Namtukuza Mungu kupitia baba huyu. Mungu wetu ni mkuu sana. Ulinzi wa Mungu juu ya familia yako usikupungukie. Namba zake za simu jamani ili tumchangieni kama alivyosema mdau aliotangulia kusema
DAAAH NIMEEGUSWA SANA !!KWELI MUNGU ANAUMBA WATU TOFAUTI SANA!! WENGINE WAFAGANYA HIVI WENGINE WANABAKA MTOTO WAKE NA KUCHINJA MKEWAKE!! GOD HAVE A ALOT OF MERCY
Hapana sio kwamba ni kwa vile ni mlemavu ila anavyoomba Mungu amjalie mwanaume kama huyo anamaanisha mwanaume mkweli,mwenye heshima na furaha ya kudumu kwenye ndoa kwakuwa unaweza mkawa na Hela ila Hamna furaha au mwanaume kuwa na moyo mzuri hvo
Wanaume wazuri Bado wapo jaman😢nimelia sanaaa ila dah real men Bado wapo Mungu atakulipa huwezi Amini kama jamaaa amefikisha miaka hamsini naaaaaaa huyo dada haonekani kamaa amezaa mara sabaa😭Mungu akuinue sana we mwanaumeee❤
Nakupenda kaka yangu. God bless U. Huyo jamaa aliyemtaka mkeo huo ni ubakaji. Kwa kuwa ni bubu tena mlevu hakuweza kufurukuta. Huyo mhalifu vipi askari wa huko mbona hamwajibiki mpaka Rais awahimize? Mkamateni mhalifu huyo ahukumiwe kwa kosa la ubakaji.
Nandhani huyo baba aliyemfumania alimbaka huyo mama, maana ni bubu, hata kupiga kelele hawezi na pia ana kilema cha mkono. Huyo mhalifu angekamatwa. Very sad
Kwanza ni mpongeze huyo baba mungu ampe maisha marefu hizo kazi anafanya kwa huku nje wanaume wengi ufanya,lakin kwa tamaduni za huko africa ndo kama hivyo wapo radhi waone mke anachechemea lakin still anafea jikoni na watoto.Asante kwa tv ya millard Ayo kwa kurusha hii habari i wish ifike mbali na this family ipate msaada kabisa,na natamani one day Millard watu kama hao ungekuwa wawafanyia vipindi kama vya maximum tv inamake sure mtu anapata msaada na pia inaletaga feedback kwa viewers hiyo uwapa moyo watu kuendelea kuchangia na kusaidia wengine.God bless all.
Mungu atàkulipa kwa wema wako kaka una roho ya kipekee ni zaidi ya mume umekuwa kama mzazi kwake tena mzazi mwenye upendo na huruma . Hata mungu aliagiza wanaume wakituoa waishi kwa wema na wake zao lakini wanashindwa juu ya uwezo walio nao
Ni Rasta wa kweli anaishi kiimani ni watu safi sana na ndio Watanzania wenye roho safi zaidi ! Peace be upon you Rastaman!
JAMANI NAOMBENI TUMCHANGIE HUYU BABA, Hata Elfu 1 ni pesa jamani Tuchange Please Nawaombeni Ndugu zangu🙏🙏🙏🙏🥲🥲🥲
Jambo jema
Kweli😢
Milardy angeptia comment uku tutor ht 5000 kutoa ni moyo sio utajiri🙏🙏😭🙇
Namba ipo hapo mwisho 08
Kabisa tunampataje? What a man
Mirllad uyu fanyeni mpango uyu baba hapewe tuzo jamani,, uyu ni zaidi ya mwanaume Bora duniani
Huyu ndiyo baba sasa, baba Bora Mwenyezi Mungu akuzidishie anastahili kusaidiwa huyu mkaka
Mwanaume huyu hapa congratulations my brother
Mwamba huyu hapa... Sasa wewe ndo mwanaume! Hongera sana baba
😀
Umenikumbusha Samofi mwamba huyu hapa ni huyu mwamba
Hongera sana baba umebarikiwa wewe ni mfano wa kuigwa Mungu akujaalie maisha marefu yenye kheri na baraka akufungulie milango ya mafanikio.
