MTOTO GENIUS WA DARASA LA 4, ANAFUNDISHA SAYANSI SEKONDARI "NAFUNDISHA WALIONIVUKA MADARASA NA UMRI"
Vložit
- čas přidán 15. 06. 2021
- Sharifat Hytham ni mtoto wa Kitanzania mwenye miaka 8 akiwa anasoma darasa la 4 katika Shule ya Yemen Dar es Salaam.
Ayo TV na Millardayo.com imekutana na Sharifati ambae ana uwezo wa hali ya juu unaowashangaza wengi ikiwemo kuwaombea watu Dua, kuwafundisha Wanafunzi wenzake waliomzidi umri na kidato.
Umegundua mtoto huyu anaimani sana ona anavyomtanguliza Mungu mbele kwa kila kitu jmn mpaka raha ,haki nimejifunza mengi mno kwako na anaongea vixuri mnoooo jmn Mungu asante kwa zawadi hii
Dah huyu mtoto kanifurahisha Sana dah katika watoa habari wote milard habari zako mi naziaminigi sana
A kid from heaven! There is only 1 way to explain her powers...Devine.
Heri maziwa uliyo nyonya kheri na tumbo lililokuzaa Mungu aendeleee kukupatia kubriiii kubwa na Allah akawe upande wako muda woote hadii mwisho wa Dahari Amiiina🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏿🙏🏿🙏🏿 wapendwa hizi ndizo zama za mwisho yatupasa kuswalii na kumuomba Allah kila wakati
mashaAllah mashaAllah nnalia wallah kwakwikwi mwanangu,wewe ni mwanangu katika uislam...Allah akulinde akuhifadhi nashari za insi namajinni natamani nikuone...
Nafurahia uwepo wako mwanangu!!! Nakupenda sana nnamengi yakusema lakini hayamalizi🥰💕💞
nashidwa kucomment chochote hapa ila huyu dogo ni waajabu MASHA ALLAH saut yake ni mzur sana na hapa ELIMU YA DUNIA NA AKHERA ZOTE zipo masha Allah masha Allah masha Allah
Wengi wanafanikiwa kwa kutibiwa na sharifa
Sisi waislam tukipewa vipaji km hivi tunashukuru Allah kwa karama tunasema Alhamdulillah
Tunakosea kusema sharifa anatibu ni Allah pekee mwenye uwezo wa Kutibu.
Wallah love her may Allah bless us good children lyk her and always stay protected
Lizidi kubarikiwa tumbo lililokubeba Shari zikuepuke kheri zikuzunguke hakika mtoto mzuur ulojaa hekima 💕
Amiin
Amiin thummah amiin
Amiin
Amiin Amiin Amiin
Ameen yarabb laalamiyn
Maashaallah Allah amlinde huyu mtto na husda za walimweng aamin🙏🙏🙏
Mzimu huo
@@geraldtarimo374
Mbwa lazma ubweke
ALLAHUMA A'AMIIYNII
@@ibrahimmujahid3765 🤣🤣🤣🤣
Amiin
Mwenyezi MUNGU ni mwenye maajabu mengi sana, AMINA
Kabisa kaka
machozi yamenitoka kwa furaha Allah akupe maisha marefu mtoto Sharifa 😭😭
Nimependa kwenye kila anachosema huyu mtoto anatanguliza Namshukuru Mungu/namuomba mwenyezi Mungu.
Maa Shaa ALLAH, Tabaraka ALLAH. Allah Amuhifadhi Ya Rabb. Amiin Amiin Ya Rabbal Al Amiin
Aamiin Yaa Rabbal'aalamiyn
MASHAALLAH VERY BRIGHT GIRL.ALLAH AKUHIFADHI UWE MUHADHIRI WA SAYANSI VYUO VIKUU.
Masha allah yarabi muepushe nahusda
Allahumma Aammeen
Aamiin
Mungu akuhifadhi sharifat hakuna uchawi mungu amem bariki wacheni ubinafsi amepatiwa namungu
Anaongea kwa kujiamini sana huyu binti safi sana
Yaan kama mtu mzima kanavyoongea kitulivu kabisa
Alhamdu lillah
Masha Allah
Mashaallh Allah,, amuongoze mema atujalie vizazi vyema Kama mtoto huyu.. Allah,, amuepushie hasadi... Amiin Amiin ya rabbi Allah Amiin Amiin
Amiin
Hongera sana mtt mzuly, mungu akuzidishie kheli ktk maisha yako
Mashaallaah!!anavyojieleza inapenda Allah akujaalie mwanangu heri nyingi🙏🙏🙏
Amiin
Ma sha Allah, wat a nice kid ❤ Allah has every way to show his existence
Mungu anatisha jamani hongera mtoto mzuri akujaalie mapito mema.
