RAIS SAMIA AANGUA KICHEKO AKOSHWA NA ASKARI HUYU ALIYEWAPIGA BAKORA ASKARI WENZAKE

Sdílet
Vložit
  • čas přidán 25. 04. 2024

Komentáře • 320

  • @Zainab-sq1tc
    @Zainab-sq1tc Před měsícem +12

    Polen sana fam ya Milard kwa kuondokew na mpiga pic wenu

  • @Namengehq
    @Namengehq Před měsícem +4

    Nakumbuka miaka 6 iliyopita mungu ni mwema sana

  • @AbshirMubaarack
    @AbshirMubaarack Před měsícem +23

    Mheshimiwa Raisi na CDF,naomba hawajamaa wapande vyeo,km ni lutenant bc wawe captain,na km ni Captain bc wawe Majors.Wamejituma mno mno mno,very fantastic and Excellent to them🎉🎉🎉

    • @amirikhalifa9543
      @amirikhalifa9543 Před měsícem +3

      Ni jeshi la police na sio tpdf

    • @ce-08
      @ce-08 Před měsícem +2

      Sio rahis hvyo ulisema hvyo Kila mwaka watapanda wangap kwenye siku ya uhuru Tanganyika, Zanzibar na siku ya Muungano hapo labda ataenda mwalimu au aliyeonekana kafanya vzur zaidi like right mark

    • @Maryc2G
      @Maryc2G Před měsícem

      Kweli kabisa, mtu akifanya kitu kizuri vizuri kumsifia. Umesema vizuri

    • @mrogtz8278
      @mrogtz8278 Před měsícem

      🎉🎉🎉🎉

    • @Maryc2G
      @Maryc2G Před měsícem

      Yes nakubaliana na wewe, wapande vyeo

  • @user-pi4jv2wq8c
    @user-pi4jv2wq8c Před měsícem +5

    Nimejikuta nacheka kwanguvu safi sana vimwanasesere

  • @eliakamwela5482
    @eliakamwela5482 Před měsícem +2

    Nimekumbuka enzi za Tabora millitary school.Hongera!

  • @user-wu5os9me4q
    @user-wu5os9me4q Před měsícem +2

    Respect to INSTRUCTOR

  • @user-de7qf5hj6r
    @user-de7qf5hj6r Před měsícem +4

    So amazing Tanzania 🎉

  • @kevinomondi1390
    @kevinomondi1390 Před měsícem +2

    That's nice be blessed our mum

  • @mukarurangwabetty7605
    @mukarurangwabetty7605 Před měsícem

    czcams.com/video/mZVB8CONDrQ/video.html🚨 RDC🇨🇩M23 IFASHE IBINDI BICE GIKOMANDO💪za KALEHE,MINOVA🔥SADEC BAHATAYE IBABA🇿🇦 ABARUNDI🇧🇮FARDC,FDLR😭😭czcams.com/video/mZVB8CONDrQ/video.html

  • @tuntufyemwasyete3834
    @tuntufyemwasyete3834 Před měsícem +5

    Huyo anayewakagua Yuko vzr

  • @NaomiCharles-bb8md
    @NaomiCharles-bb8md Před 11 dny

    Ongeleni sana askar♥️

  • @Maryc2G
    @Maryc2G Před měsícem +11

    Discipline ya hali ya juuu 👆🏽🆙 kazi nzuri Hongera sana askari mmeonyesha ushujaa wenu

    • @ce-08
      @ce-08 Před měsícem

      Hepu nipe maana ya ushujaa

    • @superk1186
      @superk1186 Před měsícem

      @@ce-08kufanya vitu hatarishi.

    • @superk1186
      @superk1186 Před měsícem

      @@ce-08kufanya vitu hatarishi.

    • @mkadammkadam
      @mkadammkadam Před měsícem

      Kufanya kitendo ambacho mwengine hawezi kufanya kwa kuhofia maisha yake. Ni kutekeleza kitendo ambacho mwengine kitamshinda kukitekeleza

    • @user-uq2mo7mw2l
      @user-uq2mo7mw2l Před měsícem

      Mnafiki anapiga makofi ,wapi jpm❤, 😭😭😭

  • @edithmakwakwa9489
    @edithmakwakwa9489 Před měsícem +2

    Good job

  • @alvinkulasare148
    @alvinkulasare148 Před měsícem +21

    Nimemkumbuka Charlchampil hapaaaaa hizi movement zao

  • @koros8727
    @koros8727 Před měsícem +11

    Am from Kenya......in Kenya we call them scouts 😂😂😂

    • @saidyussuf2291
      @saidyussuf2291 Před měsícem +1

      Scouts wapo na hicho kikosi kilikuwepo kbla y uhuru uniform tuuu zinawiana

    • @andrensabe7735
      @andrensabe7735 Před měsícem

      You’re right this is scouts

    • @dicksonmwenyembegu2523
      @dicksonmwenyembegu2523 Před měsícem

      sisi kwetu scouts ni watoto kumbe kwenu ni mijitu mizima ivi

    • @mainguali6046
      @mainguali6046 Před měsícem

      Kisha they are taking alot of time for nothing

  • @dingadinga6674
    @dingadinga6674 Před měsícem

    Yesi saar kazi nzuri makamanda

  • @user-zn8ws8nf5q
    @user-zn8ws8nf5q Před měsícem +3

    Muheshimiwa rais nakuomba mama anza mradi wadaraja lakutoka fire hadi magomeni mapipa raia wako tuondokane naadha yamaji

