MAAJABU: KILICHOTOKEA KWENYE NDEGE ILIYOMBEBA RAIS SAMIA AKIWASILI KATAVI, TAZAMA MPAKA MWISHO

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 11. 07. 2024
  • #UhondoTV #Uhondo

Komentáře • 136

  • @VenerandaKundi-ph4hg
    @VenerandaKundi-ph4hg Před 13 dny +4

    Maajabu gani acheni wanga mungu mlinde mkuu wetu

  • @SundaySteven-bz4yq
    @SundaySteven-bz4yq Před 22 dny +4

    Huyo Mzee anamusujudia binadam mwenzake ama kweli huu utafutaji wa vyeo utatufikisha kubaya

  • @PaskaliPatiliki
    @PaskaliPatiliki Před 22 dny +5

    Mungu akulinde mama yetu kipenzi

  • @hamissalum8604
    @hamissalum8604 Před 22 dny +1

    Nilichokiona mimi Rais hajawapa Mkono wenyeji wake waliompokea hiyo sio kawaida labda ndio jambo la kustaajabisha hapo!

  • @johnLaise
    @johnLaise Před 8 dny +1

    Chadema

  • @rahmaomar9137
    @rahmaomar9137 Před 23 dny +2

    Allah akuhifadhi

  • @robertzamani5612
    @robertzamani5612 Před 23 dny +2

    Rais kwann unitumie barabara ukaona wananchi ukasikiliza kero zao sasa Kwa ndge kweli ungefanya kama Jpm

  • @WilsonLuchwele
    @WilsonLuchwele Před 22 dny +6

    Mbona wananchi kiduchu kwenye mapokezeki ya rais au mwigulu nchemba amewahamishia Burundi??!

  • @user-fb5tj5zy4z
    @user-fb5tj5zy4z Před 22 dny +1

    Shockup za tairi za mbele kwisha kazi😮😮😅

  • @lilianmbeyu
    @lilianmbeyu Před 15 dny +1

    hayo maajabu ni gani mbona nimengoja kuona cjaona

  • @ndabhiloleyesamwel9945
    @ndabhiloleyesamwel9945 Před 20 dny +1

    Kwani Tanzania hatuna ndege ya Raisi?

  • @JonathanMGAIWA-ow4py
    @JonathanMGAIWA-ow4py Před 23 dny +4

    Kuna nini cha ajabu

  • @mwanabucheyeki226
    @mwanabucheyeki226 Před 22 dny +2

    Ndege imetelekezwa kufanyiwa Service!

  • @punnamalaba4445
    @punnamalaba4445 Před 20 dny +1

    Maajabu gani yako hapo sasa , unatumalizis bando kwa upuuzi

  • @user-ot1ff7yq2l
    @user-ot1ff7yq2l Před 22 dny +1

    Peleka usenge mbali kwani aliosema ndege iungue ndo imeungua unavosema awekwe ndani

  • @alistairelias536
    @alistairelias536 Před 22 dny +1

    Admin uwe unapanda ndege mara moja moja upunguze ushamba

  • @christinejojo7234
    @christinejojo7234 Před 9 dny +1

    Sijaona kitu muache uongo

  • @abdulikilala5902
    @abdulikilala5902 Před 23 dny +2

    Hakuna hata watu na hao waliokuja wote hawaptaki hapo wanashangaa ndege tu

    • @songoroalamin3376
      @songoroalamin3376 Před 22 dny +3

      Sfieni hata jambo moja jema hao waliopo sisimizi? Mchovu wa fikra MAMA chapa kazi wanakung'arisha tu na husda zao

    • @princepaschal9963
      @princepaschal9963 Před 22 dny

      ​@@songoroalamin3376wasifie lipi? Kuweka pembeni ilani ya uchaguzi ya mwaka 2020. Ya kipenzi cha wengi Magufuli, na kuanza kujifanyia yakwao kama kisasi kwa wananchi.

  • @celestinermantenga2463
    @celestinermantenga2463 Před 22 dny +4

    Mama yupo vizuri sana, 2025 atapita kwa kishindo kikubwa san. Mambo alofanya makubwa within a short time.

    • @wadeelegbogun3015
      @wadeelegbogun3015 Před 22 dny +1

      #NONSENSE

    • @celestinermantenga2463
      @celestinermantenga2463 Před 22 dny

      Tatizo, kuna mtu anadhani kuongoza taifa ni rahisi kama kuchimba viazi. Kama kuiongoza familia ya mke /Mme na watoto watu wanachemka. Leo mama yetu kafanya mengi na anaendlea kufanya anatokea mtu anajifanya haoni yaliyofanyika anaongelea eti mama anasafiri na ndege kubwa. Kwa hiyo alitaka atembee kwa miguu???