Mashaallah Sharifa Khaitham,
ALLAH akulinde na husda za majinni na watu,,baba yako ni kijana mpole na mwema sana ndo maana ALLAH akampa zawadi nzuri ambayo ni wewe binti yake
Mbona hatari sana huyu mtoto jmni dah nampenda sana jmn anavyomtangukiza Mwwnyezi Mungu dah anaongea kama mtu mzima na zaidi hii IQ ni kali sana Mtoto mxuri nimekupenda mnoo Mungu akulinde daima ,
doctor wa roho na mwili Mungu akukuze vema na kalama iliyoko ndan yako
Yaaani nimekupenda sana mtoto mzuri ww uchangui Dini umezidi na wakubwa unakuta wanaeli lakini kasolo yao wanaubanguzi wa Dini hongera sana M/mungu akuongoze Salama .
wazee wa mtoto jitahidini kutunza kipaji cha huyu mtoto mungu atakulipeni mema
Nimependa uyu mtoto jaman maaanshallah mungu atujalie kizazi Bora jaman 🤲🤲
Mwenyezi MUNGU azidi kumbariki na ampe heri na miaka mingi
MaashaaAllah MaashaaAllah mlinde mtoto huyu ya rabbi 😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘
Mashaallah tabarak llahu
Allah amlinde na macho mabaya 🤲
Ameen🤲🤲
Kama shedi kabisaa hiwii mtoto mdogo hivi jmn anajua mambo makubwa hivi ya sayansi huwii sauti tu ya kiualimu kbisaa Mashalaah
Maa shaa Allah tabaraka'rahman Allah akusimamie
Mungu akutunze mwanangu.
Mtoto anajua asaa🙏❤️
Allah amzidishie🙏🙏
Sharifa naomba dua zako na mm sw inshaallah mungu akufanyie wepesi mwenyezimungu anipe kile nikitakacho na kiwe na kheri na mm dunian na akhera amiin
Masha allah
Masha allah
Mtoto mzuri allah akuzidishie ufaham uzidi kutupatia Ilim akhera na Ilim dunia
na sie allah atujaalie tupate waume wema na vizazi vyema amina🤲🏼
Nguzo kubwa niwewe kujikita zaidi katika wema 100% nasi tukiitikia dua Ameen ALLAH Analeta nusra mungu akuongoze muna.
@@khalfansharji9790 insha allah kaka yng Allah atujaalie uhai na uzima tuje kupata waume wenye uelewa na vizazi viwe vyema insha allah
@@munaahmed8499 ALLAHUMMA AMEEN.
@@khalfansharji9790 🚴♀️
Ishaallah allah akuongoze vyema na akulinde kwakila mwenye kukuangalia kwa jicho la husda👏👏
Kaka Millard hongera sana. Unaniinspire sana kwa kazi zako. Uaminifu wa kazi zako ni mkubwa sana.
Big up broo, be blessed
Woow! Maashaallah mtoto mzuri na mwenye akili hadi raha🥰
Dah nmkumbuka mdogo wangubalivyokuwa anafundisha nye wakubwa zake Hesabu na sayansi Mungu mbariki huyu mtoto km Vike unavyozidi kumbariki mdogo wangu p
Masha Allah mtoto mzuri Allah akuzidishie elmu na mwisho mwema
Mashaallah mashaallah mashaallah Allah akuhifadhi yarabi mwanagu
Amiin
Allahumma Aammeen
czcams.com/video/NTox2k8WngA/video.html
Amina
Haya sasa kwa wale ambao hawaamini kua mungu yupo Wamwone huyu mtoto sio mtu wa kwaida hii ni ishara ya kua Mungu yupo.
Mashaa Allah TabaarakAllah, Allah amzidishie elimu yenye manufaa anufaishe umma. Kipindi kizuri lakini mziki unakera. Shkrn.
