Muuza madafu ikulu ni Komando? A trend akifananishwa na komando kwa akishuka kwa kamba na helicopter

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 04. 2024
  • Unaweza kututembelea instagram @bingoonlinetz
    #bingoonlinetz
    #sisisiowepesi #TunakupaKwaWakati
    Ahsante kwa Kuiamini na ku SUBSCRIBE BINGO ONLINE TZ Na kuifanya ifikishe Subscribers Milioni 1
  • Zábava

Komentáře • 508

  • @naqiahmad26
    @naqiahmad26 Před měsícem +83

    aliyesanuka em agonge like hapa

    • @user-bv3zj1le5q
      @user-bv3zj1le5q Před měsícem +2

      Niyy muuza madafu hakuna ubishi lakini awezi kukubali kamwe

  • @brightonchedego8100
    @brightonchedego8100 Před měsícem +15

    Mission completed 👏👏👍
    Mungu ibariki Tanzania 🇹🇿

  • @Worldunite
    @Worldunite Před měsícem +41

    Msione ajabu wala msishangae, haya ni mambo ya ki-intelijensia 😂😂.MAJEDA OYEEE TANZANIA 🇹🇿 THE BEST

  • @humphreynyiti516
    @humphreynyiti516 Před měsícem +28

    We ukauze madafu ikulu mchezo,haha ila ww jamaa ni noma sana

  • @aishafrancis7714
    @aishafrancis7714 Před měsícem +20

    Mama anajichekea tu😂ngoja na mimi nicheke😂😂😂😂 iloveyou Tz yangu ❤

  • @adamhashim3352
    @adamhashim3352 Před měsícem +55

    Umeona mama samia anacheka kakumbuka siku ya madafu

    • @johnbernad3990
      @johnbernad3990 Před měsícem

      😂😂😂😂

    • @kennedykassian5269
      @kennedykassian5269 Před měsícem

      Tena clip ya mtangazaji wa milllard akimuelekeza aweke silaha vizuri yaan ni yeye na jamaa wana uwezo hata wa sauti kubadilisha

  • @khadijamisayo7476
    @khadijamisayo7476 Před měsícem +13

    Tanzania wapelelezi wapo Kila mahali, yaani "ulipo tupo", ni kiasi Cha sisi wananchi kuchunga ndimi zetu na kuheshimu Kila mtu

    • @jeffhard5773
      @jeffhard5773 Před měsícem +1

      Na Hiyo pia isiwafanye mjisahau kwa kujiona mmemaliza kila kitu "Huwa Allah junudu mafisamawati wal~Ardhwi" Bi maana Allah yeye ndiye mwenye majeshi Angani na Ardhini. unaweza kulindwa Sana na mwisho ukafa Nyuki au Siafu tu. Tendeni haki na mema sio kukandamiza watu Kisha mnaendelea kujitukuza.

  • @user-ix9zu1zk5c
    @user-ix9zu1zk5c Před měsícem +12

    😂😂😂 ndio yeye sauti ina echo tu, ila zinafanana, tue makini

  • @user-ix5uo6ks7j
    @user-ix5uo6ks7j Před měsícem +20

    Am a Kenyan ❤❤❤❤ i really love this 😂

  • @margarethpolepole7438
    @margarethpolepole7438 Před měsícem +2

    Serikali yetu nzuri haswaaa ina ulinzi mzuri sanaaaa

  • @pascalmanyama2304
    @pascalmanyama2304 Před měsícem +24

    Du!,tena full commando,kuna la kujifunza hapa,hasa wale wenye dharau kumuheshimu kila umuonae mbele yako ni jambo muhimu sana.

    • @nancyg8664
      @nancyg8664 Před měsícem

      Ndio

    • @Allybinamour
      @Allybinamour Před měsícem

      kweli kabisa

    • @mhinajerome5964
      @mhinajerome5964 Před měsícem

      Umeongea chamaana sana niliwahi saidiwa namtu nisie mjua sehemu ngumu sana kumbe jamaa ananijua nayeye niwalewale

  • @alexandermanase8956
    @alexandermanase8956 Před měsícem +42

    Huyo anaekataaa nae inawezekana ni usalama wa taifa😂😂,, ila nimependa Sana mbinu za jeshi letu.. ukauze madafu Bure Bure ikulu,, thubutu,,,,,, Sasa usalama mbadilishe mbinu hii tushaijua😂😂😂... Komando muuza madafu oyeeeee

