilo

  • @missmoona4497
    @missmoona4497 Před 2 lety +21

    Maskin mdada wawatu alikuwa katwishwa mzigo mkubwa subuhannallah MUNGU akampigania kumvua hilo joho, bora alivae mwenyewe Allah atunusuru yarabbi

  • @ahmuhally4430
    @ahmuhally4430 Před 2 lety +22

    Kazi nzuri sana kwa Jeshi la polisi

  • @saleheinnocent7636
    @saleheinnocent7636 Před 2 lety +37

    Pole kwa Dada wa kazi na hongera polisi kwa uelewa wa Mapema maana Bint angeteseka bule kwa uharifu wa mtu mwingine.

    • @nassercurtis9579
      @nassercurtis9579 Před 6 měsíci

      Kama humtaki binti wa watu si bora umuache tu aende zake kwao kuliko kumuumiza yeye na ndugu zake kuumia kwa ajili ya kifo chake

  • @leylahbillah4876
    @leylahbillah4876 Před 2 lety +26

    SubhanahAllah😭😭😭😭😭Innalillah wainna ilayhi rajioun yaarabby inauma sana

  • @mohamedsuleiman7215
    @mohamedsuleiman7215 Před 2 lety +23

    This Is Not Love...This Is Desire.

  • @aishaissa2512
    @aishaissa2512 Před 2 lety +30

    Yaraab tunusuru wanawake😭😭

  • @satwanthoogan6746
    @satwanthoogan6746 Před 2 lety +26

    Dah! Inasikitisha kwa kweli...😭😭😭😭😢😢

  • @johnmsaki7920
    @johnmsaki7920 Před 2 lety +4

    Poleni sana familia, pia nalipongeza jeshi la polisi kwa kazi nzuri

  • @faudhahamisi7588
    @faudhahamisi7588 Před 2 lety +16

    Innalilah wainailayh rajiuna mungu ampe kauli thabit Dada yetu

  • @ramlazuber6038
    @ramlazuber6038 Před 2 lety +5

    NASHUKRU MUNGU SANAAA. Kwa kutupa UJASIRI na Uvumilivu na IMAN BAADHI yetu.. wafanyakaz. Mengine majumbani hayavumiliki. Pole sana dada wa kaz

    • @pendooscar9322
      @pendooscar9322 Před 2 lety

      Yani tutaogopa kufanya kazi kwenye majumba ya watu

  • @valleluoga6258
    @valleluoga6258 Před 2 lety +18

    Ndoa zimegeuka sehemu ya maangamizi na maumivu, M/Mungu atunusuru,, Pumzika kwa amani Zulfa

  • @rahimasaid6721
    @rahimasaid6721 Před 2 lety +11

    Allah ajaalie haki ibainike إِنَّا لِلّهِ وَإِنَّـا إِلَيْهِ رَاجِعونَ

  • @fardoshnassor7847
    @fardoshnassor7847 Před 2 lety +12

    Subhan Alla 😭😭

  • @saumusalimuhassan2499
    @saumusalimuhassan2499 Před 2 lety +38

    Subhannallah, Innalilah wainailah rajiun 😢

  • @salumanga4275
    @salumanga4275 Před 2 lety +20

    Innalillah wainnaillah raajiun.

  • @ngushy8798
    @ngushy8798 Před 2 lety +14

    Subhanallah! Sasa c angemuacha tu mtoto wa watu kuliko kufanya hivo alivofanya ! Dah

    • @nassernajm5417
      @nassernajm5417 Před 2 lety +2

      Nikweli kabisa!! Hata kama alimfumania (maana sioni kitu kikubwa zaidi) basi talaqa ndio ingekuwa suluhu na sio kumtowa roho mtt wa watu..!! Sub'hanaLlah 😢

    • @hanankhalifa8309
      @hanankhalifa8309 Před 2 lety

      @@nassernajm5417 anadai alikua anampenda hayupo Tayar kumuacha alaf aolewe na MTU mwengine ndo akaamua kumtoa uhai wake.

