Hongera sana Betty,Mwenye enzi mungu akusimamie. Nitoe tu Msisitizo kwa shule zinazojitangaza kibiashara,zitumie nafasi hii kumpa nafasi huyu binti aendelee na masomo yake ya advance maana ANAJITAMBUA
Kuna rafiki yangu anasemaga nipo singo kwa sababu sibembelezi wanawake. Kupitia huyu mtoto naweza kusema mwanamke mwenye akili unamjua kwa namna anavyoongea na anavyojibu unachomuuliza. Hongera sana Dogo unastahili baraka unazopokea.
Hongera Sana Mjuu wangu, umenifariji sana. Wewe ni dhahabu,, Mungu anaenda kukuinua zaidi ya Uwazavyo. Nakumbea Mungu akupekeke Viwango Vikubwa na vyakushangaza ili Shetani na kazi zake ashangae na kukalia Kiuno kwa kushindwa kwake. Mungu awatinze kwa Neema yake.
Hongera sana Betty👏 kwa ufaulu mzuri.Binti anaonekana ni mwenye nidhamu,adabu na anajituma. Mungu amsaidie atimize malengo yake na ndoto zake ili aje aisaidie familia yake. Huyo baba anahitaji maombi sana na wanasaikolojia wa kumshauri manake si akili ya kawaida kutosaidia familia yako hata kama ana mke mwingine.
Nimefurahi sana Sana sanaaa Safiiii sanaa 👏 WeWe ni CHAMPION 💪💪💪jamani! MUNGU WETU SOTE, ANAPONYA KWA MOTO, ANATIBU kwa KISU ANATUMIA MATATIZO YETU KUTUBARIKI, KUTUINUA NA AnAtukutaanisha na Wakuu juu..
Mwenyezi Mungu akutangulie ktk masomo yako ya High School na hatimaye Chuo Kikuu uje uisaidie familia yako(Mama na Wadogo zako). Mshukuru sana Mungu kwa uwezo aliokupa na mtegemee yeye ktk maisha yako yote usimwache. Utakuja kuwa mtu mkubwa sana. Na msamehe Baba yako usiwe na chuki naye. Muombee Mungu atambadilisha. Kila la kheri Binti yetu. Ningejua namba ya mama yako ningechangia kidogo nilichonacho kikusaidie.
Hongera sana Betty, Mungu akuwezeshe utimize ndogo zako. Ninaamini utafanikiwa kwenye maisha yako. Pia nampa pongezi Mama Betty kwa kuwapambania watoto wake.
Yeye ndiye Mũngũ Buana ✓Mungu wa wanaũme ✓Mungu wa yatima ✓mfariji wa wanyonge ✓mzee wa siku ✓Mungu asiyependelea ✓YEHEVA SHAMA ✓YEHOVA NISI ✓YEHOVA RAVA ✓YEEHOVA ADONAI ✓ELISHADAI ✓MWAMBA IMARA Daima utabaki kuwa Mũngũ,heshima na Utukufu ni zako,
Baba mwema mtakatifu Kristo Yesu uishie milele wema wako na fadhili zako ziihudumie familia hii kwa kuwainua watu wakuipa mkono wa ushirika, Mbarikiwe sana Millard - Ayo mmekuwa mawakili wema basi nitafanya kitu kwa hiyo familia.
Inapendeza tufundishane kwa mkazo kutendeana mema kama neno linavyotuagiza kuuanzia ngazi ya utoto,wazazi ,walezi ,ndugu kutelekeza watoto ni tabia ipo ,c wanaona Hana kitu ila akibarikiwa Kila mtu atadai ni ndugu..
Hongera sana mwanangu. Ayo mtupatie no ya simu. Na huyo baba subirini watoto wafanikiwe. Ataanza kudai matunzo na asipopewa anadai anawalaaani. Jamani mnisaidie mwenzenu hiyo laana itashika
Hongera Saaana binti na pia pole kw magumu uliyopitia naamin Mwenyezi Mungu atakufungulia njia nzur maishani mwenu endlea kupambnia ndoto zako Amin zitatimia nikutakie kila lakherufanikiwe Amen
Chanzo ni nini mpaka baba anamfukuza mama Kwan huyo baba nikichaa mbona hakumfukuza toka mwanzo na je baada ya kufukuzwa nyumban mama alichukua hatua gani za kisheria ? Ila wamama wanapandikiza sana ubaya Kwa watoto pasipo kufuata ukweli mm nimtakie Kila lakheli mungu atamsaidia ila ugomvi wa wazazi usiuingilie Wala usipandikizwe chuki Kwa kuambiwa baba yako mbaya chunguza umakin.