Mashaallah Mwenyez Mungu aendelee kukukuza na akupe wepes katika kaz zako na masomo yako Inshallah
Allahu akbar Allahu akbar Allahu akbar Allah akuhifadhi mtt mzuri
Mashaa Allah tabarakaLLAH Allah akuhifadhi na hasadi mtoto sharifat nakupendaa Kwa ajili ya ALLAH
Allahumma Amiin ukhty
MashaAllah tabaraka llah
Mashaallah mungu akulinde na husda za walimwengu
Mashallah mashallah mashallah toto alhamdulillah
Maa Shaa ALLAAH Tabaaraka ALLAAH.. Huu sio uchawi wala kiini macho na mchawi hana dini wala kabila na deen ya kiislaam ipo mbali na washirikina.
ربناهبلنامن ازواجناوذرياتناقرةاعين واجعلناللمتقين اماما
Mungu akulinde Kila wakati na ila za Adui akupe hitaji la moyo wako na kukutimilizia ndoto zako Ameen
Manshaallah Mungu akuzidishie akuepushe namahasidi milele na milele amina
Hata na mimi nasema alhamdulillah rabbil alamin hapa allah anatufikishia kupitia huyu binti yaan kwa namn anavyojib maswali km mtu mzima hateterek
Maa Shaa ALLAH
Maa Shaa Allah
Allah amhifadhi, Aamiin.
Dah katoto kana hekima nying sana Mwenyez Mungu akulinde amina
MASHA ALLAH May Allah bless you young girl
Mashaa Allah mwenyezi mungu aendelee kuku kuza mwanangu ♥️
Mashaallah Mashaallah Allah akulinde na kila hasad binti kipenzi nakupenda Sana Una hekima ulizojaaliwa na Allah
Ma Sha Allah may Allah bless and accept for her
Naam!! Alama za uwepo wa yule mwenye maajabu makubwa Mbinguni na Ardhini.Huumba atakavyo na hutoa elimu kwa amtakaye bila ya kukaa darasani.Hivi wale washirikina hawayaoni haya?
Subhana ALLAH
ALLAH anampa antakae na anamnyima amtakae
Allah Akbar
Ndiomaana tumeambiwa Quran haijafcha kilakitu,n Qur'an ina sayansi
Masha ALLAH Mtt ALLAH azidi kukujalia vizur sanaa
Ma Shaa Allah. Mungu ni muweza humpa amtakaye.
Alhamdulillah
MASHALLAH Allah akuzidishie imani
MashaAllah mashaAllah Allah barik ❤
Duh! This's not normal kabisaaa! Hakika usaidizi ni kutoka kwa Mwingi wa Rehema.😳😳. All praise is due to Allah
Mashaallah mungu akuzidishie elumu ya Dunia na akhera akulinde na mahasid wakibin Adam na kijinni tusemeni amiin
Amiyn
Namuomba ALLAH anijalie mwanangu ae na uelewa wa dini zaidi na zaidi na aishike Sunna awe salafy
Mashaallah
Allah anasema:"Enyi watu mchenj Allah haki ya kumcha,wala msife isipokuwa nyinyi ni WAISLAMU".
Uislam ndio msingi mkuu na sio matapo,madhehebu,manhaj,farqat,twariqa na mengineyo.
Omba Allah akuiuishe na kukufisha katika uislam na sio makundi.
@@suleimanmustapha101 upo mbali Sana sheikh.japo pale mtume aliposema .utafarikiana uma wangu mpk utafikia makundi 73 yote yatakwenda peponi isipokua moja . maswahaba wakamuuliza nilipi Hilo ewe mtume wa ALLAH.akasema nilile litakalofuata ambacho nakifanya mimi na maswahaba zangu hii leo..na pale aliposema atakae fanya amali yoyote ambayo hatujaiamrisha atarejeshewa mwenyewe .ivi unataka kunambia hakuna bidaa?kuna kuamini mbali na kufuata mbali ..unaweza ukaamini uislam ila hufuati ulivoamrishwa ... ibada ili itimie lazima iwe na masharti 2 ,moja uifanye Kwa ikhlas pili iwe mtume kaiamrisha .ukifanya ibada mpk ukapata homa km hajaamrisha mtume ni kupoteza muda na haya sio mageni maimamu wetu na wanazuoni washayasema Sana ..Albany fauzani khusaimii Muhammad abduwahabi na wanazuoni wengi washayasema haya .turudi Kwa wanazuoni wetu na maimamu wetu tusifuate masheikh wa sasa ambayo dini wameikuta Tu
@@abdulkareemseif1892 Allah anasema:"Ingieni katika UISLAMU wote wala msifuate nyayo za shaytani hakika yeye (shetani) ni adui aliye wazi".
