ila wandishi wa tanzania bwana 😢😢😢 mbona wanyama wengi tu dunian hapa sasahivi wanakula vyakula kilichopikwa na wananyonya maziwa kwenye chupa na anakunywa kilakitu hadi vilevi nijinsi ulivo mlea mnyama hiyo ndivo atavoishi akikua
Huyu jamaa apeleke huyo kondoo akafanyiwe research, huyo kondoo anaweza tumika kama service animal kama wanavyotumia mbwa kusaidi watu wenye msongo wa mawazo, hicho kitu huyo kondoo anafanya ni very unique kinaweza kuzaa fursa.
Uhuni ninachojua mbuzi au kondoo anapofugwa mahali akiwa peke yake basi huwa na tabia ya kumfuata nyuma mfugaji wake ama kuambatana naye kwa sababu ya mazowea na kukosa uwepo wa wenzake kwa lugha rahisi huyo kondoo anaona mfugaji wake ndiye kondoo mwenzake ni sayansi rahisi hii.
Huku Africa ndo binaadam akimfuga mnyama kama rafiki anaanza kuwatisha watu mambo ya kiganga cheki huko kwa wenzetu watu wanafuga simba chui nk na hakuna hizo michongo za kizushi ukichangia na umasikini wa watz wengi mzee kashafanya promotion
Huyu jamaa aache porojo, na aache kuwaibia watu. Huyu mbuzi amezoweshwa malezi ya Kibinadamu tangia utotoni wake na matokeo yake ametengeneza mazoea na utegemezi kwa mlezi wake na sio vinginevyo ambacho ni kitu cha kawaida kabisa. Mbona watu wanalea simba na simba anakua mpole tu.
Lissu analeta kondo yakafara aliambiwa na maframason mashetani yatowe sadaka nakafara za shetani yamaframasson wewe bwana unasema uwogo nikafara za mashetani ili watz wampe l'issu utawala watz lissu hâta tawala nchi yatz tz inawenyewe tz ni ya watz sio yawa Congo RDC kama lissu nawazazi wake au na babu zake
M23 terroristes uko RDC wanaanza tembea na kondoo uko vitani . Rpf uko rwanda wakati walikuwa vitani kutoka uganda waritembea na kondoo mweupe ni code zao.
Wazalendo, tumpe ushirikiano kijanamzalendo mpenda haki rc makonda
Ungo sio jini sema huyo Kondoo amepewa Malezi Ya Kibina Damu
Eti anakunywa mpaka energy😂mpeni K vant tuoneeeee
🤣🤣🤣🤣 Ukistaajabu ya mussa utayaona ya kondoo
😂😂😂😂😂
ila wandishi wa tanzania bwana 😢😢😢 mbona wanyama wengi tu dunian hapa sasahivi wanakula vyakula kilichopikwa na wananyonya maziwa kwenye chupa na anakunywa kilakitu hadi vilevi nijinsi ulivo mlea mnyama hiyo ndivo atavoishi akikua
100%
Kondoo anakunywa Supu😂😂
Msishangae mnyama yoyote ukimpenda nae anakupenda siwezi kushanga nisha jionea mwenyewe wanyama wengi
Hongera sana kw kupenda wanyama ila ktk tiba nimwachie mungu aliyehai umesema kweli usingehojiwa kweli?
Unajua sis n wavivu kufikir jamaa ana ilo n fumbo kwa serikalii kuhusu huduma za jamii
Chadema mjipange awamu ya saba ni yenu
Ha😂😂😂😂mganga anapiga zake promo,tutakutafuta bhana kondoo uje utunusie na ukuiii😂😂😂
MH. TUNDU LISSU ANAMALAIKA WA MUNGU HAKIKA
Wacheni ujiko nyinyi kondoo ni mnyama anaependa kujichanganya na binaadamu tu msiseme maajabu yakawaida tu ayo
Wanaoshangaa hawajafuga hawa😅
@@nyonyomamwaisa hakika brother
Unaakili sana
Kondoo kanywa ujiiiiii😂😂😂😂dah yatima maskini. Inabidi serikali imuangalie kondoo huyu😂😂😂
Kweli atari
Embu tunaomba number yake tafadhali
Hatari kwakweli duuh
Kondoo Anakunywa kahawa
Gonga like
Mimi Nina tatizo la sukari Kwa miaka 30 sasa,
Sisi tulioko Bali tutakupa vipi utu Sandie
Huyo Ni mtu mnadanganywa Ni kondoo binadamu washirikina Bwana tumwachie Mungu wanamaajabu Sana.