mh da inauma kweli 😭😭😭 mm Kama mm choz limedondoka mdogo wangu akili unazo soma mm nilikuwa natoka na mama yangu kwetu siku za soko jumanne na ijumaa mama ananiamsha saa 10 usiku nabeba mzigo na mama Hadi sokon tuseme kuanzia kinondoni Hadi korogwe ya kimala wa miguu halafu narudi na navaa naenda shule mm nimeishia from two lkn baba yupo wewe akili unazo pambana mungu akusaidie ndogo wangu Sina chochot lkn naomba namba nikusaidie 25000 asant usilie lkn pambana
Pole sana bnt ,mama na familia kw ujumla,hongera sana bnt maana vmbunga vyote na tufani havijakupotezea baharini,endelea kujipa moyo mkuu,ulikotoks kulkuw gza zaid uendko angalau mapambazuko onekana.Jpo mzaz Hana upendo nanyi ila anayohoja ya kujbia km c mbele za wanadam bc yke yy ahukimuy kw haki.Jipe moyo mkuu,usijihukumu Wala kutosamehe,jilazimishe kufuata akili yle yaliyokuumiza hasa,jitahd kuvtafakar vle vtu vdg vlivyowah kukupa faraja wkt WA machoz yko! Mungu kibariki ht Dawa ya meno takutumia.Japo n heri ukateseka Hali mzaz kafa kuliko yko hai tna anamwagilia moyo kila uchao. Jpo htuwezjua Ile nguv imshikiayo upnde wa2 na kumpumbaza asahau km lishkuw baba hpo kwnza,maana ht kichwa akirukw akili mkinyang'anya mtoto akitulia hukumbuka mwanae na humdai,paka na mbwa nao hvyohvyo kukiwa mvua/ jua huwahamisha watoto wke ht eneo salama,chakula kikiwa kdg humtengea mwanae kwnz ksha yy hula mabak lkn Leo mwanadam anazdiw akili na mnyama amfugaye!!?WANADAM ,SIK Y HUKUM ITAKUW N SIK YA UTIISHO MKUU Kwann twakoleza ghadhab ya Mungu kzembe km hv?
Mtoto huyu mungu amempa neema kubwa yani anaongea kwa vituwo alafu utadhani kama nimtoto watajiri tabasamu yake inaonesha jinsi gani anavyo jiamini na kulidhika kwa vichache anavyo vimiliki
Akuna kama MAMA Mungu ampumzishe kwa amani MAMA angu😭😭😭😭😭Hongera sana MAMA kwa kuwapambania watoto ipo siku utakula matunda yako uliyoyapanda endelea kupambana 🙏🙏Hongera mtoto mzuri Mungu azidi kukuongoza ufike mbali 💖
Umesema vizuri kabisa,akiwa ambassador itamsaidia na ujumbe utafika vizuri kwa vijana. Sioni haja ya makumpuni ya taulo za kike kutumia watu wenye pesa badala yake wawatumie mabinti kama hawa.
Be blessed friend ❤....at every difficult road there's good and fine destination.... At always life is how ue handle plan B....be blessed more and moreee❤❤❤
Hakika hakuna kinachoshindikana kwa Mungu,big up kwa mama na akina mama wote kwa ujasiri mnaokua nao kupambania watoto wenu,hongeraa Sana mdogo wangu Mungu wa mbinguni atafungua milango ya Baraka bzaidi mpaka dunia ishangae
Hongera sana mwanangu mana wewe ni nwanangu mana mwanangu nime mchelewesha shule wewe 2006 wa kwangu elufu 2004 kumbe na wa kwangu ange maliza kumbe umasikini sikilema ninahakika hata wa kwangu atafika huko🤲🤲 mungu nisaidie
Hongera sana mwanangu mtihani huu mgumu sana umeupitia Moyo umeniumaaa sana sana Mungu atakuvusha ye tu ndo kimbilio letu Utapata Kilichoboraa kabisàa...
