RIP 😭🙏
DUNIA 😭😭
Shikamoo mapenzi
MSITUCHANGANYIE HABARI HAO NI WAZINIFU TU MKE ALIYEZAA NAE KESHASEMA NI MCHEPUKO WA HUYO DADA NDIYE KAWAUWA
Wote 4 wazinifu alozaa hana ndoa alieuwa hanandoa walokufa hawana ndoa
Mtajijua wenyewe mmezidi umalaya
😭😭
Tena mzinif sheria yk kuuwawa?
Kwani mapenzi kitu gani nauliza! mpaka mtu anatoka uhai mungu aninusuru
Siri gan imefichuka mbona mnakuwa wahuni
Uzembe acha wakamatwe unasikia unakaa kimya waenda mtu akoroma we wajifungia mtu anakosa msaada anakufa mbuzi sana nyie waekeni miaka ishu moja
HV ugomvi wa mapanga unaweza ukauamua HV HV tuu muuaji usikite alikuwa amejiandaa au hakuwa pekee yake polisi wenyewe wakisikia uvamizi sehemu wa siraha huwa hawakurupiki tuu lazima wajue huo milio ya bunduki aina gani hakuna anaependa kufa
Angeliuwa hilo lidada.
Sasa hao waliokamatwa wanakosa gani
Wote Wanahusika Awa Fungeni Wote Awa
Duuu
Punguze wivu n ukatil was knyama
Hyo nikomesha ya usalit achen usalit nyie kna dada kwanza hyo dada akamatwe ndoo source mjinga sana
KWA WALE WANAOHITAJI MAMBO YA WAKUBWA KARIBU UYAPATE🍆🍑💦czcams.com/video/7-V8yFbEk1Mh/video.htmlttps://czcams.com/video/7-V8yFbEk1M/video.html
Mambo ya kubwa ndiyo hayo yanayoondoa watu uhai kiufupi mapenzi ni fumbo duniani Bora hata wanamtumikia mungu mapadre na maccter wanapishana na hii mitihani japo nao wanamajanga Yao huko lakini wana afadhali
Dah inauma kweli yaan huyo mtu aliye uwa hao watu na yeye auwawe tu