MTOTO GENIUS MUUZA MAKOPO YA MAJI, APATA DIVISION ONE, BABA ALITUFUKUZA “TUNA MIKOSI”

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 23. 07. 2023

Komentáře • 628

  • @elishajoshua4892
    @elishajoshua4892 Před rokem +97

    Ase MUNGU atabaki kuwa MUNGU, jinsi anavyojua maisha ya watu lakini anaturehemu wote. Naamini njia Itapatikana kwa hii Familia. 🙏🏼

  • @Official83640
    @Official83640 Před rokem +34

    Familia yao wote vipaji wanaonekana Maa'shaallah Allah amsaidie

  • @muddybreezy4595
    @muddybreezy4595 Před rokem +92

    R.I.P MOM😢
    Hakuna upendo wa kweli isipokuwa wa MAMA
    Mama anaokota makopo mtoto asome dah😢
    Mlio na mama mjivunie n muwapende mama zenu

  • @walinaziontime7300
    @walinaziontime7300 Před rokem +39

    Huyu binti ni muombaji sanaaa sauti yake ipo na fire 🔥🔥🔥
    Yuko na upako wa Hali ya juuu

  • @magejuliani5293
    @magejuliani5293 Před rokem +37

    Woooh! Huyu Baba anasubiria huruma za fainali za uzeeni! Mungu ataiinua hii familia tu

    • @diyembarak5506
      @diyembarak5506 Před rokem

      Akizeeka ndio atawatafuta

    • @tedykimaro2763
      @tedykimaro2763 Před 11 měsíci

      Ashalamba joka huyo mzeee yaan atabaki nazo mkononi mchezo ushaisha

  • @baloziubalozini5074
    @baloziubalozini5074 Před rokem +27

    Hongera sana Betty,Mwenye enzi mungu akusimamie.
    Nitoe tu Msisitizo kwa shule zinazojitangaza kibiashara,zitumie nafasi hii kumpa nafasi huyu binti aendelee na masomo yake ya advance maana ANAJITAMBUA

  • @robsonwisdom1994
    @robsonwisdom1994 Před rokem +12

    Najikuta nataka kulia mm 😢😢😢mungu akutangulie msg wangu 😞😭😭😭 utafika mbaliii mungu yupo

  • @sultanjames9395
    @sultanjames9395 Před rokem +8

    Kuna rafiki yangu anasemaga nipo singo kwa sababu sibembelezi wanawake. Kupitia huyu mtoto naweza kusema mwanamke mwenye akili unamjua kwa namna anavyoongea na anavyojibu unachomuuliza. Hongera sana Dogo unastahili baraka unazopokea.

  • @elizabethkalinga0822
    @elizabethkalinga0822 Před rokem +11

    Hongera Sana Mjuu wangu, umenifariji sana.
    Wewe ni dhahabu,, Mungu anaenda kukuinua zaidi ya Uwazavyo. Nakumbea Mungu akupekeke Viwango Vikubwa na vyakushangaza ili Shetani na kazi zake ashangae na kukalia Kiuno kwa kushindwa kwake.
    Mungu awatinze kwa Neema yake.

  • @jonathannkoba3806
    @jonathannkoba3806 Před rokem +14

    Hongera sana Betty👏 kwa ufaulu mzuri.Binti anaonekana ni mwenye nidhamu,adabu na anajituma. Mungu amsaidie atimize malengo yake na ndoto zake ili aje aisaidie familia yake. Huyo baba anahitaji maombi sana na wanasaikolojia wa kumshauri manake si akili ya kawaida kutosaidia familia yako hata kama ana mke mwingine.

  • @doreen9516
    @doreen9516 Před rokem +7

    Mungu watetee hawa Watoto, wainue, washinde zaidi ya kushinda kwa utukufu wa jina lako! Amen!

  • @beatricetoye3576
    @beatricetoye3576 Před 11 měsíci +2

    Daaaah huyu mama yao naiona kesho yake nzuri sana maana watoto wote wanaakili 🙏🙏🙏mungu atakusimamia pia binti

  • @user-mb2dy1cp7v
    @user-mb2dy1cp7v Před rokem +6

    Nimefurahi sana Sana sanaaa Safiiii sanaa 👏 WeWe ni CHAMPION 💪💪💪jamani! MUNGU WETU SOTE, ANAPONYA KWA MOTO, ANATIBU kwa KISU ANATUMIA MATATIZO YETU KUTUBARIKI, KUTUINUA NA AnAtukutaanisha na Wakuu juu..

