Komentáře •

  • @sophialemmpalasu4133
    @sophialemmpalasu4133 Před 2 lety +5

    Dah inauma kweli yaan huyo mtu aliye uwa hao watu na yeye auwawe tu

  • @eddimwamba4208
    @eddimwamba4208 Před 2 lety +1

    RIP 😭🙏

  • @salumdaud1789
    @salumdaud1789 Před 2 lety +1

    DUNIA 😭😭

  • @sebastianmichael4031
    @sebastianmichael4031 Před 2 lety

    Shikamoo mapenzi

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 Před 2 lety +5

    MSITUCHANGANYIE HABARI HAO NI WAZINIFU TU MKE ALIYEZAA NAE KESHASEMA NI MCHEPUKO WA HUYO DADA NDIYE KAWAUWA

    • @MohammedAli-rh5si
      @MohammedAli-rh5si Před 2 lety +2

      Wote 4 wazinifu alozaa hana ndoa alieuwa hanandoa walokufa hawana ndoa

    • @teddyhenry2579
      @teddyhenry2579 Před 2 lety

      Wachichana wapunguze uhuni sasa unakuwaje na mabwana wawili

  • @DativaMbowe
    @DativaMbowe Před měsícem

    Mtajijua wenyewe mmezidi umalaya

  • @Elizabeth-777-r3p
    @Elizabeth-777-r3p Před rokem

    😭😭

  • @khamisbomba8223
    @khamisbomba8223 Před 2 lety +2

    Tena mzinif sheria yk kuuwawa?

  • @aminaamina9568
    @aminaamina9568 Před rokem

    Kwani mapenzi kitu gani nauliza! mpaka mtu anatoka uhai mungu aninusuru

  • @saudahassan6667
    @saudahassan6667 Před 2 lety +7

    Dah jmn mbona mauaji yamezd huko tz maana tuaogopa kurud makwetu jmn

  • @hamzaeleuter8268
    @hamzaeleuter8268 Před 2 lety

    Siri gan imefichuka mbona mnakuwa wahuni

  • @mwanaally3236
    @mwanaally3236 Před 2 lety +2

    Uzembe acha wakamatwe unasikia unakaa kimya waenda mtu akoroma we wajifungia mtu anakosa msaada anakufa mbuzi sana nyie waekeni miaka ishu moja

    • @rosemaryjoseph2346
      @rosemaryjoseph2346 Před 2 lety

      HV ugomvi wa mapanga unaweza ukauamua HV HV tuu muuaji usikite alikuwa amejiandaa au hakuwa pekee yake polisi wenyewe wakisikia uvamizi sehemu wa siraha huwa hawakurupiki tuu lazima wajue huo milio ya bunduki aina gani hakuna anaependa kufa

  • @yukundapeter8200
    @yukundapeter8200 Před 2 lety

    Angeliuwa hilo lidada.

  • @edinakyaruzi9226
    @edinakyaruzi9226 Před 2 lety +1

    Sasa hao waliokamatwa wanakosa gani

  • @awadhrajabu1403
    @awadhrajabu1403 Před rokem

    Wote Wanahusika Awa Fungeni Wote Awa

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 Před 2 lety +1

    Hatari sana milango haina vitasa mtihani

  • @sabihaibrahim143
    @sabihaibrahim143 Před 2 lety +3

    Mhmm shetani kahamia huko sijui shida nini Kwa kweli

    • @deven.oauditx7547
      @deven.oauditx7547 Před měsícem

      Umeshasema ni shetani kahamia huko. Ndiyo shida kubwa hiyo.

  • @gabrielmdem4271
    @gabrielmdem4271 Před 10 měsíci

    Duuu

  • @NaftalBarnabas
    @NaftalBarnabas Před 11 dny

    Punguze wivu n ukatil was knyama

  • @andrewnjelesa8062
    @andrewnjelesa8062 Před 2 lety

    Idodoma dya chaga Mulungu cidime

  • @sarahjohn6925
    @sarahjohn6925 Před 2 lety +1

    Yan huu msiba Jan tulimzka Dominic boda wangu kabc

  • @fintanmkesha1077
    @fintanmkesha1077 Před 2 lety

    Hyo nikomesha ya usalit achen usalit nyie kna dada kwanza hyo dada akamatwe ndoo source mjinga sana

  • @berthandollo3227
    @berthandollo3227 Před rokem +1

    Mapenzi ni ufala mtupu

    • @cecygeorge4443
      @cecygeorge4443 Před rokem

      Ni kweli ni uchafu mtupu kufanya watu wafe hovyo ni ufala

  • @HasamBwoy
    @HasamBwoy Před 2 lety

    KWA WALE WANAOHITAJI MAMBO YA WAKUBWA KARIBU UYAPATE🍆🍑💦czcams.com/video/7-V8yFbEk1Mh/video.htmlttps://czcams.com/video/7-V8yFbEk1M/video.html

    • @FredMaulid
      @FredMaulid Před 23 dny

      Mambo ya kubwa ndiyo hayo yanayoondoa watu uhai kiufupi mapenzi ni fumbo duniani Bora hata wanamtumikia mungu mapadre na maccter wanapishana na hii mitihani japo nao wanamajanga Yao huko lakini wana afadhali