MTOTO GENIUS WA DARASA LA 4, ANAFUNDISHA SAYANSI SEKONDARI "NAFUNDISHA WALIONIVUKA MADARASA NA UMRI"

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 15. 06. 2021
  • Sharifat Hytham ni mtoto wa Kitanzania mwenye miaka 8 akiwa anasoma darasa la 4 katika Shule ya Yemen Dar es Salaam.
    Ayo TV na Millardayo.com imekutana na Sharifati ambae ana uwezo wa hali ya juu unaowashangaza wengi ikiwemo kuwaombea watu Dua, kuwafundisha Wanafunzi wenzake waliomzidi umri na kidato.

Komentáře • 647

  • @mariapialakanje3446
    @mariapialakanje3446 Před 3 lety +19

    Umegundua mtoto huyu anaimani sana ona anavyomtanguliza Mungu mbele kwa kila kitu jmn mpaka raha ,haki nimejifunza mengi mno kwako na anaongea vixuri mnoooo jmn Mungu asante kwa zawadi hii

  • @yasinndalu53
    @yasinndalu53 Před 3 lety +46

    Dah huyu mtoto kanifurahisha Sana dah katika watoa habari wote milard habari zako mi naziaminigi sana

  • @amanichristopher719
    @amanichristopher719 Před 3 lety +33

    A kid from heaven! There is only 1 way to explain her powers...Devine.

  • @amkherbal3113
    @amkherbal3113 Před 3 lety +14

    Heri maziwa uliyo nyonya kheri na tumbo lililokuzaa Mungu aendeleee kukupatia kubriiii kubwa na Allah akawe upande wako muda woote hadii mwisho wa Dahari Amiiina🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏿🙏🏿🙏🏿 wapendwa hizi ndizo zama za mwisho yatupasa kuswalii na kumuomba Allah kila wakati

  • @aishakhamis8574
    @aishakhamis8574 Před 3 lety +14

    mashaAllah mashaAllah nnalia wallah kwakwikwi mwanangu,wewe ni mwanangu katika uislam...Allah akulinde akuhifadhi nashari za insi namajinni natamani nikuone...
    Nafurahia uwepo wako mwanangu!!! Nakupenda sana nnamengi yakusema lakini hayamalizi🥰💕💞

  • @sniper93999
    @sniper93999 Před 3 lety +3

    nashidwa kucomment chochote hapa ila huyu dogo ni waajabu MASHA ALLAH saut yake ni mzur sana na hapa ELIMU YA DUNIA NA AKHERA ZOTE zipo masha Allah masha Allah masha Allah

  • @nooor1120
    @nooor1120 Před 3 lety +11

    Wengi wanafanikiwa kwa kutibiwa na sharifa
    Sisi waislam tukipewa vipaji km hivi tunashukuru Allah kwa karama tunasema Alhamdulillah

    • @adkajisi4536
      @adkajisi4536 Před 2 lety

      Tunakosea kusema sharifa anatibu ni Allah pekee mwenye uwezo wa Kutibu.

  • @halimaathumani4253
    @halimaathumani4253 Před 3 lety +14

    Wallah love her may Allah bless us good children lyk her and always stay protected

  • @prettyh7509
    @prettyh7509 Před 3 lety +34

    Lizidi kubarikiwa tumbo lililokubeba Shari zikuepuke kheri zikuzunguke hakika mtoto mzuur ulojaa hekima 💕

  • @alisonso4194
    @alisonso4194 Před 3 lety +43

    Maashaallah Allah amlinde huyu mtto na husda za walimweng aamin🙏🙏🙏

  • @ezekielmosha3894
    @ezekielmosha3894 Před 3 lety +21

    Mwenyezi MUNGU ni mwenye maajabu mengi sana, AMINA

  • @nabirabakary4209
    @nabirabakary4209 Před 3 lety +22

    machozi yamenitoka kwa furaha Allah akupe maisha marefu mtoto Sharifa 😭😭

  • @paulpsyche6381
    @paulpsyche6381 Před 3 lety +6

    Nimependa kwenye kila anachosema huyu mtoto anatanguliza Namshukuru Mungu/namuomba mwenyezi Mungu.