  • @drdd774
    @drdd774 Před měsícem +9

    Mpaka mtu anasema kama mazoezi na kareti anafanya mnashindwa kujiongeza

  • @micophilemon2080
    @micophilemon2080 Před měsícem +2

    kwenye facial recognition tunaangalia paji la uso, mashavu kidevu, mkao wa pua, ukimchek mwamba pua hahhaaa ikulu sio kila mtoto wa baba ananda eeh

  • @mhinajerome5964
    @mhinajerome5964 Před měsícem +2

    Huu mtindo wabadiri maana dunia ikombali sana sasa huyu jamaa hawezi ishi tena kwa amani nakufanya kazi yake kwa weredi maana kila mtu mwenye anajua alichokifanya atakuwa anamuogopa kikubwa hawa jamaa wauza madafu wengi niwatu wa mipakani kupitisha watu wabaya nirahisi sana ndio maana wanakuwepo komandoo elewa huyu nikiongozi wakikosi nayuko nao aisee hii in big up sana

  • @user-ih1pk1vs4q
    @user-ih1pk1vs4q Před měsícem +38

    Sio rahisi kwa raia wa kawaida kupelekwa ikulu inawenyewe hiyo ww fikiria kwa akili ndogo uangue dafu Rufiji ambalo halijahakikiwa akapewe Rais wa nchi mliona wp sisi tuliowajanja tunajua

    • @MubaAlly-gd5jg
      @MubaAlly-gd5jg Před měsícem

      saw kabisa

    • @user-vd1vx1dc8p
      @user-vd1vx1dc8p Před měsícem

      Jamani tunakiharibu kiswahili chetu badala ya kuandika sawa kabisa unaandika "saw kabisa" ukitafsiri inakuwa "aliona kabisa"

    • @Swahili14
      @Swahili14 Před měsícem

      ​@@user-vd1vx1dc8p😂
      Native speakers use informal speech and slang

    • @anacletferuz4954
      @anacletferuz4954 Před měsícem

      Mbona ulikua haujasema kama ulijuwa😊

    • @AzizaHussein-wq8ql
      @AzizaHussein-wq8ql Před 16 dny

      Kuna jambo lao wanatafuta awa sio bule kwaio ukiwa njiani ujitunze sio kila umuonae ni mtu wa kawaida kwako ao wanaangalia usalam wa nchi chini chini kam nisingemuon apa sku ningekutana nae siku sipo vizuri unaingia kwenye anga zao aisee atakukoa sasa mue walinzi wenyew sio kilA umuonae umzalau ukute wenginne wanafagia barabara we unaon ni washikaji zako unaongea mambo lbda ya bangi wee watakumiga na kukukoa ulinzi wa nnje jmni upo kila mtu awe na uangalifu la sivo mtaishia jera waovu lkn sin uakika nalo 😅😅😅😅 nimependraaaaas😉😉✌👍🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @mussachessa6404
    @mussachessa6404 Před měsícem +20

    Yes hata huyo jamaa wapembeni ndie yuleyule walie kua pamoja kupeleka madafu Ikuru. huyo alievaa kitambilisho

  • @user-er8qt4rx8n
    @user-er8qt4rx8n Před měsícem +10

    mama mweenyewee anafurahi heee huyu si yule muuza madafu itakuwa hata yeeye alikkuwa hajui hili

    • @elizanyange2010
      @elizanyange2010 Před měsícem

      Mama anajuwa hiv unafkiria wangekua watu wakawaida wangeruhusiwa kuingia ikulu kirahis rahis

    • @stanchi138
      @stanchi138 Před měsícem

      Muuza mafafu gani ata kofia hakuivua ikulu,,,,,serikali ina mkono mref,

  • @Dulla_kite
    @Dulla_kite Před měsícem +25

    Natena nikiongonzi kabisa daah 😅🔥

  • @agnesmndolwa6245
    @agnesmndolwa6245 Před měsícem +34

    Ni yeye Kwa sababu wakati anahojiwa alijichanganya kwamba anaweza karate,hakuna muuza madafu wakusema anaweza karate

    • @jizzotheking9238
      @jizzotheking9238 Před měsícem +4

      Acha ushamba karate anajifunza mtu yeyote yy alichosema nikwamba hvyo vitu anaviweza kwan mbn mm nacheza judo mieleka na karate??