Nimeumia sana,bety mwanangu unaakili,mtegemee Mungu atakusaidia,mimi ni baba ninawatoto sita,mama yao alinikimbia kwa changamoto za dhiki ya maisha magumu na bahati mbaya wiki aliyoondoka mama yao wiki iliyofata nikapata ajali mbaya sana nnikakaa hospital wiki mbili,mama yao alipigiwa simu mpaka leo hakuwahi kukanyaga,nimetoka hospital baada ya mwezi nikapata stock ya miguu na mikono mpaka sasa ninaumwa,nina binti yangu kamaliza form four mwaka jana,amefaulu kwenda kidato cha tano,amepangiwa chato mkoani geita,nipo nalia tu,na bahati mbaya wakati wa shida hata ndg huwaoni wakiona simu yangu wanajua nataka kuomba pesa,lakini napambana sina kazi yakueleweka maisha ni magumu,lakini bado hayupo wakuzidi wanangu thamani yao,mimi ndie baba yao,najua leo nina nguvu kesho zitaisha wanangu ndio nguvu zangu kesho ndio miguu yangu na mikono yangu kesho na ndio macho yangu kesho,chonde chonde wazazi wenzangu hasa wanaume wenzangu,ugomvi wa mke na mume usisababishe watoto waishi kama mbwa wasio na mwangalizi,baba mzazi unawafukuza wanao,unawavuruta nakuwatupa,kesho yako unajua itakuwaje,wewe baba bety ludisha moyo wako nyuma hiyo ni damu yako,wasaidie wasomeshe,Mungu kakupa watoto wenye akili sana,inawezekana kuna sehemu wanaungana na mama yao kukukosea maana wamama nao wana shida zao abda anawapandia maneno mabaya hawakuheshimu maana sio lahisi baba afukuze mke na watoto wote kutakuwa kuna shida hapo,lakini pamoja na yote wahurumie wanao waite uwatangazie msamaha maana kwa maongezi ya huyo binti betty yanaonyesha anauchungu sana na baba yake na kinyongo kikubwa sana,sidhani kama kesho atakuja kumsaidia baba yake,mzee mwenzangu wahi mapema kuondoa hilo bomu ambalo kesho litakulipukia mwenyewe,acha hasira,mimi nakomaa na wanangu wote,naomba msaada kwa marafiki na wapendwa ninacho pata ninawahemelea chakula na mahitaji madogo madogo,napambana sana na ninaumwa tangu mwezi watatu mwaka huu ndipo naanza kutembea kidogo kidogo,
Hongera sana Binti Mwenyezi akupe hitaji la moyo wako, ila wanaume sijui wamelogwa na nani , mtu unasikia mtoto amefaulu lkn hata habari hana , sasa mambo kama haya mtoto akifanikiwa akakususa utamlaumu nani, hawa ndo wazazi wanaokimbilia kutoa laana, matokeo yake inawarudia wenyewe wanaishia kuchetuka mitaani , h
Mungu aliyemsaidia akafaulu katika mazingira hayo, ndiye Mungu atakaye mvusha katika elimu yake ninachokiamini Mungu atatoa watu wakumshika mkono, pia wanawake wajifunze kujitegemea kufanya kazi hata kama mume wake ana kazi nzuri ili likitokea kama lilompata huyo mama aweze kupambana nakuwahudumia wanae,Mungu ampiganie huyo mama na kumwezesha katika shughuli zake
Mungu mkuu Aangalii Makopo. Anaangalia haja ya makazi wake na kilio chake. Nawambia kila wakati mtegemeeni MUNGU MKUU SIKU ZOTE NA KWA YOTE NAYE ATAWASHIKA MKONO NA KUWAVUA AIBU YENU. BARIKIWA MTOTO NA MUNGU WETU AWAPE NEEMA YAKE. AMEN.
Mungu amuachi mja wake siku zote na hipo siku atakuja kuwatafuta kipindi hicho mshafanikiwa soma mdogo wangu na Allha akusimamie maisha ya kupambana mama tu pekeake arafu duni yanauma wengi ndo tumepitia uko Allha marehemu mama angu 😢 alipambana sana
Kwanza nimelia,Mungu aliyewavusha Wana wa Israel aivushe familia hii ktk mapito magumu, Betty apambane lipo jambo jema kwake,mabinti wengne wajifunze ujasiri na kujitambua kwa binti huyu
Jamani wababa wababa nawachukiya sana mimi nimepitiya hi hali nahangaika sana nasomesha wanagu ila mungu ni mwema sana na napata riziki yangu sana yani sijawahi kosa hata siku moja mungu endeleya kubariki kina mama wote na huyu binti mungu mfunguliye afanikiwe zaidi
Masha Allah mtt mzuri mungu àkulinde na akuongoze mnooo ila jmn uchàwi upoo aminini huyo baba karogwa wallah make sio kawaida kutelekeza familia kama ivyo
Natamani angekua binti yangu, maana ni binti mwelevu. Apambane asibweteke, mungu amemwandalia mema mbeleni. Wako watoto wanaenda shule kwa magari, lakini matokeo yao mabovu. Kwa utafiti wangu, mwanamke aliewazaa familia ya binti huyu ndio chanzo cha vichwa vyao. Madini matupu! Maana wangechukua kwa baba yao! Watoto wote wangekua vichwa maji kama yule wa pandahill.
Mama huyu namjengea mnara wa dhahabu. Wewe ni mama hasa. Kuna wamama wana baba na mama na baba anapenda watoto wake. Lakini mama anatoka nyumbani na watoto anakwenda mbali akifika huko anaanzisha maisha na watoto anawaoangisha kwa ndugu zake. Watoto wanaishi maisha ya shida na masimango mpaka watoyo wanachanganyikiwa wanakuwa watukutu kwa maisha, mama kama hawa Mungu anawaona. Lakini huyu mama nampa nishani ya dhahabu na mwisho wake atakuwa mtu maisha ya kuwafariji na watoto wake. Mama big up.
Ase MUNGU atabaki kuwa MUNGU, jinsi anavyojua maisha ya watu lakini anaturehemu wote. Naamini njia Itapatikana kwa hii Familia. 🙏🏼
Ameen
Kinachoniuma akifauru kazi
Amina
Amiin Mungu ni mwema
@@AshaMakame-zg9xiee2😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😆
Familia yao wote vipaji wanaonekana Maa'shaallah Allah amsaidie
R.I.P MOM😢
Hakuna upendo wa kweli isipokuwa wa MAMA
Mama anaokota makopo mtoto asome dah😢
Mlio na mama mjivunie n muwapende mama zenu
Aminaa
Kweli mama tunae namshukuru Mungu lkn mmmmmh!
