Bangi, Ganja, Marijuana ni kitu moja. Salamu toka Kenya. Ningependa kupata namba ya huyu Rastaman ama nijue vile nitamfikia. God bless you Rastaman. This is a touching story.
Irie selasie I Jah Rasta farai Akuongoze na akulinde na akufanikishie hitaji lako na yale unayoyapambania kwaajili ya familia yako na maisha ako kwa ujumla...JAH BLESS KING MAGODA
Na mwenye kujiepusha na kuacha njia ya mungu atapata maisha magumu, na atafufuliwa kipofu Siku ya Kiyama na atasema mungu kuwaambia hao mlizisahau Aya zetu ukumbusho na Leo tunawasahau
Hipo idadi lukuki ya Waislamu ni omba omba huku mtaani hivyo acheni kujifanya mnaijua dini au Imani yenu ndo thabiti kama we kakujaria uko nacho ka na umushukuru sio kuwabeza watu kwa Maneno uliyo-notes kwenye kitabu Cha wakoloni:
Amenifurahisha sana hana give up nahajioni km msononekaji anapambana na anahtaj kupmbana nahaaitaj kuachia watoto wake waende niko nje ya nchi Ila naahid ntakuja kumtembelea mungu amtangulie #jah rasta fara
Huu ni unyanyasaji. Hakuna sheria ya Rais inayoruhusu ati watu wa haki za binadamu wanapewa uwezo wa kukonga mtu. Hawa utakuta walikuwa mamelewa na wanaendesha ghari kwa kiburi maana wanalipwa pesa nyingi. Hakuna mtu aliyejuu ya sheria. Tatizo hao wanasheria walipewa pesa wakaamua kunyamaza. Mahakama ndiyo inauwezo wakuamua kesi na kutoa maelezo sahihi. Rasta alionewa tu. Afu hawa wanasheria wa TZ yaaani ni takataka. Wao wanaangalia tu ni wapi kunalipa pesa afu wanatupa kesi. Mimi binafsi situmiagi mwanasheria yoyote hata huku ughaibuni. Na kesi zote nilizojisimamia mwenyewe nilishinda. Kesi nilizoweka wanasheria nilishindwa. Kwa hiyo hao wanasheria sio watu wakuamini. Hukiamua kupigania haki yako fanya utafiti kuna njia nyingi ya kushinda kesi bila kutumia hawa wanasheria feki. Rasta kaonewa. Afu marasta ninawakubali sana maana hata hapa Jamaica, marasta ndiyo wanaoneka wana upeo wa juu sana katika kuelewa maisha na kupambana na maisha. Dunia ingekuwa na amani sana kama binadamu wote wangekuwa marasta. Jah Rastafari. Mungu ni mwema matatizo yako Rasta yatakwisha. Mungu akubariki sana ndugu yangu🙏🙏🙏🙏
Yeah Rasta me dey wha gwaan allting irie ? Rasta yuko strong sana mentally and spiritually halalamiki anapambana . Give thanks and praise to the most i Jah rastafari !
@@devothasimbi1055 kweli na ulaya ukipata ajali hela inalipwa serekali, serekali inakulipa kufuatia bima la afya.Hata ulaya hamna la maana hivyo.bora kwetu ukipambana kisheria wapata haki yako.tatizo sisi wavivu kufuatilia haki zetu.jamani wakenya wenzetu kwa mambo kama haya wana changamka balaa
Rasta ni shemeji yangu ila nilikua naomba ayo tv Kama inawezekana mngemtafuta mdogowangu ili kubalance story mjue na upande wa pili ktk ndoa Kuna mengi please
Hayu jamaa nilianzaa kumjua ni kiwa na miaka 19 hapo makaburi ya ufi shekilango,na ni mtu safi mkarini sana huyo ni jirani yetu Wana shunga shunga wa ubungo maziwa,pole sana Rasta magoda
Ina fikia kipindi inabidi uridhike ila sisi kama sisi ambao tuna muona hiyo Hali na Ana watoto sijui kwanini hatumsaidii kwa chochote japo ni kidogo. Mungu Atupe Imani
OKAY world, In Tanzania, we have been using CBD all along for many years. GANJA is CBD! Wake up! America just discovered CBD! I am 56, I knew about GANJA but I did not know it will be this valuable!
Brow kwanza ludi Kwa mungu wa kweri Acha kuamini rasta fari lasivyo utaishi Maisha magumu Sana Kaka daah pole sanaa naamini ipocku uta mtambua mungu wa kweri in shallah
Kila mtu ana Iman yake in this world, we unachokiamin sio lazma nikielewe Kila mtu ana Iman🇨🇬🇨🇬 keep it!! Rasta man never die bt he pas away 2another life
Innallilah wainna ilaih rajiun sina budi kusema Allhamdullah alaa niiymatil Islam ninamshukuru Allah kwa neema ya uislamu Allah akuongoze umjue mungu wa haki ambae ni Allah
Daaah nmemuelewa Sana huyu Rasta kama umemuelewa kama Mimi like twende sawa
Bangi, Ganja, Marijuana ni kitu moja. Salamu toka Kenya. Ningependa kupata namba ya huyu Rastaman ama nijue vile nitamfikia. God bless you Rastaman. This is a touching story.