  • @annamakusa3740
    @annamakusa3740 Před rokem +8

    Yaani huyu anaakili ya darasani na yakimaisha,ongea yake tu she look very composed,go girl 🔥🙏

  • @robsonwisdom1994
    @robsonwisdom1994 Před rokem +12

    Watu wanaopitia magumu kama haya wengi Kwa uwezo wa mungu huwa wanafanikiwa sana na utafanikiwa dada mungu yupo pole sana

  • @charleskuyeko4400
    @charleskuyeko4400 Před rokem +10

    Mwenyezi Mungu akutangulie ktk masomo yako ya High School na hatimaye Chuo Kikuu uje uisaidie familia yako(Mama na Wadogo zako). Mshukuru sana Mungu kwa uwezo aliokupa na mtegemee yeye ktk maisha yako yote usimwache. Utakuja kuwa mtu mkubwa sana. Na msamehe Baba yako usiwe na chuki naye. Muombee Mungu atambadilisha. Kila la kheri Binti yetu. Ningejua namba ya mama yako ningechangia kidogo nilichonacho kikusaidie.

  • @oscanyakunga
    @oscanyakunga Před rokem +13

    Bwana Yesu asifiwe Mungu awabariki ninyi na mamaenu Baba Mungu amsamehe Airudie family

    • @nadhirualawi3180
      @nadhirualawi3180 Před rokem +2

      Ww ni unanmoyo wa ajabu wengine wangeanza kumlaani baba japo anastahili hilo cha muhimu ni kumuombea kwa Mungu airudie family

  • @deborahlusenga3574
    @deborahlusenga3574 Před rokem +6

    Hongera sana Betty, Mungu akuwezeshe utimize ndogo zako. Ninaamini utafanikiwa kwenye maisha yako. Pia nampa pongezi Mama Betty kwa kuwapambania watoto wake.

  • @hizamawa6046
    @hizamawa6046 Před rokem +7

    Mzee wao atakuja kujuta aisee
    Yaani watoto wote ni magenious halafu unawafukuza

  • @amosethantheking8815
    @amosethantheking8815 Před rokem +43

    She is so strong, hata anavyoongea kweli unaiona ndani yake.

    • @didowamchops9229
      @didowamchops9229 Před rokem +1

      Yaan kweli genius huyu mtoto maana maongezi yake yametulia sana, Mungu awatunze kwakweli

  • @tumainichanya3268
    @tumainichanya3268 Před rokem +1

    Zidi Sana ktk Imani zidi ktk kumtegemea Mungu

  • @monyjohn5538
    @monyjohn5538 Před rokem +5

    Damu ya Yesu iwafunike, mkono wa Mungu uliohai uwape kushinda dhiki daima

  • @UsafiMichael-mc8kt
    @UsafiMichael-mc8kt Před rokem +6

    Yeye ndiye Mũngũ Buana
    ✓Mungu wa wanaũme
    ✓Mungu wa yatima
    ✓mfariji wa wanyonge
    ✓mzee wa siku
    ✓Mungu asiyependelea
    ✓YEHEVA SHAMA
    ✓YEHOVA NISI
    ✓YEHOVA RAVA
    ✓YEEHOVA ADONAI
    ✓ELISHADAI
    ✓MWAMBA IMARA
    Daima utabaki kuwa Mũngũ,heshima na Utukufu ni zako,

  • @severinemkumbi9213
    @severinemkumbi9213 Před rokem +40

    Halafu mtoto akipata Mkwanja Baba mbio na kusema huyu mwanangu, hongera zake aisee.

  • @dominickmollel3237
    @dominickmollel3237 Před rokem +7

    Ww baba wa mbinguni naomba sana usiwache hawa watoto maisha yao ni ww kwa kila kitu..

  • @whiteangelhomedecorations2230

    Baba mwema mtakatifu Kristo Yesu uishie milele wema wako na fadhili zako ziihudumie familia hii kwa kuwainua watu wakuipa mkono wa ushirika, Mbarikiwe sana Millard - Ayo mmekuwa mawakili wema basi nitafanya kitu kwa hiyo familia.