MiladAyo mm binasfi naomba huyu baba apewe Tunzo jamani ongea na dinamarios jamani huyu ni mume bora na baba bora wa mkuigwa
Sana jamani kwakuwa amekuwa mwanaume hodari yaan Mungu ampe maisha marefu na azidi kum'bariki kizazi chake jamani
Halfu ras ni Mburundi kiswahili tu 😂
Wakina Mama Bhn
Kabisaaaa
Sio TUNZO ni TUZO
Wanaume wenyew roho nzru wako jaman ❤❤anahitaji tunzo huyu baba walahi ....ya rabby nijalie mme mwema ❤❤
Akujaaalie mume mwema, ww umejitathmin? Sio akujaalie tu, unaomba mazur kumbe ww kujajiangalia.
@@ZanaatTv_Vlogs unanuchamba kama wanijua
@@ZanaatTv_Vlogs aamiin utampata In shaa ALLAH,mwaka huu huu
Mm mwenyew nashangaa vo kumuon huyu baba true love mung amzdishie
Hahaha hongera baba,tunahitaji wanaume zaidi kama wewe..wasiojali maneno ya watu na wanaothamini wake zao...mashaAllah
Sanaa Maashallah wallah ata mm mume wng Yuko hv Alhamdulillah jmn nampenda sana namuombea maisha marefu Hy rasi nae n mfano wa kuigwa Maashallah
@@momosaid6193 alhamdulillah habibty wangu amin
Namtukuza Mungu kupitia baba huyu. Mungu wetu ni mkuu sana. Ulinzi wa Mungu juu ya familia yako usikupungukie. Namba zake za simu jamani ili tumchangieni kama alivyosema mdau aliotangulia kusema
Tumsaidie apate makazi bora na watto wasome 😢😢
Kweli achangiwe afungue japo kiduka hapo nyumbani ili aweze kuwa jirani na nyumbani
Point 😢
DAAAH NIMEEGUSWA SANA !!KWELI MUNGU ANAUMBA WATU TOFAUTI SANA!!
WENGINE WAFAGANYA HIVI WENGINE WANABAKA MTOTO WAKE NA KUCHINJA MKEWAKE!!
GOD HAVE A ALOT OF MERCY
Hongera sana kaka MUNGU azidi kuwapa umoja na upendo huo
Tunaomba Serikari imsaidie awe mfano kwa wanaume wengine. wanaopenda ukatili kwa wanawake
Tumtagi mama Gwajima jamani huyu mwanaume apewe Tuzo
Mpk nalia uyu ndio mume anayetoka Kwa Mungu Sasa ,ATA ukifa huozi baba hakika wewe ndio "MZAZI"
Hongera kaka angu mungu apee baraka familia yako waje wakulee🤲🤲
True love never fail
Anahitaji msaada jamani ata nyumba tumjengee😊jamani 😊
Yaa
Hongela sana baba endelea kupenda family yako mungu yupo pamoja,naww💪❤️❤️😘
wazazi wako walikulea vizuri sana una ubinadamu na upendo
Very true
roho nzuri ni asili ya mtu nasi malezi
Mungu ibariki familia hii yenye upendo na amani uliopitiliza ❤❤❤
Allah azidi kumpa subra na moyo wa huruma, imekouwa comment nyingi sana ila tuangalie na hali ya mke ana mapungufu mwili hana budi kimsaidia
Ishi miaka mingi baba MWENYENZI MUNGU AKUBARIKI AKUPATIENI RIZIKI ZENU ZA KILA SIKU♥️♥️♥️🙏
MashaAllah Mwenyeez Mungu akusimamie Rasta uko vizuri ww ni mfano wa kuigwa anapambana kweli ww ni mwanaume jasiri na shujaa nikweli anahitaji msaada
Rasta never fail
ALLAH nijalie na mm mwanaume kama huyu japo kidogo awe na huruma na mm na mm nimuhurumie 🙏🙏🙏
Njooo kwangu mama ake ka hujapata me pia natamani nipate mwanamke mwenye huruma na upendo wa kweli ! Karibu nkupende 💞
Je na ww mlemavu
Huyu hana budi kumsaidia kwa Hali ya mkewe ilivo
Hapana sio kwamba ni kwa vile ni mlemavu ila anavyoomba Mungu amjalie mwanaume kama huyo anamaanisha mwanaume mkweli,mwenye heshima na furaha ya kudumu kwenye ndoa kwakuwa unaweza mkawa na Hela ila Hamna furaha au mwanaume kuwa na moyo mzuri hvo
Ivi huwa mnahuruma nyie hasa mkiwa mmekamilika kwa miili yenu huwa mnajionaga mmekamilika sana
Huwezi Amin dada anawatoto 7....MUNGU atubariki tuwe na mioyo kama hii tutakuwa baraka kwa watoto wetu.