R.I.P MAMA .
@@RoseSindimbona kuguna npenz
Kweli kabisa hakuna Kama mama sisi tuliopoteza mama enzi hizo tuliteseka sana 😢
Huyu binti ni muombaji sanaaa sauti yake ipo na fire 🔥🔥🔥
Yuko na upako wa Hali ya juuu
Amina
❤
Woooh! Huyu Baba anasubiria huruma za fainali za uzeeni! Mungu ataiinua hii familia tu
Akizeeka ndio atawatafuta
Ashalamba joka huyo mzeee yaan atabaki nazo mkononi mchezo ushaisha
Hongera sana Betty,Mwenye enzi mungu akusimamie.
Nitoe tu Msisitizo kwa shule zinazojitangaza kibiashara,zitumie nafasi hii kumpa nafasi huyu binti aendelee na masomo yake ya advance maana ANAJITAMBUA
Najikuta nataka kulia mm 😢😢😢mungu akutangulie msg wangu 😞😭😭😭 utafika mbaliii mungu yupo
Kuna rafiki yangu anasemaga nipo singo kwa sababu sibembelezi wanawake. Kupitia huyu mtoto naweza kusema mwanamke mwenye akili unamjua kwa namna anavyoongea na anavyojibu unachomuuliza. Hongera sana Dogo unastahili baraka unazopokea.
Hongera Sana Mjuu wangu, umenifariji sana.
Wewe ni dhahabu,, Mungu anaenda kukuinua zaidi ya Uwazavyo. Nakumbea Mungu akupekeke Viwango Vikubwa na vyakushangaza ili Shetani na kazi zake ashangae na kukalia Kiuno kwa kushindwa kwake.
Mungu awatinze kwa Neema yake.
Hongera sana Betty👏 kwa ufaulu mzuri.Binti anaonekana ni mwenye nidhamu,adabu na anajituma. Mungu amsaidie atimize malengo yake na ndoto zake ili aje aisaidie familia yake. Huyo baba anahitaji maombi sana na wanasaikolojia wa kumshauri manake si akili ya kawaida kutosaidia familia yako hata kama ana mke mwingine.
Mungu watetee hawa Watoto, wainue, washinde zaidi ya kushinda kwa utukufu wa jina lako! Amen!
Daaaah huyu mama yao naiona kesho yake nzuri sana maana watoto wote wanaakili 🙏🙏🙏mungu atakusimamia pia binti
Nimefurahi sana Sana sanaaa Safiiii sanaa 👏 WeWe ni CHAMPION 💪💪💪jamani! MUNGU WETU SOTE, ANAPONYA KWA MOTO, ANATIBU kwa KISU ANATUMIA MATATIZO YETU KUTUBARIKI, KUTUINUA NA AnAtukutaanisha na Wakuu juu..
Yaani huyu anaakili ya darasani na yakimaisha,ongea yake tu she look very composed,go girl 🔥🙏
Saaana ,,,,,
Watu wanaopitia magumu kama haya wengi Kwa uwezo wa mungu huwa wanafanikiwa sana na utafanikiwa dada mungu yupo pole sana
Mwenyezi Mungu akutangulie ktk masomo yako ya High School na hatimaye Chuo Kikuu uje uisaidie familia yako(Mama na Wadogo zako). Mshukuru sana Mungu kwa uwezo aliokupa na mtegemee yeye ktk maisha yako yote usimwache. Utakuja kuwa mtu mkubwa sana. Na msamehe Baba yako usiwe na chuki naye. Muombee Mungu atambadilisha. Kila la kheri Binti yetu. Ningejua namba ya mama yako ningechangia kidogo nilichonacho kikusaidie.
No zipo hapo chini
Bwana Yesu asifiwe Mungu awabariki ninyi na mamaenu Baba Mungu amsamehe Airudie family
Ww ni unanmoyo wa ajabu wengine wangeanza kumlaani baba japo anastahili hilo cha muhimu ni kumuombea kwa Mungu airudie family
Hongera sana Betty, Mungu akuwezeshe utimize ndogo zako. Ninaamini utafanikiwa kwenye maisha yako. Pia nampa pongezi Mama Betty kwa kuwapambania watoto wake.
Mzee wao atakuja kujuta aisee
Yaani watoto wote ni magenious halafu unawafukuza
She is so strong, hata anavyoongea kweli unaiona ndani yake.