    • @mussaally5358
      @mussaally5358 Před 2 lety

      Jamaan kianga mmezidi kila siku ukifunguwa mawiyo lazima kutajwe

  • @skjjsj1889
    @skjjsj1889 Před 2 lety +18

    Dalili za kiama
    Yaa rabb turuzuju mwisho mwema
    Watu wa nakosa huruma ni ukatili gani huu

  • @heyumi2340
    @heyumi2340 Před 2 lety +8

    subhanallah Inalillah wainaillah rajiun

  • @SalmanKhan-eb7pt
    @SalmanKhan-eb7pt Před 2 lety +11

    Mbona kuna kitu sitofahamu hapo.... Allah ndio mtatuzi wa kila jambo.
    Allah ampe wepesi huko aendapo.

  • @abudebinabri1287
    @abudebinabri1287 Před 2 lety +5

    Siri kubwa pengine sio mume aloua bado sifaham ipo siri kubwa y kifo ch zalfa bado pengine mfanya kazi kamuua au ipo siri hatujajua maneno y polisi hayaiingi akilini inshaallah tujue ukweli

  • @khalidsalum1740
    @khalidsalum1740 Před 2 lety +2

    Allah atuhifadhwi na vizazi Vyetu kwa mazira ya mfanano na huu poleni ndugu wa marehemu"vile nilivyohuzunika kwangu itoshe Sautii ya Kunyamazaaaa

  • @aminatanzanya7475
    @aminatanzanya7475 Před 2 lety +1

    Dah.!! Huy mume au Jambaz.??
    Rip Zulfa 💔 pole sana dd wa Kaz Maan ulibebeshw mzig mzito all in all huy Mume afungwe kifungo cha maisha jela

  • @mwanahalimamwachili9679
    @mwanahalimamwachili9679 Před 2 lety +1

    Inna lillahy wa inna illayhi Rajioun, SubhanAllah Ukatili, Roho Ngumu Aina Gani.

  • @user-ij2bf8of8h
    @user-ij2bf8of8h Před 2 lety +3

    Subhaana Allah

  • @pancrasmalamla9799
    @pancrasmalamla9799 Před 2 lety +2

    Poleni Sana wafiwa.Niwaombe Sana mnaopenda kuhukumu hasa mliosema Dada wa kazi kamuua Bosi wake mchuguzage kwanza.Hapo wameshamsema Mabaya mengi huyu Dada haki za binadamu waingilie Kati na kimefanyia Canceling kwa aliyoyaona na kusikia

  • @Legends_Interviews
    @Legends_Interviews Před 2 lety +6

    Subhanallah😭😭😭

  • @anisasired6992
    @anisasired6992 Před 2 lety +13

    Inallah wainnailaih rajiun pumzika kwaa Aman😭😭😭😭😭😭

  • @HabibaMohamed-hi5fw
    @HabibaMohamed-hi5fw Před 2 lety +4

    SubhanaAllah 😭😭😭Dunia imeisha

  • @MohamedAli-ho5fq
    @MohamedAli-ho5fq Před 2 lety +4

    Innalilahi waina hilahi rajuun
    Big up POLISI.mmefanyakazi ya kiistor
    Polisi wote sio wabaya kuna bahadhi yao

  • @sanoureyaliwadoa460
    @sanoureyaliwadoa460 Před 2 lety +24

    Wallahi Cc Wanaume Kusema Ukwel wa Mungu Tunawakosea Sna Wanawake Tukataee Tukubali kwa hali kma hiii kwann Mwanamke Asikatakae kuolea Mke Wenza
    Imeniuma sna kila siku Ukisikia Visa Vya Ndoa Bas Utasikia Mume Ndio Amemjerui Mkeee Nimeumia pakubwa Sna Wallahi Moyo Unanivuja Damu sina lakusema ila sijui kwann sisi Wanaume Atubadiliki Kabisa

    • @salmasaid7058
      @salmasaid7058 Před 2 lety +1

      Kbs yaaan ndoa n scum aki

    • @jumasaid2792
      @jumasaid2792 Před 2 lety

      Hizi shida zipo sehemu zote mbili kwa wanaume na wanawake wanaume sio shida sana kama utafanya uchunguzi sana.