    • @AnethEdward-nf6sc
      @AnethEdward-nf6sc Před rokem

      Inapendeza tufundishane kwa mkazo kutendeana mema kama neno linavyotuagiza kuuanzia ngazi ya utoto,wazazi ,walezi ,ndugu kutelekeza watoto ni tabia ipo ,c wanaona Hana kitu ila akibarikiwa Kila mtu atadai ni ndugu..

  • @chloecallie3619
    @chloecallie3619 Před rokem +13

    Hongera sana mwanangu. Ayo mtupatie no ya simu. Na huyo baba subirini watoto wafanikiwe. Ataanza kudai matunzo na asipopewa anadai anawalaaani. Jamani mnisaidie mwenzenu hiyo laana itashika

  • @amanimanase8798
    @amanimanase8798 Před rokem +13

    Nimpe hongera anajua kujieleza na mungu azidi kuwa nae

  • @ericktesha7046
    @ericktesha7046 Před rokem +44

    Huyu binti ana akili mnoo,Mungu ampatie hitaji la moyo wake katika Maisha

  • @annijulius4953
    @annijulius4953 Před rokem +11

    Mtoto anajielewa sana hongera sana binti Mungu akusimamie.

    • @sarafinabutashilaga6990
      @sarafinabutashilaga6990 Před rokem

      Sis wenyew tunaish maisha magum yan hapo ni pazur walah lkn Mungu ni mwema mdg wng kapata one ya6

  • @lupamwakabenga1716
    @lupamwakabenga1716 Před rokem +5

    Mungu ni mwema siku zote one day maisha yatakuwa mazuri

  • @efrasiabosco4661
    @efrasiabosco4661 Před rokem +1

    Hongera Saaana binti na pia pole kw magumu uliyopitia naamin Mwenyezi Mungu atakufungulia njia nzur maishani mwenu endlea kupambnia ndoto zako Amin zitatimia nikutakie kila lakherufanikiwe Amen

  • @asnathmwaipopo6877
    @asnathmwaipopo6877 Před 11 měsíci +2

    MUNGU huyu nimkuu sana🙏hongera sana mrembo wangu ❤MUNGU akutunze uje kusaidia wadogo zako🙏

  • @SULEYMANSIRNGUNDA
    @SULEYMANSIRNGUNDA Před rokem +11

    God bless you girl your fantastic genius... TO MY SIDE YOU GET 3 STARS LOVELY GENIUS I LIKE IT

  • @faridahalil4456
    @faridahalil4456 Před rokem +21

    Very intelligent familia, mungu awahifadhi wake wamfae mama yao

    • @jonasjonasloth5767
      @jonasjonasloth5767 Před rokem

      Chanzo ni nini mpaka baba anamfukuza mama Kwan huyo baba nikichaa mbona hakumfukuza toka mwanzo na je baada ya kufukuzwa nyumban mama alichukua hatua gani za kisheria ? Ila wamama wanapandikiza sana ubaya Kwa watoto pasipo kufuata ukweli mm nimtakie Kila lakheli mungu atamsaidia ila ugomvi wa wazazi usiuingilie Wala usipandikizwe chuki Kwa kuambiwa baba yako mbaya chunguza umakin.

  • @abedishebila6676
    @abedishebila6676 Před rokem +71

    mh da inauma kweli 😭😭😭 mm Kama mm choz limedondoka mdogo wangu akili unazo soma mm nilikuwa natoka na mama yangu kwetu siku za soko jumanne na ijumaa mama ananiamsha saa 10 usiku nabeba mzigo na mama Hadi sokon tuseme kuanzia kinondoni Hadi korogwe ya kimala wa miguu halafu narudi na navaa naenda shule mm nimeishia from two lkn baba yupo wewe akili unazo pambana mungu akusaidie ndogo wangu Sina chochot lkn naomba namba nikusaidie 25000 asant usilie lkn pambana

  • @ednalugano2906
    @ednalugano2906 Před rokem +1

    Hongera sana Betty. Mungu atafanya njia utafikia ndoto zako. Mungu akubariki mama Betty kwa kusimama na familia yako