    • @RashidiDaudy-ez6zt
      @RashidiDaudy-ez6zt Před 22 dny

      ovyooo

    • @saruni5673
      @saruni5673 Před 22 dny

      😂😂😂yapi

    • @hassan-sarumbo
      @hassan-sarumbo Před 22 dny

      no comment napita tu

  • @zuhramwavyoni8400
    @zuhramwavyoni8400 Před 21 dnem

    ❤❤❤

  • @user-um5xx5ct7q
    @user-um5xx5ct7q Před 22 dny +1

    Hii ni tv ya kinafiki haifai hata kuangalia

  • @Abdallahsaid-e3k
    @Abdallahsaid-e3k Před 13 dny

    Maajabu gani

  • @deogratiaskatinda9232
    @deogratiaskatinda9232 Před 22 dny

    Waandishi wengi wetu wa habari wa siku hizi ni wa hovyo tena hovyo sana

  • @lakiabalozi5633
    @lakiabalozi5633 Před 23 dny +1

    Jengeni viwanja vya ndege mikoa yote khaa huu uwanja au airstrip

    • @alistairelias536
      @alistairelias536 Před 22 dny

      Kwa abiria gani??

    • @abdulpagali7476
      @abdulpagali7476 Před 22 dny

      Tumekwishajenga Chato. Mikoa mingine tunajenga airstrips ili kuokoa hela. Kwa sasa vipaumbele vipo kwenye ujenzi wa SGR, mitambo ya kufua umeme katika bwawa la Mwl. Nyerere, uwanja wa ndege wa Msalato, na bomba la mafuta kutoka Hoima hadi Chongoleani.
      Insh'Allah, panapo majaaliwa, tutajenga SGR ya Mtwara hadi Mbamba Bay na matawi yake kwenda Liganga na Mchuchuma, tutaboresha reli ya TAZARA, tutajenga bandari ya Mbegani Bay, tutatekeleza miradi ya uzalishaji wa LNG, bomba la gesi kwenda Mombasa na Uganda, mbolea itokanayo na gesi asilia, tutajenga viwanja vya mpira kwa ajili ya AFCON 2027, tutajenga daraja la Bagamoyo hadi Zanzibar, tutajenga kongani kubwa za viwanda za Disunyala na Kwala.
      Subiri ubwede, Mama hana udogo. Mwakani tumpe miaka mitano ya kuonesha uwezo wake ili tufaida matunda ya kazi zake njema za kukuza uchumi wetu. Naomba KAZI IENDELEE 🎉🎉🎉🎉🎉.

  • @user-ot1ff7yq2l
    @user-ot1ff7yq2l Před 22 dny

    Ukiona mti anasema hivyo jua hana furaha wala imani na uongoz

  • @MohdAlsharjy
    @MohdAlsharjy Před 22 dny

    Ndegee shokap ya mbelee imekufaa

  • @mohammedabdallahalazri3238

    Hivi kila Raisi akitoka safari ya nje anapokewa kwq shangwe?

  • @tibbsminja2575
    @tibbsminja2575 Před 22 dny

    Viwanja vya ndege havina hadhi kabisa! Pesa zinatafunwa tu.
    Ila siku Rais anakuja utasikia sifa nyingi za pesa zimetolewa za miradi! Mama Mama Mama!
    Huku tukisikia mashule watoto wanakaa chini wanafunzi 1000!
    Unajiuliza Serikali ipo au wapo kwa majina???

  • @emmanuelsulle911
    @emmanuelsulle911 Před 22 dny

    FISIEMU Watu wamewachoka Mno

  • @hugholinemmasi1671
    @hugholinemmasi1671 Před 22 dny

    Ama kweli Elimu UCHUMI BADO SAANA AFRIKA.

  • @faridahalwaily85
    @faridahalwaily85 Před 22 dny +3

    Duwa na kuombeanaaa mazuri ni manufaaa kwa wotee…tumshukuruh Allaah kwa kuwaleeeteenii rais mwema mwenye upendoo na hurumaa…..Aangaliyeeeni nchi na watu wenu Alivyoo watengenezeyaaaa Zidii kuiyoombeyeeni Amani na manufaa idumuh kuinukaa na kutengeneyaaaa…..