    • @hamzasafiabuu6451
      @hamzasafiabuu6451 Před 2 lety

      Ss swala la ukewenza na mauwaji laingiliana wp apo
      Na wale ambao hawana wake zaid ya wawili na wanafanya mauwaji !!!
      Wtu Wengine bwana
      Ttzo kubw iman ZA Wtu zimeshapungua imani hamna skuiz Wtu weng mitihan
      Ndio wskia mtu kauwa mkewe
      Kauwa kumewe
      Kauwa mtt wake au wa mwenzie
      Mtu kauwa rafiki yake kauwa mwenzie tu hwan hata udgu
      Mtu kajiuwa mwenyewe pia
      Na ukiangalia Sbb utakuta mambo ming kias kuelezea ni jambo lahitaji mda mkubw

  • @fatmasalim8293
    @fatmasalim8293 Před 2 lety +33

    Inalilah wainailahi rajiuun maskini kamdhulumu bado mdogo sana wallahi 😭😭😭😭😭

  • @ashuramalevu5414
    @ashuramalevu5414 Před 2 lety +12

    Innalillah Wainaillah Raajiun 😭😭

  • @crepinakatundu1831
    @crepinakatundu1831 Před 2 lety +11

    R.I.P.Marehemu.Poleni Wafiwa.

  • @aminahhuawei1133
    @aminahhuawei1133 Před 2 lety +4

    Pumzika kwa aman mdogo wangu 🙏🙏🙏🙏😭😭😭😭😭 binaadam tumekuwa wakatili sana

  • @ALIMOHD-bk9lr
    @ALIMOHD-bk9lr Před 2 lety +6

    Mungu atuhifadhi na ailinde mioyo yetu na maamuzi magumu kama haya na mengineyo.

  • @alimuhamed1830
    @alimuhamed1830 Před 2 lety +1

    Inalilah wainailahirajiun allah mjalie kaulithabit allah tujalie nasisi tulobaki husni lahatima.allah tuepushie mitihani mikubwa na namidogo allah tupesubra juya kuzuiya ghazab zetu

  • @abuyunusmohamed6961
    @abuyunusmohamed6961 Před 2 lety +5

    wivu wa kimapenzi tu huo.Mwanamke kama mmeshindwana si ungemrudisha kwao ?.
    Mwenyezi Mungu amlaze mahali pema.Amiin

  • @firdausrajabu6822
    @firdausrajabu6822 Před 2 lety +2

    Duh tulijua kumnanga uy dada wakaz uk whtsp jamn we kaka ulaaniwe machoz ya hao watt yatakufunza😭😭

  • @halimahassanungura4588
    @halimahassanungura4588 Před 2 lety +1

    SUBHANNALLAH

  • @salmawage7259
    @salmawage7259 Před 2 lety +1

    Subhanallah jamani

  • @arafakiloli749
    @arafakiloli749 Před 2 lety

    Innahlillah wainnah illah rajiun Allah amrehemu poleni sana ndugu na jamaa Allah awape subira katika kipindi hiki kigumu..Allah amuadhibu huyo mume vikali hapa duniani mpaka kesho akhera 😭😭😭😭

  • @malugukushaha6764
    @malugukushaha6764 Před 2 lety +4

    Innalillah wainnahllah rajiun😪😪.

  • @Lumala585
    @Lumala585 Před 2 lety +2

    Mungu akulaze mahali pema peponi Zylphaty👏

  • @gressluhimbo1215
    @gressluhimbo1215 Před 2 lety +5

    Namfaham Huyu Dada innallh

  • @sikudhanimohamedi2653
    @sikudhanimohamedi2653 Před 2 lety +1

    Dahh😢

  • @beautycaren7257
    @beautycaren7257 Před 2 lety +2

    Daah!! Sasa kwanini wadada wa kazi wanasingiziwa mi adi niliogopa kuleta mdada wa kazi

  • @omarsalim57
    @omarsalim57 Před 2 lety

    Inauma sana

  • @seebs1156
    @seebs1156 Před 2 lety +6

    Upendo umeisha kwa wanadam kama ana wake 2 si angeka kwa mke mkubwa mpaka hasira iishe jaman

  • @abdulwahababdulkadir9965
    @abdulwahababdulkadir9965 Před 2 lety +24

    Innalillahi wainna ilayhi rajiun jamani watu tumrudie muumba wetu,na tujitahidi kuishi kwa kuhurumiana mbele huko kugumu tusifanye masihara,

  • @zainabuhussein3487
    @zainabuhussein3487 Před 2 lety +1

    Mungu wangu inauma Sana navutapicha ndo ningekuwa mimi jaman

  • @adijarashidi1426
    @adijarashidi1426 Před 2 lety

    Subhana Allah

  • @safiayussuf9308
    @safiayussuf9308 Před 2 lety +1

    Na yy anyongweee tuu. Km alivyo mdhulumu mwenzake mdogo. Na kumpa kifo chamaumivu sn sn. Allah amuweke peponi na amsamehe makosa yke Ameen yarbllamn

