RAIS SAMIA ASHUHUDIA MAKOMANDO WAKIPIGANA MMOJA ABURUZWA NA GARI

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 04. 2024

Komentáře • 143

  • @laurentraphael5470
    @laurentraphael5470 Před měsícem +7

    Muungano wa nchi mbili kuwa nchi moja ndio muungano wa kweli. Haya maigizo mnayoleta ni fedheha kwa taifa linalojitambua.

  • @user-es3kb5ou6r
    @user-es3kb5ou6r Před měsícem +3

    Allah mlinde rais wetu Mama yetu lipe nguvu na uadilifu jeshi letu JWT

  • @jeniphatemu2937
    @jeniphatemu2937 Před měsícem +1

    I love you mumy, you are a true mother taking care all Tanzanians as your kids. May God Almighty give you long and peacerful life. Amina

  • @WasswaMajegere
    @WasswaMajegere Před měsícem +1

    So amazing.for me.Tz come en help our East Africa generations

  • @fabiogomieiro4131
    @fabiogomieiro4131 Před 7 dny

    E dizer que a maioria dos dirigentes e oficiais desses países estudaram na Grã Bretanha.

  • @ofwonoleviticusfavour6527

    Love from Uganda

  • @FIDELISMfugale
    @FIDELISMfugale Před měsícem +6

    Vichanel vya kisengeeee

  • @janerosejohn8373
    @janerosejohn8373 Před měsícem +1

    Kudos for the 5M subs. Keep the hard work.

  • @jrsaid4270
    @jrsaid4270 Před měsícem +5

    Hakuna kipya ni yale yale tu kila mwaka , innovation zero

    • @aishafrancis7714
      @aishafrancis7714 Před měsícem

      Nenda wewe katuonyeshe mapya yako😎

    • @jrsaid4270
      @jrsaid4270 Před měsícem

      @@aishafrancis7714 Hamna haja ya kwenda njoo wewe nikuoneshe mapua kwenye hill Kuma lako Nazani utaona mapya

  • @turkoglu2145
    @turkoglu2145 Před 4 dny

    2000 yıllık düzenli ordu geleneği olan ve dünyanın en güçlü orduları arasinda yer alan Türkiye'den askeri açıdan teçhizat ve eğitim almanızı öneririm..

  • @jeffhard5773
    @jeffhard5773 Před měsícem +6

    Kubadilisha magazini kwa ajili ya kuwalinda walioko madarakani ili wasin'gatuke

  • @HassanHassan-si2rt
    @HassanHassan-si2rt Před měsícem +6

    Adui anakupiga nae Yuko hukooo Alabama,
    Nyie mnatuonesha maonesho ya miaka ya 1300 BC

  • @JumanneMwita
    @JumanneMwita Před měsícem +1

    Mbona kenya maonesho yao ya kisasa hapa kama ya zamani sana

  • @user-go3du6or5v
    @user-go3du6or5v Před měsícem +3

    Ndo nini?sasa

  • @lolodaprincess7411
    @lolodaprincess7411 Před měsícem +2

    Najivunia Utanzania♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️💕💕💕🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

  • @user-qv7kq5ps5h
    @user-qv7kq5ps5h Před měsícem

    congraturation for 5M millardayo team

  • @user-zy6vq6lz7z
    @user-zy6vq6lz7z Před měsícem +2

    Uhame bongo uende wapi

  • @jewelmabhenga4742
    @jewelmabhenga4742 Před měsícem +1

    Tuongeze budget ya kununua ndege zisizo na rubani na mifumo ya anga kujilinda.

  • @DonardNzogera
    @DonardNzogera Před měsícem

    Tanzania We are the top

  • @geofreywayesu5638
    @geofreywayesu5638 Před měsícem +1

    Askri wako vzr sana ninawapongeza sana

  • @rizionemajura4707
    @rizionemajura4707 Před měsícem +2

    Hivi huwa ni mm tu ebu mnipe tofauti kati ya commando na mwanajeshi

    • @ashrafadam4629
      @ashrafadam4629 Před měsícem

      Tofaut ipo kubwa sana, kwanza comando anamaliza koz ya JW zen anaenda kusoma koz tena ya commando, na co kla mwanajesh n commando ila kila commando n jw