Daah Mungu nirehemu nilikufuru kwa kusema sina maisha mazuri😥😥😥😥😥😥
Hongera sana babu ipo sku itapita hapo napafaham nikuachie hata kila ya mchele
Asante kwa ujumbe nzuri mpaka hapa nimeamini bora uhai mengine ni ziada tu Mwenyezi Mungu awe nawe Rasta ufanikishe Marengo yako Amen
😓it's so emotional duh kweli HUJAFA HUJAUMBIKA ..!ALLAH ATUJALIE MWISHO MWEMA 🙏
Amin
amin
Amiin
Irie selasie I Jah
Rasta farai
Akuongoze na akulinde na akufanikishie hitaji lako na yale unayoyapambania kwaajili ya familia yako na maisha ako kwa ujumla...JAH BLESS KING MAGODA
Sisi hatutumii Bangi(Dawa ya Kulevya).Sisi tunatumia GANJA.I and I!😊
Yaaaaah
Man
Live up natty root's
🤣🤣🤣
Rastafarian never die
Bangi haijawahi kumuacha mtu salama
Mungu akupe nguvu na
kulinde we na familia yako ❤
Na mwenye kujiepusha na kuacha njia ya mungu atapata maisha magumu, na atafufuliwa kipofu Siku ya Kiyama na atasema mungu kuwaambia hao mlizisahau Aya zetu ukumbusho na Leo tunawasahau
Sahihi kbsa Allah is only one
Hipo idadi lukuki ya Waislamu ni omba omba huku mtaani hivyo acheni kujifanya mnaijua dini au Imani yenu ndo thabiti kama we kakujaria uko nacho ka na umushukuru sio kuwabeza watu kwa Maneno uliyo-notes kwenye kitabu Cha wakoloni:
@@pillautv1677 nikupenda bure Yani umeona ukweli na kwa usahihi
🇹🇿 Nchi hii ngumu jamqn
Hata kulipwa wameshindwa mungu akubarik rasta
Nchi ya dhulma sana hi
Rasta anaakili sana,kapoza ukali wa neno BANGI kasema GANJA,wahgwan rastafarai never die😀😀😀😀
Dah pole rasta nimebain mambo mawili yanakuvuruga mapenz maisha pole sana
Rasta Goda Unaongea sanaa Yaani,
Swali Moja Majibu Elfu 1
Amenifurahisha sana hana give up nahajioni km msononekaji anapambana na anahtaj kupmbana nahaaitaj kuachia watoto wake waende niko nje ya nchi Ila naahid ntakuja kumtembelea mungu amtangulie #jah rasta fara
Fanya hivyo kaka. Mungu atakulipa. Rasta ni watu wema sana
Ni majani tu kama mboga mboga zingine daa pole sana kaka ila mpe mungu maisha na mtie mungu moyoni Kwa mungu yooote yanawezekana
Mungu ni mwema ckuzote daima atakutia nguvu👏Imani yako itakuponya.
Once bunny wailer said they used to go to the grave site at night to gather carriage to face the obstacles on there journey ahead. Jah bless
Omg,,,never give Rasta man,,one day ur life will never be the same again some day,,keep the faith n God wl left up,,much 💞💞💞 frm Mombasa ukunda ☑️☑️☑️
Mungu amkumbuke amfanyie wepesi katika Hali yake 🙏🙏.
God bless this Man
Rasta never give up !! We are one in God Almighty !! May Jesus hear your cries Rasta !! 🙏🙏
POLE SANA MR. MAGODA MUNGU ATAJALIA HATIMA NJEMA . IMANI ULIYONAYO NI KUBWA DHIDI YA FAMILIA YAKO HASA WATOTO WAKO🙏🙏🙏
His in this situation lakini bado haja give up anapambana na maisha yake na ya watoto wake, God bless him🙏🙏
Jah is his God
One love 🇨🇬🇨🇬 rasta! Acha maisha yaendelee time will tell!