Waafrika tunajivunia uchawi eti!.
Wewe ndo mganga wa tundu lissu ???ndoma unaleta kondoo shetani ???
Jamani Mimi nauliza nitampataje huyu jammaa nahitaji tiba
SANA IVI SASA USITUPANDISHIE NDANI YA TRENI YETU YA UMEME UKATUINGIZIA UCHAFU UMWAMBIE APAHE NA UNGO TU😂😂😂
Uzuri ni kwamba Miladayo katumia Kondoo kufikisha Ujumbe wa Maandamano hasa Ubovu kwenye Wizara ya Afya.
Huyu baba wa kondoo naomba mawasiliano namba ya simu
Inavutia sana hii ,sharaut mingi Kwa kondoo
Hilo ni jini, siku litamnyonya damu yeye mwenyewe 😂
Uongo Kaa na wakubw zako watkup Siri nying juu yakondoo
Kabisaaa
Hahahaha siasa ina mambo ya ajabu Sana
Naomba aweke namba ya simu yake.
HADI KUCHIMBA DAWA YUPO VZR.😂😂😂
Kahama wapi na wapi jamani....#Ndanj ya Nusu Saa kondoo Yupo BABATI AMEFIKA TAYARI KUTOKA KAHAMA.
Mbona mganga hajaweka namba kwenye promo😂😂😂😂😂
Hakuna haja ya namba utamtafuta mwenyewe yakikufika
Watu wa kz sio mchezo
Hahahahaha mzee Muongo balaa anapiga zake promotion
Siku zote washirikina wa hali hiyo ni masikini,mganga asiyekuwa na hela
Huyu jamaa apeleke huyo kondoo akafanyiwe research, huyo kondoo anaweza tumika kama service animal kama wanavyotumia mbwa kusaidi watu wenye msongo wa mawazo, hicho kitu huyo kondoo anafanya ni very unique kinaweza kuzaa fursa.
Wewe hilo nijini babu hawezi kuliachia unavyofikilia😂😂😂😂😂.
Huyo sio kondoo Tundu awaambie tu ukweli.
Some animals act like pets, sio ajabu
Nilimuona aisee kondoo kamzoea sana jamaa
Neyeye
Maisha magumu san😂
KAHAMA TO BABATI WEEEEEEE
This is business promotion of this mganga. Shida ya maisha yakiwa magumu ndio hii. Lots of fraudsters
Namba zako
Kweli
✌️👍👊.
Sawasawa kiongoz umetufunza jambo ila kwa wenyew akili
😂😂😂 Soda, nyama choma 😅😅😅
Wajua mambo mengine wala haifai mi icho kiumbe mnakihangaisha ivo
Uyo kondoo akififaa ufanye mazishi yake vzi jeneza na sanda ununue na utengeneze
Tangazo limekaa kimkakati sana
Je itafikia hatua aoe maana anagonga kahawa kama kawaida 😂😂😂.
CHADEMA MMEMUIGA MAKONDA KWA VITUKO 😂😂😂😂
Huku kuna mbuzi zaidi ya huyo kondoo anaitwa uchebe nitafute
Hadi kondoo hawataki ccm wanaotaka katibia mpya nam nataka katibia mpya
Mtaficha hisia zetu ila ztakuw awaz bila nyie kupenda
Sasa mnaeudia nini kondoo nijni kwani kasema huyo kondoo nini jiongezin wananchi
Jamaa tulisoma naye Shaha Mariri
Nitafute milad nikuonyeshe mbuzi anakunywa bia soda kila chakula anakula kasoro nyama tu
Acheni zenu huyo nikondoo jini hilo
Mbona mnamtisha mama samia 2025???