    • @pavlotz8084
      @pavlotz8084 Před měsícem

      Mafunzo yao ni tofaut kabsa,mafynzo ya komndo mmoja jisawa na ya wanajeshi miamoja

  • @hamissnjumba302
    @hamissnjumba302 Před měsícem

    nakpenda saana mama SAMIA lakini nakuomba uyakumbuke majeshi Yako yoote

  • @YusufLubangula-yn6tq
    @YusufLubangula-yn6tq Před měsícem +1

    Tunaupenda Muungano na Muungano uendelee Kudumu Nampongeza Rais SAMIA, Makamu wa Rais Philip Mpango na Wazirimkuu KASIMU MAJALIWA na Wengine mliokutanahapo Kwa ajili ya kuuenzi Muungano wetu wa Tanganyika na Zanzibar🙏🇹🇿👍

  • @mohammedally9466
    @mohammedally9466 Před měsícem

    The only thing that makes this vedio looks amazing is the rainy weather.....

  • @ABBASIKANDULU-kl8zc
    @ABBASIKANDULU-kl8zc Před měsícem

    Tanzania chanel ya vichekesho huko mbinguni 😅😅

  • @AMINASAIDI-mx7rs
    @AMINASAIDI-mx7rs Před měsícem

  • @LUBAINAMOHDRAJAB
    @LUBAINAMOHDRAJAB Před měsícem +3

    Vita vya uso kwa uso hakuna skuiz kuna vita kila mtu anapigana akiwa kwake km huna ulinzi wa kuzuia makombora angani utachafuliwa na nchi kuwa magofu. Hamuoni urusi na Ukrain. Israel na Iran

    • @JifunzeNenoLaMungu
      @JifunzeNenoLaMungu Před měsícem +1

      Sio kwamba hakuna.. Hivyo vipo kwenye special operations, mfano ulipuaji au kuharibu silaha za air defense unatumia watu wanaojua za uso Kwa uso kuzaifisha hizo system wanapokutana na ulinzi wa watu,
      2. Hata ukipiga bomu makazi ya Hamas, au ubalozi wa Iran, ukimaliza unatuma watu wa uso Kwa uso kufagia waliobaki, na hawakai mbali na target....
      Na tatu kwenye uso Kwa uso hamna camera

    • @NeemaJuma-xn9nw
      @NeemaJuma-xn9nw Před měsícem +2

      ​@@JifunzeNenoLaMunguyote kwa yote bado tupo nyuma

    • @JifunzeNenoLaMungu
      @JifunzeNenoLaMungu Před měsícem

      @@NeemaJuma-xn9nw Jeshi linaakisi uchumi, laa sivyo ufilisi nchi zaidi uwe imara kijeshi, wakati watu hawana maendeleo...
      Vita zetu ni alshabab na waasi kama wa congo...
      Nchi zilizotuzunguka hakuna mwenye ulinzi wa kama Israel au uwezo wa kurusha makombora 300 Kwa wakati mmoja bila kufilisi nchi... Tuko na maskini wenzetu tu wa uso Kwa uso...

    • @user-cn9br7en7w
      @user-cn9br7en7w Před měsícem

      Mzee umesema Urusi na Ukraine si ndio huoni Kuna wanaoingia kwenye combat au unafikili Yale maloli huwa yanabeba nini?? Hata hao Urusi na Russia wana makomando pia na pia unajua jukumu la makomando ni kufanya operation kama unajua maana ya operation za kikomando utanielewa

    • @JafetiKanyala
      @JafetiKanyala Před měsícem

      Mie natoa maoni jeshi Sasa ivi lijikite kwenye vifaa vya kisasa Sasa ivi watu wanapigana ukiwa kwako akuna vita Kama Ile ya idi Amin ayo nimaonesho tu akuna komando Bado tupo kizamani

  • @SharonGodwill
    @SharonGodwill Před měsícem +3

    ivi ukiacha iyo miguu katikati ya njia unadhani uyo Samia atakuelewa upande wa matibabu

  • @MathewNathan-yb2bz
    @MathewNathan-yb2bz Před měsícem +2

    Hao makomandoo wako vizuri ni bora wapelekwe DRC Congo wakaonyeshe ukomandoo wao wa kupigana na M23.