  • @suzimwita5839
    @suzimwita5839 Před 2 lety +1

    Daah pole sana dada

  • @leylasalim9380
    @leylasalim9380 Před 2 lety +4

    Innalillah wainnaillah rajiun

  • @kendrickzeyn9928
    @kendrickzeyn9928 Před 2 lety +1

    Duh

  • @kimhavartz8428
    @kimhavartz8428 Před 2 lety +1

    Zanzibar tushazoea kesi zetu kubwa ni udharirishaji sasa hii ya mauaji inakujaje jaman Mana mauaji ni Tanzania

  • @ummuadam2423
    @ummuadam2423 Před 2 lety

    Keep update us

  • @majaliwamussa9268
    @majaliwamussa9268 Před 2 lety +1

    Inna Lillah wa Inna Ilaihi rajiun
    Allah atupe mwisho mwema

  • @kalumbugideon4159
    @kalumbugideon4159 Před 2 lety +2

    Mungu tuhurumie Sisi Waja Wako....

  • @jamesvmusic2677
    @jamesvmusic2677 Před 2 lety +13

    Jamani 🙆😭🙏

  • @hadijamagufuli2661
    @hadijamagufuli2661 Před 2 lety

    Silaumu kwanini sijaolewa, kama mungu amepaenga nije kuolewa nitashukuru ila kama ndio haitokuwa siwezi kumlaumu sabbu Kuna mafunzo na endelea kujifunza iki tokea haya isipotokea sitokufuru pengine mungu kaniepusha kitu hususani kama hivi, r l p Dada mungu akupe pumziko la milele amina,

  • @agnesmwigune8625
    @agnesmwigune8625 Před 2 lety +2

    Mungu tunusuru na vizazi vyetu 😭😭

  • @magejuliani5293
    @magejuliani5293 Před 2 lety +2

    Unaroho mbaya Sana wewe mwanaume! Bora ungempa talaka kuliko kumdhulumu nafsi yake! Pumzika kwa amani Binti! Mungu atakulipia

  • @paulinacherement2534
    @paulinacherement2534 Před 2 lety

    SUBHANNA LLAH alhamdulillah ALLAH AKBAR

  • @hadijajumbe6291
    @hadijajumbe6291 Před 2 lety +3

    Zullfa! Bado camini.. Pumzika kwa amani rafki yangu😭😭

    • @ziadasadiki8196
      @ziadasadiki8196 Před 2 lety

      Rafiki yako 😭😭POLE SANA, alifanya nini JAMANI?! Ama Ndio Uke weza na Wivu 😭. INNALILLAHI...

  • @maryamm7765
    @maryamm7765 Před 2 lety +1

    Dah 😭😭😭😭Inalilah wainailah rajiun si ungempa talaka tu ende zake kuliko kumuuwa

  • @rehemaaithumani3076
    @rehemaaithumani3076 Před 2 lety +3

    Innalillaha Wainnaillayh rajiuun

  • @gojo4276
    @gojo4276 Před 2 lety +1

    Mungu amlaze mahali pema peponi amiin

  • @edgarnandonde48
    @edgarnandonde48 Před 2 lety +3

    zamu hiyo sisi tushachomwa sana moto r.i.p zungu 👏👏

  • @Ahmadasshii-raazy8888
    @Ahmadasshii-raazy8888 Před 2 lety +3

    Yaa ALLAH tuokoe na dhiki za kilimwengu waja wako na vifo vya kufadhaisha

  • @mjemasaid6435
    @mjemasaid6435 Před 2 lety +2

    Dah mkishawachoka warudisheni tu kwao si kuuwana tena jamani,Hadi tunaogopa saiv hizi ndoa.