  • @eshasalim5496
    @eshasalim5496 Před 3 lety +16

    Maa Shaa ALLAH, Tabaraka ALLAH. Allah Amuhifadhi Ya Rabb. Amiin Amiin Ya Rabbal Al Amiin

  • @athumanizaidi8560
    @athumanizaidi8560 Před 3 lety +16

    MASHAALLAH VERY BRIGHT GIRL.ALLAH AKUHIFADHI UWE MUHADHIRI WA SAYANSI VYUO VIKUU.

  • @fatumahassan3205
    @fatumahassan3205 Před 3 lety +7

    Mungu akuhifadhi sharifat hakuna uchawi mungu amem bariki wacheni ubinafsi amepatiwa namungu

  • @edgarnandonde48
    @edgarnandonde48 Před 3 lety +35

    Anaongea kwa kujiamini sana huyu binti safi sana

  • @aisharamadhan4778
    @aisharamadhan4778 Před 3 lety +4

    Mashaallh Allah,, amuongoze mema atujalie vizazi vyema Kama mtoto huyu.. Allah,, amuepushie hasadi... Amiin Amiin ya rabbi Allah Amiin Amiin

  • @faraolion6822
    @faraolion6822 Před 3 lety +11

    Hongera sana mtt mzuly, mungu akuzidishie kheli ktk maisha yako

  • @aminasuleiman6402
    @aminasuleiman6402 Před 3 lety +14

    Mashaallaah!!anavyojieleza inapenda Allah akujaalie mwanangu heri nyingi🙏🙏🙏

  • @sturbbornvideoz8547
    @sturbbornvideoz8547 Před 3 lety +2

    Ma sha Allah, wat a nice kid ❤ Allah has every way to show his existence

  • @mshamurashidi4124
    @mshamurashidi4124 Před 3 lety +10

    Mungu anatisha jamani hongera mtoto mzuri akujaalie mapito mema.

  • @mwajabually8751
    @mwajabually8751 Před 3 lety +1

    Mashaallah Sharifa Khaitham,
    ALLAH akulinde na husda za majinni na watu,,baba yako ni kijana mpole na mwema sana ndo maana ALLAH akampa zawadi nzuri ambayo ni wewe binti yake

  • @mariapialakanje3446
    @mariapialakanje3446 Před 3 lety +3

    Mbona hatari sana huyu mtoto jmni dah nampenda sana jmn anavyomtangukiza Mwwnyezi Mungu dah anaongea kama mtu mzima na zaidi hii IQ ni kali sana Mtoto mxuri nimekupenda mnoo Mungu akulinde daima ,

  • @imaculatadominic7005
    @imaculatadominic7005 Před 3 lety +4

    doctor wa roho na mwili Mungu akukuze vema na kalama iliyoko ndan yako

  • @khadijakdj8640
    @khadijakdj8640 Před 3 lety +2

    Yaaani nimekupenda sana mtoto mzuri ww uchangui Dini umezidi na wakubwa unakuta wanaeli lakini kasolo yao wanaubanguzi wa Dini hongera sana M/mungu akuongoze Salama .

  • @abdallahmassoud4870
    @abdallahmassoud4870 Před 3 lety +2

    wazee wa mtoto jitahidini kutunza kipaji cha huyu mtoto mungu atakulipeni mema

  • @hadijamtepa8528
    @hadijamtepa8528 Před rokem +1

    Nimependa uyu mtoto jaman maaanshallah mungu atujalie kizazi Bora jaman 🤲🤲

  • @eddyallmedia7475
    @eddyallmedia7475 Před 3 lety +7

    Mwenyezi MUNGU azidi kumbariki na ampe heri na miaka mingi

  • @shamsanassoro9822
    @shamsanassoro9822 Před 3 lety +3

    MaashaaAllah MaashaaAllah mlinde mtoto huyu ya rabbi 😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘

  • @nailatanzania7376
    @nailatanzania7376 Před 3 lety +11

    Mashaallah tabarak llahu
    Allah amlinde na macho mabaya 🤲

  • @mariapialakanje3446
    @mariapialakanje3446 Před 3 lety +1

    Kama shedi kabisaa hiwii mtoto mdogo hivi jmn anajua mambo makubwa hivi ya sayansi huwii sauti tu ya kiualimu kbisaa Mashalaah

  • @radhiaomary5591
    @radhiaomary5591 Před 3 lety +8

    Maa shaa Allah tabaraka'rahman Allah akusimamie

  • @jeniphachristian2131
    @jeniphachristian2131 Před 3 lety +7

    Mungu akutunze mwanangu.

