Asante babu nakuangalia ktk muscat oman Kweli maneno uliyosema kama kuna mganga kwa nini hajifanyii dawa akapat pesa ndio hayo hayo ninayowaambia wenzangu.... Kiswahili full babu
ASSLAMALAKUM MZEE FROM ZANZIBAR I AM LIVING IN 🇬🇧 UK LONDON BUT I AM ORIGINAL FROM KENYA 🇰🇪 MOMBASA MY LET PARENTS THEY FROM ZANZIBAR SO I AM PROUD OF PEOPLE OF ZANZIBAR ALLAH BLESSED THEM AMEEN AMEEN AMEEN REMEMBER ME IN UR DUA UR BROTHER SIDIK FROM 🇬🇧 LONDON ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
WALLAH WABILLAH IYUMZEE NAMJUA NA NIMKARIM SANA NANIMNUENYEKEV SANA MFANYA IBADA NA KUNAMUDA NAPITA BARAZANI KWAKE NATAMANI ANIITE ANITUME POPOTEPALE ILI NIRDHIKE
Nakumbuk asubuh moja nlipat nafasi ya kuagizwa chakula na huyu mzee wakat nikiwa mwanafunzi wa shule ya kiponda jirani tu nyumb yke # Alhamdulillah Allah amjaze katik mema yke na ampe firdaus kama zawadi yake ya milele 🙏
Millard Ayo mmetisha sana kwakweli, Huyu mzee namfahamu vzr sana amekuwa ni mtu ambaye hana shida ni mkarimu pia kwa namna moja ama nyingne tumezoeana na anapenda sana story, Ninapata nafasi ya kuonana nae karibia mara tano au sita kwa wiki sababu makazi yake yapo njiani
@@salimselemani4861 Hapo labda nifanye utaratibu wa kuonana nae then nimuulize endapo kutakuwa na possibility hyo... Lakini pia kama itafaa zaidi ungenipatia mawasiliano yako
Masha allah mzee Mohd mungu akuweke huyu mzee alikuwa rafiki mkubwa wa marehemu baba angu wallahy ana historia na mambo mazuri tu na akili yake timamu tu
Kwa kweli.. huyu mzee ana hekima na busara sana, Inshallah M/Mungu atazidi kumbarik na.kumfanyia wepesi wa kila jambo ampe afya njema na umri mrefu Ameen I... 🙏🧡
Kwa fikra zangu na maadishi ya hapa,nli Dhani pengine mzee ni mshirikina,lakini kumbe mzee ana pambana,na kutafuta rizki ya Halal,Inshallah mungu amkutanishe na,Rais Mama Samia 🤲
Ndiyo sababu vijana wengi wanakuwa vichaa kwa kupenda kuiba je huyu mzee akimuibia akiomba kwa Mungu kila aliyeniibia Mungu mpe kichaa je wewe uliyemuibia utapona hacheni wizi pumbavu nyinyi
Juzi tuu nilipita hapo kwenda kunywa chai lukman karibu kabisa kwa huyu mzee. Kwa uzoefu wake akajua cc ni wageni lkn kidesturi yetu ukimwona mtu amekuzidi umri unamwamkia kumpa heshima yake. Ndipo akatuuliza nyiye ni wageni hapa? Nasi tukamjibu naam akatuchangamkia nasi tukafurahi nikatamani kununua kitu lkn sikuona cha kunivutia. Kwa kuwa ni mzee na bado anajitegemea kuliko kuomba omba nikamwachia hela mkononi ngapi siri yangu. Akaniombea dua Alhamdullilah.
Mzee umri huo anapiga kazi,vijana umri mdogo mara teja,shoga,kibaka,jambazi,free mason,Mungu azidi kukubariki mzee wangu.
Amiin yarrab
hawataki kazi vijana kazi kuomba na huo uongo wanaumbe wa siku hizi waongo na kukaa chini ya wanawake
Amiin yaraby
@@nadyasalim7956 kweli kabisa
Kweli kabisa kazi yao kubwa ukuwadi kutaka hela haraka pumbaaaff
Asante babu nakuangalia ktk muscat oman
Kweli maneno uliyosema kama kuna mganga kwa nini hajifanyii dawa akapat pesa ndio hayo hayo ninayowaambia wenzangu....