  • @fridasevelini9268
    @fridasevelini9268 Před 2 lety +1

    Pole ssna

  • @anualiabraviani9417
    @anualiabraviani9417 Před 2 lety +1

    R, I, P

  • @moonaamli6835
    @moonaamli6835 Před 2 lety

    lnalillaah wainaillaah rajiun

  • @aymankhadija619
    @aymankhadija619 Před 2 lety +1

    Dah😐😪kuna watu wana roho mbaya humu Duniani jamaniiii..ALLAH tuepushie mitihani waja wako

  • @prettynayma2875
    @prettynayma2875 Před 2 lety +2

    Adhuu adhuu😪😪😪😪😭😭😭😭😭😭umetuliz sana hny Allah akupe kaul thabit daaah so sad,,

  • @juliussilvestar8988
    @juliussilvestar8988 Před 2 lety +3

    Ndoa zishakuwa mtihani.Unakuta mtu anakulazimisha fanya uoe.Uoe pale unapohisi unataka kuoa pasipo kushinikizwa.Na hasa wazee punguzeni mashinikizo.Ndoa ni upendo si vurugu.

  • @shakilamasoud2983
    @shakilamasoud2983 Před 2 lety +3

    Kifo cha maumivu ya hali ya juu. Allahau Akbaru

  • @priscamussa8187
    @priscamussa8187 Před 2 lety +1

    Ndoa zimekuwa sehemu ya makaburi ya wanawake!!! eeh mungu utuhurumie

  • @fatmabhai2812
    @fatmabhai2812 Před 2 lety +1

    Nimeishiwa pozi nimeishiwa na la kusema yaani sasa znz yng imefikia hivi .yaa aallah tupe ctara waja wako.😭

  • @nasraabdallah850
    @nasraabdallah850 Před 2 lety +1

    Shukran sn jeshi la police kwauchunguz mzur mlio ufanya mana bila ivo maskin mtt wawatu angefia jela bure

  • @hanifarajab9006
    @hanifarajab9006 Před 2 lety

    Innalilah wainnailaih raajiun 😭 Allah atakulipa pepo dada yangu kwa dhulma hii waliokufanyia.

  • @aoman5214
    @aoman5214 Před 2 lety +5

    Yaan huyu house girls amshukuru Sana Mungu Kwa kumuondokea Kwa kesi kubwa ya namna hii vinginevyo angeozea jera Kwa kosa la kubambikiziwa daaah Kaka anatakiwa nae snyongwe kabisaaa

    • @Zainab-sq1tc
      @Zainab-sq1tc Před 2 lety

      Yaan wee Acha Tu hatacjui nan alimbambikia dada wa watu had Moyo ukaniuma

    • @user-rd7jt1vi5x
      @user-rd7jt1vi5x Před 2 lety

      Kabisa mimi nina voice inasema dada wa kazi ndo kafanya hilo tukio zimeambatana na picha za marehem ameloa damu mwili mzima

    • @hamisisabdallah3146
      @hamisisabdallah3146 Před 2 lety

      Tatizo lililopo mpaka uchunguzi wa awali ulionyesha dada wa kazi amefanya Mauaji ni kwa sababu alipowaita majerani na kudai kwamba nyumba imevamiwa na watu wasiofahamika na kufanyika Mauaji ya boss wake Kuna vitu vya kuangalia pale kwenye "scene of crime"je mlango ulivunjwa? mazingira ya ndani yalikuwaje Kuna ishara yoyote ya uvamizi au watu wawili tu walikuwa wanagombana Kuna vitu vingi vya kuangalia ndio maana halisi ya upelelezi ili upatikane ukweli kwa mazingira halisi ya tukio lazima mtuhumiwa namba moja angekuwa dada wa kazi
      Kwa sababu siku hiyo ya tukio walikuwa wawili na mtoto mchanga unafikiri nani angetuhumiwa

  • @abelmashaalah5561
    @abelmashaalah5561 Před 2 lety +2

    Amlaze mahali pema pepo malemu, mwenyez mung

  • @safiaomar9361
    @safiaomar9361 Před 2 lety +2

    Kwa mtazamo wangu nahisi bado ipo Siri imejificha baina ya mdada was Kaz baba mwenye nyumba na marehemu,,ila Allah ndo mjuzi wa yote

  • @saidsalum4637
    @saidsalum4637 Před 2 lety

    Innalilah wainna ilayhi rajioun subhanallah

  • @mariamsaid4064
    @mariamsaid4064 Před 2 lety

    Inalillah wainalillah laa juuni
    Inauzunisha sana mungu tunusulu wanawake ote
    Poleni family

  • @rithakuyala9951
    @rithakuyala9951 Před 2 lety +1

    Poleni sana familia

  • @s0phialwassa574
    @s0phialwassa574 Před 2 lety +1

    Dada wa kazi hawezi kuua hvyo kwa kumkata kata mapanga labda kwa sumu lakini hvyo itakuwa huyo mumewe

  • @tanjaniyoman3160
    @tanjaniyoman3160 Před 2 lety

    Subhaanallh...nae auliwe tu kufungwa haitoshi..