  • @user-se9no4rg3k
    @user-se9no4rg3k Před měsícem +2

    Kaumia ilo Kofi imeanguk

  • @manasehi
    @manasehi Před měsícem

    Happy Union day, Hongera kwa jeshi letu, muwe wazalendo mtulinde raia. Mtulindie pia na rasilimali zetu, wazungu wananufaika sana kuliko sisi. Nachukia sana kuona wanakusanya trilions za pesa kwenye mali zetu ambazo tungenufaika wote kama wananchi.

  • @bestscenes955
    @bestscenes955 Před měsícem

    In a war how can the whole platoon withdraw living only two colleagues covering fire??? Si watachapwa na adui! Ama washikwa na mkono!!!

  • @RajabuKhatibu-nl4uk
    @RajabuKhatibu-nl4uk Před měsícem

    Asanteni sana

  • @ObediMeyan
    @ObediMeyan Před měsícem

    Ni noma sana

  • @Nashohaule
    @Nashohaule Před měsícem

    Je?yahamuumii kwel Tanzania Mungu ametu ark

  • @user-zs7eq8up5s
    @user-zs7eq8up5s Před měsícem

    Komando mbona hata watoto mtaan kwetu wanaweza zaid ya hivyo

  • @jamesjahasa3348
    @jamesjahasa3348 Před měsícem +6

    Acheni uongo kumdanganya mama mvalishe yeboyebo ndio abuluzwe😂😂😂

  • @ShabaniRamadhani-jb6wy
    @ShabaniRamadhani-jb6wy Před měsícem

    Waziri akiogea juu ya buge hili

  • @nassormessi-zk5cz
    @nassormessi-zk5cz Před měsícem

    Hamn kitu Robort mmoja tu anawamaliza wote

  • @rasvegas8991
    @rasvegas8991 Před měsícem +1

    Achenii utaniii hayo mafunzo mazur km wanatupiga sisi raia sawa lkin km n boko harama noooo

  • @africannewschannel330
    @africannewschannel330 Před měsícem +4

    Ule ujinga uko Tanzania

  • @francenipala
    @francenipala Před měsícem

    Kwahy ndio kakazen hao

  • @RichardElias-km9ql
    @RichardElias-km9ql Před měsícem

    Amna kitu apo

  • @neemaevance80
    @neemaevance80 Před měsícem

    Safi ❤❤❤🙏

  • @zackhisa955
    @zackhisa955 Před měsícem

    5M subscribers si unigawie tu 500k only😂😂please

  • @TibaTito
    @TibaTito Před měsícem +1

    Putin akijikuna tu wote wanaishaaaaaa

  • @HassanHassan-si2rt
    @HassanHassan-si2rt Před měsícem

    Badoo sanaaa

  • @kennedyariembi5545
    @kennedyariembi5545 Před měsícem

    😂😂😂si east Africa tukona upuzi mob😂😂😂

  • @drcezzane3630
    @drcezzane3630 Před měsícem

    Kwani Hawa Wanakaa Wapi? 😅😅😅😅😅😅

  • @itanzaniaAS
    @itanzaniaAS Před měsícem

    Napenda kazi kama hizi?

  • @SirmeDon
    @SirmeDon Před měsícem

    Upuzi ..hii kenya nlinafanywa na nys

    • @OmaryMgoss
      @OmaryMgoss Před měsícem

      Asa umeambiwa hapa ni Kenyan acheni izo , nchi Kenya raisi Kenyatta mna tofauti gani angalia nchi yako🔩

  • @dicksonmlibwa3661
    @dicksonmlibwa3661 Před měsícem

    Inatishaaa ama kwel jeshi letu n imara

  • @amossimon1095
    @amossimon1095 Před 26 dny

    haha hatar

  • @frankmahenge5943
    @frankmahenge5943 Před měsícem

    Bado sanaa

  • @deniccgabriel6153
    @deniccgabriel6153 Před měsícem

    Hiv wanatuonyesha vichekesho kilasiku😂 jeshi kwa sasa ni technolojia kama huna ndio tuone mazingaombwe kama haya yakutunisha misuli bila kutumia akili.

    • @anoldpotentin2446
      @anoldpotentin2446 Před měsícem

      America wanavikosi vya makomando kama Green baret, Delta force, Navy seals, Army Rangers. Russia wanakikosi cha makomando kinaitwa Spertnaz, sasa kwanini wasifute vikosi vyao vya makomandoo wakawekeza kwenye technology tu? Mtaalam wa maswala ya kijeshi? Je kwanini America na Russia wanawekeza kwenye majeshi ya ardhini sana?