  • @festokitule9727
    @festokitule9727 Před 22 dny

    Ahh wap

  • @VenerandaKundi-ph4hg
    @VenerandaKundi-ph4hg Před 13 dny

    Sasa unataka watu wajae uwanja wa ndege una siri gani na hao watu si kuna sehemu atakutana na wanainchi ataongea nao

  • @RamaJumanne-lc9ve
    @RamaJumanne-lc9ve Před 22 dny

    Wananchi wapo nje ya uwanja awalusiwi kuingia wotee

  • @seifathumanseif3681
    @seifathumanseif3681 Před 13 dny

    Asa kuna maajabu gani? acha ushamba

  • @emmanuelsulle911
    @emmanuelsulle911 Před 22 dny

    Mbona hakuna Jipya? Afu watu wachache Ivo

  • @ZainabuBakari-yb4vj
    @ZainabuBakari-yb4vj Před 22 dny +6

    Mbona wengi unataka watu gani,toa hoja

  • @benjaminmiselya2622
    @benjaminmiselya2622 Před 22 dny

    Mmmh balozi wa Shina😂🤣🧐🤣🥹

  • @prosperjohn2047
    @prosperjohn2047 Před 21 dnem

    Nilifikiri Imeanguka ikawaka, kumbe ipo

  • @user-bt6ep3yb2h
    @user-bt6ep3yb2h Před 23 dny

    Mnapendaga shida bila sababu, unashabikia vitu vya kishetani, unaombea ndege ingeungua ili iweje? Watu kama hao ni kuwasweka ndani ili liwe fundisho.

    • @user-xn1ly2yx7j
      @user-xn1ly2yx7j Před 23 dny

      Ni kweli kabisa ndugu anaombea ndege ingeungua moto jamani mama yetu kakosa nini ,mpaka kusubutu kuomba ivyo.jamani hakuna binadamu mwenye 100% kila binadamu anamapungufu yake.mtamkumbuka mama siku moja tumeshayaona nchi za watu.

    • @vladimirputn1809
      @vladimirputn1809 Před 22 dny

      😂sukuma ndani

  • @SanziNzige
    @SanziNzige Před 22 dny

    Magufuli bhana

  • @m.m.tvmbebamaono
    @m.m.tvmbebamaono Před 22 dny

    Mikopo na mitozo tu kuoga aaanha😂😂😂

  • @davidmalogo7100
    @davidmalogo7100 Před 22 dny +1

    Nilichoona chaajabu ni watu 77 wanampokea nanii laisi wa katiba

  • @ibrahimally8073
    @ibrahimally8073 Před 22 dny +1

    Nini Sasa kimetokea? kumanyoko zako wewe.. Ina maana unaombea ndege iliyombeba rais ipatwe na hitilafu au? Mbwa wewe na hiyo TV yenu ya kinafiki.. shetani ibilisi laana wewe

  • @The1979bornagain
    @The1979bornagain Před 22 dny

    Maajabu hapa ni kitu gani?
    Honestly, sijaona ajabu lolote mimi unless otherwise wewe mwandishi useme ni nini cha ajabu hapo

  • @WilsonLuchwele
    @WilsonLuchwele Před 22 dny

    Wee mwandishi habari uchwara!

  • @AnnoyedBooks-kn5pm
    @AnnoyedBooks-kn5pm Před 20 dny

    Gwanghana nulukubi

  • @fadhilimoshi5754
    @fadhilimoshi5754 Před 14 dny

    Mtandao wenu umekosa habari wezi wakubwa kuku nyie.

  • @user-tz8yn9uf2k
    @user-tz8yn9uf2k Před 22 dny

    Hii ndege ikitoka dar to mwanza inakula mafuta ya million 5, nenda irudi?

    • @abdulrahmanally1412
      @abdulrahmanally1412 Před 22 dny

      Usiwe mjinga ww?sasa unataka Rais apande baiskeli? Kaa na chuki zako na zitakuua, bwege wee hii karne ya 21, nina wasiwasi na kiwango chako cha elimu na uwezo wako wa kuchanganua mambo ktk karne hii ya maendeleo ya Sayansi na teknolojia.

  • @jedidahbintidaudi8241
    @jedidahbintidaudi8241 Před 23 dny +3

    ila managing director wa shirika la ndege alifanya Rwanda airways ikaleta faida kubwa sana Rwanda kwa Kagame. ila Magufuli alivomuomba na kurudi Tanzania, Matindi ktk uoongozi wake shirika linakula hasara kila leo, na sio sababu ya uendeshaji wake lakini ni viongozi kumpelekea vimemo kila leo na watu wao kwenda bure safari zao..shida kweli. kijana wa watu anapata shida sana

    • @WilsonLuchwele
      @WilsonLuchwele Před 22 dny

      What is strange there?