  • @eaglecrown1101
    @eaglecrown1101 Před rokem +8

    Yeah sisi ndio wale tunaopiganiwa na bwana.❤🎉

  • @hamidaalhabsi8568
    @hamidaalhabsi8568 Před rokem +5

    Maashallah mwenyezi mungu akujalie kila lakheli yaarabi pamoja na Mama yako na ndugu zako yaarabi ameen 🙏🙏🙏🙏

  • @chrisdeoglatias8665
    @chrisdeoglatias8665 Před rokem

    Pole sana bnt ,mama na familia kw ujumla,hongera sana bnt maana vmbunga vyote na tufani havijakupotezea baharini,endelea kujipa moyo mkuu,ulikotoks kulkuw gza zaid uendko angalau mapambazuko onekana.Jpo mzaz Hana upendo nanyi ila anayohoja ya kujbia km c mbele za wanadam bc yke yy ahukimuy kw haki.Jipe moyo mkuu,usijihukumu Wala kutosamehe,jilazimishe kufuata akili yle yaliyokuumiza hasa,jitahd kuvtafakar vle vtu vdg vlivyowah kukupa faraja wkt WA machoz yko!
    Mungu kibariki ht Dawa ya meno takutumia.Japo n heri ukateseka Hali mzaz kafa kuliko yko hai tna anamwagilia moyo kila uchao.
    Jpo htuwezjua Ile nguv imshikiayo upnde wa2 na kumpumbaza asahau km lishkuw baba hpo kwnza,maana ht kichwa akirukw akili mkinyang'anya mtoto akitulia hukumbuka mwanae na humdai,paka na mbwa nao hvyohvyo kukiwa mvua/ jua huwahamisha watoto wke ht eneo salama,chakula kikiwa kdg humtengea mwanae kwnz ksha yy hula mabak lkn Leo mwanadam anazdiw akili na mnyama amfugaye!!?WANADAM ,SIK Y HUKUM ITAKUW N SIK YA UTIISHO MKUU Kwann twakoleza ghadhab ya Mungu kzembe km hv?

  • @ashurakiswamba7085
    @ashurakiswamba7085 Před rokem +4

    MUNGU awabaliki hii familia mungu amewabariki sanaaaaaaa.naamini mungu yupo pamoja na nyie mama apewe mauwa yake🌹🌹🌹

  • @ms123ru
    @ms123ru Před rokem +13

    Best interview ever Millard

  • @michaeldady1767
    @michaeldady1767 Před rokem +44

    God Bless you young Girl your super genius and talented

  • @lastkinglastking3326
    @lastkinglastking3326 Před rokem +22

    Mtoto huyu mungu amempa neema kubwa yani anaongea kwa vituwo alafu utadhani kama nimtoto watajiri tabasamu yake inaonesha jinsi gani anavyo jiamini na kulidhika kwa vichache anavyo vimiliki

  • @ritapiusnicolaus7068
    @ritapiusnicolaus7068 Před rokem +13

    Akuna kama MAMA Mungu ampumzishe kwa amani MAMA angu😭😭😭😭😭Hongera sana MAMA kwa kuwapambania watoto ipo siku utakula matunda yako uliyoyapanda endelea kupambana 🙏🙏Hongera mtoto mzuri Mungu azidi kukuongoza ufike mbali 💖

    • @SNKANTO
      @SNKANTO Před rokem

      Pole

    • @hamiduhamisi2371
      @hamiduhamisi2371 Před rokem

      😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭

  • @dottomccraney5485
    @dottomccraney5485 Před rokem +12

    Da huyu Baba serekali imchukulie hatua na huyu mtoto apewe hata u Ambassador wa taulo za kike ili aweze kukimu mahitaji yake dah so painful story 😫😫😭😭

    • @user-zr4ix1mz2s
      @user-zr4ix1mz2s Před rokem

      Umesema vizuri kabisa,akiwa ambassador itamsaidia na ujumbe utafika vizuri kwa vijana.
      Sioni haja ya makumpuni ya taulo za kike kutumia watu wenye pesa badala yake wawatumie mabinti kama hawa.