Uislam wote ulikamilika wakati wa Mtume Muhammad (S.A.W). Yeyote atakayeleta lisilo na dalili ataachiwa mwenyewe,na uzuri ni kuwa uliifadhiwa tangu zamani.
Ukiufuata uislam hutokuwa mtumwa wa Salafi, Khalafi, Sufi, Ansar Sunnah, Qadiriyyah, Shadhiliyah, Al-nakshambandiyah.
@@suleimanmustapha101 Ivo unaniaminisha kama haya majina ya salafy na ahlu Sunna mageni ...hivi mtume aliposema tuwafate maswahaba zake alikusudia nn ..alikusudia kama hao ndio watu wema na salafy ni wema waliotangulia ambao ndio ambao sisi ndio njia yetu kila atakae wafuata hao atakua njia hiyo na ataepukana na Yale makundi mtume ambayo kayamrisha yataenda peponi .jitahadi Sana kusoma vitabu vya wema waliotangulia usifuate kauli za kina kishki Bana ..wewe fuata maulaama wema kina khuthaimii Albany na wanazuoni wakubwa soma vitabu vyao mana hao baadhi yao walisomeshwa na wanafunzi wa maswahaba
Masha Allah 😍
Hey guys there is GOD power inside that girl, hii sio kawaidaa
Utakuwa tayari ushakuwa mtoto mzuri mwanasaysnsi hakika hiki ninkipajinkikubwa sana .🤣🤣 Kashajiita Mama tayari safii
Comments za ndugu zetu wakristo nichache xaana humu ndani ila kwa yule mtoto Gift comment ni buku jero🙌🙌
Mansha allah mungu azikukupa mengi katika mawaidha
Watoto Kama hawa masheigh wa bidaa hawakaii kumbeba na kumtumia ktk kutibu mwisho wanamfanya biashara na kua mshirikina . ALLAH amlinde
Haha mashekh wa bidaa ,,umenikumbusha mbali sana
MashaALLAH
Mashaallah tabaraka rahmani nakupenda sana we mtt
Mashallah maboork nakupenda haitham
Masha a allah tabaralqallah
Mashaallah Allah akuzidishie inshaallah
MIa Sha Allah naomba kuombewa duwaa mambo yangu yaninyookee aniruzuku pamoja na wanangu na atujaalie kilalenye kheri na atuondolee magonjwa pamoja na wanangu insha Allah yaarabi
masha Allah tatizo letu tz mtoto km huyu baada ya kumsaport na kufika mbali Bali hutokea binaadam wakahisud Allah akuhifadhy insha Allah
mashaallah congratulation ya helwa 😘😘😘😘😘 Allah akuzidishie
Mashaallah mashaallah mwenyezi mungu akuzidishie inshaallah
Mashallah tabaraka llah Allah ajalie vizazi vyetu viwe kma shariffa
MASHAALLAH, MASHAALLAH, MASHAALLAH
Masha Allah allah akupe kila hitaji la moyo wako mtoto mzuri
MashaAllah MashaAllah had nasisimka kwa furaha Allah akutunze
I love mwaaaaa mungu akulinde kipenzi
Pishana na mitoto mingine njiani,utasikia inamba kw mparange na kidimbwi,Yan hayupo akhera Wala duniani😭😭honger mtoto mungu akukuze kwa maadili mema ya kiislam
Mashallah 🥰 Allah katubariki saana Afrika kawa vipaji mashaallah 😘 mashallah 🥰
Mwenyezi Mungu akutunze ukue salama
MashaAllah👏👏
Mashallaah ni miujza ya mwenyez mungu kuwa mwanamke anaweza kusimama pke ake na kiimani ktk hadhara
Mashallah mashallah.Mwenyezi Mungu akukunze have vyo hivyo
Ma Sha Allah tabaraka Allah lakuwata illa bilah mungu akulinde na hasad 🙏🙏🙏
allahamdulillah mashaallah inshallah ya habby 😘😘
Kama niko kenya ningetunga msafara kukutafuta kwa dua inshaaLLAH Mungu atatimiza maombi yako utakayo
Aamiin
Masha Allahu
Mashaalh mashaalh sharafat unapatikana maeneo ngani dar
Maashaallah, Allah ukupe umri mrefu wenye kheri, na akulinde na Shari za binaadamu na majini...
Mashaaallllah mashaaallllah Mashaallah jazaka Allah kheri.
Fantastic and mashaallah