Kiswahili full babu
Mashallah huyu mzee namjuwa sana
Nimejiskia vizuri Leo kuona anahoniwa na ayo TV
ASSLAMALAKUM MZEE FROM ZANZIBAR I AM LIVING IN 🇬🇧 UK LONDON BUT I AM ORIGINAL FROM KENYA 🇰🇪 MOMBASA MY LET PARENTS THEY FROM ZANZIBAR SO I AM PROUD OF PEOPLE OF ZANZIBAR ALLAH BLESSED THEM AMEEN AMEEN AMEEN REMEMBER ME IN UR DUA UR BROTHER SIDIK FROM 🇬🇧 LONDON ❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤
Aaahh kumbe tunacheza sana.. Sisi tour guider wa Zanzibar twende tukavune historia ya Zanzibar kwa huyu mzee. Mungu akueke mzee wetu akupe afya njema
Amin
Maa Shaa Allah, tuna history lakini hatufwatilii kama kwa nchi za wenzetu.
Nnakupenda mzee kwa ajili ya Allah, Mungu akupe umri mrefu In Shaa Allah.
Hawa ndio wazee wenye hekma sio wapumbavu kukaa vibarazani kunywa kahawa kusubiria Pensheni tujitume Kama babu yetu Mashaa Allah
Kweli kwa ndo wazee,muhimu kua nao,mbali na biashara,Ana ijua history vzuri sana
Umesahau na kutongoza vibinti vidogo yaan hawana heshima kabisaa
Alhamdulillah masha Allah tabarrak Allah m.mungu awahifadh Ampe umri mrefu wenye afya na kheir mzee wetu
Babuyako uyu mmefanana😀
😊😊Amiin
@@binbarwan7401 yes mzee wangu 😄
😂😂
Vijana tuchape kazi…babu ni kioo tosha kwetu! Tumtegemee Allah tuache mganga na ramli
Mwenyeez Mungu akuzididhie umri mrefu na afya njema mzee nimekupenda sana, hongera kwa kujituma.
Babu wetu Mashaallah Mungu akupe afya na Umri mrefu Inshaaallah.
Amiin yarrab
Amiin
Umri mrefu upi tena apo alipo pumzi hazipat unamuombea umri mrefu ateseke #allah akampumzishe kwa aman
@@malikshafii8431 kwanza ni Afya sio umri!
Baadaye ndio umri
Nafkiri umeelewa .
Amina
Kwa wale wanaoenda forodhani kupiga makachu huwez kufika bila kumpita huyu mzee pale maeneo ya skuli ya kiponda.
Tujuane wapiga makachu hapa
WALLAH WABILLAH IYUMZEE NAMJUA NA NIMKARIM SANA NANIMNUENYEKEV SANA MFANYA IBADA NA KUNAMUDA NAPITA BARAZANI KWAKE NATAMANI ANIITE ANITUME POPOTEPALE ILI NIRDHIKE
Niltumzur mwanawe tunakaa jirani kweli anasema anaibiwa sana sahv
Nataman angekuwa mzee wangu nimtunze aache kazi atulie....umr umekwenda apumzike 🥰🥰🥰🥰🥰🥰
Mtunze tu baba
Nakumbuk asubuh moja nlipat nafasi ya kuagizwa chakula na huyu mzee wakat nikiwa mwanafunzi wa shule ya kiponda jirani tu nyumb yke # Alhamdulillah Allah amjaze katik mema yke na ampe firdaus kama zawadi yake ya milele 🙏
😘❤️ duuuh Babu kumbe unaongea hivi nikipita chechei Babu sauti ya chini
Godbess you mashalah we are proud of you in zanzibar 🤗🤗🤗💥
Nicee
sasa babu hapo anaona kweli? love you baby msalimie bibi, miaka mingi kwako babu,🙏🙏🤲
😁😁😁keep left
Niliwahi kusikia bongo zozo ananunua pesa za zamani.. Ayo Msaidieni Mzee
Tena anazitafuta sana
Hapo ni kweli mungu ndie mganga wetu dunia hii mpaka ahera
huyu mzee ana akili sana hiyo biashara angepata advertisement angejulikana kwa wazungu wana nunua sana hizo ela za zamani
Ni kweli kabisaa. Angekuwa ngambo hizi atapapata mamillioni kadhaa.
A nakaa mji mkongwe
bongo zozo naye ananunua
Its my uncle mze mohammad..😘🥰proud of him
Mariam sulaiman albrashdi here
una uhakika ?