  • @nassoromihangi2278
    @nassoromihangi2278 Před rokem +2

    Be blessed friend ❤....at every difficult road there's good and fine destination....
    At always life is how ue handle plan B....be blessed more and moreee❤❤❤

  • @zenobiagenuine537
    @zenobiagenuine537 Před rokem +3

    Hakika hakuna kinachoshindikana kwa Mungu,big up kwa mama na akina mama wote kwa ujasiri mnaokua nao kupambania watoto wenu,hongeraa Sana mdogo wangu Mungu wa mbinguni atafungua milango ya Baraka bzaidi mpaka dunia ishangae

  • @floramlowe7078
    @floramlowe7078 Před rokem

    Hongera zenu mungu ni mwema sana atawafanyia njia pasipo njia mama utakuja kuishi kama mfalme pambania watoto wako.

  • @VioletNamz-tq4tg
    @VioletNamz-tq4tg Před rokem +1

    Hongera zako mdogo wangu,Mungu amtupi mja wake ipo siku.

  • @user-cu3vk2zs5k
    @user-cu3vk2zs5k Před 11 měsíci

    Karibu moshi mtoto wangu. Mawezi ni shule Moja nzuri sana mwanangu tunakuombes sana wewe na ndugu zako Mwenyezi Mungu awatangulie

  • @zumbeshauri8114
    @zumbeshauri8114 Před rokem +2

    Hongera sana mwanangu mana wewe ni nwanangu mana mwanangu nime mchelewesha shule wewe 2006 wa kwangu elufu 2004 kumbe na wa kwangu ange maliza kumbe umasikini sikilema ninahakika hata wa kwangu atafika huko🤲🤲 mungu nisaidie

  • @sarahkadugu4367
    @sarahkadugu4367 Před rokem +5

    Muleba Yatima wapo Wamepata Division 1.7 wakilelewa Mama akiuza Nyanya na Kabichi. Huyo Hongera zake

  • @elizabethkalinga0822
    @elizabethkalinga0822 Před rokem

    Hongera Sana Binti, Mungu aendelee kukuwezesha na kukutunza.

  • @kibibijaphary6918
    @kibibijaphary6918 Před rokem

    Hongera sana mwanangu mtihani huu mgumu sana umeupitia
    Moyo umeniumaaa sana sana
    Mungu atakuvusha ye tu ndo kimbilio letu
    Utapata Kilichoboraa kabisàa...

  • @deborahmgedzi632
    @deborahmgedzi632 Před rokem

    Mungu Mwenyezi Atawafikisha Juu zaidi. Mpendeni Baba, Mungu Atatenda na atawatafuta katika JINA la Yesu Kristo wa Nazareth Aliye Hai.

  • @benardotuoma59
    @benardotuoma59 Před 11 měsíci

    Beauty with Brain, may Almighty God open the way for you,so that one day u can be a blessing to your family.

  • @twilumbamhonda
    @twilumbamhonda Před 11 měsíci

    Oh.ananikumbusha mbali kweli,bety jipe moyo mkuu,umefika hatua nzuri usikate tamaa . Mungu akujalie ufikie malengo yako.

  • @mercyherbert8978
    @mercyherbert8978 Před rokem +3

    Hongera sana Ufike mbali zaidi na umkumbuke mama yako,ila wababa Mungu anawaona

  • @muunganotv
    @muunganotv Před rokem +4

    Mungu pekee ndiye Mfariji ipo siku Familia hii jtainuliwa na Baba aliyewatelekeza atawatafuta

  • @femidayahaya4882
    @femidayahaya4882 Před rokem

    Hongera sana mdogo wangu..Mungu azidi kukupambania.

  • @mohammedhamiss3289
    @mohammedhamiss3289 Před rokem +2

    Mungu atakufanyia wepesi mdogo wng betty kila kitu kitakua sawa mungu yupo nawe kila hatua ya maisha yako utafka unapo pataka.