Maajabu ya dunia ilo ni mapenz au ni mazoea
Mbona hakuna maajabu hapo, kwa sisi wafugaji tunajua hizo mambo
Huyo so wakawaida
WAPO WENGI SANA KONDOO WA KUFUATA WATU. CHADEMA INAPENDWA NA WATU WENGI
😅😅😅ana kunywa hadi kahawa
Acheni ibada za sanamu mponyaji ni MUNGU na YESU tu nanyi chadema mtangulize MUNGU atawasaidi hiyo sanamutupeni mbali. Namsirudie tena
Soma bibilia vizuri
Sasa chadema una wahisisha nakondoo mtu kaja nakitu chake unaweza mfukuza hiyo sio bunduki nimyama ali mfuata acha kujitoa ufahamu
Kondoo anakula majani sasa😂
Toeni toeni toeni sanamu hii
Anakunywa apple punch hahahaaaaaaaaa
Uhuni ninachojua mbuzi au kondoo anapofugwa mahali akiwa peke yake basi huwa na tabia ya kumfuata nyuma mfugaji wake ama kuambatana naye kwa sababu ya mazowea na kukosa uwepo wa wenzake kwa lugha rahisi huyo kondoo anaona mfugaji wake ndiye kondoo mwenzake ni sayansi rahisi hii.
Na alipomuacha Kahama, vp hapo?
Hahahahah kondoo yatima 😂😂😂😂😂
Mshirikina huyu hakuna chochote nahuyo sio kondoo ni jini hilo kondoo gani anakunywa kahawa
😁😁
🤣🤣🤣🤣hatar
😂❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤❤😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂tanzania sihami kabisa
Mtangazaji ungemuuliza sasa huyo kondoo anatumia vipi watu? na anajuaje kama mgonjwa huyu ana tatizo flani ,kwani ana uwezo wa kuongea?26.04.24
Weee jamaa mimi chombo yangu haipigi status njoo tibia mimi
Bang havut 😅😅
😅😂😂
mh
Maana ya kondoo huyo ni kwamba hao ni wenziwe kondoo ni mnyama anaye fata mkumbo tu. Kwahiyo woote hao wanafata tu kama kondoo hajui lolote.😂😂😂😂
We milard Ni mnafk onyesha mandamano yote acha kutumika uncontestable drama tu
PEPO SHINDWA
Huku Africa ndo binaadam akimfuga mnyama kama rafiki anaanza kuwatisha watu mambo ya kiganga cheki huko kwa wenzetu watu wanafuga simba chui nk na hakuna hizo michongo za kizushi ukichangia na umasikini wa watz wengi mzee kashafanya promotion
Huyu jamaa aache porojo, na aache kuwaibia watu. Huyu mbuzi amezoweshwa malezi ya Kibinadamu tangia utotoni wake na matokeo yake ametengeneza mazoea na utegemezi kwa mlezi wake na sio vinginevyo ambacho ni kitu cha kawaida kabisa. Mbona watu wanalea simba na simba anakua mpole tu.
Hivi wazungu wana majini au ni sisi tu?
Tafuta ela wenye hela hawnaga majini
Lissu analeta kondo yakafara aliambiwa na maframason mashetani yatowe sadaka nakafara za shetani yamaframasson wewe bwana unasema uwogo nikafara za mashetani ili watz wampe l'issu utawala watz lissu hâta tawala nchi yatz tz inawenyewe tz ni ya watz sio yawa Congo RDC kama lissu nawazazi wake au na babu zake
😂
😂😂😂😂😂😂😂😂😂❤❤❤❤❤
Maandamano ya makondoo ya chadomo
Mashoga ya ccm ni mapumbavu Kama viongoz wao.
Ujinga mtuy uko hapo tafuten kaz zakufanya mjenge maisha pamoja na miili iliyo zofika wapuuz san
muongo mmbwa ww
M23 terroristes uko RDC wanaanza tembea na kondoo uko vitani . Rpf uko rwanda wakati walikuwa vitani kutoka uganda waritembea na kondoo mweupe ni code zao.
Yaah
Ushirikina wa kijinga
Acheni zenu huyo nikondoo jini hilo