@@menalikechildren8836 yup 100%how i wouldnt know my own uncle😰🤣
hahah na mm ni uncle yangu bc mm na ww ndugu
@@menalikechildren8836 ndugu wa islam maybe not real
not jas in case of Islam but he's my real uncle
Ma shaa allah.. babuu yetu fahari ya mjii wetu allah atuekee mzee wetu huyu na wengine wotee In shaa allah
Millard Ayo mmetisha sana kwakweli, Huyu mzee namfahamu vzr sana amekuwa ni mtu ambaye hana shida ni mkarimu pia kwa namna moja ama nyingne tumezoeana na anapenda sana story, Ninapata nafasi ya kuonana nae karibia mara tano au sita kwa wiki sababu makazi yake yapo njiani
Mzee wetu story anazipenda kweli Allah ampe afya
Yeah kabsa
Assalamu alaikum naweza vipi kupata kuongea nae huyu mzee nitashukuru sana kama utanijibu
@@salimselemani4861 Hapo labda nifanye utaratibu wa kuonana nae then nimuulize endapo kutakuwa na possibility hyo... Lakini pia kama itafaa zaidi ungenipatia mawasiliano yako
@@salimselemani4861 njoo nikupeleke
Moja katika kumbukumbu nzuri Asanteni sana ayo tv
Eti Tusharudi Tena Mwana Kwerekwe ila Watu Weusi Sio Waoga Kabisaaa 😂😂😂😂😂
🤣🤣
😂😂😂😂 watu hawana huruma jaman
Kweli kabisa
Daah watyu weusii tumepinda hatarii mzee kaandika na badala yake kaibiwa daah
Mzee anaonekana alikuwa tajiri sanaaa enzi Hizo..
Masha allah mzee Mohd mungu akuweke huyu mzee alikuwa rafiki mkubwa wa marehemu baba angu wallahy ana historia na mambo mazuri tu na akili yake timamu tu
Amin inshallah
Mashallah, hongera sana Babu kwa kufanya kazi.
Inshaallah
Allah akupe umri mzee wetu ameen 🥰🇴🇲🇴🇲🇴🇲🌹
Ameen
Amiin yarrab
😂😂😂😂Tusharud mwanakwerekwe eka tena
Kwa kweli.. huyu mzee ana hekima na busara sana, Inshallah M/Mungu atazidi kumbarik na.kumfanyia wepesi wa kila jambo ampe afya njema na umri mrefu Ameen I... 🙏🧡
www vbs
tb
Kwa fikra zangu na maadishi ya hapa,nli Dhani pengine mzee ni mshirikina,lakini kumbe mzee ana pambana,na kutafuta rizki ya Halal,Inshallah mungu amkutanishe na,Rais Mama Samia 🤲
Hahahaaaa jirani yangu vijana wamemzowea sana
Hahahahahaha, eti nsharud mwana kwerekwe!!
Na vijana waache kumuibia mzee wetu
Much love mzee wngu
Jaman wasimuibie jaman
Masha alla industrious Sana huyu mzee Allah atukubari
Huyu mzee Mohammed nilimuona zamani sana,nafurahi kumuona tena
in shaa Allah m.mungu akujulie uonane nae tena kwa furaha
@@samiaalriyami3488 Amin, hawa ndio wazee wetu wa Kiponda
Zamani maekiti anakuepo sana anampiga story sahv hawezi tena kutembea ndo yupo tu hapo
@@fatmamansour676 Ndio wameshakua wazee
Awesome 👌🏽💜
Safi Sana Mzee wetu nakumbuka nilisha wahi ongea naye hapo kwenye biashara yake .
Mungu amueke mzee huyu na ampe umri mrefu kwa biashara yake ya kaiza na ampe wateja wenye kukunua kwa bei ya juu manaks sio rahisi kupata pesa hizo
Inalillahwainailayhirajiun we will miss mzee Muhammed Allah akupe kauli thabit na akulaze mahala pema peponi babu yangu 😭💔
Amezidi kuzeeka sasa na mpk leo mwnyew anaendelea na biashara yke
Apo ndo utaelewa kama halbadiri ni uganga au dua
My best friend
Mashallah Allah
😂😂😂😂😂 mzee nimempenda sana eti niliwatisha watu na wakaniibia na ujumbe juu akapewa tumesharudi mwanakwerekwe.
😂😂😂
🤣🤣🤣
😂😂😂😂😂
😁😁😁nimecheka Sanaa asee
Hahahahaha
Hahaha...mzee wangu uyo huwa ananipa stry nyingi sanaa...nimepata faida nying sana kutok kwake
😂😂🤣🤣🤣 Babu Riyami asante waganga ni waongo wangejifanyia wao kwanza wakawa matajiri. Tulipita karibu tukakusalimiya...Mashaalla kumbe maarufu.
maziwa ya nyokaa 🐍 duh 🙄🙆♂️😂😂😂😂😂😂
Salam zimfikie mama awasali znz kwa mzee mohd stone town kiponda znz
Babu mjanja umeandika na wameiba😂
Aisee Mungu atujalie umri mlefu
Amiin
Mzee huyuu TOKEA nasoma yupo mpk sasa na huyooo ata ugongi unamkuta mlango njia y KUELEKEA msikiti wa malindi njia ya kipondaa
mzee hana tabu kabisa ila wanamuibia sanaa sana lakin yeye anamshukuru mungu anasema hata kama wamenibia m.mungu ataniletea zaid ya ile
@@samiaalriyami3488
Samiya uko wapi
Allah akupe umrimrefu inshaAllah
Tusha rudi toka mwana Kwerekwe 🤣🤣🤣🤣🤣wahuni sio watu wazuri
Nikajua haoni kumbe anaona!
anapatikana wapi?