  • @bibiruthmasanja
    @bibiruthmasanja Před 11 měsíci

    Mungu, atabaki kuwa Mungu. Mungu aendelee kukuinua, nenda na kasi hiyohiyo. Hongera sana mjukuu wangu

  • @JacobRushatsi-gi6wj
    @JacobRushatsi-gi6wj Před 11 měsíci

    Duuuuu mungu akulinde katika maisha yako , jirinde na vishawishi usidanganyike ukasahau ulikotoka , pambana mdogo wangu

  • @gracegofrey4677
    @gracegofrey4677 Před rokem +37

    Pambana mdogo wangu maisha magumu ndo huwa yanawapa watu uchungu na kupambana zaidi 🙏🙏

    • @rashidhamisi8301
      @rashidhamisi8301 Před rokem

      Kweli dada 😢😢 dah inauma sana yaan wanaume sisi kuiona pepo sizani 😢😢

    • @hidayaswai3119
      @hidayaswai3119 Před rokem

      Elimu hapa kwenu haina kazi mpz. Basi tu. Ningeweza mm ningemshauri vya kwenda😂 5 na 6 angeacha aende hata kozi

    • @zainabzain3434
      @zainabzain3434 Před rokem

      Uko sawa maana tukikumbuka tuyopitia tunapigania ili tubadilishe hali zetu

    • @faridafaki4927
      @faridafaki4927 Před rokem

      Hongera

    • @faridafaki4927
      @faridafaki4927 Před rokem

      Hatary jmn mtangazaji

  • @zulfahussein6784
    @zulfahussein6784 Před rokem +8

    Wa Baba Mola anawaona na malipo ni hapa hapa duniani

  • @user-ol8ur8tr2s
    @user-ol8ur8tr2s Před rokem +1

    Nimeumia sana,bety mwanangu unaakili,mtegemee Mungu atakusaidia,mimi ni baba ninawatoto sita,mama yao alinikimbia kwa changamoto za dhiki ya maisha magumu na bahati mbaya wiki aliyoondoka mama yao wiki iliyofata nikapata ajali mbaya sana nnikakaa hospital wiki mbili,mama yao alipigiwa simu mpaka leo hakuwahi kukanyaga,nimetoka hospital baada ya mwezi nikapata stock ya miguu na mikono mpaka sasa ninaumwa,nina binti yangu kamaliza form four mwaka jana,amefaulu kwenda kidato cha tano,amepangiwa chato mkoani geita,nipo nalia tu,na bahati mbaya wakati wa shida hata ndg huwaoni wakiona simu yangu wanajua nataka kuomba pesa,lakini napambana sina kazi yakueleweka maisha ni magumu,lakini bado hayupo wakuzidi wanangu thamani yao,mimi ndie baba yao,najua leo nina nguvu kesho zitaisha wanangu ndio nguvu zangu kesho ndio miguu yangu na mikono yangu kesho na ndio macho yangu kesho,chonde chonde wazazi wenzangu hasa wanaume wenzangu,ugomvi wa mke na mume usisababishe watoto waishi kama mbwa wasio na mwangalizi,baba mzazi unawafukuza wanao,unawavuruta nakuwatupa,kesho yako unajua itakuwaje,wewe baba bety ludisha moyo wako nyuma hiyo ni damu yako,wasaidie wasomeshe,Mungu kakupa watoto wenye akili sana,inawezekana kuna sehemu wanaungana na mama yao kukukosea maana wamama nao wana shida zao abda anawapandia maneno mabaya hawakuheshimu maana sio lahisi baba afukuze mke na watoto wote kutakuwa kuna shida hapo,lakini pamoja na yote wahurumie wanao waite uwatangazie msamaha maana kwa maongezi ya huyo binti betty yanaonyesha anauchungu sana na baba yake na kinyongo kikubwa sana,sidhani kama kesho atakuja kumsaidia baba yake,mzee mwenzangu wahi mapema kuondoa hilo bomu ambalo kesho litakulipukia mwenyewe,acha hasira,mimi nakomaa na wanangu wote,naomba msaada kwa marafiki na wapendwa ninacho pata ninawahemelea chakula na mahitaji madogo madogo,napambana sana na ninaumwa tangu mwezi watatu mwaka huu ndipo naanza kutembea kidogo kidogo,