  • @adamj9723
    @adamj9723 Před 3 lety +3

    Mtoto anajua asaa🙏❤️
    Allah amzidishie🙏🙏

  • @user-cf7gw2gi3v
    @user-cf7gw2gi3v Před 3 lety +2

    Sharifa naomba dua zako na mm sw inshaallah mungu akufanyie wepesi mwenyezimungu anipe kile nikitakacho na kiwe na kheri na mm dunian na akhera amiin

  • @munaahmed8499
    @munaahmed8499 Před 3 lety +5

    Masha allah
    Masha allah
    Mtoto mzuri allah akuzidishie ufaham uzidi kutupatia Ilim akhera na Ilim dunia
    na sie allah atujaalie tupate waume wema na vizazi vyema amina🤲🏼

    • @khalfansharji9790
      @khalfansharji9790 Před 3 lety

      Nguzo kubwa niwewe kujikita zaidi katika wema 100% nasi tukiitikia dua Ameen ALLAH Analeta nusra mungu akuongoze muna.

    • @munaahmed8499
      @munaahmed8499 Před 3 lety

      @@khalfansharji9790 insha allah kaka yng Allah atujaalie uhai na uzima tuje kupata waume wenye uelewa na vizazi viwe vyema insha allah

    • @khalfansharji9790
      @khalfansharji9790 Před 3 lety

      @@munaahmed8499 ALLAHUMMA AMEEN.

    • @munaahmed8499
      @munaahmed8499 Před 3 lety

      @@khalfansharji9790 🚴‍♀️

  • @mudyo.mponji6520
    @mudyo.mponji6520 Před 3 lety +2

    Ishaallah allah akuongoze vyema na akulinde kwakila mwenye kukuangalia kwa jicho la husda👏👏

  • @pazzyonlinetv7677
    @pazzyonlinetv7677 Před 3 lety +16

    Kaka Millard hongera sana. Unaniinspire sana kwa kazi zako. Uaminifu wa kazi zako ni mkubwa sana.
    Big up broo, be blessed

  • @zainabkazige7388
    @zainabkazige7388 Před 3 lety +2

    Woow! Maashaallah mtoto mzuri na mwenye akili hadi raha🥰

  • @mariapialakanje3446
    @mariapialakanje3446 Před 3 lety +1

    Dah nmkumbuka mdogo wangubalivyokuwa anafundisha nye wakubwa zake Hesabu na sayansi Mungu mbariki huyu mtoto km Vike unavyozidi kumbariki mdogo wangu p

  • @hassanmpemba5747
    @hassanmpemba5747 Před 3 lety +24

    Masha Allah mtoto mzuri Allah akuzidishie elmu na mwisho mwema

  • @issasalim7688
    @issasalim7688 Před 3 lety +4

    Haya sasa kwa wale ambao hawaamini kua mungu yupo Wamwone huyu mtoto sio mtu wa kwaida hii ni ishara ya kua Mungu yupo.

  • @samohazakwani6899
    @samohazakwani6899 Před 3 lety +4

    Mashaa Allah TabaarakAllah, Allah amzidishie elimu yenye manufaa anufaishe umma. Kipindi kizuri lakini mziki unakera. Shkrn.

  • @stumayhamis5759
    @stumayhamis5759 Před 3 lety +1

    Mashaallah Mwenyez Mungu aendelee kukukuza na akupe wepes katika kaz zako na masomo yako Inshallah

  • @maryammdoe5801
    @maryammdoe5801 Před 3 lety +4

    Allahu akbar Allahu akbar Allahu akbar Allah akuhifadhi mtt mzuri

  • @jasminjuma6390
    @jasminjuma6390 Před 3 lety +2

    Mashaa Allah tabarakaLLAH Allah akuhifadhi na hasadi mtoto sharifat nakupendaa Kwa ajili ya ALLAH