  • @DevotaIjumba
    @DevotaIjumba Před měsícem +1

    Mungu awalinnde na kuwapa nguvu.mmenikosha sana

  • @georgemihango71
    @georgemihango71 Před měsícem

    Mungu amjalie rais wetu maisha marefu! Tabasamu yake ni faraja kwa nchi!

    • @Bibishosh
      @Bibishosh Před měsícem

      Allahumma ameen ya Rabby 🙏❤

  • @JosephDololo
    @JosephDololo Před měsícem +2

    Hatari sanaaaaaaaa

  • @brunotlanka4203
    @brunotlanka4203 Před měsícem +2

    Saluti kwao

  • @kitute
    @kitute Před měsícem +2

    CDF was like waaoh vijana wangu wameiva.
    He's so impressed

  • @Easymoneyman44
    @Easymoneyman44 Před měsícem +2

    Honestly hii ni sarakasi banaaaa

  • @user-pp5mx1nx7n
    @user-pp5mx1nx7n Před měsícem +3

    Mmetishaaaa wooooosh

  • @udoyasteven1091
    @udoyasteven1091 Před měsícem +2

    Safiii saana

  • @piuspalmer8941
    @piuspalmer8941 Před měsícem

    wow SF from 🇰🇪 🇰🇪 🇰🇪 i loved this

  • @SAVINPONSIAN
    @SAVINPONSIAN Před měsícem +3

    Nanga wamejaa hapo

  • @husnatmsangeni739
    @husnatmsangeni739 Před měsícem +3

    😂😂😂 Tanzania yangu😂😂

  • @movietz3394
    @movietz3394 Před měsícem +2

    Walio sikia sauti ya mc inafanana na ya dj rufufu naomba like zangu apa

  • @karhayudeye536
    @karhayudeye536 Před měsícem +1

    wonderful display

  • @user-kv7ec4wn9k
    @user-kv7ec4wn9k Před 28 dny

    ممتع ورائع مبدعين ❤

  • @cheiknamouna2058
    @cheiknamouna2058 Před měsícem +2

    Inyeshe mvua jua liwake bora mkoloni aliondoka Tuko huru kiduuchu🤌

  • @catherinekihengu2420
    @catherinekihengu2420 Před měsícem +3

    Nimependa hili gwaride

  • @andrewkipkulei7081
    @andrewkipkulei7081 Před měsícem +1

    Nice,great parade

  • @TAMIMUALLY-ch7rc
    @TAMIMUALLY-ch7rc Před měsícem +6

    daaaa vijana wameiva

  • @s.d.c7925
    @s.d.c7925 Před měsícem

    Ottomans empire Fes Hat but so beautiful military shows Republic Tanzania 🇹🇿

  • @lengaillikinjiye704
    @lengaillikinjiye704 Před měsícem +4

    Inafutia Sana kwa Inje ila ingia duuuh hatari Sana 😂😂😂🎉🎉 hongerani Sana

  • @JACOBNDASHUKA
    @JACOBNDASHUKA Před měsícem

    Hongera sana mpo vizur sana mola awalinde awape afya njema

  • @mohamedkondo-tq2bm
    @mohamedkondo-tq2bm Před měsícem +2

    Inamaanisha tuliko toka ni mbali

  • @KevinOtucho-ow2xx
    @KevinOtucho-ow2xx Před měsícem +5

    Wakenya kujeni mwone hii nayo ni kali sana

    • @mariamkimtai693
      @mariamkimtai693 Před měsícem

      Ushawahi ona jeshi la kenya likifanya makosa 😂😂😂😂😂😂😂we us kenyan our army are 👌🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪♥️♥️♥️♥️♥️♥️♥️

    • @ruwaidahadi7198
      @ruwaidahadi7198 Před měsícem

      Ndio naona sarakasi

    • @justersmatiko3553
      @justersmatiko3553 Před měsícem +1

      Hapa ni utoto tu amna kitu hapa

    • @aggreyomusikoyo
      @aggreyomusikoyo Před měsícem

      Hawa ni sikauti was SDA hapa kenya

    • @tinnahagustinolyelu4247
      @tinnahagustinolyelu4247 Před měsícem

      Ka​@@justersmatiko3553Kafanye wewe kama hujalazwa unakula skonsi mbili na Azam cola halafu ukacheze gwaride Hiro weweee acha kabisa

  • @carlosjose2958
    @carlosjose2958 Před 25 dny

    Sensacional!!!