    • @KhadijakassimMwaipaya
      @KhadijakassimMwaipaya Před měsícem +1

      Ni yeye

    • @Mpakauseme
      @Mpakauseme Před měsícem

      Wewe kweli mshamba

    • @agnesmndolwa6245
      @agnesmndolwa6245 Před měsícem

      @@Mpakauseme ushamba umetokea wapi hapo tena

    • @YustaMfugale
      @YustaMfugale Před měsícem +1

      Hyo karate alijifunza lin make kasema ye ni mwanafunzi wa chuo na umri umesoma namba so pouw

  • @MubaMgaya
    @MubaMgaya Před měsícem +6

    Kwapembeni namwona mjomba hija khaji mgumya one love jombi

  • @Economically-Growth-Musicians

    😂😂😂😂😂😂😂 Bongo ni Nchi ngumu sana😂😂😂😂

  • @user-so3gy2io8l
    @user-so3gy2io8l Před měsícem +15

    Tena ni captain halooo

  • @jillydezanzibar4435
    @jillydezanzibar4435 Před měsícem +3

    Mi sijui kufananisha ila huyu sio yeye" Tusitake kuheadlines

  • @AlexMumoMalonza
    @AlexMumoMalonza Před měsícem +28

    Acheni kufichua siri zenu za kijeshi!!! Adui atakua na kazi rahisi kuwafunika

    • @devanse9718
      @devanse9718 Před měsícem

      KAZI YA NYOKO

    • @jeffhard5773
      @jeffhard5773 Před měsícem

      ​@@devanse9718Ukweli ndio huo

    • @United-Bantu-People
      @United-Bantu-People Před měsícem

      it means dont underestimate Tanzanians

    • @mhinajerome5964
      @mhinajerome5964 Před měsícem

      Nafikiri hii sasa jeshi lijiongeze kutokana na technology maana wengine huficha sura kwakuwa niwatu wanaojulikana sana mitaani so wabadiri mbinu

  • @saidothman6342
    @saidothman6342 Před měsícem +2

    Kama ingekuwa issue ya Usalama tu basi rahisi kuamini ila hapo anananisibishwa na na huyo kiongozi wa Makomandoo aliyeshuka kwenye helicopta hapo...kwa akili ya kawaida tu Kiongozi wa makomandoo tena Kapteni wa jeshi atapat wapi mda wote huo wa kukaa pale Salenda kuuza madafu...ingekuwa amenasibishwa na usalama wa taifa hapo ingeingia akilini

  • @msafirimfilinge8222
    @msafirimfilinge8222 Před měsícem +10

    Ndo mana pembeni wanacheka😂😂😂

  • @MichaelCNtaho
    @MichaelCNtaho Před měsícem +15

    Ukitaka kujua ni yeye mwambie huyo mwandishi akamtafute tena pale kijiweni alipokuwa ana uzia madafu kama atamkuta..

  • @anthonymgina3893
    @anthonymgina3893 Před měsícem +2

    😂😂😂 wabongo bana mnachunguza sana mnataka msipate tena madafu.

  • @ElizeusDadira
    @ElizeusDadira Před měsícem +1

    Unaweza mungu akuzidishie

  • @davidmigoha1706
    @davidmigoha1706 Před měsícem +3

    Kama watu tofauti basi andaeni interview wote wawili wawepo I will pay

  • @lawamajohn2303
    @lawamajohn2303 Před měsícem

    Proud of my tz ❤❤

  • @CruzchicagoNyandindi
    @CruzchicagoNyandindi Před měsícem +2

    Mama abakie yy tu ikuru miaka yote nampenda sana rais wng

  • @user-wb1fg1fk8o
    @user-wb1fg1fk8o Před měsícem +1

    Kweli video nimeyiludia malanyingi niyeye mungu amutiyenguvu kwanyota yake😊

  • @JustusMackenzie
    @JustusMackenzie Před měsícem

    Well done bro I like it

  • @umlaith5202
    @umlaith5202 Před 25 dny

    Usicheze na CCM
    Ndio ile ile....❤

  • @exclusvetztv9011
    @exclusvetztv9011 Před měsícem +2

    Nanukuukwa marehemu ruge mtawba : ugopa sanaa digital 😂😂😂😅😅 usiongepeee utakamatwaa tuu tuu na record hizi sio zana za miaka 10 iliyopita

  • @dominickndomba4474
    @dominickndomba4474 Před měsícem +2

    Sio yeye muuza madafu akiongea analamba ulimi lakini huyo commando halambi ulimi huo ndio utofauti wa kitabia halisi sisi wapelelezi tunajua hilo Tanx saaaaana kwa kufananisha

  • @janetlazarus-kv7rg
    @janetlazarus-kv7rg Před měsícem +29

    Sio yeye wanafanana tu hata sauti zao hazifanani wabongo bwana😂

    • @maryamtan682
      @maryamtan682 Před měsícem +2

      Hpn ni yy, rudia yl maijiano utagundua kitu, alikua anajikanyaga kwenye maswali mengine, ujue kuukataa uhalisia wk ni kz.