  • @salmaalkyumi6030
    @salmaalkyumi6030 Před 3 lety +16

    MashaAllah tabaraka llah

  • @HalimaHalima-id2cb
    @HalimaHalima-id2cb Před 3 lety +9

    Mashallah mashallah mashallah toto alhamdulillah

  • @MohamedMohamed-ng2rm
    @MohamedMohamed-ng2rm Před 3 lety

    Maa Shaa ALLAAH Tabaaraka ALLAAH.. Huu sio uchawi wala kiini macho na mchawi hana dini wala kabila na deen ya kiislaam ipo mbali na washirikina.
    ربناهبلنامن ازواجناوذرياتناقرةاعين واجعلناللمتقين اماما

  • @henrymushi8340
    @henrymushi8340 Před 3 lety +1

    Mungu akulinde Kila wakati na ila za Adui akupe hitaji la moyo wako na kukutimilizia ndoto zako Ameen

  • @sharmelasaif47
    @sharmelasaif47 Před 3 lety +2

    Manshaallah Mungu akuzidishie akuepushe namahasidi milele na milele amina

  • @issakabwende5083
    @issakabwende5083 Před 3 lety +16

    Hata na mimi nasema alhamdulillah rabbil alamin hapa allah anatufikishia kupitia huyu binti yaan kwa namn anavyojib maswali km mtu mzima hateterek

  • @safiaothman1098
    @safiaothman1098 Před 3 lety +2

    Maa Shaa Allah
    Allah amhifadhi, Aamiin.

  • @sopy3055
    @sopy3055 Před 3 lety +2

    Dah katoto kana hekima nying sana Mwenyez Mungu akulinde amina

  • @hamranjaldesa4699
    @hamranjaldesa4699 Před 3 lety

    MASHA ALLAH May Allah bless you young girl

  • @kingsleykavu5953
    @kingsleykavu5953 Před 3 lety +1

    Mashaa Allah mwenyezi mungu aendelee kuku kuza mwanangu ♥️

  • @nemambelwa142
    @nemambelwa142 Před 3 lety

    Mashaallah Mashaallah Allah akulinde na kila hasad binti kipenzi nakupenda Sana Una hekima ulizojaaliwa na Allah

  • @mahamudbran9992
    @mahamudbran9992 Před 2 lety

    Ma Sha Allah may Allah bless and accept for her

  • @mweyoms5548
    @mweyoms5548 Před 3 lety +22

    Naam!! Alama za uwepo wa yule mwenye maajabu makubwa Mbinguni na Ardhini.Huumba atakavyo na hutoa elimu kwa amtakaye bila ya kukaa darasani.Hivi wale washirikina hawayaoni haya?

  • @hamizaramadhan1275
    @hamizaramadhan1275 Před 3 lety +1

    Masha ALLAH Mtt ALLAH azidi kukujalia vizur sanaa

  • @kulthumhaji6928
    @kulthumhaji6928 Před 3 lety +5

    Ma Shaa Allah. Mungu ni muweza humpa amtakaye.

  • @mariamali1887
    @mariamali1887 Před rokem

    MashaAllah mashaAllah Allah barik ❤

  • @allyhassan2136
    @allyhassan2136 Před 3 lety

    Duh! This's not normal kabisaaa! Hakika usaidizi ni kutoka kwa Mwingi wa Rehema.😳😳. All praise is due to Allah

  • @user-cf7gw2gi3v
    @user-cf7gw2gi3v Před 3 lety +1

    Mashaallah mungu akuzidishie elumu ya Dunia na akhera akulinde na mahasid wakibin Adam na kijinni tusemeni amiin

  • @abdulkareemseif1892
    @abdulkareemseif1892 Před 3 lety +3

    Namuomba ALLAH anijalie mwanangu ae na uelewa wa dini zaidi na zaidi na aishike Sunna awe salafy

    • @Ridhiwani617
      @Ridhiwani617 Před 3 lety

      Mashaallah

    • @suleimanmustapha101
      @suleimanmustapha101 Před 3 lety

      Allah anasema:"Enyi watu mchenj Allah haki ya kumcha,wala msife isipokuwa nyinyi ni WAISLAMU".
      Uislam ndio msingi mkuu na sio matapo,madhehebu,manhaj,farqat,twariqa na mengineyo.
      Omba Allah akuiuishe na kukufisha katika uislam na sio makundi.