Maishaallah wewe ni baba washoka❤ mungu akupe umri uwatizame family 👪 yako walah pepo uko nayo kipenzi mungu akupe nguvu zaidi
Wanaume wazuri Bado wapo jaman😢nimelia sanaaa ila dah real men Bado wapo Mungu atakulipa huwezi Amini kama jamaaa amefikisha miaka hamsini naaaaaaa huyo dada haonekani kamaa amezaa mara sabaa😭Mungu akuinue sana we mwanaumeee❤
Baraka za Mungu, zikawe Juu yako Father......
Wewe ni wa tofauti sana...!!!mno ,Tujifunze kupitia weww
This is a True love ❤
Huyu mwanaume alilelewa vizuri
Sanaaa
Jamani watanzania tunamsaidie hii Familie
Mungu wape maisha marefu
Hongera sana zaidi Sana Rasta kwa kumthamini mkeo pamoja na Family yako
Nakupenda kaka yangu. God bless U.
Huyo jamaa aliyemtaka mkeo huo ni ubakaji. Kwa kuwa ni bubu tena mlevu hakuweza kufurukuta. Huyo mhalifu vipi askari wa huko mbona hamwajibiki mpaka Rais awahimize? Mkamateni mhalifu huyo ahukumiwe kwa kosa la ubakaji.
Nandhani huyo baba aliyemfumania alimbaka huyo mama, maana ni bubu, hata kupiga kelele hawezi na pia ana kilema cha mkono. Huyo mhalifu angekamatwa. Very sad
kabisa rasta kwelii wee ni rasta mwamba mungu akupe maisha Millard Fanya mpango tumchangiee mwanaume bora wa mwakaa
Mashaallah
Mashallah Allah aipe nuru hii family 👪 mume washoka uyu ❤️
Angetoa namba tumchangie jamani
Namba imetolewa tumchangieni
@@user-jl3tl9nr7t what his number ❓ I lived in USA 🇺🇸
namba ipo
@@user-jl3tl9nr7t number ipo angalia vizuri maandishi mekundu yanapita
Mashaaallah mashaaallah Allah amtunze zaid
Yaani kaka ww mume wa pekee.
Mungu akupe riziki akulinde na akubariki sana sana
Barikiwa sana sana Baba
Mungu akulinde na familia❤
Kwanza ni mpongeze huyo baba mungu ampe maisha marefu hizo kazi anafanya kwa huku nje wanaume wengi ufanya,lakin kwa tamaduni za huko africa ndo kama hivyo wapo radhi waone mke anachechemea lakin still anafea jikoni na watoto.Asante kwa tv ya millard Ayo kwa kurusha hii habari i wish ifike mbali na this family ipate msaada kabisa,na natamani one day Millard watu kama hao ungekuwa wawafanyia vipindi kama vya maximum tv inamake sure mtu anapata msaada na pia inaletaga feedback kwa viewers hiyo uwapa moyo watu kuendelea kuchangia na kusaidia wengine.God bless all.
Mwenyezi mungu azidi kuwatuza watoto kumbe bado kwenye hii duniya wako wanaume wenye upendo
Mungu akubariki sana sana
True love ❤️ never fail
Baba bora mwenye Mano wa kuigwa Barikiwa sana Rasta man wa Mungu❤️❤️❤️….achangiwe jamani tumsaidie please!!
MashaaAllah 😢❤
Pole Sana na hongera Kwa ukarimu na utu ulio kua nao MUNGU awabariki sana😢
May God be with you, you are a unique man🤦
Mashaa Allah 😢😢😢😢😢😢Anspatikana wapi hii familia
Nimejikuta moyo unaniuma sana😢😢😢.Mwenyezi Mungu akubaliki sana 🙏🙏🙏
Mwenyezimngu Atakufunguliyaa in sha Allaah hakuna dhikii wadhiki baadaah ya dhiki farajii
Umebarikiwa kuliko wanaume wote. MUNGU akujalie maisha bora Na marefu yenye amani na Furaha yote.