Yaan kweli genius huyu mtoto maana maongezi yake yametulia sana, Mungu awatunze kwakweli
Zidi Sana ktk Imani zidi ktk kumtegemea Mungu
Damu ya Yesu iwafunike, mkono wa Mungu uliohai uwape kushinda dhiki daima
Yeye ndiye Mũngũ Buana
✓Mungu wa wanaũme
✓Mungu wa yatima
✓mfariji wa wanyonge
✓mzee wa siku
✓Mungu asiyependelea
✓YEHEVA SHAMA
✓YEHOVA NISI
✓YEHOVA RAVA
✓YEEHOVA ADONAI
✓ELISHADAI
✓MWAMBA IMARA
Daima utabaki kuwa Mũngũ,heshima na Utukufu ni zako,
Halafu mtoto akipata Mkwanja Baba mbio na kusema huyu mwanangu, hongera zake aisee.
Umeona yaani
@@zulfahussein6784 Yah inatia huzuni, naomba nisifanye huo ujinga.
Na mtoto akikazia utaskia oooh mtoto yule analaana
Anasimamisha kbs mishipa hy mwanangu
@@lastkinglastking3326 yaani acha tu wazazi wanatowa laana hila wanajisahau kabisa
Ww baba wa mbinguni naomba sana usiwache hawa watoto maisha yao ni ww kwa kila kitu..
Baba mwema mtakatifu Kristo Yesu uishie milele wema wako na fadhili zako ziihudumie familia hii kwa kuwainua watu wakuipa mkono wa ushirika, Mbarikiwe sana Millard - Ayo mmekuwa mawakili wema basi nitafanya kitu kwa hiyo familia.
Inapendeza tufundishane kwa mkazo kutendeana mema kama neno linavyotuagiza kuuanzia ngazi ya utoto,wazazi ,walezi ,ndugu kutelekeza watoto ni tabia ipo ,c wanaona Hana kitu ila akibarikiwa Kila mtu atadai ni ndugu..
Hongera sana mwanangu. Ayo mtupatie no ya simu. Na huyo baba subirini watoto wafanikiwe. Ataanza kudai matunzo na asipopewa anadai anawalaaani. Jamani mnisaidie mwenzenu hiyo laana itashika
Haishiki
Nimpe hongera anajua kujieleza na mungu azidi kuwa nae
Huyu binti ana akili mnoo,Mungu ampatie hitaji la moyo wake katika Maisha
Mtoto anajielewa sana hongera sana binti Mungu akusimamie.
Sis wenyew tunaish maisha magum yan hapo ni pazur walah lkn Mungu ni mwema mdg wng kapata one ya6
Mungu ni mwema siku zote one day maisha yatakuwa mazuri
Hongera Saaana binti na pia pole kw magumu uliyopitia naamin Mwenyezi Mungu atakufungulia njia nzur maishani mwenu endlea kupambnia ndoto zako Amin zitatimia nikutakie kila lakherufanikiwe Amen
MUNGU huyu nimkuu sana🙏hongera sana mrembo wangu ❤MUNGU akutunze uje kusaidia wadogo zako🙏
God bless you girl your fantastic genius... TO MY SIDE YOU GET 3 STARS LOVELY GENIUS I LIKE IT
Very intelligent familia, mungu awahifadhi wake wamfae mama yao
Chanzo ni nini mpaka baba anamfukuza mama Kwan huyo baba nikichaa mbona hakumfukuza toka mwanzo na je baada ya kufukuzwa nyumban mama alichukua hatua gani za kisheria ? Ila wamama wanapandikiza sana ubaya Kwa watoto pasipo kufuata ukweli mm nimtakie Kila lakheli mungu atamsaidia ila ugomvi wa wazazi usiuingilie Wala usipandikizwe chuki Kwa kuambiwa baba yako mbaya chunguza umakin.
mh da inauma kweli 😭😭😭 mm Kama mm choz limedondoka mdogo wangu akili unazo soma mm nilikuwa natoka na mama yangu kwetu siku za soko jumanne na ijumaa mama ananiamsha saa 10 usiku nabeba mzigo na mama Hadi sokon tuseme kuanzia kinondoni Hadi korogwe ya kimala wa miguu halafu narudi na navaa naenda shule mm nimeishia from two lkn baba yupo wewe akili unazo pambana mungu akusaidie ndogo wangu Sina chochot lkn naomba namba nikusaidie 25000 asant usilie lkn pambana
Namba hizo zinapita juu
Mungu ni mkubwa Sana
Pole
M2mie kweli xaxa!
mm jamn sio mtu wa mitandao San lkn Hadi leo sikufanikiwa kupata namba yao Kama Kuna mtu yoyote mwenye namba zao tafadhar naomba anisaidie
Hongera sana Betty. Mungu atafanya njia utafikia ndoto zako. Mungu akubariki mama Betty kwa kusimama na familia yako
Yeah sisi ndio wale tunaopiganiwa na bwana.❤🎉
Maashallah mwenyezi mungu akujalie kila lakheli yaarabi pamoja na Mama yako na ndugu zako yaarabi ameen 🙏🙏🙏🙏
Pole sana bnt ,mama na familia kw ujumla,hongera sana bnt maana vmbunga vyote na tufani havijakupotezea baharini,endelea kujipa moyo mkuu,ulikotoks kulkuw gza zaid uendko angalau mapambazuko onekana.Jpo mzaz Hana upendo nanyi ila anayohoja ya kujbia km c mbele za wanadam bc yke yy ahukimuy kw haki.Jipe moyo mkuu,usijihukumu Wala kutosamehe,jilazimishe kufuata akili yle yaliyokuumiza hasa,jitahd kuvtafakar vle vtu vdg vlivyowah kukupa faraja wkt WA machoz yko!