  • @victoriajulius5239
    @victoriajulius5239 Před rokem

    Mungu ni mkuu anamsaidia yeyeto mwenye kumtumainia na juhudi hongera beti❤️

  • @augustinesombi6285
    @augustinesombi6285 Před rokem +4

    Hongera binti, wew utakuwa mtu mkubwa Sana baadae, mtangulizee mungu

  • @fatmaally7252
    @fatmaally7252 Před rokem +7

    Mungu bwana hana wa kufananishwa nae wallah

  • @basumaadam2686
    @basumaadam2686 Před rokem

    Hongera sana Binti Mwenyezi akupe hitaji la moyo wako, ila wanaume sijui wamelogwa na nani , mtu unasikia mtoto amefaulu lkn hata habari hana , sasa mambo kama haya mtoto akifanikiwa akakususa utamlaumu nani, hawa ndo wazazi wanaokimbilia kutoa laana, matokeo yake inawarudia wenyewe wanaishia kuchetuka mitaani , h

  • @elirehemaringo188
    @elirehemaringo188 Před rokem

    Mungu aliyemsaidia akafaulu katika mazingira hayo, ndiye Mungu atakaye mvusha katika elimu yake ninachokiamini Mungu atatoa watu wakumshika mkono, pia wanawake wajifunze kujitegemea kufanya kazi hata kama mume wake ana kazi nzuri ili likitokea kama lilompata huyo mama aweze kupambana nakuwahudumia wanae,Mungu ampiganie huyo mama na kumwezesha katika shughuli zake

  • @uwezawamungumkuu.amaniafrika

    Mungu mkuu Aangalii Makopo. Anaangalia haja ya makazi wake na kilio chake. Nawambia kila wakati mtegemeeni MUNGU MKUU SIKU ZOTE NA KWA YOTE NAYE ATAWASHIKA MKONO NA KUWAVUA AIBU YENU. BARIKIWA MTOTO NA MUNGU WETU AWAPE NEEMA YAKE. AMEN.

  • @NicolausSule-wr6jk
    @NicolausSule-wr6jk Před rokem +2

    Karibu moshi mungu akutangulie kila hatua mdogo wangu

  • @carezaro
    @carezaro Před rokem +2

    😭😭😭😭😭nmelia saaana betty mdogo wang MUNGU akuinue juu hata mimi nmeptia😭😭 kuwa na iman2

  • @safiyanirram-pf3sv
    @safiyanirram-pf3sv Před rokem

    Mungu amuachi mja wake siku zote na hipo siku atakuja kuwatafuta kipindi hicho mshafanikiwa soma mdogo wangu na Allha akusimamie maisha ya kupambana mama tu pekeake arafu duni yanauma wengi ndo tumepitia uko Allha marehemu mama angu 😢 alipambana sana

  • @neemakahale
    @neemakahale Před 11 měsíci

    Mungu akubariki bint, jinsi mungu alivyokusimamia, Nashauri kasome pcb au pcm mungu atakufikisha mbali sana

  • @EmeliaKilave-rs8oh
    @EmeliaKilave-rs8oh Před rokem

    Kwanza nimelia,Mungu aliyewavusha Wana wa Israel aivushe familia hii ktk mapito magumu, Betty apambane lipo jambo jema kwake,mabinti wengne wajifunze ujasiri na kujitambua kwa binti huyu

  • @frankngoloka5416
    @frankngoloka5416 Před rokem +8

    Wakurya bwana baadhi yao ni shida

  • @hafsaaali6518
    @hafsaaali6518 Před rokem +2

    Jamani wababa wababa nawachukiya sana mimi nimepitiya hi hali nahangaika sana nasomesha wanagu ila mungu ni mwema sana na napata riziki yangu sana yani sijawahi kosa hata siku moja mungu endeleya kubariki kina mama wote na huyu binti mungu mfunguliye afanikiwe zaidi

    • @zumbeshauri8114
      @zumbeshauri8114 Před rokem

      Wala sio wababa wote huyu mzee haya huo ukuu wa maabara wamempatu lakini akili yake sisawa kabisa

  • @user-op2gm3gi6m
    @user-op2gm3gi6m Před rokem

    Hafai uyo baba pole sana mtoto
    Mwenyezi Mungu akupigianie

  • @zayumar2955
    @zayumar2955 Před rokem

    Masha Allah mtt mzuri mungu àkulinde na akuongoze mnooo ila jmn uchàwi upoo aminini huyo baba karogwa wallah make sio kawaida kutelekeza familia kama ivyo

  • @jeniferlyimo8260
    @jeniferlyimo8260 Před rokem

    Big up keep it up...usikate tamaa dear.