  • @idrissaissa5607
    @idrissaissa5607 Před 2 lety +8

    Miradi Ayo utumalizie habari

  • @merinajuma6948
    @merinajuma6948 Před 2 lety +1

    Daaaah jmn me sichoki kuwaz.aiseee.sasa tatzo Nini siungemuacha t afnye maisha.yke imeniuma.kwel😭😭😭

  • @aliyahya5785
    @aliyahya5785 Před 2 lety +9

    Nafikir upelelezi unahitajika sana bado hoja hizo hazija ridhisha kabisa. Kipo kitu hapo kikubwa zaidi.

    • @fatmaabdallah7709
      @fatmaabdallah7709 Před 2 lety +1

      Kabisa hapo upelelezi haujakamilika kuna Siri nzito hapo huyo msichana abanwe zaidi atasema mengi inawezekana nae kahusika pia kisha wapange kwamba wamevamiwa

    • @hamisisabdallah3146
      @hamisisabdallah3146 Před 2 lety

      Upelelezi upi tena mnaoutaka huyo Mume baada ya kufanya hayo Mauaji na ndipo akamshawishi huyo bint wa kazi kwa vitisho kwamba toa taarifa kwa majerani kwamba nyumba imevamiwa na watu wasiofahamika na kumkata mapanga boss wake
      Sasa mlitaka afanyeje na huyo accused hawezi kataa kwamba amefanya Mauaji

    • @fatmaabdallah7709
      @fatmaabdallah7709 Před 2 lety

      @@hamisisabdallah3146 hayo maneno ni kwa mujibu wa housegirl lkn tuna uhakika gani kwamba alitishwa aseme hivyo inawezekana pia akawa anasema uongo

    • @sunherybabie1472
      @sunherybabie1472 Před 2 lety

      Kweli kabisa,Yani mmhh wafanye mpelelezi kwa undani zaidi

    • @massoudmazruiy5250
      @massoudmazruiy5250 Před 2 lety

      Hata mm nazani Kuna haja uchunguzi wa kina Zaid coz kama ukijaribu kuskiliza ayo maneno ya hausegirl na mazingira ya tukio ni vitu 2 tofauti haya ingii akilini kabisa na tukio,
      mm najiuliza kama kweli muume ndie muhusika basi na kama kweli alikuwa na nia ya mauwaji Kwa nn asinge tumia nyengine kama mnyonga ili kupotza ushahd

  • @khadijakheir9323
    @khadijakheir9323 Před 2 lety +1

    😭😭😭😭

  • @ashaissa8813
    @ashaissa8813 Před 2 lety +1

    Inna lillah wainna ilaihi Raajiuun

  • @asiaamohd4077
    @asiaamohd4077 Před 2 lety +1

    Mungu wangu nijaalie mume mwema

  • @elizabethmwandu6937
    @elizabethmwandu6937 Před 2 lety +11

    Daaa jamani🤔 hongera sana house girl kwa kuwa na moyo wa ujasiri na kujitoa mhanga na kusema ukweli .Usingesema ukweli wewe ndio ungeenda kufungwa na kumuacha mwanaume huyo anakula raha.Hata ukiingia mtandaoni unaona kabisa wanasema house girl amuua mama mwenye nyumba kisa marehemu aligundua kuwa unatembea na mumewe ,mama alikwenda kuwaambia wazazi wa mume wake kuwa house girl anatembea na mumewe na wazazi wa mume kumshauri mkwe wake huyo mfanyakazi arudishwe kwao.Na house girl aliposikia anarudishwa kwao ndio kumuua huyo mama.Masikini wa Mungu kumbe sio kweli mume ndio kaua mkewe.Na yy huyo mume damu hiyo aliyoimwaga bila hatia yoyote haitamuacha salama ktk maisha yake.R..I.P mwanamke mwenzetu mbele yako nyuma yetu🙏

  • @fatumajuma3816
    @fatumajuma3816 Před 2 lety +2

    😭😭😭

  • @ahmadanurdin5563
    @ahmadanurdin5563 Před 2 lety +1

    Innalillahi wa inana ilahi raajiun kuna watu wana roho mbaya sana tena ya kikatili daaaa