    • @jedidahbintidaudi8241
      @jedidahbintidaudi8241 Před 22 dny

      @@WilsonLuchwele you right i see nothing strange..the title is just misleading..i was just addijng my comment as far as the corporation is concerned

  • @kadijahajali3918
    @kadijahajali3918 Před 21 dnem

    😅

  • @BeniJohn-xd3cn
    @BeniJohn-xd3cn Před 22 dny

    Mambo mengine ni ujinga mtupu vielelezo vya ovyo mnabidi mfungiwe

    • @ezekieljacob5795
      @ezekieljacob5795 Před 22 dny

      Aaaaa,biashara...asinge andika kichwa cha habari chenye kiki,usingefungua...wewe ndo lishamba

  • @MoinaminaAmina-qh1jb
    @MoinaminaAmina-qh1jb Před 22 dny

    Sirikali ya tz ??nunueni ndege ya urusia ya kubeba ma raisi nawatumishi wasirikali iwe mawaziri au wakubwa wa sirikali ni onyo yangu

    • @MsAggie5
      @MsAggie5 Před 14 dny

      Ile ndege ya raisi aliyonunua mkapa imeenda wapi

  • @dismaslalubare4196
    @dismaslalubare4196 Před 22 dny

    Maajabu yapi aasa ? Hii TV haina tofauti na TBC

  • @deniccgabriel6153
    @deniccgabriel6153 Před 23 dny +5

    Nilijua ndege imeungua kidogo nifuraiiiii

  • @kajaymopao1672
    @kajaymopao1672 Před 14 dny

    majabu gani njinga kama una content wacha kudanganya watu

  • @hadijamfala390
    @hadijamfala390 Před 22 dny

    Ndege kubwa hivi isingefaa kwenda huko katavi.

  • @user-po9wi5lh1o
    @user-po9wi5lh1o Před 23 dny

    Ukimuombea mwenzio mabaya yanaweza yakaaza kutokea kwako

    • @abdulikilala5902
      @abdulikilala5902 Před 23 dny

      Sio kweli kama yeye anawatendea watu mabaya mungu hawez kukupa hicho ulichosema kuzaa Kuna uchungu wake lakin fikiria huyu Rais mwanamke na kazaa lakin suala la ushoga kalinyamazia haongei Wala Sheria haitungwi wanatunga Sheria za kunyanyaswa Raia tu

    • @abdulikilala5902
      @abdulikilala5902 Před 22 dny

      Kwa hiyo wengi huyo hatumuombei mazury maaana hawez kuongoza lakin anajifanya anaweza

  • @wadeelegbogun3015
    @wadeelegbogun3015 Před 22 dny

    RAIS FEKI WAMCHONGO 😅😅wa katiba

  • @ZainabuBakari-yb4vj
    @ZainabuBakari-yb4vj Před 22 dny

    Nini

  • @bimumaulid1171
    @bimumaulid1171 Před 22 dny

    NDEGE YOTE HII KWA RAIS TUU NA WATU WAKE KWA NINI ASITAFUTIWE NDEGE NDOGO TUKAPUNGUZA MATUMIZI

    • @rajabukipara3008
      @rajabukipara3008 Před 22 dny

      Upungize Matumiz kwan Hiyo pesa Inakuus!?.😊

    • @rajabukipara3008
      @rajabukipara3008 Před 22 dny

      Kwana Unafaham NENO RAIS?

    • @abdulrahmanally1412
      @abdulrahmanally1412 Před 22 dny

      Acha umaskini wa kifikra, babaako kajenga uwanja wa ndege chato, ni ndege ipi zinatua sasa, kakamata meli ya uvuvi tumelipa mabilioni ya pesa sa hasara ni ipi hapo? You dont have to be bias.

  • @ManzabaySalim
    @ManzabaySalim Před 22 dny

    Maajabu gani kenge wewe

  • @anaabsaid3544
    @anaabsaid3544 Před 22 dny

    Maajabu yako wapi hapo? Kuna youtuber wengine washamba kweli unazania nitafungu tene nani zako sorry

  • @stevendaudi39
    @stevendaudi39 Před 22 dny

    Mbona madguard ya mbele imekatika😂😂

  • @Michael74540
    @Michael74540 Před 22 dny

    I am blocking you

  • @nkwazigatsha
    @nkwazigatsha Před 22 dny

    Pumbavu. Mbona hakuna ajabu lolote zaidi ya mingoma. Miswahili kwa kupenda ngoma na kuabudiwa. Wenzenu walishaachana na upuuzi huu nyie mmeushikilia. Shame on this channel. Sitaifungua tena. Ni wavivu wa kufikiri.