    • @abdulkareemseif1892
      @abdulkareemseif1892 Před 3 lety +1

      @@suleimanmustapha101 upo mbali Sana sheikh.japo pale mtume aliposema .utafarikiana uma wangu mpk utafikia makundi 73 yote yatakwenda peponi isipokua moja . maswahaba wakamuuliza nilipi Hilo ewe mtume wa ALLAH.akasema nilile litakalofuata ambacho nakifanya mimi na maswahaba zangu hii leo..na pale aliposema atakae fanya amali yoyote ambayo hatujaiamrisha atarejeshewa mwenyewe .ivi unataka kunambia hakuna bidaa?kuna kuamini mbali na kufuata mbali ..unaweza ukaamini uislam ila hufuati ulivoamrishwa ... ibada ili itimie lazima iwe na masharti 2 ,moja uifanye Kwa ikhlas pili iwe mtume kaiamrisha .ukifanya ibada mpk ukapata homa km hajaamrisha mtume ni kupoteza muda na haya sio mageni maimamu wetu na wanazuoni washayasema Sana ..Albany fauzani khusaimii Muhammad abduwahabi na wanazuoni wengi washayasema haya .turudi Kwa wanazuoni wetu na maimamu wetu tusifuate masheikh wa sasa ambayo dini wameikuta Tu

    • @suleimanmustapha101
      @suleimanmustapha101 Před 3 lety

      @@abdulkareemseif1892 Allah anasema:"Ingieni katika UISLAMU wote wala msifuate nyayo za shaytani hakika yeye (shetani) ni adui aliye wazi".
      Uislam wote ulikamilika wakati wa Mtume Muhammad (S.A.W). Yeyote atakayeleta lisilo na dalili ataachiwa mwenyewe,na uzuri ni kuwa uliifadhiwa tangu zamani.
      Ukiufuata uislam hutokuwa mtumwa wa Salafi, Khalafi, Sufi, Ansar Sunnah, Qadiriyyah, Shadhiliyah, Al-nakshambandiyah.

    • @abdulkareemseif1892
      @abdulkareemseif1892 Před 3 lety

      @@suleimanmustapha101 Ivo unaniaminisha kama haya majina ya salafy na ahlu Sunna mageni ...hivi mtume aliposema tuwafate maswahaba zake alikusudia nn ..alikusudia kama hao ndio watu wema na salafy ni wema waliotangulia ambao ndio ambao sisi ndio njia yetu kila atakae wafuata hao atakua njia hiyo na ataepukana na Yale makundi mtume ambayo kayamrisha yataenda peponi .jitahadi Sana kusoma vitabu vya wema waliotangulia usifuate kauli za kina kishki Bana ..wewe fuata maulaama wema kina khuthaimii Albany na wanazuoni wakubwa soma vitabu vyao mana hao baadhi yao walisomeshwa na wanafunzi wa maswahaba

  • @khadijaamryyahaya3894
    @khadijaamryyahaya3894 Před 3 lety +5

    Masha Allah 😍

  • @tz1662
    @tz1662 Před 3 lety +1

    Hey guys there is GOD power inside that girl, hii sio kawaidaa

  • @mariapialakanje3446
    @mariapialakanje3446 Před 3 lety +4

    Utakuwa tayari ushakuwa mtoto mzuri mwanasaysnsi hakika hiki ninkipajinkikubwa sana .🤣🤣 Kashajiita Mama tayari safii

  • @rajabumussa8032
    @rajabumussa8032 Před rokem

    Comments za ndugu zetu wakristo nichache xaana humu ndani ila kwa yule mtoto Gift comment ni buku jero🙌🙌

  • @user-ul5cc8ke2r
    @user-ul5cc8ke2r Před 7 měsíci

    Mansha allah mungu azikukupa mengi katika mawaidha

  • @abdulkareemseif1892
    @abdulkareemseif1892 Před 3 lety +3

    Watoto Kama hawa masheigh wa bidaa hawakaii kumbeba na kumtumia ktk kutibu mwisho wanamfanya biashara na kua mshirikina . ALLAH amlinde

  • @tatuomary6745
    @tatuomary6745 Před 3 lety +9

    MashaALLAH

  • @sofiasofia7557
    @sofiasofia7557 Před 3 lety +1

    Mashaallah tabaraka rahmani nakupenda sana we mtt

  • @salhamrisho8138
    @salhamrisho8138 Před 3 lety +2

    Mashallah maboork nakupenda haitham

  • @sharifaabdullah6825
    @sharifaabdullah6825 Před 3 lety +6

    Masha a allah tabaralqallah

  • @bakarirajabu3783
    @bakarirajabu3783 Před 3 lety +1

    Mashaallah Allah akuzidishie inshaallah

  • @ramlaali5955
    @ramlaali5955 Před 2 lety

    MIa Sha Allah naomba kuombewa duwaa mambo yangu yaninyookee aniruzuku pamoja na wanangu na atujaalie kilalenye kheri na atuondolee magonjwa pamoja na wanangu insha Allah yaarabi