Huu ni unyanyasaji. Hakuna sheria ya Rais inayoruhusu ati watu wa haki za binadamu wanapewa uwezo wa kukonga mtu. Hawa utakuta walikuwa mamelewa na wanaendesha ghari kwa kiburi maana wanalipwa pesa nyingi. Hakuna mtu aliyejuu ya sheria. Tatizo hao wanasheria walipewa pesa wakaamua kunyamaza. Mahakama ndiyo inauwezo wakuamua kesi na kutoa maelezo sahihi. Rasta alionewa tu. Afu hawa wanasheria wa TZ yaaani ni takataka. Wao wanaangalia tu ni wapi kunalipa pesa afu wanatupa kesi. Mimi binafsi situmiagi mwanasheria yoyote hata huku ughaibuni. Na kesi zote nilizojisimamia mwenyewe nilishinda. Kesi nilizoweka wanasheria nilishindwa. Kwa hiyo hao wanasheria sio watu wakuamini. Hukiamua kupigania haki yako fanya utafiti kuna njia nyingi ya kushinda kesi bila kutumia hawa wanasheria feki. Rasta kaonewa. Afu marasta ninawakubali sana maana hata hapa Jamaica, marasta ndiyo wanaoneka wana upeo wa juu sana katika kuelewa maisha na kupambana na maisha. Dunia ingekuwa na amani sana kama binadamu wote wangekuwa marasta. Jah Rastafari. Mungu ni mwema matatizo yako Rasta yatakwisha. Mungu akubariki sana ndugu yangu🙏🙏🙏🙏
Umeongea vzr sn Kaka,inauma sn Ila hakuna mwenye haki ambae Mungu alimuacha,ipo cku haki yake ataipata tu.
Allah atuongoze katika njia ilionyooka sote InshaAllah🙏
Amini_imani_alo_kuwa_nayo_mpaka_kuishi_makaburin_ingekuwa_ni_ya_ALLAH_angekwenda_peponi
Nimemuelewa... Uyu... Lasta... Jomny... Anaongea... Kwa... Uchungu😢
May God bless this man 👨 🙏
Daaaah jaah bless rastafarai 🙏🙏...
Dah!😓 huruma aiseee dunia ina mengi sana kikubwa ni Imani na kumuomba Mungu kama anavyosema rasta
Bless! Rasta Inna God zion
Blessed rastafarians
*rasta never loose hope
*rasta never give up
Jah blessed your works rasta
Pole sana
@@tamimuomulungi2102 awe pole ya kweli kweli si ya mzaha
Rasta man never die Jah bless rasta
if at all ningekuwa tu na uwezo 😢 sorry for this determined father,,
❤️from 🇰🇪
Yeah Rasta me dey wha gwaan allting irie ? Rasta yuko strong sana mentally and spiritually halalamiki anapambana . Give thanks and praise to the most i Jah rastafari !
Only jesus who can give peace
@@lucymuthoni8203 that’s your own opinion some dem believe on Jah Rastafarah
Jah Rastafarian Selassie I know me nah feeling Di Maria Columbia whhaaw gwaanhhnn man
Mungu amenipa akili Mungu amenipa plan siitaji kuomba omba maneno makubwa sana haya💪
Pole sana rasta magoda pc $ love God is jaa
I have learnt something new here ...big difference between 'GANJA' & 'BHANGI'!!! Otherwise Rasta man we are proud of you !!!
Jah bless
nimekuelewa Rasta MUNGU atakuinulia mtu wa kukusaidia anaweza kuwa hata mtoto wako wa kuzaa
Hii interview itafanya watoto wa miaka ya 2010 kuja juu wawe marasta
🤣🤣🤣🤣
Mungu umufanyie uwepesi
Kwa kweli Mungu atakupa faraja, atakubariki. Kitendo cha kujitegemea kimenifurahisha sana.
Kisa Cha kutia moyo, licha na kuwa mlemavu hajadiriki kuwa omba omba may jah be with you 🇰🇪🇰🇪
This faith is BIG..
jah blessing rasta man never give up jah rasta
Perfect request, Rasta anajitambuwa sana.
Rasta, nimekuelewa sana. Mwenyezi MUNGU akutangulie.
Namjua Rasta kitambo alikua anaendelesha guta rastar mgosi
Jar Rasta gari eti Ina Kinga ya rais mungu akusaidie
Ni Rafiki yangu mno yeye na mkewe na watoto wao, Wana upendo Sana, nawapenda sana❤️❤️
Vp maisha yake uyo mwamba
Ndo umbembelezee mkewe arudi
Si ndy katombewa au
Wameiba mke
Mambo
Yah man
Jah love brother
Daah ingekua ulaya angelipwa pesa kibao kwa maisha yake, nchi yetu jamani uonevu mtupu
Mh kwa kweli gari ya raisi ndio nafikir ingekuwa ni mstari wa mbele na haki wamemgonga wao...mungu ni mwema.yatakwisha ipo siku.
Sio kweli unachosema ikiwa angeishi ulaya angelipwa pesa kibao.ulaya unalipwa pesa ukiwa na vigezo sio kulipwa pesa tuu.