  • @anthonymgina3893
    @anthonymgina3893 Před měsícem +8

    Si jambo rahisi kuchekesha viongozi wamefanya vyema hongera zao

  • @miltonjohn9779
    @miltonjohn9779 Před měsícem +1

    Safi sana

  • @yonawilliam9419
    @yonawilliam9419 Před měsícem

    Da! Gwaride nimelipenda

  • @FastpayMauzo
    @FastpayMauzo Před měsícem +2

    Hawa ni askari gan millard ungetufafanulia.. Au kuna mtu anajua atueleze

    • @gka9147
      @gka9147 Před měsícem

      Polisi hao tena wa Zenji

    • @shabanjaphar3019
      @shabanjaphar3019 Před měsícem

      Askari wa zenji bhn,
      Yaan ni mdebwedo mpaka kwenye gearide.
      😁😂😂😂

  • @momylaviel
    @momylaviel Před měsícem +2

    Yaan nmechekaaa

  • @johnkabila6617
    @johnkabila6617 Před měsícem

    Great country so peaceful ! Viva Tanzania!

  • @tinnahagustinolyelu4247
    @tinnahagustinolyelu4247 Před měsícem

    Kazi ngumu saana hii jamani hongereni

  • @muradiseifhumoud7880
    @muradiseifhumoud7880 Před měsícem

    Wacheni kuwatia Imani mbovu Wananchi

  • @abobasement346
    @abobasement346 Před měsícem

    Good job 👍🏾

  • @francescorutinwa502
    @francescorutinwa502 Před měsícem +1

    Hawa ndio askari kanzu sio

  • @honesternanyaro2106
    @honesternanyaro2106 Před měsícem +2

    WANASTAHILI PONGEZI NYINGI

  • @iddimmbucwa3618
    @iddimmbucwa3618 Před měsícem +4

    Tz Amna wanajeshi hapo sema tu vita aijawafikia

  • @achouraachoura5763
    @achouraachoura5763 Před měsícem +1

    Hii kazi ngumu jamani😂😂😂😂😂😂🤣🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂😂😂😂🙌🙌🙌🙌

  • @geraldndosi2083
    @geraldndosi2083 Před měsícem +2

    Wapewe maua yao

  • @chiefndatu1895
    @chiefndatu1895 Před měsícem +1

    Tarabush!😂😂😂

  • @user-hq8wn9tz2l
    @user-hq8wn9tz2l Před měsícem +2

    Vijana wameiva

  • @mbaruksaid5775
    @mbaruksaid5775 Před měsícem +1

    Wanachekesha comedy tosha😂😂😂😂

  • @user-bm5ov6kx3c
    @user-bm5ov6kx3c Před měsícem

    🤣🤣🤣🤣Hilo Kofi limeenda

  • @prince.eric_msemwa9732
    @prince.eric_msemwa9732 Před měsícem +1

    Kwata safi 😁

  • @MashakaJohn-vt4gx
    @MashakaJohn-vt4gx Před měsícem

    Kazi nzur ma kamanda

  • @anithiajohn9209
    @anithiajohn9209 Před měsícem +3

    Ukiwa kiongz raha sana ata ukichek tu wana kupost kuna wew na mimi😅😅😅

  • @deodartngaiza6664
    @deodartngaiza6664 Před měsícem

    Big up😅

  • @user-cx6zn9sr7v
    @user-cx6zn9sr7v Před 23 dny

    Masyallah 😁😁🤲

  • @stevinmwanzaa1785
    @stevinmwanzaa1785 Před měsícem +1

    Mwalim hongera xana

  • @DanielMaksiro
    @DanielMaksiro Před měsícem

    I like it❤😂

  • @joycekalago532
    @joycekalago532 Před měsícem

    Wanapendeza sana❤

  • @josephwaciuri4568
    @josephwaciuri4568 Před měsícem

    🎉good show

  • @ivankadaudi8161
    @ivankadaudi8161 Před měsícem +1

    Safiiii❤❤❤

  • @CamuudAwed
    @CamuudAwed Před měsícem

    If we are Somaliland people we love our brother's Tanzanian People ✅🙏♥️🙏✅

  • @megouko8581
    @megouko8581 Před měsícem +3

    Looks like the colonial era

    • @nabeelsombidah3405
      @nabeelsombidah3405 Před měsícem +1

      Just a millitary drama resembling collonia army

    • @Soon815
      @Soon815 Před měsícem

      That's what they were doing! Making funny of how things were during the colonial era!