Ushafaham weka tena tusharudi mwanakwerekwe
Babu kachangamka mashallah
sana masha Allah tabarrak Allah ungekaa nae kwa muda dakika 5 kama ulikuwa na stress zingeondoka
mashallah sio vijana wa siku hizi
😆😆😆😆😆eti tusharud mwana kwerekwe wezi bhana
Mandhari ya hiyo sehemu ameitengeneza ni nzuri sana.
Nimempenda sana babu 😍😍❤
Et tusharud mwanakwerekwe weka Tena tuibe 🤣🤣🤣🤣🤣 watu wamevurugwa
Huyu babu kafumba macho ndio mna anaibiwa maskin wee 😃 😀 😄
😀😀
Muangaz unampa shida
Mashallh Babu
Naomba namba za uyo babu
Noma
Tumesharud mwanakwerekwe weka tena😁😁😁😁 nimeipenda hii
Ndiyo sababu vijana wengi wanakuwa vichaa kwa kupenda kuiba je huyu mzee akimuibia akiomba kwa Mungu kila aliyeniibia Mungu mpe kichaa je wewe uliyemuibia utapona hacheni wizi pumbavu nyinyi
Mzee mohd Allah akulipe kila la kheri
Huyu mzee namjua sana
Watu hawamuogopi Mungu waje kuogopa maandishi 😣
Home sweet home kiponda zanzibar
😂😂😂😂eti tusharudi mwanakerekwa
Aunganishwe na Bongo Zozo,huwa anazitafuta Sana fedha za zamani
Home sweet home!
Nilimuonaga💓💓💓
Juzi tuu nilipita hapo kwenda kunywa chai lukman karibu kabisa kwa huyu mzee. Kwa uzoefu wake akajua cc ni wageni lkn kidesturi yetu ukimwona mtu amekuzidi umri unamwamkia kumpa heshima yake. Ndipo akatuuliza nyiye ni wageni hapa? Nasi tukamjibu naam akatuchangamkia nasi tukafurahi nikatamani kununua kitu lkn sikuona cha kunivutia. Kwa kuwa ni mzee na bado anajitegemea kuliko kuomba omba nikamwachia hela mkononi ngapi siri yangu. Akaniombea dua Alhamdullilah.
Hongera kupata Baraka ya mzee
Huyu mzee White Sana
Mwarabu huyo
The guy was very handsome those dayz
Mashallah huyu mzee ni mcheshi anaongea vzr
Ok
Tusharudii wahuni sio w2 poa
Namuona hapa mji mkongwe dukani kwake
wahuni sio watu et tusharudi mwana kwereke weka tena
Mzee kanivunja mbavu, eti siku alipoandika kesho yake wakamibia na kjmwandikia kikaratasi tumerudi kutoka makaburini.😂😂🤣
😂😂😂 hatari jamani watu wamepinda , tena wazima hao vijana wanashindwa kufanya kazi wanakuja kumuibia babu wawatu maskini 😔😔
hahahha
My Nina shida namba zake nitazipataj
nitakupatia subir
Hahah...huyu mzee yupo nyuma ya ofisi yetu na kila nkienda kazini ndio njia yangu. Nikimsalmia huwa mzito kujibu kumbe anaongeaa
😂😂😂Eti kumbe anaongea
🤣🤣🤣🤣 ni uzee tu msamehee
itakuwa unamsalimia huku unatembea ndugu jaribu kusimama alafu unamsalimia si unajua umri umeenda
Rabda akuskii si unajua age nayo imeenda, na hata macho sizani km anaona mbl Msamehe tu mzee wako
@@gracymkumba700 hahahahah....poaa
Millard ayo muunganishe na bongo zozo...ananunua sana hela za zamn
Huyu mzee yuko makini sana
Hahahhahah babu pole sana watuwabaya!
Mzee comedian huyu😂😂😂
Kweli vijana wa sasahivi, asiye fanya kazi na mkabaji ni msenge tena kuma la mama yake kwanini huyu mzee ana fight kufanya kazi/
Matusi ya nini
Heheheheheheheh mzee kashamaliza hakunaga uganga