Daah Huyu baba Mungu ambariki tuu 😢
Nikipata mme kama huyu nitashukuru Mungu sana
Nenda mars na elon
Kweli mwanaume uliyekuwa umebaki mbinguni Ni ww peke yako hongera baba
Mbona wapo ila panaitaji maombi sana KWa mungu
Mungu akubariki sana nakupenda ❤❤❤❤❤
Mungu awape maisha marefu , is true love
Wow🥰
Ndiyo maana Mimi nawapenda marasta♥️♥️
Hongera sana kwakuipenda familia yako
Yes Rasta
Saf sana baba bora Mungu akutunze kwaajili ya fam yako... Nngetaman mngeweka namba zake tumchangie hata ya soda
MashaAllah 😍
Hongera sana jirani. Mwenyezi Mungu akujaalie
Kuna watu wanaroho Chafu jamani kwenda kumzini mmke wa mwenzio kweli jamani duh pole kaka mungu atakulipia hapa hapa duniani amiin🙏🙏🙏
Mungu atàkulipa kwa wema wako kaka una roho ya kipekee ni zaidi ya mume umekuwa kama mzazi kwake tena mzazi mwenye upendo na huruma . Hata mungu aliagiza wanaume wakituoa waishi kwa wema na wake zao lakini wanashindwa juu ya uwezo walio nao
Sana na huyomzazi pengine vingemshinda
Tuna weza vzr tatizo nyie ndo ni watu wa kujisahau sana
@@amanimanase8798 kweli😂😂😂
Nimefurahi Sana kuona Kuna wanaume wanaweza kutoa SoMo kwa kwa kizazi Cha Leo kwamba upendo ni nguzo ya mke na mume
Mume bora wa mwaka🥰🥰🥰
mashaAllah
❤kweli
Zamzam vp
@@zamzamhassan2651 zamzam vp
@@franciskyombo9394 🤣🤣
Tunapaswa kumbereshea maisha
Nime penda sana kaka Rasta man una mpenda mungu ndomahna una ofu mungu akujalie amani na balaka telee ❤️💯💯💯💯💯💯💯💯🙏🙏🙏🙏
Mashallah, Mashallah dah😢
maa shaa Allah Allah awajaalie 🤗🤗😍😍
YES rastaman! Wewe mwanaume!👍
Mashaallah 🥰🥰
Wow this is love❤
Mungu ampe maisha marefu huyu baba
Nakuona rasi mwenyewe haunaga mbambamba wala ugaigai
God bless you our brother
❤
Mungu awape maisha marefu
Wew uliemuita mwenzako boya kwakumjal mkewe ambae n mlemavu nadhan tayal mungu amekuandalia pigo lako Yan unamuona boya unaakili kwel ww
Mungu awakuinue kwakutojari jamii inavyo kuchukulia Mimi naimani yote hayo unayo yafanya mungu anayaona ubarikiwe Sana
Mashallah haya ni mahaba ya dhati,mpaka nimetamani maisha yao
Hongera
Mungu ni mwema,
Mungu akulipe kher nyingi Ras
Hayo ndiyo mapenzi sasa maashaallah. Nani kama Lasta. ,,,,,,, umebakiww2
True love ..❤❤❤❤
Mashaallah hadi raha wallah kuna wanaume wapo jamani mungu nifanyie wepesi nami nipate mwanaume mwenye huruma NA utu kama huyu
Mwanaume kama wewe umebaki wewe tu hakika unamoyo mzuri sana mungu akupe maisha malefu❤❤
Mungu amsaidie azidi kumbaliki kwa Jambo zuri ra upendo kwa familia yake
🥺🥺🥺may God bless you with your family
Huyu baba anahitaji yuzo kama mfano bora wa kuigwa
Yuzo ndio nini teeeena
@@irenemwewe3566 Hahahaha!
Nimeguswa sana MUNGU awape maisha marefu🙏🙏
Hongera sana baba
Mungu akupe umri mref baba ulee familia yako
@Dina Marios uje uone Mwanaume wa nguvu hapa❤