@@devothasimbi1055 kweli na ulaya ukipata ajali hela inalipwa serekali, serekali inakulipa kufuatia bima la afya.Hata ulaya hamna la maana hivyo.bora kwetu ukipambana kisheria wapata haki yako.tatizo sisi wavivu kufuatilia haki zetu.jamani wakenya wenzetu kwa mambo kama haya wana changamka balaa
Sellasie I, rasters never die they only faint, 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪
Nimeumia kutoka moyoni atupe namba tumrushie chochote
Kabisaa tupe number tumchangie chochote ni mchacharikaji masikini
Rasta kasema haitaji msaada wowote
Kilichoniumiza kwamba amegongwa na gari la W H O. Ajalipwa chochote
Mm naona tungemchangia baba wawatu sidhani kama kuna mtu anapenda kuishi makaburini
Ahahaa Rasta anatumia Ganjaaaaaa.. heshima yako mzee
Uyu mwamba anampenda sana mke wake
Namkumbuka huyu Ras kitambo sana alikuwa na watoto wadogo wana Rasta na kibajaj
Ana machuguuu maisha shikamooo
kila nikimsoma nimpate kwenye plan simpati .yaani hiyo plan ilikua sio ya mchezo 😅😅.pole magoda
Rasta never tired
Rasta ni shemeji yangu ila nilikua naomba ayo tv Kama inawezekana mngemtafuta mdogowangu ili kubalance story mjue na upande wa pili ktk ndoa Kuna mengi please
Something to learn in Life
Mungu akupe umli baba
Amuoe huyo Mama anayemsaidia kupika maana wana Imani sawa
Jaaaah Rasta falaaah jaah bless Rasta Magoda
Inalilah
JAH JAH BLESS 🙌 🙏
Kushi Kama kushi💪💪🔥🔥
Hayu jamaa nilianzaa kumjua ni kiwa na miaka 19 hapo makaburi ya ufi shekilango,na ni mtu safi mkarini sana huyo ni jirani yetu Wana shunga shunga wa ubungo maziwa,pole sana Rasta magoda
Namjuaaa huyuu mwanaeee mzuri sana ilaaa anakulaaaa bangi mnooo
@@chichasam9032 Mwanae ana umri gani kwa makadilio
@@chichasam9032 wakike au
Huyu anashida anatakiwa kusaidiwa ila Imaani ndio inamfanya aridhike nahali alionayo bila kuomba msaada ila uhalisia unaonyesha
Ina fikia kipindi inabidi uridhike ila sisi kama sisi ambao tuna muona hiyo Hali na Ana watoto sijui kwanini hatumsaidii kwa chochote japo ni kidogo. Mungu Atupe Imani
Never give up
Waaaaa 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
Much love from 254 ✌️
Tatizo lako ww unaimani ya tofauti mrudie Allah toka uko kwenye Imani potofu matatizo yatapungua
OKAY world, In Tanzania, we have been using CBD all along for many years. GANJA is CBD! Wake up! America just discovered CBD! I am 56, I knew about GANJA but I did not know it will be this valuable!
Nimesikia story yake ila bangi etii sio ganja
Bali bangi madawa ya kulevya ala ganja ndio inaliwa nimecheka kifala😂😂😂
Mikadamba huwaga Yuko vizuri sana kwenye update za mahakamani
Mungu umbariki huyu baba na family yake
Mwendelezo please imeisha kienyeji
Brow kwanza ludi Kwa mungu wa kweri Acha kuamini rasta fari lasivyo utaishi Maisha magumu Sana Kaka daah pole sanaa naamini ipocku uta mtambua mungu wa kweri in shallah
Kila mtu ana Iman yake in this world, we unachokiamin sio lazma nikielewe Kila mtu ana Iman🇨🇬🇨🇬 keep it!! Rasta man never die bt he pas away 2another life
💪💪💪
إِنَّا لِلّهِ وَإِنَّـا إِلَيْهِ رَاجِعونَ
Mze unaakili Sana mngu akusaidie
Uko vizuri Sana unaongea point
Innallilah wainna ilaih rajiun sina budi kusema Allhamdullah alaa niiymatil Islam ninamshukuru Allah kwa neema ya uislamu Allah akuongoze umjue mungu wa haki ambae ni Allah
Allah Akufanyie wepesi baba yangu hakuna lisilowekekana kwa mungu kikubwa pumzi tu
AMEEEEEEEN !..🙏🙏🙏
ndio mjue wanawake hawana msaada katika maisha bora peke yangu
Mmmh
Ungeweka namba yake ya simu 🥺 sio wote wenye uwezo wa kumnunulia bajaji lakini tungetuma hizo elf 2 zingemsaidia na watoto 😔
Kabisa
Kweli
One love uko vzr broo
Hi what Gwan mean
inna Lillahi wa inna Ilahyi rajioon
Kweli kabisa, kikubwa ni Imani.
@millard namba zake tupeni
Usalama huyu 🙌
Baba eliyaaaaa huyooo