Mungu kibariki ht Dawa ya meno takutumia.Japo n heri ukateseka Hali mzaz kafa kuliko yko hai tna anamwagilia moyo kila uchao.
Jpo htuwezjua Ile nguv imshikiayo upnde wa2 na kumpumbaza asahau km lishkuw baba hpo kwnza,maana ht kichwa akirukw akili mkinyang'anya mtoto akitulia hukumbuka mwanae na humdai,paka na mbwa nao hvyohvyo kukiwa mvua/ jua huwahamisha watoto wke ht eneo salama,chakula kikiwa kdg humtengea mwanae kwnz ksha yy hula mabak lkn Leo mwanadam anazdiw akili na mnyama amfugaye!!?WANADAM ,SIK Y HUKUM ITAKUW N SIK YA UTIISHO MKUU Kwann twakoleza ghadhab ya Mungu kzembe km hv?
MUNGU awabaliki hii familia mungu amewabariki sanaaaaaaa.naamini mungu yupo pamoja na nyie mama apewe mauwa yake🌹🌹🌹
Best interview ever Millard
God Bless you young Girl your super genius and talented
Mtoto huyu mungu amempa neema kubwa yani anaongea kwa vituwo alafu utadhani kama nimtoto watajiri tabasamu yake inaonesha jinsi gani anavyo jiamini na kulidhika kwa vichache anavyo vimiliki
She is cute
Akuna kama MAMA Mungu ampumzishe kwa amani MAMA angu😭😭😭😭😭Hongera sana MAMA kwa kuwapambania watoto ipo siku utakula matunda yako uliyoyapanda endelea kupambana 🙏🙏Hongera mtoto mzuri Mungu azidi kukuongoza ufike mbali 💖
Pole
😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭😭
Da huyu Baba serekali imchukulie hatua na huyu mtoto apewe hata u Ambassador wa taulo za kike ili aweze kukimu mahitaji yake dah so painful story 😫😫😭😭
Umesema vizuri kabisa,akiwa ambassador itamsaidia na ujumbe utafika vizuri kwa vijana.
Sioni haja ya makumpuni ya taulo za kike kutumia watu wenye pesa badala yake wawatumie mabinti kama hawa.
Be blessed friend ❤....at every difficult road there's good and fine destination....
At always life is how ue handle plan B....be blessed more and moreee❤❤❤
Hakika hakuna kinachoshindikana kwa Mungu,big up kwa mama na akina mama wote kwa ujasiri mnaokua nao kupambania watoto wenu,hongeraa Sana mdogo wangu Mungu wa mbinguni atafungua milango ya Baraka bzaidi mpaka dunia ishangae
Hongera binti
Hongera zenu mungu ni mwema sana atawafanyia njia pasipo njia mama utakuja kuishi kama mfalme pambania watoto wako.
Hongera zako mdogo wangu,Mungu amtupi mja wake ipo siku.
Karibu moshi mtoto wangu. Mawezi ni shule Moja nzuri sana mwanangu tunakuombes sana wewe na ndugu zako Mwenyezi Mungu awatangulie
Hongera sana mwanangu mana wewe ni nwanangu mana mwanangu nime mchelewesha shule wewe 2006 wa kwangu elufu 2004 kumbe na wa kwangu ange maliza kumbe umasikini sikilema ninahakika hata wa kwangu atafika huko🤲🤲 mungu nisaidie
Muleba Yatima wapo Wamepata Division 1.7 wakilelewa Mama akiuza Nyanya na Kabichi. Huyo Hongera zake
Hata huyu 1.14 kajitahidi san hongera yake
Hongera Sana Binti, Mungu aendelee kukuwezesha na kukutunza.
Hongera sana mwanangu mtihani huu mgumu sana umeupitia
Moyo umeniumaaa sana sana
Mungu atakuvusha ye tu ndo kimbilio letu
Utapata Kilichoboraa kabisàa...
Mungu Mwenyezi Atawafikisha Juu zaidi. Mpendeni Baba, Mungu Atatenda na atawatafuta katika JINA la Yesu Kristo wa Nazareth Aliye Hai.
Beauty with Brain, may Almighty God open the way for you,so that one day u can be a blessing to your family.
Oh.ananikumbusha mbali kweli,bety jipe moyo mkuu,umefika hatua nzuri usikate tamaa . Mungu akujalie ufikie malengo yako.
Hongera sana Ufike mbali zaidi na umkumbuke mama yako,ila wababa Mungu anawaona
Mungu pekee ndiye Mfariji ipo siku Familia hii jtainuliwa na Baba aliyewatelekeza atawatafuta
Hongera sana mdogo wangu..Mungu azidi kukupambania.