  • @thadeimosha7897
    @thadeimosha7897 Před rokem

    Hakika Mungu turehumu mama ni mama tuuu hakika pongez bety Bado Mungu yupo atakupigania usjal safar bd utavuka tuuu

  • @ashwaqhasni
    @ashwaqhasni Před rokem

    Hongera sana bint yangu Mungu azidi kukuinua huyo baba ipo siku yake 1 tu

  • @user-vn7dl9mz4f
    @user-vn7dl9mz4f Před 10 měsíci

    Huyu mama apewe ulizi pamoja na watoto tatizo ni nyumba ndogo naushirikina wa nyumba za nje..unavuruga wanaumme wengi mungu atawafungulia...

  • @TOUNDISELASSIE-xj8oy
    @TOUNDISELASSIE-xj8oy Před rokem +14

    Natamani angekua binti yangu, maana ni binti mwelevu. Apambane asibweteke, mungu amemwandalia mema mbeleni. Wako watoto wanaenda shule kwa magari, lakini matokeo yao mabovu. Kwa utafiti wangu, mwanamke aliewazaa familia ya binti huyu ndio chanzo cha vichwa vyao. Madini matupu! Maana wangechukua kwa baba yao! Watoto wote wangekua vichwa maji kama yule wa pandahill.

  • @AshaMakame-zg9xi
    @AshaMakame-zg9xi Před rokem +2

    Taula za kike muhimu maana chumba watu we give nyumba za kupanga hata yako kitambaa hakianikwi kwaupeni Hongera sasa Allah bless you

  • @MwanaishaShattry
    @MwanaishaShattry Před 9 měsíci

    Mama huyu namjengea mnara wa dhahabu. Wewe ni mama hasa. Kuna wamama wana baba na mama na baba anapenda watoto wake. Lakini mama anatoka nyumbani na watoto anakwenda mbali akifika huko anaanzisha maisha na watoto anawaoangisha kwa ndugu zake. Watoto wanaishi maisha ya shida na masimango mpaka watoyo wanachanganyikiwa wanakuwa watukutu kwa maisha, mama kama hawa Mungu anawaona. Lakini huyu mama nampa nishani ya dhahabu na mwisho wake atakuwa mtu maisha ya kuwafariji na watoto wake. Mama big up.

  • @samirmswahili
    @samirmswahili Před rokem +1

    Dah inasikitisha sana kua umri huu mdada wajawai kutumia 😢 polen sana mungu akufanyie wepec

  • @TheMandela21
    @TheMandela21 Před rokem +2

    Stories nzuri I'll mtangazaji hafai

  • @Allybinamour
    @Allybinamour Před rokem +2

    Hakika inaskitisha sana kwa wanaume wenye roho ngum kama uyo baba wa huyo msichana ila serikali ni vizur kumsaidia.big up ayo

  • @Tiner_cakes
    @Tiner_cakes Před rokem

    Jamn wajina! Naitwa Betty pia i'm touched with y'r story!😢

  • @TALLUBOY
    @TALLUBOY Před rokem +1

    Dogo soma sana
    Kwa uwezo wa allah
    Utafanikiwa tu kwa uwezo
    Wake allah Aamen
    Uyu baba ni wa OVYO SANA
    TENA SANA NA SIYO BABA BORA

  • @joslinchuwa1298
    @joslinchuwa1298 Před rokem +3

    Hongera mdogo wangu Mungu akutangulie mwandishi naomba no ya mama wa binti naweze kumsaidia chochote

  • @victoriasamaga8429
    @victoriasamaga8429 Před rokem +2

    Duuh Mungu aendelee kuwatunza na kuwapigania kwenye magumu yenu yote❤

  • @marryzubery2497
    @marryzubery2497 Před rokem +5

    Iyo mbwa ipo kitengo gani, ifukuzwe ata kazi nayenyewe

  • @joycekaguo8476
    @joycekaguo8476 Před rokem +8

    Nataman nilie kwa kwel

  • @marcelinemumbee5911
    @marcelinemumbee5911 Před rokem

    Hongera sana wewe ni jembe, Mwenyezi Mungu akuongoze

  • @agnessmduma7581
    @agnessmduma7581 Před rokem +1

    Mama ni Mungu wa pili hawezi kuwaacha watoto wake atahakikisha anapambana kwaajili ya watoto wake