    • @subiransasi8029
      @subiransasi8029 Před měsícem +1

      Sauti hiyo ni kwenye maic

    • @paulmafuru7283
      @paulmafuru7283 Před měsícem +1

      Hapo anaongea kwa ukakamavu mzee ,mwanajeshi mtaani n tofauti na kazin sauti zinakuwa mbili tofauti

    • @bakarikayugwa3295
      @bakarikayugwa3295 Před měsícem +2

      Ndio yeye %98 kama unabisha basi nawe ni mmoja wao we muuza madafu unapata wapi muda wa mazoezi 😂

    • @MCNgakungaJunior
      @MCNgakungaJunior Před měsícem +1

      MWAMBA NI YEYE 99%

  • @kutailass6671
    @kutailass6671 Před měsícem +8

    Sio yeye tena hata hawafanani kwa sura pengine tumfananishe rangi tu lkn ni watu wa2 tofaut kabisa

  • @amosdesdery8482
    @amosdesdery8482 Před měsícem +4

    Mkimpata Tena Niko paleeeee😂😂😂😂😂😂

  • @user-sy1vv6ej1m
    @user-sy1vv6ej1m Před měsícem +5

    Sisi tuliosoma Cuba 🇨🇺 tulishamjua tangia siku ile ndio mana mnaambiwa msizarau watu

    • @aliferuzi1537
      @aliferuzi1537 Před měsícem

      Hata hivyo tunaoelewa nadharia tulipinge suala HILI LA kumfunua mtu majani hasa waTu nyeti KWA taifa watu kama Hawa hata ukimjua umuachie sio kumtungia, stori

    • @MohamedAhmada-ie7ke
      @MohamedAhmada-ie7ke Před měsícem

      Umesoma Cuba ata kumtambua mtu huwez tizama pua tu hizo ndio zitakwambia kama ni watu wa wili tafaut

  • @user-kn8pw7vk4e
    @user-kn8pw7vk4e Před měsícem +2

    Sio yeye 100% hamuoni ata sura ni tofauti

  • @JamilaShabani-oj9rt
    @JamilaShabani-oj9rt Před měsícem +1

    Mungu awe nanyi makomando wetu😊❤❤❤

  • @ngalukomcharo9841
    @ngalukomcharo9841 Před měsícem +10

    Ukitazama vizuri pichani siku akiuza madafu body posture inaonesha kabisa ni mtu mwenye military skills.

  • @yordanyona1234
    @yordanyona1234 Před měsícem +2

    Mwenyewe bana

  • @aliferuzi1537
    @aliferuzi1537 Před měsícem +2

    Lkn hata mwandishi mambo kama HAYA sio ya kufatilia mtu aliejifunika majani usoni mnaharibu Sana ila KWA sababu SERIKALI LABDA Imenyamaz WAANDISHI mambo mengine nyeti mskone natoa story MNAKOSEA nchi

    • @HamisTerry
      @HamisTerry Před měsícem

      Uko sahihi matumizi mabaya ya habari

  • @SamsonKena
    @SamsonKena Před 28 dny

    Dar anaweza mungu amri nde.

  • @TheJackriss
    @TheJackriss Před měsícem +1

    Wamefanana tu ila sio yeye😂😂😂

  • @shabantitus3094
    @shabantitus3094 Před měsícem +1

    Now time ajira ni ngumu mpaka COMMANDO anaamuwa kuuza madafu
    Gonga like basi mbona unapita tu 😂😂

  • @user-vl1yt4nb9o
    @user-vl1yt4nb9o Před měsícem +4

    Achana na sura hata sauti ni ile ile ya kuuzia madafu

  • @jakalwambemanyalla6287
    @jakalwambemanyalla6287 Před měsícem +5

    Mpaka sauti

  • @Safia-hg7pq
    @Safia-hg7pq Před měsícem +5

    Ni yeye kuanzia sura na hata sauti pia ila watu inabidi wafikirie kwa sababu apo yupo kazini anatekeleza majukumu yake awezi kuongea kama anauza madafu jmn we mwenyew hauogopi tumien akili