Mungu atakufanyia wepesi mdogo wng betty kila kitu kitakua sawa mungu yupo nawe kila hatua ya maisha yako utafka unapo pataka.
Mungu, atabaki kuwa Mungu. Mungu aendelee kukuinua, nenda na kasi hiyohiyo. Hongera sana mjukuu wangu
Duuuuu mungu akulinde katika maisha yako , jirinde na vishawishi usidanganyike ukasahau ulikotoka , pambana mdogo wangu
Pambana mdogo wangu maisha magumu ndo huwa yanawapa watu uchungu na kupambana zaidi 🙏🙏
Kweli dada 😢😢 dah inauma sana yaan wanaume sisi kuiona pepo sizani 😢😢
Elimu hapa kwenu haina kazi mpz. Basi tu. Ningeweza mm ningemshauri vya kwenda😂 5 na 6 angeacha aende hata kozi
Uko sawa maana tukikumbuka tuyopitia tunapigania ili tubadilishe hali zetu
Hongera
Hatary jmn mtangazaji
Wa Baba Mola anawaona na malipo ni hapa hapa duniani
Uyu baba sio akili yake kashalogwa uyo😢😢
Nimeumia sana,bety mwanangu unaakili,mtegemee Mungu atakusaidia,mimi ni baba ninawatoto sita,mama yao alinikimbia kwa changamoto za dhiki ya maisha magumu na bahati mbaya wiki aliyoondoka mama yao wiki iliyofata nikapata ajali mbaya sana nnikakaa hospital wiki mbili,mama yao alipigiwa simu mpaka leo hakuwahi kukanyaga,nimetoka hospital baada ya mwezi nikapata stock ya miguu na mikono mpaka sasa ninaumwa,nina binti yangu kamaliza form four mwaka jana,amefaulu kwenda kidato cha tano,amepangiwa chato mkoani geita,nipo nalia tu,na bahati mbaya wakati wa shida hata ndg huwaoni wakiona simu yangu wanajua nataka kuomba pesa,lakini napambana sina kazi yakueleweka maisha ni magumu,lakini bado hayupo wakuzidi wanangu thamani yao,mimi ndie baba yao,najua leo nina nguvu kesho zitaisha wanangu ndio nguvu zangu kesho ndio miguu yangu na mikono yangu kesho na ndio macho yangu kesho,chonde chonde wazazi wenzangu hasa wanaume wenzangu,ugomvi wa mke na mume usisababishe watoto waishi kama mbwa wasio na mwangalizi,baba mzazi unawafukuza wanao,unawavuruta nakuwatupa,kesho yako unajua itakuwaje,wewe baba bety ludisha moyo wako nyuma hiyo ni damu yako,wasaidie wasomeshe,Mungu kakupa watoto wenye akili sana,inawezekana kuna sehemu wanaungana na mama yao kukukosea maana wamama nao wana shida zao abda anawapandia maneno mabaya hawakuheshimu maana sio lahisi baba afukuze mke na watoto wote kutakuwa kuna shida hapo,lakini pamoja na yote wahurumie wanao waite uwatangazie msamaha maana kwa maongezi ya huyo binti betty yanaonyesha anauchungu sana na baba yake na kinyongo kikubwa sana,sidhani kama kesho atakuja kumsaidia baba yake,mzee mwenzangu wahi mapema kuondoa hilo bomu ambalo kesho litakulipukia mwenyewe,acha hasira,mimi nakomaa na wanangu wote,naomba msaada kwa marafiki na wapendwa ninacho pata ninawahemelea chakula na mahitaji madogo madogo,napambana sana na ninaumwa tangu mwezi watatu mwaka huu ndipo naanza kutembea kidogo kidogo,
Mungu ni mkuu anamsaidia yeyeto mwenye kumtumainia na juhudi hongera beti❤️
Hongera binti, wew utakuwa mtu mkubwa Sana baadae, mtangulizee mungu
Mungu bwana hana wa kufananishwa nae wallah
Hongera sana Binti Mwenyezi akupe hitaji la moyo wako, ila wanaume sijui wamelogwa na nani , mtu unasikia mtoto amefaulu lkn hata habari hana , sasa mambo kama haya mtoto akifanikiwa akakususa utamlaumu nani, hawa ndo wazazi wanaokimbilia kutoa laana, matokeo yake inawarudia wenyewe wanaishia kuchetuka mitaani , h
Mungu aliyemsaidia akafaulu katika mazingira hayo, ndiye Mungu atakaye mvusha katika elimu yake ninachokiamini Mungu atatoa watu wakumshika mkono, pia wanawake wajifunze kujitegemea kufanya kazi hata kama mume wake ana kazi nzuri ili likitokea kama lilompata huyo mama aweze kupambana nakuwahudumia wanae,Mungu ampiganie huyo mama na kumwezesha katika shughuli zake
Mungu mkuu Aangalii Makopo. Anaangalia haja ya makazi wake na kilio chake. Nawambia kila wakati mtegemeeni MUNGU MKUU SIKU ZOTE NA KWA YOTE NAYE ATAWASHIKA MKONO NA KUWAVUA AIBU YENU. BARIKIWA MTOTO NA MUNGU WETU AWAPE NEEMA YAKE. AMEN.