  • @fatmamohd2444
    @fatmamohd2444 Před 3 lety

    masha Allah tatizo letu tz mtoto km huyu baada ya kumsaport na kufika mbali Bali hutokea binaadam wakahisud Allah akuhifadhy insha Allah

  • @surujajwie4768
    @surujajwie4768 Před 3 lety

    mashaallah congratulation ya helwa 😘😘😘😘😘 Allah akuzidishie

  • @zakhirtumah599
    @zakhirtumah599 Před 3 lety

    Mashaallah mashaallah mwenyezi mungu akuzidishie inshaallah

  • @mimikiki8225
    @mimikiki8225 Před 3 lety

    Mashallah tabaraka llah Allah ajalie vizazi vyetu viwe kma shariffa

  • @agiasaidi5294
    @agiasaidi5294 Před 3 lety +2

    MASHAALLAH, MASHAALLAH, MASHAALLAH

  • @uwaridially3594
    @uwaridially3594 Před 3 lety +1

    Masha Allah allah akupe kila hitaji la moyo wako mtoto mzuri

  • @fatmammassy9103
    @fatmammassy9103 Před 3 lety

    MashaAllah MashaAllah had nasisimka kwa furaha Allah akutunze

  • @elizabethmagala3550
    @elizabethmagala3550 Před 3 lety +1

    I love mwaaaaa mungu akulinde kipenzi

  • @omarylukindo5306
    @omarylukindo5306 Před 3 lety

    Pishana na mitoto mingine njiani,utasikia inamba kw mparange na kidimbwi,Yan hayupo akhera Wala duniani😭😭honger mtoto mungu akukuze kwa maadili mema ya kiislam

  • @user-sq7pz9ex5g
    @user-sq7pz9ex5g Před 2 lety

    Mashallah 🥰 Allah katubariki saana Afrika kawa vipaji mashaallah 😘 mashallah 🥰

  • @anitabenard2891
    @anitabenard2891 Před 3 lety +2

    Mwenyezi Mungu akutunze ukue salama

  • @chidyboytz48
    @chidyboytz48 Před 3 lety +3

    MashaAllah👏👏

  • @omarykidagheajuma3886
    @omarykidagheajuma3886 Před 3 lety

    Mashallaah ni miujza ya mwenyez mungu kuwa mwanamke anaweza kusimama pke ake na kiimani ktk hadhara

  • @salmasaid6862
    @salmasaid6862 Před 3 lety

    Mashallah mashallah.Mwenyezi Mungu akukunze have vyo hivyo

  • @ramlaali5955
    @ramlaali5955 Před 2 lety

    Ma Sha Allah tabaraka Allah lakuwata illa bilah mungu akulinde na hasad 🙏🙏🙏

  • @surujajwie4768
    @surujajwie4768 Před 3 lety +1

    allahamdulillah mashaallah inshallah ya habby 😘😘

  • @fatumahassan3205
    @fatumahassan3205 Před 3 lety +15

    Kama niko kenya ningetunga msafara kukutafuta kwa dua inshaaLLAH Mungu atatimiza maombi yako utakayo

  • @abduraheemabdullah5223
    @abduraheemabdullah5223 Před 3 lety +5

    Masha Allahu

  • @lelasalum555
    @lelasalum555 Před 3 lety

    Mashaalh mashaalh sharafat unapatikana maeneo ngani dar

  • @nasseralmaqbali6317
    @nasseralmaqbali6317 Před 3 lety +2

    Maashaallah, Allah ukupe umri mrefu wenye kheri, na akulinde na Shari za binaadamu na majini...

  • @asiamohd5516
    @asiamohd5516 Před 2 lety

    Mashaaallllah mashaaallllah Mashaallah jazaka Allah kheri.

  • @mjige9088
    @mjige9088 Před 3 lety

    Fantastic and mashaallah