  • @EmmaSimukoko
    @EmmaSimukoko Před měsícem +1

    🎉🎉😂😂

  • @GraceSylvester-nn9bu
    @GraceSylvester-nn9bu Před měsícem

    Bravoo🥰🥰

  • @FredMlelwa
    @FredMlelwa Před 27 dny

    Mungu ibariki Tanzania.🇹🇿🇹🇿

  • @user-pv2ez1nd3h
    @user-pv2ez1nd3h Před měsícem +2

    Ndiyeeee mbwana kabisa

  • @adamrajabu231
    @adamrajabu231 Před měsícem +7

    MUOGOPE SANA MUNGU NA KIASI IOGOPE TECHNOLOGY 😂😂

  • @AbdulyMaga-ct9uy
    @AbdulyMaga-ct9uy Před měsícem +1

    Ila watu😂😂😂😊

  • @suzeynnasebastian8223
    @suzeynnasebastian8223 Před 21 dnem

    Mungu ibaraki
    Tanzania ukumbusho❤❤❤❤

  • @AwaziRajab
    @AwaziRajab Před měsícem

    Ayo Mambo Sio Ya Kucholesha Sana Kwenye Mitandao Nazani Inatosha Wana Habari Kuchimba Ayo Mambo Angalieni Mengine

  • @iddmussa3763
    @iddmussa3763 Před měsícem

    km ni yeye basi ujue swala la kupeleka madafu halikuwa bahati mbaya na swala la yeye kuonekana hapo km kiongozi pia sio bahati mbaya yani kila kitu kimepangwa
    ila wamefanana zaidi jaribu kuangalia facial features mfano fupa la shavuni utaona kuwa ni tofauti ila utafauti huokwa jamii ya watu hao unaweza ukawa wa kutengeneza pia
    tujaribu kusikiliza vocal - ila ya huyualiekuwa anaongea kwa mic huipati vizuri ila up and down za sauti kmzinataka kufanana ila yote kwa yote big up kwa vyombo vyetu

  • @SamwellubigisaLubigisa
    @SamwellubigisaLubigisa Před měsícem +7

    Usikariri kazi moja,, maisha ni kupambana 😂😂

  • @josephkomba1767
    @josephkomba1767 Před měsícem

    😂😂😂😂😂😂 kwanza nicheke

  • @user-ft3mb2pl7c
    @user-ft3mb2pl7c Před měsícem +4

    Ni yeye kabisaaaaaaa!

  • @user-ex9sd8wm4l
    @user-ex9sd8wm4l Před měsícem +12

    Niyeye aisee ucje uka mdharau mtu ndomaana yake

    • @hellennehemia9269
      @hellennehemia9269 Před měsícem

      Kabisa

    • @hassanmfaume4522
      @hassanmfaume4522 Před měsícem

      Au ukataka kupigana na mtu njiani usiyemjua mm nashangaa wewe minazi na madafu wazaramo madafu wanauza waha😂😂😂

  • @kassimtanda7321
    @kassimtanda7321 Před měsícem +1

    Dha we jamaa muongo😂😂😂

  • @AcksunBonifas-mj2sw
    @AcksunBonifas-mj2sw Před měsícem +1

    kweli ten at me melud kuangalia tena 😂😂

  • @BinTwahirinho-rw1nv
    @BinTwahirinho-rw1nv Před měsícem

    heshima kwako 🤗

  • @frankjacob2216
    @frankjacob2216 Před měsícem +2

    Ni yeyeeeee😂

  • @RasheedyKupeh
    @RasheedyKupeh Před dnem

    Mmmh mbn ndo yeyeeee😂😂😂

  • @chadyptz3137
    @chadyptz3137 Před měsícem

    💪🇹🇿 bravo

  • @foundationforcommunityhope7327

    Hii ndio Tz ..... unaweza ukakaa au kuwa pamoja na mtu akiwa kawaida lakini kumbe ...

  • @elreina
    @elreina Před měsícem +1

    Sauti hazifanani kabisaaa hawa watu wawili tofauti

  • @user-gm1pu8zl7z
    @user-gm1pu8zl7z Před měsícem

    Siioni sababu ya kulitangaza sana jambo hili kama la ajabu sana.
    Mbona ni kama tunajidhalilisha sana ? Na isitoshe kujifunua Kwa maadui. Atakuwa kwenye wakati mgumu sana kwenye kutekelezanmajukumu yake.