Karibu moshi mungu akutangulie kila hatua mdogo wangu
😭😭😭😭😭nmelia saaana betty mdogo wang MUNGU akuinue juu hata mimi nmeptia😭😭 kuwa na iman2
Mungu amuachi mja wake siku zote na hipo siku atakuja kuwatafuta kipindi hicho mshafanikiwa soma mdogo wangu na Allha akusimamie maisha ya kupambana mama tu pekeake arafu duni yanauma wengi ndo tumepitia uko Allha marehemu mama angu 😢 alipambana sana
Mungu akubariki bint, jinsi mungu alivyokusimamia, Nashauri kasome pcb au pcm mungu atakufikisha mbali sana
Kwanza nimelia,Mungu aliyewavusha Wana wa Israel aivushe familia hii ktk mapito magumu, Betty apambane lipo jambo jema kwake,mabinti wengne wajifunze ujasiri na kujitambua kwa binti huyu
Wakurya bwana baadhi yao ni shida
Jamani wababa wababa nawachukiya sana mimi nimepitiya hi hali nahangaika sana nasomesha wanagu ila mungu ni mwema sana na napata riziki yangu sana yani sijawahi kosa hata siku moja mungu endeleya kubariki kina mama wote na huyu binti mungu mfunguliye afanikiwe zaidi
Wala sio wababa wote huyu mzee haya huo ukuu wa maabara wamempatu lakini akili yake sisawa kabisa
Hafai uyo baba pole sana mtoto
Mwenyezi Mungu akupigianie
Masha Allah mtt mzuri mungu àkulinde na akuongoze mnooo ila jmn uchàwi upoo aminini huyo baba karogwa wallah make sio kawaida kutelekeza familia kama ivyo
Big up keep it up...usikate tamaa dear.
Hakika Mungu turehumu mama ni mama tuuu hakika pongez bety Bado Mungu yupo atakupigania usjal safar bd utavuka tuuu
Hongera sana bint yangu Mungu azidi kukuinua huyo baba ipo siku yake 1 tu
Huyu mama apewe ulizi pamoja na watoto tatizo ni nyumba ndogo naushirikina wa nyumba za nje..unavuruga wanaumme wengi mungu atawafungulia...
Natamani angekua binti yangu, maana ni binti mwelevu. Apambane asibweteke, mungu amemwandalia mema mbeleni. Wako watoto wanaenda shule kwa magari, lakini matokeo yao mabovu. Kwa utafiti wangu, mwanamke aliewazaa familia ya binti huyu ndio chanzo cha vichwa vyao. Madini matupu! Maana wangechukua kwa baba yao! Watoto wote wangekua vichwa maji kama yule wa pandahill.
Taula za kike muhimu maana chumba watu we give nyumba za kupanga hata yako kitambaa hakianikwi kwaupeni Hongera sasa Allah bless you
Mama huyu namjengea mnara wa dhahabu. Wewe ni mama hasa. Kuna wamama wana baba na mama na baba anapenda watoto wake. Lakini mama anatoka nyumbani na watoto anakwenda mbali akifika huko anaanzisha maisha na watoto anawaoangisha kwa ndugu zake. Watoto wanaishi maisha ya shida na masimango mpaka watoyo wanachanganyikiwa wanakuwa watukutu kwa maisha, mama kama hawa Mungu anawaona. Lakini huyu mama nampa nishani ya dhahabu na mwisho wake atakuwa mtu maisha ya kuwafariji na watoto wake. Mama big up.
Dah inasikitisha sana kua umri huu mdada wajawai kutumia 😢 polen sana mungu akufanyie wepec
Stories nzuri I'll mtangazaji hafai
Hakika inaskitisha sana kwa wanaume wenye roho ngum kama uyo baba wa huyo msichana ila serikali ni vizur kumsaidia.big up ayo
Jamn wajina! Naitwa Betty pia i'm touched with y'r story!😢
Dogo soma sana
Kwa uwezo wa allah
Utafanikiwa tu kwa uwezo
Wake allah Aamen
Uyu baba ni wa OVYO SANA
TENA SANA NA SIYO BABA BORA
Hongera mdogo wangu Mungu akutangulie mwandishi naomba no ya mama wa binti naweze kumsaidia chochote
Duuh Mungu aendelee kuwatunza na kuwapigania kwenye magumu yenu yote❤
Iyo mbwa ipo kitengo gani, ifukuzwe ata kazi nayenyewe
Nataman nilie kwa kwel
Hongera sana wewe ni jembe, Mwenyezi Mungu akuongoze
Mama ni Mungu wa pili hawezi kuwaacha watoto wake atahakikisha anapambana kwaajili ya watoto wake