  • @daudimichael7338
    @daudimichael7338 Před měsícem +15

    Hawa ndo waliingia jeshini kuandaliwa kuwatesa watanganyika wenzao kwa manufaa ya mkoloni. 😂😂😂

  • @aminasalum5401
    @aminasalum5401 Před měsícem

    😊

  • @AlexAlex-kf1eg
    @AlexAlex-kf1eg Před měsícem

    ❤mimi pia nmecheka pia nmehuzunika

  • @geofreymulei5695
    @geofreymulei5695 Před měsícem +2

    Kwa hii unform ya wakati wa wakoroni bado ipo dah 😮

    • @isayamwasile3103
      @isayamwasile3103 Před měsícem

      Inaweza ikashonwa ikafanana na ya mkoloni

    • @Psdanieltv7975
      @Psdanieltv7975 Před měsícem

      Hata huo mfumo wa kijeshi ni ule ule wa kikoloni yaani ukoloni kila mahali

  • @AbdulwahidTariq
    @AbdulwahidTariq Před měsícem +1

    Huyo MC si rufufu kabisa huyoo😂

  • @user-rt8bd9ne6c
    @user-rt8bd9ne6c Před měsícem

    😂😂😂 kazi kwelikweli

  • @hassanovajunior6972
    @hassanovajunior6972 Před měsícem +3

    Wametisha sana salute🫡 🫡nyingi mno kwao kwakweli👏👏👏👏👏😀😀😀

  • @robertempire9542
    @robertempire9542 Před měsícem +2

    Nimejikuta nacheka kwa nguvu😂

  • @user-lr5wc6kk7m
    @user-lr5wc6kk7m Před měsícem +1

    Diamond hakuepo au mvua?au wa2 hawakujua?au ndo wameingh Kwa passport,au watanganyik ndo hawatak muungano Sabab wenzao hawautak

  • @aliomar5518
    @aliomar5518 Před měsícem

    Wako vizuri 😂

  • @user-ws3gi8fk8j
    @user-ws3gi8fk8j Před měsícem

    Naona Jeshi la Tz lina mengi ya kujifunza kuhusu gwalide

  • @hachimmohamed6296
    @hachimmohamed6296 Před měsícem

    🤩🤩🤩🥰💞💞💯

  • @mstaraabusantiago747
    @mstaraabusantiago747 Před měsícem +2

    Kweli serikali nia wa mama hii ,kaptura ziliisha kipindi Cha ukoloni Bado tz zipo

  • @habiricheeseapa
    @habiricheeseapa Před měsícem

    Habiri

  • @RukumbukoMwapule
    @RukumbukoMwapule Před měsícem +1

    Hatar san

  • @rahymaaa4357
    @rahymaaa4357 Před měsícem

    Ujue wamechukua action ya commedy😂😂😂😂😂had nimemkumbuka champion comedian fire saluti kwenu wamba

  • @suleymankhamis3405
    @suleymankhamis3405 Před 19 dny

    Kamanda msumbufu sana hata mie nitakosea 😂

  • @elandaboyz
    @elandaboyz Před měsícem +2

    Kenya tuko tu hapa tunacheka😂😂😂

    • @Amechitv
      @Amechitv Před měsícem

      tuko😂😂😂

    • @Soon815
      @Soon815 Před měsícem

      Ni comedy unahaki ya kucheka

    • @joeka5457
      @joeka5457 Před měsícem

      Na sisi from Rwanda tunacheka

  • @PaskaliCharles-pz8ds
    @PaskaliCharles-pz8ds Před měsícem +1

    😂😂😂😂😂 Raha Sana

  • @waulicenterprises6941
    @waulicenterprises6941 Před měsícem

    Napenda suluhu mchapa kazi

  • @papaamasauti1973
    @papaamasauti1973 Před měsícem +1

    Leo tanzania imefanya majaribio silaha zake za nyuklia

  • @kun8963
    @kun8963 Před 22 dny

    👍💪🙏

  • @SuleimanimugiyaMuzee
    @SuleimanimugiyaMuzee Před měsícem

    Hatali sana

  • @enocksamwel2761
    @enocksamwel2761 Před měsícem

    Hili jeshi gani 😂😂😂, au ni kichekesho

  • @simonjoseph7775
    @simonjoseph7775 Před měsícem

    Ilikuwa tabu sana zaid ya jkt leo

  • @MariaElena-td9rb
    @MariaElena-td9rb Před 17 dny

    ❤🙋🇦🇷

  • @mkanash3144
    @mkanash3144 Před měsícem

    Daah...mmetishaaa

  • @markmwaghogho9226
    @markmwaghogho9226 Před měsícem

    Tz mko nyuma saaaana

  • @mainguali6046
    @mainguali6046 Před měsícem

    Ni askari wa kitengo gani hawa . Tanzania mnakazi