  • @sunwizy608
    @sunwizy608 Před měsícem

    hahaha😂😂😂😂😂 vitan awawez pigana ivyo ila nawaamin

  • @user-it5ks1jo1v
    @user-it5ks1jo1v Před 14 dny

    Упражнения 19 - века

  • @ramxonforex772
    @ramxonforex772 Před měsícem

    nchi yetu bana

  • @itanzaniaAS
    @itanzaniaAS Před měsícem

    Mhm😂😂

  • @DevotaIjumba
    @DevotaIjumba Před měsícem

    Mungu awalinde😂😂😂😂😂😂

  • @isaachayes9783
    @isaachayes9783 Před měsícem +1

    SWALI LANGU LINAKUJA,MBONA HAWA KOMANDO HAMKUWALETA SIKU ILE ASKARI WA KAWAIDA WALIPOCHUKUA TAKRIBAN MASAA 4 KUKABILIANA NA HAMZA PALE UBALOZI WA UFARANSA!? Kwa jinsi walivyo wangeweza kumkamata akiwa hai.

    • @geuzasilvester1715
      @geuzasilvester1715 Před měsícem

      Yan na wew hamza ndio ilikua anahitaj komando?

    • @joycemkeka3769
      @joycemkeka3769 Před měsícem

      😂😂😂 yani kweli waletwe makomando kumkamata hamza we acha utani

  • @salehegiza3305
    @salehegiza3305 Před měsícem +2

    Kama vip tuombeni mechi za kirafiki tuone kama tupo sawa kweli😅😂

  • @kevinatinda2242
    @kevinatinda2242 Před měsícem

    This is more of comedy;;

  • @DotiVirtuoso
    @DotiVirtuoso Před měsícem

    sasa hi ninini? tutawai fikia wakenya lini wanaTZ wenzangu? wakenya wako mbele sana ama namna gani wenzangu?😃😄😆😋😛😜🤩😂🤣

  • @fatimaussene1010
    @fatimaussene1010 Před měsícem

    Haya tumekubali

  • @AwaziRajab
    @AwaziRajab Před měsícem

    Tuwapende Asikali Wetu Tukumbuke Kibiti Laiya Mbio Amboni Tanga Laiya Mbio Lakini Asikali Awajakimbia Walienda Kumaliza Utata Utakuta Mtu Anazalau Asikali Lakini Kwake Wakipta Panya Rodi Wanaingia Mivunguni Mazoezi Sio Vita Bali Ni Maonesho2

  • @abubakaryabdallah4708
    @abubakaryabdallah4708 Před měsícem

    Kumbe nikikaza kidogo naweza kua komando

  • @user-wv1ls4oh4l
    @user-wv1ls4oh4l Před měsícem

    Mseplasi uo ungekua lati iyo yamtipoli usingevunjika mala1 naukiona wanavunja tofali ujue mfuko1 wasiment walitoa tofali100 nchi ya tz niyaujanja ujanja tuu adiwanajeshi waongo😂😂

  • @ahmadmohd3771
    @ahmadmohd3771 Před měsícem

    😂😂😂

  • @GbpAud_King
    @GbpAud_King Před měsícem +2

    Mnadhan M23 wanapigana na vimti izo🤣

  • @anrelyltv3757
    @anrelyltv3757 Před měsícem

    😂

  • @prosperjohn2047
    @prosperjohn2047 Před měsícem +1

    Kwa Dunia ya sasa, haya siyo mambo ya kuwaonyesha watz wenye akili zao, oky hongera sana Kwa haya, AMBAYO ni sawa kwenu🤔

    • @binrashid8671
      @binrashid8671 Před měsícem +1

      Yaaani 😢😢 majirani watatucheka sana

  • @kandaboy3026
    @kandaboy3026 Před měsícem

    Bure kabisa

  • @ssaa7495
    @ssaa7495 Před měsícem

    😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

  • @almahdialmahdi5545
    @almahdialmahdi5545 Před 25 dny

    ياشباب ياكومندو عدوكم هو الدولار الأمريكي!!!فهل أعددتم له عدة لمواجهته في السر والعلن فإنه يشق الصدور ويملك القلوب وتخضع له الرقاب ؟ ؟ ؟/نيامي عاصمة النيجر

  • @user-tq4lx9si1n
    @user-tq4lx9si1n Před měsícem +1

    Inabidi kuwapeleka gaza awamakomando

    • @clementsabuni1918
      @clementsabuni1918 Před měsícem

      Wapelekwe gaza ili tuone ukomandoo wao.