  • @jameskamau8438
    @jameskamau8438 Před měsícem

    Mimi mkenya nko hapa kusoma kiswahili chenyu chapendeza 😊😊

  • @Khalidniya380
    @Khalidniya380 Před měsícem

    Siasa wew😂😂😂

  • @dannykimoko9293
    @dannykimoko9293 Před měsícem

    Ndio huyo huyo alieshuka na elkopta huyo ni usalama tena komando.yaani uende ukauze madafu ikulu kirahisi no ngastuka meku.

  • @kelvincharles4998
    @kelvincharles4998 Před měsícem +4

    Japokuwa kusema ukweli sawa labda kwenye michezo ya NGUMI, KARATE, BOXING kidogo huwa nafanya 😂😂😂 alituonaje aisee 😅😅

  • @beatricemayala8217
    @beatricemayala8217 Před měsícem

    🥰 Tanzania 💪💪

  • @GazaBoy-to7jc
    @GazaBoy-to7jc Před měsícem

    Nice

  • @jamesgasper6764
    @jamesgasper6764 Před měsícem +1

    Hilo mbona lipowàzi kabisa maana eneo lolote la nchi lenye uongozi wa juu wa nchi au nyala za selikal watu wanaolizunguka jengo hilo asalimia 60 ni askali!! Wauza madafu machungwa fundi viatu wauza magazet wat wa tigo pesa watu wa dini waubil na maustadhi watoa dahawa wote ni askali kanzu ubadilika kutokana na mazingira.

  • @magrethyeremia2279
    @magrethyeremia2279 Před měsícem +3

    Ni yeye banaaaa

  • @user-wd4xl5cl4y
    @user-wd4xl5cl4y Před měsícem

    Ndiye

  • @aikaM74
    @aikaM74 Před měsícem

    Haya mbadilishe mbinu ya madafu tumeijua, Nikiona muuza madafu popote pale nakimbia balaa, sasa muuze pipi

  • @mussaabraham1475
    @mussaabraham1475 Před měsícem

    Good

  • @ikrahtune
    @ikrahtune Před 19 dny

    Wew uyo jamaa wa upande wa kushoto si ndie alie kua nae kule kwenye madafu jaman jaman tuwe makin

  • @meshackmwamasimbi1461
    @meshackmwamasimbi1461 Před měsícem

    Nyota 3 huyu ni moto hatujichanganyi kamwee😅😅😅

  • @ndorobocarworks-dx4pf
    @ndorobocarworks-dx4pf Před měsícem

    Mm nilishangaa ameweza kumshawishi mama kula madafu kumbe ni poti aisee

  • @mdosephayta8075
    @mdosephayta8075 Před měsícem

    😂😂😂bongo sihami

  • @basharahamtzhalisi6871
    @basharahamtzhalisi6871 Před měsícem

    Kwa jinsi maisha yanavyotupeleka huku kitaa, huwezi kupata muda wa kufanya mazoezi. Maana mshikeshike tu wa kusaka mkate 🍞 wa kika siku ni mazoezi tosha ktk maisha haya yenye mfumo wa kibepari.

  • @Eacko87
    @Eacko87 Před měsícem

    Siyoo yy

  • @user-yy6gf4my9f
    @user-yy6gf4my9f Před měsícem +10

    Asante sana ESPERARENCE de TUNIS sisi yanga tumefurahi sana

  • @TabiaMaheke-sk3ob
    @TabiaMaheke-sk3ob Před měsícem +6

    Ni yy bwana!sauti,sura isipokuwa rafuzi tu ndo ameikaza kidogo kijeshi

    • @stanchi138
      @stanchi138 Před měsícem

      Pale anatumia sautivya vocal,,tofa

  • @martinisadru9899
    @martinisadru9899 Před měsícem

    👍👍🔥🔥🔥💪💪

  • @user-ny6sc9js3k
    @user-ny6sc9js3k Před měsícem

    Mpaka mama anacheka 😀😀😀😀😀😀😀😀

  • @johnbernad3990
    @johnbernad3990 Před měsícem

    Huyu jamaa anatochora anataka kutufanya hatujui kitu wakati ni yeye 😂😂😂😂

  • @magrethyeremia2279
    @magrethyeremia2279 Před měsícem

    Sura yakee kabisaaa

  • @user-hy1tz3dk6x
    @user-hy1tz3dk6x Před měsícem +1

    Sio yey

  • @HermanNtahilaja
    @HermanNtahilaja Před měsícem

    Jamani huyo siye yeye kwa kuwa wengine tunatoka kijiji kimoja katika wilaya yaBuhigwe. Tumwombee pengine serikali imuone imeendelezwa kwani anao kaka zake wawili wa baba mkubwa wake wote ni wanajeshi