    • @clementsabuni1918
      @clementsabuni1918 Před měsícem

      Siku hizi ni vita vya teknolojia kama huna ulinzi wa anga unakuwa majivu unalengwa kutoka angani hata kama umejificha wapi.

    • @clementsabuni1918
      @clementsabuni1918 Před měsícem

      Ukomandoo ni mazoezi tuu ila tz tuna mbinu za kijeshi tunaweza kupambana na maadui hata tukienda gaza tunaweza kusurvive.

    • @FeisalDoctor-wr8ws
      @FeisalDoctor-wr8ws Před měsícem

      ​@@clementsabuni1918🙄🙄🙄🙄🙄

    • @clementsabuni1918
      @clementsabuni1918 Před měsícem

      @@FeisalDoctor-wr8ws mbona unashangaa mkuu feisal hata wenzetu walianza taratibu inatakiwa tujivunie tulichonacho tusijivunje moyo kwasababu maneno yanaumba ukikubali kushindwa na kweli unashindwa, afrika ni imara ndo maana wazungu wanaogopa sana mwafrika siku akizinduka wamekwisha maana ataanza kuwa na. viwanda vyake vya teknolojia.

  • @WinfridaFabian
    @WinfridaFabian Před měsícem

    Kwa mazoez haya tunaweza kupigana na Rwanda kweli?au tunaweza kupiga wakina lissu tuu

  • @kipkorirprotus9573
    @kipkorirprotus9573 Před měsícem

    Hapo hakuna kitu, mbona sasa haqaitwi kwenye majukumu ya ulinzi katika mataifa mengine inje ya afrika? Izo mbwembwe tu

  • @godfreydavid6996
    @godfreydavid6996 Před měsícem

    Nasikitika sana,wako hapo kuwalinda Watawala na sio wananchi.

    • @Jal210
      @Jal210 Před měsícem

      Acha ujinga wewe

    • @godfreydavid6996
      @godfreydavid6996 Před měsícem

      @@Jal210 Haikuhusu man,kama na wewe ni mmoja wa watawala enjoy tu.

  • @babawamtaa8538
    @babawamtaa8538 Před měsícem

    Kwakweli nimeupenda uwezo wao nashauri tuombe vita ya kirafiki na urudi

  • @saidimussa8128
    @saidimussa8128 Před měsícem

    Duh sasa mbna sion maajabu sas
    Duh !

  • @KHAMIS_SHILINGI
    @KHAMIS_SHILINGI Před měsícem

    Nendeni mkwasaidie wapalesrina😢😢😢

  • @Uhuru351
    @Uhuru351 Před měsícem +1

    Raia wenzangu tuache ujuaji na movie tunazo angalia naona comment nyingi ziko kimchongo😂😂😂😂
    ASKARI WETU WAKO VIZURI SANAA

  • @FIDELISMfugale
    @FIDELISMfugale Před měsícem

    Ujingaaaaaaa

  • @mylasadick5189
    @mylasadick5189 Před měsícem

    Jeshi la znz ndo nnalolitaka 😂

  • @nassormessi-zk5cz
    @nassormessi-zk5cz Před měsícem

    Hakuna maonyesho hayo siku hizi watu wana ndege hazina hata Rubani wala musijaribu kuchokoza watu mbona hampigi ya usoo

  • @Dymitri-Babushka.
    @Dymitri-Babushka. Před měsícem

    Na hatuwahi ona wakipelekwa nchi zingine kusaidia usalama Kama waganda,wakenya na waburundi,hako tu nyimbani kuonyesha vituko 😂😂

  • @user-pm7pj6zi6q
    @user-pm7pj6zi6q Před měsícem

  • @davidnamu6374
    @davidnamu6374 Před měsícem

    😂😂😂

  • @saidijuma5424
    @saidijuma5424 Před měsícem